SACCOS_Traing_Guide
SACCOS_Traing_Guide SACCOS_Traing_Guide
4 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS atakuwa mwenyekiti wa kikao. Watateua bodi ya muda ya uanzilishi yenye wajumbe kati ya 5- 9 akiwemo mwenyekiti, mwekahazina, katibu na wajumbe wengine. [ii] kazi za kamati ya muda ya uanzilishi (a) Kushirikiana na Afisa ushirika kutayarisha masharti na sera za SACCOS inayohusika. (b) Kutayarisha kidadisi uchumi. (c) Kuandaa mpango biashara. (d) Kuandaa makisio ya mapato na matumizi ya chama ya mwaka wa kwanza. (e) Kutafuta ofisi ya chama. (f ) Kukusanya viingilio, Hisa na akiba. (g) Kununua vitendea kazi. (h) Kuajiri mtunza vitabu / karani wa mahesabu. [iii] Mkutano wa kujadili mapendekezo ya kamati ya uanzilishi. Kikao kitaongozwa na mwenyekiti wa kamati ya uanzilishi, kikao kitajadili na kupitisha masharti, sera za chama na kuidhinisha makisio ya mapato na matumizi ya mwaka. Mambo ya msingi yanayotakiwa yawepo katika masharti ya chama ni: Jina na anwani ya chama Madhumuni ya chama Uanachama(sifa za kujiunga katika chama,kukubaliwa uanachama,kukoma kwa uanachama na kusimamishwa uanachama. Haki za mwanachama Wajibu wa mwanachama Fedha na mali za chama. Taratibu za akiba na amana na mikopo Mgao wa ziada. Usimamizi na Uongozi wa chama( Mikutano mikuu,Bodi na kamati zake, watumishi wa chama. Kufutwa kwa chama. Mengineyo. Mambo ya msingi yanayotakiwa kuwemo katika sera za chama ni pamoja na aina za sera kama vile sera na taratibu za uwekaji wa akiba,sera na taratibu za mikopo,sera ya usimamizi wa fedha,sera ya Utumishi n,k. [iv] Kuwasilisha maombi ya usajili wa chama Maombi ya usajili yatawasilishwa kwa mrajisi msaidizi kupitia kwa Afisa ushirika wa wilaya. Fomu ya kuandikishwa chama itaambatanishwa na nakala nne za masharti, sera za SACCOS, kidadisi
Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 5 uchumi, makisio ya mapato na matumizi, mihtasari ya mikutano miwili ya uanzishaji na Ada ya usajili. Chama kinaposajiliwa kinapewa hati ya usajili, hivyo kinakuwa na uwezo wa kushitaki, kushitakiwa na kuingia mkataba kwa jina lake. 1.6 UMUHIMU WA SACCOS KATIKA MAENDELEO YA WANACHAMA NA KWA JAMII Umuhimu wa SACCOS katika maendeleo ya wanachama na jamii na mchango wa SACCOS katika maendeleo ya sekta ya fedha ni kama ifuatavyo; (i) (ii) (iii) (iv) Wanachama wananufaika kwa kuwa na mahali pa kutunzia fedha zao kwa usalama. SACCOS ni asasi ya kifedha ambapo wanachama wanaweka amana na akiba zao, amana hizi zinapelekwa benki na mtu mmoja na kutunzwa katika akaunti moja ya SACCOS, hii inawapunguzia watu wengi usumbufu wa muda na gharama za safari za kwenda benki. Kuwepo kwa fursa kwa jamii kuweka fedha zao kama amana na akiba za hiari katika SACCOS. SACCOS zina wigo mkubwa wa bidhaa kwani wanachama wake wanapata mikopo ya kiuchumi, kijamii na dharura. SACCOS zinaweza kufikia watu wengi hata wasioweza kufikiwa na mabenki hususani walioko vijijini. SACCOS inasaidia kuikwamua jamii kuondokana na umaskini. Lengo kuu la SACCOS ni kuhakikisha Watanzania wanaondokana na hali ya umaskini kwani kupitia mikopo ya SACCOS wamenufaika: ‣ Kuanzisha miradi / biashara na shughuli nyingine za kiuchumi. ‣ Kumudu gharama za masomo ya watoto. ‣ Kujenga nyumba bora na za kisasa. ‣ Kununua vyombo vya usafiri na kununua mifugo. ‣ Kupata uwezo wa kukidhi mahitaji muhimu ya kibinadamu ikiwemo matibabu. (v) (vi) (vii) (viii) (ix) (x) Kupanua mtaji wa kijamii. Wanachama kupata mafunzo ya ushirika, ujasiriamali na stadi za biashara. Jamii inanufaika kwa kupata Elimu ya Ushirika.Jamii inanufaika kwa kupata Elimu ya Ushirika hasa kipindi cha SACCOS inapohitaji kuongeza idadi ya wanachama na wakati jamii inapotaka kuanzisha SACCOS. Jamii inapata ajira inayotokana na ongezeko la miradi kutokana na mikopo ya SACCOS. Baadhi ya Watanzania wamenufaika kwa kupata ajira katika SACCOS. Kumekuwepo na ushiriki wa SACCOS katika maendeleo ya jamii. Kwa kuzingatia msingi wa Ushirika wa kuijali jamii SACCOS ushiriki katika kusaidia ujenzi wa shule katika jamii na kusaidia pia wasiojiweza.
- Page 1: Mradi wa Kukuza Uchumi, Kuleta Maen
- Page 4 and 5: ii Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS MW
- Page 6 and 7: iv Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 8 and 9: 2 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 1.3
- Page 12 and 13: 6 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (xi
- Page 14 and 15: 8 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS {I}
- Page 16 and 17: 10 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Ai
- Page 18 and 19: 12 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS hu
- Page 20 and 21: 14 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 3.
- Page 22 and 23: 16 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS NA
- Page 24 and 25: 18 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 26 and 27: 20 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS [i
- Page 28 and 29: 22 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 4.
- Page 30 and 31: 24 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (e
- Page 32 and 33: 26 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 34 and 35: 28 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS ya
- Page 36 and 37: 30 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 6.
- Page 38 and 39: 32 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS au
- Page 40 and 41: 34 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 7.
- Page 42 and 43: 36 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS
- Page 44 and 45: 38 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS fe
- Page 46 and 47: 40 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS [B
- Page 48 and 49: 42 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Ma
- Page 50 and 51: 44 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 8.
- Page 52 and 53: 46 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS wa
- Page 54 and 55: 48 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS Ba
- Page 56 and 57: 50 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS (i
- Page 58 and 59: 52 Mwongozo wa Mafunzo ya SACCOS 28
4 Mwongozo wa Mafunzo ya <strong>SACCOS</strong><br />
atakuwa mwenyekiti wa kikao.<br />
Watateua bodi ya muda ya uanzilishi yenye wajumbe kati ya 5- 9 akiwemo mwenyekiti, mwekahazina,<br />
katibu na wajumbe wengine.<br />
[ii]<br />
kazi za kamati ya muda ya uanzilishi<br />
(a) Kushirikiana na Afisa ushirika kutayarisha masharti na sera za <strong>SACCOS</strong> inayohusika.<br />
(b) Kutayarisha kidadisi uchumi.<br />
(c) Kuandaa mpango biashara.<br />
(d) Kuandaa makisio ya mapato na matumizi ya chama ya mwaka wa kwanza.<br />
(e) Kutafuta ofisi ya chama.<br />
(f ) Kukusanya viingilio, Hisa na akiba.<br />
(g) Kununua vitendea kazi.<br />
(h) Kuajiri mtunza vitabu / karani wa mahesabu.<br />
[iii]<br />
Mkutano wa kujadili mapendekezo ya kamati ya uanzilishi.<br />
Kikao kitaongozwa na mwenyekiti wa kamati ya uanzilishi, kikao kitajadili na kupitisha masharti, sera<br />
za chama na kuidhinisha makisio ya mapato na matumizi ya mwaka.<br />
Mambo ya msingi yanayotakiwa yawepo katika masharti ya chama ni:<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
Jina na anwani ya chama<br />
Madhumuni ya chama<br />
Uanachama(sifa za kujiunga katika chama,kukubaliwa uanachama,kukoma kwa uanachama<br />
na kusimamishwa uanachama.<br />
Haki za mwanachama<br />
Wajibu wa mwanachama<br />
Fedha na mali za chama.<br />
Taratibu za akiba na amana na mikopo<br />
Mgao wa ziada.<br />
Usimamizi na Uongozi wa chama( Mikutano mikuu,Bodi na kamati zake, watumishi wa chama.<br />
Kufutwa kwa chama.<br />
Mengineyo.<br />
Mambo ya msingi yanayotakiwa kuwemo katika sera za chama ni pamoja na aina za sera kama vile<br />
sera na taratibu za uwekaji wa akiba,sera na taratibu za mikopo,sera ya usimamizi wa fedha,sera ya<br />
Utumishi n,k.<br />
[iv]<br />
Kuwasilisha maombi ya usajili wa chama<br />
Maombi ya usajili yatawasilishwa kwa mrajisi msaidizi kupitia kwa Afisa ushirika wa wilaya.<br />
Fomu ya kuandikishwa chama itaambatanishwa na nakala nne za masharti, sera za <strong>SACCOS</strong>, kidadisi