You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />
iii<br />
SHUKRANI<br />
Mwongozo huu wa Mafunzo ya Uimarishaji wa Ushirika wa Akiba na Mikopo, Elimu ya Ujasiriamali na<br />
Stadi za Biashara umeandaliwa na Bw. Saulo P. Lunyeka, Afisa Ushirika wilaya ya Bunda. Bi. Margareth<br />
Nzuki na Bw. Abdallah Hassan toka TaasisI ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF) walishirki kuhariri<br />
na kuratibu uchapaji wa muongozo. Shukrani pia zimuendee Bw. Jones Kaleshu wa Chuo Kikuu cha<br />
Ushirika Moshi kwa ushauri na mawazo yaliyoboresha mwongozo huu.<br />
Muongozo huu umetolewa na TaasisI ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF) kwa kushirikiana na Shirika<br />
la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) pamoja na Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango chini ya mradi<br />
wa Kukuza Uchumi, Kuleta Maendeleo Endelevu Kupitia Utunzaji Mazingira, Usawa wa Kijinsia na<br />
Kupunguza Mabadiliko ya Tabia Nchi.<br />
Maoni yaliyo katika mwongozo huu, pamoja na mapungufu yote ni ya waandishi hayahusiani kwa<br />
namna yoyote ile na taasisi zilizotajwa hapo juu.