Chapter 39
18 It’s no one’s choice u know f ths pepo are gven a chance they cn make t n lyf. Brenzy Masdelica Nancie
maria kim naweza kupeleka out baadaye? nimempata leo! huyu brathako na wenzake wana tabia mbaya sana! sawa. umenipeleka out mara mob... una-try kunikatia? ehe... ehe... woi! woi! kwisha mimi! bryo! umefanya nini? mwambie! tulirusha mawe kwa salon... usikuwe mkali sana. unajua wavulana hivo tu ndio wao huwa! hebu ingia kwa nyumba! lazima nitaku-punish! bryo, mbona ulikuwa unarusha mawe? kina robe na cyro walisema nikirusha mawe watanikubali niwe kwa gang yao... gang! unataka kuwa kwa gang? bryo usisikize hizo stori zao kama unataka life yako iwe poa. sawa. usiku... 19
- Page 3 and 4: 3
- Page 5 and 6: Sisi kama mayuts tunafaa tu-decide
- Page 7 and 8: Enyewe ina faa,sanasana mayutz tuju
- Page 9 and 10: 9
- Page 12 and 13: 12 Sure tusikubali mtu atu-definie
- Page 14 and 15: Manze ile kazi unafanya ina nibamba
- Page 16 and 17: Get to the grassroots. Get 1st hand
- Page 20 and 21: 20 Hats off for Shujaaz and DJ Boyi
- Page 22 and 23: at the County Assembly Public forum
- Page 24: 24
maria kim<br />
naweza<br />
kupeleka out<br />
baadaye?<br />
nimempata leo!<br />
huyu brathako na<br />
wenzake wana<br />
tabia mbaya sana!<br />
sawa.<br />
umenipeleka<br />
out mara<br />
mob...<br />
una-try<br />
kunikatia?<br />
ehe...<br />
ehe...<br />
woi!<br />
woi!<br />
kwisha<br />
mimi!<br />
bryo!<br />
umefanya<br />
nini?<br />
mwambie!<br />
tulirusha mawe<br />
kwa salon...<br />
usikuwe mkali sana.<br />
unajua wavulana hivo<br />
tu ndio wao huwa!<br />
hebu ingia kwa<br />
nyumba! lazima<br />
nitaku-punish!<br />
bryo, mbona<br />
ulikuwa<br />
unarusha<br />
mawe?<br />
kina robe na<br />
cyro walisema<br />
nikirusha mawe<br />
watanikubali<br />
niwe kwa gang<br />
yao...<br />
gang!<br />
unataka<br />
kuwa kwa<br />
gang?<br />
bryo<br />
usisikize hizo<br />
stori zao<br />
kama unataka<br />
life yako iwe<br />
poa.<br />
sawa.<br />
usiku...<br />
19