24.10.2015 Views

SACCOS_Traing_Guide

SACCOS_Traing_Guide

SACCOS_Traing_Guide

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />

83<br />

I. Faida ipatikanayo<br />

Mauzo - Gharama = 0 (Hakuna faida wala hasara)<br />

Mauzo - Gharama = Faida (Iwapo mauzo ni makubwa)<br />

Mauzo - Gharama = Hasara.(Iwapo gharama ni kubwa)<br />

II .<br />

III.<br />

IV.<br />

Kukua kwa biashara: Biashara inaweza kufikia ukomo sehemu moja na kulazimika<br />

kufungua biashara. Hiyo hiyo sehemu nyingine ikaendelea kukuza mtaji wako.<br />

Kupanuka kwa biashara: Kuanzisha biashara nyingine tofauti hapo hapo au mahali<br />

pengine.<br />

Kumunufaisha mjasiriamali: Je mradi huu utatatua sasa kero za mjasiriamali katika<br />

muda mfupi ?. au muda Mrefu?<br />

‣ Eleza manufaa ya mradi kama vile kuwezesha kiuchumi, kuongeza ajira,<br />

kuongeza lishe.<br />

‣ Eleza manufaa ya mradi kwa kuzingatia faida za kiuchumi na kijamii, manufaa<br />

ya moja kwa moja na yasiyo ya moja kwa moja.<br />

V. Uwezo wa mjasiriamali mwenyewe<br />

Mjasiriamali ana uwezo wa kuendesha huo mradi ?.<br />

Ana stadi katika mradi anaokusudia<br />

Mtaji binafsi alionao wa kuanzisha mradi.<br />

VI.<br />

Udhaifu wa mjasiriamali<br />

Mapungufu katika ufahamu, stadi na mtaji.<br />

VII.<br />

VIII.<br />

Fursa zilizopo zinazoweza kumfanya mjasiriamali akabiliane na udhaifu na<br />

Vikwazo.<br />

Vikwazo vilivyopo vinavyoweza kukwamisha mradi wa mjasiriamali – sera za<br />

nchi, kupanda na kushuka kwa mali ghafi, majanga n.k.<br />

Hadi hapo mjasiriamali atakuwa amepata jibu kuhusu mradi anaokusudia, Aanzishe Mradi au la?<br />

16.5 Aina ya miradi.<br />

14.5.1 Miradi ya utoaji huduma:<br />

Hii ni miradi inayoanzishwa ambayo haina lengo la kuleta kipato kama vile ujenzi wa kisima<br />

cha maji au barabara.<br />

14.5.2 Miradi ya Uzalishaji Mali.<br />

Hii ni miradi inayoanzishwa kwa lengo la kupata kipato kama vile:-<br />

‣ Kilimo Biashara

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!