SACCOS_Traing_Guide
SACCOS_Traing_Guide SACCOS_Traing_Guide
16 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS NA HALI DUNI YA SACCOS HALI YA KURIDHISHA YA SACCOS 1 Wanachama wachache wa SACCOS Wanachama wanaoongezeka 2 Mtaji mdogo katika SACCOS Mtaji unaoongezeka 3 Mikopo midogo inayotolewa kwa mwaka Mikopo inayotolewa kila mwaka inaoongezeka 4 Mikopo chechefu ni mingi Madeni chechefu ni kidogo 5 Mapato ya SACCOS ni kidogo sana Mapato ni makubwa sana 6 Faida kwa mwaka ni kidogo sana Faida kwa mwaka ni kubwa 7 SACCOS haina uwezo wa kuajiri watendaji SACCOS ina ajiri watendaji wenye sifa na ujuzi 8 Saccos haizungumzwi vema katika jamii SACCOS inazungumzwa vema katika jamii 9 Wanachama waaminifu wanazidi kupungua Wanachama waaminifu wanaongezeka 3.5 SEHEMU KUU ZA UONGOZI WA SACCOS Uongozi wa SACCOS uko mikononi mwa: (xv) (xvi) (xvii) (xviii) Mkutano mkuu wa wanachama wote Wajumbe wa Bodi ya chama Kamati ya mikopo na kamati ya usimamizi Menejimenti ya chama 3.5.1 Wajumbe wa bodi ya chama Wajumbe wa Bodi ya chama watakuwa kati ya 5 – 9 watakaochaguliwa na mkutano mkuu wa mwaka Mikutano ya bodi itafanyika mara 4 kwa mwaka ‣ KAZI ZA BODI YA CHAMA I. Kutunga kanuni za fedha za SACCOS II. kuhakikisha SACCOS inatunza kumbukumbu sahihi za hesabu zinazoonesha hali halisi ya kifedha ya SACCOS III. Kuhakikisha katika SACCOS kuna udhibiti wa ndani uliothabiti IV. kuweka kwa usahili daftari la wanachama V. Kuweka kwa usahili mihtasari ya mikutano mikuu na mikutano ya bodi VI. kuwasilisha kwenye mkutano mkuu wa mwaka mahesabu yaliyokaguliwa VII. Kuwasilisha kwenye mkutano mkuu wa mwaka bajeti ya mapato na matumizi ya mwaka unaofuata VIII. Kupendekeza malipo ya gawio kwenye mkutano mkuu baada ya idhini ya mrajisi IX. Kupitisha taarifa ya fedha ya chama ya kila mwezi X. Kuidhinisha maombi ya mikopo kutoka kwa wajumbe wa bodi na kamati za chama (kamati ya mikopo na usimamizi) XI. Kupokea na kujadili taarifa ya kamati ya mikopo na kamati ya usimamizi
Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 17 XII. XIII. XIV. XV. XVI. XVII. XVIII. XIX. XX. XXI. XXII. XXIII. Kumwezesha mtu aliyeidhinishwa kukagua vitabu vya chama na kuhakikisha kuwa hatua zimechukuliwa kutokana na taarifa ya ukaguzi Kuandaa mpango biashara wa chama Kuajiri na kuteua watumishi wenye sifa za kutosha kutenda shughuli za kila siku za chama Kupanga saa za kazi katika SACCOS Kupanga riba ya mikopo, faida za Akiba na Amana kwa kushauriana na meneja wa SACCOS Kumsimamisha mjumbe yeyote wa bodi ambaye ameshindwa kutimiza masharti ya vyama vya ushirika, kanuni na masharti ya chama hadi mkutano mkuu utakapotoa uamuzi wake Kusimamia na kupima mara kwa mara kazi za watendaji Kuwaingiza wanachama wapya ikisubiri uthibitisho wa mkutano mkuu Kutunza daftari la mahudhurio la wajumbe wa bodi Kuchapisha hati za kumiliki hisa kwa ajili ya wanachama Kuandaa marekebisho ya masharti ya chama pale inapobidi na kuwasilisha kwenye mkutano mkuu Kutengeneza mpango mkakati wa chama, mpango kazi na utaratibu wa utekelezaji wa mwaka. 3.6 KAMATI YA USIMAMIZI KILA CHAMA cha ushirika cha akiba na mikopo kitakuwa na kamati ya usimamizi kusimamia shughuli za kifedha katika chama. Kamati hii itaundwa na wajumbe watatu waliochaguliwa katika mkutano mkuu, wajumbe hawa hawatakuwa wajumbe wa bodi au wajumbe wa kamati ya mikopo, wanawajibika na kuwajibishwa na mkutano mkuu wa SACCOS. Wajumbe wa kamati ya Usimamizi kama wawakilishi wa wanachama moja ya kazi zao ni kuwa wakaguzi na washauri wa SACCOS. 3.6.1 Kamati ya usimamizi kama mkaguzi wa SACCOS, inatakiwa kufanya kazi zifuatazo: I. Kuhakikisha ukaguzi unafanyika mara kwa mara na kwamba shughuli za SACCOS zinatekelezwa kwa kufuata sheria, taratibu, sera, kanuni zilizopo na maagizo ya mkutano mkuu. II. Kuona kuwa SACCOS inatekeleza majukumu ya kutoa huduma bora za kifedha kwa jamii na inakuwa karibu na wanachama. 3.6.2 Kamati ya usimamizi kama mshauri itakuwa na kazi ya kutoa ushauri, maoni na mapendekezo yake kwenye Bodi, kamati ya mikopo na manejimenti kwa lengo la kuboresha na kuimarisha huduma zao na pia uhusiano mzuri na wanachama ambao kwa upande mmoja ni wateja na kwa upande mwingine ni wenye mali na pia ni sehemu ya jamii. 3.6.3 Kamati ya usimamizi ina mamlaka yafuatayo:
- Page 1: Mradi wa Kukuza Uchumi, Kuleta Maen
- Page 4 and 5: ii Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS MW
- Page 6 and 7: iv Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 8 and 9: 2 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 1.3
- Page 10 and 11: 4 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS ata
- Page 12 and 13: 6 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (xi
- Page 14 and 15: 8 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS {I}
- Page 16 and 17: 10 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Ai
- Page 18 and 19: 12 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS hu
- Page 20 and 21: 14 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 3.
- Page 24 and 25: 18 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 26 and 27: 20 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS [i
- Page 28 and 29: 22 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 4.
- Page 30 and 31: 24 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (e
- Page 32 and 33: 26 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 34 and 35: 28 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS ya
- Page 36 and 37: 30 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 6.
- Page 38 and 39: 32 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS au
- Page 40 and 41: 34 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 7.
- Page 42 and 43: 36 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 44 and 45: 38 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS fe
- Page 46 and 47: 40 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS [B
- Page 48 and 49: 42 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Ma
- Page 50 and 51: 44 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 8.
- Page 52 and 53: 46 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS wa
- Page 54 and 55: 48 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Ba
- Page 56 and 57: 50 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (i
- Page 58 and 59: 52 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 28
- Page 60 and 61: 54 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS M
- Page 62 and 63: 56 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS MZ
- Page 64 and 65: 58 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 9.
- Page 66 and 67: 60 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 9.
- Page 68 and 69: 62 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 10
- Page 70 and 71: 64 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS n.
Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />
17<br />
XII.<br />
XIII.<br />
XIV.<br />
XV.<br />
XVI.<br />
XVII.<br />
XVIII.<br />
XIX.<br />
XX.<br />
XXI.<br />
XXII.<br />
XXIII.<br />
Kumwezesha mtu aliyeidhinishwa kukagua vitabu vya chama na kuhakikisha kuwa<br />
hatua zimechukuliwa kutokana na taarifa ya ukaguzi<br />
Kuandaa mpango biashara wa chama<br />
Kuajiri na kuteua watumishi wenye sifa za kutosha kutenda shughuli za kila siku za<br />
chama<br />
Kupanga saa za kazi katika <strong>SACCOS</strong><br />
Kupanga riba ya mikopo, faida za Akiba na Amana kwa kushauriana na meneja wa<br />
<strong>SACCOS</strong><br />
Kumsimamisha mjumbe yeyote wa bodi ambaye ameshindwa kutimiza masharti ya<br />
vyama vya ushirika, kanuni na masharti ya chama hadi mkutano mkuu utakapotoa<br />
uamuzi wake<br />
Kusimamia na kupima mara kwa mara kazi za watendaji<br />
Kuwaingiza wanachama wapya ikisubiri uthibitisho wa mkutano mkuu<br />
Kutunza daftari la mahudhurio la wajumbe wa bodi<br />
Kuchapisha hati za kumiliki hisa kwa ajili ya wanachama<br />
Kuandaa marekebisho ya masharti ya chama pale inapobidi na kuwasilisha kwenye<br />
mkutano mkuu<br />
Kutengeneza mpango mkakati wa chama, mpango kazi na utaratibu wa utekelezaji<br />
wa mwaka.<br />
3.6 KAMATI YA USIMAMIZI<br />
KILA CHAMA cha ushirika cha akiba na mikopo kitakuwa na kamati ya usimamizi kusimamia shughuli za<br />
kifedha katika chama. Kamati hii itaundwa na wajumbe watatu waliochaguliwa katika mkutano mkuu,<br />
wajumbe hawa hawatakuwa wajumbe wa bodi au wajumbe wa kamati ya mikopo, wanawajibika na<br />
kuwajibishwa na mkutano mkuu wa <strong>SACCOS</strong>.<br />
Wajumbe wa kamati ya Usimamizi kama wawakilishi wa wanachama moja ya kazi zao ni kuwa wakaguzi<br />
na washauri wa <strong>SACCOS</strong>.<br />
3.6.1 Kamati ya usimamizi kama mkaguzi wa <strong>SACCOS</strong>, inatakiwa kufanya kazi zifuatazo:<br />
I. Kuhakikisha ukaguzi unafanyika mara kwa mara na kwamba shughuli za <strong>SACCOS</strong><br />
zinatekelezwa kwa kufuata sheria, taratibu, sera, kanuni zilizopo na maagizo ya<br />
mkutano mkuu.<br />
II. Kuona kuwa <strong>SACCOS</strong> inatekeleza majukumu ya kutoa huduma bora za kifedha kwa<br />
jamii na inakuwa karibu na wanachama.<br />
3.6.2 Kamati ya usimamizi kama mshauri itakuwa na kazi ya kutoa ushauri, maoni na<br />
mapendekezo yake kwenye Bodi, kamati ya mikopo na manejimenti kwa lengo la<br />
kuboresha na kuimarisha huduma zao na pia uhusiano mzuri na wanachama ambao<br />
kwa upande mmoja ni wateja na kwa upande mwingine ni wenye mali na pia ni<br />
sehemu ya jamii.<br />
3.6.3 Kamati ya usimamizi ina mamlaka yafuatayo: