SACCOS_Traing_Guide
SACCOS_Traing_Guide SACCOS_Traing_Guide
58 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 9.7 TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI Chama cha ushirika cha Akiba na Mikopo cha ………………………… Taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi kinachoishia …………………… Namba ya Akaunti Maelezo 31 Desemba ……………… 31 Desemba …………….. 4000 MAPATO SHS SHS JUMLA YA MAPATO 5000 MATUMIZI JUMLA YA MATUMIZI ZIADA/PUNGUFU (A) Maana ya Mapato na Matumizi. ‣ Taarifa ya mapato na matumizi hupima biashara ya SACCOS ya kifedha yaani matokeo ya kujishughulisha katika biashara ya fedha kwa kulinganisha mapato yaliyochumwa na gharama zilizotumika kuingiza mapato haya kwa kipindi maalum. ‣ Faida hupatiakna endapo mapato ya SACCOS yanazidi matumizi [gharama za uendeshaji] ‣ Hasara hutokea wakati ambapo gharama za uendeshaji huwa kubwa kuliko mapato. (B) Muundo wa mapato na matumizi. Ni lazima taarifa hii ionyeshe matokeo ya biashara ya miaka miwili [vipindi viwili], mwaka wa sasa na mwaka uliotangulia ili kuwezesha watumiaji wa taarifa kufanya ulinganisho. 9.8 TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA. Taarifa ya mtiririko wa fedha unaoishia tarehe …………………….. A Mtiririko wa fedha toka shughuli za uendeshaji Shs B Mtiririko wa fedha toka shughuli za uwezeshaji JUMLA JUMLA
Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 59 C Mtiririko wa fedha toka shughuli za ugharamiaji (za kifedha) D A + B + C = Jumla ya fedha iliyoongezeka/ ( pungua ) Ongeza: Jumla ya fedha mwanzoni mwa mwaka ( taslimu na Benki) E JUMLA YA FEDHA MWISHONI. IMEWAKILISHWA NA: F Fedha Taslimu (mwishoni mwa mwaka) Fedha Benki (mwishoni mwa mwaka) G JUMLA YA FEDHA MWISHONI JUMLA Kumbuka: (i) Jumla ya E sharti ilingane na Jumla ya G (ii) Fedha inayoingia inaongeza fedha za chama inawekewa + na fedha inayotoka inapunguza fedha za chama inawekewa - au (a) Maana ya Taarifa ya mtiririkowa fedha. Taarifa ya mtiririko wa fedha huonyesha Jinsi fedha ilivyoingia na Jinsi fedha ilivyotoka kwenye SACCOS kwa kipindi husika. Taarifa hii huonyesha mambo makubwa matatu:- (i) Mtiririko wa fedha toka shughuli za Uendeshaji kiasi cha fedha kilichopokelewa kutokana na shughuli za uwezeshaji au kiasi cha fedha kilichotumika zaidi ili kuendesha shughuli za biashara. Inajumuisha: ‣ Faida halisi ( Hasara halisi) kwa kipindi husika au mapato ya kawaida na gharama za Uendeshaji. ‣ Mikopo ya wanachama ‣ Wadaiwa. (ii) Mtiririko wa fedha toka shughuli za Uwezashaji Kiasi cha fedha kilichopokelewa kutokana na shughuli za uwezeshaji na kiasi cha fedha zilizotumika katika shughuli za uwezeshaji wa rasilimali za Muda mrefu. Inajumuisha:- ‣ Manunuzi au mauzo ya mali za kudumu ‣ Uwezeshaji vitega uchumi. ‣ Gharama za ujenzi.(iii) Mtiririko wa fedha toka shughuli za Kifedha au Ugharamiaji. Kiasi cha fedha kilichopokelewa kutokana na shughuli za ugharamiaji za muda mrefu au kiasi cha fedha kilichotumika kwa shughuli za ugharamiaji. Inajumuisha:- ‣ Mikopo ya Taasisi za nje. ‣ Riba ya taasisi za nje. ‣ Hisa, akiba na Amana za wanachama n.k ‣ Malipo ya gawio.
- Page 14 and 15: 8 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS {I}
- Page 16 and 17: 10 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Ai
- Page 18 and 19: 12 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS hu
- Page 20 and 21: 14 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 3.
- Page 22 and 23: 16 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS NA
- Page 24 and 25: 18 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 26 and 27: 20 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS [i
- Page 28 and 29: 22 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 4.
- Page 30 and 31: 24 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (e
- Page 32 and 33: 26 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 34 and 35: 28 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS ya
- Page 36 and 37: 30 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 6.
- Page 38 and 39: 32 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS au
- Page 40 and 41: 34 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 7.
- Page 42 and 43: 36 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 44 and 45: 38 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS fe
- Page 46 and 47: 40 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS [B
- Page 48 and 49: 42 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Ma
- Page 50 and 51: 44 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 8.
- Page 52 and 53: 46 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS wa
- Page 54 and 55: 48 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Ba
- Page 56 and 57: 50 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (i
- Page 58 and 59: 52 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 28
- Page 60 and 61: 54 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS M
- Page 62 and 63: 56 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS MZ
- Page 66 and 67: 60 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 9.
- Page 68 and 69: 62 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 10
- Page 70 and 71: 64 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS n.
- Page 72 and 73: 66 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 11
- Page 74 and 75: 68 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 12
- Page 76 and 77: 70 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 12
- Page 78 and 79: 72 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 2.
- Page 80 and 81: 74 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Fu
- Page 82 and 83: 76 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 14
- Page 84 and 85: 78 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 15
- Page 86 and 87: 80 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (i
- Page 88 and 89: 82 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 16
- Page 90 and 91: 84 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 92 and 93: 86 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (v
- Page 94 and 95: 88 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Wa
- Page 96 and 97: 90 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 17
- Page 98: 92 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS TO
Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />
59<br />
C<br />
Mtiririko wa fedha toka shughuli za ugharamiaji (za kifedha)<br />
D A + B + C = Jumla ya fedha iliyoongezeka/ ( pungua )<br />
Ongeza: Jumla ya fedha mwanzoni mwa mwaka ( taslimu na Benki)<br />
E JUMLA YA FEDHA MWISHONI.<br />
IMEWAKILISHWA NA:<br />
F Fedha Taslimu (mwishoni mwa mwaka)<br />
Fedha Benki (mwishoni mwa mwaka)<br />
G JUMLA YA FEDHA MWISHONI<br />
JUMLA<br />
Kumbuka:<br />
(i) Jumla ya E sharti ilingane na Jumla ya G<br />
(ii) Fedha inayoingia inaongeza fedha za chama inawekewa + na fedha inayotoka inapunguza<br />
fedha za chama inawekewa - au<br />
(a)<br />
Maana ya Taarifa ya mtiririkowa fedha.<br />
Taarifa ya mtiririko wa fedha huonyesha Jinsi fedha ilivyoingia na Jinsi fedha ilivyotoka kwenye <strong>SACCOS</strong><br />
kwa kipindi husika.<br />
Taarifa hii huonyesha mambo makubwa matatu:-<br />
(i) Mtiririko wa fedha toka shughuli za Uendeshaji<br />
kiasi cha fedha kilichopokelewa kutokana na shughuli za uwezeshaji au kiasi cha fedha<br />
kilichotumika zaidi ili kuendesha shughuli za biashara. Inajumuisha:<br />
‣ Faida halisi ( Hasara halisi) kwa kipindi husika au mapato ya kawaida na gharama za<br />
Uendeshaji.<br />
‣ Mikopo ya wanachama<br />
‣ Wadaiwa.<br />
(ii)<br />
Mtiririko wa fedha toka shughuli za Uwezashaji<br />
Kiasi cha fedha kilichopokelewa kutokana na shughuli za uwezeshaji na kiasi cha fedha<br />
zilizotumika katika shughuli za uwezeshaji wa rasilimali za Muda mrefu. Inajumuisha:-<br />
‣ Manunuzi au mauzo ya mali za kudumu<br />
‣ Uwezeshaji vitega uchumi.<br />
‣ Gharama za ujenzi.(iii) Mtiririko wa fedha toka shughuli za Kifedha au Ugharamiaji.<br />
Kiasi cha fedha kilichopokelewa kutokana na shughuli za ugharamiaji za muda mrefu au kiasi<br />
cha fedha kilichotumika kwa shughuli za ugharamiaji. Inajumuisha:-<br />
‣ Mikopo ya Taasisi za nje.<br />
‣ Riba ya taasisi za nje.<br />
‣ Hisa, akiba na Amana za wanachama n.k<br />
‣ Malipo ya gawio.