24.10.2015 Views

SACCOS_Traing_Guide

SACCOS_Traing_Guide

SACCOS_Traing_Guide

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />

39<br />

sana ukubwa wa mtaji wa chama husika, mtaji ukiwa mdogo, inafaa Kamati ya<br />

Usimamizi iendelee kufanya kazi za Mkaguzi wa Ndani kwa kuwa mojawapo ya<br />

majukumu yao ni kulinda mali za <strong>SACCOS</strong> na maslahi ya wanachama. Vinginevyo<br />

<strong>SACCOS</strong> inaweza kujiunga na Mtandao kama upo ambao utakuwa unatoa huduma<br />

hiyo kwa gharama nafuu zitakazochangiwa na kila Mwanachama kulingana na<br />

huduma iliyotolewa.<br />

(vii)<br />

Kuwa na Ushirikiano Mzuri na Kamati ya Usimamizi:<br />

Kila Chama cha Ushirika cha Akiba na Mikopo kitakuwa na kamati ya usimamizi kusimamia<br />

shughuli za kifedha katika chama. Kamati hii itaundwa na wajumbe watatu waliochaguliwa<br />

na wanachama katika Mkutano Mkuu, wajumbe hawa hawatakuwa wajumbe wa Bodi au<br />

wajumbe wa Kamati ya Mikopo.<br />

Wajumbe wa Kamati ya kamati ya usimamizi wanawajibika na kuwajibishwa na Mkutano<br />

Mkuu wa <strong>SACCOS</strong>. Wajumbe wa Kamati hii ni wawakilishi wa wanachama na moja ya kazi za<br />

kamati ya usimamizi ni kuwa Mkaguzi na mshauri wa <strong>SACCOS</strong>.<br />

<br />

<br />

(viii)<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

(ix)<br />

<br />

<br />

Kamati ya usimamizi iwe inaamuru Mikopo kusimamishwa mara tu pale mikopo<br />

inayotarajiwa kurejeshwa inazidi 5% ya jumla ya mikopo inayotarajiwa kurejeshwa.<br />

Kila mwisho wa miezi mitatu, orodha ya Mikopo yote isiyorejeshwa itatolewa. Kamati<br />

ya usimamizi itaamuru kusimamishwa utoaji wa mikopo endapo orodha hiyo<br />

haitolewi na kupatikana kwa wanachama mnamo wiki ya kwanza baada ya mwezi<br />

husika kumalizika.<br />

Kuimarisha Udhibiti wa Ndani wa Mfumo wa Uhasibu:<br />

Fedha zote zinazopokewa na Karani/Mhasibu ni lazima zikatiwe stakabadhi ya fedha<br />

baada ya mhusika kujaza fomu ya kuweka fedha.<br />

Malipo yote yatalipwa na Mhasibu baada ya mhusika kujaza fomu ya kuchukua fedha<br />

na malipo hayo kuidhinishwa.<br />

Hati zote zitakazohusika kulipia fedha zitatakiwa kuwa na saini ya Mlipaji, Mlipwaji na<br />

Mwidhinishaji.<br />

Kiwango cha Mikopo inayotolewa na <strong>SACCOS</strong> wakati wowote, hakiwezi kuzidi<br />

kiwango ambacho kinalingana na robo tatu ya Mtaji wa Msingi na Akiba au Amana za<br />

<strong>SACCOS</strong>.<br />

Kuhakikisha Taarifa za Fedha na Utawala Zinatayarishwa kwa Wakati<br />

Unaostahili na Kuwasilishwa Zinakohitajika:<br />

Taarifa sharti itayarishwe kwa kuzingatia muda la sivyo itapoteza thamani yake kwa<br />

watumiaji. Taarifa inayotolewa baada ya kipindi chake kupita haina maana kabisa.<br />

Bodi ya Chama cha Akiba na Mikopo itaandaa taarifa za hesabu ikiwemo mizania ya<br />

mwaka, taarifa ya mapato na Matumizi ya Mwaka ilivyokuwa tarehe ya mwisho ya<br />

mwaka wa fedha uliopita na kuiwasilisha kunakohusika .

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!