21.03.2020 Views

HISTORIA YA KANISA I DBT 2019 PRINT

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

10. Yuda/Thadeo- mtume huyu alifanya huduma huko Uturuki, Iraq, Kuwait,

Syria, Iran, na Lebanon. Mtume huyu Aliuawa kwa kupigwa na mshale ubavuni.

11. Simon Mzerote-huyu alikuwa ni mmojawapo wa askari waasi waliokuwa

wanajitayarisha kwaajili ya kuipindua dola ya Rumi. Baada ya kukutana na

Yesu aliacha kazi ya uaskari na kuwa mwanafunzi wa Yesu. Simon mzerote

alifanya huduma katika nchi za Misri, Israel, Siria, Afrika Kaskazini Libya na

Uingereza. Simoni aliuawa kwa kusulubiwa baada ya kukataa kutoa dhabibu

kwa mungu jua.

1 2.Yuda Iskariote- alikuwa ni mtunza Hazina wa Huduma ya Yesu. Yuda

alimsaliti Yesu na kisha kujinyonga.

MADA YA TATU

KANISA LA SMIRNA (KIPINDI CHA MATESO)

KIPINDI CHA SMIRNA

A. UTANGULIZI.

15

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!