24.10.2015 Views

SACCOS_Traing_Guide

SACCOS_Traing_Guide

SACCOS_Traing_Guide

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />

77<br />

[d]<br />

Taratibu na kanuni za kuendesha kikao<br />

‣ Mwenyekiti ndiye anayeongoza kikao.<br />

‣ Katibu ndiye atakayeandika muhtasari wa kikao.<br />

‣ Katibu atamthibitishia mwenyekiti akidi ya kikao na kumwomba afungue kikao.<br />

‣ Katibu atasoma ajenda ya kikao ikiwa ni pamoja na kufungua kikao, kuridhia ajenda, kusoma<br />

muhtasari wa kikao kilichopita, yatokanayo na muhtasari wa kikao kilichopita, ajenda mpya na<br />

kufunga kikao.<br />

‣ Mwenyekiti atawaomba wajumbe wazithibitishe [waridhie] ajenda za kikao.<br />

‣ Katibu atasoma muhtasari wa kikao kilichopita.<br />

‣ Mwenyekiti atatoa nafasi ya kufanya masahihisho ya muhtasari ulichopita.<br />

‣ Baada ya wajumbe kuuthibitisha muhtasari wa wa kikao kilichopita mwenyekiti ataweka saini.<br />

‣ Kwa idhini ya mwenyekiti, katibu atasoma taarifa ya yatokanayo.<br />

‣ Mwenyekiti atawaongoza wajumbe kujadili ajenda mpya za kikao hicho moja baada ya<br />

nyingine.<br />

‣ Baada ya kujadili ajenda zote mwenyekiti atafunga kikao rasmi.<br />

[e]<br />

<br />

<br />

<br />

[f]<br />

Mambo muhimu ya kuzingatia katika kikao<br />

Mwenyekiti ahakikishe anaongoza kikao kwa kuzingatia muda.<br />

Mwenyekiti atoe fursa kwa wajumbe kuchangia hoja yeye atahitimisha [kufikia mwafaka wa<br />

azimio].<br />

Ukaaji wa kwenye kikao uwe nusu duara ili kurahisisha mawasiliano baina ya mwenyekiti na<br />

wajumbe wa kamati.<br />

Uandishi wa muhtasari wa kikao<br />

Vipengele muhimu kwenye muhtasari wa kikao:<br />

‣ Kichwa cha muhtasari [kikao gani cha nini, kimefanyika wapi na tarehe ya kikao].<br />

‣ Waliohudhuria.<br />

‣ Wasiohudhuria kwa sababu.<br />

‣ Maelezo ya ajenda moja baada ya nyingine.<br />

‣ Zingatia kila ajenda iwe na namba ya ajenda na mwaka husika, kichwa cha habari cha ajenda,<br />

maelezo kwa ufupi na maazimio yaliyofikiwa.<br />

‣ Mwisho wa muhtasari kuwe na sehemu ya kuthibitisha kwa mwenyekiti na katibu kuweka<br />

saini.<br />

UMETHIBITISHWA<br />

Mwenyekiti……………………<br />

Katibu…………………….<br />

Tarehe……………………

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!