06.10.2015 Views

Chapter 12

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

CHAPTA <strong>12</strong><br />

NOT FOR SALE<br />

BEST BEST<br />

OF OF<br />

Shujaaz.FM<br />

Shujaaz.FM<br />

NDANI! NDANI!


oyieMWAKA MOJA ULIOPITA,<br />

MABESTE ZANGU WALIKUWA<br />

WANA-JOIN GANG YA SCARFACE<br />

HAPA NDIO WA-MAKE CHAPAA<br />

VIRAHISI. MNAKUMBUKA?


...LAKINI NILIJUA KUNA<br />

NJIA MOB POA ZA KU-MAKE<br />

DOOH BILA YA KUFANYA VITU<br />

ILLEGAL.


NILIAMUA KU-SET UP PIRATE<br />

RADIO STATION ‘SHUJAAZ.FM’<br />

NDIO NIWEZE KU-INSPIRE<br />

MAYUTS AROUND KENYA.


6<br />

TUMETOKA MBALI WASEE……


HIVYO NDIO SHUJAAZ.FM ILIANZA. MAFANS WAKANITUMIA MA SMS KIBAO.<br />

KUNA WENYE HAWAKOSI KUWA NA MA-IDEA NOMA ZENYE WANATAKA KU-<br />

SHARE NA WENGINE. KAMA DEM FLANI ANAITWA MARIA KIM-MSUPUU NA<br />

ANA AKILI. PIA NINA SHUJAA WANGU CHARLIE PELE, MSEE WA SOCCER<br />

DAMU! MPAKA COAST KUNA FAN WANGU-MALKIA, MANZE HUYU MDEM SI ANA<br />

MA-IDEAS! NA JUZI NIMEPATA HELP KUTOKA KWA DEEPTI DIVANI….<br />

7


RISTO FAVORITE YA PETER ILIKUWA YA MAGANGS …<br />

Msupa Mtaani!<br />

PETER<br />

AGE: 23 BASE: MACHAKOS CHAPTA: 1<br />

USIKUWE M-LAZY, TRY IDEA MPYA YA<br />

ku-change<br />

life yako vi<br />

positive!<br />

HAWA FANS WANGU WAME-<br />

SHARE NA MIMI IDEAS POA<br />

NA WAME-CHANGE LIVES ZAO.<br />

KUNA WENGI WENGINE AMBAO<br />

WAMEPATA FAIDA MOB JUU YA<br />

SHUJAAZ.<br />

WAMEKUWA WATU WA<br />

NOMA KWA SOCIETY NA<br />

WAMEJIPANGA… NIKI-<br />

CELBRATE 1 YEAR OF<br />

SHUJAAZ, NIMEAMUA NIWA-<br />

SHOW STORY ZAO!<br />

“Kulikuwa na gang flani<br />

mtaani ambayo ilisumbua<br />

watu, lakini juu ya unity<br />

village ika-lazimisha hiyo<br />

gang ku-disband. Watu<br />

wengi hu-join gangs juu ya<br />

poverty na urge ya kuwa<br />

dooh. Wengine hutaka kubully<br />

watu na kujionyesha<br />

wako tuff.<br />

Kulingana na mimi, naeza<br />

ambia ma youth wasi-zijoin<br />

juu ita-ruin lives zao. Watie<br />

bidii tu kwa ile job wana do<br />

na waendelee ku-focus on<br />

dreams zao.<br />

Boyie alipewa pressure na Gang ya<br />

Scarface ati lazima alipe dooh za security.<br />

Nime-share na<br />

wasee kibao<br />

kwa kuwatumia<br />

several mags.<br />

Manze uko<br />

lembe!<br />

DJ B ukopoa<br />

sana by the wei.<br />

Endelea vivyo<br />

hivyo nime-like<br />

mag ya yours<br />

especially vile<br />

gang inakuthreaten,<br />

lakini<br />

kaa hivo hivo.<br />

Lakini Boyie alikataa ku-intimidat-iwa<br />

na akasema atawa-show njia poa za<br />

ku-make dooh ...


urity.


“Ku<br />

sek<br />

Art<br />

sek


TALENTZ ZINAWEZA KUKUSAIDIA KUPATA MKWANJA!<br />

FAN WANGU SAMMY ANATUMIA TALENT YAKE VIPOA SANA!<br />

... na mimi hu-<br />

draw ndai, shop,<br />

t-sho na banner<br />

na nina make<br />

dooh.”<br />

“Idea yangu ni<br />

mafans watoe<br />

talent zao na,<br />

wazikuze juu,<br />

kama mimi ni<br />

artist ...<br />

SAMMY MURIMI<br />

AGE: 22 BASE: KERUGOYA<br />

CHAPTA: 1<br />

“Kutoka nikuwe mtoi nimekuwa mpoa kuchora, lakini sikuweza kuenda<br />

seko juu ya fees. Vile nilimada class 8, nilipewa job ya kusomesha watoi<br />

Art kwa hiyo chuo yetu. Baadaye nikapewa job ya kufundisha watoi wa<br />

seko lakini sikuwa nalipwa poa.”<br />

Jipendo alinifanya nika-believe ati<br />

siko poa kuwa kwa hiyo talent show<br />

but nilim-show!<br />

“Nikaambia beste yangu mwenye alikuwa anafanya graffiti<br />

anitafutie job. Huyo beste wangu alini-introduce kwa<br />

ku-make rubber stamps na kuchora mapicha.”<br />

Alini-show ati,<br />

sisi wote tuna talent.<br />

Imagine! Nilicheki Nameless!<br />

USIZUBAE!<br />

“Wasee wa hiyo area wali-discover nina talent, wakaanza<br />

kunipa job za kuchora ma3, shops na ku-paint mahao.<br />

Sasa naenda Meru, Embu na kadhalika .”


Mazee…si majamaa<br />

mko talented! Poa sana.<br />

Cheki baadhi ya ma-art<br />

mlizo nitumia, zilinibamba<br />

deadly ... Nyote m’meshinda<br />

t-shirt mpya yenye design<br />

kali. Wazi jamaa!<br />

Victor Murithi<br />

Age:<br />

26<br />

yrs<br />

Kevin Mwaura<br />

Nairobi, Age: 24<br />

yrs<br />

Brian Ojak Nyawade<br />

Embakasi, Age: 26<br />

yrs


Onesmus Kitheka<br />

Mukuru<br />

Nancy<br />

Chela<br />

Rongai, Age: 17<br />

yrs<br />

e<br />

Peter er Musau<br />

u<br />

Mukuru, Age: 14 yrs<br />

Ore Wa Mugen<br />

Nairobi, Age: 21 yrs<br />

Geofry Gitau<br />

Mukuru , Age: 15 yrs


SHUJAA ABRAHAM<br />

“NILIPENDA SANA STORY YA BUSINESS PLAN …”<br />

Hi! naitwA DEEPTI. DJ B aliniambia<br />

nipigie mafans kadhaa simu nijue<br />

more kuwahusu na vile walitumia<br />

ideas za Shujaaz ku-improve maisha<br />

yao. Hizi ndio story zao, I hope<br />

zitawa-inspire!<br />

“Shujaaz inanipa mawaidha ya<br />

jinsi ya kuzuia noma, na kunisaidia<br />

ku-deal na watu.”<br />

“Gavaa inafaa iambie watu<br />

wasome Shujaaz!”<br />

C<br />

k<br />

Abraham anasema kuwa<br />

Shujaaz.FM ime-change life yake.<br />

Anapanda mimea kadhaakwa<br />

shamba ndogo karibu na hao<br />

yao, halafu anauza.<br />

Abraham anasema Shujaaz.FM<br />

ilimsaidia akatengeneza business<br />

plan na kuuza mboga zake<br />

kwa faida.<br />

Anataka bizna yake i-expand, a-save<br />

chapaa na kununua shamba biggie<br />

na mwishowe awe “mwanabiashara<br />

famous Kenya na hata majuu”.<br />

ABRAHAM<br />

AGE: 29 BASE: ELDORET<br />

KUSOMA HII STORY, CHEKI<br />

WWW.SHUJAAZ.FM<br />

& USOME CHAPTA 4<br />

Huwa anatumia<br />

zile chapaa<br />

ana-make kwa shamba lake<br />

kuongezea school fees.<br />

Abraham hu-get copy yake ya<br />

Shujaaz.FM kutoka kwa jamaa<br />

flani wa M-pesa, na akimaliza<br />

kusoma yeye huziweka poa.<br />

Anasema Shujaaz.FM “inasaidia<br />

maisha ya watu mob kwa kuwapa<br />

njia ya ku-solve problems zao”.


SHUJAA CHRISTOPHER<br />

“NINA-FIGHT FOR PEACE ...”<br />

“Mimi ni m-young lakini ndani ya heart<br />

yangu najua mimi ni mtu mkubwa.”<br />

ya<br />

aidia<br />

T<br />

Chris anaishi na maparo zake na bro<br />

yake mdogo Evans. Yeye hupenda<br />

kusoma mags, comics na story books,<br />

na pia kucheza game inaitwa sita.<br />

Chris anataka kuwa engineer ama<br />

mwanasayansi aki-grow.<br />

Chris anapenda mambo ya amani na<br />

akiona noma yoyote anabonga kuihusu.<br />

Wakati Chris aliambia ambia classmates<br />

zake waache kubonga mbaya<br />

juu ya watu wa<br />

kabila zingine<br />

walimnyang’anya bus fare na<br />

kumpiga. Lakini<br />

aliwa-forgive na<br />

kuwaambia juu ya peace.<br />

Akaanza ku-distribute copies za<br />

Shujaaz.FM kwa class ili wenzake<br />

wajue kuhusu kuvumiliana,<br />

kuishi pamoja na amani.<br />

Charlie na<br />

Rosie wanajua ku-deal<br />

na hate speech, wewe je?<br />

“Singependa mtu ku-disrespect<br />

ama kutusi mtu wa kabila ingine.”<br />

CHRISTOPHER<br />

AGE: 13 BASE: DAGORETTI, NAIROBI<br />

HERO: President Kenyatta<br />

Chris alipewa copy ya kwanza ya<br />

Shujaaz.FM na mbuyu wake. Sasa<br />

yeye huzi-get kwa paper, anasoma<br />

peke yake kwanza then anapatia ma<br />

cuzo wake na classmates wake.<br />

Anasikizanga pia Shujaaz.FM<br />

kwa radio. Anaona Shujaaz.FM ni<br />

‘poa sana’ coz ina ma-teachings,<br />

especially<br />

against ukabila na ghasia.


MAFANS WA MARIA KIM WANASEMAJE?<br />

Sasa? I hope mnajua<br />

vile nyinyi huwanga watu<br />

important sana kwa life yangu.<br />

Ebu tucheki mafans wa DJ B. ambao<br />

walibonga naye kuhusu mambo<br />

yamekuwa yakiendelea<br />

kwa life yangu…<br />

Hi DJ B, skills ndogo<br />

ni<br />

noma! Imagine<br />

nilisaidia mathe<br />

kupanda sukuma,<br />

instead of a vitungu<br />

na cabbage na kuuza<br />

na nikamaliza kusoma<br />

computer na hizo doo!<br />

“Nilisoma Shujaaz na nikaona hiyo idea ya kupanda<br />

sukuma ni poa. Nilibonga na mathe aka-convince buda<br />

kunigawia ka-portion ya shamba. Nikapanda sukuma,<br />

onions na cabbages.<br />

Ilikuwa a small project lakini I was surprised kuona outcome. Nilianza<br />

kupata doo ambazo nililipia fees na zingine kutumia kama bufero.<br />

Sasa juu nimemaliza college ya comp, na-plan ku-join Egerton Campo.<br />

BEATY<br />

AGE: 21 BASE: Eldama Ravine<br />

Wasee kuna matha flani hapa mtaani amenichanua<br />

sana. Unajua huku kwetu hakuna space mob ya kuwa<br />

na shamba, lakini yeye bado ana-grow sukuma!<br />

Alini-inspire sana na nika-try hata mimi.<br />

Advise yangu kwa mayuth ni kuwa, hakuna haja ya kukaa tu<br />

around bila kitu ya kufanya. There are so many opportunities out<br />

here. Try ua best. Pia, mayuths wa-make lives zao simple.<br />

Ku-complicate life hu-leta tu loss.”<br />

Nilikuwa successful n nimefurahi kama<br />

hata wewe umefanikiwa.


ndogo<br />

gine<br />

he<br />

ma,<br />

ungu<br />

kuuza<br />

usoma<br />

o doo!<br />

hanua<br />

a kuwa<br />

ma!<br />

ut


FAV<br />

Shuja<br />

Na<br />

ya<br />

pla<br />

Anap<br />

na<br />

Thou<br />

kwa S<br />

san


SHUJAA PATRICIA<br />

“Seed soaking ni simple but results ni POA!!!”<br />

Hello…kuna mafans<br />

wawili wa DJ B ambao<br />

alinituma nibonge nao.<br />

Cheki vile walitumia ideas<br />

zake kubadilisha<br />

Maisha yao!<br />

PATRICIA<br />

AGE: 21 BASE: Meru<br />

FAVORITE CHARACTER: BOYIE<br />

“Napenda job yangu sana, wanyama,<br />

national parks na ku-travel.”<br />

“Napenda sana Facebook, fan page ya<br />

DJ B. Naichekingi kila siku.”<br />

“ Shujaaz.FM ni comic moja positive sana,<br />

ina-encourage watu kujishughulisha<br />

na mambo constructive.”<br />

Patricia anaishi na maparo zake na<br />

sista yake mdogo, Kaaga. Kashamba<br />

kao kadogo ndiko huwa anapanda<br />

maharagwe, ambazo zilimea poa<br />

baada ya ku-soak mbegu kabla ya<br />

kupanda. Patricia alisoma hii story<br />

kwa Shujaaz.FM, na zilitoka poa!<br />

Ana-hope kurudi chuo, apate<br />

job poa, awe na hao bigi, alafu<br />

aanze bizna ya hoteli.<br />

Patricia hu-get copy ya<br />

Shujaaz.FM kutoka kwa Saturday<br />

Nation, yeye husoma na sister<br />

yake na baadaye anazipeleka<br />

place yenye anafanyanga job.<br />

Anapatianga ma-customers wake,<br />

na mabeste zake waisome pia.<br />

Though yeye hupenda story zote<br />

kwa Shujaaz.FM, yeye hubambika<br />

sana na page ya Mchongoano!


SHUJAA DUNCAN<br />

“Ningependa kuona Kenya<br />

ambayo mayouth wako na<br />

opportunities kibao na wana<br />

motivate-iwa kufanya shughuli za<br />

manufaa ili kuepuka tabia mbaya<br />

za kuwa idle.”<br />

Duncan anafanya course ya<br />

Business huko Mombasa na ana<br />

hope itamsaidia kutimiza dream<br />

yake ya kuwa “mwanabiashara<br />

shupavu sana.”<br />

Wakati wa ku-relax, huwa<br />

anasaidia mathake kwa shop,<br />

ana-hang out na mabeste<br />

zake kwa beach, hucheki<br />

movies na kusikiza music.<br />

Anapenda Bongo na Rhumba.<br />

“Watu waoane kutoka kabila<br />

tofauti kuzuia ukabila kuenea.”<br />

“Shujaaz imenifundisha<br />

kujisimamia mwenyewe.”<br />

DUNCAN<br />

AGE: 21 BASE: Changamwe,<br />

Coast Province<br />

Duncan ametumia ujuzi alipata kutoka<br />

kwa comic hii ku-encourage ma youth<br />

wasitumiwe na politicians kuzusha<br />

ghasia kwa campaigns za siasa.<br />

Anasema, “Nilishow ma youth<br />

waache kutumiwa na politicians<br />

kuhatarisha lives zao.”<br />

Pia anasema, ameona message<br />

hizi zikigusa ma-friends wake mob<br />

ambao pia husoma hii comic.<br />

Duncan<br />

anapenda<br />

kila kitu kuhusu<br />

Shujaaz haswa storo zenye zina<br />

encourage mayuts kufanya kitu<br />

poa badala ya kuzubaa tu wakingoja<br />

jobz. Alifurahishwa na storos<br />

za agriculture, ku-save chapaa,<br />

na ku-form student councils.<br />

Shujaaz(TM) is published by Well Told Story Ltd. , P. O. Box 1700 00502<br />

Nairobi, Kenya. Tel: 02 02603214 www.wts.co.ke. Printed by Colourprint


SHUJAA PATRICIA<br />

“Seed soaking ni simple but results ni<br />

POA!!!”<br />

!”<br />

e,<br />

a<br />

Shujaaz(TM) is published by Well Told Story Ltd. , P. O. Box 1700 00502<br />

Nairobi, Kenya. Tel: 02 02603214 www.wts.co.ke. Printed by Colourprint<br />

Limited, P. O. Box 44466 - 00100 Nairobi GPO. Produced in collaboration<br />

with: Safaricom, Twaweza, RIU. Distributed by Saturday Nation and Safaricom.<br />

Content producer: Audrey Wabwire Content: Paul Peter Kades, David Ouma Art Producer: Fatima Aly Jaffer Layout Design: Stefanie<br />

Freccia & Susan Mwange Art: Daniel Muli, Eric Muthoga, Naddya Oluoch-Olunya, Noah Mukono, Kevin Mmbasu, Movin Were, Salim Busuru,<br />

Joe Barasa Radio: Eunice Maina In collaboration with Twaweza. Special thanks to Just A Band for their fantastic music on Shujaaz.FM<br />

radio Well Told Story © 2010 All rights reserved. No part of this publication may be reproduced, stored in any retrieval system or<br />

be transmitted in any form or by any means, electronic or mechanical without prior permission of the publishers. Although every<br />

effort has been taken to ensure the accuracy of information contained in this publication, in no event shall the publishers be<br />

liable for any incidental, indirect, consequential losses or damages of any kind without limitation arising out of or in<br />

connection with the use of the information in this publication.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!