HISTORIA YA KANISA I DBT 2019 PRINT
Watu hawa waliamini kwamba kila mtu alitakiwa kuwa na Biblia katika lugha yake ya asilina ya kwamba Biblia ilitakiwa kuwa mamlaka ya mwisho na iliyokuu katika mamboya imani na maisha. Kanisa lilianzisha mateso dhidi ya wawadeni yaani wafuasi waWaldo.Watu hawa Kadili walivyoteswa ndivyo walivyokuwa wakiongozeka. Mnamomwaka 1211 wawadeni 80 walichomwa moto huko Ujerumani. Pita waldo alisaidia kuletamatengenezo ya kanisa kwani alisaidia kupatikana kwa Biblia katika Lugha zingine nakuhamasisha kila mtu kusoma Biblia. Waldo anajulikan kama mmoja wa wanamatengezoya kanisa watangulizi.2. JOHN WIKRIFHuyu alikuwa mwalimu wa Chuo kikuu cha Oxford. Mnamo mwaka 1378 Wikrif alitakakuleta matengenezo katika kanisa kwa kuwaondoa watumishi wa kanisa waliokuwadhalimu,na kuwanyang’anya mali ambazo aliamini kwamba ndizo zilizokuwa chanzo chawatumishi hao kuwa dhalimu. Alichapisha andiko lililoeleza maadili wanayotakiwakuwa nayo watumishi wa kanisa.Alifundisha kwamba wakati viongozi wa kanisa wanapokuwa mafisadi serikali ilitakiwakuchukua mali zao na kuwapa watu wengine wenye nia ya kumtumikia Mungu. Katikamwaka wa 1379 alianza kupinga dogma ya kanisa kwa kutoa madai yafuatayo; Yesu pekee ndiye aliyekuwa kiongozi mkuu wa kanisa na si papa. Biblia pekee ndio yenye mamlaka kuu na ya mwisho kwa waamini na si kanisa walapapa. Kanisa lilitakiwa kuiga mfano wa kanisa la agano jipya.Kwa msaada wa tajiri Lord Cobham John Wikrif alitafsiri Biblia katika lugha yakiingereza na kuisambaza katika maeneo mbalimbali . Alianzisha chama cha Wahubirimaskini na wakaanza kuzunguka katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo wakihubiri nenola Mungu watuMwaka 1382 alipinga fundisho la mageuzo ya maumbo ya mwili na damu ya Yesulinalojulikana kama transubstan-tiation. Mawazo yake yalipingwa vikali na kanisa naserikali na akafukuzwa ukufunzi. Mwaka 1402 Bunge La Uingereza lilipitisha sheria yahukumu ya kifo kwa watu wanohubiri mafundisho kinyume na yale yaliyokubaliwa nakanisa. Wahubiri maskini waliteswa vikali sana, baadhi walifungwa na kuchomwa motona kufukuzwa nchini. Viongozi wa kanisa walijaribu kuchoma moto Biblia zote zaKiingereza. Wikrif alifariki mnamo mwaka 1384.Shujaa huyu anakumbukwa sana katika historia ya kanisa kwa mchango wake wa kutafsiriBiblia katika Lugha ya kiingereza. Wikrif ndiye mtu wa kwanza kutafsiri Biblia kwa lughaya kingereza.3. JOHN HUSHuyu alikuwa ni mkuu wa chuo kikuu cha Plague huko Bohemia, mtawa na padre wakanisa katoliki. Mwaka 1401 John Hus alipata upadrisho. Padre huyu alipendezwa na42
maandiko ya John Wikrif na hivyo alianza kuhubiri mafundisho ya mtangulizi wakeWikrif.Alipinga mafundisho mbalimbali yasiyo ya ki-Biblia ya kanisa la Romani katoliki naakasisitiza watu kuishi maisha matakatifu. Alisisitiza kwamba Biblia ndiyo mamlaka yamwisho kwa mwamini na katika huduma za kanisa.Katika kitabu chake alichoandika juu ya kanisa, alifasili kwamba kanisa ni mwili waKristo, na Yesu Kristo pekee akiwa kiongozi wake mkuu. Alitetea nafasi ya ukuhani nakudai kwamba Mungu pekee ndiye aliyekuwa na uwezo wa kusamehe dhambi. Alielezakwamba hakuna mamlaka ya kanisa inayoruhusiwa kuanzisha mafundisho (doctrine)yaliyo kinyume na Biblia na kwamba Waamini hawatakiwi kutii maagizo yasiyo yakimaandiko.John Hus Alipinga baadhi ya mambo yafuatayo, Udhalimu wa mapadre kuuzwa kwa vyeti vya msamaha, kuondolewa kikombe cha divai kwa walei. Kanisa kuwa na mamlaka juu ya Biblia Uwezo wa Makuhani kusamehe dhambi Ukuhani wa wachache (crerism)Baada ya mashambulizi hayo mazito dhidi ya mafundisho ya kanisa Hus alifukuzwaupadre na akaambiwa abadilishe msimamo wake kwa kufuta kauli, jambo ambalo Hushakukubaliana nalo. Hatimae Hus alihukumiwa kifo na akachomwa moto. Hus akiwaanachomwa moto alitoa unabii kwa kusema “leo mnaniua mimi lakini miaka miamojaijayo Mungu atamwinua mtu mwingine ambaye matengenezo yake hayatawezakuzimwa” Kweli baada ya kipindi hicho Mungu alimwinua Martin Luther mwanamatengenezo mkuu kama tutakavyoona hapo baadae.4. JEROME SAVANAROLA.Alizaliwa Ferrara Italia mnamo mwaka 1452, alikuwa ni mtawa wa shiriki la wadominico.Mtu huyu alijaribu kuleta matengenezo katika kanisa na serikali. Alipinga uovu uliokuwaunafanywa na mapapa. Alisomea mambo ya ubinadamu na utabibu. Kufikia mwaka 1491alikuwa mhubiri maarufu kule Frolence.Alitabiri kwamba papa na mfalme wa Naples wangekufa siku moja, jambo ambalolilitokea kama alivyotabiri. Katika mahubiri yake alitabiri hukumu kubwa ambayoingekuja juu ya mji ikifuatiwa na kipindi chema ambapo Frolence ingewaunganisha watuwote wa Itali. Utimilizo wa unabii huu ulionekana kuwa ni kuvamiwa kwa Itali na mfalmeCharles VIII. Ambaye mwaka 1494 aliuondoa utawala dhalimu wa Frolence.Baada ya kuanzishwa kwa serikali mpya Saravano alipata umaarufu sana pale Frolencekupitia mahubiri yake na alileta mabadiliko mengi katika jamii. Alianzisha matengenezoya kodi, Kusaidia maskini na matengenezo katika mahakama. Aliubadilisha mji kutokakatika maisha ya kimwili na kuishi maisha ya kiroho.Kutokana na mabadiliko hayo kila mtu katika mji alikwenda kanisani na matajiri waliwapamisaada masikini.Wafanya biashara walirudisha vitu walivyokuwa wamewatapeli watejawao. Waimbaji waliacha kuimba nyimbo za kidunia na kuanza kuimba nyimbo za kumsifuMungu. Waliachana na maisha maovu, walichoma moto mawigi, vinyago, vitabu vya43
- Page 1 and 2: P.O.BOX 1917 MBEYA TANZANIAEmail: E
- Page 3 and 4: MADA YA KWANZA.UTANGULIZI JUU YA HI
- Page 5 and 6: PERGAMOTHIATIRASARDIFILADELFIALAODE
- Page 7 and 8: b.Masadukayo, Hawa jina lao lilitok
- Page 9 and 10: Kujihusisha na shughuli za kijamii,
- Page 11 and 12: K. KUTENGANA KWA WAMISHENARI . Waka
- Page 13 and 14: Inaonekena Wayahudi hao Walianzisha
- Page 15 and 16: Kwa msaada wa Josephus (mwanahistor
- Page 17 and 18: 10. Yuda/Thadeo- mtume huyu alifany
- Page 19 and 20: Baadhi ya watu waliouawa katika kip
- Page 21 and 22: Mitume walifundisha kwamba sanamu s
- Page 23 and 24: manabii wa zamani wa Kiebrania. Ali
- Page 25 and 26: Ireneusi (130-202A.D) aliyezaliwa S
- Page 27 and 28: Kwa kiasi kikubwa mafundisho yake y
- Page 29 and 30: iv.Kanisa lenye kusitawi {kukua}. L
- Page 31 and 32: ix. Siku ya jumapili iliwekwa kuwa
- Page 33 and 34: Ilidaiwa kwamba maaskofu walikuwa b
- Page 35 and 36: ambao ulipaswa kutumiwa na makanisa
- Page 37 and 38: Utawa ulienea sana sehemu ya maghar
- Page 39 and 40: MADA YA TANOKIPINDI CHA THIATIRA; K
- Page 41 and 42: nyaraka hizo ziliandikwa na wahusik
- Page 43: Kugombea ukuu, Madai ya kanisa la m
- Page 47 and 48: matengenezo na mengine mengi kulipe
- Page 49 and 50: waliongoza kikundi cha watu katika
- Page 51 and 52: Hivyo neno hilo wakapewa watu wale
- Page 53 and 54: Rafiki zake walimshauri John Calvin
- Page 55 and 56: nyumbani kwake miezi miwili baadae
- Page 57 and 58: Kufunguka kwa matengenezo ya kiprot
- Page 59 and 60: wadhifa wake, alifungwa jela kwenye
Watu hawa waliamini kwamba kila mtu alitakiwa kuwa na Biblia katika lugha yake ya asili
na ya kwamba Biblia ilitakiwa kuwa mamlaka ya mwisho na iliyokuu katika mambo
ya imani na maisha. Kanisa lilianzisha mateso dhidi ya wawadeni yaani wafuasi wa
Waldo.Watu hawa Kadili walivyoteswa ndivyo walivyokuwa wakiongozeka. Mnamo
mwaka 1211 wawadeni 80 walichomwa moto huko Ujerumani. Pita waldo alisaidia kuleta
matengenezo ya kanisa kwani alisaidia kupatikana kwa Biblia katika Lugha zingine na
kuhamasisha kila mtu kusoma Biblia. Waldo anajulikan kama mmoja wa wanamatengezo
ya kanisa watangulizi.
2. JOHN WIKRIF
Huyu alikuwa mwalimu wa Chuo kikuu cha Oxford. Mnamo mwaka 1378 Wikrif alitaka
kuleta matengenezo katika kanisa kwa kuwaondoa watumishi wa kanisa waliokuwa
dhalimu,na kuwanyang’anya mali ambazo aliamini kwamba ndizo zilizokuwa chanzo cha
watumishi hao kuwa dhalimu. Alichapisha andiko lililoeleza maadili wanayotakiwa
kuwa nayo watumishi wa kanisa.
Alifundisha kwamba wakati viongozi wa kanisa wanapokuwa mafisadi serikali ilitakiwa
kuchukua mali zao na kuwapa watu wengine wenye nia ya kumtumikia Mungu. Katika
mwaka wa 1379 alianza kupinga dogma ya kanisa kwa kutoa madai yafuatayo;
Yesu pekee ndiye aliyekuwa kiongozi mkuu wa kanisa na si papa.
Biblia pekee ndio yenye mamlaka kuu na ya mwisho kwa waamini na si kanisa wala
papa.
Kanisa lilitakiwa kuiga mfano wa kanisa la agano jipya.
Kwa msaada wa tajiri Lord Cobham John Wikrif alitafsiri Biblia katika lugha ya
kiingereza na kuisambaza katika maeneo mbalimbali . Alianzisha chama cha Wahubiri
maskini na wakaanza kuzunguka katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo wakihubiri neno
la Mungu watu
Mwaka 1382 alipinga fundisho la mageuzo ya maumbo ya mwili na damu ya Yesu
linalojulikana kama transubstan-tiation. Mawazo yake yalipingwa vikali na kanisa na
serikali na akafukuzwa ukufunzi. Mwaka 1402 Bunge La Uingereza lilipitisha sheria ya
hukumu ya kifo kwa watu wanohubiri mafundisho kinyume na yale yaliyokubaliwa na
kanisa. Wahubiri maskini waliteswa vikali sana, baadhi walifungwa na kuchomwa moto
na kufukuzwa nchini. Viongozi wa kanisa walijaribu kuchoma moto Biblia zote za
Kiingereza. Wikrif alifariki mnamo mwaka 1384.
Shujaa huyu anakumbukwa sana katika historia ya kanisa kwa mchango wake wa kutafsiri
Biblia katika Lugha ya kiingereza. Wikrif ndiye mtu wa kwanza kutafsiri Biblia kwa lugha
ya kingereza.
3. JOHN HUS
Huyu alikuwa ni mkuu wa chuo kikuu cha Plague huko Bohemia, mtawa na padre wa
kanisa katoliki. Mwaka 1401 John Hus alipata upadrisho. Padre huyu alipendezwa na
42