You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
14 Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />
3. UONGOZI KATIKA <strong>SACCOS</strong><br />
3.1 MUUNDO WA <strong>SACCOS</strong><br />
MKUTANO MKUU<br />
(WANACHAMA WOTE)<br />
KAMATI YA MIKOPO<br />
(WAJUMBE 3)<br />
KAMATI YA USIMAMIZI<br />
(WAJUMBE 3)<br />
BODI YA CHAMA<br />
(WAJUMBE 5-9)<br />
WATENDAJI<br />
• MENEJA<br />
• MHASIBU<br />
• AFISA MIKOPO<br />
• KARANI WA HESABU<br />
3.2 MIKUTANO MIKUU YA WANACHAMA<br />
‣ Mkutano mkuu wa wanachama ndiyo utakaokuwa na mamlaka ya juu katika kuongoza na<br />
kusimamia shughuli zote za maendeleo ya chama.<br />
‣ Wanachama wote wanatakiwa kuhudhuria na ndio wenye sauti na uamuzi wa mwisho katika<br />
uendeshaji wa shughuli za <strong>SACCOS</strong>.<br />
Mkutano mkuu wa wanachama ni pamoja na:-<br />
(i)<br />
MKUTANO MKUU WA KWANZA<br />
Mkutano mkuu wa kwanza utafanyika miezi miwili tokea kupokea cheti cha usajili, mkutano huu<br />
utahusika na kuwasilisha cheti cha usajili na uchaguzi wa bodi ya chama.<br />
(ii)<br />
MKUTANO MKUU WA MWAKA<br />
Utafanyika kila mwaka muda wa miezi tisa baada ya kufunga mwaka wa fedha uliopita. Tangazo la<br />
mkutano mkuu ni siku 21.<br />
(iii)<br />
MKUTANO MKUU MAALUMU<br />
Utafanyika pale ambapo theluthi moja ya wanachama wameonyesha kwa maandishi nia yao ya kuwa<br />
na mkutano na mrajisi atapelekewa nakala ya mkutano huo. Mkutano huu unaweza ukafanyika pia