20.12.2015 Views

booknew

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

TAASISI YA ELIMU TANZANIA<br />

``<br />

KUSOMA NA KUANDIKA<br />

KITABU CHA MWALIMU DARASA LA KWANZA<br />

USER<br />

2014<br />

T E T . S . L . P 35094 - D A R ES S A L A A M


2014<br />

Yaliyom0<br />

Ukurasa<br />

SHUKURANI…………………………………………………………………………<br />

UTANGULIZI………………………………………………………………………..<br />

SURA<br />

KWANZA……………………………………………………………………<br />

YA<br />

2


KUSALIMIANA NA KUAGANA………………………………<br />

Somo la 1: Tusalimiane asubuhi…………………………………………………..<br />

Somo la 2: Tusalimiane mchana………………………………………………….<br />

Somo la 3: Tuagane………………………………………………………………………<br />

SURA YA PILI……………………………………………………………………………<br />

TUJITAMBULISHE…………………………………………………………………………<br />

Somo la 4: Tujitambulishe kwa majina…………………………………………<br />

Somo la 5: Tutambulishane………………………………………………………….<br />

SURA YA TATU…………………………………………………………………………<br />

TUTAJE MAJINA YA VITU MBALIMBALI………………………………………..<br />

Somo la 6: Tutaje vitu vilivyo karibu……………………………………………<br />

Somo la 7: Tutaje vitu vilivyo mbali…………………………………………….<br />

SURA YA NNE…………………………………………………………………………<br />

TUHESABU VITU………………………………………………………………………..<br />

Somo La 8: Tutaje vitu vinavyohesabika……………………………………..<br />

Somo la 9: Tutaje vitu visivyohesabika……………………………………….<br />

SURA YA TANO………………………………………………………………………<br />

TUOMBE KITU AU HUDUMA………………………………………………………<br />

Somo la 10: Tuombe kwa adabu………………………………………………..<br />

Somo la 11: Tukubali kwa adabu………………………………………………..<br />

Somo la 12: Tukatae kwa adabu…………………………………………<br />

Somo la 13: Tushukuru kwa adabu……………………………………<br />

Somo la 14: Tuombe radhi…………………………………………………<br />

SURA YA SITA…………………………………………………………………<br />

KUSOMA KWA UTAMBUZI NA KUANDIKA……………………………<br />

3


Herufi na silabi……………………………………………………………….<br />

Somo la 15: Irabu a ……………………………………………………………<br />

Somo la 16: Irabu e…………………………………………<br />

Somo la 17: Irabu i………………………………………….<br />

Somo la 18: Irabu o…………………………………………<br />

Somo la 19: Irabu u…………………………………………<br />

Somo la 20: Herufi b …………………………………………………………<br />

Somo la 21: Herufi ch ………………………<br />

Somo la 22: Herufi d……………………………………….<br />

Somo la 23: Herufi f………………………………………..<br />

Somo la 24: Herufi g………………………<br />

Somo la 25: Herufi h………………………………<br />

Somo la 26: Herufi j………………………………………..<br />

Somo la 27: Herufi k……………………………………….<br />

Somo la 28: Herufi l…………………………………………<br />

Somo la 29: Herufi m……………………………………….<br />

Somo la 30: Herufi n………………………………………..<br />

Somo la 31: Herufi p…………………………………………<br />

Somo la 32: Herufi r…………………………………………<br />

Somo la 33: Herufi s…………………………………………<br />

Somo la 34: Herufi t…………………………………………<br />

Somo la 35: Herufi v………………………………………..<br />

Somo la 36: Herufi w……………………………………….<br />

Somo la 37: Herufi y………………………………………..<br />

Somo la 38: Herufi z……………………………………….<br />

Herufi Mwambatano…………………………………………………….<br />

Somo la 39: Herufi bw………………………………………………………<br />

4


Somo la 40: Herufi chw……………………………………<br />

Somo la 41: Herufi dh……………………………………..<br />

Somo la 42: Herufi fy………………………………………<br />

Somo la 43: Herufi gw………………………………………………………<br />

Somo la 44: Herufi kw………………………………………………………<br />

Somo la 45: Herufi mb……………………………………..<br />

Somo la 46: Herufi mf………………………………………<br />

Somo la 47: Herufi mk………………………………………<br />

Somo la 48: Herufi ml……………………………………….<br />

Somo la 49: Herufi mp………………………………………<br />

Somo la 50: Herufi mt……………………………………….<br />

Somo la 51: Herufi mv………………………………………<br />

Somo la 52: Herufi mw……………………………………<br />

Somo la 53: Herufi mz…………………………………….<br />

Somo la 54: Herufi nd…………………………………….<br />

Somo la 55: Herufi ng…………………………………….<br />

Somo la 56: Herufi ng’……………………………………<br />

Somo la 57: Herufi ny…………………………………….<br />

Somo la 58: Herufi py…………………………………….<br />

Somo la 59: Herufi pw……………………………………<br />

Somo la 60: Herufi sh…………………………………….<br />

Somo la 61: Herufi sk…………………………………….<br />

Somo la 62: Herufi st……………………………………..<br />

Somo la 63: Herufi sw……………………………………<br />

Somo la 64: Herufi th…………………………………….<br />

Somo la 65: Herufi tw…………………………………….<br />

Somo la 66: Herufi vy…………………………………….<br />

5


Somo la 67: Herufi chw………………………………….<br />

Somo la 68: Herufi mbw…………………………………<br />

Somo la 69: Herufi ngw………………………………….<br />

Somo la 70: Herufi mpw…………………………………<br />

Somo la 71: Herufi nyw………………………………….<br />

KUSOMA NA KUANDIKA NAMBA<br />

Somo la 72: Kusoma na kuandika namba 0, 1, 2 …………………………………<br />

Somo la 73: Kusoma na kuandika namba 3, 4, 5……………………<br />

Somo la 74: Kusoma na kuandika namba 6, 7, 8, 9…………………<br />

Herufi kubwa na ndogo…………………………………….<br />

Somo la 75: Aa……………………………………………………….<br />

Somo la 76: Bb………………………………………………………..<br />

Somo la 77: Cc………………………………………………………..<br />

Somo la 78: Dd………………………………………………………..<br />

Somo la 79: Ee………………………………………………………..<br />

Somo la 80: Ff…………………………………………………………<br />

Somo la 81: Gg………………………………………………………..<br />

Somo la 82: Hh………………………………………………………..<br />

Somo la 83: Ii………………………………………………………….<br />

Somo la 84: Jj…………………………………………………………<br />

Somo la 85: Kk………………………………………………………..<br />

Somo la 86: Ll…………………………………………………………<br />

Somo la 87: Mm………………………………………………………<br />

Somo la 88: Nn………………………………………………………..<br />

Somo la 89: Oo……………………………………………………….<br />

Somo la 90: Pp…………………………………………………………<br />

6


Somo la 91: Rr…………………………………………………………<br />

Somo la 92: Ss………………………………………………….<br />

Somo la 93: Tt…………………………………………………..<br />

Somo la 94: Uu…………………………………………………<br />

Somo la 95: Vv…………………………………………………<br />

Somo la 96: Ww………………………………………………..<br />

Somo la 97: Yy…………………………………………………<br />

Somo la 98: Zz…………………………………………………<br />

SURA YA SABA……………………………………………..<br />

TUTOE NA TUTEKELEZE AMRI……………………….<br />

Somo la 99: Tutii amri………………………………………..<br />

SURA YA NANE………………………………………………………………….<br />

TUSIMULIE MATUKIO………………………………..<br />

Somo la 100: Matukio ya wakati uliopo……………………….<br />

Somo la 101: Matukio ya wakati uliopita……………………..<br />

SURA YA TISA………………………………………………………………………<br />

TUTAMBUE RANGI………………………………………………………………….<br />

Somo la 102: Tuzijue rangi…………………………………………………….<br />

Somo la 103: Tutumie rangi……………………………………………………<br />

SURA YA KUMI…………………………………………………………………….<br />

UFAHAMU………………………………………………………………………………<br />

Somo la 104: Kusoma kwa ufahamu………………………………………<br />

Somo la 105: Kusoma kwa burudani…………………………………….<br />

SURA YA KUMI NA MOJA<br />

TUJIELEZA KWA LUGHA YA KIFASIHI………………………………………………<br />

Somo la 106: Vitendawili……………………………………………………………….<br />

7


SHUKURANI<br />

Taasisi ya Elimu inawashukuru wafuatao kwa juhudi zao katika kuandaa kitabu hiki:<br />

Waandishi:<br />

Adelgot J.B. Mapunda…….Mkuza Mitaala, Taasisi ya Elimu Tanzania<br />

Safarani A. M. Kalole........Afisa Mitihani, Baraza la Mitihani Tanzania<br />

Theobald A. Mvungi……….Mkuza Mitaala Mstaafu, DSM<br />

Mhazili:<br />

Gladness M. Samiji<br />

Wasanii:<br />

Godwin Chipenya<br />

Idd Marumba<br />

Wapiga chapa……..?<br />

8


UTANGULIZI<br />

Madhumuni ya Kitabu hiki cha Kwanza cha Mwalimu ni kuwasaidia walimu na wakufunzi wa<br />

vyuo vya ualimu waweze kuwaongoza wanafunzi wao wapate maarifa na stadi za kusoma na<br />

kuandika. Stadi hizo ni muhimu katika ufundishaji wa lugha.<br />

Kimsingi mwanafunzi wa darasa la kwanza siku za awali inambidi aanze kwa kuyazoea<br />

mazingira ya shule. Katika sura ya kwanza mwalimu atawaongoza watoto katika matendo<br />

yafuatayo: Kusalimiana na kuagana, kujitambulisha na kutambulishana pia kuonesha vitu<br />

vilivyo karibu na vile vilivyo mbali. Baada ya hapo uandishi wa alfabeti na michoro utafuata na<br />

jinsi ya kuandika herufi ndogo na kubwa za alfabeti. Hatimaye wanafunzi watajifunza mambo<br />

mbalimbali kama ya hadithi na habari zinazoweza kuwajengea watoto maadili katika jamii yetu<br />

ya kitanzania.<br />

Mambo muhimu ya kuzingatia<br />

1. Mwongozo huu unakusudiwa kumsaidia mwalimu kufundisha kusoma na kuandika.<br />

Unampa mwalimu mbinu za kusoma na kuandika kwa kufuata hati ya wima yenye<br />

vikonyo. Mifano ya herufi hizo imeoneshwa kitabuni humu. Mwongozo huu unafuata<br />

mpangilio wa kufundisha kwa herufi moja moja za alfabeti. Herufi hutumika kama<br />

matofali ya kujengea nyumba. Tofali likiwa imara ndio na nyumba itakavyokuwa imara.<br />

Kwa hiyo lengo ni kumfundisha mwanafunzi amudu kutambua herufi na namba na<br />

kuziandika kwa hatua zilizooneshwa. Kila baada ya kufundisha herufi ya konsonanti,<br />

mwalimu unashauriwa ufundishe silabi zinazoendana nayo kwa kutumia irabu zote tano.<br />

2. Matumizi ya nomino za pekee yameelezwa kwa kuhusisha herufi kubwa. Ni muhimu<br />

mwalimu usisitize mambo haya.<br />

9


3. Mwanafunzi anatakiwa akae vizuri kitini ili aweze kuandika hati nzuri. Utaratibu huu<br />

hulinda afya yake pia. Pia mwanafunzi aelekezwe namna nzuri ya kushika kalamu. Ni<br />

muhimu sana mwanafunzi awe na vifaa hivi na umwelekeze jinsi ya kuvitumia: dawati,<br />

vibao vya kuandikia, daftari na kalamu.<br />

4. Ni lazima sana wanafunzi wapate mazoezi mengi ya kusoma na kuandika. Mazoezi haya<br />

yanaweza kuwa ya aina anuai. Kwa mfano kupanga herufi ili kupata maneno, kupanga<br />

sentensi ili kupata kifungu cha habari, kunakili kutoka ubaoni, imla, utungaji wa picha,<br />

kujibu maswali, kutunga sentensi, kuandika hadithi na nyinginezo. Ni muhimu uzingatie<br />

kuwa mazoezi yawe mafupi na yanayofurahisha wanafunzi.<br />

5. Katika sehemu ya Kusoma kwa ufahamu na Kusoma kwa burudani ni muhimu mwalimu<br />

uzingatie matumizi sahihi ya vituo ili kumjengea mwanafunzi matamshi na lafudhi<br />

sahihi ya Kiswahili.<br />

Kusalimiana na Kuagana<br />

Somo la 1: Tusalimiane asubuhi<br />

Sura ya Kwanza<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa usahihi katika muktadha wa kusalimiana na watu.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kujieleza katika muktaha wa kusalimiana na watu<br />

mbalimbali wakati wa asubuhi.<br />

Muda: Vipindi 5<br />

Zana/vifaa: Picha za kusalimiana za watu mbalimbali<br />

Hatua:<br />

1. Wapange wanafunzi kwenye mduara kisha uwaelekeze waimbe wimbo wa<br />

“Tuamkapo asubuhi tuwasalimu wazazi, shikamoo baba, shikamoo mama. Hiyo<br />

ndiyo tabia njema.<br />

2. Wachague baadhi yao waeleze jinsi wanavyowaamkia wazazi wao asubuhi.<br />

Pia baadhi yao waeleze jinsi wanavyosalimiana wenyewe kwa wenyewe.<br />

3. Waongoze wanafunzi kutazama picha za kusalimiana zilizo kwenye kitabu chao.<br />

4. Waongoze wanafunzi waigize kusalimiana kama ilivyoonyeshwa katika kitabu chao<br />

zoezi A.<br />

5. Waongoze wanafunzi wafanye mazoezi zaidi ya kusalimiana bila ya kuangalia vitabu<br />

vyao.<br />

Tafakuri: Waongoze wanafunzi wajibu maswali haya ya tafakuri:<br />

1. Kusalimiana kuna faida gani?<br />

2. Wewe umefaidikaje na somo hili?<br />

10


Somo la 2: Tusalimiane mchana<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa usahihi katika muktadha wa kusalimiana na watu.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kujieleza katika muktaha wa kusalimiana na watu<br />

mbalimbali wakati wa mchana.<br />

Muda: Vipindi 5<br />

Zana/vifaa: Picha za watu wa umri mbalimbali wakisalimiana.<br />

Hatua:<br />

2. Wasalimie wanafunzi kwa kusema: Habari za Mchana? Waelekeze wajibu. Ni nzuri,<br />

Shikamoo mwalimu.<br />

3. Itikia salamu kwa kusema Marahaba.<br />

4. Waongoze wanafunzi wasalimiane kwa kusema Habari za Mchana na kuitikia: Ni<br />

nzuri<br />

5. Waongoze wanafunzi watazame picha za kusalimiana wakati wa mchana zilizopo<br />

kwenye kitabu chao<br />

6. Waongoze wanafunzi waigize kusalimiana kama ilivyooneshwa katika kitabu chao zoezi<br />

B.<br />

7. Waongoze wanafunzi wafanye mazoezi zaidi ya kusalimiana mchana bila ya kuangalia<br />

vitabu vyao.<br />

Tafakuri: Katika somo lililopita tulijifunza kusalimiana asubuhi. Je, kuna tofauti gani na<br />

kusalimiana mchana?<br />

Somo la 3: Tusalimiane jioni<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa ufasaha katika muktadha wa kusalimiana na watu.<br />

Muda: Vipindi 5.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kujieleza katika muktaha wa kusalimiana na watu<br />

mbalimbali wakati wa jioni.<br />

Zana/vifaa: Picha za watu mbalimbali wanaosalimiana.<br />

Hatua:<br />

1. Wasalimie wanafunzi kwa kusema: Habari za jioni? Waelekeze Wajibu. Ni nzuri,<br />

Shikamoo mwalimu.<br />

2. Itikia salamu kwa kusema Marahaba.<br />

3. Waongoze wanafunzi wasalimiane kwa kusema Habari za jioni na kuitikia: Ni nzuri<br />

4. Waongoze wanafunzi watazame picha za kusalimiana wakati wa jioni zilizopo kwenye<br />

kitabu chao zoezi C<br />

5. Waongoze wanafunzi waigize kusalimiana kama ilivyooneshwa katika kitabu chao zoezi<br />

C.<br />

6. Waongoze wanafunzi wafanye mazoezi zaidi ya kusalimiana wakati wa jioni bila ya<br />

kuangalia vitabu vyao.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili. Unafikiria tendo la kusalimiana jioni linaanza<br />

muda gani?<br />

Somo la 4: Tuagane<br />

11


Ujuzi: Kujieleza kwa ufasaha katika kuagana na watu.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kujieleza katika kuaga.<br />

Kujieleza katika kuitikia anapoagwa.<br />

Muda: Vipindi 5<br />

Zana/vifaa: Picha za watu wanaoagana.<br />

Hatua:<br />

1. Wapange wanafunzi kwenye mduara kisha uwaelekeze waimbe wimbo wa<br />

“Kwaheri Mwalimu. Sasa ni saa ya kwenda kwetu………”<br />

2. Wachague baadhi yao waeleze jinsi wanavyowaaga wazazi wao.<br />

Pia baadhi yao waeleze jinsi wanavyoagana wenyewe kwa wenyewe.<br />

3. Waongoze wanafunzi watazame picha za kuagana zilizo kwenye kitabu chao.<br />

4. Waongoze wanafunzi waigize kuagana kama ilivyooneshwa katika kitabu chao<br />

zoezi D.<br />

5. Waongoze wanafunzi wafanye mazoezi zaidi ya kuagana bila ya kuangalia vitabu<br />

vyao.<br />

6. Fanya marudio na wanafunzi wako namna ya kusalimiana asubuhi, mchana, jioni<br />

na kisha kuagana kulingana na picha zilizooneshwa katika kitabu cha<br />

Mwanafunzi zoezi A, B, C na D. Wanafunzi wafanye marudio kwa kuonesha<br />

Vitendo.<br />

Waongoze wanafunzi watumie maneno haya katika kusalimiana<br />

Habari<br />

za<br />

asubuhi<br />

Shikamoo<br />

Umeshindaje Habari<br />

za<br />

mchana<br />

Habari<br />

za jioni<br />

Habari<br />

za usiku<br />

Umeamkaje<br />

Waongoze wanafunzi watumie maneno haya katika kuagana<br />

asubuhi<br />

njema,<br />

mchana<br />

mwema<br />

kazi<br />

njema<br />

jioni<br />

njema,<br />

kwaheri,<br />

usiku<br />

mwema<br />

lala<br />

salama,.<br />

usingizi<br />

mwema<br />

7. Wapime wanafunzi uelewa wao katika sura hii kwa kuwauliza maswali<br />

yafuatayo:<br />

a). Ni nani wanaoamkiwa shikamoo?<br />

b). Wazazi wanawasalimiaje watoto wao?<br />

c).Unamsalimiaje kaka asubuhi?<br />

d). Mwalimu anasalimiwaje?<br />

e). Unamsalimiaje rafiki yako mchana?<br />

f). mnamsalimiaje baba jioni?<br />

g). Unamuagaje mwalimu baada ya masomo?<br />

h). Unamuagaje baba yako mchana?<br />

i). Unamuagaje baba yako jioni?<br />

j). Kwa nini tunawasalimu wazazi wetu?<br />

12


Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili. Unafikiri kwa nini watu wanaagana?<br />

13


Sura ya pili<br />

TUJITAMBULISHE<br />

Somo la 1: Tujitambulishe kwa majina<br />

Ujuzi: Kujitambulisha kwa ufasaha.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kujitambulisha mwenyewe kwa mtu/ watu wengine.<br />

Muda: Vipindi 7<br />

Zana/vifaa: Picha za watu wanaotambulishana.<br />

Hatua:<br />

1. Waongoze wanafunzi waimbe wimbo wa: “Mwenzetu unaitwa nani? Naitwa<br />

Neema. Rafiki unaitwa nani? Ninaitwa Mapunda”.<br />

2. Wapange wanafunzi katika jozi kisha wajitambulishe kwa majina na sehemu<br />

wanazotoka..<br />

3.<br />

4. Rudia kuwaongoza hivyo mara nyingi hadi kila mwanafunzi aweze kujitambulisha<br />

kwa ufasaha na kwa kujiamini.<br />

5. Waongoze wanafunzi kuangalia picha katika vitabu vyao sura ya pili, na waigize<br />

matendo ya kujitambulisha yaliyopo katika picha hizo.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili. Kuna faida gani ya kujiambulisha?<br />

Somo la 2: Tutambulishane<br />

Ujuzi: Kuwatambulisha watu wengine kwa ufasaha na kwa kujiamini<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kumtambulisha mtu kwa watu wengine kwa ufasaha.<br />

Muda: Vipindi 7<br />

Zana/vifaa: Picha za watu wanaotambulishana.<br />

Hatua:<br />

1. Wapange wanafunzi katika jozi kisha kila mmoja amtambulishe mwenzake kwa jina.<br />

2. Waongoze baadhi ya wanafunzi waende mbele ya darasa na kujipanga katika<br />

makundi matatu ya wanafunzi watano watano.<br />

3. Waongoze wanafunzi mmoja mmoja kwa kila kundi awatambulishe wenzake kwa<br />

mwalimu akitaja jina.<br />

4. Rudia kuwaongoza hivyo mara nyingi hadi kila mwanafunzi aweze kuwatambulisha<br />

wengine kwa ufasaha na kwa kujiamini.<br />

5. Waongoze wanafunzi kuangalia picha katika vitabu vyao sura ya pili, na waigize<br />

matendo ya kuwatambulisha wengine yaliopo katika picha hizo.<br />

6. Waongoze wanafunzi wafanye mazoezi ya kutambulishana zaidi darasani. Wafanye<br />

kama mchezo ufuatao:<br />

14


Juma: Yule nani?<br />

Maria: John<br />

8. Mwalimu wapime wanafunzi uelewa wao katika somo hili kwa kuwauliza<br />

maswali kwa mfano:<br />

1. Mwalimu wenu anaitwa nani?<br />

2. Rafiki yako anaitwa nani?<br />

3. Wewe unaitwa nani?<br />

4. Unayekaa karibu naye darasani anaitwa nani?<br />

5. Dada yako anaitwa nani?<br />

6. Kaka yako anaitwa nani?<br />

Tafakuri: Mwalimu waongoze wanafunzi watafakari waliyojifunza katika somo hili kwa<br />

kuwauliza maswali. Kwa mfano, kuna faida gani kujua jina la mwenzako?<br />

15


Sura ya tatu<br />

TUTAJE MAJINA YA VITU MBALIMBALI<br />

Somo la 1: Tutaje vitu vilivyo karibu<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa kutaja majina ya vitu villivyo karibu.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kutambua vitu vilivyo karibu katika umoja na wingi.<br />

Muda: Vipindi 7<br />

Zana/vifaa: viti, meza, madawati, kalamu, chaki na ubao<br />

Hatua:<br />

1. Waongoze wanafunzi waoneshe vitu vilivyo karibu nao. Waongoze wavitaje vitu<br />

hivyo katika umoja na wingi.<br />

2. Waongoze wanafunzi wachache waende mbele ya darasa na kujipanga katika<br />

makundi ya wanafunzi watano watano. Kisha waongoze kila mwanakikundi ataje<br />

vitu vilivyo nyumbani kwao.<br />

3. Waongoze wanafunzi waangalie picha katika vitabu vyao sura ya tatu zoezi A<br />

kuhusu vitu vilivyo karibu.<br />

4. Wanafunzi wajibu kwa mdomo maswali yaliyo chini ya picha hizo.<br />

5. Waongoze wanafunzi wafanye mazoezi ya marudio ya kutaja vitu vilivyo karibu<br />

darasani mwao. Vitu hivyo ni kama; vitabu, madawati, rula, chaki na ubao wa<br />

mwalimu.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili. Je, unafurahia kujua majina ya vitu mbalimbali?<br />

Somo la 2: Tutaje vitu vilivyo mbali<br />

Ujuzi: Kujieleza katika umoja na wingi kwa vitu vilivyo karibu.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kutambua vitu vilivyo mbali katika umoja na wingi.<br />

Muda: Vipindi 7<br />

Zana/vifaa: Kadi mbalimbali zilizochorwa picha zinazoonesha vitu vilivyo mbali nje ya darasa<br />

kama miti, milima, barabara, mawe, ua na maua.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe kisha waongoze wanafunzi wataje majina ya vitu mbalimbali<br />

vilivyochorwa katika kadi.<br />

2. Wapange wanafunzi katika makundi ya watano watano kisha watoke nje ya darasa na<br />

kuangalia vitu mbalimbali kama miti, majani, maua na kadhalika.wazunguke<br />

walivyoona. .<br />

3.<br />

3. 3.Baada ya kurudi darasani mwanafunzi mmoja baada ya mwingine aoneshe kitu<br />

kimoja anachokiona nje ya darasa, Kwa mfano zile ni kamba, ile ni miti.<br />

16


4. 4. Waongoze wanafunzi kuangalia picha katika vitabu vyao, sura ya tatu zoezi B<br />

kuhusu vitu vilivyo mbali.<br />

5. 5.Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya tatu zoezi A na B kisha wajibu<br />

kwa mdomo maswali yafuatayo.<br />

a. Kitabu hiki kina rangi gani?<br />

b. Kisu kina kazi gani?<br />

c. Lile gari lina rangi gani?<br />

d. Mbele ya Mlima Kilimanjaro kuna nini?<br />

e. Vile vitunguu ni vingapi?<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili.Ni nini kilichokufurahisha katika somo hili?<br />

17


TUHESABU VITU<br />

Somo la 1: Tutaje vitu vinavyohesabika<br />

sura ya NNE<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa ufasaha katika kueleza vitu<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze: a). Kutaja vitu mbalimbali vinavyohesabika.<br />

b). Kuhesabu kwa usahihi vitu mbalimbali.<br />

Muda: Vipindi 12<br />

Zana/vifaa: Kadi mbalimbali zilizochorwa picha zinazoonyesha vitu vinavyohesabika kama vile<br />

kalamu, karatasi, kikombe, mayai, shati, gauni, daftari, dawati na kadhalika<br />

Hatua:<br />

1. Waongoze wanafunzi wataje majina ya vitu mbalimbali vinavyohesabika<br />

vilivyochorwa katika kadi.<br />

2. Waoneshe wanafunzi vitu kama kalamu, karatasi, kikombe, mayai, shati, gauni,<br />

daftari, dawati kisha waulize kama vinaweza kuhesabika kwa mfano Je, tunaweza<br />

kuhesabu kalamu?<br />

3. Muite mwanafunzi mmoja mmoja apite mbele ya darasa na kuhesabu vitu hivyo.<br />

4. Waongoze wanafunzi mmoja baada ya mwingine aoneshe kitu kimoja anachokiona<br />

ndani ya darasa ambacho kinahesabika.<br />

5. Rudia kuwaongoza wanafunzi kutaja vitu vinavyohesabika hadi mwanafunzi wote<br />

waweze kuvitaja kwa usahihi na kwa kujiamini.<br />

6. Waongoze wanafunzi kuangalia picha katika vitabu vyao sura ya nne zoezi A kuhusu<br />

vitu vinavyohesabika.<br />

7. Wanafunzi wajibu kwa mdomo maswali yaliyo chini ya picha za zoezi A.Wanafunzi<br />

warudie kufanya mazoezi katika kujibu maswali hayo mpaka kila mmoja wao<br />

ayamudu vizuri.<br />

18


8. Warejeshe wanafunzi katika mazungumzo mafupi yaliyo katika vitabu vyao sura ya<br />

nne zoezi A la vitu vinavyohesabika. Waongoze wanafunzi wayaigize.<br />

9. Waongoze wanafunzi wajibu maswali yafuatayo wakizingatia vitabu vyao sura ya<br />

nne zoezi A sehemu za vitu vinavyohesabika.<br />

Tafakuri: Waongoze wanafunzi watafakari walichojifunza katika somo hili kwa<br />

kuwauliza maswali. Kwa mfano,ukijua kuhesabu vitu unapata faida gani?<br />

Somo la 2: Tutaje vitu visivyohesabika<br />

Ujuzi: Kujieleza katika kutaja vitu visivyohesabika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kutaja majina ya vitu visivyohesabika.<br />

Muda: Vipindi 13<br />

Zana/vifaa: Kadi mbalimbali zilizochorwa picha zinazoonesha vitu visivyohesabika:<br />

maji, maziwa, sukari, mchanga, wino, unga na kadhalika<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi zilizochorwa vitu visivyohesabika kisha wataje majina ya<br />

vitu hivyo.<br />

2. Waongoze wanafunzi wataje vitu vingine visivyohesabika vilivyopo katika mazingira<br />

ya shuleni na nyumbani.<br />

3. Waongoze wanafunzi kuangalia picha katika vitabu vyao sura ya nne zoezi B kuhusu<br />

vitu visivyohesabika.<br />

4. Kisha waongoze wajibu kwa mdomo maswali yaliyo chini ya picha hizo.Wanafunzi<br />

warudie kufanya mazoezi katika kujibu maswali hayo mpaka kila mmoja wao<br />

ayamudu vizuri.<br />

5. Waongoze wanafunzi wafanye mazoezi yafuatayo kwa ukizingatia picha zilizo<br />

katika kitabu cha mwanafunzu sura ya nne zoezi A na B kuhusu vitu vinavyohesabika<br />

na visivyohesabika.<br />

a. Darasani kwenu kuna madawati mangapi?<br />

b.<br />

c. Unaweza kula samaki wangapi?<br />

d.<br />

e. Una madaftari mangapi?<br />

f. Una kalamu ngapi?<br />

g. Darasani kwenu kuna mbao ngapi za kuandikia?<br />

h. Pale sokoni kwenu kuna maduka mangapi?<br />

i. Unapenda kunywa vikombe vingapi vya chai?<br />

Tafakuri: Mwalimu waulize wanafunzi swali hili. Je, umelifurahia somo hili? Kitu<br />

gani kimekufurahisha? Sehemu gani hukuilewa vizuri?.<br />

19


Sura ya tano<br />

Tuombe kitu au huduma<br />

Somo la 1: Tuombe kwa adabu<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa ufasaha katika kuomba kitu kwa adamu.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuomba kitu kwa adabu.<br />

Muda: Vipindi 6<br />

Zana/vifaa: Kadi mbalimbali zilizochorwa picha zinazoonyesha matendo mbalimbali ya<br />

wanafunzi wakiomba vitu kwa adabu. Matendo hayo ni kama:<br />

Msichana anamwomba chakula mama yake.<br />

Mvulana anamwomba baba yake amnunulie kitabu.<br />

Hatua:<br />

1. Waulize wanafunzi, unapotaka kuomba kalamu, kitabu au chakula unasemaje?<br />

2. Wapange wanafunzi kutika jozi kisha waigize namna ya kuombana vitu mbalimbali<br />

kwa adabu.<br />

3. .<br />

4.<br />

3. Wabadilishe wanafunzi katika jozi ili waunde jozi nyingine kisha waendelee na zoezi<br />

hilo la kuombana vitu au huduma mbalimbali kwa adabu. Mwanafunzi mmoja<br />

amwombe mwenzake amuokotee kalamu au<br />

amchane nywele<br />

4.<br />

4.Waongoze wanafunzi kuangalia picha katika vitabu vyao sura ya tano zoezi A<br />

kuhusu kuomba vitu au huduma kwa adabu.<br />

5. Waongoze wanafunzi waigize matendo yaliyopo katika picha hizo.Wanafunzi<br />

warudie kufanya matendo ya kuigiza mpaka kila mmoja wao ayamudu vizuri.<br />

6. Waongoze wanafunzi watazame kadi zinazoonesha matendo mbalimbali ya<br />

wanafunzi wakiomba vitu kwa adabu<br />

7.<br />

Tafakuri: Mwalimu waulize wanafunzi swali hili.Kwa nini tunaomba kitu kwa adabu?<br />

Somo la 2: Tukubali kwa adabu<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa ufasaha katika kukubali kitu kwa adamu<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kukubali kitu au huduma kwa adabu.<br />

Muda: Vipindi 6<br />

Zana: Kadi mbalimbali zilizochorwa picha zinazoonesha matendo ya kukubali kwa adabu. Kadi<br />

ioneshe matendo kama hivi: Juma akipokea kitabu kwa adabu kutoka kwa mwalimu.<br />

Roza akipokea zawadi kwa adabu.kutoka kwa<br />

shangazi<br />

20


Hatua:<br />

1. Waulize wanafunzi, unapopewa zawadi na kukubali kuipokea unafanyaje?<br />

2. Wapange wanafunzi katika jozi.<br />

3. Waongoze wanafunzi waigize kukubali kitu au huduma kwa adabu.<br />

4. Wapange wanafunzi katika jozi kisha waigize namna ya kukubali kitu au huduma kwa adabu.<br />

4. Waongoze wanafunzi kuangalia picha katika vitabu vyao sura ya tano kuhusu zoezi B<br />

kuhusu kukubali vitu au huduma kwa adabu.<br />

5. Waongoze wanafunzi waigize matendo yaliyomo katika picha za zoezi B .<br />

6. Wanafunzi warudie kufanya matendo ya kuigiza mpaka kila mmoja wao ayamudu vizuri.<br />

7. Waongoze wanafunzi watazame kadi zinazoonesha matendo ya kukubali kwa adabu kisha<br />

waigize matendo yaliyo katika kadi hizo.<br />

8.<br />

9.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili Je unafurahia mtu akikubali kitu kwa adabu?<br />

Somo la 3: Tukatae kwa adabu<br />

Somo la 3: Tukataa kwa adabu<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa ufasaha katika kukataa kitu au huduma kwa adamu<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kukataa kitu au huduma kwa adabu.<br />

Muda: Vipindi 6<br />

Zana/vifaa: Kadi mbalimbali zilizochorwa picha zinazoonesha matendo ya kukataa kwa adabu.<br />

Matendo kama: Mvulana anakataa kupokea sahani ya matunda kwa kuonesha<br />

viganja. Msichana anakaribishwa soda na mvulana lakini anaikataa kwa adabu.<br />

Hatua:<br />

1. Waulize wanafunzi, unapokataa kitu unasemaje?<br />

2. Wapange wanafunzi kwa jozi darasani<br />

3. Waongoze wanafunzi katika jozi wachunguze picha zilizo kwenye kadikisha waigize<br />

matendo yatokanayo na kadi hizo wakitumia maneno kama samahani, sihitaji, nimetosheka,<br />

nimeshahudumiwa na kadhalika.<br />

4. Waongoze wanafunzi kuangalia picha katika vitabu vyao sura ya tano zoezi C kuhusu<br />

kukataa vitu au huduma kwa adabu kisha waigize matendo ya picha hizo.<br />

5. .Wanafunzi warudie kufanya matendo ya kuigiza mpaka kila mmoja wao ayamudu vizuri.<br />

6. Mwalimu tunga wimbo au dayolojia inayohusu kukataa kwa adabu kisha wanafunzi<br />

waimbe au kuigiza<br />

Tafakuri: Mwalimu waulize wanafunzi Je, unaweza kukataa kwa adabu? Onesha namna<br />

21


unavyoweza kukataa kwa adabu?<br />

Somo la 4: Tushukuru kwa adabu<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa ufasaha katika kushukuru kwa adamu.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kushukuru kwa adabu.<br />

Muda: Vipindi 6<br />

Zana/vifaa: Kadi mbalimbali zilizochorwa picha zinazoonesha matendo ya kushukuru kwa<br />

adabu. Matendo hayo ni kama; mtoto anamshukuru mama yake baada ya kula. Babu<br />

anamshukuru mjukuu kwa kumpa fedha.<br />

Hatua:<br />

1. Waulize wanafunzi, unapopewa zawadi unasemaje?<br />

2. Wapange wanafunzi katika jozi kisha wachunguze picha zilizo kwenye kadi na waigize<br />

matendo yatokanayo na kadi hizo wakitumia maneno kama asanteni sana, nashukuru,<br />

ahsante kwa kushukuru na kadhalika<br />

3.<br />

4.<br />

5. Waongoze wanafunzi kuangalia picha katika vitabu vyao sura ya tano zoezi D kuhusu somo<br />

la kushukuru kwa adabu<br />

6. Waongoze wanafunzi waigize matendo yaliyomo katika picha hizo.Wanafunzi warudie<br />

kufanya matendo ya kuigiza mpaka kila mmoja wao ayamudu vizuri.<br />

7. Mwalimu tunga wimbo au mazungumzo yanayohusu kushukuru kwa adabu kisha<br />

wanafunzi waimbe au waigize mazungumzo hayo..<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili.Unawashukuruje wazazi wako wanapokupa zawadi?<br />

NIMEKOMEA HAPA KWA LEO<br />

Somo la 5: Tuombe Radhi<br />

Ujuzi: Kujieleza kwa ufasaha katika kuomba radhi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuomba radhi kwa ufasaha..<br />

Muda: Vipindi 6<br />

Zana: Kadi mbalimbali zilizochorwa picha zinazoonesha matendo mbalimbali ya kuomba<br />

radhi. Kwa mfano: Mwanafunzi msichana anaomba radhi kwa mwalimu kwa<br />

kutohudhuria masomo kwa sababu ya kuumwa.<br />

Mfanyakazi mwanamume anaomba radhi kwa mwajiri wake kwa kuchelewa kufika<br />

kazini<br />

1. Hatua: Waulize wanafunzi, unapotaka kuomba radhi unasemaje?<br />

2. Wapange wanafunzi katika jozi kisha wachunguze picha zilizochorwa kwenye kadi<br />

zinazoonesha matendo mbalimbali ya kuomba radhi<br />

22


3. .<br />

4. Waongoze wanafunzi waigize matendo yaliyomo katika kadi hizo wakitumia maneno kama<br />

Samahani, naomba radhi, naomba nisamehe na kadhalika.<br />

5. Waongoze wanafunzi watazame picha katika vitabu vyao sura ya tano zoezi E kuhusu<br />

kuomba radhi.<br />

6. Waongoze waigize matendo yalio katika picha hizo.<br />

7. Wanafunzi warudie kufanya matendo ya kuigiza mpaka kila mmoja wao ayamudu vizuri.<br />

8. Mwalimu, tunga wimbo au mazungumzo yanayohusu kuomba radhi ili wanafunzi<br />

wayaigize.<br />

9. Waongoze wanafunzi wafanye zoezi F la marudio lililomo katika sura ya tano ili waweze<br />

kufanya marudio ya kuomba kitu au huduma kwa adabu, kukubali kwa adabu, kukataa kwa<br />

adabu, kushukuru kwa adabu na kuomba radhi kwa ufasaha..<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi maswali ili aweze kutafakari waliyojifunza katika somo hili.<br />

Kwa mfano, kumwomba mwenzako radhi kuna faida gani?<br />

23


Kusoma Kwa Utambuzi Na Kuandika<br />

Sura ya sita<br />

Somo la 1 a): Kusoma irabu a:<br />

Ujuzi: Kusoma herufi usahihi na kwa utambuzi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi a<br />

Muda: vipindi 2<br />

Zana: Kadi za herufi a na picha ya birika.<br />

Chora irabu hizi kwa kufuata zilivyoandikwa katika:Kitabu cha Kufundishia Kusoma na<br />

Kuandika, TPH<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi a ubaoni.<br />

2. Isome hiyo herufi zaidi ya mara nne a a a a a ………..<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi a kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe unavyosoma,<br />

kwa safu na kisha mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi anaweza kuitambua<br />

vizuri herufi hiyo.<br />

8. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi a kwenye kadi hizo, baadaye<br />

iliyochorwa kikombe.<br />

9. Andika ubaoni herufi a nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome a hizo kwa pamoja, kwa vikundi na kisha mmoja mmoja<br />

Somo la 1 (b): Kuandika irabu a<br />

Ujuzi: kuandika herufi kwa usahihi Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi a kwa hati ya<br />

chapa yenye vikonyo.<br />

Muda: Kipindi 3<br />

Zana: Vijiti, kalamu, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro huu ubaoni.<br />

Mchoro wa herufi a<br />

aaaaaaaaaaaaaaaaaaa<br />

24


2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani kwa kutumia penseli..<br />

3. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia vijiti.<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Kila mwanafunzi apewe kibao cha kuandikia kisha achore mchoro huo kwenye kibao kwa<br />

kutumia chaki.<br />

6. Waelekeze wanafunzi namna ya kushika penseli kwa usahihi.<br />

7. Wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na mwalimu apite akiwasaidia<br />

namna ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika kalamu<br />

(c) Kuchora<br />

8. Fuatisha herufi a kwa kurudia mchoro<br />

(Mchoro wa herufi a)<br />

10. Waongoze wanafunzi waandike herufi a ikiwa peke yake bila kuwa kwenye mchoro.<br />

11. Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi a kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili. Kitu gani kimekufurahisha katika kujifunza<br />

kuandika herufu a ?<br />

Somo la 2 (a): Kusoma irabu e<br />

Ujuzi: Kusoma kwa usahihi na kwa utambuzi .<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi e<br />

Muda: Kipindi 2<br />

ZanaVifaa: Kadi za herufi e na picha ya pete<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi e ubaoni.<br />

2. Isome hiyo herufi zaidi ya mara nne e e e e e ……..<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi e kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma, kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi anaweza kuitambua<br />

vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi e kwenye kadi hizo.<br />

6. Andika ubaoni herufi e nyingi za ukubwa tofauti kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome e hizo kwa pamoja, kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

25


Somo la 2 (b): Kuandika irabu e.<br />

Ujuzi: Kuandika he<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi e kwa hati ya chapa yenye vikonyo.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana/vifaa: Vijiti, kalamu, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro huu ubaoni<br />

Mchoro wa herufi e<br />

eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha kuandika mchoro huo hewani kwa kutumia penseli.<br />

3. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia vijiti.<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Waongoze wanafunzi waandike herufi e kwenye vibao vyao. Pia wajaze vibao vyao kwa<br />

kuandika herufi hiyo.<br />

6. Wanafunzi wafuatishe mchoro huo madaftarini mwao na mwalimu apite akiwasaidia namna<br />

ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika kalamu<br />

(c) Kuchora<br />

(Mchoro wa herufi e)<br />

10. Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi e kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

Tafakuri: Kwa nini herufi e inafananishwa na umbo la embe?<br />

Somo la 3 (a): Kusoma irabu i<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi i<br />

Muda: Kipindi 2<br />

Zana: Kadi za herufi i na picha ya fimbo<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi i.<br />

2. Isome hiyo herufi zaidi ya mara nne i i i i i ……<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi i kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi kwenye kadi hizo.<br />

6. Andika ubaoni herufi nyingi za ukubwa tofauti kwa kutumia chaki za rangi mbalimbali.<br />

26


7. Waongoze wanafunzi wasome i hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

Somo la 3 (b): Kuandika irabu i<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi i kwa hati ya chapa yenye vikonyo.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: vijiti, kalamu, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro huu ubaoni<br />

Mchoro wa herufi i<br />

iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii<br />

2. Rudia michoro iliyoonyeshwa hapo juu kwa kuiandika hewani, mchangani, ukisema kwa<br />

Kwa sauti “chini, panda juu chini panda juu”<br />

“Nukta, nukta, nukta”……………………………<br />

4. Baada ya kurudi darasani rudia tena kuandika mchoro huo huo ubaoni, wanafunzi wote<br />

wafuatishe hewani wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Wanafunzi wafuatishe mchoro huo madaftarini mwao na mwalimu apite akiwasaidia namna<br />

ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika kalamu<br />

(c) Kuchora<br />

6. Fundisha herufii kwa kurudia michoro<br />

(Michoro ya herufi i)<br />

7.Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi i kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

Somo la 4 (a): Kusoma irabu O<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi na picha ya mpira<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi<br />

2. Isome hiyo herufi zaidi ya mara nne<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

27


4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi anaweza kuitambua<br />

vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi kwenye kadi hizo.<br />

6. Andika ubaoni herufi nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

Somo la 18(b): Kuandika irabu<br />

Ujuzi: kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: vijiti, kalamu, vibao.<br />

Hatua:<br />

kwa hati ya chapa yenye vikonyo.<br />

1. Andika mchoro huu ubaoni<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha kuandika mchoro huo hewani kwa kutumia kalamu.<br />

3. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia kijiti.<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na mwalimu apite akiwasaidia<br />

namnaya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika kalamu<br />

(c) Kuchora<br />

6. Fundisha herufi kwa kurudia mchoro<br />

(Mchoro wa herufi<br />

7.Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili.Kuna tofauti gani katika kuandika herufi e na herufi O.<br />

Somo la 5 (a): Kusoma irabu u<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi u<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za herufi u na picha ya kikombe<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi u<br />

2. Isome hiyo herufi zaidi ya mara nne u u u u<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi u kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

28


4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi anaweza kuitambua<br />

vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waonyeshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi kwenye kadi hizo.<br />

6. Andika ubaoni herufi nyingi za ukubwa mbalimbali kutumia chaki za rangi mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome u katika vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Andika maneno yafuatayo ubaoni kisha wanafunzi wayasome mmojammoja na katika vikundi<br />

ua, au oa<br />

Somo la 5 (b): Kuandika irabu u<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi u kwa hati ya chapa yenye vikonyo.<br />

Muda: kipindi 1.<br />

Zana: vijiti, kalamu, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro huu ubaoni<br />

Mchoro wa herufi u<br />

2. Rudia michoro iliyoonyeshwa hapo juu kwa kuiandika hewani kisha mchangani<br />

“<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na mwalimu apite akiwasaidia<br />

namna ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika kalamu<br />

(c) Kuchora<br />

6. Fundisha herufi u kwa kurudia mchoro<br />

(Mchoro wa herufi u<br />

7. Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi u kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

Marudio ya herufi zilizofundishwa<br />

a e i o u<br />

Tunga wimbo wowote unaohusiana na irabu na kuunda sauti kama ufuatao:<br />

Wimbo wa irabu<br />

1. Hiyo ndiyo a<br />

a a a<br />

29


iko kama birika<br />

a a a<br />

2. Hiyo ndiyo e<br />

e e e<br />

iko kama pete<br />

e e e<br />

3. Hii ndiyo i<br />

i<br />

i i<br />

iko kama fimbo<br />

i<br />

i i<br />

3. Hii ndiyo o<br />

o o o<br />

iko kama mpira<br />

o o o<br />

3. Hii ndiyo u<br />

u<br />

u u<br />

iko kama kikombe<br />

u u u<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili.Kitu gani kimekufurahisha katika somo hili. Ni<br />

sehemu gani ambayo hukuielewa?<br />

Somo la 6 (a): Kusoma herufi b<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Kusudi: Mwanafunzi aweze kusoma herufi b<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Vifaa: Kadi za herufi b<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi b<br />

2. Isome hiyo herufi zaidi ya mara nne b b b b……………<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi b kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

30


unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi anaweza kuitambua<br />

vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waonyeshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi b kwenye kadi hizo.<br />

6. Andika ubaoni herufi b nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome b hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Andika silabi zifuatazo ba be bi bo bu kisha wanafunzi wazizome kwa sauti mmoja mmoja<br />

na katika vikundi.<br />

Somo la 6 (b): Kuandika herufi b<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi b<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Vijiti, penseli, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro huu ubaoni<br />

Mchoro wa herifi b<br />

b b b b b b b b b b b b b b b b b b<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha kuandika mchoro huo hewani kwa kutumia penseli.<br />

3. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia kijiti.<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na mwalimu apite akiwasaidia<br />

namna ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika kalamu<br />

(c) Kuchora<br />

6. Fuatisha herufi b kwa kurudia mchoro.<br />

(Mchoro wa herufi b)<br />

7. Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi b kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

Marudio ya herufi zilizofundishwa<br />

a e i o u b<br />

bibo bei bia bao bua iba boa bibi aibu bubu<br />

Wanafunzi waorodheshe maneno zaidi wanayoyajua katika madaftari yao.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili. Herufi b unaweza kuifananisha na kitu gani?<br />

31


Somo la 7 (a): Kusoma herufi ch<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi Ch<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana/Vifaa: Kadi za herufi Ch na Kadi za silabi cha che chi cho chu<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi Ch<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne Ch Ch Ch Ch………….<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi Ch kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuzisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waonyeshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi Ch kwenye kadi hizo. Kisha<br />

waelekeza wazisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

6. Wape wanafunzi kadi za silabi cha, che, chi, cho, chu kisha waelekeze wazisome kwa sauti<br />

mmoja mmoja.<br />

7. Andika ubaoni maneno haya kisha waongoze wanafunzi wayasome mmoja mmoja:<br />

chai, cheche, chui, chache, acha, choo, chachu<br />

12. Waongoze wanafunzi wachunguze picha zipi?...... na kisha waongoze wasome maneno<br />

yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Somo la 7 (b): Kuandika herufi ch<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi Ch<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi Ch, vibao<br />

Hatua:<br />

1. Waongoze wanafunzi wachore mchoro wa ch kwa kuanza na hatua ya hewani na kisha<br />

vibaoni mwao.<br />

2. Mwalimu aandike michoro ifuatayo ubaoni.<br />

cccccccccccccccccccccccccccccccccccccccccccccccccc<br />

C C C C C C C C C C C C C C C C C C C<br />

3. Endelea kufundisha mchoro ufuatao ubaoni.<br />

32


h<br />

h h h h h h h h h h h h<br />

4. Mwalimu awaongoze wanafunzi kufuatisha michoro hiyo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

5. Waongoze wanafunzi wanakili kwenye madaftari yao michoro iliyopo ubaoni kujaza ukurasa.<br />

6. Waelekeze wanafunzi waandike herufi Ch ubaoni kwa kufuata hatua zifuatazo<br />

Ch Ch Ch Ch Ch Ch Ch Ch Ch Ch Ch Ch Ch Ch<br />

7. Wanafunzi wafanye mazoezi ya kuandika herufu Ch kujaza mistari miwili.<br />

8. Waongoze wanafunzi waandike silabi cha, Che, Chi, Cho, chu kwenye vibao vyao. Kila<br />

silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

9. Waongoze warudie kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi<br />

ameweza kuitambua na kuiandika vizuri silabi hiyo.<br />

13. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2). Waongoze wachunguze picha na<br />

waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo kwa kujaza nafasi.<br />

Tafakuri: Taja maneno mengine matatu yanayoanza na ch.<br />

Somo la 8 (a): Kusoma herufi d<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi d<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za herufi d na kadi za silabi za da de di do du<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi d<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne d d d d…………<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi d kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi d kwenye kadi hizo. Kisha<br />

waelekeze wazisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi d nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome d hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi da de di do du kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu sura ya sita (6.2). Kisha wachunguze picha na wasome<br />

kwa sauti mmoja mmoja majina yaliyo chini ya picha hizo.<br />

33


Somo la 8 (b): Kuandika herufi d<br />

Ujuzi: kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi d<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Vijiti, penseli, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro huu ubaoni<br />

Mchoro wa herifi d<br />

ddddddddddddddddddddddddddddd<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha kuandika mchoro huo hewani kwa kutumia penseli.<br />

3. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia vijiti.<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na mwalimu upite ukiwaelekeza<br />

namna ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika kalamu<br />

(c) Kuchora<br />

(Mchoro wa herufi d)<br />

6. Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi d kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

7. Waongoze wanafunzi waandike silabi da de di do du kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

8. Waelekeze wanafunzi waandike silabi na maneno yafuatayo: madaftarini mwao<br />

Marudio ya herufi zilizofundishwa<br />

da de di do du<br />

dada debe dobi dua ibua bibi abudu bubu<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili.D inatifautianaje na b?<br />

Somo la 9 (a): Kusoma herufi f<br />

34


Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi f<br />

Muda: kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za herufi f kadi za silabi za fa, fe, fi, fo, fu<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi f<br />

2. Isome kwa utaratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne f f f f…………………..<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi f kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi f kwenye kadi hizo. Kisha<br />

waelekeze wazisome kwa sauti kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi f nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome f hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi fa fe fi fo fu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) kisha wachunguze picha na<br />

wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Somo la 9 (b): Kuandika herufi f<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi f<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Vijiti, penseli, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa f ubaoni<br />

Mchoro wa herifi f<br />

f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f f<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha kuandika mchoro huo hewani kwa kutumia penseli.<br />

3. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia vijiti.<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Waongoze wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na upite ukiwaelekeza<br />

Namna ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika pensili<br />

(c) Kuchora<br />

(Mchoro wa herufi f)<br />

35


6. Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi f kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

7. Waongoze wanafunzi waandike silabi fa fe fi fo fu kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

8. Waelekeze wanafunzi wanakili silabi na maneno yafuatayo:<br />

Marudio ya herufi zilizofundishwa<br />

a e i o u<br />

b ch d e f<br />

dafu fua bafu adui fofofo dau doa cheo udi chui<br />

Tafakuri: Kwa nini herufi f inafananishwa na bakora?<br />

Somo la 10 (a): Kusoma herufi g<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi g<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi g na kadi za silabi ga ge gi go gu<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi g ubaoni<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne g g g g………..<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi g kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi g kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi g nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome g hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi ga ge gi go gu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) kisha wachunguze picha na<br />

wasome kwa sauti maneno yaliyo chini ya picha hizo<br />

Somo la 10 (b): Kuandika herufi g<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi g.<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Vijiti, penseli, vibao.<br />

36


Hatua:<br />

1. Andika mchoro g ubaoni.<br />

Mchoro wa herifi g<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha kuandika mchoro huo hewani kwa kutumia penseli.<br />

3. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia vijiti.<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na upitie ukiwaelekeza<br />

namna ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika penseli<br />

(c) Kuchora<br />

(Mchoro wa herufi g)<br />

6. Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi g kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

7. Wape wanafunzi kadi za silabi ga ge gi go gu kisha waelekeze waziandike kwenye vibao<br />

vyao. Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

8. Warejeshe wanafunzi kwenye vitabu vyao sura ya sita (6.2) kisha wachunguze picha na<br />

waandike majina ya vitu vilivyo kwenye picha hizo.<br />

9. Waelekeze wanafunzi wanakili kwenye madaftari yao maneno yaliyo kwenye jedwali<br />

lifuatalo:<br />

gogo gego iga figo dogo<br />

gofu figa fagio fua dafu<br />

Tafakuri: Taja maneno matatu mengine ambayo yanaweza kuundwa na herufi g.<br />

Somo la 11 (a): Kusoma herufi h<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi h<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za herufi h na za silabi ha, he, hi ho hu<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi h ubaoni.<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne h h h h ………..<br />

3. Waongoze wanafunzi wasoma herufi h kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

37


unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi h. Kisha waelekeze wazisome<br />

kwa sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi h nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome hizo h kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi ha he hi ho hu kisha waelekeze wazisome kwa sauti<br />

mmoja mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi kwenye vitabu vyao sura ya sita (6.2) kisha wachunguze picha na<br />

wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Somo la 11 (b): Kuandika herufi h<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi h<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: vijiti, penseli, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa h ubaoni.<br />

Mchoro wa herifi h<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha kuandika mchoro huo hewani kwa kutumia penseli.<br />

3. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia vijiti.<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Waongoze wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na upite ukiwaelekeza<br />

namna ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika penseli<br />

(c) Kuchora<br />

(Mchoro wa herufi h)<br />

6. Wape wanafunzi kazi ya kuandika herufi h kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

7. Wape wanafunzi kadi za silabi ha he hi ho hu kisha waelekeze waziandike kwenye vibao<br />

vyao. Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

8. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao sura ya sita (6.2) wachunguze picha na kunakili<br />

majina yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Taja majina mengine yanayoanzia na herufi h.<br />

Somo la 12 (a): Kusoma herufi j<br />

38


Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi j<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi j na za silabi ja je ji jo ju<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi j ubaoni<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne j j j j…………………..<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi j kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi j. Kisha waelekeze wasoma kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi j nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome j hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi ja je ji jo ju kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) wachunguze picha na<br />

wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Somo la 12 (b): Kuandika herufi j<br />

Ujuzi: kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi j<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Vijiti, penseli, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa j ubaoni.<br />

Mchoro wa herifi j<br />

j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j j<br />

2. Waongoze wanafunzi wafuatishe kuandika mchoro huo hewani kwa kutumia penseli.<br />

3. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia vijiti.<br />

4. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

5. Waelekeze wanafunzi waandike herufi j pamoja na irabu zote kuunda ja, je, ji, jo, ju. Kila<br />

silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

6. Andika silabi hizi ubaoni kisha wape wanafunzi kazi ya kuziandika madaftarini mwao: ja je<br />

39


ji jo ju kujaza ukurasa ili wapate mazoezi ya kutosha.<br />

7. Warejeshe wanafunzi kwenye vitabu vyao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi j kisha<br />

wachunguze picha na waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Kwa nini tunapenda kuifananisha herufi na vitu halisi?<br />

Somo la 13 (a): Kusoma herufi k<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi k.<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za silabi ka, ke, ki, ko, ku<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi k ubaoni.<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne k k k k ………….<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi k wa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

Unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi k kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi k nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome k hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi ka ke ki ko ku kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi<br />

kwachunguze picha na wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Somo la 13 (b): Kuandika herufi k<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Vijiti, penseli, vibao au picha za manila.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro huu ubaoni k.<br />

Mchoro wa herifi k<br />

40


k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k k<br />

2. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia kijiti.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

4. Wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari ya na mwalimu apite akiwasaidia namna<br />

ya: (a) Kukaa<br />

(b) Kushika kalamu<br />

(c) Kuchora<br />

5. Wape wanafunzi kazi ya kuandika silabi ka, ke, ki, ko, ku kujaza ukurasa.<br />

6. Waelekeze wanafunzi waandike herufi k pamoja na irabu zote kuunda ka, ke, ki, ko, ku.<br />

Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

7. Waongoze wanafunzi waandike silabi ka ke ki ko ku kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

Tafakuri: Taja maneno matatu yenye herufi k<br />

Somo la 14 (a): Kusoma herufi l<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi l.<br />

Muda: kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za silabi la, le, li, lo, lu<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi l ubaoni.<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne l l l l ………….<br />

3. Waongoze wanafunzi kusoma herufi l wa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi l kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi l nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome l hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi la le li lo lu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya l<br />

wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Somo la 14 (b): Kuandika herufi l<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

41


Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi l.<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Vijiti, penseli, vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa l ubaoni.<br />

Mchoro wa herifi k<br />

l l l l l<br />

2. Waongoze wanafunzi kuandika mchoro huo mchangani kwa kutumia vijiti.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika mchoro huo ubaoni, wanafunzi wote wafuatishe hewani<br />

wakiwa wameshika vijiti vyao.<br />

4. Waongoze wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na upite ukiwaelekeze<br />

namna ya:<br />

(a) Kukaa<br />

(b) Kushika kalamu<br />

(c) Kuchora<br />

5. Andika silabi hizi ubaoni la, le, li, lo, lu kisha waelekeze wanafunzi waziandike silabi<br />

hizo kujaza ukurasa.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike silabi la le li lo lu kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

7. Wanafunzi wasome kwa sauti na wanakili maneno yafuatayo:<br />

lile, lala, lea, lilia, loa, lako, kile, kila,<br />

10. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyaoura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi l<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Taja majina matatu ya watu yanayoanza na l.<br />

Somo la 15 (a): Kusoma herufi m<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi m.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi m na silabi ma me mi mo mu.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi m ubaoni<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne m m m m …………<br />

42


3. Waongoze wanafunzi wasome herufi m kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi m kisha waelekeze wazisome<br />

kwa sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi m nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome m hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi ma me mi mo mu kisha waelekeze wazisome kwa sauti<br />

mmoja mmoja.<br />

11. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya<br />

m wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Somo la 15 (b) Kuandika herufi m<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi m<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana/vifaa: Vijiti, penseli, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi m ubaoni<br />

m m m<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika herufi m ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze<br />

wanafunzi wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

m m m m m m m m m m m<br />

4. Waongoze wanafunzi wafuatishe mchoro huo kwenye madaftari yao na upite ukiwaelekeze<br />

namna ya:<br />

(a) Kukaa<br />

43


(b) Kushika penseli<br />

(c) Kuchora<br />

5. Wanafunzi wafanye mazoezi ya kuandika herufi m kujaza mistari miwili.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike silabi ma me mi mo mu kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

7. Waongoze wanafunzi waandike silabi ma me mi mo mu kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

8. Waelekeze wanafunzi waandike herufi m pamoja na irabu zote kuunda silabi ma me mi mo<br />

mu. Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

9. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo:<br />

mama, madafu maua, madoido, mia<br />

12. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi m<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Watunge sentensi kutumia maneno mama na mimi.<br />

Somo la 16 (a): Kusoma herufi n<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma herufi n.<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za herufi n na silabi na ne ni no nu.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi n ubaoni<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne n n n n …………<br />

3. Waongoze wanafunzi wasome herufi n kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi n kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi n nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome n hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi na ne ni no nu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

11. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya<br />

n wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo<br />

Somo la 30 (b): Kuandika herufi n<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi n<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Vijiti, penseli, vibao.<br />

Hatua:<br />

44


1. Andika mchoro wa herufi n ubaoni<br />

n n n n n n n n n n<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika herufi n ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze<br />

wanafunzi wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

n n n n n n n n n n n n n n n<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike silabi na ne ni no nu kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

7. Waelekeze wanafunzi waandike herufi n pamoja na irabu zote kuunda silabi na ne ni<br />

no nu. Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

8. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo:<br />

nia, noa nani nena nane nne<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi n<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Kuna tofauti gani kati ya herufi n na m?<br />

Somo la 17 (a): Kusoma herufi p<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma herufi p.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi p na silabi pa pe pi po pu<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi p ubaoni<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne p p p p …………<br />

3. Waongoze wanafunzi wasome herufi p kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi p kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

45


6. Andika ubaoni herufi p nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome p hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8Wape wanafunzi kadi za silabi pa pe pi po pu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya p<br />

wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Somo la 17 (b): Kuandika herufi p<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kuandika herufi p<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Vijiti, vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi p ubaoni<br />

P p p p p p p<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika herufi p ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze<br />

wanafunzi wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

P p p p p p p p p p p<br />

13. Waongoze wanafunzi waandike silabi pa pe pi po pu kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

6. Waelekeze wanafunzi waandike herufi p pamoja na irabu zote kuunda silabi pa pe pi po pu.<br />

Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

7. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo:<br />

paa, poa papi popo pona pipi<br />

14. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi p<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

46


Tafakuri: Tumia maneno yafuatayo kutunga sentensi kwa mdomo: popo na parura<br />

Somo la 18 (a): Kusoma herufi r<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma herufi r<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi r na silabi ra re ri ro ru<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi r ubaoni<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne r r r r…………<br />

3. Waongoze wanafunzi wasome herufi r kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi r kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi r nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome r hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi ra re ri ro ru kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

15. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya r<br />

wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Somo la 18 (b): Kuandika herufi r<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kuandika herufi r<br />

Muda: kipindi 1.<br />

Zana: Vijiti, penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

47


1. Andika mchoro wa herufi r ubaoni<br />

r r r r r r r r r r<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika herufi r ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze wanafunzi<br />

wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

r r r r r r r r r r r r<br />

4. Waongoze wanafunzi waandike silabi ra re ri ro ru kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

5. Waelekeze wanafunzi waandike herufi r pamoja na irabu zote kuunda silabi ra re ri ro ru.<br />

Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo:<br />

rula, raha, ruka, reli, roho<br />

7. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi r<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakari: Taja maneno matatu yenye kutumia r<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Somo la 33 (a): Kusoma herufi s<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma herufi S.<br />

Muda: Kipindi1<br />

Zana: Kadi za herufi s na silabi sa se si so s<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi S ubaoni.<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne s s s s …………<br />

3. Waongoze wanafunzi wasome herufi s kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

48


na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi s kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi s nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome s hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi sa se si so su kisha waelekeze wazisome kwa sauti<br />

mmommoja.<br />

16. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya s<br />

wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo<br />

Somo la 19 (b): Kuandika herufi s<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kuandika herufi s<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Vijiti, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi S ubaoni<br />

S s s s s s s<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika herufi S ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze<br />

wanafunzi wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

S s s s s s s s s s s s<br />

4. Waongoze wanafunzi waandike silabi sa se si so su kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

5. Waelekeze wanafunzi waandike herufi s pamoja na irabu zote kuunda silabi sa se si so<br />

su. Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo: Saa, sasa, soma, sura, soko,<br />

sumu, sio, senema, sisi<br />

7. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi s<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Tumia maneno yafuatayo katika sentensi: soko, sasa na soma.<br />

Somo la 20 (a): Kusoma herufi t<br />

49


Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma herufi t.<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za herufi t na silabi za ta te ti to tu.<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi S ubaoni.<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne t t t t …………<br />

3. Waongoze wanafunzi wasome herufi t kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi t kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi t nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome t hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi ta te ti to tu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya t<br />

wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo<br />

Somo la 20 (b): Kuandika herufi t<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kuandika herufi t<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Vijiti, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi t ubaoni<br />

t t t t t t t t t t t<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

50


3. Baada ya kurudi darasani andika herufi t ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze wanafunzi<br />

wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

t t t t t t t t t t t t t t<br />

4. Waongoze wanafunzi waandike ta te ti to tu kwenye vibao vyao. Kila silabi iandikwe<br />

mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

5. Waelekeze wanafunzi waandike herufi t pamoja na irabu zote kuunda silabi ta te ti to tu<br />

Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo: tano tikiti tega tisa tone tuma toa tafuta<br />

7. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi t<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakari: Umefurahia nini kutokana na kujifunza herufi t?<br />

Somo la 21 (a): Kusoma herufi v<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma herufi v.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi v na silabi za va ve vi vo vu.<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi v ubaoni.<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne v v v v …………<br />

3. Waongoze wanafunzi wasome herufi v kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi v kisha waelekeze wazisome<br />

kwa sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi v nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome v hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi va ve vi vo vu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya v<br />

wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo<br />

51


Somo la 21 (b): Kuandika herufi v<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kuandika herufi v<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Vijiti, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi v ubaoni<br />

v v v v v v v v v v v v v v<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika herufi v ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze<br />

wanafunzi wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

v v v v v v v v v v v v v v<br />

4. Waongoze wanafunzi waandike va ve vi vo vu kwenye vibao vyao. Kila silabi iandikwe<br />

mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

5. Waelekeze wanafunzi waandike herufi v pamoja na irabu zote kuunda silabi va ve vi vo vu<br />

Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo:Vaa, vua, vuta, viatu, vaeni, vumili,<br />

vuma,<br />

7. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi v<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Taja maneno matatu yanayoanza na herufi v<br />

Somo la 22 (a): Kusoma herufi w<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma herufi W<br />

Muda: Kipindi 1<br />

52


Zana: Kadi za herufi w na silabi wa we wi wo wu<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi w ubaoni.<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne w w w w w …………<br />

3. Waongoze wanafunzi wasome herufi w kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi w kisha waelekeze wazisome<br />

kwa sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi w nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome w hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi wa we wi wo wu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya w<br />

wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo<br />

Somo la 22 (b): Kuandika herufi w<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kuandika herufi w<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Vijiti, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi w ubaoni<br />

w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w w<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika herufi w ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze<br />

wanafunzi wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

w w w w w w w w w w w w<br />

53


4. Waongoze wanafunzi waandike wa we wi wo wu kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

5. Waelekeze wanafunzi waandike herufi v pamoja na irabu zote kuunda silabi wa we wi wo<br />

wu. Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo:<br />

Waite, wao, wenu wote, watu, wima, wodi, wino, weusi, wiki, woga wetu<br />

7. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi w<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Kuna tofauti yoyote kati ya herufi w na v?<br />

Somo la 23 (a): Kusoma herufi y<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma herufi y.<br />

Mada: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi y na silabi ya ye yi yo yu.<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi y ubaoni.<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne y y y y …………<br />

3. Waongoze wanafunzi wasome herufi y kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi y kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi y nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome y hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi ya ye yi yo yu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya y<br />

wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo<br />

Somo la 23 (b): Kuandika herufi y<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kuandika herufi y<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Vijiti, vibao.<br />

Hatua:<br />

54


1. Andika mchoro wa herufi y ubaoni<br />

y y y y y y y y y y y y y y y y y y y y y y y y y y<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika herufi y ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze<br />

wanafunzi wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

y y y y y y y y y y<br />

4. Waongoze wanafunzi waandike ya ye yi yo yu kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

5. Waelekeze wanafunzi waandike herufi y pamoja na irabu zote kuunda silabi ya ye yi yo yu<br />

Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo:<br />

yai, yao, yenu yote, yetu, yowe, yule.<br />

7. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi y<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Unaweza kutaja maneno yanayoanza na y?<br />

Somo la 24 (a): Kusoma herufi z<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma herufi z.<br />

Muda: kipindi 1<br />

Zana: Kadi za herufi z na silabi za ze zi zo zu.<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi y ubaoni.<br />

2. Isome taratibu hiyo herufi zaidi ya mara nne z z z z …………<br />

55


3. Waongoze wanafunzi wasome herufi z kwa sauti, wote kwa pamoja wafuatishe<br />

unavyosoma kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

4. Rudia kufanya hivyo mara nyingi hadi uhakikishe kuwa kila mwanafunzi ameweza kuitambua<br />

na kuisoma vizuri herufi hiyo.<br />

5. Waoneshe wanafunzi kadi za rangi mbalimbali zenye herufi z kisha waelekeze wazisome kwa<br />

sauti mmoja mmoja.<br />

6. Andika ubaoni herufi z nyingi za ukubwa mbalimbali kwa kutumia chaki za rangi<br />

mbalimbali.<br />

7. Waongoze wanafunzi wasome z hizo kwa pamoja kwa vikundi na kisha mmoja mmoja.<br />

8. Wape wanafunzi kadi za silabi za ze zi zo zu kisha waelekeze wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja.<br />

9. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao katika sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi ya z<br />

wachunguze picha na kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo<br />

Somo la 24 (b): Kuandika herufi z<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kuandika herufi z<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Vijiti, vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika mchoro wa herufi z ubaoni<br />

z z z z z z z z z z z z z z z z z z z z z z z z z z z z<br />

2. Waongoze wanafunzi kufuatisha mchoro huo hewani, mchangani na vibaoni.<br />

3. Baada ya kurudi darasani andika herufi z ubaoni kwa kufuata hatua zake, waongoze<br />

wanafunzi wote wafuatishe kwa kufuata hatua zifuatazo:<br />

z z z z z z z z z z<br />

4. Waongoze wanafunzi waandike za ze zi zo zu kwenye vibao vyao. Kila silabi<br />

iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja<br />

56


5. Waelekeze wanafunzi waandike herufi y pamoja na irabu zote kuunda silabi za ze zi zo zu<br />

Kila silabi iandikwe mara nyingi kujaza mstari mmoja.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike maneno yafuatayo:<br />

Zabibu, zamani, zetu, zeze, zogo, zana, zagaa zimia, zaidi, zege, zizi, zulia<br />

17. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) kwenye somo la herufi z<br />

wachunguze picha na kisha waandike maneno yaliyo chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno zagaa.<br />

Somo la 25 (a) Kusoma herufi bw<br />

Herufi-mwambatano<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano bw:<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za silabi bwa, bwe, bwi, bwo, bwu na maneno yenye herufi mwambatano bw<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya bwawa, uulize: Hili nini? Wanafunzi wajibu: Hilo ni<br />

bwawa.<br />

2. Andika neno bwawa ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi neno ubwabwa waulize: Huu ni nini ? Wanafunzi wajibu huo ni<br />

Ubwabwa. Waelekeze wanafunzi warudie neno ubwabwa kwa sauti ili waweze<br />

kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya kabwela ubwabwa, bweni, mbweha.<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

bw wanafunzi wachunguze picha kisha wasome neno bweka lililo chini ya picha hiyo.<br />

6. Changanya silabi za herufi mwambatano na silabi nyingine kisha waelekeze wanafunzi<br />

waunde maneno kutokana na silabi hizo. Maneno kama:<br />

m- bwa, ma- bwa-wa, bwe- ni, bwa-lo<br />

Somo la 25 (b): Kuandika herufi bw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano bw:<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

57


1. Andika ubaoni herufi-mwambatano bw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike<br />

kwenye vibao vyao.<br />

Herufi bw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya kuandika herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye madaftari yao.<br />

bwa bwe bwi bwo bwu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi<br />

mwambatano bw.<br />

bwawa<br />

bweni<br />

ubwabwa<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano<br />

bw na silabi zingine.<br />

mbwana ni kabwela<br />

bwawa limejaa maji<br />

mbweha ni mnyama mkali sana<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) wachunguze picha na<br />

kunakili maneno yaliyo ndani ya visanduku chini ya picha hiyo.<br />

Tafakari: Tunga sentensi kwa kutumia neno bweka.<br />

Somo la 26 (a): Kusoma herufi mwambatano chw<br />

58


Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano chw:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi chwa chwe chwi chwo chwu na maneno yenye herufi mwambatano chw.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya kichwa, uulize: Hiki ni nini? Wanafunzi wajibu: Hicho<br />

ni kichwa.<br />

2. Andika neno kichwa ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi neno mchwa waulize: Huyu ni nani ? Wanafunzi wajibu huyo ni<br />

mchwa. Waelekeze wanafunzi warudie neno ubwabwa kwa sauti ili waweze kulitamka<br />

vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya kichwa Mchwa. Waongoze<br />

wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

chw wanafunzi wachunguze picha kisha wasome neno kumekuchwa lililo chini ya<br />

picha hiyo.<br />

6. Changanya silabi za herufi mwambatano na silabi nyingine kisha waelekeze<br />

wanafunzi waunde maneno kutokana na silabi hizo. Maneno kama:<br />

ki- chwa, ma- chew-o, ku-chwa, ku-chwe, m-chwa.<br />

Somo la 26 (b): Kuandika herufi chw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano chw:<br />

Muda: Kipindi<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano chw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike<br />

kwenye vibao vyao.<br />

Herufi chw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya kuandika herufi mwambatano zifuatazo: Kisha wanakili<br />

silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

59


Chwa chwe chwi chwo chwu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

chw.<br />

kichwa<br />

mchwa<br />

machweo<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano bw<br />

na silabi zingine.<br />

mchwa umekula mti<br />

sasa hivi kumekuchwa<br />

aliondoka machweo<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) wachunguze picha na<br />

kunakili maneno na sentensi yaliyo ndani ya visanduku chini ya picha hiyo.<br />

6. Tafakuri: Kutunga sentensi kwa kutumia neno mchwa<br />

Somo la 27 (a): Kusoma herufi dh<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano dh:<br />

Mada: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi dha, dhe, dhi, dho, dhu na maneno yenye herufi mwambatano dh.<br />

Hatua:<br />

60


1. Waoneshe wanafunzi picha ya pete ye dhahabu, uulize: Hii ni nini? Wanafunzi wajibu:<br />

Hiyo ni pete ya dhahabu.<br />

2 Andika neno dhahabu ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3.Waonesha wanafunzi kadi ya neno fedha waulize: Hii ni nini ? Waelekeze wanafunzi<br />

wajibu hiyo ni fedha. Waelekeze wanafunzi warudie neno ubwabwa kwa sauti ili waweze<br />

kulitamka vizuri.<br />

4.Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya fedha, dhahabu, dhambi,<br />

dhoruba,dharau, fedheha, dhuluma. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi<br />

na mmoja mmoja.<br />

5 Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

dh wanafunzi wachunguze picha kisha wasome neno dhofu lililo chini ya picha hiyo.<br />

6 Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome haya maneno kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama:<br />

fe- dha, dha-ra-u, dhu-lu-ma, dha-mbi, dha-ha-bu, fe-dhe-ha.<br />

Somo la 27 (b): Kuandika herufi dh<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano dh:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano dh. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi dh<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya kuandika herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

dha dhe dhi dho dhu<br />

61


3 Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

dhambi<br />

dhahabu<br />

fedha<br />

fedheha<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano dh<br />

na silabi zingine.<br />

Mama amevaa pete ya dhahabu<br />

kuiba ni dhambi<br />

dada ana fedha na dhahabu<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) wachunguze picha na<br />

kunakili maneno na sentensi yaliyo ndani ya visanduku chini ya picha hizo.<br />

6. Tafakuri: Tumia neno fedha katikaa sentensi<br />

Somo la 28 (a): Kusoma herufi fy<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano fy:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kai za silabi fya, fye, fyi, fyo, fyu na kadi za maneno yenye herufi mwambatano fy<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya fyekeo, uulize: Hili ni nini? Wanafunzi wajibu: Hilo ni<br />

fyekeo<br />

2. Andika neno fyekeo ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno fyonza waulize: Nyuki anafyonza nini ? Waelekeze<br />

wanafunzi wajibu nyuki anafyonza maua. Waelekeze wanafunzi warudie neno ubwabwa<br />

kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

62


4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya afya, chafya, fyatuka, fyekeo, .<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano fy<br />

wanafunzi wachunguze picha kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama:<br />

fyekeo, afya, fyonza, chafya, fyatuka<br />

Somo la 28 (b): Kuandika herufi fy<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano fy:<br />

Muda: Kipindi1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano fy. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi fy<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya kuandika herufi mwambatano zifuatazo: Kisha wanakili<br />

silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

fya fye fyi fyo fyu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

fy<br />

fyatuka<br />

fyekeo<br />

afya<br />

63


4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano fy<br />

na silabi zingine.<br />

Nimefyeka majani<br />

Nina afya nzuri<br />

Mtego umefyatuka<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) wachunguze picha na<br />

kunakili maneno na sentensi yaliyo ndani ya visanduku chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno chafya.<br />

Somo la 29 (a): Kusoma herufi gw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano gw:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi gwa gwe gwi gwo gwu na za maneno yenye herufi mwambatano gw<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya ngwanda, uulize: Hili ni nini? Wanafunzi wajibu: Hilo ni<br />

gwanda.<br />

2. Andika neno gwanda ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno gwaride waulize: Mara nyingi askari hucheza nini?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu Askari hucheza gwaride. Waelekeze wanafunzi warudie<br />

neno ubwabwa kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya gwaride, gwiji na gwanda.<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

64


7 Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

gw wanafunzi wachunguze picha kisha wasome maneno yaliyo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

8 Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama:<br />

Gwanda, gwaride, gwiji, gwaya<br />

Somo la 29 (b): Kuandika herufi gw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano gw:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano gw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi gw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya kuandika herufi mwambatano zifuatazo: Kisha wanakili<br />

silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

gwa gwe gwi gwo gwu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano f<br />

gwanda<br />

gwaride<br />

gwiji<br />

65


4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano gw<br />

na silabi zingine.<br />

wanafunzi wanacheza gwaride<br />

kaka amevaa gwanda<br />

Mjomba ni gwiji wa mziki<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) wachunguze picha na<br />

kunakili maneno na sentensi yaliyo ndani ya visanduku chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno gwaya.<br />

Somo la 30 (a): Kusoma herufi kw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano kw:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi kwa kwe kwi kwo kwu na maneno yenye herufi mwambatano kw.<br />

Maneno kama: kwato kwea, kwale, kwikwi, kwetu.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya kwato, uulize: Hii ni nini? Wanafunzi wajibu: Hiyo ni<br />

kwato.<br />

2.Andika neno kwato ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno kwale waulize wanafunzi: Ndege pori anayefanana na<br />

kuku anaitwaje ? Waelekeze wanafunzi wajibu ndege huyo anaitwa kwale. Waelekeze<br />

wanafunzi warudie kutamka neno kwale kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4.Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya kwenu, kwetu, kwao, kwikwi, kwea,<br />

kwato, kwale na kwama . Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja<br />

mmoja.<br />

66


9 Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

kw wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

10 Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama:<br />

Kwama, kwamba, kwale, kwato, kwetu,kwikwi<br />

Somo la 30 (b): Kuandika herufi kw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano kw.<br />

Muda: Kipindi1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano kw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi kw<br />

7. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

kwa kwe kwi kwo kwu<br />

8. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

kw kwenye madaftari yao.<br />

kwato<br />

kwale<br />

kwetu<br />

67


9. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano kw<br />

na silabi zingine.<br />

Kwetu kuna kwale<br />

Kaka alikwea mti<br />

Mtoto ana kwikwi<br />

10. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) wachunguze picha na<br />

kunakili maneno na sentensi yaliyo ndani ya visanduku chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno kwetu.<br />

Somo la 31 (a): Kusoma herufi mb<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano mb:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi na za maneno yenye herufi mwambatano mb. Maneno kama: mboga,<br />

mbele, mbolea, jembe. mbegu. mbuzi, mbalamwezi.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya mbuzi, uulize: Huyu ni nani? Wanafunzi wajibu: Huyo<br />

ni mbuzi.<br />

2. Andika neno mbuzi ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno jembe waulize wanafunzi: Tunalima kwa kutumia<br />

nini? Waelekeze wanafunzi wajibu, tunalima kwa kutumia jembe . Waelekeze<br />

wanafunzi warudie kutamka neno jembe kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mbata, mbegu, mbolea,<br />

jembembuzi, mbalamwezi. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na<br />

mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mb wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama: mboga, mbavu,<br />

mbele, mbolea, mbugani.<br />

Somo la 31 (b): Kuandika herufi mb<br />

68


Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mb.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano mb. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi mb<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

mba mbe mbi mbo mbu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

mb kwenye madaftari yao.<br />

mboga<br />

mbegu<br />

mbalamwezi<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano mb<br />

na silabi zingine.<br />

mhicha ni mboga<br />

mbegu zimeota<br />

69


watoto wameiona mbalamwezi<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) wachunguze picha na<br />

kunakili maneno na sentensi yaliyo ndani ya visanduku chini ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mbalamwezi.<br />

Somo la 32 (a): Kusoma herufi mf<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwnafunzi aweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano mf:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi na za maneno yenye herufi mwambatano mf. Maneno kama: mfano,<br />

mfuko, mfenesi, mfiwa mfuasi, mfu.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya mfuko, uulize: Huu ni nini? Wanafunzi wajibu: Huo ni<br />

mfukoi.<br />

2. Andika neno mfuko ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

7. Waonesha wanafunzi kadi ya neno mfenesi waulize wanafunzi: Mfenesi unazaa<br />

matunda gani? Waelekeze wanafunzi wajibu, mfenesi unazaa mafenesi. Waelekeze<br />

wanafunzi warudie kutamka neno mfenesi kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mfano, mfuko, mfenesi, mfiwa mfuasi,<br />

mfu. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano mf<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama:<br />

mfano, mfuko, mfenesi, mfiwa mfuasi, mfuasi, mfu, mfiwa.<br />

Somo la 32 (b): Kuandika herufi mf<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mf.<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

70


Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano mf. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi mf<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

mfa mfe mfi mfo mfu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

mf kwenye madaftari yao.<br />

mfenesi<br />

mfano<br />

mfu<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano mf<br />

na silabi zingine.<br />

Mfenesi ni mti<br />

dada alitoa mfano<br />

mfuko umechanika<br />

71


8. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mf wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mfuko.<br />

Somo la 33 (a): Kusoma herufi mk<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano mk<br />

Mada: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi mka, mke, mki, mko, mku na za maneno yenye herufi mwambatano mk.<br />

Maneno kama: mkufu, mkorofi, mkate, mkazi, mkoa, mkemia.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya mkate, uulize: Huu ni nini? Wanafunzi wajibu: Huo ni<br />

mkate.<br />

2. Andika neno mkate ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno mkufu waulize wanafunzi: Dada hupenda kuvaa nini<br />

shingoni? Waelekeze wanafunzi wajibu, dada huvaa mkufu. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno mfenesi kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mkufu, mkorofi, mkate. mkeka, mkoa,<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano mk<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama mkebe, mkoba,<br />

mkeka, mkimbizi, mkasi, mkato.<br />

Somo la 33 (b): Kuandika herufi mk<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mk.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano mk. Kisha waongoze wanafunzi waziandike<br />

kwenye<br />

72


vibao vyao.<br />

Herufi mk<br />

6. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

mka mke mki mko mku<br />

7. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

mk kwenye madaftari yao.<br />

mkeka<br />

mkokoteni<br />

mkoba<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano mk<br />

na silabi zingine.<br />

Mkeka umechanika<br />

Mama amenunua mkoba<br />

Mkokoteni umejaa mizigo.<br />

8. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mk wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

9. Tafakuri: Tunga sentensi kutumia neno mkeka.<br />

73


Somo la 34(a) Kusoma herufi ml<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano ml:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi mla, mle, mli, mlo, mlu na za maneno yenye silabi mwambatano ml.<br />

Maneno kama mlima, mlezi, mluzi, mlowezi<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya mlango, uulize: Huu ni nini? Wanafunzi wajibu: Huo ni<br />

mlango.<br />

2. Andika neno mlango ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno mlima. Waulize wanafunzi: Huu ni nini?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, huo ni mlima. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno mlima kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mlima, mlango, mluzi, mlezi, mlowezi.<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano ml<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama mlezi, mlima, mluzi,<br />

,mlowezi.<br />

Somo la 34 (b): Kuandika herufi ml<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano ml.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

2. Andika ubaoni herufi-mwambatano ml. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi ml<br />

10. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

74


mla mle mli mlo mlu<br />

11. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

ml kwenye madaftari yao.<br />

mlo<br />

mluzi<br />

mlezi<br />

mlima<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano ml na<br />

silabi zingine.<br />

mlo wetu ni mtamu<br />

Mama mlezi amekuja<br />

Mtoto anaelekea mlimani<br />

9. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

ml wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kutumia neno mlima<br />

Somo la 35 (a): Kusoma herufi mp<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano mp: mpera<br />

mpapai, mpingo, mpira, mpokela, mpendwa.<br />

75


Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi mpa, mpe, mpi, mpo, mpu na maneno yenye herufi mwambatano mp.<br />

Maneno kama: mpera, mpapai, mpole, mpira, mparachichi, mpilipili.mpini.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya mpapai, uulize: Huu ni nini? Wanafunzi wajibu: Huo ni<br />

mpapai.<br />

2. Andika neno mpapai ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno mpira. Waulize wanafunzi: Huu ni nini?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, huo ni mpira. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno mpira kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mpera, mpapai, mpole, mpira,<br />

mparachichi, mpilipili.mpini. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na<br />

mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mp wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama mpira mpera mpapai,<br />

mparachichi.<br />

Somo la 35 (b): Kuandika herufi mp<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mp.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

3. Andika ubaoni herufi-mwambatano mp. Kisha waongoze wanafunzi waziandike<br />

kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi mp<br />

12. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

76


mpa mpe mpi mpo mpu<br />

13. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

mp kwenye madaftari yao.<br />

mpo<br />

mpe<br />

mpole<br />

mpiganaji<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano ml na<br />

silabi zingine.<br />

mpo darasani<br />

mpe mtoto chakula<br />

mama yetu ni mpole<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mp wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini<br />

ya picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mpole<br />

Somo la 36 (a): Kusoma herufi mt<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano mt:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

77


Zana: Kadi za silabi mta, mte, mti, mto, mtu na maneno yenye herufi mwambatano mt.<br />

Maneno kama: mtutu mtaalamu, mtoro, mto, mtu, mti, mtoto.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya mtu, uulize: Huyu ni nani? Wanafunzi wajibu: Huyo ni<br />

mtu.<br />

2. Andika neno mtu ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno mti. Waulize wanafunzi: Huu ni nini?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, huo ni mti. Waelekeze wanafunzi warudie kutamka neno<br />

mti kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mto, mtu, mtoto, mtego, mtutu<br />

mtaalamu. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano mt<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama mti, mto, mtoto,<br />

mtoro, mtego, mtaalamu na mtutu.<br />

Somo la 36 (b): Kuandika herufi mt<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mt.<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano mt. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi mt<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

mta mte mti mto mtu<br />

78


3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

mp kwenye madaftari yao.<br />

mto<br />

mti<br />

mtu<br />

mtoro<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano mt<br />

na silabi zingine.<br />

mto una kina kirefu<br />

Mti mkubwa umekatwa<br />

Mtoto mtoro amerudi<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi<br />

mwambatano<br />

mt wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

Somo la 39 (a): Kusoma herufi mv<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano mv:<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Kadi za silabi mva, mve, mvi, mvo, mvi na maneno yenye herufi mwambatano mv.<br />

Maneno kama: mvuvi mvulana, mvuto, mvaaji, mvi, mvumilivu, mvua, mvuke, mvivu<br />

Hatua:<br />

79


1. Waoneshe wanafunzi picha ya mvuvi, uulize: Huyu ni nani? Wanafunzi wajibu: Huyo ni<br />

mvuvi.<br />

2. Andika neno mvuvi ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno mvulana. Waulize wanafunzi: Huyu ni nani?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, huyo ni mvulana. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno mvuvi kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mvuvi, mvaaji,mvulana, mvuto, mvi,<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano mv<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama mvuvi mvulana,<br />

mvuto, mvaaji, mvi, mvumilivu, mvua, mvuke, mvivu.<br />

Somo la 37 (b): Kuandika herufi mv<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mv.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano mv. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi mv<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

mva mve mvi mvo mvu<br />

80


3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

mw kwenye madaftari yao.<br />

mvuvi<br />

mvi<br />

mvulana<br />

mvaaji<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano ml na<br />

silabi zingine.<br />

Mvuvi anavua samaki<br />

Babu ana mvi<br />

Mvulana anasoma kitabu<br />

4. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mvwachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

5. Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mvuvi<br />

Somo la 38 (a): Kusoma herufi mw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano mw:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi mwa, mwe, mwi, mwo, mwu, na maneno yenye herufi mwambatano mw.<br />

Maneno kama: mwanadamu, mwamuzi, mwamba, mweusi, mwizi, mwaga, mwoga.<br />

81


Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha ya mwamuzi, uulize: Huyu ni nani? Wanafunzi wajibu: Huyo<br />

ni mwamuzi.<br />

2. Andika neno mwamuzi ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno mwalimu. Waulize wanafunzi: Huyu ni nini?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, huyo ni mwalimu. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno mwenge kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mwanadamu, mwamuzi, mwamba,<br />

mweusi, mwizi, mwaga, mwoga, mwaliko, mwali, mwaka. Waongoze wanafunzi<br />

wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano mw<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama mwanadamu,<br />

mwamuzi, mwamba, mweupe, mwito, mwaliko, mwaka, mwali.<br />

Somo la 38 (b): Kuandika herufi mw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mw.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano mw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi mw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

mwa mwe mwi mwo mwu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

82


mw kwenye madaftari yao.<br />

mweupe<br />

mwito<br />

mwanadamu<br />

mwoga<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano mw<br />

na silabi zingine.<br />

mwiba umenichoma<br />

mwamba umepasuka<br />

kaka amemwaga maji<br />

4. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mw wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

5. Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mwamba<br />

Somo la 39 (a): Kusoma herufi mz<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano mz:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi mza, mze, mzi, mzo, mzu na maneno yenye herufi- mwambatano mz.<br />

Maneno kama: mzigo, mzazi, mzuri, mzembe, mzaha, mzoga, mzabibu, mzambarau, mzee,<br />

mzizi.mzito,<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya mzigo, uulize: Huu ni nini? Wanafunzi wajibu:<br />

Huo ni mzigo.<br />

83


2. Andika neno mzigo ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno mzazi. Waulize wanafunzi: Huyu ni nani?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, huyo ni mzazi. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno mzazi kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mzigo, mzazi, mzuri,mzembe,<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

6. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mz wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama mzigo, mzazi, mzuri,<br />

mzembe, mzaha, mzoga, mzabibu, mzambarau, mzee, mzizi, mzito,<br />

Somo la 39 (b): Kuandika herufi mz<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mz.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano mz. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi mz<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

mza mze mzi mzo mzu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

84


mw kwenye madaftari yao.<br />

mzigo<br />

mzazi<br />

mzuri<br />

mzembe<br />

6. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano mz<br />

na silabi zingine.<br />

mzazi anampeleka mtoto shule<br />

mzigo umepelekwa dukani<br />

ule ni mzoga wa mbuzi<br />

7. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mz wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mzuri.<br />

Somo la 40 (a): Kusoma herufi nd<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano nd: ndama, kondoo<br />

nderemo, ndogo, ndiyo, ndimu, ndumbaro, andazi.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi nda, nde,ndi, ndo, ndu na maneno yenye herufi mwambatano nd. Maneno<br />

kama: ndama, kondoo, nderemo, ndogo, ndiyo, ndimu, andazi, mwandiko, ndoo, ndugu,<br />

ndizi.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya ndizi, uulize: Hii ni nini? Wanafunzi wajibu: Hiyo<br />

ni ndizi.<br />

85


2. Andika neno ndizi ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno ndimu. Waulize wanafunzi: Hii ni nini?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, hiyo ni ndimu. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno mzazi kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

7. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya ndama, kondoo, nderemo, ndogo,<br />

ndiyo. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano nd<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama ndimu, andazi,<br />

mwandiko, ndoo, ndugu, ndizi.<br />

Somo la 54 (b): Kuandika herufi nd<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano nd.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano nd. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi nd<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

nda nde ndi ndo ndu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

nd kwenye madaftari yao.<br />

86


kondoo<br />

ndama<br />

nderemo<br />

mwandiko<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano nd na<br />

silabi zingine.<br />

kondoo anakula majani<br />

mdama amekula ndimu<br />

kule kuna nderemo leo<br />

8. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

nd wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno ndizi<br />

Somo la 41 (a): Kusoma herufi ng<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano ng:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi nga, nge, ngi, ngo, ngu na maneno yenye herufi mwambatano ng. Maneno<br />

kama: ingia, nguzo, unga, ngoma, zonga, zingira, ngonjera, ngurumo, nguvu, ngumi,<br />

ngamia, nguo, ngozi.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya ngamia, uulize: Huyu ni nani? Wanafunzi wajibu:<br />

Huyo ni ngamia.<br />

87


2. Andika neno ngamia ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno unga. Waulize wanafunzi: Huu ni nini?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, huo ni unga. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno unga kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya ingia, nguzo, unga, ngoma, zonga,<br />

zingira. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano ng<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama ngonjera, ngurumo,<br />

nguvu, ngumi, ngamia, nguo, ngozi. nguchiro.<br />

Somo la 5 (b): Kuandika herufi ng<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano ng.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao.<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano ng. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi ng<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

nga nge ngi ngo ngu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

ng kwenye madaftari yao.<br />

ngoma<br />

88


unga<br />

ngamia<br />

nguo<br />

3. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano ng<br />

na silabi zingine.<br />

ngoma ya mganda inachezwa<br />

ugali huu unatosha kwa ugali<br />

ngamia ni mpole<br />

4. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

ng wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya picha<br />

hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno ngozi.<br />

Somo la 42 (a): Kusoma herufi ng’<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano ng’:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi ng’a, ng’e, ng’i, ng’o, ng’u na maneno yenye herufi mwambatano ng’.<br />

Maneno kama: ng’ombe, ng’ang’ania, ng’ambo, ng’oa, ng’ata, ng’oka, ng’aa<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya ng’ombe, uulize: Huyu ni nani? Wanafunzi<br />

wajibu: Huyo ni ng’ombe.<br />

2. Andika neno ng’ombe ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno ng’aa. Waulize wanafunzi: Kioo kikimulikwa na<br />

juu kinafanyaje? Waelekeze wanafunzi wajibu, kioo kinang’aa. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno ng’aa kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

89


4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya ng’ombe, ng’ang’ania, ng’ambo,<br />

ng’oa, ng’ata, ng’oka, ng’aa. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na<br />

mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

ng wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama ng’oa, ng’ata, ng’oka.<br />

Somo la 56 (b): Kuandika herufi ng’<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano ng’.<br />

Muda: kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano ng’. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi ng’<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

ng’a ng’e ng’i ng’o ng’u<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

ng’ kwenye madaftari yao.<br />

ng’oka<br />

ng’oa<br />

ng’ang’ania<br />

90


ng’ata<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano ng na<br />

silabi zingine.<br />

Ng’ombe yuko ng’ambo yamto<br />

ng’oa hicho kisiki<br />

dada ameng’ang’ania shule ya bweni<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

ng’ wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kutumia neno ng’ambo.<br />

Somo la 43 (a): Kusoma herufi ny<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano ny:<br />

Mada: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi nya nye nyi nyo nyu na maneno yenye herufi mwambatano ny.Maneno<br />

kama: nyoka, nyika, nyumba, nyanya, mnyama, nyumbu, nyie, nyundo, nyanyua,<br />

nyota,nyima.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya nyundo, uulize: Hii ni nini? Wanafunzi wajibu:<br />

Huyo ni nyundo.<br />

2. Andika neno nyundo ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno nyanya. Waulize wanafunzi: Hii ni nini? Waelekeze<br />

wanafunzi wajibu, hiyo ni nyundo. Waelekeze wanafunzi warudie kutamka neno ng’aa<br />

kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya nyoka, nyanya, nyika, nyanyua,<br />

nyofoa. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

ny wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

91


Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama nyima, nyie, nyumbu,<br />

nyundo, nyumba,nyanya, mnyama.<br />

Somo la 43 (b): Kuandika herufi ny<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano ny.<br />

Muda: Kipindin 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano ny. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi ny<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

nya nye nyi nyo nyu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

ny kwenye madaftari yao.<br />

nyanya<br />

nyumba<br />

nyoka<br />

mnyama<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano ny na<br />

silabi zingine.<br />

92


nyumbu anaishi porini<br />

nyanya ni kiungo cha mboga<br />

kaka alinyanyua mzigo<br />

6. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

ny wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno nyanya<br />

Somo la 44 (a): Kusoma herufi py<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano py:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi pya pye pyi, pyo, pyu na maneno yenye herufi mwambatano py. Maneno<br />

kama: kipya, mpya, papya, kupya<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya shati jipya uulize: Hii ni nini? Wanafunzi wajibu:<br />

Hilo ni shati jipya.<br />

2. Andika maneno shati jipya ubaoni kisha uyasome kwa sauti mara mbili. Waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya maneno daftari jipya. Waulize wanafunzi: Hili ni nini?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, hilo daftari jipya. Waelekeze wanafunzi warudie kutamka<br />

maneno daftari jipya kwa sauti ili waweze kuyatamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya kipya, mpya, papya, kupya,<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

py wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama kipya, mpya, papya,<br />

kupya<br />

Somo la 44 (b): Kuandika herufi py<br />

93


Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano py.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano py. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi py<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

pya pye pyi pyo pyu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

py’ kwenye madaftari yao.<br />

kipya<br />

jipya<br />

mapya<br />

kupya<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano<br />

py na silabi zingine.<br />

pori lile ni jipya kabisa.<br />

shule yenu ni mpya<br />

94


aba ana gari jipya<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

py wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

6. Waelekeze wanafunzi waandike sentensi walizotunga kwenye somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mpya.<br />

Somo la 45 (a): Kusoma herufi pw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano pw:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi pwa, pwe, pwi, pwo, pwu na maneno yenye herufi mwambatano pw.<br />

Maneno kama: mpwa, pwani, pweza, upweke, upwa, tupwa, pwaya, pweteka<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya pweza uulize: Huyu ni nani? Wanafunzi wajibu:<br />

Huyo ni pweza.<br />

2. Andika neno pweza ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno pwani. Waulize wanafunzi: Hapa ni wapi?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, hapo ni pwani. Waelekeze wanafunzi warudie kutamka<br />

neno pwani kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mpwa, pwani, pweza, upweke,<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

pw wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama upwa, tupwa, pwaya,<br />

pweteka.<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

95


Somo la 45 (b): Kuandika herufi pw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano pw.<br />

Mada: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano pw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi pw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

pwa pwe pwi pwo pwu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

pw kwenye madaftari yao.<br />

mpwa<br />

pwani<br />

pwaya<br />

tupwa<br />

4.Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano pw na<br />

silabi zingine.<br />

machicha yametupwa jalalani.<br />

96


mjomba amekwenda pwani kuvua.<br />

viatu hivi vinanipwaya<br />

6. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

pw wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

7. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno tupwa.<br />

Somo la 46 (a): Kusoma herufi sh<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano sh:<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Zana: Kadi za silabi sha, she, shi, sho, shu na maneno yenye herufi mwambatano sh. Maneno<br />

kama: shule, shime shukuru, shati, shemeji, shika, shuka, shehe.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya shati uulize: Hii ni nini? Wanafunzi<br />

wajibu: Hili ni shati<br />

2. Andika neno shati ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno shule. Waulize wanafunzi: Hii ni nini? Waelekeze<br />

wanafunzi wajibu, hii ni shule. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno shule kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya shati, shule, shuka. Waongoze<br />

wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano sh<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama shati, shemeji, shika,<br />

shuka .<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

97


Somo la 46 (b): Kuandika herufi sh<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano sh.<br />

Muda: Kipindi 1.<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano sh. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi sh<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

sha she shi sho shu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

Sh kwenye madaftari yao.<br />

shati<br />

shule<br />

shuka<br />

shukuru<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano sh<br />

na silabi zingine.<br />

98


ukipewa kitu shukuru.<br />

shati la kaka ni jipya<br />

shule yetu ni nzuri<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

sh wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno shule.<br />

Somo la 47 (b): Kusoma herufi sk<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano sk:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi ska, ske, ski, sko, sku na maneno yenye herufi mwambatano sk. Maneno<br />

kama: askari, sketi, askofu, skafu, skauti, skonzi.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya sketi uulize: Hii ni nini? Wanafunzi<br />

wajibu: Hili ni sketi.<br />

2. Andika neno sketi ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno askari. Waulize wanafunzi: Huyu ni nani?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, huyu ni askari. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno askari kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya askari, sketi, askofu. Waongoze<br />

wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano sh<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

99


kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama skafu, skauti, skonzi.<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 47 (b): Kuandika herufi sk<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano sk.<br />

Muda: Tunga sentensi kwa kutumia neno skafu.<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano sk. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi sk<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

ska ske ski sko sku<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

sk kwenye madaftari yao.<br />

skauti<br />

skafu<br />

askari<br />

skonzi<br />

100


4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano sk na<br />

silabi zingine.<br />

askari amevaa sketi<br />

shati la kaka ni jipya<br />

Sconzi ni tamu<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

sk wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno skafu<br />

Somo la 48 (a): Kusoma herufi st<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano st:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi sta, ste, sti, sto, stu na maneno yenye herufi mwambatano st. Maneno<br />

kama: bustani, mstari, posta, stesheni, stendi, stimu, stoo, studio.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya bustani uulize: Hii ni nini? Wanafunzi<br />

wajibu: Hiyo ni bustani.<br />

2. Andika neno bustani ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi ya neno posta. Waulize wanafunzi: Hapa ni wapi?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, hapo ni posta. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno posta kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

101


4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya bustani, mstari, posta, stesheni.<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano st<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama stendi, stimu, stoo,<br />

studio.<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 62 (b): Kuandika herufi st<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano st.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano st. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi st<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

sta ste sti sto stu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

st kwenye madaftari yao.<br />

bustani<br />

102


posta<br />

mstari<br />

stesheni<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano st na<br />

silabi zingine.<br />

Shule yetu ina bustani kubwa<br />

juzi nilikwenda posta<br />

treni ipo stesheni<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

st wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno stesheni.<br />

Somo la 49 (a): Kusoma herufi sw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano sw:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi swa, swe, swi, swo, swu na maneno yenye herufi mwambatano sw. Maneno<br />

kama: swala, sweta, swichi, swaga, swahibu, swali, swila.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya sweta uulize: Hili ni nini? Wanafunzi<br />

wajibu: Hilo ni sweta.<br />

2. Andika neno sweta ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

103


3. Waonesha wanafunzi kadi ya picha ya swala. Waulize wanafunzi: Huyu ni nini?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu, huyo ni swala. Waelekeze wanafunzi warudie kutamka<br />

neno swala kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya swala, sweta, swichi na swaga.<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

sw wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama swahibu, swali, swila<br />

na swaumu<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 49 (b): Kuandika herufi sw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano sw.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano sw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi sw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

swa swe swi swo swu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

st kwenye madaftari yao.<br />

104


swahibu<br />

swali<br />

swaga<br />

swichi<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano sw<br />

na silabi zingine.<br />

Swichi inawashia taa<br />

Kaka anaswaga mbuzi<br />

Swahibu wangu amekuja<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

sw wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno sweta.<br />

Somo la 50 (a): Kusoma herufi th<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano th:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi tha, the, thi, tho, thu na maneno yenye herufi mwambatano th. Maneno<br />

kama: theluji, themanini, thelathini, thamani, thawabu, thabiti,<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya mlima wenye theluji. Uulize: Juu ya mlima kuna<br />

nini? Wanafunzi wajibu: Juu ya mlima kuna theluji.<br />

105


2. Andika neno theluji ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi yenye namba themanini. Waulize wanafunzi: Hii ni namba<br />

gani? Waelekeze wanafunzi wajibu: Hiyo ni namba themanini. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno swala kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya theluji, themanini na thelathini<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano th<br />

wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na yaliyo<br />

kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

Wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama thamani, thawabu,<br />

thabiti.<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 50 (b): Kuandika herufi th<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano th.<br />

Muda; Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano th. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi th<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

tha the thi tho thu<br />

106


3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

th kwenye madaftari yao.<br />

thamani<br />

thabiti<br />

thawabu<br />

thelathini<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano th na<br />

silabi zingine.<br />

darasani kwetu tupo thelathini.<br />

ukisali unapata thawabu<br />

Mbuzi anauzwa shilingi elfu thelathini.<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

th wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno theluji;<br />

Somo la 51 (a): Kusoma herufi tw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano tw:<br />

Muda: Kipindi 1<br />

107


Zana: Kadi za silabi twa, twe, twi, two, twu, picha ya mtu anayetwanga na anayetwika mzigo<br />

na maneno yenye herufi mwambatano tw. Maneno kama: twanga, tweta, patwa, kutwa,<br />

okotwa, twika, twisha, tweka, twaibu<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha mtu anatwanga. Uulize: Juu ya mlima kuna<br />

nini? Wanafunzi wajibu: Juu ya mlima kuna theluji.<br />

2. Andika neno twanga ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi yenye picha ya mtu anayetwika mzigo. Waulize wanafunzi:<br />

Huyu anafanya ni nini? Waelekeze wanafunzi wajibu: Huyo anajitwika mzigo<br />

Waelekeze wanafunzi warudie kutamka neno twika kwa sauti ili waweze kulitamka<br />

vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya twanga, tweta, patwa, kutwa na<br />

okotwa. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

tw wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama twika, twisha, tweka,<br />

twaibu<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 51 (b): Kuandika herufi tw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano tw.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano tw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi tw<br />

108


2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

twa twe twi two twu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

tw kwenye madaftari yao.<br />

twanga<br />

patwa<br />

kutwa<br />

twiga<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano tw na<br />

silabi zingine.<br />

twiga ana shingo ndefu.<br />

dada anatwanga kisamvu<br />

tumesoma mchana kutwa<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

tw wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno kutwa.<br />

109


Somo la 52 (a): Kusoma herufi vy<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano vy.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi vya, vye, vyi, vyo, vyu, picha ya vyura na vyungu na maneno yenye herufi<br />

mwambatano vy. Maneno kama: vyura, vyungu, vyanzo, vyuma, vyote. Vyao, vyenu, vyangu,<br />

vyetu, vyovyote,<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha vyura wawili. Uulize: Hawa ni nani?<br />

Wanafunzi wajibu: Hao ni vyura.<br />

2. Andika neno vyura ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi yenye picha ya vyungu viwili. Waulize wanafunzi: Hivi ni<br />

nini? Waelekeze wanafunzi wajibu: Hivi ni vyungu. Waelekeze wanafunzi warudie<br />

kutamka neno vyungu kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya vyura, vyungu, vyanzo, vyuma,<br />

vyote. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

vy wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama vyao, vyenu, vyangu,<br />

vyetu, vyovyote.<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 51 (b): Kuandika herufi vy<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano vy.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

110


1. Andika ubaoni herufi-mwambatano vy. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi vy<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

vya vye vyi vyo vyu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

vy kwenye madaftari yao.<br />

vyungu<br />

vyura<br />

vyetu<br />

vyao<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano vy na<br />

silabi zingine.<br />

vyungu vyetu vimepambwa<br />

vyura wapo visimani<br />

vitabu hivi ni vyetu<br />

6. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

111


vy wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

7. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno vyungu<br />

Somo la 53 (a) :Kusoma herufi chw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi waweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano chw<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi chwa, chwe, chwi, chwo, chwu, picha ya kichwa na mchwa na maneno<br />

yenye herufi mwambatano chw. Maneno kama: kichwa, mchwa, kuchwa, machweo<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya kichwa. Uulize: Hiki ni nini?<br />

Wanafunzi wajibu: Hiki ni kichwa.<br />

2. Andika neno kichwa ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kichwa kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi yenye picha ya mchwa. Waulize wanafunzi: Hawa ni nani?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu: Hao ni mchwa. Waelekeze wanafunzi warudie kutamka<br />

neno mchwa kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya kichwa, mchwa, kuchwa, machweo.<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

chw wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama kichwa, mchwa,<br />

kuchwa, machweo.<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 53 (b): Kuandika herufi chw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano chw.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

112


Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano chw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi chw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

chwa chwe chwi chwo chwu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

chw kwenye madaftari yao.<br />

kuchwa<br />

kichwa<br />

machweo<br />

mchwa<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano mbw<br />

na silabi zingine.<br />

jua limekuchwa<br />

kichwa kinaniuma<br />

mchwa wanarudi shimoni<br />

113


5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

chw wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini<br />

ya picha hizo.<br />

8. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mchwa.<br />

Somo la 54: Kusoma herufi mbw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi waweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano mbw<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi mbwa, mbwe, mbwi, mbwo, mbwu, picha ya mbweha na vyungu na<br />

maneno yenye herufi mwambatano mbw. Maneno kama: mbwa, mbwembwe, mbweha,<br />

mbwamwitu<br />

Hatua:<br />

6. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya mbweha. Uulize: Huyu ni nani?<br />

Wanafunzi wajibu: Huyo ni mbweha.<br />

7. Andika neno mbweha ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

8. Waonesha wanafunzi kadi yenye picha ya mbwa. Waulize wanafunzi: Huyu ni nani?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu: Huyo ni mbwa. Waelekeze wanafunzi warudie kutamka<br />

neno mbwa kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

9. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mbwa, mbwembwe, mbweha,<br />

mbwamwitu. Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

10. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mbw wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama mbwa, mbwembwe,<br />

mbweha, mbwamwitu.<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

114


Somo la 54 (b): Kuandika herufi mbw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mbw.<br />

Mada: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

2. Andika ubaoni herufi-mwambatano mbw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike<br />

kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi mbw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

mbwa mbwe mbwi mbwo mbwu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

mbw kwenye madaftari yao.<br />

mbwamwitu<br />

mbweha<br />

mbwembwe<br />

mbwa<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano mbw<br />

na silabi zingine.<br />

mbwamwitu ni mnyama makali<br />

115


mbweha ni mwoga<br />

swahibu wangu anapenda mbwembwe<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mbw wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini<br />

ya picha hizo.<br />

9. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mbweha.<br />

Somo la 55 (a): Kusoma herufi ngw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kusoma maneno yanye herufi-mwambatano ngw<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za silabi ngwa, ngwe, ngwi, ngwo, ngwu, picha ya chungwa na ya mtu anayepigwa<br />

ngwara na maneno yenye herufi mwambatano ngw. Maneno kama: chungwa, gongwa, ngwara,<br />

shangwe, pangwa, kungwi, ungwa.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi ya picha ya chungwa. Uulize: Hili ni nini?<br />

Wanafunzi wajibu: Hilo ni chungwa.<br />

2. Andika neno chungwa ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi yenye picha ya mtu anayepigwa ngwara. Waulize<br />

wanafunzi: Huyu anafanywa nini? Waelekeze wanafunzi wajibu: Huyo anapigwa<br />

ngwara. Waelekeze wanafunzi warudie kutamka neno ngwara kwa sauti ili waweze<br />

kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya chungwa, gongwa, ngwara, shangwe.<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

ngw wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama pangwa, kungwi, ungwa<br />

116


7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 55 (b): Kuandika herufi ngw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano ngw.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano ngw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike<br />

kwenye<br />

vibao vyao.<br />

Herufi ngw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

ngwa ngwe ngwi ngwo ngwu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

ngw kwenye madaftari yao.<br />

ungwa<br />

pangwa<br />

chungwa<br />

shangwe<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano ngw<br />

na silabi zingine.<br />

117


Chungwa ni tunda tamu<br />

Jana kulikuwa na shangwe<br />

Mbuzi wetu amegongwa na gari<br />

6. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

ngw wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini<br />

ya picha hizo.<br />

7. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno chungwa.<br />

Somo la 56 (a): Kusoma herufi mpw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano mpw<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Zana: Kadi za silabi mpwa, mpwe, mpwi, mpwo, mpwu, na maneno yenye herufi<br />

mwambatano mpw. Maneno kama: mpwa, mpweke, mpwito.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi yenye neno mpwa. Uulize: Hili ni neno gani?<br />

Wanafunzi wajibu: Neno hilo ni mpwa.<br />

2. Andika neno mpwa ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waonesha wanafunzi kadi yenye picha ya mtu mpweke. Waulize wanafunzi: Huyu mtu<br />

yuko hali gani? Waelekeze wanafunzi wajibu: Huyo ni mpweke. Waelekeze wanafunzi<br />

warudie kutamka neno ngwara kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya mpwa, mpweke, mpwito. Waongoze<br />

wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mpw wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

118


6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama mpwa, mpweke,<br />

mpwito.<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 56 (b): Kuandika herufi mpw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano mpw.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano mpw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike<br />

kwenye vibao vyao.<br />

Herufi mpw<br />

2. Waelekeze wanafunzi namna ya waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha<br />

wanakili silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

mpwa mpwe mpwi mpwo mpwu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

mpw kwenye madaftari yao.<br />

mpwa<br />

mpweke<br />

mbwembwe<br />

119


4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano mpw<br />

na silabi zingine.<br />

si vizuri kuwa mpweke<br />

jibu limapwita<br />

mpwa wangu ananiita shangazi<br />

5. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

mpw wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini ya<br />

picha hizo.<br />

6. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno mpwa<br />

Somo la 57 (a): Kusoma herufi nyw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi aweze kusoma maneno yenye herufi-mwambatano nyw<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Zana: Kadi za silabi nywa, nywe, nywi, nywo, nywu, picha ya kinywa na maneno yenye<br />

herufi mwambatano nyw. Maneno kama: nywele, kinywaji, kinywa, finywa, nywea, hanywi,<br />

kunywa, nywesha.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi kadi yenye neno nywele. Uulize: Juu ya vichwa vyenu kuna nini?<br />

Wanafunzi wajibu: Kuna nywele.<br />

2. Andika neno nywele ubaoni kisha ulisome kwa sauti mara mbili. Waongoze wanafunzi<br />

walisome neno kwa sauti mmoja mmoja.<br />

3. Waoneshe wanafunzi kadi yenye picha kinywa. Waulize wanafunzi: Hiki ni kitu gani?<br />

Waelekeze wanafunzi wajibu: Hicho ni kinywa. Waelekeze wanafunzi warudie kutamka<br />

neno kinywa kwa sauti ili waweze kulitamka vizuri.<br />

120


4. Andika maneno haya ubaoni kwa kuyachanganya nywele, nywesha, kunywa, kinywaji.<br />

Waongoze wanafunzi wayasome pamoja kwa vikundi na mmoja mmoja.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

nyw wachunguze picha kisha wasome maneno na sentensi zilizo chini ya picha hizo na<br />

yaliyo kwenye kisanduku.<br />

6. Changanya kadi za maneno yenye herufi mwambatano. Kisha waelekeze wanafunzi<br />

wayasome maneno hayo kwa sauti mmoja mmoja. Maneno kama kinywa, finywa, nywea<br />

hanywi<br />

7. Waongoze wanafunzi watunge sentensi kwa kutumia maneno hayo.<br />

Somo la 57 (b): Kuandika herufi nyw<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika maneno yenye herufi-mwambatano nyw.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Penseli na vibao<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi-mwambatano nyw. Kisha waongoze wanafunzi waziandike<br />

kwenye vibao vyao.<br />

Herufi nyw<br />

2. Waelekeze wanafunzi waandike silabi za herufi mwambatano zifuatazo: Kisha wanakili<br />

silabi hizo kwenye vibao vyao.<br />

nywa nywe nywi nywo nywu<br />

3. Waelekeze wanafunzi waandike maneno yafuatayo yanayotokana na herufi mwambatano<br />

nyw kwenye madaftari yao.<br />

nywea<br />

finywa<br />

121


nywesha<br />

4. Waelekeze wanafunzi wanakili sentensi zifuatazo zitokanazo na herufi mwambatano nyw<br />

na silabi zingine.<br />

nilikata nywele jana<br />

ninasafisha kinywa changu kila siku<br />

Mtoto ananyweshwa maziwa<br />

6. Warejeshe wanafunzi kwenye kitabu chao sura ya sita (6.2) somo la herufi mwambatano<br />

nyw wachunguze picha na kunakili maneno na sentensi zilizo ndani ya visanduku chini<br />

ya picha hizo.<br />

7. Waongoze wanafunzi waandike sentensi walizotunga katika somo la kusoma katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Tunga sentensi kwa kutumia neno kinywa<br />

KUSOMA NA KUANDIKA NAMBA<br />

Somo la 58: Tusome na kuandika namba 0, 1, 2<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma na kuandika namba 0, 1.2.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana/vifaa: Kadi za namba 0, 1 na 2<br />

Hatua:<br />

122


1. Andika ubaoni namba 0. Kisha uisome kwa sauti sifuri<br />

2. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 0<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

3. Waoneshe kadi ya namba 0 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

4. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 0 hatua kwa hatu<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 0<br />

5. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 0 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

6. Andika ubaoni namba 1. Kisha uisome kwa sauti moja.<br />

7. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 1<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

8. Waoneshe kadi ya namba 1 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

9. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 1 hatua kwa hatua<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 1<br />

10. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 1 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

11. Andika ubaoni namba 2. Kisha uisome kwa sauti mbili.<br />

12. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 2<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

13. Waoneshe kadi ya namba 2 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

14. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 2 hatua kwa hatua<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 2<br />

15. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 2 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Andika kwa maneno namba 0 mpaka 2<br />

Somo la 73: Tusome na kuandika namba 3, 4, 5<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma na kuandika namba 3, 4, 5.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za namba 3, 4 na 5<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni namba 3. Kisha uisome kwa sauti tatu.<br />

123


2. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 3<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

3. Waoneshe kadi ya namba 3 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

4. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 3 hatua kwa hatua<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 3<br />

5. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 3 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

6. Andika ubaoni namba 4. Kisha uisome kwa sauti nne.<br />

7. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 4<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

8. Waoneshe kadi ya namba 4 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

9. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 4 hatua kwa hatua<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 4<br />

10. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 4 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

11. Andika ubaoni namba 5. Kisha uisome kwa sauti tano.<br />

12. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 5<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

13. Waoneshe kadi ya namba 5 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

14. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 5 hatua kwa hatua<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 5<br />

15. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 5 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Andika kwa maneno namba 3 mpaka 5<br />

Somo la 74: Tusome na kuandika namba 6, 7, 8 na 9<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma na kuandika namba 6, 7, 8.9<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Zana: Kadi za namba 6, 7, 8 na 9<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni namba 6. Kisha uisome kwa sauti sita.<br />

2. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 6<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

124


3. Waoneshe kadi ya namba 6 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

4. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 6 hatua kwa hatua<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 6<br />

5. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 6 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

6. Andika ubaoni namba 7. Kisha uisome kwa sauti saba.<br />

7. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 7<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

8. Waoneshe kadi ya namba 7 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

9. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 7 hatua kwa hatua<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 7<br />

10. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 7 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

11. Andika ubaoni namba 8. Kisha uisome kwa sauti nane.<br />

12. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 8<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

13. Waoneshe kadi ya namba 8 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

14. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 8 hatua kwa hatua<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 8<br />

15. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 8 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

16. Andika ubaoni namba 9. Kisha uisome kwa sauti tisa.<br />

17. Waongoze watamke kwa sauti kwa pamoja na mmoja mmoja huku ukionesha 9<br />

ulioiandika ubaoni.<br />

18. Waoneshe kadi ya namba 9 kisha waelekeze wasome kwa sauti.<br />

19. Waongoze wanafunzi kwa kuonesha hewani jinsi ya kuandika 9 hatua kwa hatua<br />

kama ifuatavyo:<br />

Chora hatua za uandishi wa tarakimu 9<br />

20. Waongoze wanafunzi waandike tarakimu 9 nyingi kisha kwa maneno katika<br />

madaftari yao.<br />

Tafakuri: Andika kwa maneno namba 6 mpaka 9<br />

Somo la 70 : Herufi Aa<br />

HERUFI KUBWA<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa<br />

125


Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Chora ubaoni mchoro ufuatao na wanafunzi waunakili katika madaftari yao.<br />

Mchoro wa zigizagi<br />

2. Andika herufi kubwa A kwa kufuata hatua zilivyooneshwa.<br />

Waongoze wanafunzi wanakili hadi kujaza mstari mmoja.<br />

Mchoro wa herufi A<br />

3. Andika ubaoni herufi A kama ifuatavyo kisha wanafunzi wazinakili kwenye<br />

Madaftari yao.<br />

ziandikwe Aa<br />

4. Andika ubaoni majina yafuatayo kisha wanafunzi wayasome kwa sauti mmoja<br />

mmoja. Waongoze wanafunzi wayanakili majina hayo kwenye madaftari yao.<br />

Ni muhimu uzingatie utaratibu wa hati ya wima yenye vikonyo katika kuandika<br />

maneno na sentensi. Herufi kubwa hazina vikonyo, lakini baadhi ya herufi zingine<br />

zina vikonyo. Kwa hiyo vikonyo vionekana kwenye herufi husika.<br />

Amoni Anna Anita Amani Arumeru Amina Agakani<br />

Amazoni<br />

Adamu Akida Aneti ada<br />

126


5. Andika ubaoni sentensi zifuatazo kisha wanafunzi wazisome kwa sauti mmoja.<br />

mmoja. Waongoze wanafunzi wazinakili katika madaftari yao.<br />

Amina anapenda amani.<br />

Adamu anaishi Arusha.<br />

Amazoni ni mto mkubwa<br />

Tafakuri: A kubwa hutumika kuandika vitu gani?<br />

Somo la 71: Herufi Bb<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa B<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi B nyingi ubaoni kwa kufuata hatua zake. Waongoze wanafunzi<br />

wazinakili kwenye madaftari yao.<br />

B B B B B B<br />

B<br />

B<br />

Mchoro wa herufi B kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa B ikiambatana na herufi ndogo b kisha waongoze<br />

wanafunzi wazinakili kwenye madaftari yao.<br />

Bb Bb Bb Bb Bb Bb Bb Bb<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa B kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti mmojammoja na kuyanakili.<br />

127


Bunda Biharamlo Bamaga Bulombora Buhari Bihawana<br />

bakuli<br />

4.Andika ubaoni sentensi zifuatazo kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti<br />

mmoja mmoja na kuzinakili:<br />

Bulombola ni kambi la jeshi.<br />

Bukoba ni karibu na Uganda.<br />

Bibi anakaanga mahindi.<br />

Bakari amekwenda Bagamoyo.<br />

Tafakuri: Mwalimu uwasomee imla ya sentensi hii na wanafunzi waiandike<br />

daftarini mwao: imla ya sentensi hii: Baba amekwenda Babati.<br />

Somo la 72: Herufi Ch<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa Ch<br />

Muda: Kipindi kimoja.<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa Ch nyingi. Waongoze wanafunzi wazinakili madaftarini<br />

mwao.<br />

Ch Ch Ch Ch Ch Ch<br />

Mchoro wa herufi Ch kubwa<br />

2. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa Ch. Waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti mmoja mmoja kisha wazinakili.<br />

128


Chausiku Chimala Chabruma Chacha China Chambo<br />

Chimwaga<br />

chekecheke<br />

3. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti mmoja<br />

mmoja kisha wazinakili.<br />

Chausiku ni jirani yetu<br />

Chimala kuna maduka mengi<br />

Chabruma alikuwa chifu wa kabila la wangoni.<br />

Chacha ni mtu mwenye nguvu<br />

Tafakuri: Mwalimu uwasome imla ya sentensi hii na wanafunzi waiandike daftarini mwao:<br />

Chonya amekwenda Chikundi<br />

Somo la 73: Herufi Dd<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Wanafunzi waweze kuandika harufi kubwa<br />

Muda: kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa D nyingi. Waongoze wanafunzi wazinakili madaftarini<br />

mwao.<br />

D D D D D D D D<br />

Mchoro wa herufi D kubwa<br />

129


2. Andike ubaoni herufi D ikiambatana na herufi ndogo d kisha waongoze wanafunzi<br />

wazinakili kwenye madaftari yao<br />

Dd Dd Dd Dd Dd Dd Dd Dd Dd Dd Dd<br />

3 Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa Dd. Waongoze wanafunzi wayasome<br />

kwa sauti mmoja mmoja kisha wazinakili.<br />

Dina Dakawa Daniel Dula Dindimo Dumila dada<br />

3. Andike ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti<br />

mmoja mmoja na wazinakili.<br />

Dina na Domi wamewahi shule.<br />

Dar es Salaam ni mji wa biashara<br />

Dakawa kuna chuo cha ualimu.<br />

Dodoma ni makao makuu<br />

Tafakuri: Mwalimu uwasomee imla ya sentensi hii na wanafunzi waiandike daftarini mwao:<br />

Damasi hajafika Dodoma.<br />

Somo la 74: Herufi Ee<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa E<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

130


1. Andika herufi E nyingi ubaoni kwa kufuata hatua zake. Waongoze wanafunzi wazinakili<br />

kwenye madaftari yao.<br />

E E E E E E E E<br />

Mchoro wa herufi E kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa E ikiambatana na herufi ndogo e kisha waongoze wanafunzi<br />

wazinakili kwenye madaftari yao.<br />

Ee Ee Ee Ee Ee Ee Ee<br />

Ee Ee<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa E. Waongoze wanafunzi<br />

wayasome na wayanakili.<br />

Emma Elizabeti Eliamini Esta Emili embe<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Waongoze wanafunzi wazisome na kuzinakili.<br />

Embe ni tunda zuri sana<br />

Emma anaweza kutoa na kujumlisha namba.<br />

Elizabeti ni mwanafunzi wa darasa la kwanza<br />

Emili na Esta ni wachezaji wa mpira wa mikono.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi, kwa nini tunajifunza kuandika herufi E<br />

Somo la 75: Herufi Ff<br />

131


Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa F<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa F kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika madaftari<br />

yao.<br />

F F F F F F<br />

F<br />

Mchoro wa herufi F kubwa inatangulia<br />

2. Andike ubaoni herufi F ikiambatana na herufi ndogo f kisha waongoze wanafunzi<br />

wazinakili kwenye madaftari yao<br />

Ff Ff Ff Ff Ff Ff<br />

Ff Ff<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa F. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti mmoja mmoja na wayanakili.<br />

Farida Fikiri Furaha Forodhani Farahani<br />

Fentu fungo<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

wazinakili.<br />

Farahani anahesabu fedha<br />

132


Nimefurahi kucheza na Furaha<br />

Fahali wawili hawaishi zizi moja.<br />

Fentu anazungumza vizuri<br />

Tafakuri: Uwaulize wanafunzi swali hili: Ni sehemu gani ya somo hii ambayo hujaelewa<br />

vizuri?<br />

Somo la 76: Herufi Gg<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa G<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa G nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili<br />

daftarini.<br />

G G G G G G<br />

G<br />

Mchoro wa herufi G kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa G ikiambatana na herufi ndogo g kisha waongoze<br />

wanafunzi wazinakili kwenye madaftari yao.<br />

Gg Gg Gg Gg Gg<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa G. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti mmoja mmoja na wayanakili.<br />

Goliati Gadau Godegode Gairo Gidioni Gangironga<br />

genge<br />

133


4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

wazinakili.<br />

Gadau anakwenda Geita.<br />

Gongolamboto kuna nyumba nyingi<br />

Gonga mlango utafunguliwa.<br />

Genge la baba limejaa vitu vingi<br />

Tafakuri: Ni sehemu gani ya somo hili ambayo umeifurahia sana?<br />

Somo la 77: Herufi Hh<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika harufi kubwa H<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi kubwa kama H. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili<br />

daftarini.<br />

H H H H H H<br />

H<br />

Mchoro wa herufi H kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa H ikiambatana na herufi ndogo h kisha waongoze<br />

wanafunzi wazinakili kwenye madaftari yao.<br />

Hh Hh Hh Hh Hh Hh<br />

Hh Hh<br />

134


3. Andike ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa H. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Haule Hale Horohoro Hosea Hangu<br />

Hidaya Holili<br />

hema<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Haule anabisha hodi mlangoni kwetu.<br />

Bwawa la Hale ni maarufu kwa utoaji wa umeme<br />

Hosea anazijua sana sheria.<br />

Hangu ni kijana mzuri sana.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili, Ukitaka kuandika jina la Halima utaanza na<br />

herufi gani?<br />

Somo la 78: Herufi li<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa I<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa I . Kisha waongoze wanafunzi wazinakili<br />

daftarini.<br />

135


I I I I I<br />

Mchoro wa herufi l kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa I ikiambatana na herufi ndogo i kisha waongoze wanafunzi<br />

wazinakili kwenye madaftari yao.<br />

Ii Ii Ii Ii Ii<br />

Ii<br />

Ii<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa I kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Ilula Ibrahimu Iringa Imakulata Isa<br />

Itigi ini<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Isaya amekwenda Ifakara<br />

Mimi ninaishi Iringa<br />

Isa anapenda kucheza mpira<br />

Imakulata anasomma shule ya msingi Itigi<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili.Taja majina matatu ya watu ambayo yanaanza na<br />

herufi kubwa I<br />

136


Somo la 79: Herufi Jj<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa J.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi kubwa J nyingi kisha waongoze wanafunzi wazinakili<br />

daftarini.<br />

J J J J J<br />

Mchoro wa herufi J kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa J ikiambatana na herufi ndogo j kisha waongoze wanafunzi<br />

wazinakili kwenye madaftari yao.<br />

Jj Jj Jj Jj Jj<br />

Jj Jj<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa J kisha wanafunzi wayasome kwa<br />

sauti na kuyanakili.<br />

Jamila Jerome Joisi John Jabiri<br />

Jokolo juisi<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Jamila ni mwanafunzi wa darasa la kwanza<br />

Jongo na Jabiri wanamfahamu Juma<br />

Jirani mwema amempokea Jokolo.<br />

Jengo ni mchoraji bora<br />

137


Tafakuri: Ni sehemu gani ya somo hili umeipenda sana.<br />

Somo la 80: Herufi Kk<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa K<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa K nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili<br />

daftarini.<br />

K K K K K<br />

Mchoro wa herufi K kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa K ikiambatana na herufi ndogo k kisha waongoze<br />

wanafunzi wazinakili kwenye madaftari yao.<br />

Kk Kk Kk Kk Kk<br />

Kk Kk<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa K. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti mmoja mmoja na wayanakili.<br />

Kurasini Kalosi Kinampanda Korogwe Korea<br />

Kisimayu kiazi<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

138


daraja mpya na la kisasa limejengwa Kurasini.<br />

kisima kile kimechimbwa na Kalosi.<br />

Kulwa ni mkufunzi wa chuo cha ualimu Korogwe.<br />

Reli ya kati imepita karibu na Kinampanda.<br />

Tafakuri: Waulize wanafunzi swali hili.Umefaidikaje na somo kipindi hiki?<br />

Somo la 81: Herufi Ll<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa L<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa L nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika<br />

madaftari yao.<br />

.<br />

L L L L L<br />

Mchoro wa herufi L kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa L ikiambatana na herufi ndogo l kisha waongoze wanafunzi<br />

wazinakili kwenye madaftari yao<br />

139


Ll Ll Ll Ll Ll<br />

Ll Ll<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa L kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili<br />

Lugano Ludewa Lulu Ligunga Lugalo<br />

Longido leso Lema<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Lugano anafuga kuku..<br />

Ludewa kuna machimbo ya makaa ya mawe.<br />

Longato anafuga ng’ombe wa maziwa<br />

Lomwe ni shule nzuri.<br />

Tafakuri: Taja majina mawili yenye kutumia L kubwa<br />

Somo la 82: Herufi Mm<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa M<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa M nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika<br />

madaftari yao.<br />

140


M M M M M<br />

Mchoro wa herufi M kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa M ikiambatana na herufi ndogo m kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao<br />

Mm Mm Mm Mm<br />

Mm<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa M. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Mariamu Mamea Maria Mombasa Msamvu Mungu maziwa<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Monika amebeba mzigo.<br />

Mombasa ni mji maarufu nchini Kenya<br />

Watu wote wanamwabudu Mungu<br />

Morogoro kuna mpunga mwingi<br />

Tafakuri: Somo limekufurahisha kwa kiasi gani?<br />

Somo la 83: Herufi Nn<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika harufi kubwa N<br />

Muda: Kipindi 1<br />

141


Hatua:<br />

1. Andika herufi kubwa N nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika madaftari<br />

yao.<br />

N N N N N<br />

Mchoro wa herufi N kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa N ikiambatana na herufi ndogo n kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

Nn Nn Nn Nn Nn<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa N. Kisha waongoze wanafunzi<br />

Wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Nana Nairobi Nurudini Newala Noel Nuru neno<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Nana hana nauli ya ndege.<br />

Namanga ni mpakani mwa Kenya na Tanzania.<br />

Nurudini ana watoto watatu.<br />

Tafakuri: andika majina matatu yanayoanza na herufi n<br />

Somo la 84: Herufi Oo<br />

142


Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa O<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi kubwa O nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika madaftari<br />

yao.<br />

O O O O O<br />

Mchoro wa herufi O kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa O ikiambatana na herufi ndogo o kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

Oo Oo Oo Oo Oo<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa O kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Otilia Onyango Onesmo Oliva Ore Oman oka<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome na kuzinakili.<br />

Omari ni mwimbaji<br />

Onyango ni mwigizaji mashuhuri.<br />

Oliva na Otilia ni watoto pacha.<br />

Oresti na Ore wanasoma darasa la kwanza<br />

Tafakuri: Unawezaje kutofautisha herufi o na a?<br />

143


Somo la 85: Herufi Pp<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Kusudi: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa P.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa P nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika<br />

maaftari yao.<br />

P P P P p<br />

Mchoro wa herufi P kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa P ikiambatana na herufi ndogo p kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

.<br />

Pp Pp Pp Pp Pp<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa P. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Pili Paskali Paulo Porona Pondamali<br />

pipi<br />

4. Andike ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Pondamali alikuwa golikipa hodari.<br />

Pangaro ni kijiji cha wafugaji.<br />

Pongwe ipo karibu na Tanga<br />

144


Pili ni binti mpole.<br />

Tafakuri: Andika majina matatu yanayoanza na herufi P?<br />

Somo la 86: Herufi Rr<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa R.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa R nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika<br />

madaftari yao.<br />

R R R R R R R<br />

Mchoro wa herufi R kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa R ikiambatana na herufi ndogo r kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

Rr Rr Rr Rr Rr<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa R. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Raisi Regina Rozi Rukwa Rufiji Razia<br />

reli<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Raisi ni kiongozi mkuu nchini.<br />

Regina ana bidii darasani.<br />

145


Nilikwenda Rukwa wiki iliyopita.<br />

Razia ni rafiki yake Regina.<br />

Tafakari: Ni sahihi kuandika maneno rangi na rungu kwa kutumia herufi ndogo<br />

r?<br />

Somo la 87: Herufi Ss<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa S.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi kubwa S nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika madaftari<br />

yao.<br />

S S S S S S S<br />

Mchoro wa herufi S kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa S ikiambatana na herufi ndogo s kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

Ss Ss Ss Ss Ss<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa S. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Sesilia Somalia Sima Salome Sirili Samsoni sasa<br />

3. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

146


Sara ana kalamu saba.<br />

Sima alikula sima ya ugali.<br />

Nimeiona sinema ya Samsoni na Delila.<br />

Sarafina anaishi Same.<br />

Tafakuri: Sehemu gani umeifurahia sana katika somo hili?<br />

Somo la 88: Herufi Tt<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa T.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika herufi kubwa T nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika madaftari<br />

yao.<br />

T T T T T T T<br />

Mchoro wa herufi T kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa T ikiambatana na herufi ndogo t kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

.<br />

Tt Tt Tt Tt Tt<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa T. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

147


Tomaso Tobaldi Tanzania Teresia Tatu<br />

Turuka Tarime<br />

teke<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Tatu ni mchezaji bora wa netiboli.<br />

Tanzania ni nchi yenye amani.<br />

Turuka alisafiri kutoka Tanga hadi Tarime.<br />

Tingi kuna tangi bovu<br />

Tafakuri: Kwa nini tunaandika kwa kutumia herufi kubwa?<br />

Somo la 89: Herufi Uu<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa U.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa U nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika<br />

madaftari yao.<br />

U U U U U U U<br />

Mchoro wa herufi U kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa U ikiambatana na herufi ndogo u kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

3.<br />

148


Uu Uu Uu Uu Uu<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa U. Kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili<br />

Usangi Ulaya Ukonga Ulanga Umatumbi<br />

unga<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Utengano ni udhaifu.<br />

Ulanga kuna madini ya ulanga.<br />

Usangi ni kijiji bora<br />

Utengule kunalimwa viazi.<br />

Tafakuari: Kwa nini tunajifunza herufi kubwa?<br />

Somo la 90: Herufi Vv<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa V.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa V nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika<br />

madaftari yao.<br />

V V V V V V V<br />

Mchoro wa herufi V kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa V ikiambatana na herufi ndogo v kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

149


Vv Vv Vv Vv Vv<br />

3. Mwalimu aandike ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa V. Kisha waongoze na<br />

wanafunzi wayasome na kuyanakili.<br />

Veronika Victoria Vumilia Volka Vivian vua<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Voluka amevaa viatu.<br />

Msichana yule anaitwa Veronika.<br />

Vumilia anavumilia njaa.<br />

Vaileti ni fundi mjenzi.<br />

Tafakuri: Andika maneno matatu ya watu yanayoanza na herufi v<br />

Somo la 91: Herufi Ww<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa W.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa W nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika<br />

madaftari yao.<br />

150


W W W W W W<br />

W<br />

Mchoro wa herufi W kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa W ikiambatana na herufi ndogo w kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

Ww Ww Ww Ww<br />

Ww<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa W kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Waridi Wiliamu Wete Wino Wangari wazi<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

niliwaona Wiliam na Werema wanasalimiana.<br />

Wangari alipanda miti mingi.<br />

Wete ipo Pemba.<br />

Waridi anaandika kwa kalamu ya wino.<br />

Tafakari: Mwalimu uwaelekeze watumie neno wembe kwenye sentensi<br />

151


Somo la 92: Herufi Yy<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa Y.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa Y nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika<br />

madaftari yao.<br />

Y Y Y Y Y Y Y<br />

Mchoro wa herufi Y kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa Yy ikiambatana na herufi ndogo y kisha waongoze<br />

wanafunzi wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

Yy Yy Yy Yy Yy<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa Y kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili<br />

Yeremia Yusufu Yona Yasinta Yombo<br />

Yanga yeye<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Yona ni rafiki yangu.<br />

Timu ya Yanga ni machachari sana.<br />

152


Yeremia anachora picha za wanyama.<br />

Mjomba wangu anaishi Yombo Dovya.<br />

Tafakuri: Unafikiri kuna umuhimu gani wa kujua kusoma na kuandika?<br />

Somo la 93: Herufi kubwa Zz<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuandika herufi kubwa Z.<br />

Muda: Kipindi 1<br />

Hatua:<br />

1. Andika ubaoni herufi kubwa Z nyingi. Kisha waongoze wanafunzi wazinakili katika<br />

madaftari yao.<br />

Z Z Z Z Z Z Z<br />

Mchoro wa herufi Z kubwa<br />

2. Andika ubaoni herufi kubwa Z ikiambatana na herufi ndogo z kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili kwenye madaftari yao.<br />

Zz Zz Zz Zz Zz<br />

3. Andika ubaoni majina yanayoanza na herufi kubwa Z kisha waongoze wanafunzi<br />

wayasome kwa sauti na kuyanakili.<br />

Zuma Zainabu Zuberi Zuhura Zakaria Zena<br />

ziwa<br />

4. Andika ubaoni sentensi zifuatazo. Kisha waongoze wanafunzi wazisome kwa sauti na<br />

kuzinakili.<br />

Zuma ni rais wa Afrika ya Kusini.<br />

Zainabu anapenda kuimba nyimbo<br />

153


Zuberi ni mwenyeji wa Tanga.<br />

Zakaria anatoa zaka.<br />

Tafakuri: Andika maneno haya: Waridi amekwenda Zambia<br />

Somo la: Tutii amri<br />

SURA YA SABA<br />

TUTOA NA TUTEKELEZA AMRI<br />

Ujuzi: Kuwasiliana katika shughuri mbalimbali katika mazingira yake ya karibu.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kutoa na kutii amri<br />

Muda: Vipindi 14<br />

Zana: Kadi zilizoandikwa maneno yanayotumika kutoa amri. Maneno kama: simama, kaa,<br />

rudi, tembea, kimbia, njoo, lala, ruka, kula, andika.<br />

Hatua:<br />

1. Mwite kwa kumshitua mwanafunzi mmoja ukisema: Rashidi simama. Mwanafunzi<br />

asimame huku akisema Nimesimama. Kisha mwambie Rashidi Kaa. Mwanafunzi<br />

akiwa anakaa aseme: ninakaa.<br />

2. Umsimamishe mwanafunzi wa pili ukimwambia: Kayombo Njoo hapa. Mwanafunzi<br />

akiwa anakukaribia aseme: Ninakuja. Kisha umwambie Kayombo : Rudi.<br />

Mwanafunzi akiwa anarudi aseme: Ninarudi.<br />

3. Wagawe wanafunzi katika makundi mawili, kundi A na B.<br />

4. Wape kadi za maneno wazitumie katika kutoa na kutii amri katika vikundi na mmoja<br />

mmoja. Maneno ni kama: simama, kaa chini, tembea, ruka na andika.<br />

5. Waongoze wanafunzi muigize dayolojia ifuatayo;<br />

Mwalimu: Mvungi funga mlango<br />

Mvungi: Ninafunga mlango<br />

Mwalimu: John toka nje<br />

John:<br />

Ninatoka nje.<br />

Mwalimu: John rudi ndani<br />

John: Ninarudi ndani<br />

6. Warejeshe kwenye Kitabu cha mwanafuzi sura ya saba (7.1) somo la kutoa na kutii<br />

amri waongoze wachunguze picha kisha wajaze nafasi katika sentensi kwa kutumia<br />

154


maneno ya kutoa amri. Zoezi hili lifanywe kwa kutamka kisha kwa kuandika kwenye<br />

madaftari yao.<br />

7. Waongoze wanafunzi wafanye zoezi la marudio la kutoa na kutii amri lililopo vitabuni<br />

mwao katika sura ya saba.<br />

Tafakuri: Je? Umeyaonaje mazungumzo kati ya mwalinu na mwanafuzi wakati wa somo?<br />

Somo la 1: Matukio ya wakati uliopo<br />

SURA YA NANE<br />

TUSIMULIE MATUKIO<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kueleza matukio ya wakati uliopo<br />

Muda: Vipindi 11<br />

Zana: Picha ya mwanafunzi aliyevaa viatu na soksi anayetembea<br />

155


kwenye mvua akiwa na mwavuli na barabara zimejaa maji.<br />

Hatua;<br />

1. Wasimulie wanafunzi tukio fupi la wakati uliopo.<br />

2. Tumia onesho mbinu kuwaongoza wanafunzi kuelezea matukio yanayotokea hivi<br />

sasa. Kwa mfano:<br />

Mvua kubwa inanyesha. kuna upepo mkali, miti inayumba na matawi yanaanguka.<br />

Baadhi ya nyumba zimeezuliwa mabati na zingine zimeanguka.Mito imefurika na<br />

barabara zimejaa maji na hazipitiki.<br />

Zoezi<br />

3. Waongoze wanafunzi mmoja mmoja wasimulie matukio mengine yanayofanyika<br />

katika wakati uliopo kulingana na mazingira ya shule yenu. Wakati wa kusimulia<br />

matukio hayo wasahihishe matamshi yao na mtiririko wa matukio.<br />

4. Waongoze wanafunzi katika vikundi waigize na kueleza matukio mbalimbali<br />

yanayotokea wakati uliopo.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya nane (8.1) somo la matukio ya<br />

wakati uliopo kisha waongoze wasome hadithi kwa sauti mmoja mmoja. Kisha<br />

waongoze wafanye mzaoezi yafuatayo kutokana na habari waliyosoma:<br />

1. Nani ni dada mkuu wa shule ya Namabengo?<br />

2. Shule ya namabengo ipo katika wilaya gani?<br />

3. Wilaya ya Namtumbo ipo katika mkoa gani?<br />

4. Kuna umuhimu wa kuwa na uongozi mzuri shuleni?<br />

5. Yeremia anasoma darasa la saba?<br />

6. Kwanini shule ya Namabengo inajulikana katika ngazi zote?<br />

7. Walimu na wanafunzi wanajivunia nini?<br />

8. Yeremia na Fatuma wana vipaji gani?<br />

B: Jaza maneno yafuatayo katika nafasi zilizoachwa wazi.<br />

Kaka mkuu, sambamba, busara, vipaji, ufunguo, uongozi<br />

1. Yeremia na Fatuma walikuwa na …………..vya uongozi<br />

2. Elimu huweza kuwa ni…………..wa maisha<br />

3. Yeremia alikuwa……………katika shule ya Namabengo<br />

4. Elimu huenda …………….na maisha ya mtu<br />

5. Ukiwa na …………watu hukuthamini kwa lolote utakalosema<br />

156


C: Jibu kweli au si kweli<br />

1. Shule ya Namabengo ilikosa sifa ya uongozi.<br />

2. Fatuma alikuwa kaka mkuu katika shule ya Namabengo<br />

3. Katika maisha elimu haina nafasi.<br />

4. Sifa moja ya mwanafunzi ni kusoma kwa bidii.<br />

5. Usafi ni moja ya sifa za mwanafunzi shuleni.<br />

Tafakuri: Masimulizi haya mawili yaliyotolewa wakati wa somo yana faida gani kwako?<br />

Somo la 2: Matukio ya wakati uliopita<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kueleza matukio ya wakati uliopita<br />

Muda: Vipindi 10<br />

Zana: Mpira, kamba, aliyevaa viatu na soksi anayetembea<br />

kwenye mvua akiwa na mwavuli na barabara zimejaa maji.<br />

Hatua<br />

1. Wasimulie wanafunzi tukio fupi la wakati uliopita.<br />

2. Tumia hadithi fupi kuwaongoza wanafunzi kuelezea matukio yaliopita. Kwa mfano:<br />

Bibi anasimulia hadithi kwa mjukuu wake.<br />

Hapo zamani za kale Nyoka na Jongoo walikuwa marafiki. Nyoka alikuwa na miguu<br />

lakini hana macho. Siku moja Nyoka alimwambia Jongoo: Rafiki yangu, niazime<br />

macho yako niende harusini. Nikirudi nitakurudidhia. Jongoo akamjibu: Ooh rafiki<br />

nitakuazima macho yangu lakini na wewe niazime miguu yako nitembelea mpaka<br />

utakaporudisha macho yangu. Nyoka akafikiri na kusema ; Ahsante sana rafiki<br />

yangu. Wewe ni rafiki wa kweli.Wakabalishana viungo vyao na hadi sasa Nyoka<br />

hajarudisha macho ya Jongoo. Jongoo anamtafuta Nyoka hamwoni.<br />

3. Waongoze wanafunzi mmoja mmoja wasimulie matukio mengine yaliyofanyika katika<br />

wakati uliopita kulingana na mazingira ya nyumbani kwao. Wakati wa kusimulia matukio<br />

hayo wasahihishe matamshi yao na mtiririko wa matukio.<br />

4. Warejeshe wanafunzi katika kitabu chao sura ya nane (8.2) somo la matukio ya wakati<br />

uliopita kisha waongoze wasome hadithi kwa sauti mmoja mmoja. Kisha waongoze<br />

wafanye mzaoezi yanayotokana na hadithi hiyo.<br />

Tafakuri: Masimulizi ya hadithi zilizopo katika sura hii yanakusaidiaje?<br />

157


SURA YA TISA<br />

TUTAMBUE RANGI<br />

Somo la 1: Tuzijue rangi<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuzitambua rangi mbalimbali.<br />

Muda: Vipindi 8<br />

Zana: Picha au vitu halisi venye rangi mbalimbali. Kwa mfano nyanya, maua,<br />

nguo,ubao, papai, mkaa, karatasi na kadhalika.<br />

Hatua:<br />

1. Waongoze wanafunzi kutaja rangi za vitu mbalimbali mmoja mmoja kwa sauti.<br />

2. Wapange wanafunzi katika makundi ya wanafunzi watano watano.<br />

3. Waoneshe picha au vitu halisi venye rangi mbalimbali. Kisha waongoze wanafunzi<br />

katika makundi wataje rangi za vitu hivyo.<br />

4. Watoe wanafunzi nje ya darasa. Kisha waongoze kila mmoja achukue kitu chenye<br />

rangi na kurudi darasani.<br />

5. Waongoze wanafunzi wazitaje rangi za vitu walivyochukua kisha wataje rangi ya vitu<br />

vingine vilivyo nje ya darasa.<br />

6. Warejeshe wanafunzi kwenye vitabu vyao sura ya tisa (9.1) somo la tuzijue rangi<br />

kisha waongoze wazichunguze picha na kujibu maswali yaliyo chini ya picha hizo.<br />

7. Waongoze wanafunzi wazisome hadithi ziliopo kwenye vitabu vyao. Kisha waongoze<br />

wajibu maswali yafuatayo:<br />

Maswali:<br />

158


Angalia picha hapo juu kisha:<br />

1. Taja rangi ya chungwa.<br />

2. Taja rangi ya ndizi.<br />

3. Taja rangi ya tairi la gari<br />

4. Taja rangi ya ukuta<br />

5. Je tairi ni la rangi ya kijani?<br />

6. Je ukuta ni wa rangi nyekundu?<br />

Katika picha ya hadithi ya Dandu:<br />

Onesha mtu aliyevaa nguo nyekundu<br />

Onesha mtu aliyevaa nguo ya manjano<br />

Onesha mtu aliyevaa nguo ya zambarau<br />

Onesha mtu aliyevaa nguo ya buluu<br />

Mazoezi<br />

A: Jibu maswali yafuatayo:<br />

1. Njiani kwa akina Dandu yalipambwa matawi ya miti ya rangi gani?<br />

2. Maua yalikuwa ni ya rangi gani?<br />

3. Marafiki wa Dandu walivaa nguo za rangi gani?<br />

B: Andika kweli au si kweli<br />

1. Damu ya mnyama ina rangi ya buluu<br />

2. Mzungu ana rangi nyeusi<br />

3. Mkaa una rangi nyeusi<br />

4. Viazi mviringo vina rangi ya kahawia<br />

5. Mkate una rangi nyeusi.<br />

Tafakuri: Waelekeze wanafunzi wataje rangi wanazozipenda<br />

Somo la 2: Tutumie rangi mbalimbali<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kuzitumia rangi mbalimbali.<br />

Muda: Vipindi 8<br />

159


Zana: Kalamu za rangi mbalimbali na picha za vitu visivyo na rangi kama: ndoo, embe, paka,<br />

mgomba, nyanya, chungwa, jani la mgomba.<br />

Hatua:<br />

1. Waoneshe wanafunzi picha anuwai za vitu mbalimbali ambavyo havikupakwa rangi.<br />

2. Waongoze wanafunzi wavitaja kwa sauti vitu hivyo visivyo na rangi.<br />

3. Wapange wanafunzi katika makundi ya wanafunzi watano watano. Kisha wagawie picha<br />

hizo wazipake rangi.<br />

4. Warejeshe kwenye vitabu vyao sura ya tisa (9.2) somo la Tutumie rangi. Kisha waongoze<br />

wanafunzi wachore picha zilizopo vitabuni mwao na kuzipaka rangi.<br />

5. Waongoze wanafunzi wafanye zoezi la kuchagua rangi zinazofaa kuchorea vitu<br />

vilivyoorodheshwa vitabuni mwao.<br />

Tafakuri: Upinde wa mvua una rangi gani?<br />

Somo la 1: Kusoma kwa ufahamu<br />

SURA YA KUMI<br />

UFAHAMU<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma kwa sauti habari fupi kwa kuzingatia vituo.<br />

Muda: Vipindi 12<br />

Zana: Chati ioneshayo vituo anuwai katika matini mbalimbali.<br />

160


Hatua:<br />

1. Waongoze wanafunzi wasome kwa sauti hadithi ya Nyoka na Jongoo iliopo kwenye<br />

vitabu vyao sura ya kumi somo la Ufahamu kwa kuzingatia vituo (,), (.), (?) na (!).<br />

Mwalimu, unaweza kutumia vifungu vingine vya habari.<br />

Mazoezi<br />

2. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao sura ya 10 somo la Kusoma kwa ufahamu<br />

wasome kwa sauti hadithi ya vipepeo kwa kuzingatia vituo (.), (,), (?) na (!). kwa<br />

matamshi sahihi na lafudhi ya Kiswahili.<br />

3. Waongoze wanafunzi wajibu maswali ya Nyoka na Jongoo kwa sauti mmoja mmoja.<br />

4. Warejeshe wanafunzi vitabuni mwao katika sura ya kumi. Waongoze wanafunzi<br />

wajibu maswali yatokanayo na hadithi ya vipepeo kwa kuandika madaftarini mwao<br />

A. Jibu maswali yafuatayo:<br />

1. Je, vipepeo ni wadudu au wanyama?<br />

2. Vipepeo wanaopatikana katika eneo<br />

lenu wana rangi gani?<br />

3. Vipepeo wana miguu mingapi?<br />

4. Chakula cha vipepeo ni…………<br />

5. Mikidadi alipewa siri gani?<br />

6. Je, mbinu hiyo ni ya ukweli?<br />

B. Chagua maneno yaliyo kwenye mabano kukamilisha<br />

sentensi zifuatazo:<br />

Kitenge, urembo, mabawa, porini, migomba<br />

1. Kuku ana………………….<br />

2. Chui anaishi……………….<br />

3. ……wa nguo ile unavutia sana.<br />

4. Kaka amevaa shati la ……………….<br />

5. ……imepandwa nyuma ya nyumba yetu<br />

C. Andika maneno haya kwa kujaza herufi zinazokosekana kwenye nafasi zilizoachwa<br />

wazi.<br />

D. Kwa mfano<br />

1. K-pepeo 2. M-no 3. Mku-wa<br />

4. Man-no 5. Ki-enge 6. U-embo<br />

7. N-uri 8. Kidol- 9. –kon<br />

Tafakuri: Kwa nini tunazingatia vituo wakati wa kusoma kwa sauti?<br />

161


Somo la 2: Kusoma kwa burudani<br />

Ujuzi: Kusoma kwa utambuzi na kuandika sentensi na habari fupi.<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kusoma kimya matini fupi na vitabu kwa ziada na kwa<br />

kujiburudisha.<br />

Muda: Vipindi 11<br />

Zana: Vijitabu vya hadithi fupi fupi vyenye picha.<br />

Hatua:<br />

1. Andaa na uwape wanafunzi matini sahili na vitabu mbalimbali vinavyovutia.<br />

2. Waongoze wanafunzi wasome kimya matini na vitabu hivyo.<br />

3. Waongoze wanafunzi wasimulie hadithi na picha zake. Wakati wanafunzi wakisimulia<br />

hadithi hizo uwasahihishe matamshi sahihi na lafudhi ya Kiswahili.<br />

4. Warejeshe wanafunzi kwenye vitabu vyao kisha waongoze watazame picha na wasome<br />

hadithi. Waongoze wajibu maswali yafuatayo kutokana na hadithi waliyoisoma.<br />

Maswali<br />

a) Watu wangapi walikuwa shambani?<br />

b) Tumbili wanaishi wapi?<br />

c) Kwa nini baba alisema tumbili ni wakorofi?<br />

d) Kwa nini watu wananawa wakati wa kula?<br />

e) Taja kazi tatu za nyumbani<br />

Tafakuri: Kusoma hadithi mbalimbali kuna faida gani?<br />

162


Somo la Vitendawili<br />

SURA YA KUMI NA MOJA<br />

TUJIELEZA KWA LUGHA YA KIFASIHI<br />

Ujuzi: Kutega na kutegua vitendawili<br />

Lengo: Mwanafunzi aweze kutega na kutegua vitendawili.<br />

Zana: Picha na chati za vitendawili.<br />

Hatua:<br />

1. Waongoze wanafunzi watege na kutegua vitendawili wanavyovijua.<br />

2. Tega kitendawili hiki “ kuku wangu katagia mibani” kisha wanafunzi wakitegue kwa<br />

kujibu “Nanasi”Waulize wanafunzi: Kwanini jibu lake ni nanasi? Wanafunzi wajibu:<br />

Nanasi lipo katikati ya miiba. Kwa hiyo miiba inalilinda nanasi.<br />

3. Waongoze wanafunzi waeleze maana na ujumbe kwa kila jibu la kitendawli.<br />

4.<br />

5. Warejeshe wanafunzi katika vitabu vyao sura ya kumi na moja somo la vitendawili<br />

wafanye mazoezi ya kutegua vitendawili vilivyopo kwenye picha kwa sauti na kisha<br />

kuviandika madaftarini mwao.<br />

6. Warejeshe wanafunzi kwenye vitabu vyao. Waongoze wanafunzi wafanye mazoezi ya<br />

marudio yaliopo kwenye vitabu vyao sura ya kumi na moja kwa sauti na kwa kuandika.<br />

Tafakuri: Waongoze wanafunzi watafakari waliyojifunza katika somo hili kwa<br />

kuwauliza maswali. Kwa mfano,katika somo hili la kutega na kutegua vitendwili ni<br />

sehemu gani imekufurahisha zaidi? Kuna faida gani ya kujifunza kutega na<br />

163

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!