21.03.2020 Views

HISTORIA YA KANISA I DBT 2019 PRINT

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

iv.

Kanisa lenye kusitawi {kukua}. Licha ya mateso yaliyolikumba kanisa, kanisa

liliendelea kukua kwa kasi. Kanisa lilikumbana na mateso makali chini ya

watawala mbalimbali wa Kirumi, lakini kanisa liliendelea kukabiliana na mateso

hayo na likawa tayari kuwapelekea watesi hao Injili ya uzima. Mateso

yalisababisha kanisa kukua na kuongezeka.

L. KUANDIKWA KWA AGANO JIPYA.

Hatuwezi kueleza kwa udhahiri au kikamilifu kwamba ni lini hili lilifanyika. Baadhi ya

vitabu kama vile nyaraka za Paulo zilikubaliwa kila mahali, wakati vingine kama vile

Waebrania, Yakobo na Ufunuo wa Yohana vilikubaliwa Mashariki peke yake na

kukataliwa Magharibi.

Kanisa la mashariki lilikubali baadhi ya vitabu ambavyo havipo katika Biblia. Baadhi ya

vitabu hivyo ni Waraka wa Balnaba, Mafundisho ya mitume kumi na wawali na Ufunuo

wa mtume Petro. Mabaraza yalikutana mara kwa mara ili kutambua ni vitabu gani

vilivyokuwa vimevuviwa na vipi havikuvuviwa. Inadhaniwa kwambaAgano jipya

halikutambuliwa rasmi mpaka baada ya mwaka 300AD.

MADA YA NNE

KIPINDI CHA PERGAMO

KANISA LA KIFAHARI/ KITAIFA.

A. UTANGULIZI.

KIPINDI: Toka tamko la amani la mfalme Kostantino (313 BK) hadi kuanguka kwa dola

ya Rumi mnamo mwaka 476 BK.

27

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!