24.10.2015 Views

SACCOS_Traing_Guide

SACCOS_Traing_Guide

SACCOS_Traing_Guide

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

46 Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />

wa udhibiti wa hesabu za ushirika maana utaelezea kwa ufasaha mali zilizopo katika<br />

himaya ya ushirika, zimetokana na nini na zimefika vipi, katika chama na wenyewe ni<br />

akina nani na zinaangaliwa vipi.<br />

8.4.3 USHIRIKIANO WA MPE NA MTOE<br />

(Kanuni za MPE na MTOE)<br />

<br />

Katika masuala ya miamala ya kifedha ni lazima pawepo matukio mawili:-<br />

‣ Tukio la kutoa na lile la kupokea.<br />

‣ Ni lazima awepo anayetoa na anayepokea.<br />

‣ Ni lazima iwepo akaunti inayotoa na inayopokea.<br />

<br />

<br />

Matukio haya mawili ni pacha, moja likitokea na lingine linatendeka muda huohuo<br />

na kuwa hitimisho la tukio lililotangulia.<br />

Kutendeka kwa tukio la pili ni kuthibitisha kuwa tukio la kwanza limefika salama<br />

mahali panapostahili.<br />

MPE (+) VS MTOE (-)<br />

MPE- anayepokea VS MTOE- anayetoa<br />

MPE-Kinachoingia VS MTOE-kinachotoka<br />

MPE-Viingiavyo VS Mtoe-vitokavyo<br />

<br />

<br />

Ili kuhitimisha matendo ya mpe na mtoe ni lazima kila chama cha ushirika kiwe na<br />

akaunti za kuingiza miamala hii, akaunti hizi zitatunzwa ndani ya kitabu kinachoitwa<br />

Leja kuu.<br />

Kila akaunti ndani ya kitabu cha leja kuu ni lazima iwe na pande mbili yaani upande<br />

wa MPE na upande wa MTOE ili kuonyesha ni thamani gani imeingizwa au kutolewa<br />

kwenye akaunti hiyo.<br />

8.5 KUANDAA TAARIFA SAHIHI NA KWA WAKATI UNAOSTAHILI<br />

Bodi inatakiwa kuhakikisha kwamba taarifa zote za mahesabu ya <strong>SACCOS</strong> ziko sahihi wakati wote.<br />

Taarifa sahihi zinaweza kupatikana endapo kama bodi:-<br />

a) Itaanzisha mfumo mzuri wa utawala na uhasibu.<br />

b) Kuajiri wafanyakazi wenye ujuzi na uzoefu katika uhasibu.<br />

c) Kuajiri meneja ambaye ataendesha na kusimamia shughuli za kila siku.<br />

d) Kuweka mazingira mazuri ya kufanya kazi kama vile kuwa na ofisi, ulinzi n.k.<br />

e) Kuwapatia wafanyakazi wake vitendea kazi bora kama vile vikokotozi, samani, kasiki, ofisi nzuri<br />

na imara.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!