Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
10. Yuda/Thadeo- mtume huyu alifanya huduma huko Uturuki, Iraq, Kuwait,
Syria, Iran, na Lebanon. Mtume huyu Aliuawa kwa kupigwa na mshale ubavuni.
11. Simon Mzerote-huyu alikuwa ni mmojawapo wa askari waasi waliokuwa
wanajitayarisha kwaajili ya kuipindua dola ya Rumi. Baada ya kukutana na
Yesu aliacha kazi ya uaskari na kuwa mwanafunzi wa Yesu. Simon mzerote
alifanya huduma katika nchi za Misri, Israel, Siria, Afrika Kaskazini Libya na
Uingereza. Simoni aliuawa kwa kusulubiwa baada ya kukataa kutoa dhabibu
kwa mungu jua.
1 2.Yuda Iskariote- alikuwa ni mtunza Hazina wa Huduma ya Yesu. Yuda
alimsaliti Yesu na kisha kujinyonga.
MADA YA TATU
KANISA LA SMIRNA (KIPINDI CHA MATESO)
KIPINDI CHA SMIRNA
A. UTANGULIZI.
15