Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />
91<br />
17.2.3 Soko linalokusudiwa.<br />
Eleza kwa muhtasari wa soko lipi linakusudiwa<br />
17.2.4 Taarifa kuhusu washindani.<br />
Taja kwa idadi taarifa kuhusu watu wengine wanaofanya biashara kama ya kwako<br />
17.2.5 Mkakati wa kuwezesha biashara hiyo ifanikiwe.<br />
Toa mkakati wa kuwezesha bidhaa au huduma yako kununuliwa au kupata wateja wengi<br />
kuliko washindani wako. (utawashinda kwa ubora wa bidhaa au huduma zako au unafuu wa<br />
bei zako?)<br />
17.2.6 Mahitaji ya fedha. (makadirio ya mauzo na gharama)<br />
(a)<br />
Gharama za bidhaa zitakazo uzwa<br />
Gharama za moja kwa moja, Ni gharama ambazo zinahusika moja kwa moja katika uzalishaji<br />
wa bidhaa ua manunuzi ya bidhaa kwa ajili ya kuuza. Hizi ni gharama zote ambazo mjairiamali<br />
ataingia hadi kuhakikisha bidhaa au huduma yake ipo tayari ambapo wateja watanunulia.<br />
Gharama hizi zinajumuisha:-<br />
‣ Gharama za kununulia mali ghafi.<br />
‣ Usafiri na usafirishaji.<br />
‣ Upakiaji na upakuzi.<br />
‣ Ushuru wa papo kwa papo wa soko.<br />
‣ Matumizi ya kujikimu wakati ukiwa kwenye kazi.<br />
(b)<br />
Gharama za uendeshaji.<br />
Gharama zisizo za moja kwa moja, hizi ni gharama ambazo haziwezi kuathiri uzalishaji<br />
wako wakati huo.hii ni pamoja na mshahara kwa mwenye biashara na waajiliwa wengine<br />
wanaolipwa kwa mwezi, bili za umeme, maji, mawasiliano, posta, malipo ya pango, kodi ya<br />
mapato, malipo ya deni n.k.<br />
Kumbuka gharama za bidhaa zitakazouzwa + gharama za uendeshaji = gharama za bidhaa.<br />
(c)<br />
Hesabu ya faida na hasara.<br />
Makisio ya mauzo Shs……………………<br />
TOA Gharama za bidhaa zinazouzwa Shs…………………….<br />
Faida ghafi Shs…………………….<br />
TOA Gharama za uendeshaji Shs……………………<br />
Faida ya kabla ya kodi Shs…………………….