HISTORIA YA KANISA I DBT 2019 PRINT

21.03.2020 Views

Cemetri ambalo halikuwekwa alama yoyote. Hadi sasa kaburi la John Calvin halijulikanililipo.4. JOHN KNOXJohn Knox alizaliwa katika miaka ya 1513 katika Haddington, mji mdogo kaskazini mwaEdinburg, Scotland. Maisha yake ya awali yalimwezesha kukutana na watu wengi, naelimu yake ya juu ilimwezesha kuwafikia watu wa hali ya juu katika jamii. Alipotezawazazi wake akiwa bado mtoto. Knox alijifunza kilatini shuleni Haddington. Mwaka 1529,alianza masomo ya Theolojia katika chuo cha mtakatifu Andrews. Aliwekewa mikono yaukuhani mwaka 1536 ila hakuajiriwa katika nafasi hiyo kutokana na Scotland kuwa namakuhani wengi.Mwaka 1540, utawala wa Scotland ulianza kuwatesa wahubiri wa Neno la Mungu. GeorgeWishart hakuogopa muda wa majaribu na akasafiri kutoka kijiji kimoja hadi kijiji kinginekuhubiri ukweli wa Biblia. Knox, kwa kushawishika na ujumbe wa Wishart, aliamuakumsindikiza kama mlinzi wake, akiwa na mapanga mawili kumkinga mhubiri huyu dhidiya vitisho vya watesi. Kwa wiki tano, alimsindikiza Wishart katika kuhubiri kwake mpakamamlaka yaliamua kunyamazisha sauti ya mheshimiwa huyu kwa kumfunga gerezani.John Knox Aliamua kujiunga nae na kumuunga mkono, lakini Wishart alimsihi arudinyumbani, akisema: “Hapana, rudi kwa watoto wako, na Mungu akubariki. Mmojaanatosha kuwa kafara. Knox alirudi.Henry Balnaves, mmoja ya waheshimiwa, alifurahishwa na kipaji chaa ufundishaji wawanamatengenezo na kuungana na mhubiri John Rough kwa kumwalika Knox kuwa mkuuwa kanisa na mchungaji wa kanisa la nyumba ya mtakatifu Andrews. Knox alikataamwaliko huo, nakusema hawakuwa na mamlaka ya kutoa wito huo na kurudi chumbanimwake. Wiki chache baade, alihudhuria ibada ambayo mhudumu alitetea kanisa la kikatolikikuwa mke wa Kristo. Knox alishindwa kunyamaza na kuzungumza kwamba kanisa lakikatoliki sio mke wa Kristo bali ni kahaba. Kanisa waliomba maneno yake yachunguzwejumapili iliyofuata. Baada ya siku saba, alihubiri Danieli 7, akilinganisha upapa na mpingaKristo, Knox alitambua maandiko kuwa mamlaka pekee kwa kutunga mafundisho ya dinina kuthibitisha umhimu wa haki kwa imani pekee, mambo yaliounda msingi wa mahubiriyake hadi mwisho wa uhai wake.Siku kadhaa baadae, John Knox alitoa maandishi ya mafundisho yanayopinga utaratibu wamisa, pugatori, na maombi kwa wafu. Ndipo palianza kazi ya John Knox, aliyetokea kuwammoja wa wahubiri wa kupinga mafundisho potofu ya kanisa.Kutoka utumwani kuwa mkuu wa Kanisa katika huduma kwa mfalmeKundi la waheshimiwa kumi na sita, wafuasi wa mfia dini Wishart, waliokuwawamekasirishwa na padre David Beaton kwa kuuwa mhubiri huyo, waliuwa padre huo52

nyumbani kwake miezi miwili baadae na kuhamia kwenye nyumba ya mfalme yaMtakatifu Andrews, ambako Knox alikuja kuisha mwaka mmoja baadae.Kutokana na uasi huo, malkia wa kikatoliki Maria wa Gise aliamua kutafuta msaadawa mfalme Henry II, mfalme wa Ufaransa, alietuma jeshi la meli na kushambulia nyumbaya kifalme ya mtakatifu Andrews. Mweli Julai, 1547, wanamatengezo waliokuwa ndani yangome hiyo walijisalimisha kwa jeshi la majini la Ufaransa wakachukuliwa mateka. Katiyao alikuwepo pia na John Knox, ambae alifungwa pingu kwenye viti vya meli akiwa hananafasi ya kubadirisha mkao wake. Pamoja na wafungwa wengine wa vita na waharibifuwengine , Knox alilazimishwa kusaidia kusukuma meli, afisa mmoja akiwa upande mmojakusubiri kuwapiga wafungwa ambao hawakuwa tayari kufuata maagizo katika kufanyakazi ngumu.Ndani ya meli, wafungwa walilazimishwa kushiriki misa na kutoa ishara ya kumheshimubikira Maria, au wateswe. Knox alikataa. Pale picha ya bikira Maria iliposukumizwa usonimwake ili aibusu, aliichukua nakuitupia baharini akisema, “Acha mama yetu ajiokoe; yeyeni mwepesi sana; acha ajifunze kuogelea.”Baada ya miezi kadhaa na kwa kuwa katika kipindi kikali cha msimu wa baridi kwenyemeli, afya ya Knox ilidhoofu sana. Pamoja nakuumwa bado alifariji wenzake katikamateso, akiwa na uhakika ya kwamba wataachiwa huru na kuendeleza kazi yake yakutangaza ukweli wa Biblia. Miezi kumi na tisa ya mateso makali, majaribu na maumivumakali. Inadhaniwa kuwa kwa ombi la mfalme wa Uingereza Edward VI John Knoxaliachiwa huru mwezi Februari 1549.April 7, 1549, Knox aliitwa kutumika kama mhubiri katika mji wa Berwick-upon-Tweed,chini ya Kanisa la Uingereza. Mwishoni mwa 1550, alihamishwa kama mhubiri wa kanisala Mtakatifu Nikolasi, mji wa Newcastle sehemu ya Taini; na 1551, aliwekwa kuwamsimamizi mkuu wa dini wa Mfalme pamoja na wengine watano, ikimpa nafasi yakuhubiria ufalme. Kwa kipindi hiki, alipinga taratibu ya kupokea meza ya bwana kwakupiga magoti na pia mafundisho ya kwamba mwili halisi wa Kristo upo kwenyeSakramentiKnox alikutana na Elizabeth Bowes, mahiri na msomi wa maandiko, ambae alikujakumtambua kama mwelekezaji wake kwa mambo ya kiroho, na Margery Bowes, mmojawa binti zake Elizabeth, ambae alimchumbia mwaka 1553 na kuoa muda mfupi baadae.Mwaka mmoja baadae alikuwa Geneva, Uswisi, akiwa ametoroka Uingereza alipoingiaMary Tudor kwenye utawala na kurudisha uKatoliki nchini Uingereza. Knox alichapishakipeperushi akimshambulia malkia huyo kwa msimamo wake wa kikatoliki pamoja namaaskofu waliomsaidia kuingia kwenye utawala, na pia kiongozi wa kirumi, Charles V,akimtaja kuwa “Adui wa Kristo kama NeroKuhubiri FrankfurtMuda mfupi baada ya kufika Uswisi, Knox alipokea barua ya mwaliko kuwa mchungajiwa kanisa la wakimbizi wa Uingereza wanaoishi mji wa Frankfurt, Ujerumani na53

nyumbani kwake miezi miwili baadae na kuhamia kwenye nyumba ya mfalme ya

Mtakatifu Andrews, ambako Knox alikuja kuisha mwaka mmoja baadae.

Kutokana na uasi huo, malkia wa kikatoliki Maria wa Gise aliamua kutafuta msaada

wa mfalme Henry II, mfalme wa Ufaransa, alietuma jeshi la meli na kushambulia nyumba

ya kifalme ya mtakatifu Andrews. Mweli Julai, 1547, wanamatengezo waliokuwa ndani ya

ngome hiyo walijisalimisha kwa jeshi la majini la Ufaransa wakachukuliwa mateka. Kati

yao alikuwepo pia na John Knox, ambae alifungwa pingu kwenye viti vya meli akiwa hana

nafasi ya kubadirisha mkao wake. Pamoja na wafungwa wengine wa vita na waharibifu

wengine , Knox alilazimishwa kusaidia kusukuma meli, afisa mmoja akiwa upande mmoja

kusubiri kuwapiga wafungwa ambao hawakuwa tayari kufuata maagizo katika kufanya

kazi ngumu.

Ndani ya meli, wafungwa walilazimishwa kushiriki misa na kutoa ishara ya kumheshimu

bikira Maria, au wateswe. Knox alikataa. Pale picha ya bikira Maria iliposukumizwa usoni

mwake ili aibusu, aliichukua nakuitupia baharini akisema, “Acha mama yetu ajiokoe; yeye

ni mwepesi sana; acha ajifunze kuogelea.”

Baada ya miezi kadhaa na kwa kuwa katika kipindi kikali cha msimu wa baridi kwenye

meli, afya ya Knox ilidhoofu sana. Pamoja nakuumwa bado alifariji wenzake katika

mateso, akiwa na uhakika ya kwamba wataachiwa huru na kuendeleza kazi yake ya

kutangaza ukweli wa Biblia. Miezi kumi na tisa ya mateso makali, majaribu na maumivu

makali. Inadhaniwa kuwa kwa ombi la mfalme wa Uingereza Edward VI John Knox

aliachiwa huru mwezi Februari 1549.

April 7, 1549, Knox aliitwa kutumika kama mhubiri katika mji wa Berwick-upon-Tweed,

chini ya Kanisa la Uingereza. Mwishoni mwa 1550, alihamishwa kama mhubiri wa kanisa

la Mtakatifu Nikolasi, mji wa Newcastle sehemu ya Taini; na 1551, aliwekwa kuwa

msimamizi mkuu wa dini wa Mfalme pamoja na wengine watano, ikimpa nafasi ya

kuhubiria ufalme. Kwa kipindi hiki, alipinga taratibu ya kupokea meza ya bwana kwa

kupiga magoti na pia mafundisho ya kwamba mwili halisi wa Kristo upo kwenye

Sakramenti

Knox alikutana na Elizabeth Bowes, mahiri na msomi wa maandiko, ambae alikuja

kumtambua kama mwelekezaji wake kwa mambo ya kiroho, na Margery Bowes, mmoja

wa binti zake Elizabeth, ambae alimchumbia mwaka 1553 na kuoa muda mfupi baadae.

Mwaka mmoja baadae alikuwa Geneva, Uswisi, akiwa ametoroka Uingereza alipoingia

Mary Tudor kwenye utawala na kurudisha uKatoliki nchini Uingereza. Knox alichapisha

kipeperushi akimshambulia malkia huyo kwa msimamo wake wa kikatoliki pamoja na

maaskofu waliomsaidia kuingia kwenye utawala, na pia kiongozi wa kirumi, Charles V,

akimtaja kuwa “Adui wa Kristo kama Nero

Kuhubiri Frankfurt

Muda mfupi baada ya kufika Uswisi, Knox alipokea barua ya mwaliko kuwa mchungaji

wa kanisa la wakimbizi wa Uingereza wanaoishi mji wa Frankfurt, Ujerumani na

53

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!