Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
CHAPTA <strong>12</strong><br />
NOT FOR SALE<br />
BEST BEST<br />
OF OF<br />
Shujaaz.FM<br />
Shujaaz.FM<br />
NDANI! NDANI!
oyieMWAKA MOJA ULIOPITA,<br />
MABESTE ZANGU WALIKUWA<br />
WANA-JOIN GANG YA SCARFACE<br />
HAPA NDIO WA-MAKE CHAPAA<br />
VIRAHISI. MNAKUMBUKA?
...LAKINI NILIJUA KUNA<br />
NJIA MOB POA ZA KU-MAKE<br />
DOOH BILA YA KUFANYA VITU<br />
ILLEGAL.
NILIAMUA KU-SET UP PIRATE<br />
RADIO STATION ‘SHUJAAZ.FM’<br />
NDIO NIWEZE KU-INSPIRE<br />
MAYUTS AROUND KENYA.
6<br />
TUMETOKA MBALI WASEE……
HIVYO NDIO SHUJAAZ.FM ILIANZA. MAFANS WAKANITUMIA MA SMS KIBAO.<br />
KUNA WENYE HAWAKOSI KUWA NA MA-IDEA NOMA ZENYE WANATAKA KU-<br />
SHARE NA WENGINE. KAMA DEM FLANI ANAITWA MARIA KIM-MSUPUU NA<br />
ANA AKILI. PIA NINA SHUJAA WANGU CHARLIE PELE, MSEE WA SOCCER<br />
DAMU! MPAKA COAST KUNA FAN WANGU-MALKIA, MANZE HUYU MDEM SI ANA<br />
MA-IDEAS! NA JUZI NIMEPATA HELP KUTOKA KWA DEEPTI DIVANI….<br />
7
RISTO FAVORITE YA PETER ILIKUWA YA MAGANGS …<br />
Msupa Mtaani!<br />
PETER<br />
AGE: 23 BASE: MACHAKOS CHAPTA: 1<br />
USIKUWE M-LAZY, TRY IDEA MPYA YA<br />
ku-change<br />
life yako vi<br />
positive!<br />
HAWA FANS WANGU WAME-<br />
SHARE NA MIMI IDEAS POA<br />
NA WAME-CHANGE LIVES ZAO.<br />
KUNA WENGI WENGINE AMBAO<br />
WAMEPATA FAIDA MOB JUU YA<br />
SHUJAAZ.<br />
WAMEKUWA WATU WA<br />
NOMA KWA SOCIETY NA<br />
WAMEJIPANGA… NIKI-<br />
CELBRATE 1 YEAR OF<br />
SHUJAAZ, NIMEAMUA NIWA-<br />
SHOW STORY ZAO!<br />
“Kulikuwa na gang flani<br />
mtaani ambayo ilisumbua<br />
watu, lakini juu ya unity<br />
village ika-lazimisha hiyo<br />
gang ku-disband. Watu<br />
wengi hu-join gangs juu ya<br />
poverty na urge ya kuwa<br />
dooh. Wengine hutaka kubully<br />
watu na kujionyesha<br />
wako tuff.<br />
Kulingana na mimi, naeza<br />
ambia ma youth wasi-zijoin<br />
juu ita-ruin lives zao. Watie<br />
bidii tu kwa ile job wana do<br />
na waendelee ku-focus on<br />
dreams zao.<br />
Boyie alipewa pressure na Gang ya<br />
Scarface ati lazima alipe dooh za security.<br />
Nime-share na<br />
wasee kibao<br />
kwa kuwatumia<br />
several mags.<br />
Manze uko<br />
lembe!<br />
DJ B ukopoa<br />
sana by the wei.<br />
Endelea vivyo<br />
hivyo nime-like<br />
mag ya yours<br />
especially vile<br />
gang inakuthreaten,<br />
lakini<br />
kaa hivo hivo.<br />
Lakini Boyie alikataa ku-intimidat-iwa<br />
na akasema atawa-show njia poa za<br />
ku-make dooh ...
urity.
“Ku<br />
sek<br />
Art<br />
sek
TALENTZ ZINAWEZA KUKUSAIDIA KUPATA MKWANJA!<br />
FAN WANGU SAMMY ANATUMIA TALENT YAKE VIPOA SANA!<br />
... na mimi hu-<br />
draw ndai, shop,<br />
t-sho na banner<br />
na nina make<br />
dooh.”<br />
“Idea yangu ni<br />
mafans watoe<br />
talent zao na,<br />
wazikuze juu,<br />
kama mimi ni<br />
artist ...<br />
SAMMY MURIMI<br />
AGE: 22 BASE: KERUGOYA<br />
CHAPTA: 1<br />
“Kutoka nikuwe mtoi nimekuwa mpoa kuchora, lakini sikuweza kuenda<br />
seko juu ya fees. Vile nilimada class 8, nilipewa job ya kusomesha watoi<br />
Art kwa hiyo chuo yetu. Baadaye nikapewa job ya kufundisha watoi wa<br />
seko lakini sikuwa nalipwa poa.”<br />
Jipendo alinifanya nika-believe ati<br />
siko poa kuwa kwa hiyo talent show<br />
but nilim-show!<br />
“Nikaambia beste yangu mwenye alikuwa anafanya graffiti<br />
anitafutie job. Huyo beste wangu alini-introduce kwa<br />
ku-make rubber stamps na kuchora mapicha.”<br />
Alini-show ati,<br />
sisi wote tuna talent.<br />
Imagine! Nilicheki Nameless!<br />
USIZUBAE!<br />
“Wasee wa hiyo area wali-discover nina talent, wakaanza<br />
kunipa job za kuchora ma3, shops na ku-paint mahao.<br />
Sasa naenda Meru, Embu na kadhalika .”
Mazee…si majamaa<br />
mko talented! Poa sana.<br />
Cheki baadhi ya ma-art<br />
mlizo nitumia, zilinibamba<br />
deadly ... Nyote m’meshinda<br />
t-shirt mpya yenye design<br />
kali. Wazi jamaa!<br />
Victor Murithi<br />
Age:<br />
26<br />
yrs<br />
Kevin Mwaura<br />
Nairobi, Age: 24<br />
yrs<br />
Brian Ojak Nyawade<br />
Embakasi, Age: 26<br />
yrs
Onesmus Kitheka<br />
Mukuru<br />
Nancy<br />
Chela<br />
Rongai, Age: 17<br />
yrs<br />
e<br />
Peter er Musau<br />
u<br />
Mukuru, Age: 14 yrs<br />
Ore Wa Mugen<br />
Nairobi, Age: 21 yrs<br />
Geofry Gitau<br />
Mukuru , Age: 15 yrs
SHUJAA ABRAHAM<br />
“NILIPENDA SANA STORY YA BUSINESS PLAN …”<br />
Hi! naitwA DEEPTI. DJ B aliniambia<br />
nipigie mafans kadhaa simu nijue<br />
more kuwahusu na vile walitumia<br />
ideas za Shujaaz ku-improve maisha<br />
yao. Hizi ndio story zao, I hope<br />
zitawa-inspire!<br />
“Shujaaz inanipa mawaidha ya<br />
jinsi ya kuzuia noma, na kunisaidia<br />
ku-deal na watu.”<br />
“Gavaa inafaa iambie watu<br />
wasome Shujaaz!”<br />
C<br />
k<br />
Abraham anasema kuwa<br />
Shujaaz.FM ime-change life yake.<br />
Anapanda mimea kadhaakwa<br />
shamba ndogo karibu na hao<br />
yao, halafu anauza.<br />
Abraham anasema Shujaaz.FM<br />
ilimsaidia akatengeneza business<br />
plan na kuuza mboga zake<br />
kwa faida.<br />
Anataka bizna yake i-expand, a-save<br />
chapaa na kununua shamba biggie<br />
na mwishowe awe “mwanabiashara<br />
famous Kenya na hata majuu”.<br />
ABRAHAM<br />
AGE: 29 BASE: ELDORET<br />
KUSOMA HII STORY, CHEKI<br />
WWW.SHUJAAZ.FM<br />
& USOME CHAPTA 4<br />
Huwa anatumia<br />
zile chapaa<br />
ana-make kwa shamba lake<br />
kuongezea school fees.<br />
Abraham hu-get copy yake ya<br />
Shujaaz.FM kutoka kwa jamaa<br />
flani wa M-pesa, na akimaliza<br />
kusoma yeye huziweka poa.<br />
Anasema Shujaaz.FM “inasaidia<br />
maisha ya watu mob kwa kuwapa<br />
njia ya ku-solve problems zao”.
SHUJAA CHRISTOPHER<br />
“NINA-FIGHT FOR PEACE ...”<br />
“Mimi ni m-young lakini ndani ya heart<br />
yangu najua mimi ni mtu mkubwa.”<br />
ya<br />
aidia<br />
T<br />
Chris anaishi na maparo zake na bro<br />
yake mdogo Evans. Yeye hupenda<br />
kusoma mags, comics na story books,<br />
na pia kucheza game inaitwa sita.<br />
Chris anataka kuwa engineer ama<br />
mwanasayansi aki-grow.<br />
Chris anapenda mambo ya amani na<br />
akiona noma yoyote anabonga kuihusu.<br />
Wakati Chris aliambia ambia classmates<br />
zake waache kubonga mbaya<br />
juu ya watu wa<br />
kabila zingine<br />
walimnyang’anya bus fare na<br />
kumpiga. Lakini<br />
aliwa-forgive na<br />
kuwaambia juu ya peace.<br />
Akaanza ku-distribute copies za<br />
Shujaaz.FM kwa class ili wenzake<br />
wajue kuhusu kuvumiliana,<br />
kuishi pamoja na amani.<br />
Charlie na<br />
Rosie wanajua ku-deal<br />
na hate speech, wewe je?<br />
“Singependa mtu ku-disrespect<br />
ama kutusi mtu wa kabila ingine.”<br />
CHRISTOPHER<br />
AGE: 13 BASE: DAGORETTI, NAIROBI<br />
HERO: President Kenyatta<br />
Chris alipewa copy ya kwanza ya<br />
Shujaaz.FM na mbuyu wake. Sasa<br />
yeye huzi-get kwa paper, anasoma<br />
peke yake kwanza then anapatia ma<br />
cuzo wake na classmates wake.<br />
Anasikizanga pia Shujaaz.FM<br />
kwa radio. Anaona Shujaaz.FM ni<br />
‘poa sana’ coz ina ma-teachings,<br />
especially<br />
against ukabila na ghasia.
MAFANS WA MARIA KIM WANASEMAJE?<br />
Sasa? I hope mnajua<br />
vile nyinyi huwanga watu<br />
important sana kwa life yangu.<br />
Ebu tucheki mafans wa DJ B. ambao<br />
walibonga naye kuhusu mambo<br />
yamekuwa yakiendelea<br />
kwa life yangu…<br />
Hi DJ B, skills ndogo<br />
ni<br />
noma! Imagine<br />
nilisaidia mathe<br />
kupanda sukuma,<br />
instead of a vitungu<br />
na cabbage na kuuza<br />
na nikamaliza kusoma<br />
computer na hizo doo!<br />
“Nilisoma Shujaaz na nikaona hiyo idea ya kupanda<br />
sukuma ni poa. Nilibonga na mathe aka-convince buda<br />
kunigawia ka-portion ya shamba. Nikapanda sukuma,<br />
onions na cabbages.<br />
Ilikuwa a small project lakini I was surprised kuona outcome. Nilianza<br />
kupata doo ambazo nililipia fees na zingine kutumia kama bufero.<br />
Sasa juu nimemaliza college ya comp, na-plan ku-join Egerton Campo.<br />
BEATY<br />
AGE: 21 BASE: Eldama Ravine<br />
Wasee kuna matha flani hapa mtaani amenichanua<br />
sana. Unajua huku kwetu hakuna space mob ya kuwa<br />
na shamba, lakini yeye bado ana-grow sukuma!<br />
Alini-inspire sana na nika-try hata mimi.<br />
Advise yangu kwa mayuth ni kuwa, hakuna haja ya kukaa tu<br />
around bila kitu ya kufanya. There are so many opportunities out<br />
here. Try ua best. Pia, mayuths wa-make lives zao simple.<br />
Ku-complicate life hu-leta tu loss.”<br />
Nilikuwa successful n nimefurahi kama<br />
hata wewe umefanikiwa.
ndogo<br />
gine<br />
he<br />
ma,<br />
ungu<br />
kuuza<br />
usoma<br />
o doo!<br />
hanua<br />
a kuwa<br />
ma!<br />
ut
FAV<br />
Shuja<br />
Na<br />
ya<br />
pla<br />
Anap<br />
na<br />
Thou<br />
kwa S<br />
san
SHUJAA PATRICIA<br />
“Seed soaking ni simple but results ni POA!!!”<br />
Hello…kuna mafans<br />
wawili wa DJ B ambao<br />
alinituma nibonge nao.<br />
Cheki vile walitumia ideas<br />
zake kubadilisha<br />
Maisha yao!<br />
PATRICIA<br />
AGE: 21 BASE: Meru<br />
FAVORITE CHARACTER: BOYIE<br />
“Napenda job yangu sana, wanyama,<br />
national parks na ku-travel.”<br />
“Napenda sana Facebook, fan page ya<br />
DJ B. Naichekingi kila siku.”<br />
“ Shujaaz.FM ni comic moja positive sana,<br />
ina-encourage watu kujishughulisha<br />
na mambo constructive.”<br />
Patricia anaishi na maparo zake na<br />
sista yake mdogo, Kaaga. Kashamba<br />
kao kadogo ndiko huwa anapanda<br />
maharagwe, ambazo zilimea poa<br />
baada ya ku-soak mbegu kabla ya<br />
kupanda. Patricia alisoma hii story<br />
kwa Shujaaz.FM, na zilitoka poa!<br />
Ana-hope kurudi chuo, apate<br />
job poa, awe na hao bigi, alafu<br />
aanze bizna ya hoteli.<br />
Patricia hu-get copy ya<br />
Shujaaz.FM kutoka kwa Saturday<br />
Nation, yeye husoma na sister<br />
yake na baadaye anazipeleka<br />
place yenye anafanyanga job.<br />
Anapatianga ma-customers wake,<br />
na mabeste zake waisome pia.<br />
Though yeye hupenda story zote<br />
kwa Shujaaz.FM, yeye hubambika<br />
sana na page ya Mchongoano!
SHUJAA DUNCAN<br />
“Ningependa kuona Kenya<br />
ambayo mayouth wako na<br />
opportunities kibao na wana<br />
motivate-iwa kufanya shughuli za<br />
manufaa ili kuepuka tabia mbaya<br />
za kuwa idle.”<br />
Duncan anafanya course ya<br />
Business huko Mombasa na ana<br />
hope itamsaidia kutimiza dream<br />
yake ya kuwa “mwanabiashara<br />
shupavu sana.”<br />
Wakati wa ku-relax, huwa<br />
anasaidia mathake kwa shop,<br />
ana-hang out na mabeste<br />
zake kwa beach, hucheki<br />
movies na kusikiza music.<br />
Anapenda Bongo na Rhumba.<br />
“Watu waoane kutoka kabila<br />
tofauti kuzuia ukabila kuenea.”<br />
“Shujaaz imenifundisha<br />
kujisimamia mwenyewe.”<br />
DUNCAN<br />
AGE: 21 BASE: Changamwe,<br />
Coast Province<br />
Duncan ametumia ujuzi alipata kutoka<br />
kwa comic hii ku-encourage ma youth<br />
wasitumiwe na politicians kuzusha<br />
ghasia kwa campaigns za siasa.<br />
Anasema, “Nilishow ma youth<br />
waache kutumiwa na politicians<br />
kuhatarisha lives zao.”<br />
Pia anasema, ameona message<br />
hizi zikigusa ma-friends wake mob<br />
ambao pia husoma hii comic.<br />
Duncan<br />
anapenda<br />
kila kitu kuhusu<br />
Shujaaz haswa storo zenye zina<br />
encourage mayuts kufanya kitu<br />
poa badala ya kuzubaa tu wakingoja<br />
jobz. Alifurahishwa na storos<br />
za agriculture, ku-save chapaa,<br />
na ku-form student councils.<br />
Shujaaz(TM) is published by Well Told Story Ltd. , P. O. Box 1700 00502<br />
Nairobi, Kenya. Tel: 02 02603214 www.wts.co.ke. Printed by Colourprint
SHUJAA PATRICIA<br />
“Seed soaking ni simple but results ni<br />
POA!!!”<br />
!”<br />
e,<br />
a<br />
Shujaaz(TM) is published by Well Told Story Ltd. , P. O. Box 1700 00502<br />
Nairobi, Kenya. Tel: 02 02603214 www.wts.co.ke. Printed by Colourprint<br />
Limited, P. O. Box 44466 - 00100 Nairobi GPO. Produced in collaboration<br />
with: Safaricom, Twaweza, RIU. Distributed by Saturday Nation and Safaricom.<br />
Content producer: Audrey Wabwire Content: Paul Peter Kades, David Ouma Art Producer: Fatima Aly Jaffer Layout Design: Stefanie<br />
Freccia & Susan Mwange Art: Daniel Muli, Eric Muthoga, Naddya Oluoch-Olunya, Noah Mukono, Kevin Mmbasu, Movin Were, Salim Busuru,<br />
Joe Barasa Radio: Eunice Maina In collaboration with Twaweza. Special thanks to Just A Band for their fantastic music on Shujaaz.FM<br />
radio Well Told Story © 2010 All rights reserved. No part of this publication may be reproduced, stored in any retrieval system or<br />
be transmitted in any form or by any means, electronic or mechanical without prior permission of the publishers. Although every<br />
effort has been taken to ensure the accuracy of information contained in this publication, in no event shall the publishers be<br />
liable for any incidental, indirect, consequential losses or damages of any kind without limitation arising out of or in<br />
connection with the use of the information in this publication.