Chapter 34
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
miaka kadhaa zimepita<br />
nilikuwa na boyfriend.<br />
tulipendana sana...<br />
...nili-get ball, na<br />
akaniacha...<br />
sitaki hiyo<br />
stori!! ati ball! mbona<br />
haukujichunga? hata<br />
ninajuaje kama hiyo<br />
ball ni yangu? mi<br />
nimeishia!<br />
...nilikuwa<br />
m-lonely<br />
sana.<br />
nikakuwa<br />
depressed<br />
na mafikira<br />
mob...<br />
nikaenda<br />
kwa mmathe<br />
wa miti<br />
shamba...<br />
koroga<br />
hii na matawi<br />
tatu halafu<br />
ukunywe, hiyo<br />
vitu yote<br />
itatoka!!<br />
...lakini kabla nikunywe hizo<br />
madawa, beshte yangu alitokea<br />
just in time. alinisave sana...<br />
maya,<br />
mbona<br />
hufungui<br />
mla... nini<br />
hizo unataka<br />
kunywa?!<br />
20