RIPOTI YA MWAKA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI
Read document - Parliament of Tanzania
Read document - Parliament of Tanzania
- No tags were found...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>RIPOTI</strong> <strong>YA</strong> <strong>M<strong>WA</strong>KA</strong> <strong>YA</strong> <strong>MDHIBITI</strong> <strong>NA</strong> <strong>MKAGUZI</strong> <strong>MKUU</strong> <strong>WA</strong><br />
<strong>HESABU</strong> <strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong><br />
KUHUSU UKAGUZI <strong>WA</strong> TAARIFA <strong>ZA</strong> FEDHA <strong>ZA</strong> MAMLAKA<br />
<strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA K<strong>WA</strong> <strong>M<strong>WA</strong>KA</strong> <strong>WA</strong><br />
FEDHA ULIOISHIA 30 JUNI, 2008
JAMHURI <strong>YA</strong> MUUNGANO <strong>WA</strong> TAN<strong>ZA</strong>NIA<br />
OFISI <strong>YA</strong> TAIFA <strong>YA</strong> UKAGUZI<br />
Simu ya Upepo: “Ukaguzi"<br />
D’Salaam<br />
Simu: 255(022)2115157/8<br />
Nukishi: 255(022)2117527<br />
Tovuti: ocag@nao.go.tz<br />
Tovuti: www.nao.go.tz<br />
Unapojibu tafadhali taja<br />
Kumb. EA.103/2007/2008<br />
na tarehe<br />
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />
Hesabu za Serikali,<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi,<br />
Barabara ya Samora /Ohio,<br />
S.L.P. 9080,<br />
DAR ES SALAAM.<br />
26 Machi, 2009<br />
Mh. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete,<br />
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,<br />
Ikulu,<br />
S.L.P 9120,<br />
Dar es Salaam.<br />
Yah : KU<strong>WA</strong>SILISHA <strong>RIPOTI</strong> <strong>YA</strong> <strong>M<strong>WA</strong>KA</strong> <strong>YA</strong> UKAGUZI <strong>WA</strong><br />
<strong>HESABU</strong> <strong>ZA</strong> MAMLAKA <strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA K<strong>WA</strong><br />
<strong>M<strong>WA</strong>KA</strong> 2007/08<br />
Kwa mujibu wa Ibara ya 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano<br />
wa Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005) na kifungu<br />
cha 45 cha Sheria ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa Na.9<br />
ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000), pamoja na kifungu cha<br />
10(1) cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka 2008<br />
ninawasilisha kwako ripoti tajwa hapo juu.<br />
Nawasilisha,<br />
Ludovick S.L. Utouh<br />
<strong>MDHIBITI</strong> <strong>NA</strong> <strong>MKAGUZI</strong> <strong>MKUU</strong> <strong>WA</strong> <strong>HESABU</strong> <strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong><br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
iii
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
iv
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi<br />
Imeanzishwa kwa mujibu wa Ibara namba 143 ya Katiba ya<br />
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />
Kazi na wajibu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
zimeainishwa katika Ibara ya 143 ya Katiba ya Jamhuri ya<br />
Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005)<br />
kama ilivyofafanuliwa zaidi na vifungu Na. 45 na 48 vya sheria ya<br />
Fedha za Serikali za Mitaa Na. 9 ya mwaka 1982 (ilivyorekebishwa<br />
2000) na kifungu Na.10(1) cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma ya<br />
mwaka 2008.<br />
Dira ya Ofisi<br />
Kuwa kituo cha ubora katika ukaguzi wa hesabu katika sekta za<br />
umma.<br />
Lengo la Ofisi<br />
Kutoa huduma bora za ukaguzi zenye kuleta tija kwa nia ya<br />
kuimarisha uwajibikaji na thamani ya fedha katika kukusanya na<br />
kutumia rasilimali za umma.<br />
Katika kutoa huduma zenye ubora unaostahili, Ofisi inaongozwa<br />
na vigezo vya msingi vifuatavyo:<br />
Kutopendelea Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni taasisi<br />
isiyopendelea, inayotoa huduma kwa wateja<br />
wake kwa haki.<br />
Ubora<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni ya kitaalamu<br />
inayotoa huduma bora za ukaguzi wa hesabu<br />
kwa kuzingatia viwango vya kitaaluma.<br />
Uadilifu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inazingatia na<br />
kudumisha haki kwa kiwango cha juu na<br />
kuheshimu sheria.<br />
Ubunifu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni taasisi bunifu<br />
ambayo wakati wote inaimarisha na kukaribisha<br />
mawazo mapya ya kimaendeleo toka ndani na<br />
nje ya taasisi.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
v
Matumizi bora ya<br />
rasilimali za<br />
umma<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni taasisi<br />
inayozingatia matumizi bora ya rasilimali<br />
zilizokabidhiwa kwake.<br />
© Taarifa hii ni kwa ajili ya matumizi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />
Hata hivyo, baada ya taarifa kuwalishwa Bungeni, taarifa hii<br />
inakuwa ni kumbukumbu ya umma na usambazaji wake hautakuwa<br />
na kikomo.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
vi
Dibaji<br />
Ninapenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wadau mbalimbali<br />
ambao nimefanya nao kazi katika zoezi zima la ukaguzi wa hesabu<br />
na uandaaji wa taarifa hii. Wadau hawa wamenipa heshima kubwa<br />
kwa kuchangia katika taaluma ya ukaguzi na kufanya Ofisi ya Taifa<br />
ya Ukaguzi kutimiza malengo yake kwa kuzingatia Dira ya Ofisi.<br />
Nina imani kuwa sifa za msingi za ofisi zitaainishwa kwa taarifa za<br />
ukaguzi wa hesabu ambazo zinaboreshwa kila mara. Matumaini ni<br />
kwamba, taarifa hizi zitakuwa ni za thamani kwa wadau wetu<br />
katika kuboresha utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya msingi.<br />
Ninawashukuru wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa<br />
Hesabu. Kama ilivyo ndani ya taarifa hii, wafanyakazi hawa katika<br />
kufanya kazi za Ukaguzi na kutoa taarifa muhimu wameendelea<br />
kudumisha mahusiano mazuri na wakaguliwa bila kuathiri uhuru<br />
wa kitaalamu. Pamoja na kwamba Mamlaka ya Ofisi ya Taifa ya<br />
Ukaguzi hufanya ukaguzi kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya<br />
Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ilivyorekebishwa 2005),<br />
Mamlaka hii haitakuwa na nguvu kama kuaminika kwa Ofisi<br />
hakutakuwepo. Ukaguzi wa hesabu umekuwa ukifanyika bila woga<br />
wala upendeleo na mchango wa ofisi katika uwajibikaji umekuwa<br />
ukiongezeka ndani na nje ya nchi. Ninachukua fursa hii<br />
kuwashukuru sana wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa<br />
mara nyingine kufanikiwa kukamilisha taarifa ya 2007/08 ikiwa ni<br />
mwaka wa nne mfululizo.<br />
Pia napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Rais wa Jamhuri ya<br />
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa, Daktari Jakaya Mrisho<br />
Kikwete, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />
Mheshimiwa Samwel Sitta (Mb), kamati tatu za kudumu za hesabu<br />
za bunge ambazo ni PAC, LAAC, na POAC, waheshimiwa wabunge<br />
wote na wadau wa maendeleo kwa kuunga mkono kazi<br />
zinazofanywa na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.<br />
Michango yao na uzito walioipa taarifa yangu ya ukaguzi kwa<br />
lengo la kuleta ufanisi katika matumizi, uwazi na uwajibikaji bora<br />
na katika kusimamia vyema fedha za umma. Ni matumaini yangu<br />
kuwa nguvu hizi za pamoja zitaimarisha usimamizi bora wa fedha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
vii
za umma katika kuchangia na pia kutimiza malengo ya MKUKUTA<br />
na ya Milenia (MDG).<br />
Kama Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ninao<br />
wajibu wa kutoa taarifa kuhusu Taasisi za umma katika hali<br />
ambayo siyo rahisi. Kwanza kabisa, mahusiano mazuri kati ya<br />
Mkaguzi na Mkaguliwa ni muhimu sana ili kudumisha na kuleta<br />
maelewano. Hata hivyo uhusiano huu ni muhimu kwa kuzingatia<br />
kwamba yanayotolewa taarifa tayari yanaeleweka na umma, hivyo<br />
taarifa za fedha zinatoa taswira ya hali halisi. Kwa upande wa<br />
ukaguzi, hati yenye mashaka ikitolewa inaweza kuleta matokeo<br />
hasi kwa taasisi na uongozi wa taasisi hiyo. Hali hii pekee yaweza<br />
kuleta msuguano na chuki kati ya wadau na jamii. Hata hivyo ni<br />
ukweli kwamba hata kwa Mkaguzi mwangalifu wakati mwingine<br />
kutolewa kwa hati yenye mashaka hakuepukiki kwa sababu ya<br />
sheria imara zinazosimamia ukaguzi na viwango vya uhasibu<br />
vilivyoridhiwa.<br />
Kwa Afisa masuuli ambaye atakuwa na muono chanya kuhusu<br />
taarifa za ukaguzi, taarifa hizi zinaweza kuleta maboresho ndani<br />
ya taasisi husika. Kwa hali hiyo kushirikisha uongozi wa juu katika<br />
mchakato mzima wa Ukaguzi ni suala muhimu sana katika<br />
mchakato mzima wa ukaguzi na vilevile katika usimamizi<br />
madhubuti wa fedha na pia kuimarisha usimamizi wa ndani wa<br />
fedha za umma unaotarajiwa na wadau. Kwa ujumla nimepata<br />
ushirikiano mzuri wakati wa ukaguzi wangu, kwa hiyo ninawaomba<br />
maafisa masuuli wote kuendelea kujenga uwezo ili kuweza kutoa<br />
huduma kwa umma kama inavyo tegemewa.<br />
Wanahabari, ni kundi jingine muhimu sana ambalo ninapenda<br />
kulishukuru. Wanahabari wamekuwa ni wana taaluma ambao<br />
wanawezesha kufikisha taarifa za Ukaguzi kwa watanzania walio<br />
wengi kama inavyohitajika baada ya kuwa imewasilishwa bungeni.<br />
Kwa kufanya hivyo, wadau wengi wanapata taarifa ya nini<br />
kilichomo ndani ya taarifa ya ukaguzi.<br />
Napenda vile vile, kuwashukuru watumishi wa umma wote ndani<br />
ya Mamlaka za Serikali za Mitaa na Serikali Kuu. Michango yao<br />
madhubuti, hata kama ni ya kukosoa au kupongeza yote<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
viii
inachukuliwa kwa uzito unaostahili. Ni mategemeo yangu<br />
kwamba michango yao yote imejumuishwa ndani ya taarifa<br />
ambayo wanaweza kuiona na kukubali kwamba Ofisi yangu<br />
inajitahidi sana katika kuleta mabadiliko katika nchi yetu na<br />
ulimwengu kwa ujumla.<br />
Kundi lingine ni umma wa watanzania kwa michango mbali mbali<br />
wanayotoa ili kuongeza uwajibikaji, ninawaomba waendelee<br />
kuhakikisha kuna uwajibikaji mkubwa katika kukusanya na<br />
kutumia rasilimali na fedha za umma unakuwepo kwa kiwango cha<br />
hali ya juu.<br />
Mwisho hata hivyo ni muhimu, kwa maoni yangu binafsi na kwa<br />
maoni ya wanataaluma wote kwamba taarifa ya ukaguzi ni<br />
nyaraka ‘inayoishi’. Hivyo inatakiwa kutoa taswira, kwa namna<br />
inavyowezekana kwa mwelekeo wa sasa kuhusu masuala<br />
yanayohusu taratibu za ukaguzi na matokeo yake. Kwa hiyo<br />
taarifa hii ni kioo cha kuonyesha ni jinsi gani taasisi ya ukaguzi<br />
inavyoweza kutumiwa kama chombo cha kuleta mabadiliko na<br />
mwelekeo mzuri.<br />
Ludovick S. L. Utouh<br />
<strong>MDHIBITI</strong> <strong>NA</strong> <strong>MKAGUZI</strong> <strong>MKUU</strong> <strong>WA</strong> <strong>HESABU</strong> <strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong><br />
_______________________________________<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi,<br />
Dar es Salaam,<br />
26 Machi, 2009<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
ix
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
x
Shukrani<br />
Napenda kutoa shukrani kwa wote waliotengeneza mazingira ya<br />
kuniwesha kutekeleza majukumu yangu ya kikatiba na hivyo<br />
kukamilisha taarifa hii ya ukaguzi na kuitoa kwa wakati.<br />
Katika hali hii ninawiwa kutoa shukrani zangu kwa Bunge kupitia<br />
kamati za kudumu kwa kujituma kwao katika kuleta uwajibikaji<br />
katika matumizi na menejimenti ya usimamizi mzuri wa rasilimali<br />
za umma kwa njia ya majadiliano na kufikia maazimio kuhusiana<br />
na taarifa za ukaguzi. Ni imani yangu kwamba kwa kuwa taarifa<br />
hii inatolewa kwa wakati itachochea majadiliano ya kamati za<br />
kudumu za Bunge kwa wakati muafaka ili kazi ya usimamizi<br />
iendane na wakati.<br />
Katika kutekeleza majukumu yake Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />
Hesabu za Serikali inahitaji taasisi madhubuti yenye vifaa vya<br />
kutosha na teknolojia za kisasa, na watumishi wenye utaalam na<br />
uwezo huku wakiungwa mkono na uwepo wa sheria madhubuti.<br />
Katika hali hiyo, Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka<br />
2008 ilipitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na<br />
kuanza kutumika rasmi tarehe 1 Julai, 2008. Naishukuru Serikali<br />
na Bunge kwa ujumla katika kufanikisha mchakato mzima wa<br />
kuwepo kwa sheria hii.<br />
Aidha, napenda kutoa shukrani kwa wadau wa maendeleo na hasa<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ya Sweden (S<strong>NA</strong>O), Serikali ya Sweden,<br />
Benki ya Dunia kupitia Mpango wa Maboresho katika Usimamizi wa<br />
Fedha za Umma (PFMRP), Muungano wa Asasi Kuu za Ukaguzi<br />
katika nchi za Afrika zinazotumia Kiingereza (AFROSAI-E) na pia<br />
wale wote waliochangia kwa namna moja au nyingine katika<br />
kuiwezesha Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kuwa ya kisasa.<br />
Hali kadhalika, ninawashukuru wadau wengine akiwemo Katibu<br />
Mkuu ambaye pia ni Mlipaji Mkuu, Hazina pamoja na Maafisa<br />
Masuuli wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuunga mkono kazi<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xi
za ukaguzi na uhusiano mzuri katika kutoa taarifa zilizonisaidia<br />
katika uandaaji wa taarifa za ukaguzi. Vile vile namshukuru Mpiga<br />
Chapa Mkuu wa Serikali kwa kuharakisha uchapishaji wa taarifa hii<br />
na hivyo kuniwezesha kuiwasilisha kwa wakati.<br />
Mwisho, ninapenda kuwashukuru wafanyakazi wote wa Ofisi ya<br />
Taifa ya Ukaguzi waliofanya kazi hii kwa juhudi bila kuchoka na<br />
kuwezesha taarifa hii kutoka kwa wakati. Kujitolea kwao na<br />
kujituma imekuwa ni kwa manufaa makubwa. Nawasihi wote<br />
kuendelea na moyo huu waliouonyesha na uendelee katika siku<br />
zijazo.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xii
VIFUPISHO<br />
AFROSAI-E Muungano wa Asasi Kuu za Ukaguzi katika nchi za<br />
Afrika zinazotumia Kiingereza<br />
BoQ Mchanganuo wa gharama za kazi<br />
CIDA Shirika la Kimatifa la maendeleo la Canada<br />
EU Jumuiya ya Nchi za Ulaya<br />
GAAP Viwango kubalifu vya uhasibu<br />
GFS Takwimu za Serikali katika masuala ya fedha<br />
H/W Halmashauri ya Wilaya<br />
HSDP Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya<br />
IFAC Shirikisho la Kimataifa la Wahasibu<br />
IFMS Mfumo funganifu wa usimamizi wa fedha<br />
IFRS Viwango vya kimataifa vya utoaji wa taarifa za fedha<br />
INTOSAI Shirika la kimataifa la Asasi kuu za ukaguzi<br />
IPSAs Viwango vya kimataifa vya uhasibu kwa sekta ya<br />
umma<br />
ISA Viwango vya kimataifa vya uhasibu<br />
JICA Shirika la Maendeleo la Japan<br />
KfW Wahisani wa Kijerumani<br />
LAAC Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa<br />
LAAM Muongozo wa uaandaaji hesabu za Serikali za mitaa<br />
LAFM Memoranda ya fedha za Serikali za mitaa, 1997<br />
LAPF Mfuko wa akiba ya Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa<br />
LGAs Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />
LGCDG Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo ya Serikali za Mitaa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xiii
LGLB<br />
MDG<br />
MKUKUTA<br />
MSD<br />
MTEF<br />
PAA<br />
PAC<br />
PFM<br />
PFMRP<br />
POC<br />
S<strong>NA</strong>O<br />
TACAIDS<br />
TAMISEMI<br />
TASAF<br />
TEMESA<br />
TSRP<br />
VEO<br />
WEO<br />
Mfuko wa Mikopo wa Serikali za Mitaa<br />
Malengo ya Milenia<br />
Mkakati wa Kukuza Uchumi Na Kupunguza Umaskini<br />
Tanzania<br />
Bohari Kuu ya Madawa<br />
Mpango wa kati wa matumizi ya fedha za umma<br />
Sheria ya Ukaguzi wa Umma<br />
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali<br />
Mradi Shirikishi wa Uhifadhi Misitu<br />
Mpango wa maboresho katika usimamizi wa fedha za<br />
Umma<br />
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ya Sweden<br />
Mfuko wa Ukimwi<br />
Ofisi ya Waziri Mkuu - Tawala za Mikoa na Serikali za<br />
Mitaa<br />
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania<br />
Wakala wa ufundi na Umeme Tanzania<br />
Mwongozo wa Kihasibu Unaopendekezwa Tanzania<br />
Maafisa tendaji wa Vijiji<br />
Maafisa tendaji wa Kata<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xiv
<strong>YA</strong>LIYOMO<br />
Dibaji .....................................................................................vii<br />
Shukrani .................................................................................... xi<br />
VIFUPISHO .................................................................................xiii<br />
Muhtasari wa taarifa ya Ukaguzi...................................................... xvii<br />
SURA <strong>YA</strong> K<strong>WA</strong>N<strong>ZA</strong> ......................................................................... 1<br />
UTANGULIZI <strong>NA</strong> MAMBO <strong>YA</strong> JUMLA .................................................... 1<br />
1.1 Msingi wa Kisheria unaomwongoza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />
Hesabu za Serikali kuhusu ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa ............................................................................... 1<br />
1.2 Taratibu za kutoa taarifa ....................................................... 4<br />
1.3 Mpangilio wa kazi za Ukaguzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa .......... 4<br />
1.4 Mawanda na viwango vya Ukaguzi ............................................. 5<br />
1.5 Majukumu ya Mamlaka za Serikali za Mitaa .................................. 6<br />
SURA <strong>YA</strong> PILI................................................................................ 9<br />
AI<strong>NA</strong>, VIGEZO <strong>NA</strong> MWELEKEO <strong>WA</strong> HATI <strong>ZA</strong> UKAGUZI .............................. 9<br />
2.1 Vigezo vya hati za ukaguzi zilizotolewa ...................................... 9<br />
2.2 Hati za Ukaguzi ................................................................... 9<br />
2.3 Misingi ya kutoa hati zaidi ya hati inayoridhisha ..........................10<br />
2.4 Mchanganuo wa hati za ukaguzi katika Halmashauri ......................14<br />
SURA <strong>YA</strong> TATU ............................................................................19<br />
U<strong>WA</strong>SILISHAJI <strong>WA</strong> TAARIFA <strong>ZA</strong> FEDHA <strong>NA</strong> MATOKEO <strong>YA</strong> UKAGUZI .............19<br />
3.1 Mamlaka za Serikali za Mitaa zenye hati inayoridhisha ...................19<br />
3.2 Halmashauri zilizopata hati zinazoridhisha na masuala ya<br />
msisitizo ..........................................................................19<br />
3.3 Halmashauri zilizopata Hati zenye shaka....................................45<br />
3.4 Mchakato wa Utayarishaji wa Taarifa za Fedha ............................81<br />
3.5 Tathmini ya Udhibiti wa Teknolojia ya Mawasiliano katika<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa..................................................97<br />
SURA <strong>YA</strong> NNE ............................................................................ 103<br />
USIMAMIZI <strong>WA</strong> FEDHA <strong>NA</strong> MALI <strong>ZA</strong> KUDUMU KATIKA MAMLAKA <strong>YA</strong><br />
<strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA ........................................................... 103<br />
4.1 Ufuatiliaji wa utekelezaji wa maoni ya ukaguzi kwa miaka<br />
iliyopita katika Halmashauri ................................................ 103<br />
4.2 Usimamizi wa Fedha .......................................................... 104<br />
4.3 Usimamizi wa mali za Halmashauri......................................... 108<br />
4.4 Wadaiwa wasiolipa............................................................ 118<br />
4.5 Wadai wasiolipwa ............................................................. 119<br />
4.6 Masurufu yasiyorejeshwa ................................................... 119<br />
4.7 Vitabu vya mapato ambavyo havikuwasilishwa kwa ukaguzi ........... 121<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xv
4.8 Kutokuwasilishwa kwa maduhuli ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />
yaliyokusanywa na mawakala ............................................... 122<br />
4.9 Malipo yenye nyaraka pungufu .............................................. 123<br />
4.10 Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo .................................. 124<br />
4.11 Ruzuku kutoka Serikali Kuu isiyotumika ................................... 125<br />
4.12 Ukaguzi wa Mishahara........................................................ 129<br />
4.13 Masuala ya Utawala bora na Mfumo wa udhibiti wa ndani ............. 131<br />
4.14 Uchambuzi wa ugharimiaji.................................................. 140<br />
4.15 Ukaguzi wa Bajeti ............................................................. 143<br />
SURA <strong>YA</strong> TANO<br />
UCHAMBUZI <strong>WA</strong> MCHAKATO <strong>WA</strong> MANUNUZI KATIKA MAMLAKA <strong>ZA</strong><br />
<strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA ......................................................... 149<br />
5.1 Utangulizi ....................................................................... 149<br />
5.2 Uimarishwaji wa Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi .................. 150<br />
5.3 Upembuzi wa manunuzi ya bidhaa, kazi za ujenzi na huduma<br />
katika Serikali za Mitaa...................................................... 157<br />
5.4 Usimamiaji wa Mikataba na kukidhi matakwa ya Sheria ya Manunuzi 161<br />
SURA <strong>YA</strong> SITA............................................................................ 165<br />
6.0 MATOKEO <strong>YA</strong> KAGUZI MAALUM .............................................. 165<br />
6.1 Matokeo kwa ufupi ya kaguzi maalum zilizofanyika katika mwaka<br />
huu wa fedha. ................................................................. 165<br />
SURA <strong>YA</strong> SABA.......................................................................... 177<br />
UKAGUZI <strong>WA</strong> MIRADI ILIYOPATA FEDHA TOKA K<strong>WA</strong> <strong>WA</strong>HISANI................ 177<br />
7.1 Utangulizi....................................................................... 177<br />
7.2 Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za<br />
Afya (Basket Fund) ............................................................ 177<br />
7.3 Mpango wa uendelezaji wa sekta ya kilimo (ASDP) ...................... 184<br />
7.4 Mradi wa Mfuko wa kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua kikuu na<br />
Malaria .......................................................................... 188<br />
7.5 Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya Maji................................... 190<br />
7.6 Matokeo ya ukaguzi wa Mfuko wa Jamii Tanzania (TASAF)............. 197<br />
7.7 Mradi wa mfuko wa barabara katika Halmashauri za wilaya ........... 211<br />
SURA <strong>YA</strong> <strong>NA</strong>NE .......................................................................... 215<br />
TATHMINI <strong>YA</strong> UFANISI <strong>WA</strong> MIRADI <strong>YA</strong> HALMASHAURI ............................ 215<br />
8.1 Tathmini ya ufanisi kwa ujumla............................................. 215<br />
SURA <strong>YA</strong> TISA............................................................................229<br />
MAJUMUISHO <strong>NA</strong> MAPENDEKEZO .................................................... 229<br />
9.1 Majumuisho..................................................................... 229<br />
9.2 Mapendekezo .................................................................. 236<br />
VIAMBATISHO ............................................................................ 243<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xvi
Muhtasari wa taarifa ya Ukaguzi<br />
Taarifa hii inatoa majumuisho ya matokeo ya ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha<br />
ulioishia tarehe 30 Juni, 2008.<br />
Kama itakavyoonekana, matokeo ya ukaguzi ya Mamlaka ya<br />
Serikali za Mitaa kwa ya mwaka 2007/08 yameshuka ukilinganisha<br />
na matokeo ya mwaka 2006/07. Sababu za kushuka kwa matokeo<br />
haya zimesababishwa na mambo makubwa yafuatayo:-<br />
• Kutolewa kwa miongozo iliyokinzana kuhusu utayarishaji wa<br />
hesabu katika Mamlaka za Serikali za mitaa kwa mwaka wa<br />
fedha 2007/08.<br />
• Taarifa za fedha zilizowasilishwa kwa ajili ya ukaguzi<br />
hazikuainisha mambo muhimu kwa mujibu wa matakwa ya<br />
viwango vya kimataifa kuhusu uandaaji wa hesabu (IPSAs)<br />
hivyo kuleta ugumu katika kutathmini utendaji wa Mamlaka<br />
za Serikali za Mitaa.<br />
• Menejimenti za Halmashauri husika kutosimamia<br />
utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Halmashuri zilipeleka<br />
fedha katika kata na vijiji pasipo ufuatiliaji.<br />
• Kupanuka kwa mawanda ya ukaguzi na kujumuisha ukaguzi<br />
kuhusu thamani ya fedha, mishahara na mifumo ndani ya<br />
mamlaka ya Serikali za mitaa.<br />
• Kuongezeka kwa kiwango cha fedha zinazokwenda<br />
halmashauri kwa utaratibu wa kupeleka madaraka ngazi za<br />
chini (D by D), ambao unahitaji uwepo wa uwezo wa<br />
kusimamia fedha na rasilimali za Halmashauri katika ngazi<br />
hizo za utawala.<br />
Muhtasari wa matokeo ya Ukaguzi na mambo yanayohusiana<br />
nayo<br />
Kwa mujibu wa Ibara ya 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano<br />
wa Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005) na kifungu<br />
cha 45 cha Sheria ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa Na.9<br />
ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000), pamoja na kifungu cha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xvii
10(1) cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka 2008,<br />
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ndiye mwenye<br />
dhamana ya kukagua hesabu za Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />
Matokeo ya ukaguzi kwa kina katika taarifa hii yamewasilishwa<br />
kwa menejimenti za kila Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />
Ufuatao ni muhtasari wa matokeo muhimu ya ukaguzi kama<br />
yalivyojitokeza katika taarifa mbali mbali za Halmashauri husika:-<br />
Mchanganuo linganifu wa hati za ukaguzi zilizotolewa kwa<br />
mwaka 2006/07 na 2007/2008<br />
Hati zinazoridhisha<br />
Hati zenye shaka<br />
Hati<br />
zisizoridhisha<br />
Jumla<br />
2006/07 2007/2008 2006/07 2007/08 2006/07 2007/08 2006/07 2007/08<br />
Halmashauri<br />
Halmashauri<br />
za Jiji<br />
5 3 - 1 - - 5 4<br />
Halmashauri<br />
13 7 3 10 - - 16 17<br />
za<br />
Manispaa<br />
Halmashauri<br />
3 4 1 2 - - 4 6<br />
za Miji<br />
Halmashauri<br />
79 58 20 48 - - 99 106<br />
za<br />
Wilaya<br />
Jumla 100 72 24 61 - - 124 133<br />
Asilimia 81% 54% 19% 46% - -<br />
Sura ya<br />
kwanza<br />
Utangulizi na mambo ya jumla<br />
Sura hii inatoa maelezo ya kina kuhusu sheria<br />
zinazosimamia utoaji wa taarifa za fedha katika<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazo ni pamoja<br />
na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xviii
Sura ya pili<br />
ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005), Sheria<br />
ya Fedha za Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka<br />
1982 (iliyorekebishwa 2000) na Sheria ya<br />
Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka 2008.<br />
Masuala mengine yaliyopo katika sura hii ni<br />
pamoja na majukumu ya Ofisi ya Taifa ya<br />
Ukaguzi na jinsi taarifa ilivyoandaliwa,<br />
mawanda ya ukaguzi, viwango vinavyotumika<br />
kukagua Hesabu za Halmashauri nchini, wajibu<br />
wa Halmashauri na wadau wengine, mfumo wa<br />
udhibiti wa ndani wa Serikali za Mitaa na<br />
uwasilishaji wa taarifa za fedha kwa ajili ya<br />
ukaguzi.<br />
Aina, vigezo na mwelekeo wa hati za ukaguzi<br />
Sura hii inatoa maelezo kwa undani na tafsiri za<br />
aina mbalimbali za hati za ukaguzi, ambazo<br />
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu anatoa kuhusiana na<br />
Hesabu za Fedha za Mamlaka ya Serikali za<br />
Mitaa, kama vile hati zinazoridhisha, hati zenye<br />
shaka, hati zisizoridhisha na hati mbaya. Pia<br />
aina ya hati za Ukaguzi zilizotolewa katika<br />
mwaka wa fedha 2006/07 na 2007/08<br />
zimeainishwa katika sura hii kwa ajili ya<br />
ulinganisho.<br />
Sura ya tatu Uwasilishaji wa taarifa za fedha na<br />
mchanganuo wa matokeo ya ukaguzi<br />
Mchanganuo wa kina wa matokeo ya ukaguzi wa<br />
hesabu za Serikali za Mitaa kwa mwaka 2007/08<br />
umetolewa katika sura hii. Pia inachanganua<br />
sababu zilizosababisha kutolewa kwa aina ya<br />
hati iliyotolewa kwa mwaka huu kwa kila<br />
Halmashauri. Matokeo ya mchanganuo huu<br />
yameonyesha kati ya Halmashauri 133<br />
zilizokaguliwa, ni Halmashauri 72 sawa na<br />
asilimia hamsini na nne (54%) zimepata hati<br />
zinazoridhisha, Halmashauri 61 sawa na asilimia<br />
arobaini na sita (46%) zimepata hati zenye<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xix
shaka. Hakuna Halmashauri hata moja<br />
iliyopata Hati isiyoridhisha.<br />
Sura ya nne<br />
Sura ya tano<br />
Sura ya sita<br />
Usimamizi wa fedha na mali, utawala bora na<br />
udhibiti wa ndani katika Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa<br />
Sura hii inatoa kwa ufupi mapungufu na udhaifu<br />
uliojitokeza katika usimamizi wa fedha na mali<br />
za Halmashauri. Sura hii pia inatoa taarifa ya<br />
utekelezaji wa maoni ya ukaguzi yaliyotolewa<br />
katika taarifa za ukaguzi kwa miaka iliyopita.<br />
Pia, sura hii inatoa mchanganuo wa usimamizi<br />
wa fedha na mali za Halmashauri. Masuala<br />
mengine katika sura hii ni tathmini ya utawala<br />
bora na udhibiti wa ndani katika Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa.<br />
Mapitio ya mikataba na taratibu za manunuzi<br />
katika Halmashauri<br />
Sura hii inahusika na tathmini ya uzingatiaji wa<br />
Sheria ya Manunuzi Na.21 ya mwaka 2004<br />
pamoja na Kanuni husianifu, taratibu za<br />
manunuzi ya bidhaa, kazi za ujenzi na utoaji wa<br />
huduma katika Halmashauri pamoja na<br />
mapungufu yanayohusiana na manunuzi<br />
yaliyoonekana wakati wa ukaguzi.<br />
Matokeo ya ukaguzi maalum<br />
Sura hii inaonyesha nia na madhumuni ya<br />
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
kufanya ukaguzi maalum.<br />
Katika ukaguzi wa mwaka 2007/08 kaguzi<br />
maalum saba (7) zimefanyika kwa kuzingatia<br />
hadidu za rejea zilizotolewa na matokeo<br />
kuwasilishwa kwa menejimenti za Halmashauri<br />
husika kwa ajili ya kuchukua hatua<br />
zinazostahili.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xx
Sura ya saba<br />
Sura ya nane<br />
Sura ya tisa<br />
Matokeo ya ukaguzi wa miradi iliyofadhiliwa<br />
na wadau wa maendeleo<br />
Sura hii inaonyesha matokeo ya ukaguzi kwa<br />
ufupi kuhusu usimamizi na utekelezaji wa<br />
miradi katika Halmashauri husika.<br />
Matokeo ya ukaguzi wa miradi iliyotekelezwa<br />
chini ya ruzuku ya Miradi ya Maendeleo ya<br />
Serikali za Mitaa (LGCDG)<br />
Sura hii inahusika na tathmini ya masuala<br />
muhimu katika miradi michache iliyochaguliwa<br />
ambayo ni: Afya, Shule na ujenzi wa barabara.<br />
Majumuisho na mapendekezo<br />
Sura hii inatoa majumuisho na mapendekezo ya<br />
ukaguzi wa Hesabu za Halmashauri na jinsi ya<br />
kuboresha usimamizi wa fedha na mali za<br />
Halmashauri.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
xxi
SURA <strong>YA</strong> K<strong>WA</strong>N<strong>ZA</strong><br />
UTANGULIZI <strong>NA</strong> MAMBO <strong>YA</strong> JUMLA<br />
1.1 Msingi wa Kisheria unaomwongoza Mdhibiti na Mkaguzi<br />
Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu ukaguzi wa Mamlaka<br />
za Serikali za Mitaa<br />
Taarifa hii ya ukaguzi inatolewa kwa mujibu wa Ibara ya<br />
143 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya<br />
mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005) pamoja na kifungu cha<br />
10(1) cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka<br />
2008.<br />
Taarifa hii inajumuisha matokeo ya ukaguzi wa fedha za<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha ulioishia<br />
tarehe 30 Juni, 2008.<br />
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa<br />
Tanzania, Ibara 143 (2) (c), ninawajibika, angalau mara<br />
moja kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa taarifa juu ya<br />
ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Jamhuri ya Muungano,<br />
hesabu zinazosimamiwa na watumishi wote wa Serikali ya<br />
Jamhuri ya Muungano na hesabu za Mahakama zote za<br />
Jamhuri ya Muungano na hesabu zinazosimamiwa na Katibu<br />
wa Bunge.<br />
Kwa upande mwingine, kifungu 45 (1) cha Sheria ya fedha<br />
ya Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa<br />
2000) kinatamka “hesabu za kila Halmashauri ya Wilaya,<br />
Mamlaka za Miji zinapaswa kukaguliwa na Mkaguzi wa Ndani<br />
aliyeajiriwa na Mamlaka husika, ukaguzi wa nje wa<br />
Mamlaka hizo unapaswa kufanywa na Mdhibiti na Mkaguzi<br />
Mkuu wa Hesabu za Serikali”.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
1
Kifungu cha 45 (4) cha Sheria ya Fedha za Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000) kwa<br />
upande mwingine kinabainisha kwamba “mara tu baada ya<br />
kufunga mwaka wa fedha wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa,<br />
Mamlaka husika itawasilisha hesabu za fedha kwa wakaguzi<br />
ambao watakamilisha ukaguzi katika kipindi cha miezi sita<br />
baada ya kufunga mwaka wa fedha”.<br />
Kifungu cha 45 (5) cha Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa<br />
ya Na.9 ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000) kinafafanua<br />
zaidi kwamba “Kila Mamlaka itamruhusu mkaguzi kukagua<br />
fedha, vitega uchumi au rasilimali nyingine ambazo<br />
zinamilikiwa au zilizo chini ya udhibiti wao na wakaguzi<br />
wawe na fursa ya kukagua hesabu, vitabu, hati za malipo<br />
na nyaraka zote zinazohusiana”.<br />
Aidha, kifungu cha 48 (1), (2) na (4) cha Sheria ya Fedha ya<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 1982 kinabainisha kwamba<br />
“Mkaguzi ataandaa na kuweka saini katika ripoti ya ukaguzi<br />
wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa kuhusu hesabu na mizania<br />
ya mwaka na taarifa nyingine zinazohusiana nazo, nakala<br />
moja ya kila ripoti pamoja na mizania na taarifa nyingine<br />
zinazo husiana nazo zitapelekwa kwa Waziri, Mkuu wa Mkoa<br />
na Mkurugenzi ambaye ataziwasilisha kwa Baraza la<br />
Madiwani”.<br />
Kifungu hiki aidha kinanitaka kufanya yafuatayo:-<br />
(a)<br />
(b)<br />
(c)<br />
kubainisha kila kipengele cha matumizi ambacho<br />
kimefanyika bila kuidhinishwa na sheria au ambacho<br />
hakikuruhusiwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />
Kubainisha mapungufu au hasara ambayo imetokea<br />
aidha kwa uzembe au mtu yeyote aliyeshindwa kutoa<br />
taarifa ya matumizi ya fedha alizokabidhiwa;<br />
Kuthibitisha kiasi cha matumizi batili, upungufu, au<br />
hasara ambayo haijaonyeshwa vitabuni;<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
2
(d)<br />
Kuwasilisha nakala ya ripoti ya ukaguzi kwa Waziri<br />
mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa, Bunge,<br />
Wakuu wa Mikoa na Wakurugenzi Watendaji wa<br />
Mamlaka za Halmashauri.<br />
Kifungu cha 49 cha Sheria ya Serikali za Mitaa ya mwaka 1982<br />
(iliyorekebishwa 2000) kinabainisha kwamba “Kila Mamlaka ya<br />
Serikali za Mitaa katika ofisi zake au kwa maagizo yatakayotolewa<br />
na Mkuu wa Mkoa, itaweka bayana katika maeneo yake:<br />
(a)<br />
(b)<br />
Mizania ya hesabu na taarifa ambatanifu<br />
Ripoti yoyote kuhusu hesabu iliyotayarishwa na kutiwa saini<br />
na Mkaguzi, ndani ya kipindi cha miezi sita baada ya<br />
kufungwa kwa mwaka wa fedha unaohusika na hesabu hizo<br />
au ndani ya miezi sita ya kupokelewa ripoti ya wakaguzi,<br />
kutegemea hali itakavyokuwa”<br />
Agizo Na.90 la Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka<br />
1997 pia linaitaka Halmashauri kutangaza katika ofisi zake na<br />
katika gazeti la eneo lake yafuatayo:-<br />
(i)<br />
(ii)<br />
Mizania jumuifu iliyokaguliwa na taarifa ya mapato na<br />
matumizi (muhtasari wa hesabu) na<br />
Ripoti yoyote iliyotiwa saini na mkaguzi<br />
Kuridhia na kuchapishwa hesabu na ripoti za ukaguzi wa Mamlaka<br />
za Serikali za Mitaa ni fursa nyingine kwa Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa kuhimiza mawasiliano mapana zaidi na mazungumzo na<br />
wakazi wao, kuhusu mafanikio yao na mustakabali wao.<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni asasi kuu ya Ukaguzi wa hesabu<br />
ambayo ina wajibu pekee wa kuhakikisha kwamba kuna<br />
uwajibikaji, nidhamu ya fedha na uwazi katika Serikali ya Jamhuri<br />
ya Muungano wa Tazania. Aidha, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ina<br />
jukumu pekee la kutoa ripoti za ukaguzi kwa kiwango bora na<br />
kuhakikisha kwamba ripoti hizo zinatolewa kwa wakati. Ripoti<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
3
hizi zinaonyesha kwa kina matokeo ya ukaguzi wa mapato na<br />
matumizi na masuala ya utawala bora katika Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa.<br />
1.2 Taratibu za kutoa taarifa<br />
Kama mwanachama wa Shirika la Kimataifa la Asasi za<br />
Ukaguzi (INTOSAI), Ofisi yangu inawajibika kufanya ukaguzi<br />
wa taarifa za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa<br />
mujibu wa viwango vya INTOSAI na Viwango vya Kimataifa<br />
vya Ukaguzi (ISA).<br />
Wakati wa ukaguzi tulichunguza na kuhakiki taarifa za<br />
fedha pamoja na nyaraka ili kuhakikisha uhalali wake katika<br />
matumzi ya Halmashauri. Mwisho wa ukaguzi, maoni<br />
mbalimbali ya ukaguzi yametolewa kuhusu taarifa za fedha<br />
kwa msingi wa matokeo.<br />
Ili kukidhi matakwa ya Ibara 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri<br />
ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa<br />
2005) ripoti hii imewasilishwa kwa Mheshimiwa Rais.<br />
Ripoti za ukaguzi za kila Halmashauri zimewasilishwa kwa<br />
Wenyeviti wa Halmashauri husika ambao watawajibika<br />
kuziwasilisha ripoti hizo katika Baraza la Madiwani.<br />
1.3 Mpangilio wa kazi za Ukaguzi wa Mamlaka ya Serikali za<br />
Mitaa<br />
Ripoti inatoa muhtasari wa matokeo ya mwisho ya shughuli<br />
ya ukaguzi uliofanywa na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi nchini<br />
kote katika kipindi chote cha mwaka 2007/08. Ili Ofisi<br />
yangu iweze kushughulikia kazi hii kubwa ya kukagua<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa zote nchini, kiutawala<br />
imefungua Ofisi katika mikoa yote ishirini na moja (21) ya<br />
Tanzania Bara. Ofisi hizi za Mikoa ziko chini ya usimamizi<br />
wa Wakaguzi Wakazi wanaowajibika kwa Wakaguzi wa<br />
Kanda.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
4
Aidha, Ofisi za Ukaguzi Mikoani zimegawanyika katika<br />
kanda tano (5) chini ya usimamizi wa Wakaguzi wa Kanda<br />
walioko Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi<br />
wanawajibika kwa Mkaguzi Mkuu Msaidizi. Mgawanyiko huu<br />
ni kama ifuatavyo:-<br />
Mdhibiti na<br />
Mkaguzi Mkuu<br />
Msaidizi Mkaguzi<br />
Mkuu (Mikoa)<br />
Kanda ya<br />
Mashariki<br />
Makao Makuu ni<br />
Dar es Salaam<br />
Kanda ya Kati<br />
Makao Makuu ni<br />
Dodoma<br />
Kanda ya Ziwa<br />
Makao Makuu ni<br />
Mwanza<br />
Kanda ya Kusini<br />
Makao Makuu ni<br />
Mbeya<br />
Kanda ya<br />
Kaskazini<br />
Makao Makuu ni<br />
Arusha<br />
Dar es Salaam<br />
Mtwara<br />
Lindi<br />
Pwani<br />
Dodoma<br />
Singida<br />
Tabora<br />
Kigoma<br />
Morogoro<br />
Mwanza<br />
Kagera<br />
Mara<br />
Shinyanga<br />
Mbeya<br />
Ruvuma<br />
Iringa<br />
Sumbawanga<br />
Arusha<br />
Kilimanjaro<br />
Tanga<br />
Manyara<br />
1.4 Mawanda na viwango vya Ukaguzi<br />
1.4.1 Mawanda ya Ukaguzi<br />
Mawanda ya ukaguzi ni shughuli zinazokamilishwa wakati<br />
wa ukaguzi. Mawanda ya ukaguzi ni pamoja na malengo ya<br />
ukaguzi, aina, maeneo na taratibu zilizotumika wakati wa<br />
ukaguzi, kipindi kilichohusika wakati wa ukaguzi na<br />
shughuli husianifu ambazo hazikukaguliwa ili kuweka<br />
mipaka ya ukaguzi.<br />
Madhumuni ya kufanya ukaguzi ni kumwezesha Mdhibiti na<br />
Mkaguzi Mkuu kutoa maoni huru ya kitaalam katika taarifa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
5
za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kipindi<br />
kilichoishia 30 Juni, 2008. Ukaguzi ulihusu tathmini ya<br />
ubora wa mfumo wa utunzaji hesabu na udhibiti wa ndani<br />
wa shughuli za Halmashauri, ukaguzi na uhakiki wa taarifa<br />
zinazoambatana na taarifa za fedha, taarifa za utendaji na<br />
taratibu nyingine zilizoonekana muhimu kutokana na<br />
mazingira yaliyojitokeza katika kutoa maoni katika hesabu<br />
za fedha. Ukaguzi ulifanywa kwa misingi ya sampuli kwa<br />
hiyo matokeo ya ukaguzi yamejikita katika kiwango<br />
ambacho kilipatikana kwa nyaraka na taarifa zilizoombwa<br />
kwa madhumuni ya ukaguzi.<br />
1.4.2 Viwango vilivyotumika wakati wa ukaguzi<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni mwanachama wa Shirika la<br />
Kimataifa la Asasi za Ukaguzi (INTOSAI), ni Mwanachama wa<br />
Shirika la Afrika la Asasi Kuu za Ukaguzi (AFROSAI), ni<br />
Mwanachama wa Shirika la Afrika la Asasi Kuu za Ukaguzi<br />
zinazotumia lugha ya Kiingereza (AFROSAI-E). Kwa hiyo<br />
ninawajibika kutumia viwango vya ukaguzi vilivyotolewa<br />
na INTOSAI na viwango vya Kimataifa vya Ukaguzi (ISA)<br />
kama vilivyotolewa na Shirikisho la Wahasibu la Kimataifa<br />
(IFAC).<br />
1.5 Majukumu ya Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
Jukumu la kutayarisha taarifa za fedha kwa madhumuni ya<br />
ukaguzi ni la kila Halmashauri. Kifungu 40 (1) cha Sheria ya<br />
Fedha za Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 kinatamka<br />
kuwa “Kwa mujibu wa masharti ya kifungu hiki, kila<br />
Mamlaka ya Serikali za Mitaa itasababisha kupatikana,<br />
kuweka na kutunzwa kwa vitabu vya hesabu za fedha na<br />
nyaraka kuhusu:-<br />
(a) Mapato na matumizi ya fedha na miamala mingine ya<br />
fedha ya Mamlaka<br />
(b) Mali na dhima za Mamlaka, na kutayarishwa kila<br />
mwaka wa fedha, mizania inayoonyesha maelezo ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
6
mapato na matumizi ya mamlaka na mali zake zote na<br />
dhima.<br />
Kwa hiyo, utayarishaji na uwasilishaji wa hesabu za<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa ni sharti la kisheria kwa<br />
mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa Na. 9 ya<br />
Mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000). Menejimeti za<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa inapaswa kufuata Sheria hii.<br />
Ripoti za mwezi za Mamlaka za Serikali za Mitaa zinatoa<br />
taarifa itakayowasaidia wananchi kupima utendaji wao na<br />
kuwawajibisha kwa utendaji huo. Utoaji taarifa kwa<br />
wakati ni muhimu ili hali hiyo itokee. Hiki ndicho kiini cha<br />
uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma.<br />
Uchapishaji wa taarifa za fedha zilizokaguliwa utafanywa<br />
ndani ya miezi sita baada ya kupokewa kwa ripoti ya<br />
mkaguzi kwa mujibu wa masharti ya kifungu cha 49 cha<br />
Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Na. 9 ya 1982<br />
(Iliyorekebishwa 2000).<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini zinatarajiwa kuwa na<br />
utaratibu mzuri wa utoaji wa taarifa za fedha zinazohimiza<br />
taratibu za utayarishaji wa taarifa za fedha ukiwemo<br />
utambuaji na utatuzi wa masuala yanayogusa taarifa za<br />
fedha zenyewe. Matokeo ya ukaguzi wangu mwaka huu,<br />
yameonyesha kuwa zile Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
zinazotekeleza ufuataji wa michakato ya utoaji taarifa zao<br />
za fedha kila mwisho wa mwaka kwa mifumo ya udhibiti wa<br />
ndani inayofaa, mgawanyo wa kazi katika Idara ya Fedha,<br />
malinganisho ya benki ya kila mwezi, utunzaji kwa usalama<br />
wa nyaraka zote muhimu, n.k zimefanikiwa katika kutimiza<br />
tarehe za kuwasilisha hesabu zilizo bora kwa madhumuni ya<br />
ukaguzi, kuliko zile ambazo hazikufuata taratibu hizo.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
7
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
8
SURA <strong>YA</strong> PILI<br />
AI<strong>NA</strong>, VIGEZO <strong>NA</strong> MWELEKEO <strong>WA</strong> HATI <strong>ZA</strong> UKAGUZI<br />
2.1 Vigezo vya hati za ukaguzi zilizotolewa<br />
Katika kutekeleza matakwa ya Kisheria, ninawajibika kutoa<br />
uhakika kwa wadau wa Halmashauri kwamba taarifa za<br />
fedha zilizotayarishwa na Halmashauri zinatoa picha halisi<br />
ya matokeo ya shughuli zilizofanyika, mtiririko wa fedha<br />
pia mali na dhima za Halmashauri kwa mwaka ulioishia<br />
tarehe 30 Juni, 2008. Maoni ya ukaguzi yanatolewa kwa<br />
mtumiaji kama uhakikisho wa usahihi wa hesabu za fedha<br />
za Halmashauri pamoja na uzingatiaji matakwa husika.<br />
Kufuatana na viwango vya Ki-mataifa vya Ukaguzi (ISA) na<br />
(INTOSAI) hati za ukaguzi zifuatazo zinatolewa kama kipimo<br />
cha kutathmini usahihi wa hesabu za fedha. Hati hizi ni;<br />
hati zisizo na shaka, hati zenye shaka, hati chafu na hati<br />
mbaya.<br />
2.2 Hati za Ukaguzi<br />
2.2.1 Maana ya Hati za Ukaguzi<br />
Hati za ukaguzi ni maoni yaliyomo katika ripoti ya<br />
wakaguzi. Maoni hayo yanaeleza iwapo taarifa za fedha<br />
zilizokaguliwa zimetayarishwa kwa kutumia sera za hesabu<br />
za fedha kwa mujibu wa sheria zinazohusika, kanuni au<br />
viwango/misingi ya hesabu za fedha vinavyotumika.<br />
Maoni hayo hayana budi kuonyesha iwapo kuna uwazi wa<br />
kutosha wa taarifa zinazohusika kuwezesha kuelewa vizuri<br />
taarifa za fedha au hapana.<br />
Kwa madhumuni ya uwajibikaji na uwazi kwa Bunge, bila ya<br />
kujali aina ya maoni yaliyotolewa kwa taarifa husika za<br />
ukaguzi, matokeo ya ukaguzi yameelezwa pamoja na athari<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
9
zake, mapendekezo, jibu la mteja na maoni ya wakaguzi.<br />
Naamini kwamba mtindo huu wa uwasilishaji wa matokeo<br />
ya ukaguzi na utoaji ripoti, unakuza majukumu<br />
aliyokabidhiwa Afisa Masuuli na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu<br />
wa Hesabu za Serikali.<br />
2.2.2 Aina za Hati<br />
2.2.2.1 Hati zinazoridhisha<br />
Hati inayoridhisha kwa maana nyingine inatafsiriwa<br />
kama hati safi. Hati ya aina hii inatolewa wakati taarifa<br />
za fedha zilizowasilishwa ukaguzi hazina makosa na<br />
zimetengenezwa kwa mujibu wa kanuni za uhasibu,<br />
ambayo inamaanisha kuwa hali ya fedha na shughuli za<br />
Halmashauri kama zilivyoonyeshwa katika hesabu<br />
zilizowasilishwa ni sahihi.<br />
Hata hivyo, utoaji wa hati inayoridhisha haina maana<br />
kwamba Halmashauri ina mfumo safi kabisa wa udhibiti<br />
wa ndani, bali aina hii ya hati ina maana kwamba<br />
hakuna jambo lolote nililoliona ambalo lingesababisha<br />
kutolewa kwa hati yenye shaka. Kila Halmashauri<br />
iliyopata aina hii ya hati imeandikiwa taarifa nyingine<br />
kwa ajili ya menejimenti inayoeleza masuala ambayo<br />
yasipoangaliwa, yanaweza kuisababishia Halmashauri<br />
kupata hati yenye shaka miaka inayofuatia.<br />
2.3 Misingi ya kutoa hati zaidi ya hati inayoridhisha<br />
2.3.1 Hati inayoridhisha na yenye msisitizo wa masuala<br />
Katika baadhi ya mazingira, ripoti ya ukaguzi inaweza<br />
kurekebishwa kwa kuongeza msisitizo wa aya inayotaja<br />
masuala yanayoathiri taarifa za fedha. Kuongeza huko<br />
kwa aya ya msisitizo wa masuala hakuwezi kuathiri<br />
maoni ya ukaguzi. Kwa kawaida aya hiyo inaongezwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
10
aada ya maoni na kwamba hati iliyotolewa si yenye<br />
shaka.<br />
Aya ya msisitizo wa masuala inaambatisha kwa kila hali<br />
maelezo ya uzingativu wa haraka kwa Ofisa Masuuli kwa<br />
kumhadharisha kuhusu masuala hayo yanayohitaji<br />
kushughulikiwa haraka na kushindwa kufanya hivyo<br />
kutaweza kusababisha kutolewa kwa hati yenye shaka<br />
katika ukaguzi utakaofuata. Hata hivyo lengo kuu la<br />
msisitizo wa suala ni kuleta karibu uelewa wa hali hiyo<br />
ndani ya asasi iliyokaguliwa ingawa kumetolewa hati<br />
inayoridhisha.<br />
2.3.2 Hati yenye shaka<br />
Hati yenye shaka inatolewa iwapo ninaridhika kuwa hati<br />
inayoridhisha haiwezi kutolewa lakini kutokana na<br />
kutokubaliana na menejimenti au kukwazwa kwa<br />
mawanda ambapo athari yake ni kubwa lakini si muhimu<br />
katika usahihi wa taarifa ya fedha. Maneno<br />
yanayotumika katika hati yenye shaka hayatofautiani<br />
sana na yale yaliyo katika hati isiyo na shaka, lakini aya<br />
inaongezewa kuelezea sababu za kutolewa kwa hati<br />
yenye shaka. Kwa hali hiyo, inaonyesha kwamba taarifa<br />
za fedha zilizotolewa zinaonyesha hali halisi isipokuwa<br />
kwa mambo maalum yaliyoonekana katika ukaguzi.<br />
2.3.3 Hati Isiyoridhisha<br />
Hati isiyoridhisha inatolewa pale ambapo taarifa za<br />
fedha za Halmashauri kwa ujumla wake zina mapungufu<br />
makubwa kwa ujumla na hazikubaliani na kanuni za<br />
uhasibu. Hati hii ni kinyume cha hati inayoridhisha.<br />
Kimsingi inaeleza kwamba taarifa zilizopo kwa kiwango<br />
kikubwa zina makosa, haziaminiki na si sahihi katika<br />
kupima hali ya kifedha na matokeo ya shughuli zake.<br />
Maneno yanayotumika katika hati hii yanaeleza wazi<br />
kuwa taarifa za fedha hazikubaliani na kanuni kubalifu<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
11
za fedha kwa maana kwamba kwa ujumla wake<br />
hazikubaliki, si sahihi na hazionyeshi hali halisi ya<br />
kifedha na shughuli za Halmashauri husika.<br />
2.3.4 Hati mbaya<br />
Hati mbaya hutolewa wakati ninaposhindwa kupata<br />
uthibitisho wa ukaguzi wa kutosha na hivyo kushindwa<br />
kutoa maoni juu ya taarifa za fedha zilizowasilishwa.<br />
Hali hiyo hutokea wakati ninaposhindwa kukagua au<br />
kumaliza ukaguzi kwa sababu mbalimbali hivyo<br />
kupelekea kutotoa hati. Mazingira ambayo hati hii<br />
hutolewa ni pale ambapo mkaguzi hana uhuru katika<br />
kufanya kazi ya ukaguzi au, kukwazwa kwa mawanda<br />
ambako ni muhimu na pia ni kuficha taarifa muhimu<br />
kwa makusudi kunako nizuia kufuata taratibu za ukaguzi<br />
nilizopanga.<br />
2.3.5 Mambo yanayosababisha kutolewa kwa Hati zenye<br />
Dosari<br />
Mambo yanayosababisha kutolewa kwa hati za ukaguzi<br />
zenye dosari kwa ujumla yapo katika makundi mawili:-<br />
(a) Kukwazwa kwa mawanda kunakomzuia mkaguzi<br />
kutoa maoni<br />
Pale ambapo nashindwa kupata taarifa za kutosha<br />
zinazohusiana na uandaaji wa taarifa za fedha au<br />
nyaraka, au kukwazwa kwa mawanda ya kaguzi<br />
kiasi kwamba nashindwa kutoa maoni, yafuatayo ni<br />
baadhi ya mambo yanayojitokeza:-<br />
• Malipo kufanywa bila hati za malipo;<br />
• Vifaa au huduma kununuliwa bila kuwa na<br />
viambatisho kama<br />
hati za mapokezi, hivyo kukosekana kwa<br />
uthibitisho wa upokeaji wa vifaa au huduma<br />
hizo;<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
12
• Malipo kufanywa bila kuwa na viambatisho<br />
sahihi;<br />
• Vitabu vya kukusanyia maduhuli kutowasilishwa<br />
kwa ajili ya ukaguzi;<br />
• Mali inayomilikiwa au iliyonunuliwa<br />
kutokuingizwa vitabuni. Hii inaleta shaka<br />
kuwepo kwa mali hizo;<br />
• Kutopatikana kwa ushahidi kwa fedha iliyolipwa<br />
toka kwa mlipwaji. Kukosekana kwa stakabadhi<br />
kutoka kwa mlipwaji kunaashiria ubadhirifu wa<br />
fedha kwa maana hiyo kuna kukwazwa kwa<br />
mawanda ya ukaguzi.<br />
(b) Kutokubaliana katika namna bora ya utunzaji wa<br />
kumbukumbu na kutokuzingatia sheria na kanuni<br />
Agizo Na.9 hadi 16 la Memoranda ya Fedha ya<br />
Mamlaka ya Serikali za Mitaa (1997) linaagiza<br />
Halmashauri kuanzisha udhibiti wa ndani ulio<br />
madhubuti. Agizo Na.53 linaeleza jukumu la<br />
menejimenti za Halmashauri katika kuzingatia kanuni<br />
kubalifu za uhasibu kwa kufuata Sheria, Kanuni,<br />
Maagizo yanayotolewa na Waziri mwenye dhamana ya<br />
Mamlaka ya Serikali za Mitaa na Memoranda ya Fedha<br />
ya Serikali za Mitaa.<br />
Kutokubaliana na menejimenti kuhusu kanuni bora za<br />
utunzaji wa kumbukumbu, kuzingatia sheria kunaweza<br />
kutokea katika hali zifuatazo:-<br />
• Mali zinazomilikiwa na Halmashauri kutoingizwa<br />
Katika rejista ya mali za kudumu<br />
• Vifaa vilivyonunuliwa na kulipiwa kutoingizwa<br />
kwenye leja na hivyo utoaji na utumiaji hauwezi<br />
kuhakikishwa;<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
13
• Kutoonyeshwa masalio ya benki katika vitabu vya<br />
hesabu;<br />
• Kuachwa kwa kukosewa na kutokamilika kwa<br />
kumbukumbu za hesabu;<br />
• Kutoonyeshwa kwa ukamilifu sera za utunzaji<br />
hesabu za fedha na,<br />
• Halmashauri inapotumia mfumo wa hesabu usio<br />
sahihi kama kutumia kiwango kisicho sahihi cha<br />
uchakavu.<br />
• Manunuzi ya mali, ujenzi na huduma haukuzingatia<br />
sheria ya manunuzi Na.21 ya mwaka 2004 na<br />
kanuni zake.<br />
2.4 Mchanganuo wa hati za ukaguzi katika Halmashauri<br />
Sehemu hii inakusudia kuonyesha mwelekeo wa hati za<br />
ukaguzi zilizotolewa kwa miaka miwili 2006/07 na 2007/08.<br />
Mantiki ya taarifa hii ni kulinganisha hali ya kiutendaji<br />
kifedha katika Halmashauri kwa kipindi cha miaka miwili.<br />
Mchanganuo wa aina ya hati za ukaguzi zilizotolewa katika<br />
mwaka wa fedha 2006/07 na 2007/08 umeonyesha kwamba<br />
ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa 133 ulikamilika.<br />
Kati ya Halmashauri 133 zilizokaguliwa, 72 sawa na<br />
asilimia hamsini na nne (54%) zilipata hati inayoridhisha<br />
ambapo katika mwaka wa fedha 2006/07, Hamashauri 100<br />
sawa na asilimia themanini na moja (81%) ndizo zilizopata<br />
hati zinazoridhisha. Aidha, kati ya 133 Halmashauri<br />
zilizokaguliwa 61 sawa na asilimia arobaini na sita (46%)<br />
zilipata hati zenye shaka katika mwaka 2007/08<br />
ukilinganisha na Halmashauri 24 sawa na asilimia kumi na<br />
tisa (19%) katika mwaka 2006/07.<br />
Sababu za kushuka kwa matokea haya zimesababishwa na<br />
mambo makubwa yafuatayo:<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
14
• Kutolewa kwa miongozo iliyokinzana kuhusu utayarishaji<br />
wa hesabu katika Mamlaka za serikali za mitaa kwa<br />
mwaka wa fedha 2007/08.<br />
• Taarifa za fedha zilizowasilishwa kwa ajili ya ukaguzi<br />
hazikuainisha mambo muhimu kwa mujibu wa matakwa<br />
ya viwango vya kimataifa kuhusu uandaaji wa hesabu<br />
(IPSAs) hivyo kuleta ugumu katika kutathmini utendaji<br />
wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />
• Menejimenti ya Halmashauri husika kutosimamia<br />
utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Halmashuri<br />
zilipeleka fedha katika kata na vijiji pasipo ufuatiliaji.<br />
• Kupanuka kwa mawanda ya ukaguzi na kujumuisha<br />
ukaguzi kuhusu thamani ya fedha, mishahara na mifumo<br />
ndani ya mamlaka ya serikali za mitaa.<br />
• Kuongezeka kwa kiwango cha fedha zinazokwenda<br />
Halmashauri kwa utaratibu wa kupeleka madaraka ngazi<br />
za chini (D by D), ambao unahitaji uwepo wa uwezo wa<br />
kusimamia fedha na rasilimali za Halmashauri.<br />
Kwa kuzingatia mchanganuo hapo juu, tunaweza kufanya<br />
majumuisho yafuatayo:<br />
(a) Kwa ujumla idadi ya hati zinazoridhisha zimepungua<br />
kutoka 100 sawa na asilimia themanini na moja (81%)<br />
katika mwaka 2006/07 hadi kufikia 72 sawa na asilimia<br />
hamsini na nne (54%) kwa mwaka 2007/08<br />
(b) Kwa ujumla idadi ya hati zenye shaka zimeongezeka<br />
kutoka 24 sawa na asilimia kumi na tisa (19%) mwaka<br />
2006/07 hadi kufikia 61 sawa na asilimia arobaini na<br />
sita (46%) mwaka 2007/08. Mambo makubwa<br />
yaliyosabisha kutolewa kwa hati 61 zenye shaka ni<br />
haya yafuatayo:-<br />
• Mambo yanayohusu ulinganisho wa kibenki yasiyo<br />
shughulikiwa<br />
• Udhaifu katika usimamiaji wa mali<br />
• Mishahara isiyorejeshwa kutokufutwa kutoka<br />
orodha ya mishahara inayo pitia katika mtandao wa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
15
Kompyuta wala kurejeshwa Hazina kwa mujibu wa<br />
maagizo.<br />
• Maduhuli kutowasilishwa na wakala wa ukusanyaji<br />
• Uwasilishwaji wa taarifa za fedha usio sahihi<br />
• Masurufu yasiyorejeshwa<br />
• Kutoandaliwa kwa muhtasari wa matumizi katika<br />
upatikanaji wa mali za kudumu na vyanzo vyake<br />
vya mapato<br />
• Vitabu vya kukusanyia maduhuli kutopatikana<br />
• Maduhuli kutowasilishwa katika akaunti za<br />
Halmashauri<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu<br />
• Kukosekana kwa hati za malipo<br />
• Kutotumika kwa ruzuku za serikali kuu<br />
Kwa mwaka 2007/08 hakuna Halmashauri iliyopata hati<br />
chafu.<br />
Matokeo ya ukaguzi kwa mwaka 2007/08 yanaweza<br />
kuchanganuliwa kama ilivyo katika jedwali hapa chini:<br />
Halmash<br />
auri<br />
Hati zinazoridhisha Hati zenye shaka Hati zisizoridhisha Jumla<br />
2006/07 2007/2008 2006/07 2007/08 2006/07 2007/08 2006/07 2007/08<br />
Halmashauri<br />
5 3 - 1 - - 5 4<br />
za<br />
Jiji<br />
Halmashauri<br />
13 7 3 10 - - 16 17<br />
za<br />
Manispaa<br />
Halmashauri<br />
3 4 1 2 - - 4 6<br />
za<br />
Miji<br />
Halmashauri<br />
79 58 20 48 - - 99 106<br />
za<br />
Wilaya<br />
Jumla 100 72 24 61 - - 124 133<br />
Asilimia 81% 54% 19% 46% - -<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
16
Mchanganuo huu unaweza kuonyeshwa katika jedwali la mhimili<br />
kama ifuatavyo:-<br />
70<br />
60<br />
50<br />
40<br />
30<br />
20<br />
10<br />
0<br />
Hati zinazoridhisha<br />
Hati zenye shaka<br />
Jiji<br />
Manisapaa<br />
Miji<br />
Wilaya<br />
Mchanganuo wa kina wa orodha za Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />
na aina ya hati zilizotolewa kwa mwaka 2006/07 na 2007/08 uko<br />
katika Kiambatisho Na.1.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
17
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
18
SURA <strong>YA</strong> TATU<br />
U<strong>WA</strong>SILISHAJI <strong>WA</strong> TAARIFA <strong>ZA</strong> FEDHA <strong>NA</strong> MATOKEO <strong>YA</strong> UKAGUZI<br />
3.1 Mamlaka za Serikali za Mitaa zenye hati inayoridhisha<br />
Katika mwaka 2007/08 hakuna Halmashauri iliyopata hati<br />
inayoridhisha bila masuala ya msisitizo.<br />
3.2 Halmashauri zilizopata hati zinazoridhisha na masuala ya<br />
msisitizo<br />
Zifuatazo ni Halmashauri 72 ambazo zimepata hati<br />
zinazoridhisha na masuala ya msisitizo:-<br />
1. Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa<br />
• Vifaa visivyo ingizwa vitabuni Sh.6,376,825.60<br />
• Risasi zisizo pokelewa Sh.3,300,000.<br />
• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.42,380,107.<br />
• Matumizi yasiyokuwa na nyaraka Sh.33,534,055.<br />
• Kukosekana kwa mkataba wa ujenzi wa tanki la maji<br />
Sh.18,903,675<br />
2. Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe<br />
• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.2,143,200<br />
• Vifaa vyenye thamani ya Sh.6,986,700 vimenunuliwa<br />
bila kufuata taratibu za zabuni.<br />
• Kiasi cha Sh.3,500,000 zimelipwa kwa watoa<br />
huduma bila vifaa kupokelewa.<br />
• Samani zilizonunuliwa bila utaratibu wa zabuni<br />
Sh.60,000,000.<br />
• Halmashauri ilionesha mapato ya Sh.2,720,290 bila<br />
kuwa na nyaraka za mauzo ya mazao.<br />
• Matumizi yenye shaka Sh.3,524,000<br />
• Walimu walilipwa zaidi ya madai yao Sh.3,964,160<br />
• Kiasi cha Sh.8,990,258 kilikopwa bila kurudishwa<br />
katika akauti husika.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
19
• Mishahara ya kiasi cha Sh.9,793,367 ilichukuliwa<br />
zaidi<br />
• Malipo ya mishahara yenye shaka Sh.2,415,919<br />
3. Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali<br />
• Halmashauri ilinunua vifaa vya thamani ya<br />
Sh.2,986,500 kwa kutumia masurufu.<br />
• Matumizi ya mafuta ya kiasi cha Sh.7,750,000<br />
hayakutolewa hesabu yake.<br />
• Kiasi cha Sh.3,600,000 kimelipwa kutoka akaunti ya<br />
amana bila kuwepo na nyaraka za uthibitisho.<br />
• Mishahara isiyolipwa ambayo haikuingizwa katika<br />
rejista Sh.4,595,112.<br />
• Makato ya Sh.1,311,840 hayakutunzwa pamoja na<br />
mishahara isiyolipwa.<br />
• Magari mawili STJ 9184 na STK 3925 hayakuwa katika<br />
daftari la mali za kudumu.<br />
4. Halmashauri ya Jiji la Mbeya<br />
• Kukosekana kwa mpango wa manunuzi<br />
• Vifaa visivyoorodheshwa daftarini Sh.8,961,600.<br />
• Mapato ya Sh.3,300,000 hayakutolewa stakabadhi<br />
• Kukosekana kwa hati za malipo Sh.47, 516,500<br />
• Malipo ya mishahara yasiyo suruhishwa ya<br />
Sh.71,531,982<br />
• Halmashauri haikurudisha Hazina kiasi cha<br />
Sh.9,113,553 kinyume na taratibu.<br />
• Halmashauri ililipa kiasi cha Sh.28,251,971 kwa<br />
Mkandarasi bila kuwa na hati ya kukamilika kwa kazi<br />
kutoka kwa Mhandisi.<br />
• Halmashauri ilikuwa na albaki MSD kiasi ya<br />
Sh.16,083,634 kwa ajili ya madawa, kiasi hiki<br />
hakikuonekana katika vitabu vya Halmashauri.<br />
• Halmashauri ilionyesha zaidi kiasi cha Sh.2,772,000.<br />
kwa wadaiwa.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
20
5. Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya<br />
• Halmashauri imenunua vifaa vyenye thamani ya<br />
Sh.2,914,000 bila kuviingiza vitabuni.<br />
• Kufikia mwisho wa mwaka Halmashauri ilikuwa na<br />
bakaa ya Sh.23,530,581 kwenye akaunti ya MSD kwa<br />
ajili madawa ambayo bado kupokelewa.<br />
• Halmashauri imelipa kiasi cha Sh.9, 759,695 kwa ajili<br />
ya semina ambayo ukaguzi umeshindwa kuthibitisha<br />
uhalali wake kwa kukosa nyaraka muhimu.<br />
• Stakabadhi za mapokezi ya mapato ya Sh.385,700<br />
hazikuonyeshwa wakati wa ukaguzi.<br />
• Ukaguzi haukuweza kuthibitisha uhalali wa malipo ya<br />
Sh.15,750,500 kwa kukosekana kwa viambatisho<br />
muhimu.<br />
• Hati za malipo za Sh.3,069,390 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Halmashauri ililipa kiasi cha Sh.12,279,784 kwa ajili<br />
ya madeni ya miaka ya nyuma ambayo<br />
hayakuinguzwa vitabuni.<br />
• Pikipiki kumi na nane (18) hazikuingizwa katika<br />
daftari la mali za kudumu.<br />
• Halmashauri ilionyesha wadaiwa pungufu kiasi cha<br />
Sh.7,858,789<br />
6. Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi<br />
• Fidia kwa ajili ya kutozingatia masharti ya mkataba<br />
Sh.3,219,360 bado kulipwa kutoka kwa Mkandarasi.<br />
• Vitabu viwili vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />
wakati wa ukauzi. Kiasi kilichokusanywa kwa<br />
kutumia vitabu hivi haikuweza kujulikana.<br />
• Magari mawili hayakuingizwa kwenye jedwali la mali<br />
za kudumu, hivyo kusababisha upungufu wa mali<br />
kwenye taarifa za fedha.<br />
• Magari yenye thamani ya Sh.119,741,702<br />
hayakuingizwa katika daftari la mali za kudumu,<br />
hivyo dhamani halisi ya magari ya Halmashauri<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
21
kutofahamika.<br />
• Wadaiwa kiasi cha Sh. 9,978,894 kuhusiana na<br />
akaunti ya MSD hawakuonyeshwa katika taarifa za<br />
fedha.<br />
7. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma<br />
• Matumizi ya kiasi cha Sh.37,277,242 yalifanyika bila<br />
nyaraka muhimu.<br />
• Halmashauri ililipa kiasi cha Sh.21,959,200 zaidi ya<br />
bajeti kwa ajili ya ujenzi wa madaraja.<br />
• Kazi ya ukarabati wa kiasi cha Sh.1,524,000 ndani ya<br />
mkataba wa Sh.54,621,000 kililipwa kwa kazi ambayo<br />
ilichelewa kukamilika.<br />
• Halmashauri ilikuwa na masurufu yasiyorejeshwa<br />
kiasi cha Sh.16,283,594, wadaiwa Sh.1,754,080 na<br />
wadai Sh.50,991,685.<br />
• Vile vile, Halmashauri haijatatua tofauti iliyopo kati<br />
ya taarifa za benki na daftari la hesabu kiasi cha<br />
Sh.1,017,000.<br />
8. Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea<br />
• Malipo yasiyokuwa na viambatanisho sahihi<br />
Sh.10,291,963.<br />
• Mapato kutokana na vyanzo vya ndani yalitolewa<br />
taarifa pungufu kwa kiasi cha Sh.3,357,999 katika<br />
taarifa ya mapato na matumizi.<br />
• Vitabu vitatu (3) vya kukusanyia mapato<br />
havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Halmashauri ilikuwa haina daftari la mali za kudumu.<br />
9. Halmashauri ya Wilaya ya Tarime<br />
• Vifaa vyenye thamani ya Sh. 4,450,000 vilinunuliwa<br />
bila kuingizwa daftarini.<br />
• Mapato ya Sh.3,170,000 yalikuwa hayajawasilishwa<br />
kutoka kwa wakala wa kukusanya mapato.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.150,356,420<br />
• Kukosekana kwa nyaraka muhimu za mikataba/<br />
miradi Sh.37,800,000.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
22
10. Halmashauri ya Wilaya ya Karatu<br />
• Kitabu kimoja (1) cha kukusanyia mapato<br />
hakikuwasilishwa wakati wa ukaguzi.<br />
• Mapato kiasi cha Sh.3,122,500 hayajathibitishwa<br />
kupelekwa benki.<br />
• Mapato pungufu ya kiasi cha Sh.7,406,000<br />
hayakuwasilishwa na wakala. Vilevile hayakuonekana<br />
katika hesabu ya wadaiwa.<br />
• Hati za malipo kiasi cha Sh.9,903,858 hazikuwalishwa<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Ujenzi wa madarasa katika Sekondari ya Gyekrum<br />
Lambo Uligharimu Sh.14,301,355 kuliko kiwango<br />
kilichokadiriwa na Mhandisi wa ujenzi cha<br />
Sh.7,000,000.<br />
• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.19,223,098<br />
haikuthibitishwa kurudishwa Hazina.<br />
• Kiasi cha Sh.6,056,891 cha mishahara kililipwa kwa<br />
watumishi ambao hawapo katika ajira.<br />
11. Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa<br />
• Kiasi cha Sh.107,686,555 kililipwa kwa ajili ununuzi<br />
wa magari ambayo bado kupokelewa.<br />
• Malipo yasiyoidhinishwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa<br />
vya ofisi (shajara) vya Sh.18,576,360.<br />
• Wafanyakazi waliostaafu ambao hawajafutwa katika<br />
orodha hati za mishahara ya Sh.18,037,502.<br />
• Madawa kiasi cha Sh.56,883,840 hayakuingizwa<br />
vitabuni.<br />
• Malipo kiasi cha sh.12,860,000 kililipwa kwa wauzaji<br />
wasio idhinishwa.<br />
12. Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa<br />
• Mapato kiasi cha Sh.5,848,100 hayakupelekwa benki<br />
• Salio ishia kiasi cha Sh.240,894,308 katika mwaka<br />
2006/07 halikuonyeshwa kama salio anzia kwa<br />
mwaka 2007/08 kwenye akaunti ya fedha za<br />
maendeleo.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
23
• Halmashauri haikuonyesha wadaiwa kiasi cha<br />
Sh.22,315,018 na wadai kiasi cha Sh.29,610,611<br />
kikihusiana na huduma ya madawa kutoka MSD.<br />
• Ruzuku ya kiasi cha Sh.169,537,359 kutoka Serikali<br />
kuu hakikutumika.<br />
• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.2,179,320<br />
haikurudishwa Hazina.<br />
13. Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam<br />
• Maoni ya ukaguzi kuhusiana na Sh.189,797,787 kwa<br />
miaka ya nyuma hayajatekelezwa.<br />
• Kamati ya Fedha ya Halmashauri haijaweka kiwango<br />
cha juu kwa ajili ya fedha taslimu inayotakiwa<br />
kuwepo kwa mtunza fedha wa Halmashauri.<br />
• Wadaiwa walionyeshwa zaidi ya Sh.45,542,464.<br />
• Daftari ya amana haikuwasilishwa kwa ajili ya<br />
ukaguzi.<br />
• Manunuzi yaliyofanyika bila zabuni Sh.27,979,900.<br />
• Manunuzi yalifanywa kwa msingi wa nukuu ya bei<br />
Sh.6,208,200.<br />
• Manunuzi yalifanywa zaidi ya kiwango<br />
kilichoidhinishwa Sh.30,119,330.<br />
• Manunuzi yalifanywa bila idhini ya Bodi ya Zabuni<br />
Sh.9,008,000.<br />
• Gari zilipiwa bado kupokelewa Sh.225,000,000.<br />
14. Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo<br />
• Masuala ya miaka ya nyuma yasiyotatuliwa kuhusiana<br />
na mauzo ya magari Sh.81,755,125.<br />
• Malipo ya Sh.15,195,067 yalifanywa bila viambatisho<br />
sahihi.<br />
• Masurufu kiasi cha Sh.8,020,000 yalitolewa kwa<br />
maafisa wa Halmashauri, bado hayajareshwa.<br />
• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.22,073,421<br />
haijarudishwa Hazina.<br />
• Mkataba kwa ajili ya ukarabati wa kituo cha Afya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
24
haukutolewa kwa ajili ya ukaguzi.<br />
15 Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe<br />
• Masuala ya miaka ya nyuma kiasi cha Sh.104,176,999<br />
bado hayajatatuliwa na Halmashauri kinyume na<br />
agizo Na.4 (f) la Memoranda ya Fedha za Serikali za<br />
Mitaa, 1977.<br />
• Masurufu kiasi cha Sh.5,696,046 hayajarejeshwa.<br />
• Mishahara isiyolipwa kiasi Sh. 10,844,637 bado<br />
haijarejeshwa Hazina.<br />
16. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi<br />
• Vifaa vilivyonunuliwa na kulipiwa bado kuthibitishwa<br />
matumizi yake Sh.13,043,250.<br />
• Uchakavu ulionyeshwa pungufu kwa kiasi cha<br />
Sh.47,216,817.<br />
• Mapungufu katika ukarabati wa barabara ya<br />
Khambaita yenye urefu wa kilomita 2 hivyo thamani<br />
ya fedha haikufikiwa.<br />
• Bakaa ya mali iliyojitokeza katika mizania ya hesabu<br />
bado kuthibitika Sh.46,474,959.<br />
• Gharama za bidhaa na huduma kugharimiwa bila<br />
kidondoa au nukuu ya bei Sh.19,617,110.<br />
17. Halmashauri ya Wilaya ya Siha<br />
• Mapato yasiyokusanywa kwa wakala ya kukusanya<br />
mapato Sh.5,384,000.<br />
• Kukosekana kwa stakabadhi ya mapato na muhtasari<br />
wa matumizi kiasi cha Sh.19,164,357.<br />
• Malipo ya fidia yanayotokana na kandarasi<br />
hayakutolewa risiti ya kukiri mapokezi<br />
Sh.11,818,803.<br />
• Makusanyo yasiyopokelewa kutokana na mauzo ya<br />
chakula cha msaada wakati wa njaa Sh.1,388,000.<br />
• Kukosekana kwa umri wa wadaiwa Sh.5,434,895 na<br />
wadai Sh.8,394,823.<br />
• Kukosekana kwa sera ya kudhibiti wadai na wadaiwa.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
25
18. Halmashauri ya Wilaya ya Rombo<br />
• Mali iliyohesabiwa mwisho wa mwaka ya dhamani ya<br />
Sh.46,474,959 haikuweza kuthibitishwa wakati wa<br />
ukaguzi.<br />
• Bidhaa na huduma vilivyonunuliwa bila zabuni wala<br />
nukuu ya bei Sh.19,617,110.<br />
19. Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa<br />
• Manunuzi yaliyofanyika bila ushindanishi<br />
Sh.28,136,000.<br />
• Fedha kiasi cha Sh.43,260,000 hazikutumika kwa ajili<br />
ya ununuzi wa vivunge vya sayansi, vibao vya<br />
kuandikia pamoja na madawati.<br />
• Vifaa vya umeme wa jua vilinunuliwa bila kufungwa<br />
na kutumika Sh.2,640,000.<br />
• Ucheleweshwaji katika ukamilishaji wa miradi ya<br />
maendeleo Sh.48,481,200.<br />
• Mapato yasiyokusanywa Sh.5,979, 000.<br />
• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.46,059,807<br />
haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />
20. Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara<br />
• Vitabu vinne (4) vya kukusanyia mapato<br />
havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.24,069,882.<br />
• Mishahara kwa waajiriwa wa muda bila kuingizwa<br />
katika orodha ya mishahara kwa muda mrefu<br />
Sh.5,33,992.<br />
• Mapato yanayotokana mauzo ya Korosho<br />
yasiyowasilishwa Halmashauri Sh.412,123,669.<br />
• Matengenezo ya magari yaliyofanyika kinyume na<br />
Kanuni za manunuzi Sh.9,28,090.<br />
21. Halmashauri ya Wilaya ya Newala<br />
• Masuala ya miaka ya nyuma yasiyotatuliwa ya kiasi<br />
cha Sh.156,899,419.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
26
• Vitabu vitatu (3) vya mapato vyenye viwango maalum<br />
havikuwasilishwa wakati wa ukaguzi Sh.7,331,209.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.19,368,847.<br />
• Mishahara kwa waajiriwa wa muda bila kuingizwa<br />
katika orodha ya mishahara kwa muda mrefu<br />
Sh.6,440,731.<br />
• Mapato yanayotokana mauzo ya Korosho<br />
yasiyowasilishwa Halmashauri Sh.46,797,631.<br />
• Halmashauri iligharamia matengenezo ya gari<br />
iliyopata ajali Sh.4,173,978, ambayo ilikuwa<br />
igharimiwa na Shirika la Bima la Taifa. Shirika la<br />
Bima halijarejesha fedha hizo.<br />
• Halmashauri haukutoza fidia ya kiasi cha Sh.<br />
15,801,129 toka kwa wakandarasi kwa kuchelewesha<br />
kukamilisha kazi kama ilivyo katika Mkataba.<br />
22. Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema<br />
• Halmashauri haikukusanya mapato ya Sh.4,018,000<br />
kutoka kwa wakala.<br />
• Matumizi ambayo hayamo katika bajeti<br />
Sh.10,800,000.<br />
• Mishahara isiyolipwa ambayo haaikurejeshwa Hazina<br />
Sh.17,505,254.<br />
• Kiasi cha Sh.30,935,000 kililipwa kwa ajili ya ununuzi<br />
wa gari ambalo halijapokelewa.<br />
• Vitabu vitatu vitatu (3) vya kukusanyia mapato<br />
havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
23. Halmashauri ya Mji wa Mpanda<br />
• Kiasi cha Sh.5,400.000 kililipiwa katika akauti ya<br />
Elimu badala ya akaunti ya jumla.<br />
• Ukarabati wa Ofisi ya Mweka Hazina, na ujenzi wa<br />
nyumba mbili za walimu na madarasa katika Shule<br />
ya Msingi ya Shanwe, Nselemulwa na Kasimba,<br />
ulikuwa bado haujaanza wakati wa ukaguzi.<br />
24. Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi<br />
• Kutotekelezwa kwa miradi ya pamoja<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
27
Sh.411,600,000.<br />
• Pikipiki zilizonunuliwa kwa gharama ya Sh.9,200,000<br />
bado kupokelewa.<br />
• Fedha ya tahadhari kiasi cha Sh.4,263,202 bado<br />
kulipwa kwa wakandarasi.<br />
• Wadaiwa Sh.45,317,369 na wadai Sh.11,591,668<br />
walionekana katika mizania ya hesabu bila umri.<br />
• Masuala yasiyosuluhishwa katika usuluhishi wa benki<br />
Sh.60,199,414.39.<br />
25. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga<br />
• Marejeo ya Mkataba yaliyofanyika kinyume na<br />
mchanganuo wa gharama za bei (BOQ)<br />
Sh.43,146,720.<br />
• Kulikuwa na ucheleweshaji wa miradi ya maendeleo<br />
ya kiasi cha Sh.97,696,500.<br />
• Kutowasilishwa mishahara isiyolipwa Hazina<br />
Sh.7,654,959.<br />
• Karadha zisizorejeshwa Halmashauri Sh.14,436,541.<br />
26. Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga<br />
• Matumizi yasiyokuwa na nyaraka za kutosha<br />
Sh.2,850,880.<br />
• Ucheleweshaji wa miradi ya maendeleo<br />
Sh.27,164,000.<br />
• Wadaiwa wa muda mrefu Sh.22,746,925.<br />
27. Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo<br />
• Stakabadhi zisizotumika zimenyofolewa kutoka<br />
vitabuni.<br />
• Vifaa kutolewa bila kuwa na kumbukumbu za kutosha<br />
Sh.12,036,920.<br />
• Ucheleweshaji katika kukamilisha kazi ya ujenzi<br />
Sh.39,650,000.<br />
• Mapungufu katika kutekeleza mikataba<br />
Sh.23,999,004.<br />
• Wadaiwa hawajalipa mapato kwa Halmashauri<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
28
Sh.18,592,833.<br />
• Wadai hawajalipwa na Halmashauri Sh.21,697,347.<br />
28 Halmashauri ya Mji wa Njombe<br />
• Mishahara isiyolipwa haijadhibitika kupokelewa<br />
Sh.5,890,289.<br />
• Mapato ya maendeleo yamelipwa pungufu<br />
Sh.24,418,537.<br />
• Wadaiwa hawajalipa mapato kwa Halmashauri<br />
Sh.5,912,000.<br />
• Wadai hawajalipwa na Halmashauri Sh.4,859,850.<br />
29 Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi<br />
• Wadaiwa wa miaka ya nyuma hawajailipa<br />
Halmashauri mapato ya Sh.11,918,336 wakisubiri<br />
uamuzi wa Mahakama.<br />
• Halmashauri imelipa Sh.46,660,000 kwa ajili ya<br />
ununuzi wa gari ambalo bado kupokelewa.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh.3,177,373 bado<br />
kurejeshwa Hazina.<br />
30. Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto<br />
• Bidhaa na huduma za Sh.7,329,000 zilinunuliwa<br />
kupita viwango vilivyowekwa.<br />
• Kutofanyika marejesho ya stakabadhi zilizotumika<br />
kila mwezi.<br />
• Mapato ambayo bado kukusanywa Sh.14,810,000.<br />
• Hati za malipo za Sh.34,509,560 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Katika mwaka huu wa ukaguzi Halmashauri imefanya<br />
malipo zaidi ya bajeti Sh.18,594,200.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh.11,932,530 bado<br />
kurejeshwa Hazina.<br />
• Uongozi wa Halmashauri unatakiwa kuweka mikakati<br />
ya kukabiliana na uwezekano wa kutokea hatari<br />
inayoweza kuathiri utekelezaji wa majukumu ya<br />
kutoa huduma.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
29
31. Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu<br />
• Uongozi wa Halmashauri unatakiwa kuweka mikakati<br />
ya kukabiliana na uwezekano wa kutokea hatari<br />
inayoweza kuathiri utekelezaji wa majukumu ya<br />
kutoa huduma.<br />
• Upotevu wa shs. 31,098,894 uliochangiwa na<br />
kuingia na kutekeleza mikataba yenye mapungufu.<br />
• Vitabu 10 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi kinyume na Agizo Na.101 la<br />
Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa, 1997.<br />
• Halmashauri kwa ukamilifu programu ya Kompyuta ya<br />
uhasibu EPICOR, taarifa zinaandaliwa nje ya mfumo<br />
wa Kompyuta.<br />
32. Halmashauri ya Wilaya ya Singida<br />
• Masuala ya miaka ya nyuma yasiyotekelezwa<br />
Sh.8,820,000.<br />
• Wadaiwa hawajailipa Halmashauri Sh.6,036,000.<br />
• Wadai wasiolipwa na Halmashauri Sh.165,186,742.<br />
33. Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda<br />
• Mikataba ya kazi yenye thamani ya Sh.119,451,597.<br />
ihusuyo miradi haikuingizwa kwenye mpango wa<br />
manunuzi wa Halmashauri.<br />
• Ucheleweshaji katika kukamilisha miradi<br />
inayoendelea Sh.47,260,360.<br />
• Malipo yaliyofanywa bila viambatanisho Sh. 3,187,000.<br />
• Masuala yasiyosuluhishwa katika usuluhisho wa benki<br />
hadi kufikia Juni, 2008 Sh.8,767,600.18.<br />
34. Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge<br />
• Mali ghalani yenye thamani ya Sh.19,534,500<br />
haikuingizwa katika nyaraka yenye orodha ya mali<br />
iliyohesabiwa.<br />
• Makusanyo ya kiasi cha Sh.1,561,800 hayakupelekwa<br />
benki.<br />
• Akiba iliyowekezwa ya Sh.10,000,000 haikuwa na<br />
ushahidi wa makubaliano ya uwekezaji.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
30
• Amana za Sh.49,468,320 zilizoko MSD<br />
hazikuonyeshwa katika vitabu vya Halmashauri.<br />
• Mali za muda zilionyeshwa pungufu kwa kiasi cha<br />
Sh.1,144,287.47 katika mizania ya hesabu.<br />
• Kulikuwa na makosa ya tarakimu katika mtiririko wa<br />
fedha.<br />
• Mali ya kiasi cha Sh.14,690,800 bado kupokelewa na<br />
Halmashauri.<br />
35. Halmashauri ya Wilaya ya Urambo<br />
• Vitabu (HW5) sita (6) vya kukusanyia mapato<br />
havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Akiba iliyowekezwa ya Sh. 118,418,100 haikuingizwa<br />
katika rejista na shahada ya uwekezaji haikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Ruzuku ya Sh. 38,833,000 iliyotolewa na Serikali Kuu<br />
kwa mwaka 2007/08 bado kupokelewa na<br />
Halmashauri ya Urambo.<br />
• Mapato ya Sh. 11,524,205 hayakuingizwa katika<br />
akaunti ya benki ya Halmashauri.<br />
• Mapato ya Sh. 3,665,000 kutoka kwa wakala wa<br />
kukusanya mapato hayajapokelewa na Halmashauri.<br />
• Matumizi ya Sh. 30,385,346 ya mwaka 2006/07<br />
yalilipwa mwaka 2007/08.<br />
36. Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru<br />
• Vyakula vyenye thamani ya Sh. 25,231,900<br />
vilipelekwa Hospitalini bila kuwepo mkataba.<br />
• Nyaraka kama ankra, hati ya kupokelea vifaa, orodha<br />
ya malipo na daftari la mahudhurio havikuonyeshwa<br />
wakati wa ukaguzi Sh. 66,278,999.<br />
• Malipo yahusuyo miaka ya nyuma Sh. 16,880,049<br />
yamelipwa mwaka 2007/08 bila kuwepo katika<br />
bajeti.<br />
• Hati ya kuwekeza katika LGLB ya Sh. 15,435,400<br />
haikuonekena wakati wa ukaguzi.<br />
• Mafuta ya Sh. 52,020,830 matumizi yake<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
31
hayakuthitishwa wakati wa ukaguzi kutokana na<br />
kutokuwepo kwa rejea za magari husika.<br />
37. Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga<br />
• Masuala ya Sh.26,541,886 yaliyopo katika taarifa<br />
za ukaguzi za miaka ya nyuma hayajashughulikiwa.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu ya Sh.5,878,066.<br />
• Malipo yaliyofanywa kwa kutumia ankara kifani<br />
Sh.5,840,000.<br />
• Malipo ya Sh.6,054,731 yalilipwa kwa taasisi<br />
mbalimbali bila kutolewa risiti.<br />
• Matumizi ya kiasi cha Sh.1,800,000 yalilipwa kutoka<br />
katika akaunti isiyo sahihi.<br />
• Magari na Pikipiki yenye thamani ya Sh.69,900,000<br />
bado kupokelewa na Halmashauri.<br />
• Taarifa zilionyesha wadaiwa kiasi cha<br />
Sh.116,946,664 na wadai kiasi cha Sh.512,941,300.<br />
• Hati za kuthibitisha akiba iliyowekezwa ya<br />
Sh.146,020,348 hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Vitabu saba (7) vya kukusanyia mapato<br />
havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
38. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo<br />
• Wadaiwa kiasi cha Sh.40,340,133 hawakuonyeshwa<br />
katika mizania ya hesabu.<br />
• Kiasi cha Sh.28,203,363 ikiwa ni bakaa katika Bohari<br />
ya Madawa haikuonyeshwa katika vitabu vya<br />
Halmashauri.<br />
• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.8,726,834<br />
haijarejeshwa Hazina.<br />
• Kiasi cha Sh.3,519,400 kililipwa ziadi katika ujenzi<br />
wa mifereji.<br />
• Hati za malipo hazikuonekana wakati wa ukaguzi<br />
Sh.13,382,628.<br />
39. Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma<br />
• Mapato ya Sh.16,112,000 yamekusanywa na<br />
mawakala bila kupelekwa Halmashauri.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
32
• Vitabu (15) vya kukusanyia mapato vilipelekwa kwa<br />
mawakala havikuonekana wakati wa ukaguzi<br />
• Wadaiwa kiasi cha Sh.192,100,702 waionyeshwa bila<br />
umri.<br />
• Wadai kiasi cha Sh.56,923,612 hawakuingizwa katika<br />
taarifa za hesabu za Halmashauri.<br />
• Matengenezo ya magari kiasi cha Sh.11,775,120<br />
yalifanyika bila idhini ya mkaguzi wa magari.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.33,890,614 bado<br />
kurejeshwa Hazina.<br />
40. Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni<br />
• Wadaiwa waliolipa Sh.6,597,372.<br />
• Wadai waliolipwa Sh.202,531,517.<br />
• Malipo yasiyo na faida Sh.18,657,473.<br />
• Mishahara iliyolipwa kwa wastaafu/waliofariki<br />
Sh.1,839,661.<br />
• Halmashauri haikutengeneza mpango wa manunuzi<br />
wa mwaka.<br />
• Manunuzi ya kiasi cha Sh.32,675,614<br />
hayakuidhinishwa na Bodi ya Zabuni.<br />
• Kiasi cha Sh.8,396,471 kililipwa zaidi katika ununuzi<br />
wa gari.<br />
41. Halmashauri ya Wilaya ya Rorya<br />
• Makusanyo ya Sh.4,469,900 hayakuwasilishwa<br />
Halmashauri toka kwa mawakala wa kukusanywa<br />
mapato.<br />
• Malipo ya Sh.13,642,527 yalifanywa bila viambatisho<br />
sahihi.<br />
• Hati za malipo za Sh.23,132,125 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Masurufu ya Sh.5,921,000 hayajarejeshwa.<br />
• Mapato katika benki ambayo hayajaingizwa katika<br />
vitabu vya Halmashauri Sh.52,345,556.58.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
33
• Mapato yalionekana katika vitabu vya Halmashauri<br />
lakini hayakupelekwa benki Sh.750,461<br />
42. Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu ya Sh.30,490,804<br />
• Kiasi cha Sh.3,552,350 kutoka akaunti ya Airport<br />
kwenda akaunti ya jumla na pia kiasi cha Sh.930,000<br />
kilihamishwa kutoka akaunti ya Elimu kwenda<br />
akaunti ya Maji bila kurejeshwa.<br />
• Makato ya kisheria ya Sh.3,085,016 yalilipwa bila<br />
ushahidi wa kupokelewa na taasisi husika.<br />
43. Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo<br />
• Manunuzi bila nukuu ya bei Sh.3,634,080.<br />
• Kukosekana kwa ushahidi wa vifaa vilivyopokelewa<br />
vyenye thamani ya Sh.9,397,200.<br />
• Marekebisho ya hesabu za mwaka uliopita ya<br />
Sh.158,918,053 yalifanyika bila ya viambatisho.<br />
44. Halmashauri ya Mji wa Lindi<br />
• Manunuzi bila ushindani wa Sh.5,895,100.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.9,585,053.<br />
• Malipo yalifanyika bila kuzingatia bajeti<br />
Sh.20,641,600.<br />
• Malipo ya ufukizaji yenye shaka Sh.3,413,190.<br />
• Kukosekana kwa shahada ya uwekezaji<br />
Sh.10,500,000.<br />
• Vifaa vya michezo vilivyouzwa havikutolewa hesabu<br />
yake Sh.3,300,000.<br />
45. Halmashauri ya Mji wa Kibaha<br />
• Vifaa vya Sh.1,650,000 havikuingizwa katika leja za<br />
Halmashauri.<br />
• Vifaa vya thamani ya Sh.10,924,000 havikuwa na<br />
nyaraka za kutolea vifaa.<br />
• Mikataba ya pango haikuonekana wakati wa ukaguzi<br />
Sh.1,500,000.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.9,371,583.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
34
• Halmashauri ililipa kiasi cha Sh.1,050,609 kama<br />
mishahara kwa wasiowatumishi.<br />
• Vitabu 27 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Mapato ya Sh.127,915,000 hayakuwasilishwa<br />
Halmashauri kutoka kwa mawakala wawili wa<br />
kukusanya mapato.<br />
46 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni<br />
• Mapato ya Sh.27,500,000 hayakuwasilishwa<br />
Halmashauri kutoka kwa wakala.<br />
• Malipo ya zaidi ya kiasi cha Sh.9,600,000 yalilipwa<br />
kwa mkandarasi aliyepewa kazi ya kufanya usafi<br />
katika Hospitali ya Mwananyamala.<br />
• Madai ya bima ya Afya bado kurejeshwa<br />
Sh.27,152,901.<br />
• Kiasi cha Sh.76,000,000 kimelipwa kutoka akauti ya<br />
amana bila kufanya marejesho.<br />
• Madawa ya Sh.10,788,000 yaliyolipwa na<br />
Halmahauri hayakufika kwenye Zahanati husika.<br />
• Kiasi cha Sh.7,704,599 kilicholipwa kwa ajili ya<br />
madawati ambayo hayakupokelewa katika Shule za<br />
Misingi za Mapinduzi, Ukwamani na Ununio.<br />
47 Halmashauri ya Wilaya ya Chato<br />
• Hati za malipo na viambatisho vyake za<br />
Sh.62,948,230 havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Vitabu 22 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
48. Halmashauri ya Wilaya ya Misenyi<br />
• Vifaa na huduma vyenye thamani ya Sh.23,079,127<br />
vilinunuliwa bila idhini ya Bodi ya Zabuni.<br />
• Stakabadhi ya kukiri mapokezi haikuonekana wakati<br />
wa ukaguzi Sh.7,698,376.44.<br />
49. Halmashauri ya Wilaya ya Same<br />
• Manunuzi yenye nukuu za bei zenye mashaka<br />
Sh.11,721,950.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
35
• Kiasi cha Sh.13,500,000 kilitumika kulipia madeni ya<br />
nyuma ambayo hayakuonyeshwa katika hesabu za<br />
wadai.<br />
• Matumizi ya kiasi cha Sh.2,172,800 hayakuzingatia<br />
bajeti.<br />
• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.5,755,100.<br />
50. Halmashauri ya Wilaya ya Arusha<br />
• Hati za malipo hazikuonekana wakati wa ukaguzi<br />
Sh.1,160,000.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.29,983,211.<br />
• Utoaji wa mafuta wenye shaka Sh.11,681,192.60.<br />
• Mali za kudumu ambazo hazikuwekewa namba za<br />
utambuzi Shs. 47,746,000<br />
51. Halmashauri ya Wilaya ya Mafia<br />
• Halmashauri ililipia manunuzi kiasi cha<br />
Sh.6,000,000 bila ushindani.<br />
• Malipo ya Sh.29,119,000 yalifanywa kama fidia bila<br />
kuwepo orodha ya majina husika.<br />
• Malipo ya Sh.7,156,450 yalifanyika bila<br />
viambatanisho sahihi.<br />
• Akaunti ya amana ilionyeshwa zaidi kwa kiasi cha<br />
Sh.21,083,945.<br />
52. Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu<br />
• Taarifa za fedha za Halmashauri<br />
hazikuambatanishwa na dondoo za majedwali ya<br />
ufafanuzi wa taarifa za fedha.<br />
• Taarifa za fedha zilionyesha matumizi ya ziada ya<br />
Sh.101,238,687.<br />
• Halmashauri ilipitisha gharama za matengenezo ya<br />
magari ya Sh.20,783,664 bila kupitia TAMESA.<br />
• Kazi za ujenzi wa barabara na majengo za thamani<br />
ya Sh.161,660,000 hazikumalizika kwa wakati.<br />
• Kompyuta nne ndogo za thamani ya Sh.10,500,000<br />
zilotolewa bila kufuata utaratibu.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
36
53. Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga<br />
• Masuala yanayohusiana na miaka ya nyuma ambayo<br />
bado hayajasuluhishwa Sh.417,869,580.<br />
• Mapato ya Sh.3,329,917 hayakuwasilishwa<br />
Halmashauri kutoka kwa mawakala wa kukusanya.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.30,080,360.<br />
• Malipo ya Sh.2,610,000 yalifanyika kutoka katika<br />
akaunti isiyo sahihi.<br />
• Malipo ya thamani ya Sh.1,399,895 hayakuidhinishwa<br />
na kamati ya fedha.<br />
• Kuwepo na masuala mawili yasiyo suluhishwa katika<br />
usuluhisho wa benki.<br />
• Hundi ambazo hazikuwasilishwa benki<br />
Sh.248,068,611.<br />
• Fedha ambazo hazikupelekwa benki Sh.10,338,392.<br />
54. Halmashauri ya Wilaya ya Meatu<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh.2,934,899 haikurejeshwa<br />
Hazina kinyume na taratibu.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.102,245,949.<br />
• Wadaiwa wasiolipa Sh.41,650,039 na wadai<br />
Sh.107,985,513.<br />
• Masuala yasiyosuluhishwa katika usuluhishi wa benki:<br />
- Hundi zisizopelekwa benki Sh.8,656,000.<br />
- Fedha zisizopelekwa benki Sh.10,166,074.<br />
• Mambo ya miaka ya nyuma ambayo hayajapatiwa<br />
ufumbuzi Sh.122,496,538.<br />
55. Halmashauri ya Wilaya ya Kahama<br />
• Mambo ya miaka ya nyuma ambayo hayajapatiwa<br />
ufumbuzi:<br />
- Mapato yasiyopokelewa Sh.4,860,000 kutoka<br />
kwa mawakala wa kukusanya mapato.<br />
- Vifaa vilivyoagizwa na kulipiwa bila kupokelewa<br />
Sh.2,642,000.<br />
• Kiasi cha Sh.10,630,000 kilikusanywa na mawakala<br />
wa kukusanya mapato bila kuwasilishwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
37
Halmashauri.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.12,632,050.<br />
• Mishahara iliyolipwa kwa wasio watumishi ambao ni<br />
waliofariki, waliostaafu, waliofukuzwa kazi na<br />
waliotoroka kazini Sh.30,012,020.<br />
• Malipo ya fidia ya Sh.15,330,000 hayakulipwa kutoka<br />
kwa watoa huduma.<br />
• Ununuzi wa dawa wa kiasi cha Sh.8,600,000<br />
ulifanyika bila kupitia MSD.<br />
• Mizania ya hesabu imeonyesha orodha ya wadaiwa<br />
kiasi cha Sh.64,733,890 na wadai kiasi cha<br />
Sh.46,024,312 bila kuonyesha umri.<br />
56. Halmashauri ya Wilaya ya Maswa<br />
• Mapato ya Sh.1,121,000 yaliyopokelewa na mtunza<br />
fedha hayakuthibitishwa kupelekwa benki.<br />
• Halmashauri ililipa zaidi kiasi cha Sh.1,702,819 kama<br />
posho ya usumbufu wakati wa uhamisho kwa<br />
watumishi.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.11,958,500.<br />
• Mapato yaliyoingizwa vitabuni bila kupelekwa benki<br />
Sh.28,360,100.<br />
57. Halmashauri ya Wilaya ya Geita<br />
• Vifaa vilivyonunuliwa ambavyo havikuingizwa katika<br />
leja Sh.53,235,000.<br />
• Halmashauri ilifanya manunuzi bila nukuu ya bei<br />
Sh.116,848,500.<br />
• Nyaraka za mkataba wa ujenzi wa uzio katika Ofisi<br />
kuu ya Halmashauri na Vyoo kwa ajili ya matumizi ya<br />
umma havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Ripoti za tathmini kuhusu mradi wa ujenzi wa kituo<br />
cha mabasi na Ofisi ya Elimu havikuonekana wakati<br />
wa ukaguzi.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.10,278,864.<br />
• Mishahara ya kiasi cha Sh.2,889,052.28 kwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
38
watumishi waliostaafu au kufariki.<br />
• Halmashauri ilikuwa na orodha ya wadaiwa kiasi cha<br />
Sh.14,117,340 ikiwa ni madeni kutoka vikundi vya<br />
akina mama.<br />
58. Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi<br />
• Kitengo cha manunuzi kilikuwa hakifanyi kazi kwa<br />
ufanisi kwa kuwa hakuna taarifa ya manunuzi<br />
iliyowahi kuandaliwa pia Mkuu wa kitengo hakuwa<br />
katibu wa Bodi ya Zabuni kwa mujibu wa sheria ya<br />
manunuzi.<br />
• Halmashauri haikuandaa mpango wa manunuzi wa<br />
mwaka.<br />
• Vifaa vya Bohari kiasi cha Sh.12,866,330<br />
havikuingizwa katika leja.<br />
• Vitabu 3 vya stakabadhi za mapato havikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.23,028,306<br />
hazikuonekena wakati wa ukaguzi.<br />
• Uhamisho wa fedha Sh.41,831,214 bila idhini wala<br />
hesabu ya matumizi kutolewa.<br />
• Mishahara kiasi cha Sh.33,739,445 isiyolipwa<br />
haikupelekwa Hazina kinyume na taratibu.<br />
• Fedha zilizoingizwa vitabuni lakini hazimo katika<br />
taarifa ya benki Sh.40,425,817.<br />
59. Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro<br />
• Mishahara kiasi cha Sh.2,295,060 zililipwa kwa<br />
wasio watumishi.<br />
• Dondoo kuhusu taarifa za fedha hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Mtiririko wa fedha ulionyesha pungufu kiasi cha<br />
Sh.423,975,540 katika shughuli za ugharimiaji.<br />
60. Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga<br />
• Kiasi cha Sh.51,123,512 kutoka kwa mawakala wa<br />
kukusanya mapato hakikupokelewa Halmashauri.<br />
• Hakuna ushahidi wa kuthibitisha kiasi cha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
39
Sh.24,026,463 kilichokusanywa na mawakala na<br />
kupokelewa na mtunza fedha hatimaye kupelekwa<br />
benki.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.3,464,000.<br />
• Mishahara isiyolipwa Sh.31,686,716 haikurejeshwa<br />
Hazina kinyume na utaratibu.<br />
• Kiasi cha Sh.5,003,030 Kilicholipwa kama karadha<br />
hakikuingizwa vitabuni wala kurejeshwa.<br />
• Mapato ya Sh.2,374,729 yalionekana vitabuni lakini<br />
hayakuonekana katika taarifa za benki.<br />
61 Halmashauri ya Wilaya ya Kyela<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.24,656,496<br />
hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Kiasi cha Sh.9,600,025 kililipwa na Halmashauri kwa<br />
ajili ya kulipia madeni ya nyuma ambayo<br />
hayakuonyeshwa katika hesabu.<br />
• Mishahara isiyolipwa Sh.7,826,658 haikurejeshwa<br />
Hazina.<br />
• Wadai walionyeshwa pungufu kwa kiasi cha<br />
Sh.36,675,701 ikiwa ni mishahara ya watendaji wa<br />
Kata na Vijiji.<br />
62. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya<br />
• Kazi za ujenzi zimelipwa bila kumalizika<br />
Sh.14,000,000.<br />
• Fidia ya ucheleweshaji bado kulipwa Sh.5,320,930<br />
Tofauti ya mishahara iliyopokelewa toka Hazina na<br />
iliyolipwa kutoka akaunti ya amana Sh.14,038,202.<br />
• Tofauti ya kiasi kilichopokelewa katika akaunti ya<br />
Amana na kilicholipwa kwenda katika akaunti ya<br />
Elimu na Afya Sh.13,337,648.<br />
• Mishahara na makato ya kisheria ambayo haikubakia<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
40
kama mishahara isiyolipwa Sh.2,134,974.<br />
• Magari 3 hayakuorodheshwa katika rejista ya mali za<br />
kudumu.<br />
63. Halmashauri ya Manispaa ya Musoma<br />
• Makusanyo ya mapato toka kwa mawakala ambayo<br />
hajawasilishwa Halmashauri Sh.11,220,000.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh. 3,264,221.<br />
• Tofauti isiyofafanuliwa ya Sh. 18,096,427 kati ya<br />
taarifa ya mapato na matumizi na mchanganuo wa<br />
mapato na matumizi.<br />
• Jumla ya wadaiwa wa Halmashauri wameonyeshwa<br />
pungufu katika mizania ya hesabu kwa<br />
Sh.45,360,912.05.<br />
• Mishahara isiyolipwa Sh.5,957,240 haijarejeshwa<br />
Hazina.<br />
• Sh.16,434,349 zilionekana katika vitabu vya<br />
Halmashauri lakini hajapelekwa Benki.<br />
• Hundi zilizochacha kiasi cha Sh.10,246,785.<br />
64 Halmashauri ya Wilaya ya Handeni<br />
• Kiasi cha Sh.224,749,488 kililipwa MSD na Wizara ya<br />
Afya kwa niaba ya Halmashauri bila kuonyeshwa<br />
kwenye vitabu vya Halmashauri.<br />
• Bakaa iliyopo katika taarifa za benki<br />
Sh.1,263,245,980 inatofautiana na taarifa zilizoko<br />
katika vitabu vya Halmashuri Sh. 1,262,534,280.<br />
• Mapato yaliyomo katika vitabu vya Halmashauri<br />
lakini hayakuonekana katika taarifa ya benki<br />
Sh.1,025,071.<br />
65 Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga<br />
• Vitabu vya kukusanyia mapato 17 (HW5) na vitabu 8<br />
vya ushuru wa soko vilitolewa kwa wakusanyaji wa<br />
mapato na havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Mapato ya Sh.1,756,775 toka vyanzo mbalimbali<br />
hayakuwasilishwa kwa mtunza fedha wa<br />
Halmashauri.<br />
• Mishahara kiasi cha Sh.1,242,661 ikihusiana na<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
41
watumishi waliostaafu, waliofariki na wengine<br />
ambao hawapo kazini haijafutwa katika orodha ya<br />
mishahara.<br />
• Uchakavu umeonyeshwa pungufu kwa Sh.11,270,311<br />
kutokana na kutumia kiwango cha 20% badala ya<br />
25%.<br />
• Mizania ya Hesabu imeonyesha wadaiwa kiasi cha<br />
Sh.18,017,284 bila kuonyesha umri.<br />
66. Halmashauri ya Wilaya ya Pangani<br />
• Manunuzi ya bidhaa na huduma bila nukuu ya bei<br />
Sh.1,085,000<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.65,501,552<br />
67. Halmashauri ya Jiji la Tanga<br />
• Masuala ya miaka ya nyuma yanayohusiana na<br />
marejesho kutoka kwa wadaiwa ambayo hayajalipwa<br />
yakisubiri uamuzi wa mahakama<br />
• Kutokutengenezwa kwa Mizania ya Hesabu na taarifa<br />
zake ambatanifu za kila idara.<br />
• Mishahara isiyolipwa Sh.39,190,909 ikiwahusisha<br />
watumishi waliostaafu, waliofariki na waliotoroka<br />
kazini bila kufutwa kwenye orodha ya mishahara.<br />
• Kiasi cha Sh.890,820 kililipwa zaidi kutokana na<br />
kutumia bei iliyotofauti na iliyoko katika nukuu za<br />
bei<br />
68. Halmashauri ya Wilaya ya Bunda<br />
• Malipo ya Sh.37,582,380 yalifanyika bila kuwa na<br />
viambatanisho sahihi.<br />
• Bidhaa zenye thamani ya Sh.38,455,000 zililipiwa<br />
lakini zimepokelewa pungufu na nyingine<br />
kutopokelewa kabisa<br />
• Vifaa vyenye thamani ya Sh.14,255,450 viliagizwa na<br />
kulipiwa lakini havijaingizwa vitabuni.<br />
69. Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba<br />
• Vifaa vya Ofisi na Samani vilinunuliwa kwa kutumia<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
42
masurufu Sh.11,400,000<br />
• Vifaa vya Sh.29,950,000 vilinunuliwa bila ushindani<br />
wa bei<br />
• Vitabu 22 vya kukusanyia mapato (HW5)<br />
havikuonekana wakati wa Ukaguzi.<br />
• Mishahara isiyolipwa Sh.3,979,099 haijarejeshwa<br />
Hazina kinyume na taratibu<br />
• Mapato yaliyoonyeshwa katika vitabu vya<br />
Halmashauri lakini hayamo katika taarifa za Benki<br />
Sh.7,413,860<br />
70 Halmashauri ya Wilaya ya Hanang<br />
• Mikataba pamoja na shahada ya mhandisi za kuthibitisha<br />
kukamilika kwa kazi hazikuonekana wakati wa ukaguzi<br />
Sh.29,743,000<br />
• Hati za malipo za Sh.2,071,000 hazikuonekana wakati wa<br />
ukaguzi.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh. 24,690,200 inayowahusu<br />
watumishi ambao hawapo katika ajira, haijarejesha<br />
Hazina kinyume na taratibu<br />
• Kuongezeka kwa nakisi katika taarifa ya mtiririko wa<br />
fedha ya Sh.320,143,674 kwenye kipengere cha<br />
ugharimiaji hakikuweza kuhakikiwa wakati wa ukaguzi<br />
kutokana na kutokuwepo kwa mchanganuo wake.<br />
71. Halmashauri ya Manispaa ya Tabora<br />
• Manunuzi yaliyofanyika nje ya mipango wa<br />
manunuzi Sh.26,691,881<br />
• Vifaa vilivyolipiwa bila kupokelewa Sh.6,155,200<br />
• Utoaji wa vifaa bila kuwepo uthibitisho wa<br />
ugawaji Sh.15,035,200<br />
• Kitabu kimoja cha mapato (HW5. 434131 –<br />
434250) kilichotolewa kwa mkusanya mapato<br />
bado kurudishwa Halmashauri<br />
• Makusanyo pungufu yaliyotokana na ushuru wa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
43
mauzo ya Tumbaku Sh.13,484,405<br />
• Kukosekana kwa ushahidi wa kupokelewa kwa<br />
Sh.182,074,000 kutoka kwa RAS kwa ajili ya miradi<br />
ya maendeleo.<br />
• Madawa na vifaa tiba vilivyolipiwa MSD na Wizara<br />
ya Afya kwa niaba ya Halmashauri Sh.73,500,000<br />
havikuingizwa katika hesabu za Halmashauri.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.54,493,091.<br />
• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.14,131,960<br />
haijarejeshwa Hazina kinyume na utaratibu<br />
• Kukosekana kwa shahada ya kuthibitisha fedha<br />
zilizowekezwa Sh.15,604,258<br />
• Madawa yaliyobakia mwisho wa mwaka<br />
hayakuonyeshwa katika Mizania ya Hesabu<br />
72. Halmashauri ya Wilaya ya Songea<br />
• Manunuzi ya vipuri vya magari na matengenezo<br />
yalifanyika kwa njia ya kutoa masurufu kinyume na<br />
taratibu Sh.9,142,280<br />
• Manunuzi ya bidhaa Sh.12,331,000 yalifanyika bila<br />
nukuu ya bei.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.10,295,491.<br />
• Vitabu 13 vya wazi vya kukusanyia mapato<br />
havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Posho ya kiasi cha Sh.25,367,000 kililipwa kwa<br />
watumishi bila uthibitisho wa orodha ya<br />
mahudhurio, na viwango vilivyotumika.<br />
• Hati za malipo ya Sh.1,407,483 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh.21,000,723<br />
haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />
• Fedha zilizowekezwa katika taasisi mbalimbali<br />
hazikuthibitishwa kutokana na kukosekana kwa<br />
shahada za kuwekeza Sh.11,423,600.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
44
3.3 Halmashauri zilizopata Hati zenye shaka<br />
Zifuatazo ni Halmshauri 61 ambazo zimepata hati zenye<br />
shaka pamoja na sababu zake.<br />
1. Halmashauri ya Wilaya ya Iringa<br />
• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />
ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa<br />
ukaguzi kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya<br />
Fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 1997<br />
• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.265,805,946<br />
hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri.<br />
• Mishahara Sh.7,466,885 isiyolipwa haikurudishwa<br />
Hazina kinyume na taratibu.<br />
• Hisa zenye thamani ya Sh.209,967,627 iliyowekezwa<br />
katika taasisi mbalimbali hazikuonekana wakati wa<br />
ukaguzi.<br />
• Vitabu vya mapato 36 vyenye thamani ya<br />
Sh.12,000,000 vinavyohusu mfuko wa Afya ya<br />
Jumuiya havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
2. Halmashauri ya Manispaa ya Iringa<br />
• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />
ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa ukaguzi<br />
kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya Fedha za<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />
• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.129,851,522<br />
hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri<br />
• Mishahara Sh.28,520,614 isiyolipwa haikurudishwa<br />
Hazina kinyume na taratibu.<br />
• Mtiririko wa fedha ulionyesha kiasi cha<br />
Sh.299,047,082 katika shughuli za uwekevu bila<br />
kuwa na mchanganuo wake.<br />
• Kiasi cha Sh.6,622,718 kilitumika zaidi kutoka<br />
katika Akaunti ya Amana.<br />
3. Halmashauri ya Wilaya ya Makete<br />
• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />
ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
45
ukaguzi kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya<br />
Fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />
• Vitabu 10 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Vifaa vya ujenzi vya Sh.7,076,000 vilinunuliwa bila<br />
kutolewa hesabu.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh.28,520,614<br />
haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />
• Hati za malipo za Sh.145,070,985 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Malipo ya Sh.107,226,670 hayakuwa na maelezo ya<br />
matumizi.<br />
4. Halmashauri ya Wilaya ya Njombe<br />
• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.36,716,667<br />
hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri.<br />
• Bakaa ya akaunti ya Amana imetofautiana na bakaa<br />
iliyoonyeshwa katika vitabu vya Halmashauri wakati<br />
wa usuluhisho wa benki Sh.6,384,644.<br />
• Ruzuku ya maendeleo isiyotumika ya<br />
Sh.872,163,182 iliingizwa kimakosa katika mtiririko<br />
wa fedha.<br />
• Mali iliyoghalani yenye thamani ya Sh.62,757,490<br />
iliyoonyeshwa katika mizania ya hesabu usahihi<br />
wake haukuweza kuthibitishwa kutokana na<br />
kutokuwepo kwa nyaraka za kuhesabia mali hiyo.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
46
5. Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa<br />
• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />
ugharimiaji wake ilionyesha salio ishia la<br />
Sh.104,614,781 kwa mwaka 2006/07, halikuonekana<br />
kama salio anzia katika mwaka 2007/08.<br />
• Fedha kutoka akaunti ya Amana zilitumika kulipia<br />
matumizi ya kawaida hazikurejeshwa katika akaunti<br />
ya Amana Sh.5,661,000.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh.20,150,541 inayowahusu<br />
watumishi walifariki, waliostaafu na waliotoroka<br />
kazini haikurejeshwa Hazina.<br />
• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.474,529,948<br />
hayakuonyeshwa katika taarifa za fedha kama wadai<br />
6. Halmashauri ya Wilaya ya Babati<br />
• Vitabu vitatu (3) vya kukusanyia mapato (HW 5)<br />
vilivyotolewa kwa makusanyaji wa mapato<br />
havikuonekana wakati wa Ukaguzi.<br />
• Malipo ya Sh.35,664,462 katika akaunti ya Afya kwa<br />
ajili ya vibarua waliofanya kazi katika zahanati za<br />
Magugu, Merry na Hospitali ya Mlala<br />
hayakuidhinishwa.<br />
• Malipo ya miaka ya nyuma Sh.15,152,500 yalilipwa<br />
mwaka 2007/08 kinyume na Agizo Na. 46 la<br />
Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa 1997.<br />
• Ukaguzi katika taarifa za fedha umegundua kwamba<br />
taarifa ya mapato iliyoonyeshwa inatofautiana na<br />
mapato yaliyopo katika leja kuu kwa Sh.954,946,373.<br />
7. Halmashauri ya Mji wa Babati<br />
• Mapato yaliyokusanywa kutokana na kodi ya Ardhi<br />
hayakuwasilishwa Sh.56,361,781.<br />
• Vifaa vya kilimo vya thamani ya Sh.3,000,000<br />
vililipiwa na havikuthibitika kupokelewa na<br />
Halmashauri.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh.4,902,796 haikurejeshwa<br />
Hazina.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
47
• Ruzuku Sh.1,040,428,552 ikiwa ni fedha za maendeleo<br />
zilionyeshwa katika taarifa ya mapato na matumizi ya<br />
kawaida kinyume na taratibu.<br />
• Fedha kwa ajili ya shughuli za uwekezaji ilionyeshwa<br />
pungufu kwa kiasi cha Sh.691,649,483 katika taarifa<br />
ya mtiririko wa fedha.<br />
8. Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro<br />
• Ruzuku ya fedha za maendeleo ya Sh.1,876,573,286<br />
ilionyeshwa katika taarifa ya mapato na matumizi<br />
kinyume na utaratibu.<br />
• Kiasi cha Sh.742,325,266 ikiwa ni matumizi ya fedha<br />
za maendeleo yalionyeshwa katika taarifa ya mapato<br />
na matumizi ya kawaida hivyo taarifa ya mapato na<br />
matumizi na mtiririko wa fedha ilipotoshwa.<br />
• Malipo yaliyofanyika bila stakabadhi ya kukiri<br />
mapokezi Sh.4,561,500.<br />
• Kuongezeka/kupungua kwa wadaiwa Sh.4,856,250 na<br />
wadai Sh.29,982,021 haikuonyeshwa kwa usahihi<br />
katika mtiririko wa fedha.<br />
• Madawa yaliyokwisha muda wake yalionekana katika<br />
bakaa ya mali iliyo ghalani Sh.747,900.<br />
• Malipo zaidi yaliyofanyika kwa mkandarasi Sh.500,000.<br />
9. Halmashauri ya Wilaya ya Iramba<br />
• Kwa ujumla Halmashauri ilitumia zaidi kwa kiasi cha<br />
Sh.311,914,505 zaidi ya mapato.<br />
• Halmashauri ilikuwa haina sera dhidi ya wadaiwa waka<br />
hivyo kusababisha mrundikano wa mapato ambayo<br />
hauajakusanywa kwa kiasi cha Sh.8,358,024.<br />
• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.103,046,824<br />
hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri.<br />
• Bakaa ya kiasi cha Sh.8,393,828 ilisalia katika akauti<br />
ya MSD haikuonyeshwa katika mizania ya hesabu za<br />
Halmashauri.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
48
10. Halmashauri ya Manispaa ya Singinda<br />
• Kwa ujumla Halmashauri ilitumia zaidi kwa kiasi cha<br />
Sh.196,161,516 zaidi ya mapato.<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.24,467,413<br />
hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Malimbikizo ya mapato kutoka kwa wadaiwa yamekaa<br />
muda mredu bila kukusanywa Sh.52,546,351.<br />
• Halmashauri ilikuwa na orodha ya wadai ya kiasi cha<br />
Sh.342,447,469 bila kuonyeshwa umri.<br />
• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.86,906,556<br />
hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri.<br />
11. Halmashauri ya Wilaya ya Igunga<br />
• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />
ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa ukaguzi<br />
kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya Fedha za<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />
• Manunuzi yenye thamani ya Sh.5,498,097 yamefanyika<br />
nje ya mpango wa manunuzi.<br />
• Vitabu 26 vya mapato vyenye thamani ya Sh.900,000<br />
havijarejeshwa na wakusanya mapato baada ya<br />
matumizi.<br />
• Mgao wa fedha kutoka Serikali Kuu ya kiasi cha<br />
Sh.45,750,000 haukuonyeshwa katika vitabu vya<br />
Halmashauri.<br />
• Malipo ya kiasi cha Sh.138,338,843 yalihusu madeni ya<br />
miaka ya nyuma ambayo Halmashauri ilikuwa<br />
haijayatengea fedha.<br />
12. Halmashauri ya Wilaya ya Nzega<br />
• Kulikuwa na orodha ya wadaiwa kiasi cha<br />
Sh.23,489,320 na wadai kiasi cha Sh.417,804,129 bila<br />
kuonyesha mchanganuo wa umri.<br />
• Mzania ya hesabu haukuonyesha uwekezaji wa kiasi<br />
cha Sh.18,352,724 kama kiwango cha chini cha<br />
mchango kama miliki ya Halmashauri.<br />
• Mali iliyo ghalani ya kiasi cha Sh.103,688,567<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
49
iliyoonekana katika mizania ya hesabu haikuweza<br />
kuthibitishwa kwa kukosekana orodha iliyotumika<br />
kuhesabia mali hiyo.<br />
• Hati za malipo za Sh.5,321,100 Hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Vitabu viwili (2) vya kukusanyia mapato<br />
havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh. 15,890,788<br />
haikurejeshwa Hazina kinyume cha utaratibu.<br />
• Mapato kiasi cha Sh.47,900,876 yaliyotokana na<br />
ushuru wa mazao hayakuweza kuthibitishwa kama<br />
ndiyo hayo yaliyotakiwa kukusanywa, kutokana na<br />
kutokuwepo kwa rejista ya makusanyo.<br />
13. Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo<br />
• Kiasi cha Sh.112,706,550 kwa kampuni ya Toyota<br />
Tanzania Ltd kwa ajili ya ununuzi wa gari ambalo<br />
hadi February 2009 lilikuwa bado halijapokelewa.<br />
• Vifaa vyenye thamani ya Sh.4,740,700 vilikuwa<br />
havijaingizwa vitabuni.<br />
• Mizania ya Hesabu ilionyesha wadaiwa kiasi cha<br />
Sh.58,306,792 na wadai kiasi cha Sh.92,900,403 bila<br />
kuonyesha mchanganuo wa umri.<br />
• Mannunuzi ya Kiasi cha Sh.5,546,944 yalilipwa bila<br />
nukuu ya bei.<br />
• Hati za malipo kiasi cha Sh.6,345,000 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
14. Halmashauri ya Manispaa ya Songea<br />
• Vitabu 13 (HW 5) vya kukusanyia mapato<br />
vilivyotolewa kwa wakusanya mapato havikuonekana<br />
wakati wa Ukaguzi.<br />
• Stakabadhi ya kukiri mapokezi ya kiasi cha<br />
Sh.6,896,268<br />
yaliyolipwa katika taasisi mbali mbali hazikuonekana<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
50
wakati wa ukaguzi.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.8,601,250<br />
• Hati za malipo ambazo hazikuonekana wakati wa<br />
ukaguzi Sh.32,509,983<br />
• Matumizi yaliyoonyeshwa katika akaunti isiyo sahihi<br />
ya Sh.8,514,000<br />
• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.15,231,907<br />
haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />
• Malipo yalifanyika kwa kutumia ankara vifani<br />
Sh.1,814,500<br />
• Manunuzi ya kiasi cha Sh.19,112,800 yalifanyika bila<br />
ushindani.<br />
• Vifaa vyenye thamani ya Sh.1,362,000 havikuingizwa<br />
vitabuni.<br />
15. Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji<br />
• Mishahara ililipwa kwa wafanyakazi wa muda bila<br />
kuwa na mkataba Sh.73,146,900<br />
• Mapato ya kiasi cha Sh.71,795,410 hayakurejeshwa<br />
kwa Halmashauri kutoka kwa wakala wa kukusanya<br />
mapato.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.211,793,681<br />
• Masurufu ya kiasi cha Sh. 14,515,600 hayakuingizwa<br />
katika rejista ya masurufu.<br />
• Rejista ya mali za kudumu haijahuishwa tangu<br />
mwaka 2002 Sh.3,713,314,983.<br />
• Mtaji wa Sh.4,137,351,399 ulionyeshwa katika<br />
taarifa za fedha haukuchanganuliwa.<br />
• Wadaiwa wa kiasi cha Sh.66,588,086<br />
hawakuonyeshwa umri.<br />
• Masuala yasiyosuluhishwa katika usuluhishi wa benki<br />
‣ Mapato katika taarifa za benki ambayo hayapo<br />
katika vitabu vya Halmashauri Sh.44,763,199.<br />
‣ Mapato katika vitabu vya Halmashauri ambayo<br />
hayakupelekwa benki Sh.16,859,536.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
51
‣ Mapato katika taarifa za benki ambayo hayapo<br />
katika vitabu vya Halmashauri Sh.62,640,183.<br />
• Matengenezo ya magari yaliyofanyika bila<br />
kukaguliwa kabla na baada ya matengenezo<br />
Sh.29,020,890.<br />
16. Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu<br />
• Kukosekana kwa hesabu ya matumizi ya vifaa vya<br />
Sh.15,344,170.<br />
• Mapato ya kiasi cha Sh. 5,994,500 hayakupokelewa<br />
na mtunza fedha wa Halmashauri.<br />
• Gharama za semina kiasi cha Sh. 62,473,650<br />
hazikuthibitishwa uhalali wake kutokana na<br />
kukosekana kwa nyaraka zilizohusu matumizi ya<br />
fedha hizo.<br />
• Mikopo ya Sh.13,640,410 iliyotolewa kwa vikundi<br />
vya akina mama na vijana haijarudishwa<br />
Halmashauri.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh.20,365,200 haijarejeshwa<br />
Hazina.<br />
• Vitabu 31 vya kukusanyia mapato havikuoneka<br />
wakati wa Ukaguzi.<br />
• Madeni ya muda mfupi yalionyeshwa pungufu kwa<br />
Sh.216,387,852<br />
• Makato ya kisheria ya Sh. 1,312,197 hayakupelekwa<br />
kwa taasisi husika.<br />
17. Halmashauri ya Wilaya ya Tabora Uyui<br />
• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />
ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa ukaguzi<br />
kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya Fedha za<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />
• Halmashauri ilinunua bidhaa na huduma kiasi cha<br />
Sh. 285,389,328 zaidi ya kiwango kilichopo katika<br />
mpango wa manunuzi wa mwaka ulioidhinishwa<br />
uliokuwa na kiasi cha Sh.153,686,675.<br />
• Kiasi cha Sh.732,000 kilichokusanywa na wakusanya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
52
mapato hakikuwasilishwa kwa mtunza fedha wa<br />
Halmashauri.<br />
• Mikopo ya Sh.24,865,000 iliyotolewa kwa vikundi vya<br />
akina mama na watoto haikuingizwa katika rejista.<br />
Hivyo marejesho yake hayajulikani.<br />
• Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ililipa<br />
Sh.120,057,674 MSD kwa niaba ya Halmashauri kwa<br />
ajili ya kununua dawa na vifaa. Kiasi hiki<br />
hakikuonyeshwa katika vitabu vya Halmashauri.<br />
18. Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga<br />
• Matumizi ya mafuta Sh.8,113,500 yasiyothibitishwa<br />
• Vitabu 50 (HW5) vya kukusanyia mapato<br />
havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Kiasi cha Sh. 6,288,000 kililipwa kwa ajili ya kuagiza<br />
vitabu vya kukusanyia mapato, hakuna ushahidi wa<br />
kupokelewa kwa vitabu vilivyoagizwa.<br />
• Makato ya kisheria kutoka mishahara ya wafanyakazi<br />
ya Sh.1,883,070 hayakuthibitishwa kupokelewa na<br />
taasisi husika.<br />
• Kiasi cha Sh.100,594,122 kilitumika zaidi katika<br />
akaunti zifuatazo; akaunti ya Jumla, Amana na<br />
Elimu.<br />
• Kiasi cha Sh. 10,043,900 kikihusiana na matumizi ya<br />
mwaka 2004/2005 na 2006/2007 kililipwa mwaka<br />
2007/08 bila kuwepo bajeti.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.22,131,095.73<br />
ilihamishiwa akaunti ya amana badala ya kupelekwa<br />
katika Akaunti ya RAS – Pwani kwa ajili ya<br />
kuhamishiwa Hazina.<br />
• Ununuzi wa Kompyuta bila kufuata viwango vya<br />
kitaalam.<br />
• Magari mawili yamezuiliwa katika gereji binafsi<br />
tangu mwaka 2000 kufuatia kwa Halmashauri<br />
kushindwa kulipia gharama za matengenezo.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
53
Masuala yatokanayo na ukaguzi maalum<br />
• Matumizi ya mafuta Sh. 40,626,450<br />
yasiyothibitishwa<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh. 346,310,809<br />
hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Mapato yaliwasilishwa pungufu kwa kiasi cha<br />
Sh.25,200,000.<br />
• Upotevu wa mabati 426 yenye thamani ya<br />
Sh.5,226,385 yaliyokuwa yatumike kwa ajili ya<br />
ujenzi wa shule za Sekondari.<br />
• Malipo yaliyolipwa zaidi ya Sh.4,624,916 kwa watoa<br />
huduma.<br />
• Ununuzi wa bidhaa na huduma wa Sh.4,237,000 bila<br />
kutumia zabuni.<br />
• Deni linalotegemewa la Sh.145,026,157 linahusiana<br />
na mashitaka halikuonyeshwa katika taarifa za<br />
fedha za mwaka 2007/08.<br />
19. Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe<br />
• Vitabu nane (8) - HW.5, vya kukusanyia mapato<br />
havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Vitabu 16 HW5 vilivyotolewa kwa mawakala wa<br />
kukusanya mapato, mikataba husika haikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi<br />
• Hati za malipo za Sh.4,923,942 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.11,441,860<br />
haikupelekwa Hazina.<br />
• Sh.11,920,920 zililipwa zaidi kwa ajili ya kandarasi<br />
bila idhini ya bodi ya zabuni.<br />
• Tofauti ya Sh.7,507,980 iliyotokea katika kandarasi<br />
haikuidhinishwa na bodi ya zabuni.<br />
• Mapato ya Sh.2,583,000 yaliyokusanywa na<br />
wakusanya mapato hayakuwasilishwa kwa mtunza<br />
fedha wa Halmashauri<br />
• Kiasi cha Sh. 840,000 kililipwa bila kuwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
54
viambatisho vya kutosha<br />
• Kiasi cha Sh.27,941,533 zililipwa ikiwa matumizi ya<br />
miaka ya nyuma, kiasi hiki hakikuonekana katika<br />
taarifa za fedha kama wadai.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya Sh.5,128,475<br />
haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />
• Makato ya kisheria yaliyolipwa katika taasisi<br />
mbalimbali kwa ajili ya watumishi walio acha kazi<br />
ya umma ya kiasi cha Sh. 2,418,571 hayakubakizwa<br />
katika akaunti ya amana ya Halmashauri pamoja na<br />
mishahara yao.<br />
• Halmashauri imetumia kiasi cha Sh.248,211,788 kwa<br />
ajili ya miradi ya maendeleo katika mwaka wa<br />
fedha 2007/08. Matumizi hayo yaliingizwa katika<br />
taarifa ya matumizi ya kawaida badala ya kuingizwa<br />
katika taarifa ya matumizi ya maendeleo katika<br />
vitabu vya Halmashauri.<br />
• Matumizi ya Sh.9,169,746 hayakuingizwa katika<br />
taarifa za hesabu za mwisho wa mwaka.<br />
• Matumizi ya Sh.13,000,000 yalilipwa kama posho ya<br />
madiwani kutoka katika fedha za miradi ya<br />
maendeleo.<br />
• Kiasi cha Sh.16,927,531 kilibakia MSD,<br />
hawakuonyeshwa kama wadaiwa katika hesabu za<br />
Halmashauri.<br />
20. Halmashauri ya Manispaa ya Arusha<br />
• Kiasi cha Sh. 23,100,000 kililipwa kwa ajili ya<br />
kununulia vifaa vya ujenzi wa madarasa katika<br />
shule ya Sorenyi, mchanganuo wa vifaa<br />
vilivyonunuliwa na mgawanyo wake haukuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Matumizi ya Sh.25,336,000 kutoka akaunti ya amana<br />
yalifanyika bila kuwa na viambatanisho.<br />
• Halmashauri ililipa Sh.10,000,000 kwa ajili ya<br />
kununua hisa kutoka “Arusha Community Bank”<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
55
shahada za ununuzi wa hisa hizo hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Hati za malipo za Sh.17,539,690 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Malipo ya Sh.98,327,353 yalifanyika bila<br />
viambatanisho sahihi.<br />
• Halmashauri ililipa Sh.11,616,660 kwa ajili ya<br />
safari ya waheshimiwa madiwani wawili kwenda<br />
Athens, Ugiriki na Washington - DC. Hakuna<br />
ushahidi unaoonyesha matumizi haya yalikuwa<br />
katika bajeti na hata kuidhinishwa na Kamati ya<br />
Fedha na mipango.<br />
• Halmashauri imeonyesha kuwekeza Sh.386,535,200<br />
kama ilivyo katika mizania ya hesabu, hakuna<br />
uthibitisho uliotolewa wakati wa ukaguzi<br />
kuthibitisha uwekezaji huu.<br />
• Kiasi cha Sh.11,525,000 kililipwa kwa ajili ya<br />
ukarabati wa ofisi ya uhasibu, matumizi haya<br />
hayakuwa katika bajeti.<br />
• Bakaa ya fedha iliyoonekana katika mizania ya<br />
hesabu kwa akaunti ya jumla inatofautiana kwa<br />
Sh.2,000,000 na taarifa iliyoko katika Daftari la<br />
fedha.<br />
• Malipo ya Sh.17,799,240 yalifanyika kutoka katika<br />
akaunti ya matumizi kama masurufu kwa<br />
wafanyakazi mbalimbali kwa ajili ya siku ya Serikali<br />
za Mitaa, malipo haya hayakuwa katika bajeti na<br />
marejesho yake hayakuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Mishahara isiyolipwa Sh.11,032,706 haikurejeshwa<br />
Hazina.<br />
• Mishahara kiasi cha Sh. 10,661,374 kililipwa moja<br />
kwa moja katika akaunti za benki za watumishi<br />
waliostaafu.<br />
• Malipo ya Sh.5,688,048 hayakuingizwa katika<br />
daftari la fedha la akaunti ya Elimu.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
56
• Masurufu ya Sh.22,431,490 yalitolewa kwa<br />
watumishi, bado hayajatolewa hesabu.<br />
• Halmashauri ilionyesha wadaiwa kiasi<br />
Sh.127,590,024 bila kujumuisha kiasi cha<br />
Sh.9,088,285 zilizobaki MSD.<br />
• Halmashauri iliwasilisha orodha ya vifaa vilivyo<br />
ghalani, ambavyo vilionyeshwa zaidi kwa kiasi cha<br />
Sh.3,114,600.<br />
• Wadai walionyeshwa kiasi cha Sh.19,305,432 bila<br />
kujumuisha wadai kiasi cha Sh. 22,179,551 MSD<br />
• Sh.44,154,124 zililipwa kwa ajili ya wadai wa<br />
miaka ya nyuma ambao hawakuonyeshwa katika<br />
hesabu.<br />
21 Halmashauri ya Wilaya ya Longido<br />
• Leja zilizoingiza vifaa vya Sh.12,065,000<br />
hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Vitabu 6 ya kukusanyia mapato havikuonekana wakati<br />
wa ukaguzi.<br />
• Hati za malipo za Sh.17,490,000 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Mtunza fedha hakurejesha Sh.12,767,000 kwa miezi<br />
miwili baada ya semina kuahirishwa.<br />
• Magari 15 hayakuonyeshwa katika mizania ya hesabu<br />
iliyotengenezwa mwisho wa mwaka.<br />
• Kiasi cha Sh.61,377,542 kilihamishwa kutoka katika<br />
akaunti ya amana kwenda katika akaunti mbali mbali<br />
kwa ajili ya kulipia matumizi ya kawaida.<br />
• Kiasi cha Sh.46,554,600 kilihamishwa kutoka akaunti<br />
moja kwenda akaunti nyingine bila kurejeshwa.<br />
22. Halmashauri ya Wilaya ya Monduli<br />
• Vifaa vya Sh.5,010,000 havikuingizwa katika leja.<br />
• Vitabu 24 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
57
• Hati za malipo za Sh.17,223,452 hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Malipo ya Sh.25,072,559 hayakuwa na viambatanisho<br />
sahihi.<br />
• Stakabadhi ya kukiri mapokezi ya Sh.72,105,231<br />
hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />
• Malipo ya Sh.21,963,700 kutoka akaunti ya amana<br />
hayakuambatanishwa na nyaraka sahihi.<br />
• Malipo ya posho ya kiasi cha Sh.4,358,000 yenye<br />
nyaraka pungufu.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.12,131,209<br />
haikurejeshwa Hazina.<br />
• Mishahara ya kiasi cha Sh.7,875,630 ililipwa kwa<br />
watumishi waliostaafu.<br />
• Kiasi cha Sh.4,848,160 kilionyeshwa pungufu katika<br />
jumla ya wadai.<br />
• Sh.104,746,360 zililipwa zaidi kutoka katika akaunti<br />
ya amana<br />
• Malipo ya miaka ya nyuma kiasi cha Sh.12,435,840<br />
yalilipwa mwaka 2007/08<br />
23. Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro<br />
• Kiasi cha Sh.17,318,650 kililipwa kama masurufu kwa<br />
dereva katika vipindi tofauti kwa ajili ya<br />
matengenezo ya gari.<br />
• Hati za malipo za Sh.9,190,000 hazikuonekana wakati<br />
wa ukaguzi.<br />
• Malipo ya Sh.41,993,738 yalifanyika bila<br />
viambatanisho sahihi.<br />
• Kiasi cha Sh.122,021,167 kililipwa kwa taasisi<br />
mbalimbali kwa ajili ya huduma walizotoa.<br />
Stakabadhi za kukiri malipo haya hazikuonekana<br />
wakati wa ukaguzi.<br />
• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.11,165,036<br />
haikurejeshwa Hazina kinyume na utaratibu.<br />
• Uchakavu wa kiasi cha Sh.453,143,946 haukuoneshwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
58
katika taarifa jumuifu ya mapato na matumizi.<br />
• Kazi zinazoendelea zenye thamani ya Sh.97,609,750<br />
zilionyeshwa kwa makosa kama fedha za maendeleo<br />
ambazo hazijatumika.<br />
• Malipo ya miaka ya nyuma yenye thamani ya Sh.<br />
41,440,539 yalilipwa mwaka 2007/08.<br />
24. Halmashauri ya Wilaya ya Muleba<br />
• Malipo ya manunuzi ya Sh.57,135,500 yalifanyika<br />
bila ushindani.<br />
• Mapato ya Sh. 22,084,000 yaliyokusanywa na<br />
wakusanyaji mapato hayakuwasilishwa Halmashauri.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh. 23,806,200<br />
• Kiasi cha Sh. 355,974,129 kililipwa zaidi ya kiasi cha<br />
kilichoidhinishwa katika bajeti, bila kibali toka<br />
mamlaka zinazohusika.<br />
25. Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba<br />
• Manunuzi yasiyozingatia ushindani Sh.7,136,500<br />
• Maduhuli toka kwa mawakala wa ukusanyaji<br />
hayakuwasilishwa Sh.7,385,000<br />
• Uwasilishwaji usiokuwa sahihi wa taarifa ya mapato<br />
na matumizi ya fedha za maendeleo –Sh.913,285,806<br />
• Umri wa wadaiwa haukuoneshwa Sh.34,920,810<br />
• Samani za ofisi zilizolipiwa lakini bado kuletwa toka<br />
kwa mzabuni Sh.2,877,500.<br />
26. Halmashauri ya Wilaya ya Ngara<br />
• Uwasilishwaji usiokuwa sahihi wa taarifa ya mapato<br />
na matumizi ya fedha za maendeleo –Sh.860,432,712<br />
• Miradi ya maendeleo yenye thamani ya<br />
Sh.998,307,744 ikiwemo ya ujenzi, majengo ya ofisi<br />
na shule imeingizwa kama matumizi katika Taarifa ya<br />
Mapato na Matumizi.<br />
• Kukosekana kwa nyaraka mbalimbali kama vile<br />
mikataba, rejista za mikataba, michanganuo ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
59
thamani na vyeti vya malipo Sh.62,971,520.<br />
• Matumizi ya fedha za maendeleo kiasi cha<br />
Sh.913,285,806 zikijumuisha kazi za ujenzi wa ofisi<br />
na shule zilionyeshwa katika hesabu za matumizi ya<br />
kawaida badala ya kuonyeshwa katika hesabu za<br />
matumizi ya maendeleo.<br />
• Umri wa wadaiwa haukuonyeshwa Sh.13,890,000<br />
• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.11,131,725<br />
• Mishahara isiyorejeshwa Hazina Sh.7,043,970.<br />
27. Halmashauri ya Wilaya ya Bahi<br />
• Wadai wasiolipwa hawakuoneshwa kwenye hesabu<br />
Sh.573,828,765<br />
• Mishahara isiyorejeshwa Hazina Sh.16,750,916<br />
• Gharama za uchakavu zisizothibitishwa Sh.22,754,665<br />
28. Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma<br />
• Magari yaliyolipiwa bado kuletwa katika Halmashauri<br />
Sh.70,500,000<br />
• Vifaa vilivyonunuliwa toka kwa wasambazaji wasio<br />
wazabuni wa Halmashauri Sh.37,151,050<br />
• Maduhuli toka kwa mawakala wa ukusanyaji<br />
hayakuwasilishwa Sh.70,589,000<br />
• Maduhuli yatokanayo na ada za matangazo<br />
hayajakusanywa Sh.57,193,600<br />
• Makato ya karadha yasiyothitishwa kurejeshwa<br />
Sh.6,499,958<br />
• Wastaafu hawakuondolewa katika orodha ya<br />
mishahara Sh.5,622,596.<br />
• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.22,684,123.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
60
29. Halmashauri ya Wilaya ya Hai<br />
• Matumizi yaliyozidi bajeti iliyoidhinishwa<br />
Sh.60,704,016<br />
• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.128,852,888<br />
• Malipo rujua ambayo hayakuthitishwa kuwemo katika<br />
Hesabu za Halmashauri Sh.12,428,447<br />
• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina Sh 21,610,261<br />
• Vifaa havikuingizwa vitabuni Sh.5,065,000<br />
• Malipo ya thamani ya Sh.3,296,250 yaliyofanyika kwa<br />
kutumia ankara kifani kinyume na taratibu .<br />
30. Halmashauri ya Wilaya ya Moshi<br />
• Malipo ya thamani ya Sh.13,609,500 yaliyofanyika<br />
kwa kutumia ankara kifani kinyume na taratibu .<br />
• Mchanganuao wa umri wa wadai Sh.5,184,004 na<br />
wadaiwa Sh.91,822,222 haukuonyeshwa kwenye<br />
majedwali.<br />
• Makadirio ya ununuzi wa magari kiasi cha<br />
Sh.85,000,000 , ununuzi wa pikipiki Sh.15,500,000 na<br />
ufungaji wa huduma ya tovuti yalihamishwa toka<br />
Akaunti ya Mfuko Mkuu kwenda Akaunti ya Amana<br />
bila idhini.<br />
31. Halmashauri ya Wilaya ya Masasi<br />
• Malipo yasiyo na faida kwa Halmashauri baada ya<br />
kushindwa kesi Sh.5,364,120.<br />
• Manunuzi yaliyofanywa bila kuzingatia mpango wa<br />
manunuzi wa mwaka Sh.26,964,000<br />
• Ununuzi wa mashine ya kurudufu bila kupata ushauri<br />
wa kitalaam toka Wizara husika Sh.15,976,000<br />
• Maduhuli hayakupelekwa benki Sh.7,767,158<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
61
• Maduhuli hayakuingizwa katika Daftari la fedha<br />
Sh.1,326,887<br />
• Kutotayarishwa kwa taarifa ya upotevu wa<br />
redio/simu ya upepo ya Zahanati ya Mkululu Sh.<br />
2,054,000<br />
• Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo Sh.26,514,600<br />
• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.31,903,853<br />
• Malipo yaliyopitwa na muda Sh.69,178,192<br />
• Karadha zisizorejeshwa Sh.77,000,000<br />
• Mikopo ya mishahara bado kurejeshwa Sh.2,180,520<br />
• Mishahara iliyolipwa kwa makosa wa watu ambao si<br />
watumishi wa Halmashauri Sh. 7,408,441.<br />
32. Halmashauri ya Manispaa Mtwara Mikindani<br />
• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.1,978,000<br />
• Kodi ya huduma ambayo hayakuambatanishwa na<br />
nyaraka za Kodi ya Ongezeko la Thamani<br />
Sh.86,233,873<br />
• Bakaa ya Mali yenye thamani ya Sh.467,870,155<br />
iliyoonyeshwa kwenye taarifa ya mtiririko halisi wa<br />
fedha imeongezwa kwa kiasi kama hicho.<br />
• Malipo ya ziada kwa mkandarasi bila kuwa na kibali<br />
cha kazi ya ziada Sh.456,509<br />
• Kutofuatwa kwa taratibu za mkataba wa ukusanyaji<br />
wa maduhuli ya soko Sh.12,020,000<br />
• Halmashauri haikutayarisha taarifa ya matumizi na<br />
mapato ya miradi ya maendeleo.<br />
33. Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba<br />
• Lita 881 za madawa ya aina ya Bayfidan yenye<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
62
thamani Sh.102,526,900 yaliyo agizwa toka M/s<br />
Bytrade Tanzania Ltd na kufanyiwa malipo kabla ya<br />
mapokezi ya mali bado kuletwa.<br />
• Gharama ya Sh.4,200,000 kwa ajili ya ununuzi wa<br />
gea boksi ilizidi kiwango kilichoidhinishwa kwa Afisa<br />
Masuuli.<br />
• Malipo ya Sh.2,847,125 yasiyo na faida kwa<br />
Halmashauri yalilipwa kwa mwenye gereji iitwayo<br />
Amars ikiwa ni tozo la asilimia 10 kwa kushindwa<br />
kulipa gharama za matengenezo kwa wakati.<br />
• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.24,819,670<br />
• Malipo yaliyopitwa na wakati Sh.29,995,311<br />
• Malipo ya mishahara kwa watumishi waliofanya kazi<br />
kama vibarua kwa muda mrefu bila kuingizwa<br />
kwenye orodha ya malipo ya mishahara kwa<br />
kompyuta kinyume na Kanuni za Kudumu za Utumishi<br />
Sh.23,926,712<br />
• Bakaa ya mali haikuambatanishwa na nyaraka za<br />
uhakiki mali Sh.23,926,712<br />
• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina<br />
Sh.2,332,309<br />
• Matumizi kiasi cha Sh.24,933,131 ya fedha za<br />
maendeleo yasiyotumika mwaka 2006/07<br />
hayakuonyeshwa katika taarifa ya hesabu za mapato<br />
na matumizi ya maendeleo za mwaka 2007/2008.<br />
34. Halmashauri ya Wilaya ya Magu<br />
• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.7,324,140<br />
• Madawa yaliyolipiwa bado kupokelewa Sh.62,396,200<br />
• Vitabu vitano (5) vya kukusanyia maduhuli<br />
havikupatikana<br />
• Maduhuli yaliyo kusanywa hayakuingizwa vtabuni<br />
Sh.2,838,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
63
• Malipo yasiyokuwa na nyaraka na yenye nyaraka<br />
pungufu Sh.48,324,463<br />
• Malipo ya ziada ya posho ya usumbufu na kujikimu<br />
Sh.813,576<br />
• Malipo yaliyofanyika mara mbili Sh.3,879,000 kwa<br />
shughuli moja.<br />
• Masurufu hayakuingizwa vitabuni Sh.13,048,340<br />
35. Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero<br />
• Matumizi zaidi ya mapato Sh.196,161,516<br />
• Malimbikizo ya wadaiwa na wadai yenye thamani ya<br />
Sh.24,358,217 na Sh.118,329,479 kwa mtiririko<br />
huo.Pia mchanganuo wa umri wa wadaiwa na wadai<br />
kiasi cha haukutolewa Sh.80,544,705<br />
• Malipo ya miaka ya nyuma Sh.18,661,256<br />
• Maduhuli yaliyo kusanywa hayakuthbitishwa<br />
kukusanywa na hayakupelekwa benki na mtunza<br />
fedha mkuu Sh.6,845,250<br />
• Malipo ya kodi ya mishahara hayakuambatanishwa na<br />
majedwali ya makato Sh.38,268,895.<br />
36. Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero<br />
• Vifaa vilivyonunuliwa bila kupata michanganuo ya<br />
ushindani wa bei Sh.21,236,000<br />
• Manunuzi ya vifaa na huduma kutoka kwa<br />
wasambazaji na watoa huduma wasio idhinishwa<br />
Sh.35,031,070<br />
• Utoaji wa vifaa usiokuwa na saini ya mwombaji<br />
Sh.19,135,969<br />
• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.20,695,569<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
64
• Umri wa wadaiwa haukuonyeshwa Sh.12,270,040<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.18,048,000<br />
hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />
• Masuala ya ulinganisho wa kibenki ya muda mrefu<br />
yakiwemo fedha ambayo haijaingizwa katika vitabu<br />
vya Halmashauri Sh.10,581,945 na malipo<br />
yaliyofanywa na benki lakini hayamo kwenye daftari<br />
la fedha Sh.2,661,500 bado hayajashughulikiwa.<br />
• Malipo ya mishahara yaliyofanywa kwa watumishi<br />
waliostaafu na waliokufa kupitia Akaunti zao za<br />
benki bila uongozi wa Halmashauri kugundua<br />
Sh.9,283,798.<br />
37. Halimashauri ya Wilaya ya Shinyanga<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh. 11,691,961<br />
hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />
• Taarifa Jumuifu ya Mapato na Matumizi<br />
haikutayarishwa kulingana na maelekezo<br />
yaliyotolewa.<br />
• Vitabu ishirini (20) vya kukusanyia maduhuli<br />
havikupatikana.<br />
• Matengenezo ya magari ya Halmashauri yaliyofanywa<br />
bila idhini na kibali toka TEMESA Sh.19,141,500.<br />
• Kukosekana kwa michanganuo ya Wadaiwa Sh.<br />
68,866,006 na na Wadai Sh.244,608,639.<br />
38. Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.28,644,946<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh. 18,674,770<br />
hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />
• Malipo yasiyothibitishwa kupokelewa na walipwaji<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
65
Sh.23,176,000.<br />
• Uhamishaji wa kiasi cha Sh.11,720,412 kutoka<br />
Akaunti za Maendeleo, Menejimenti Shirikishi ya<br />
Utunzaji wa Misitu (PFM) na Ujenzi kwa ajili ya<br />
matumizi ya kawaida bila idhini ya Waheshimiwa<br />
Madiwani.<br />
• Fedha zilizoingizwa moja kwa moja katika<br />
Akaunti ya MSD hazikuonyeshwa katika vitabu vya<br />
Halmashauri Sh.94,670,771.<br />
• Malipo ya manunuzi ya bidhaa na huduma bila<br />
kutengewa bajeti na kutokuwa na nyaraka za<br />
manunuzi Sh.8,566,259.<br />
• Matumizi yaliyozidi makisio ya bajeti<br />
Sh.194,804,613.<br />
• Malipo ya mishahara yaliyofanywa kwa watumishi<br />
wasiojulikana kupitia Akaunti zao za benki bila<br />
uongozi wa Halmashauri kugundua Sh.13,096,434.<br />
• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.16,920,700<br />
• Manunuzi bila idhini ya Bodi ya Zabuni na<br />
ushindanishi wa bei Sh.4,214,430.<br />
• Matumizi ya maendeleo yameonyeshwa kama<br />
matumizi ya kawaida na ya muda mfupi<br />
Sh.745,527,024.<br />
39. Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha<br />
• Vifaa vyenye thamani ya Sh.28,096,264<br />
vilivyotolewa toka Stoo Kuu kwenda kwenye Idara<br />
mbalimbali matumizi yake hayakuonyeshwa kwa<br />
wakaguzi.<br />
• Mikataba na Hati za Mhandisi yenye thamani ya<br />
Sh.26,651,202 haikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili<br />
ya kuhakikiwa.<br />
• Vitabu ishirini na nane (28) vya kukusanyia<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
66
maduhuli vilivyo gawiwa kwa wakusanyaji<br />
maduhuli havikupatikana.<br />
• Michango ya muda mrefu kwa taasisi mbalimbali<br />
ya kiasi cha Sh.38,504,861 haikuonyeshwa<br />
kwenye Taarifa ya Mizania hivyo wadai<br />
wameonyeshwa pungufu kwa kiasi hicho.<br />
• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.274,223<br />
• Madai ya mwaka uliopita wa 2006/2007 kiasi cha<br />
Sh.26,249,600 yamelipwa katika mwaka huu wa<br />
fedha bila kuwemo katika makadirio ya bajeti.<br />
• Mtiririko wa fedha kwa ajili ya shughuli za<br />
uwekezaji wa kiasi cha Sh.405,548,201<br />
umeonyeshwa katika Taarifa ya Mtiririko wa<br />
Fedha bila kuwa na maelezo<br />
• Mtiririko wa fedha kwa ajili ya masuala ya<br />
mapato wa kiasi cha Sh.24,013,506 umeonyeshwa<br />
katika Taarifa ya Mtiririko wa Fedha bila kuwa na<br />
maelezo ya kutosha.<br />
40. Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji<br />
• Kuna tofauti ya kiasi cha Sh.33,969,896 kati ya<br />
kumbukumbu katika leja ya mafuta na Taarifa ya<br />
Mapato na Matumizi kuhusu manunuzi ya mafuta<br />
pia kuna kutokuwepo kwa ulinganifu kati ya Idara<br />
zinazotoa na kupokea mafuta.<br />
• Matumizi ya Lita 68,597 za mafuta zenye thamani<br />
ya Sh.107,904,481 hayakuweza kuhakikiwa kwa<br />
kukosekana kwa vitabu vya kumbukumbu za<br />
matumizi ya magari za kila siku.<br />
• Manunuzi ya thamani ya Sh.9,978,000<br />
yamefanyika bila kufuata taratibu za ushindani<br />
wa zabuni.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
67
• Kiasi cha Sh.30,909,461 kimekusanywa bila kuwa<br />
na uthibitisho wa mapokezi au nyaraka za<br />
upelekaji fedha benki.<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.4,271,979<br />
hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />
• Nyaraka za upelekaji fedha benki za makusanyo<br />
ya mapato ya ndani kiasi cha Sh.14,223,930<br />
hazikuweza kupatikana.<br />
• Matumizi yaliyofanywa bila kuwepo katika bajeti<br />
Sh.98,050,323.<br />
• Kukosekana kwa maelezo ya matumizi ya fedha<br />
Sh.16,000,000<br />
41. Halmashauri ya Wilaya ya Meru<br />
• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.25,225,400<br />
• Bidhaa zilizoagizwa na kulipiwa zimepokelewa<br />
pungufu Sh.1,800,000<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.8,437,371<br />
hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.24,111,594<br />
• Malipo kwa walipwaji mbalimbali<br />
hayakuthibitishwa kupokelewa Sh.243,609,944<br />
• Malipo ya posho yenye shaka Sh.8,065,000<br />
• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />
vitabu vya Halmashauri Sh.122,360,826<br />
• Thamani ya magari nane(8) haikuonyeshwa<br />
kwenye Taarifa za Fedha za Halmashauri<br />
• Kutotayarishwa kwa Rejista ya Madeni<br />
• Kukosekana kwa Sera ya achambuaji na uzuiaji wa<br />
madhara na majanga mbalimbali.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
68
42. Halmashauri ya Manispaa ya Ilala<br />
• Taarifa ya Mapato na Matumizi na Taarifa ya<br />
Matumizi ya Miradi ya Maendeleo zimeonyesha<br />
upungufu wa Sh.567,342,760.<br />
• Malipo ya ziada kwa mkandarasi bila kibali haali<br />
cha nyongeza Sh.12,186,000<br />
• Malipo ya ziada kwa Makandarasi bila idhini ya<br />
Bodi ya Zabuni Sh.90,670,243<br />
• Maduhuli yaliyo kusanywa toka kwenye vyanzo<br />
vya mapato vya vyoo vya kulipia na ushuru wa<br />
masoko hayakuthibitishwa kupelekwa<br />
Halmashauri Sh.81,720,000.<br />
• Fidia ya ucheweleshaji wa ujenzi haikukatwa toka<br />
kwa makandarasi waliochelewa kumaliza kazi<br />
kulinana na mikataba Sh.194,768,696.<br />
• Mishahara isiyolipwa inayohusu watumishi<br />
waliostaafu, kufariki na kuacha kazi<br />
Sh.49,710,048.<br />
43. Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa<br />
• Manunuzi bidhaa na huduma yaliyofanywa bila<br />
kuzingatia mpango wa manunuzi wa mwaka<br />
Sh.5,770,000<br />
• Manunuzi ya vifaa na huduma kutoka kwa<br />
wasambazaji na watoa huduma wasio idhinishwa<br />
Sh.29,139,880<br />
• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.5,452,000<br />
hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.229,490,107<br />
• Malipo ya miaka ya nyuma Sh.5,822,076.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
69
• Matengenezo ya magari yaliyofanywa kwenye<br />
gereji mbalimbali bila kufuata taratibu<br />
zinazotakiwa Sh.34,036,287<br />
• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.<br />
6,590,765<br />
• Uwekezaji wa Sh. 9,100,000 umilikaji wake<br />
haukuweza kuthibitika kwa kukosekana kwa<br />
nyaraka za uwekezaji<br />
• Fedha taslim benki zimeonyeshwa pungufu kwa<br />
kiasi cha Sh.1,674,112 hivyo mali za muda mfupi<br />
pia zimeonyeshwa pungufu kwa kiasi hicho.<br />
44. Halmashauri ya Manispaa ya Temeke<br />
• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina<br />
Sh.17,520,194<br />
• Malipo ya ziada kwa miradi isiyokamilika<br />
Sh.12,992,603<br />
• Taarifa ya mtiririko halisi wa fedha ilionyeshwa<br />
zaidi kwa Sh.11,272,000<br />
• Manunuzi yaliyofanywa bila kufuata mpango wa<br />
manunuzi wa mwaka Sh.278,325,007<br />
• Wadai wasioonyeshwa katika Taarifa za Hesabu za<br />
mwaka Sh.57,371,432<br />
• Kiasi kilichoonyeshwa kwenye Daftari la Fedha<br />
hakimo kwenye taarifa za benki Sh.139,227,395<br />
• Kiasi cha mali kilichooneshwa zaidi katika Mizania<br />
Sh.90,903,343<br />
• Malipo kwa mlipwaji asiyejulikana kwa kutumia<br />
hundi iliyo chacha Sh.42,621,500<br />
• Mali za kudumu zisizokuwepo zimeonyeshwa<br />
kwenye Mizania Sh.57,000,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
70
• Ada za mabango ya matangazo na majengo<br />
hazikuonyeshwa kwenye vitabu vya Halmahauri<br />
Sh.405,874,022.<br />
45. Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba<br />
• Manunuzi ya thamani ya Sh.4,300,000<br />
yamefanyika bila kutafuta nukuu za bei za<br />
ushindani.<br />
• Maduhuli toka kwa mawakala wa ukusanyaji<br />
hayakuwasilishwa Halmashauri Sh.6,000,000<br />
• Fedha zilizotumika kutoka Mfuko wa pamoja<br />
hazikutolewa maelezo Sh.16,042,000<br />
• Fedha zilizokopwa kutoka Kapu la fedha la huduma<br />
ya afya kwa matumizi ya Akaunti ya Afya bado<br />
kurejeshwa Sh.4,737,000<br />
• Matengenezo ya magari yaliyolipiwa toka Akaunti ya<br />
Amana bila kuwepo kwa fungu hilo katika Akaunti hiyo<br />
Sh.2,000,000<br />
• Ripoti ya ukaguzi kuhusu kazi za kukarabati matenki<br />
ya maji haikutolewa Sh.64,346,180<br />
• Mali za muda mrefu zenye thamani ya<br />
Sh.266,576,250 hazikuonyeshwa katika Rejista ya<br />
mali za kudumu.<br />
46. Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino<br />
• Bakaa ya bidhaa na vifaa haikuonyeshwa kwenye<br />
Mizania Jumuifu<br />
• Taarifa ya kuonyesha mapato na matumizi kwa<br />
kila kifungu na Urari hazikutayarishwa.<br />
• Gharama za uchakavu hazikuthibitishwa<br />
Sh.44,383,893<br />
• Malipo hayakuingizwa katika daftari la fedha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
71
Sh.331,122,302<br />
• Madeni ya muda mfupi hayakuonyeshwa kwenye<br />
taarifa za fedha Sh.575, 439,167<br />
• Magari na pikipiki zilizo kwisha lipiwa bado<br />
kuletwa Sh.152,400,000.<br />
• Manunuzi ya vifaa kutoka kwa wasambazaji wasio<br />
idhinishwa Sh.7,818,400.<br />
• Manunuzi yaliyofanywa bila kufuata taratibu za<br />
ushindani Sh.12,570,000.<br />
• Gharama ya madawa na vifaa tiba toka MSD<br />
hazikuonyeshwa kwenye vitabu vya Halmashauri<br />
Sh.76,281,694.<br />
• Hati za malipo za Akaunti ya Maendeleo zenye<br />
thamani ya Sh.65,006,033 hazikupatikana wakati<br />
wa ukaguzi.<br />
47. Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe<br />
• Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />
maendeleo haikuletwa pamoja na Taarifa za<br />
Fedha za mwisho wa mwaka.<br />
• Maelezo ya kutosha kuhusu ufafanuzi wa masuala<br />
mbalimbali katika Taarifa za Fedha za mwisho wa<br />
mwaka hayakutolewa.<br />
• Matokeo ya utekelezaji wa bajeti ya Maduhuli na<br />
Matumizi katika mwaka huu wa fedha hauridhishi.<br />
Katika kulinganisha makisio ya maduhuli na<br />
makusanyo halisi kuna upungufu wa hadi asilimia<br />
ishirini na nane (28%). Kwa upande mwingine,<br />
matumizi yaliyofanywa kuhusu gharama za<br />
mitihani ya shule za msingi kiasi cha<br />
Sh.133,123,975(Kulingana na ukaguzi)<br />
ukilinganisha na makisio ya bajeti ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
72
Sh.109,998,000 kupelekea kuwa na nyongeza ya<br />
matumizi ya Sh.23,125,975 au asilimia ishirini na<br />
moja (21%). Menejimenti inatakiwa kuzingatia<br />
vifungu Na.42 na 49 vya Memoranda ya Fedha<br />
kuhusu usimamizi wa bajeti.<br />
• Japokuwa Halmashauri inategemea ruzuku toka<br />
Serikalini kwa asilimia tisini na tisa (99%) ,<br />
Halmashauri imeshindwa kukusanya madeni ya<br />
Sh.169,332,308 ikimaanisha kwamba hakuna sera<br />
madhubuti ya ukusanyaji wa madeni na vilevile<br />
urejeshwaji wa masurufu na karadha ya<br />
mishahara.<br />
• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />
vitabu vya Halmashauri Sh.224,243,111<br />
• Vitabu 170 vikiwemo 66 vya wazi (HW5) na 104<br />
vya ushuru wa masoko vyenye thamani ya<br />
Sh.1,040,000 vya kukusanyia maduhuli vilivyo<br />
gawiwa kwa wakusanyaji maduhuli<br />
havikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />
• Matumizi yasiyo na hati za malipo Sh.3,100,000 na<br />
yenye nyaraka pungufu Sh.17,331,450<br />
• Fidia ya kodi ya Sh.21,000,000 haikulipwa kwa<br />
Mamlaka ya Mji mdogo wa Mombo.<br />
• Vifaa vilivyonunuliwa vyenye thamani ya<br />
Sh.8,671,650 havikuingizwa vitabuni kinyume na<br />
Kifungu Na.223 cha Memoranda ya Fedha ya<br />
mwaka 1997.<br />
• Ukaguzi umeshindwa kuthibitisha mapokezi na<br />
matumizi ya vifaa vilivyonunuliwa vya thamani ya<br />
Sh.19,107,200 kwa kukosekana kwa nukuu za leja,<br />
nyaraka za mapokezi na vifaa vyenyewe.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
73
• Majedwali na taarifa za ulinganisho wa benki kwa<br />
Akaunti tano (5) hazikupatikana.<br />
48. Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto<br />
• Mabomba yenye thamani ya Sh.4,175,000<br />
yaliyonunuliwa katika mwaka huu wa fedha<br />
hayakuingizwa vatabuni.<br />
• Malipo ya matengenezo ya magari ambayo<br />
hayakufaniwa ukaguzi na Mhandisi mitambo kabla na<br />
baada ya matengenezo Sh.17,413,800<br />
• Vifaa vilivyonunuliwa havikuingizwa vitabuni<br />
Sh.15,512,850<br />
• Mafuta ya magari yaliyonunuliwa toka kwa<br />
wasambazaji wasioidhinishwa Sh.80,872,649<br />
• Vifaa vilivyonunuliwa viliingizwa vitabuni kabla<br />
havijaletwa Halmashauri Sh.10,863,500<br />
• Vitabu mia moja na arobaini na tano (145) vya<br />
kukusanyia maduhuli havikupatikana.<br />
• Uingizwaji vitabuni wa maduhuli ya kiasi cha<br />
Sh.36,520,880 yaliyokusanywa katika mwaka<br />
husika haukuweza kuthibitishwa.<br />
• Maduhuli yaliyokusanywa na kuingizwa vitabuni<br />
mapokezi yake hayakuweza kuthibitishwa kwa<br />
kukosekana uthibitisho wa mapokezi Sh.65,120,275<br />
• Matumizi yasiyo na hati za malipo Sh.83,811,074 na<br />
yenye nyaraka pungufu Sh.515,134,358.<br />
• Mizania Jumuifu imeonyeshwa pungufu kwa kiasi cha<br />
Sh.5,126,010 kwa sababu ya kutokuonyesha bakaa<br />
ya vifaa inayohusu Idara ya Afya ya Sh.94,268,330<br />
iliyomo katika Taarifa ya Urari badala ya kiasi<br />
halisi cha Sh.99,394,340.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
74
49. Halmashauri ya Wilaya ya Muheza<br />
• Manunuzi ya kadi za wagonjwa wa nje<br />
hayakuidhinishwa na Bodi ya Zabuni<br />
Sh.12,000,000<br />
• Vyakula vilivyoletwa pungufu kwenye kituo cha<br />
afya cha Mkuzi Sh.4,235,500<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.40,585,940<br />
• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />
vitabu vya Halmashauri Sh.141,208,854<br />
• Umri wa wadaiwa kiasi cha Sh.170,445,604<br />
haujaonyeshwa.<br />
50. Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi<br />
• Hakuna uthibitisho wa mapokezi na matumizi ya<br />
vifaa vilivyonunuliwa Sh.76,685,400<br />
• Vifaa vilivyonunuliwa vyenye thamani ya<br />
Sh.12,686,600 havikuingizwa vitabuni<br />
• Matumizi yasiyo na hati za malipo Sh.52,719,312<br />
• Matumizi ya miaka ya nyuma yaliyolipwa mwaka<br />
huu wa fedha Sh.19,085,360<br />
• Kiasi cha Sh.46,367,011 kilichowekwa kwenye<br />
Akaunti ya Amana kwa ajili ya malipo ya posho za<br />
waalimu zimetumika kwa malipo mengine.<br />
• Mali za kudumu za maendeleo zimeonyeshwa<br />
pungufu katika Taarifa ya Mizania Sh.889,394,447<br />
• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />
vitabu vya Halmashauri Sh.45,745,500<br />
51. Halmashauri ya Mji wa Korogwe<br />
• Vifaa vilivyo agizwa na kulipiwa havikuingizwa<br />
vitabuni Sh.10,814,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
75
• Kumbukumbu za matumizi ya mafuta ya magari<br />
yenye thamani ya Sh.15,845,246 hazikutolewa<br />
kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />
• Taarifa ya tathmini ya fidia ya viwanja kiasi cha<br />
Sh.8,589,071 haikutolewa kwa wakaguzi kwa ajili<br />
ya uhakiki.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.18,211,000<br />
• Jedwali la mali za kudumu zenye thamani ya<br />
Sh.502,048,799 zilizoonyeshwa kwenye Mizania<br />
halikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />
• Vitabu vitatu (3) vya kukusanyia maduhuli<br />
havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />
• Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />
maendeleo haikutayarishwa na kuletwa kwa<br />
wakaguzi .<br />
52. Halmashauri ya Wilaya ya Liwale<br />
• Manunuzi ya Sh.9,833,650 yamefanywa bila<br />
kuzingatia mpango wa manunuzi wa mwaka<br />
ulioidhinishwa.<br />
• Vifaa vilivyo nunuliwa havikuingizwa vitabuni<br />
Sh.5,380,600<br />
• Malipo kwa ajili manunuzi ya bidhaa yamefanywa<br />
kwenye Akaunti aya mtu binafsi badal ya kampuni<br />
ya biashara Sh.31,000,000<br />
• Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo<br />
Sh.20,191,052.<br />
• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.206,663,575.<br />
• Kuonyeshwa zaidi kwa mapato jumuifu<br />
Sh.25,401,418<br />
• Kuonyeshwa zaidi kwa matumizi Sh.117,148,012<br />
• Kiasi cha mapato ya ndani, ruzuku na fedha za<br />
wahisani ni Sh.5,765,772 badala ya 5,790,487,189<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
76
zilizoonyeshwa kwenye Taarifa ya Mtiririko Halisi<br />
wa Fedha.<br />
• Kiasi cha majengo, mitambo na mashine ni<br />
Sh.423,164,754 badala ya 410,964,754<br />
kilichoonyeshwa kwenye Taarifa ya Mtiririko<br />
Halisi wa Fedha.<br />
53. Halimashauri ya Wilaya ya Bariadi<br />
• Masuala yasiyo suluhishwa katika taarifa za<br />
ulinganisho za benki<br />
- Mapato bado kuingia vitabuni Sh.7,165,000<br />
- Makato yaliyofanywa na benki lakini hayamo kwenye<br />
Daftari la Fedha Sh.133,748,635<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa mtiririko wa fedha<br />
zinazotokana na uwekezaji Sh.2,892,538,829.<br />
54. Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe<br />
• Taarifa Jumuifu ya Mapato na Matumizi<br />
haikutayarishwa kulingana na utaratibu<br />
unaotakiwa. Taarifa hiyo imeonyesha jedwali<br />
lenye maelezo mbalimbali yasiyo hitajika<br />
kuchapishwa kama Taarifa za Fedha za<br />
Halmashauri. Tarakimu za ulinganishi<br />
hazikuonyeshwa na wala tarakimu nyingine hazina<br />
maelezo.<br />
• Taarifa Jumuifu ya Mapato na Matumizi<br />
inaonyesha ziada ya matumizi ya Sh.683,761,201.<br />
• Matengenezo ya magari ya Halmashauri ya kiasi<br />
cha Sh.44,724,922 yameidhinishwa bila kupitia<br />
TEMESA.<br />
55. Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe<br />
• Maduhuli toka kwa mawakala wa ukusanyaji<br />
hayakuwasilishwa Halmashauri Sh.106,508,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
77
• Vitabu arobaini (40) vya kukusanyia maduhuli<br />
havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />
• Halmashauri haikutayarisha Taarifa ya mapato na<br />
matumizi ya miradi ya maendeleo.<br />
• Manunuzi ya vifaa vya maji vyenye thamani ya<br />
Sh.29,923,400 yamevuka kiasi manunuzi<br />
kinachotakiwa kufanywa na Afisa Masuuli.<br />
• Halmashauri haikutayarisha Taarifa ya ulinganisho<br />
wa benki,<br />
• Matumizi yaliyofanywa bila kuwa na fungu la makisio<br />
katika bajeti Sh.4,242,265.<br />
56. Halmashauri ya Jiji la Mwanza<br />
• Makubaliano ya kazi za ziada na hati ya<br />
uthibitisho ya mhandisi kwa kazi za nyongeza<br />
kuhusu ujenzi wa baraza ya ndani katika Ofisi kuu ya<br />
Halmashauri ya jiji la Mwanza havikuweza kuletwa<br />
kwa wakaguzi kwa uhakiki Sh.8,646,000.<br />
• Vitabu viwili (2) vya kukusanyia ushuru wa jumla<br />
na vile sita(6) vya ushuru wa majengo<br />
havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />
• Taarifa ya ushuru wa huduma kiasi cha<br />
Sh.1,144,363,800 haikutayarishwa.<br />
• Hundi zilizo chacha zenye thamani ya<br />
Sh.2,010,697 hazikuinizwa vitabuni.<br />
• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh. 41,168,900<br />
• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina<br />
Sh.22,151,251<br />
• Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />
maendeleo haikutayarishwa na kuletwa kwa<br />
wakaguzi.<br />
57. Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro<br />
• Kiasi kilichotumika kwa matumizi ya miradi na<br />
kazi za maendeleo kimeonyeshwa kama matumizi<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
78
ya kawaida Sh.453,954,092<br />
• Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />
maendeleo haikutayarishwa na kuletwa pamoja<br />
na Taarifa za Fedha.<br />
• Masurufu ya Sh.49,920,055 na karadha za<br />
mishahara Sh.6,694,782 bado kurejeshwa.<br />
• Halmashauri inadaiwa kiasi cha Sh.129,015,734 na<br />
wadai mbalimbali. Pia wadaiwa wa kiasi cha<br />
Sh.85,511,272 umri wao haukuonyeshwa.<br />
• Kiasi cha Sh.41,117,076 kimekopwa toka Akaunti ya<br />
Amana na kutumika kwa matumizi ya kawaida bila<br />
idhini.<br />
• Gari lenye thamani ya Sh.66,875,000 lililoagizwa na<br />
kulipiwa tokea mwezi Disemba 2007 bado kuletwa.<br />
• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />
vitabu vya Halmashauri Sh.21,870,533<br />
• Upelekaji benki wa maduhuli yaliyokusanywa<br />
ulikuwa haufanyiki kila siku kwani ukaguzi umebaini<br />
kuwa maduhuli yaliyokusanywa kati ya kipindi cha<br />
tarehe 4 Machi, 2008 hadi tarehe 8 Septemba, 2008<br />
hayakupelekwa benki kwa muda wa kati ya siku<br />
ishirini na moja(21) hadi siku sitini na tano(65).<br />
58. Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu<br />
• Manunuzi ya kompyuta yasiofuata taratibu za<br />
ushindani Sh.1,900,000<br />
• Malipo ya ziada kwa mkataba Sh.4,447,325.<br />
• Mkandarasi anayejenga jengo la utawala la<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu amelipwa<br />
zaidi Sh.4,447,325<br />
• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.12,282,600<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
79
• Mali za kudumu zenye thamani ya<br />
Sh.1,182,431,838 zilizohamishiwa toka<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi hazikuingizwa<br />
vitabuni.<br />
59. Halmashauri ya Wilaya ya Lindi<br />
• Kitabu kimoja(1) cha kukusanyia maduhuli<br />
hakikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />
• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.1,900,000<br />
• Manunuzi yaliyofanywa bila kuzingatia mpango wa<br />
manunuzi ulioidhinishwa.<br />
• Fidia/tozo ya ucheweleshaji wa ujenzi haikukatwa<br />
toka kwa malipo ya mkandarasi Sh.4,852,492<br />
• Matumizi ya miaka ya nyuma yaliyolipwa katika<br />
mwaka huu wa fedha Sh.2,172,360.<br />
60. Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga<br />
• Malipo yasiyokuwa na viambatanisho vya matumizi<br />
kama vile ankara,kumbukumbu za kupokelea<br />
mali,orodha za walipwaji Sh.209,035,119<br />
• Vifaa vya ujenzi vilivyonunuliwa kwa kutumia<br />
masurufu maalum vimegawiwa kwa maafisa wa<br />
Halmashauri Sh.70,928,495<br />
• Hati za malipo zilizokesekana Sh.423,558,449<br />
• Manunuzi yaliyofanywa bila kufuata taratibu<br />
zinazotakiwa Sh.47,965,240<br />
• Masurufu yaliyotolewa kwa watumishi wa<br />
Halmashauri na taasisi nyingine bado kurejeshwa<br />
Sh.17,359,350<br />
• Kumbukumbu za matumizi ya vifaa<br />
vilivyonunuliwa hazikuweza kuthibitishwa<br />
Sh.46,888,636<br />
• Manunuzi yaliyofanywa bila nukuu za bei<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
80
Sh.11,448,000<br />
• Malipo ya mishahara yasiyoambatanishwa na<br />
mchanganuo wa kompyuta Sh.139,886,671<br />
• Vitabu ishirini na tano (25) vya kukusanyia<br />
maduhuli havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya<br />
uhakiki.<br />
61. Halmashauri ya Wilaya ya Ileje<br />
• Hati za malipo zilikosekana Sh.54,338,939<br />
• Vitabu ishirini na tano (25) vya kukusanyia<br />
maduhuli havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya<br />
uhakiki.<br />
• Maduhuli ya kiasi cha Sh.2,393,740 hayakuingizwa<br />
kwenye vitabu vya Halmashauri.<br />
• Magari saba (7) ya Halmashauri hayakuingizwa<br />
kwenye jedwali la mali za kudumu.<br />
• Magari na pikipiki zenye thamani ya<br />
Sh.192,154,166 havikuweza kuonekana katika<br />
eneo la ofisi za Halmashauri wala kuelezwa na<br />
menejimenti mahali zilipo.<br />
• Vifungu vya matumizi kiasi cha Sh.21,231,250<br />
havikuonyeshwa kwenye Taarifa za Fedha za<br />
Halmashauri.<br />
• Ongezeko la mali za muda mfupi zilizoonyeshwa<br />
kwenye taarifa ya mtiririko halisi wa fedha<br />
zimeongezwa kwa kiasi cha Sh.22,608,290<br />
• Bakaa ya fedha za maendeleo kwenye Mizaniaya<br />
Sh.23,240,218 imeonyeshwa pungufu kwa kiasi<br />
cha Sh.108,380,848.<br />
3.4 Mchakato wa Utayarishaji wa Taarifa za Fedha<br />
3.4.1 Utangulizi<br />
Mambo muhimu katika mfumo wowote wa utawala bora na<br />
uwajibikaji katika Sekta ya Umma zikiwemo Serikali za<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
81
Mitaa ni utayarishaji wa Taarifa za Fedha kulingana na<br />
Viwango vya Uhasibu vya Kimataifa vinavyoeleweka na<br />
kukubalika.<br />
Taarifa za Fedha ni muhimu katika kuonyesha ni vipi na<br />
kwa kiasi gani sekta ya Umma katika ngazi ya Taasisi<br />
mojamoja na Serikali yote kwa ujumla zinatimiza<br />
majukumu yao katika usimamizi wa masuala ya fedha.<br />
Mabadiliko ya hivi karibuni yameongeza mbinyo katika<br />
ratiba ya utayarishaji wa taarifa za fedha, kutumia kwa<br />
ukamilifu Viwango vya Kimatafia vya Ripoti ya Fedha (IFRS),<br />
Viwango vya Kimatafia vya Uhasibu katika Sekta ya Umma<br />
(IPSAs) na takwimu za Serikali katika masuala ya fedha<br />
(GFS) zinazotumiwa kutayarisha mchakato wa matumizi ya<br />
muda mfupi (MTEF).<br />
Mabadiliko haya ni miongoni mwa mambo muhimu<br />
yanayotambulika ulimwenguni yanayohitaji uimarishwaji wa<br />
usimamizi wa fedha na ubora wa taarifa za fedha kwenye<br />
sekta ya umma na sekta binafsi.<br />
Taaluma ya uhasibu nchini Tanzania, kwa kuungwa mkono<br />
na Serikali imefanya uamuzi mzito wa kutumia kwa<br />
ukamilifu Viwango vya Kimatafia vya Ripoti ya Fedha (IFRS)<br />
kuanzia 1 Julai, 2004. Agizo Na. 57 (iii) la Memoranda ya<br />
Fedha ya Serikali za mtaa ya mwaka 1997 linazitaka<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa kutayarisha hesabu kwa msingi<br />
wa limbikizo au ongezeko. Kwa hiyo ina maana kwamba<br />
taarifa za fedha za mamlaka za serikali za Mitaa hazina<br />
budi kutayarishwa kwa mujibu wa viwango kubalifu vya<br />
Kimataifa vya utayarishaji hesabu katika sekta ya umma<br />
vinavyoonyesha na kurekodi mapato katika vitabu vya fedha<br />
kabla fedha hazijapokelewa (Accrual basis).<br />
Katika ukaguzi huu tumebaini kuwa uwezo wa Halmashauri<br />
katika utayarishaji wa hesabu na taarifa zao za fedha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
82
kulingana na muda uliowekwa, kisheria na kisera<br />
unatofautiana kwa kiasi kikubwa.<br />
Kinyume na mahitaji tajwa hapo juu, ukaguzi wa taarifa za<br />
fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa katika mwaka<br />
2007/2008 ulibaini mapungufu na kuwepo mtiririko tofauti<br />
wa utayarishaji wa taarifa za fedha hali iliyochangia<br />
kuwapotosha wasomaji wa taarifa hizo.<br />
3.4.2 Utayarishaji na uwasilishaji wa taarifa za fedha toka<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
Memoranda ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />
(1997) inatoa jukumu kwa Menejimenti ya Halmashauri<br />
kutayarisha taarifa za fedha kwa kutumia kanuni kubalifu<br />
za Uhasibu na kuziwasilisha kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu<br />
wa Hesabu za Serikali kupitia Kamati ya Fedha katika<br />
kipindi cha miezi mitatu mara baada ya kufungwa kwa<br />
mwaka wa fedha (30 Septemba).<br />
Halmashauri zote 133 sawa na asilimia mia moja (100%)<br />
ziliwasilisha taarifa za fedha za mwaka ilipofika 30<br />
Septemba, 2008 kisheria. Hata hivyo Halmashauri 15 kama<br />
zilivyoonyeshwa kwenye jedwali hapa chini ziliondoa<br />
taarifa zao na kuwasilisha taarifa za fedha zilizorekebishwa<br />
kati ya Novemba, 2008 na Februari, 2009 na kuacha<br />
Halmashauri 118 au asilimia themanini na tisa 89%<br />
zikizingatia uwasilishaji wa hesabu kwa mujibu wa Sheria.<br />
Idadi ya Halmashauri zilizoondoa taarifa zao za fedha na<br />
kuwasilisha taarifa zilizorekebishwa zilikuwa 15 katika<br />
mwaka uliopita (2006/2007) na mwaka huu unaofanywa<br />
tathmini (2007/2008) ni 14 kama ifuatavyo:-<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
83
Na. Jina la Halmashauri Tarehe ya kuwasilisha<br />
taarifa za fedha<br />
zilizorekebishwa<br />
1. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Kisarawe<br />
2. Halmashauri ya Mji<br />
wa Kibaha<br />
3. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Mafia<br />
4. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Bagamoyo<br />
5. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Kibaha<br />
6. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Mufindi<br />
7. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Ludewa<br />
8. Halmashauri ya Jiji la<br />
Mwanza<br />
9. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Magu<br />
10. Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Kigoma/Ujiji<br />
11. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Kibondo<br />
12. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Kasulu<br />
24 Disemba 2008<br />
16 Disemba<br />
10 Januari, 2009<br />
24 Disemba, 2008<br />
24 Disemba, 2008<br />
14 Januari, 2009<br />
29 Disemba, 2008<br />
8 Disemba, 2008<br />
13 Februari, 2009<br />
8 Novemba, 2008<br />
26 Novemba, 2008<br />
6 Novemba, 2008<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
84
13. Halmashauri ya Wilaya<br />
ya Mpanda<br />
14. Halmashauri ya<br />
Manispaa ya Kinondoni<br />
24 Novemba, 2008<br />
31 Disemba, 2008<br />
Mtiririko wa taarifa za fedha zilizorekebishwa kwa kipindi cha<br />
miaka mitatu mfululizo<br />
Mwaka wa<br />
Fedha<br />
Idadi ya<br />
Halmashauri<br />
zilizokaguli<br />
wa<br />
Idadi ya<br />
Halmashauri<br />
zilizoleta taarifa<br />
za fedha<br />
zilizorekebishwa<br />
Asilimia<br />
2005/2006 117 8 7<br />
2006/2007 124 15 12<br />
2007/2008 133 14 11<br />
(i)<br />
Kwa ujumla ukaguzi wa taarifa za fedha za<br />
Halmashauri umebaini mapungufu na kuwepo<br />
mtiririko tofauti wa utayarishaji wa taarifa za fedha<br />
kama ifuatavyo:-<br />
Miongozo miwili inayopingana kuhusu utayarishaji<br />
wa Taarifa za Fedha<br />
Katika ukaguzi wetu, tumebaini kuwepo kwa<br />
mwongozo/waraka kutoka kwa mtaalamu wa<br />
masuala ya fedha wa Mpango wa Maboresho wa<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa kanda ya Dar es Salaam<br />
wenye Kumb.Na. 2RT/DSM/FIN/169 wa tarehe 10<br />
Septemba, 2007 ambao unatoa maelekezo yasiyo<br />
sahihi kuhusu utayarishaji wa taarifa za fedha pia<br />
kuonyesha kimakosa kwamba ofisi yangu inahusika na<br />
waraka huo. Pia Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za<br />
Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa Waraka<br />
Kumb.Na. CA.26/307/01 wa tarehe 23 Julai, 2008<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
85
kuhusu taratibu za kufuatwa kuhusu ufungaji na<br />
utayarishaji wa Taarifa za Fedha za Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa.<br />
Miongozo hii miwili inapingana kuhusu yaliyomo,<br />
umbo na mwonekano wa taarifa za fedha<br />
zinavyotakiwa kutayarishwa na Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa. Matokeo yake baadhi ya Halmashauri<br />
taarifa zao za fedha zimepata hati zisizoridhisha<br />
kutokana na kutotayarishwa kulingana na Viwango<br />
kubalifu hivyo kuwapotosha watumiaji wa taarifa<br />
hizo.<br />
(ii)<br />
Kufuata Viwango kubalifu katika utayarishaji wa<br />
taarifa za fedha<br />
Karibu Mamlaka zote za serikali za Mitaa<br />
zimetayarisha taarifa zao za fedha kulingana na<br />
sehemu ya IV ya Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa<br />
Na. 9 ya mwaka 1982 (Iliyorekebishwa 2000) na Agizo<br />
Na.53 la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa ya<br />
1997 ambayo ndiyo miongozo inayotumika .<br />
Hata hivyo miongozo hiyo imepitwa na wakati<br />
kutokana na kutangazwa kwa miongozo na viwango<br />
kubalifu vya Kimataifa kama vile “IFRS” na “IPSAS”<br />
ambavyo vilianza kutumika hapa Tanzania tangu<br />
Julai, 2004<br />
Taarifa za fedha zilizoletwa kwa ukaguzi zimekosa<br />
maelezo ya kutosheleza na hazikuwa na mwonekano<br />
unaotakiwa kwa sababu baadhi ya vipengele<br />
havikuonyeshwa kama inavyotakiwa na “IPSAS”<br />
zinazotambua mapato na matumizi pale<br />
yanapojitokeza na sio pale yanapopokelewa au<br />
yanapolipwa –(Accrual Basis) hivyo kuleta ugumu<br />
katika kupima utendaji/utekelezaji na kulinganisha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
86
kati ya kipengele na kipengele na baina ya<br />
Halmashauri na Halmashauri.<br />
Kutokana na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuwa ni<br />
taasisi katika Sekta ya Umma, zinatakiwa kutumia<br />
Viwango vya Kimataifa vya Uhasibu katika Sekta ya<br />
Umma vinavyotambua mapato na matumizi pale<br />
yanapojitokeza (accrual basis).<br />
(iii) Uwasilishaji wa taarifa za fedha usio sahihi<br />
Taarifa za fedha za baadhi ya Halmashauri<br />
ziliwasilishwa bila kuonyesha hesabu linganifu<br />
hali iliyosababisha kushindwa kupata ulinganisho<br />
wenye maana wa mwaka uliopita.<br />
Kwa upande mwingine, taarifa za fedha nyingi<br />
zilizowasilishwa zimekuwa na makosa mengi ya<br />
msingi kama vile salio la kuanzia la mwaka<br />
2007/2008 kuwa tofauti na salio ishia la mwaka<br />
2006/2007 lililosababisha taarifa hizo kupotosha.<br />
(iv)<br />
(v)<br />
Hesabu zenye makosa zimeripotiwa katika taarifa<br />
jumuifu za fedha:<br />
Taarifa nyingi za fedha zilizowasilishwa na Mamlaka<br />
za Serikali za Mitaa kama mapato na matumizi na<br />
taarifa ya mtiririko wa fedha hazikuwa na<br />
majedwali na maelezo ya ufafanuzi. Katika hali<br />
hiyo, taarifa hizi za fedha zimeonekana<br />
kutokamilika.<br />
Utoaji taarifa usiosahihi wa thamani ya uchakavu.<br />
Taarifa za Fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
mbalimbali hazikujumuisha vipengele vya kupunguza<br />
uchakavu.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
87
(vi)<br />
Kutoonyeshwa kwa Rasilimali za Kudumu katika<br />
Mizania<br />
Taarifa za Fedha za Mamlaka nyingi za Serikali za<br />
Mitaa hazikujumuisha rasilimali za kudumu. Aidha<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa nyingi hazikuweka<br />
rejista za rasilimali za kudumu kwa mujibu wa Sheria<br />
na wakati mwingine pale ambapo rejista za rasilimali<br />
za kudumu zipo, hazikuwa za hivi karibuni na<br />
kuhuishwa pale inapobidi.<br />
(vii) Utoaji taarifa usiofaa na usiolingana na sera za<br />
utunzaji hesabu<br />
Agizo Na. 57 la Memoranda ya Fedha ya Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa (1997) linazitaka Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa kueleza sera za utunzaji hesabu<br />
walizotumia katika utayarishaji wa taarifa za fedha.<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa nyingi zilizotoa taarifa<br />
zimekiuka agizo hili.<br />
(viii) Utoaji taarifa zenye makosa za salio la fedha Benki<br />
Katika baadhi ya matukio, mizania za mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa zimeonyesha madeni katika akaunti<br />
za benki hali iliyoashiria kuwa Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa zimetumia fedha zaidi ya walizoweka benki<br />
kinyume na Agizo Na.156 la Memoranda ya Fedha ya<br />
Serikali za Mtaa (1997).<br />
(ix) Kutoonyeshwa kwa masurufu yasiyorejeshwa<br />
katika Taarifa za Fedha<br />
Baadhi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa zimekuwa na<br />
kiasi kikubwa cha masurufu yasiyorudishwa lakini<br />
hayakuonyeshwa katika Mizania hivyo masurufu<br />
yameonyeshwa pungufu.<br />
(x) Kuonyesha kwa makosa matumizi ya<br />
mtaji/maendeleo kama matumizi ya kawaida<br />
Wakati mwingine, matumizi ya mtaji yaliyofanywa<br />
na Mamlaka za Serikali za Mitaa yalifanywa kuwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
88
Matumizi ya kawaida kwa makosa. Kwa hali hiyo,<br />
matumizi ya kawaida yaliongezwa na matokeo yake<br />
ni kwamba ziada zilizoripotiwa zilikuwa pungufu.<br />
(xi)<br />
Hesabu za taarifa za mtiririko halisi wa fedha<br />
Katika taarifa nyingi za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa zilizokaguliwa, hesabu zilizoripotiwa katika<br />
taarifa za mtiririko halisi wa fedha hazikulinganishwa<br />
na hesabu katika Mizania ya hesabu na hivyo<br />
kufanya iwe vigumu kueleweka.<br />
(xii) Sera na kanuni zinazotumika katika utayarishaji<br />
wa Taarifa za Fedha<br />
Sera na kanuni zinazotumika katika utayarishaji wa<br />
taarifa za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
zimefuata Viwango, Miongozo, Sheria za Serikali na<br />
Kanuni mbalimbali Halmashauri zenyewe<br />
zilivyoonyesha baadhi yake ni pamoja na:-<br />
(a) Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa Na. 9 ya<br />
mwaka 1982(Iliyorekebishwa 2000) Vifungu vya<br />
40 na 41(2)<br />
(b) Viwango vya Tanzania kuhusu utayarishaji wa<br />
mahesabu (TSSAP) vilivyotolewa na NBAA.<br />
(c) Mwongozo wa utayarishaji wa mahesabu<br />
Tanzania (TSAGs) uliotolewa na NBAA<br />
(d) Mwongozo wa Uhasibu wa Mamlaka za serikali<br />
za Mitaa (1992) uliotolewa na Ofisi ya Waziri<br />
Mkuu.<br />
(e) Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mtaa (1997).<br />
(f)<br />
Viwango vya Kimataifa vya Ripoti ya Fedha<br />
(IFRS)<br />
(g) Viwango vya Uhasibu vya Tanzania (TFAS)<br />
(h) Sheria ya Fedha za Umma Na. 6 ya mwaka<br />
2001.<br />
(i)<br />
Viwango vya Kimataifa vya Uhasibu (IAS)<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
89
(j)<br />
Viwango vya Kimataifa vya Uhasibu katika Sekta<br />
ya Umma (IPSAS)<br />
Baadhi ya mapungufu yaliyobainika katika taarifa za fedha<br />
Kutokana na tathmini ya sampuli tumebaini mapungufu yafuatayo<br />
katika utayarishaji wa taarifa za fedha za serikali za Mitaa kwa<br />
mwaka 2007/2008:-<br />
Na.<br />
Jina la<br />
Halmashauri<br />
1. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilombero<br />
2. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Hanang<br />
3. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Ileje<br />
4. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mapungufu<br />
• Malimbikizo ya Wadai<br />
yasiyoonyeshwa katika hesabu za<br />
mwaka uliopita.<br />
• Kukosekana Kwa maelezo ya<br />
vipengele katika taarifa za fedha<br />
kinyume Na. 85 la LAFM, 1997.<br />
• Kuongezeka kwa nakisi hadi<br />
Sh.320,143,074 kumeonyeshwa<br />
katika shughuli za ugharamiaji<br />
kwenye taarifa ya mtiririko halisi wa<br />
fedha.<br />
• Matumizi ya mtaji/maendeleo kiasi<br />
cha Sh.761,636,007 yameonyeshwa<br />
kama matumizi ya kawaida badala ya<br />
kuyathaminisha kama mali za<br />
kudumu.<br />
• Ongezeko la mali za muda mfupi<br />
zimeonyeshwa zaidi kwa kiasi cha<br />
Sh.22,608,290<br />
• Kukosekana Kwa maelezo ya<br />
vipengele katika taarifa za fedha<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa ruzuku ya<br />
maendeleo isiyotumika kiasi cha<br />
Sh.108,380,848.<br />
• Wadai hawakuonyeshwa kwenye<br />
taarifa za fedha Sh.7,958,789.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
90
Mbeya • Kuonyeshwa pungufu kwa Wadaiwa<br />
kiasi cha Sh.23,530,380.<br />
5. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbarali<br />
6. Halmashauri ya<br />
Jiji la Mbeya<br />
7. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Rungwe<br />
8. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Morogoro<br />
9. Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Arusha<br />
10. Halmashauri ya<br />
Mji wa Njombe<br />
• Magari yaliyotengwa kwa ajili ya<br />
kuuzwa hayakuonyeshwa katika<br />
taarifa za fedha Sh.105,000,000.<br />
• Kuonyeshwa zaidi kwa Wadaiwa<br />
mbalimbali Sh.2,772,000.<br />
• Matumizi ya maendeleo<br />
yameonyeshwa kama matumizi ya<br />
kawaida Sh.248,211,788.<br />
• Malipo kiasi cha Sh.9,169,746<br />
hayakuonyeshwa katika taarifa za<br />
fedha.<br />
• Kutotayarishwa kwa taarifa ya<br />
matumizi na mapato ya mtaji/miradi<br />
yamaendeleo.<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa matumizi<br />
Shs.5,703,048.<br />
• Kuonyeshwa zaidi kwa bakaa ya<br />
bidhaa Sh.3,114,600.<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa Wadaiwa<br />
kiasi cha Sh.9,088,285.<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa Wadai<br />
kiasi cha Sh.22,179,551.<br />
• Tofauti zilizoonekana katika bakaa<br />
au nakisi.<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa mapato ya<br />
miradi ya maendeleo isiyotumika<br />
Sh.242,322,641.<br />
• Madai ya Waalimu hayakuonyeshwa<br />
kwenye taarifa ya fedha kiasi cha<br />
Sh.33,723,787.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
91
11. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ukerewe<br />
12. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Magu<br />
13. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sengerema<br />
14. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sumbawanga<br />
15. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Mkinga<br />
16. Halmashauri<br />
hya Wilaya ya<br />
Bai<br />
• Kutotayarishwa kwa taarifa ya<br />
matumizi na mapato ya mtaji/miradi<br />
ya maendeleo.<br />
• Uwekezaji kiasi cha Sh.14,332,516<br />
haukuonyeshwa kwenye taarifa za<br />
fedha.<br />
• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />
mtaji/miradi ya maendeleo<br />
imetayarishwa bila na kuwa na<br />
taarifa muhimu kama vile : -<br />
1. Bakaa ya kuanzia ya mwaka.<br />
2. Mapato ya mtaji/miradi ya<br />
maendeleo yaliyopatikana katika<br />
mwaka 2007/2008.<br />
3. Jumla ya mapato ya maendeleo<br />
yasiyotumika hadi kufikia tarehe<br />
30 Juni, 2008 kwa kila mradi.<br />
• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />
mtaji/miradi ya maendeleo<br />
haikutayarishwa.<br />
• Kuonyeshwa zaidi kwa mali za muda<br />
mfupi katika taarifa ya mtiririko<br />
halisi wa fedha Sh.3,578,424 (Mali za<br />
kudumu hazikuonyeshwa kwenye<br />
mizania).<br />
• Kuonyeshwa pungufu Akaunti ya<br />
uchakavu wa mali kwa kiasi cha<br />
Sh.11,270,311 kwa sababu ya<br />
kutumia viwango vya uchakavu<br />
visivyo sahihi.<br />
• Kutoonyeshwa kwa madeni ya muda<br />
mfupi kiasi cha Sh.573,828,765.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
92
17. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpwapwa<br />
18. Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
ya Dodoma<br />
19. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Kondoa<br />
20. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Iringa<br />
21. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Makete<br />
22. Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
ya Bukoba<br />
23. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Ludewa<br />
• Mapato ya mtaji/maendeleo kiasi<br />
cha Sh.240,894,308 toka mwaka<br />
uliopita 2006/2007 hayakuonyeshwa<br />
kwenye Taarifa ya matumizi na<br />
mapato ya mtaji/miradi ya<br />
maendeleo .<br />
• Taarifa jumuifu ya mapato na<br />
matumizi haionyeshi makisio ya<br />
bajeti.<br />
• Kutoonyeshwa kwa bakaa ya bidhaa<br />
katika Mizania<br />
• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />
mtaji/miradi ya maendeleo<br />
haikutayarishwa.<br />
• Wadai wasioonyeshwa kwenye<br />
taarifa za fedha Sh.145,872,027<br />
• Madeni ya Waalimu hayakuonyeshwa<br />
kwenye taarifa ya fedha kiasi cha<br />
Sh.265,805,946<br />
• Madeni yasiyolipwa hayakuonyeshwa<br />
kwenye taarifa ya fedha kiasi cha<br />
Sh.112,198,087<br />
• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />
mtaji/miradi ya maendeleo<br />
haikutayarishwa<br />
ipasavyo.<br />
Haionyeshi miradi inayotekelezwa,<br />
kiasi cha kuanzia, kiasi<br />
kilichopokewa, jumla ya kiasi<br />
kilichopo kwa matumizi, kiasi<br />
kilichotumika na kiasi kisichotumika<br />
kwa kila mradi.<br />
• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />
mtaji/miradi ya maendeleo<br />
haikuonyesha salio la mwaka uliopita<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
93
24. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Kasulu<br />
25. Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
Kigoma Ujiji<br />
26. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Hai<br />
27. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Moshi<br />
28. Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
ya Moshi<br />
29. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Nachingwea<br />
kiasi cha Sh.104,614,781<br />
• Madai ya Waalimu hayakuonyeshwa<br />
kwenye taarifa ya fedha kiasi cha<br />
Sh.74,529,948<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa mishahara<br />
isiyolipwa kwa kiasi cha<br />
Sh.13,744,777<br />
• Madeni kuonyeshwa pungufu kwa<br />
kiasi cha Sh.216,387,852 ( Madai ya<br />
waalimu kutoonyeshwa kwenye<br />
vitabu vya hesabu)<br />
• Madeni kuonyeshwa pungufu kwa<br />
kiasi cha Sh.104,943,364 kwa<br />
sababu ya kutoingiza madini ya<br />
Waalimu katika hesabu.<br />
(Kuonyeshwa pungufu kwa wadai<br />
mbalimbali)<br />
• Wadaiwa hawakuonyeshwa kwenye<br />
Mizania ya hesabu Sh.24,969,917<br />
• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />
mtaji/miradi ya maendeleo<br />
haikutayarishwa na kuletwa pamoja<br />
na taarifa za fedha.<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa nakisi kiasi<br />
cha Sh.349,758,642<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa kwa<br />
gharama za uchakavu wa mali za<br />
muda mrefu kiasi cha Sh.47,216,817<br />
(Hakikuonyeshwa kwenye taarifa za<br />
fedha)<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa mapato ya<br />
vyanzo vya ndani Sh.3,358,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
94
30. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Kisarawe<br />
31. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Simanjiro<br />
32. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
• Maelezo kuhusu tarakimu<br />
zilizoonyeshwa kwenye taarifa ya<br />
mtiririko halisi wa fedha<br />
hayakuletwa kwa ukaguzi.<br />
• Fedha taslimu kuhusu shughuli za<br />
uwekezaji na ugharamiaji<br />
hazikuonyeshwa<br />
Taarifa ya mtiririko halisi wa fedha<br />
haikuonyesha fedha taslimu zilizoingia na<br />
kutoka kuhusu shughuli za uwekezaji na<br />
ugharamiaji japokuwa kuna kiasi cha<br />
Sh.1,631,885,872 kilichoonyeshwa<br />
kutumika kugharamia miradi ya<br />
maendeleo.<br />
• Kiasi cha kuongezeka na kupungua<br />
kwa wadaiwa na wadai<br />
kilichoonyeshwa kwenye Taarifa ya<br />
mtiririko halisi wa fedha<br />
kinatofautiana na kile<br />
kilichokokotolewa na wakaguzi kama<br />
ifuatavyo:<br />
Tofauti<br />
Wadaiwa- Sh.4,856,250<br />
Wadai – Sh.29,982,021<br />
• Matumizi ya mtaji/maendeleo kiasi<br />
cha<br />
Sh.1,876,573,285.50<br />
yameoneshwa kama matumizi ya<br />
kawaida katika taarifa ya mapato na<br />
matumizi badala ya kuonyeshwa<br />
kwenye taarifa ya mapato na<br />
matumizi ya maendeleo hivyo ziada<br />
ya Sh.182,357,048 sio sahihi.<br />
• Fedha ya miradi isiyotumika katika<br />
mwaka uliopita wa 2006/2007 kiasi<br />
cha Sh.24,933,131 hakikuonyeshwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
95
Tandahimba<br />
33. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Handeni<br />
34. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Kilindi<br />
35. Halmashauri<br />
ya Mji wa<br />
Korogwe<br />
36. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Mkuranga<br />
katika mwaka huu wa fedha.<br />
• Wadaiwa hawakufanyiwa usuluhisho<br />
hivyo kupelekea kuwepo kwa tofauti<br />
ya kiasi cha Sh.120,649,908<br />
• Kiasi kisichohakikiwa kuhusu<br />
limbikizo hasi la fedha kwa sababu<br />
ya kukosekana kwa jedwali<br />
Sh.31,497,008<br />
• Kuonyeshwa kimakosa katika taarifa<br />
ya mtiririko halisi wa fedha ongezeko<br />
la Wadaiwa na Malipo kabla kiasi cha<br />
Sh.6,658,860<br />
• Kuonyeshwa kimakosa kupungua<br />
kwa Wadai kulikoonyeshwa kwenye<br />
taarifa ya mtiririko halisi wa fedha<br />
Sh.7,621,593,000<br />
• Kuonyeshwa pungufu kwa mali za<br />
kudumu na muda mrefu kuliko athiri<br />
mizania Sh.889,394,447<br />
• Kutofautiana kwa tarakimu katika<br />
Urari na Taarifa ya mapato na<br />
matumizi.<br />
• Kuonyeshwa zaidi kwa mali za<br />
kudumu kwa kiasi cha<br />
Sh.200,190,193 bila kutolewa<br />
maelezo.<br />
• Mapato ya mtaji yasiyotumika<br />
yameonyeshwa zaidi kwa kiasi<br />
cha Sh.143,976,769.<br />
• Mapato ya mtaji yameonyeshwa<br />
kimakosa kama mapato ya<br />
matumizi ya kawaida<br />
Sh.1,668,809,961 .<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
96
37. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Ngorongoro<br />
• Kuonyeshwa zaidi kwa ruzuku ya<br />
matumizi ya kawaida na<br />
maendeleo iliyopatikana Sh.<br />
484,322,837.<br />
• Taarifa jumuifu ya mapato na<br />
matumizi iliyoletwa kwa ukaguzi<br />
imekosa jedwali la ufafanuzi wa<br />
matumizi ya kiasi cha<br />
Sh.1,153,409,892.<br />
• Ziada iliyoonyeshwa pungufu<br />
katika taarifa ya mtiririko halisi<br />
wa fedha Sh.318,320,721.<br />
• Wadai walioonyeshwa pungufu<br />
katika mizania Sh.4,848,159.<br />
Kuonyeshwa zaidi kwa mapato ya<br />
miradi ya maendeleo isiyotumika<br />
Sh.197,609,750.<br />
3.5 Tathmini ya Udhibiti wa Teknolojia ya Mawasiliano katika<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
Utangulizi<br />
Teknolojia ya Mawasiliano inazisaidia Mamlaka ya Serikali<br />
za Mitaa(LGAs) na kuziwezesha kurekebisha utendaji wa<br />
kazi na kuhimiza jitihada za kutoa huduma kwa Umma ,<br />
kuongeza ufanisi, utendaji kazi na kutumia mitambo ya<br />
mawasiliano ya kisasa na inayojiendesha yenyewe .<br />
Ingawa Teknolojia ya Mawasiliano na masuala<br />
yanayoambatana nayo huboresha huduma na kuleta ufanisi<br />
katika shughuli za Mamlaka ya Serikali za Mitaa, kwa<br />
upande mwingine inahusisha na kuchangia kuleta athari<br />
mpya kama vile udhibiti wa vifaa vya mawasiliano ambavyo<br />
vinahitaji usimamizi mzuri zaidi na makini.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
97
Utayarishaji wa taarifa za fedha na nyinginezo katika<br />
baadhi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa hutumia mifumo ya<br />
mawasiliano. Hivyo mifumo ya mawasiliano ina changia<br />
mazingira ya udhibiti katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />
na kulifanya liwe eneo muhimu ambalo ukaguzi wetu<br />
unalizingatia.<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi katika ukaguzi wake inatathmini<br />
udhibiti wa jumla na ule wa matumizi ya teknolojia ya<br />
Kompyuta kama sehemu ya ukaguzi wa mwaka wa taarifa<br />
za fedha.<br />
Udhibiti wa jumla wa Teknolojia ya Mawasiliano unahusu<br />
miundo, sera, utaratibu na viwango ambavyo vinasaidia<br />
mchakato wa uhasibu na ule wa utayarishaji wa taarifa<br />
mbalimbali. Utendaji kazi mzuri wa udhibiti wa jumla<br />
husaidia kudhibiti matumizi ili kufanya kazi zake kama<br />
ilivyokusudiwa kwa kipindi chote cha mwaka.<br />
Udhibiti wa vitumizi unafanyika katika ngazi ya uhasibu na<br />
udhibiti wa utayarishaji wa taarifa mbalimbali, ukijumuisha<br />
idhini ya utumiaji, uunganishaji na utayarishaji taarifa.<br />
Mamlaka ya Serikali za Mitaa (LGAs) zinatumia<br />
mchanganyiko wa mifumo mbalimbali katika kusaidia<br />
mipango na utayarishaji wa bajeti, usimamizi wa fedha,<br />
usimamizi na utoaji taarifa na ukusanyaji wa maduhuli.<br />
Mifumo hiyo ni kama vile: Mfumo funganifu wa usimamizi<br />
wa fedha (IFMS), Taarifa za Mipango na Bajeti (Plan – Rep),<br />
Mfumo wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa wa Usimamizi na<br />
Utunzaji wa Taarifa (LGMD). Pia Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa zimepatiwa vitendea kazi vilivyo unganishwa moja<br />
kwa moja kama vile Mfumo wa kutengeneza na kutunza<br />
Sheria ndogondogo( BLMD).<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
98
Kulingana na Taarifa ya Tathmini ya Mifumo ya mawasiliano<br />
inayosaidia Mpango wa kupeleka madaraka katika ngazi za<br />
chini za utawala (D by D) kama sehemu ya uandaaji wa<br />
Programu ya hapo baadaye iliyotayarishwa kwa ajili ya<br />
Programu ya Maboresho ya Serikali za Mitaa ya mwezi Mei,<br />
2008. Mfumo Funganifu wa Usimamizi wa Fedha (IFMS)<br />
unatekelezwa katika Halmashauri 86 kati ya Halmashauri<br />
133 .<br />
Kufanikiwa kwa juhudi za utoaji huduma kwa Umma kwa<br />
kutumia Teknologia ya mawasiliano kunategemea mambo<br />
yafuatayo:<br />
• Uhakika wa usalama na ulinzi kutokana na utumiaji<br />
usioidhinishwa, kusudio la vitendo vya uovu, na<br />
mashambulizi ambayo yanaweza kusimamisha utoaji wa<br />
huduma.<br />
• Ulinganifu au upatanifu ambao utawezesha kubadilishana<br />
kwa kielektoniki ujumbe (mifumo ya waya), nyaraka,<br />
utayarishaji wa data na taarifa nk.<br />
• Kuzuia matumizi ya rasilimali na shughuli zisizo muhimu<br />
kujirudia rudia.<br />
• Ufanisi na kuzingatia kanuni na kupata matumzi bora ya<br />
fedha zilizotumika.<br />
Mambo yaliyoelezwa hapo juu ni muhimu kuzingatiwa<br />
katika ukaguzi wa mifumo ya mawasiliano. Hata hivyo,<br />
kaguzi zilizofanywa katika Mamlaka mbali mbali za<br />
Serikali za Mitaa katika mwaka wa fedha 2007/2008<br />
zimejikita /zimejielekeza hasa katika usalama kwenye<br />
Teknologia ya mawasiliano. Nia yangu ya baadaye hasa<br />
katika kaguzi za mwaka 2008/09 na kuendelea ni kuendelea<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
99
kutathmini maeneo mengine katika mifumo ya teknologia<br />
ya mawasiliano.<br />
Madhumuni ya sehemu hii ni kuonyesha na kuelezea<br />
uwajibikaji katika Tekinolojia ya mawasiliano kwa kuelezea<br />
kwa ufupi mapungufu na athari zake katika mifumo ya<br />
Urasimu inayotumia Teknolojia ya mawasiliano. Mapungufu<br />
haya yametokana na tathmini ya mifumo hiyo iliyofanyika<br />
katika baadhi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
zilizochaguliwa ambazo zinatumia na kutekeleza mfumo<br />
Funganifu wa Fedha (IFMS) – Epicor na zile zinazotumia<br />
mifumo inayojitegemea.<br />
• Mfumo wa Epicor bado haujahuishwa ili kuingiza na<br />
kuandaa kumbukumbu za mali za kudumu, bakaa za mali na<br />
utayarishaji wa Hati za manunuzi ya vifaa (LPOs), kuandika<br />
Hundi na kutoa taarifa mbali mbali za fedha. Pia, mfumo<br />
hauwawezeshi Maafisa Masuuli kutayarisha ulinganisho wa<br />
Benki. Kwa upande mwingine, Mfumo huu hautoi<br />
mchanganuo kwa ajili ya kutengeneza taarifa za fedha.<br />
Hivyo, Mamlaka za Serikali za Mitaa huyashughulikia<br />
mapungufu hayo kwa kutayarisha taarifa za fedha nje ya<br />
mfumo kwa njia ya kawaida.<br />
• Ufunganishi wa mifumo ya uhasibu bado haujakuwa wa<br />
kisasa zaidi na kuunganishwa na mfumo mkuu uliopo Wizara<br />
ya Fedha na Uchumi. Kuna kuharibika /kusimama mara<br />
kwa mara (kutofanya kazi kwa mfumo mtandao (Network)<br />
na kukatika mara kwa mara kwa umeme. Pia IFMS<br />
haijaweza kupelekwa/kuunganishwa kwenye baadhi ya<br />
Halmashauri bado zinaendelea kutayarisha Hesabu na<br />
Taarifa za Fedha bila kutumia mfumo Funganifu wa<br />
Usimamizi wa Fedha.<br />
• Mamlaka za Serikali za Mitaa zinakosa/ hazina programu<br />
zilizojengwa ndani ya Kompyuta na za uhasibu ambazo<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
100
zingewezesha kuzuia au kugundua makosa au<br />
mapungufu/vitendo viovu (irregularities).<br />
• Mamlaka nyingi za Serikali za Mitaa hazina Sera ya<br />
Teknolojia ya Mawasiliano ambayo ingeweza kuweka<br />
mipaka ya fikio la mfumo, taratibu za kuendesha mfumo<br />
na pia kuelezea udhibiti wa vifaa na ule wa umakini.<br />
• Udhibiti wa namba za siri za kuingia na kufungua Kompyuta<br />
hauridhishi kwa sababu baadhi ya watumiaji hawana kanuni<br />
na taratibu za siri na hakuna ushahidi kwamba<br />
menejimenti inafanya tathmini ya suala hili mara kwa<br />
mara.<br />
• Kukosekana kwa wasimamizi wa mtandao (System<br />
Administrators) na kushughulikia kutafuta na kuondoa<br />
kasoro zinazojitokeza na vile vile kunakosekana sehemu<br />
/vifaa vya kurudisha taarifa (data) .<br />
• Kukosekana kwa watumishi wenye uwezo wa kutumia<br />
mifumo ya mawasiliano kama vile Epicor, Excel na<br />
matumizi ya Kompyuta kwa ujumla.<br />
• Hakuna vifaa vya kuzimia moto vya uhakika vya kuzuia<br />
moto katika vyumba vya Kompyuta na sehemu za kufanyia<br />
kazi. Mahali ambapo vifaa vya kuzimia moto vimefungwa,<br />
ukaguzi ulibaini kwamba havifanyiwi matengenezo ya mara<br />
kwa mara kama inavyotakiwa.<br />
Muhtasari wa mambo yaliyojitokeza wakati wa kutathmini<br />
udhibiti wa Teknolojia ya mawasiliano katika Mamlaka ya<br />
Serikali za Mitaa umeonyeshwa katika kiambatanisho Na.2<br />
katika taarifa hii. Kwa ufupi ni kama ifuatavyo:-<br />
• Mali za kudumu hazijaingizwa kwenye mfumo.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
101
• Ucheleweshaji wa kuingiza makisio ya bajeti katika mfumo<br />
wa wa usimamizi wa fedha<br />
• Kukosekana kwa ujuzi wa watumiaji wa mfumo ambao<br />
hawakupata mafunzo<br />
• Taarifa za hesabu za mwaka bado zinaendelea<br />
kutengenezwa bila kutumia mfumo funganifu wa<br />
usimamizi wa fedha.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
102
SURA <strong>YA</strong> NNE<br />
USIMAMIZI <strong>WA</strong> FEDHA <strong>NA</strong> MALI <strong>ZA</strong> KUDUMU KATIKA MAMLAKA <strong>YA</strong><br />
<strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA<br />
4.1 Ufuatiliaji wa utekelezaji wa maoni ya ukaguzi kwa<br />
miaka iliyopita katika Halmashauri<br />
Katika Mwaka 2007/08, mapendekezo mbalimbali ya<br />
ukaguzi yametolewa kuhusiana na masuala muhimu<br />
yalitojitokeza katika ukaguzi uliofanyika miaka ya nyuma.<br />
Tumegundua kuwa baadhi ya Halmashauri zilifanya juhudi<br />
katika kutekeleza maoni yaliyotolewa na wakaguzi. Ila ,<br />
Halmashauri 112 zilikuwa na hoja za miaka ya nyuma zenye<br />
thamani ya Sh.32,903,395,306, kati ya hizo Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kongwa ilikuwa na kiwango kikubwa zaidi cha<br />
Sh.6,813,262,872 ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Dodoma Mjini yenye jumla ya Sh.2,748,605,834. Tumekuwa<br />
tukitoa hoja na maoni ya ukaguzi kwa wakaguliwa wetu<br />
kwa lengo la kuwezesha uongozi wa Halmashauri<br />
kurekebisha kwa haraka dosari zilizoonekana ili<br />
kuuimarisha udhibiti wa ndani na usimamizi wa rasilimali za<br />
Halmashauri.<br />
Hulka ya kutoshughulikia taarifa au mapendekezo ya<br />
wakaguzi inaweza kusababisha kujirudia kwa dosari<br />
zilizoonekana miaka ijayo. Hii inaweza ikawa ni upungufu<br />
wa uwajibikaji kwa Maafisa Masuuli na Menejimenti za<br />
Halmashauri husika.<br />
4.1.1 Ulinganisho kwa ufupi wa mambo ambayo<br />
hayakushughulikiwa kwa miaka 2005/06, 2006/07 na<br />
2007/2008 ni kama ilivyo katika jedwali hapa chini:-<br />
Mwaka<br />
Kiasi mambo<br />
kisichoshughulikiwa (Sh.)<br />
Idadi ya<br />
Halmashauri<br />
2005/2006 9,035,355,267 65<br />
2006/2007 4,643,565,831 52<br />
2007/2008 32, 903,395,306 112<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
103
Mfululizo wa mambo ambayo hayakushughulikiwa yanaweza<br />
kuonyeshwa kwa kutumia kielelezo kifuatacho:<br />
Mwelekeo wa mambo ya siyoshughulikiwa kwa miaka mitatu<br />
Idadi ya Halmashauri zilizohusika<br />
120<br />
100<br />
80<br />
60<br />
40<br />
20<br />
0<br />
9,035,355,267 4,643,565,831 32, 903,395,306<br />
2005/2006 2006/2007 2007/2008<br />
Mwaka wa fedha<br />
Matokeo yanayoonekana hapo juu yanaonyesha kwamba<br />
thamani ya masuala yasiyoshughulikiwa kwa mwaka wa<br />
ukaguzi 2006/07 yalikuwa Sh.4,643,565,831 yaliyohusisha<br />
Halmashauri 52 . Katika mwaka 2006/07 masuala<br />
yasiyoshughulikiwa ya kipindi cha nyuma yaliongezeka<br />
kutoka Halmashauri 52 kwa mwaka 2006/07 hadi 112 kwa<br />
mwaka 2007/08 yakihusisha Sh.32,903,395,306 ikiwa ni<br />
ongezeko la Sh.28,258,829,475. Hii inaonyesha kuwa,<br />
menejimenti za Halmashauri zimepunguza juhudi katika<br />
kuyafanyia kazi maoni ya ukaguzi. Kiambatisho Na.3 cha<br />
ripoti hii kinaonyesha kwa undani Halmashauri na kiasi cha<br />
mambo yasiyoshughulikiwa.<br />
4.2 Usimamizi wa Fedha<br />
Usimamizi wa fedha kwa ujumla unahusisha makusanyo na<br />
mapokezi ya fedha za Umma na pia usimamizi wa akaunti<br />
za benki za Halmashauri. Masuala yaliyojitokeza wakati wa<br />
ukaguzi ni pamoja na:-<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
104
4.2.1 Masuala yasiyoshughulikiwa ya ulinganisho wa kibenki<br />
Agizo Na.134 la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa<br />
(1997) linasema kwamba waweka Hazina katika<br />
Halmashauri wahakikishe kuwa usuluhisho wa kibenki<br />
ukiwemo udhibiti kati ya kitabu cha mapato na hati za<br />
benki zinafanywa walau mara moja kwa kila Mwezi. Kwa<br />
mwaka wa fedha 2007/2008, Halmashauri 56 hazikufuata<br />
Agizo lililotajwa hapo juu; hali ambayo imesababisha kuwa<br />
na masuala mengi yasiyoshughulikiwa katika ulinganisho wa<br />
kibenki kama ifutavyo:-<br />
• Jumla ya Sh.305,703,124 zilipokelewa katika daftari za<br />
fedha katika Halmashauri lakini hazikuonekana katika<br />
taarifa za Benki. Hii inaonyesha mapungufu makubwa<br />
katika udhibiti wa mapato na mapato hayo yanaweza<br />
kuwa yametumiwa isivyo halali, hii ni kutokana na<br />
ukweli kwamba hakuna uthibitisho kuwa usuluhisho wa<br />
kibenki ulifanywa na mtu huru.<br />
• Jumla ya Hundi zenye thamani ya Sh.2,969,830,892<br />
ziliandikwa kwa watu mbalimbali lakini hazikupelekwa<br />
benki mpaka wakati wa kufunga hesabu za Mwaka<br />
tarehe 30 June, 2008.<br />
• Jumla ya Sh.168,699,801 ni Mapokezi katika daftari la<br />
fedha lakini hayapo katika taarifa za benki. Hakuna<br />
juhudi zozote zilizofanywa na Halmashauri kuhakikisha<br />
kuwa fedha hizo zimeingia benki.<br />
• Jumla ya Sh.535,856,223 ilikuwa ni malipo katika benki<br />
ambayo hayajaingizwa katika daftari za fedha za<br />
Halmashauri.<br />
• Jumla ya Sh.319,550,613 ilikuwa ni mapato yaliyoingia<br />
benki hayakuoneka katika daftari za fedha za<br />
Halmashauri.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
105
Kwa ufupi masuala yasiyoshughulikiwa ya ulinganisho wa kibenki<br />
kwa mwaka 2006/2007 na 2007/2008 yameonyeshwa katika<br />
jedwali hapa chini:-<br />
Mwaka<br />
Mapokezi<br />
katika daftari<br />
la fedha lakini<br />
hayapo katika<br />
taarifa za<br />
benki (Sh.)<br />
Hundi ambazo<br />
hazikupelekw<br />
a benki (Sh.)<br />
Fedha<br />
ambayo<br />
haijaingizw<br />
a katika<br />
akaunti ya<br />
Halmashauri<br />
(Sh.)<br />
Malipo<br />
katika benki<br />
ambayo<br />
hayajaingiz<br />
wa katika<br />
daftari la<br />
fedha (Sh.)<br />
Mapato<br />
yaliyoingia<br />
benki<br />
hayakuoneka<br />
katika daftari<br />
la fedha (Sh.)<br />
2006/2007 392,220,923 4,913,727,464 1,277,787,933 360,510,539 489,624,271<br />
2007/2008 305,703,124 2,969,830,892 168,699,801 535,856,223 319,550,613<br />
• Jedwali hapo juu linaonyesha kwamba mapokezi katika<br />
daftari la fedha lakini hayapo katika taarifa za benki<br />
kwa mwaka 2006/07 yalikuwa Sh.392,220,923 wakati<br />
mwaka 2007/08 zilikuwa Sh.305,703,124.<br />
• Hundi ambazo ziliandaliwa kwa malipo ya wateja<br />
mbalimbali lakini hazikupelekwa benki kwa Mwaka<br />
2006/2007 zilikuwa Sh.4,913,727,464 wakati mwaka<br />
2007/2008 zilikuwa Sh.2,969,830,892.<br />
• Fedha ambazo hazijaingizwa katika akaunti ya<br />
Halmashauri kwa Mwaka 2006/2007 zilikuwa ni<br />
Sh.1,277,787,933 wakati kwa Mwaka 2007/2008 zilikuwa<br />
Sh.168,699,801.<br />
• Kiasi cha Sh.535,856,223 zilipwa benki lakini<br />
hazikuingizwa katika daftari za fedha za Halmashauri<br />
kwa mwaka wa fedha 2007/2008 wakati Sh.360,510,539<br />
zililipwa benki lakini hazikuingizwa katika daftari za<br />
fedha za Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2006/2007.<br />
Mwisho, jumla ya mapato Sh.319,550,613 yaliyoingia<br />
benki lakini hayakuoneka katika daftari za fedha za<br />
Halmashauri kwa mwaka 2007/2008. Kwa mwaka<br />
2006/2007 jumla ya Sh.489,624,271 zilizoingia benki<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
106
lakini hazikuoneka katika daftari za fedha za<br />
Halmashauri.<br />
Mchanganuo masuala yasiyoshughulikiwa ya ulinganisho<br />
wa kibenki yameonyeshwa katika Kiambatanisho 4.<br />
4.2.2 Uhakiki wa fedha na Ukaguzi wa kushitukiza<br />
(i) Ukaguzi wa kushitukiza<br />
Agizo Na.170 la Memoranda ya Fedha za Serikali za<br />
Mitaa ya mwaka 1997 linamtaka Mkurugenzi wa<br />
Halmashauri au Mwakilishi wake hakufanya uhakiki<br />
wa fedha taslimu wa kushtukiza mara kwa mara. Ila,<br />
wakati wa ukaguzi tumebaini kuwa, hakuna<br />
utaratibu wala uhakiki wa fedha wa kushitukiza<br />
umefanywa na Mkurugenzi au mwakilishi katika<br />
baadhi ya Halmashauri. (Angalia kiambatanisho 5)<br />
(ii)<br />
Kutunza fedha zaidi ya kiwango kilichowekwa<br />
Agizo Na.352 la Memoranda ya Fedha za Serikali za<br />
Mitaa ya mwaka 1997 linaitaka Halmashauri kwa<br />
kutumia kamati ya Fedha na Mipango kuweka<br />
kiwango cha juu cha kuhifadhi fedha katika majengo<br />
ya Halmashuri na kiwango hicho hakitakiwi kuzidi<br />
bila kibali”.<br />
Ukaguzi wa kushitukiza uliofanywa kwa mwaka<br />
2007/2008 ulibaini kuwa, hakuna kiwango<br />
maalumu kilichowekwa na Halmashauri cha<br />
kutunza fedha katika majengo ya Halmashauri<br />
kama Agizo Na.352 la Memoranda ya Fedha za<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 1997 linavyotaka.<br />
(Angalia kiambatanisho 5).<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
107
(iii) Kutokuwa na uthibitisho wa bakaa za benki<br />
Sh.59,417,291.26<br />
Ukaguzi uliofanywa katika Halmashauri ya Mbinga<br />
kuhusiana na Usimamizi wa fedha ulibaini kuwa<br />
Halmashauri ilikuwa na Akaunti za benki 36 kwa<br />
Mwaka wa fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2008<br />
ambazo zilikuwa na jumla ya bakaa la<br />
Sh.3,283,977,288.84. Hata hivyo ni akaunti za<br />
benki 27 tu ndizo zilizothibitika kuambatana na<br />
taarifa za benki zikiwa zimesainiwa na Meneja wa<br />
Benki. Akaunti 9 zenye bakaa ya jumla ya<br />
Sh.59,417,291.26 hazikuambatana na taarifa za<br />
benki kama ifuatavyo:<br />
Akaunti Na. Jina la Akaunti Bakaa (Sh.)<br />
6171200011 CSPD 91,031.45<br />
6171200017 Mfuko wa vijana 3,793,082.16<br />
6171200018 STABEX 488,320.25<br />
6171200021 Bodi ya Elimu 2,657,268.50<br />
6171200023 UPE 154,067.90<br />
6171200026 DADPS 163,789.00<br />
6171200037 Global fund 45,882,557.00<br />
6171200039 Lundo<br />
umwagiliaji<br />
6,187,175.00<br />
Jumla 59,417,291.26<br />
4.3 Usimamizi wa mali za Halmashauri<br />
4.3.1 Usimamizi wa mali za kudumu<br />
Taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali<br />
za miaka ya nyuma zilizowasilishwa Bungeni zimetoa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
108
mapendekezo mbalimbali kuhusiana na usimamizi wa mali<br />
za kudumu katika Halmashauri. Taarifa hizi zimebainisha<br />
maeneo mbambali kuhusiana na usimamizi wa mali za<br />
kudumu na hasa, manunuzi, umiliki, uingizaji vitabuni,<br />
matengenezo na uuzaji wa mali za kudumu.<br />
Halmashauri zinasimamia miundo mbinu na mali za jamii<br />
mbalimbali kama vile barabara, majengo, mali na vifaa<br />
ambazo zinatoa huduma katika jamii. Ni muhimu<br />
Halmashauri zikaonyesha kwa vitendo matokeo ya matumizi<br />
ya vifaa vya kudumu ili jamii iweze kuona na kunufaika na<br />
huduma inayotokana na mali hizo. Katika Halmashauri zilizo<br />
nyingi mali za kudumu ndizo zinazochukua sehemu kubwa<br />
katika hesabu za Mwaka na inahitaji mwendelezo wa miradi<br />
ya maendeleo kushughulikia ukuaji na mabadiliko ya<br />
viwango. Zaidi ya hayo, mali za kudumu ndizo<br />
zinazotengeneza taarifa ya mwaka ya mapato na matumizi<br />
ya mali za kudumu.<br />
Yafuatayo ni mapungufu yaliyojitokeza wakati wa<br />
kutathmini usimamizi wa mali za kudumu uliohusisha<br />
Halmashauri thelathini na tisa (39).<br />
Na. Jina La<br />
Halmashauri<br />
1. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Mbeya<br />
Kiasi (Sh.)<br />
Matokeo ya ukaguzi<br />
- (i) magari 13<br />
yasiyokuwa na<br />
kadi za usajiri<br />
(ii) pikipiki 18 ambazo<br />
hazikuingizwa<br />
kwenye regista ya<br />
mali za kudumu<br />
(iii) Majengo<br />
yasiyokuwa na hati<br />
miliki<br />
Uhakiki wa mali za<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
109
2. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Mbarali<br />
kudumu kwa mwaka wa<br />
fedha 2007/2008<br />
umebaini kuwa ardhi<br />
majengo ya Hospitali ya<br />
Wilaya yamejengwa<br />
katika eneo ambalo<br />
halina hati miliki<br />
japokuwa eneo hilo<br />
limeshapimwa.<br />
- (i) magari 2<br />
hayakuwekwa<br />
kwenye rejista ya<br />
mali za kudumu<br />
kinyume na Agizo<br />
na. 326 ya<br />
memoranda ya<br />
fedha za<br />
Halmashauri ya<br />
Mwaka 1997.<br />
(ii) Pikipiki 8 ambazo<br />
thamani yake<br />
haikuweza<br />
kupatikana mara<br />
moja<br />
hazikuingizwa<br />
kwenye jedwali la<br />
mali za kudumu<br />
wala kadi za<br />
usajiri hazikuletwa<br />
ukaguzi.<br />
(iii) Kutokuwepo kwa<br />
rejista ya mali za<br />
kudumu kinyume<br />
na Maagizo Na.<br />
60(d) na 366 ya<br />
Memoranda ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
110
3. Halmashauri<br />
ya Jiji la<br />
Mbeya<br />
4. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Mbozi<br />
5. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Fedha ya Serikali<br />
za Mitaa 1997<br />
(iv) Eneo ambamo<br />
majengo ya<br />
utawala<br />
yamejengwa<br />
katika<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya hayana hati<br />
miliki.<br />
47,292,804 (i) Magari 3<br />
yameegeshwa kwa muda<br />
mrefu bila ya kuwa na<br />
injini zake<br />
(ii) magari 2 na ardhi ya<br />
“Iwambi Farm and City<br />
park” hayakuingizwa<br />
kwenye mizania ya<br />
hesabu ya mwaka.<br />
119,741,702 (i) Magari 2<br />
hayakuingizwa<br />
katika jedwali za<br />
mali za kudumu za<br />
(ii)<br />
mwaka 2007/08.<br />
Magari 4 hayakuwa<br />
na kadi za usajili ili<br />
kuthibitisha umiliki<br />
wake.<br />
(iii) (iii) Magari 7<br />
yaliyonunuliwa kwa<br />
Sh.119,741,702<br />
hayakuingizwa<br />
katika rejista ya<br />
mali za kudumu<br />
133,435,375 Magari na Pikipiki zenye<br />
thamani ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
111
Ileje<br />
6. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Rungwe<br />
7. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Chunya<br />
Sh.133,435,375 hazikuwa<br />
na kadi ya uandikishwaji<br />
au hati ya kutolea mali.<br />
- Uhakiki wa mali za<br />
kudumu umeonyesha<br />
kuwa magari 25 na<br />
pikipiki 28<br />
hazikuonyeshwa katika<br />
rejista wala kadi za<br />
usajili/ upokeaji<br />
hazikuletwa wakati wa<br />
ukaguzi.<br />
- magari 3 hayakuwekwa<br />
kwenye rejista ya mali za<br />
kudumu kinyume na<br />
Agizo na. 326 ya<br />
memoranda ya fedha za<br />
Halmashauri ya Mwaka<br />
1997.<br />
8. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Kyela<br />
9. Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
ya Morogoro<br />
3,225,000 • Pikipiki 2 zenye<br />
thamnai ya<br />
Sh.3,225,000<br />
hazikuwa na kadi za<br />
usajiri/ mapokezi.<br />
• Ardhi ambamo<br />
majengo ya Hospitali<br />
ya Wilaya hayana hati<br />
miliki japokuwa eneo<br />
limeshapimwa.<br />
- Mali za kudumu<br />
zimeonyeshwa katika<br />
Mizania thamani ya zero.<br />
10. Halmashauri Rejista ya mali za<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
112
ya Wilaya ya<br />
Kilombero<br />
11. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Mvomero<br />
12. Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
ya Songea<br />
13. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Mbinga<br />
14. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Korogwe<br />
15. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Iramba<br />
kudumu haikuletwa kwa<br />
ajili ya ukaguzi<br />
kinyume na Maagizo Na.<br />
366 na 367 ya<br />
Memoranda ya Fedha ya<br />
Serikali za Mitaa 1997<br />
Halmashauri haikuwa na<br />
rejista ya mali za<br />
kudumu<br />
- kinyume na Maagizo<br />
Na.366 na 367 ya<br />
Memoranda ya Fedha ya<br />
Serikali za Mitaa 1997<br />
Halmashauri haikuwa na<br />
rejista ya mali za<br />
kudumu<br />
- Uthamanisho wa mali za<br />
kudumu ulikuwa bado<br />
haujakamilika.<br />
9,740,437,034 Mizania ya hesabu ya<br />
mwaka wa kuishia tarehe<br />
30 Juni, 2008 ilionyesha<br />
mali za kudumu zenye<br />
jumla ya<br />
Sh.9,740,437,034 ambazo<br />
hazikuthibitika kutokana<br />
na utofauti uliopo kati<br />
tarakimu zilizoonyeshwa<br />
kwenye jedwali la mali<br />
za kudumu na mizania.<br />
5,237,959,828 Ardhi na Nyumba zenye<br />
thamani ya<br />
Sh.5,237,959,828<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
113
16. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Manyoni<br />
17. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Singida<br />
18. Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
ya Singida<br />
19. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Tunduru<br />
20. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Masasi<br />
21. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Nanyumbu<br />
hazikuwa na hati miliki<br />
• Ardhi na Nyumba<br />
6,009,558,000 zenye thamani ya<br />
Sh.6,009,558,000<br />
hazikuwa na hati<br />
miliki<br />
• Magari 7 hayakuwa na<br />
bima za magari<br />
6,437,587,069 Ardhi na Nyumba zenye<br />
thamani ya Sh.<br />
6,437,587,069 hazikuwa<br />
na hati miliki<br />
6,627,544,296 Ardhi na Nyumba zenye<br />
thamani ya Sh.<br />
6,627,544,296 hazikuwa<br />
na hati miliki<br />
- Uthamanisho wa mali za<br />
kudumu ulikuwa bado<br />
haujakamilika.<br />
1,182,431,838 Kibali na orodha ya mali<br />
za kudumu<br />
zilizohamishiwa<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Nanyumbu zenye jumla<br />
ya Sh.1,182,431,838<br />
hazikuletwa kwa<br />
ukaguzi.<br />
1,182,431,838 Orodha ya mali za<br />
kudumu zilizohamishwa<br />
kutoka Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Nanyumbu<br />
zenye jumla ya<br />
Sh.1,182,431,838<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
114
22. Halmashauri<br />
ya Mji ya<br />
Korogwe<br />
23. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Kwimba<br />
24. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Magu<br />
25. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Ukerewe<br />
26. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Arusha<br />
27 Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Meru<br />
hazikuonyeshwa kwenye<br />
Mizania ya hesabu.<br />
502,048,799 Thamani ya mali ya<br />
kudumu ya<br />
Sh.502,048,799<br />
iliyoonyeshwa kwenye<br />
Mizania ya hesabu<br />
haikuchanganuliwa<br />
kufuata makundi kama<br />
vile ardhi, majengo,<br />
vifaa n.k<br />
- Hati Miliki za majengo<br />
ya Halmashauri<br />
hazikuletwa kwa<br />
ukaguzi.<br />
- Rejista ya Mali za<br />
kudumu haijaboreshwa<br />
kinyume na Agizo Na.<br />
326 ya Memoranda ya<br />
Fedha ya Serikali za<br />
Mitaa 1997.<br />
- Rejista ya Mali za<br />
kudumu haijaboreshwa<br />
kinyume na Agizo Na.<br />
326 ya Memoranda ya<br />
Fedha ya Serikali za<br />
Mitaa ya mwaka 1997.<br />
47,746,000 Mali za kudumu<br />
hazijawekewa alama za<br />
utambulisho.<br />
Magari ya Halmashauri<br />
yakiwemo-Toyota Stout<br />
SM 1010 na Jiefang Lorry<br />
Tipper SM 1285<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
115
28 Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Bagamoyo<br />
29. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Mkuranga<br />
30. Manispaa ya<br />
Dodoma<br />
31. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Kongwa<br />
32. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Mufindi<br />
33. Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
ya<br />
Kigoma/Ujiji<br />
hayakuonyeshwa kwenye<br />
mizania ya kuishia tarehe<br />
30 Juni, 2008<br />
320,000,000 Gari la zima Moto<br />
lililonunuliwa halijaletwa<br />
katika Halmashauri<br />
pamoja na kuwa<br />
limeonyeshwa katika<br />
mizania ya kipindi cha<br />
kuishia tarehe 30 Juni,<br />
2008 kam sehemu ya<br />
mali za kudumu.<br />
200,190,193 Thamani ya mali za<br />
kudumu ilionyeshwa kwa<br />
thamani zaidi ya<br />
Sh.200,190,193 bila<br />
maelezo.<br />
998,056,905 Kutotunzwa vizuri kwa<br />
rejista ya mali za<br />
kudumu.<br />
- Hati miliki inakosekana<br />
za majengo na ardhi<br />
zinakosekana.<br />
65,536,975<br />
Thamani ya majengo<br />
ilionyeshwa pungufu<br />
3,731,314,983 Mizania ya marudio ya<br />
tarehe 30 Juni, 2008<br />
ilionyesha mali za<br />
kudumu zenye thamani<br />
ya sh.3,731,314,983<br />
ambazo hazikuweza<br />
kuthibitika kulingana na<br />
ukweli kwamba rejista ya<br />
mali za kudumu<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
116
34. Halmashauri<br />
ya Wilaya Hai<br />
35. Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
ya Moshi<br />
36. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Kilwa<br />
37. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Nachingwea<br />
38. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Babati<br />
39. Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Bunda<br />
haijafanyiwa maboresho<br />
tangu mwaka 2002.<br />
2,616,677,443 Kutokuwepo kwa rejista<br />
ya mali za kudumu<br />
47,216,817<br />
Kiasi cha uchakavu<br />
kilionyeshwa pungufu<br />
-<br />
Kutokuwepo kwa rejista<br />
ya mali za kudumu<br />
-<br />
Kutokuwepo kwa rejista<br />
ya mali za kudumu<br />
171,109,395.65 Kadi za uandikishwaji wa<br />
Mitambo na vifaa<br />
havikuonekana wakati wa<br />
ukaguzi<br />
Gari aina ya Toyota<br />
– Land cruiser<br />
Modeli number – HJZ78R<br />
– RMRs<br />
Yenye ya uandikishwaji<br />
SM 5342 na Trekta<br />
VALMET<br />
Modeli number – 2600<br />
Yenye namba za usajiri<br />
SM 4625 hazikuingizwa<br />
kwenye rejista ya mali za<br />
kudumu<br />
Halmashauri ziendelee kuboresha takwimu za mali za<br />
kudumu na kuhakikisha kuwa takwimu zinatunzwa kwa<br />
usahihi kwa matumizi ya miaka ijayo.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
117
4.4 Wadaiwa wasiolipa Sh.8,675,739,790<br />
Ukaguzi wa taarifa za hesabu na majedwali ya uthibitisho<br />
kwa Halmashauri 115 umeonyesha kuwa jumla ya<br />
Sh.8,675,739,790 hazikukusanywa kutoka kwa wadaiwa<br />
mpaka mwisho wa mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2008.<br />
Hii ni kinyume na maagizo Na.120 na 121 ya Memoranda ya<br />
Fedha ya Serikali za Mitaa 1997 yanayosema kwamba “ni<br />
jukumu la Mweka Hazina kufanya mipango ya kutosha ya<br />
fedha na hesabu ili kuhakikisha uwekaji kumbukumbu mzuri<br />
wa fedha zote za Halmashauri na ukusanyaji, utunzaji kwa<br />
usalama na uwekaji benki wa fedha hizo. Na “Kadiri<br />
iwezekanavyo mapato yote yatakusanywa kulingana na<br />
huduma iliyotolewa au wakati wa kutoa huduma. Kama<br />
sehemu ya mchakato wa bajeti ya mwaka, Halmashauri<br />
itaweka kiwango cha chini cha mwisho ambacho<br />
kitawezesha malipo kamili kufanywa kabla na (kama ni<br />
lazima) viwango vya chini vya amana”. Kushindwa<br />
kukusanya fedha toka kwa wadaiwa wa Halmashauri<br />
kunaonyesha udhaifu mkubwa wa udhibiti wa ndani wa<br />
ukusanyaji wa madeni toka wadaiwa na kutozingatiwa kwa<br />
Maagizo yaliyotajwa hapo juu ambayo yanaweza<br />
Halmashauri kushindwa kutimiza majukumu yaliyowekwa<br />
ikiwemo kuchelewa kukamilika kwa miradi iliyopangwa kwa<br />
wakati kutokana na tatizo la ukata. Orodha ya deni la<br />
Wadaiwa imeonyeshwa katika Kiambatisho 6 cha ripoti hii.<br />
4.4.1 : Ulinganisho kwa ufupi wa orodha ya wadaiwa kwa<br />
mwaka 2006/2007<br />
na 2007/08 ni kama ilivyo katika jedwali hapa chini<br />
Mwaka Kiasi(Sh.) Idadi ya Halmashauri<br />
2006/2007 5,614,010,055 76<br />
2007/2008 8,675,739,790 115<br />
Kutokana na jedwali hilo hapo juu ni dhahiri kwamba<br />
Halmashauri 76 zilizokaguliwa mwaka 2006/2007<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
118
hazikuweza kukusanya kutoka kwa wadaiwa jumla ya<br />
Sh.5,614,010,055 ambapo kwa mwaka 2007/2008<br />
Halmashauri 115 zilikuwa na wadaiwa wanaofikia<br />
Sh.8,675,739,790. Hiki ni kiashiria kwamba menejimenti<br />
katika Halmashauri husika hazikufanya jitihada za kutosha<br />
kukusanya kutoka kwa wadaiwa na hivyo kiwango cha<br />
wadaiwa kiliongezeka kutoka kiasi cha Sh.5,614,010,055<br />
hadi kufikia Sh.8,675,739,790 tarehe 30 Juni, 2008.<br />
4.5 Wadai wasiolipwa Sh. 15,610,406,163<br />
Katika ukaguzi wa taarifa za fedha za Halmashauri,<br />
tumebaini deni kubwa la wadai la Sh.15,610,406,163<br />
litakalosababisha Halmashauri kupoteza uaminifu kwa<br />
watoa mikopo ya huduma. Halmashauri zenye deni kubwa<br />
la Wadai ni Halmashauri ya Manispaa ya Ilala<br />
Sh.1,725,708,997 ikifuatwa na Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Morogoro yenye Sh.444,232,891 na baadaye Halmashauri<br />
ya Mkuranga Sh.399,556,584.<br />
Kuzidi kuchelewesha kulipa deni la wadai kutaleta athari<br />
mbaya kwa Halmashauri, zikiwemo:-<br />
• Hatari ya kuanzisha madaiano na wadai.<br />
• Kupoteza hadhi na uaminifu wa mkopo.<br />
• Kunyimwa huduma<br />
• Kuathiri bajeti.<br />
Kutokana na hoja hizo, Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
zinahimizwa sana kulipa madeni yao haraka yanapofikia<br />
wakati wake. Orodha ya deni la wadai imeonyeshwa<br />
katika kiambatisho cha 7 cha ripoti hii.<br />
4.6 Masurufu yasiyorejeshwa Sh.214,489,665 toka katika<br />
Halmashuri 18<br />
Agizo Na.134 la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa<br />
(1997) linasema “Masurufu ya safari au masurufu maalum<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
119
lazima yarejeshwe ndani ya majuma mawili baada ya afisa<br />
kurejea kwenye kituo chake cha kazi au baada ya<br />
kukamilisha shughuli; kushindwa kurejesha hakutasababisha<br />
tu kiasi kinachodaiwa kukatwa kwenye mshahara wa afisa<br />
kwa kima kilichoongezwa bali pia kunaweza kusababisha<br />
kukatwa tozo ya si chini ya asilimia 5 ya mshahara wake”.<br />
Kinyume na Agizo la taarifa za fedha za Mamlaka ya Serikali<br />
za Mitaa, Halmashauri 18 kwa mwaka 2007/2008<br />
zimeonyesha jumla ya masurufu yasiyorejeshwa ya<br />
Sh.214,489,665. Halmashauri ya Wilaya ya Babati inadai<br />
kiasi kikubwa cha masurufu ya Sh.34,595,420 ikifuatiwa na<br />
Manispaa ya Arusha yenye Sh.22,421,490 na Halmashauri<br />
ya Wilaya ya Musoma District Council Sh.18,037,674<br />
zikifuatana. Masurufu mapya yatatolewa tu kwa watumishi<br />
ambao wamekamilisha kurejesha masurufu waliyopewa<br />
awali.<br />
Ninapenda kusisitiza umuhimu wa kufuata masharti ya<br />
Sheria hasa kuhusu urejeshaji wa masurufu. Orodha ya<br />
masurufu yasiyorejeshwa kama ilivyokuwa 30 Juni, 2008<br />
imeonyeshwa katika Kiambatisho 8 cha ripoti hii.<br />
Orodha ya Masurufu yasiyorejeshwa kwa ufupi kwa mwaka<br />
2006/2007 na 2007/08 ni kama ilivyo katika jedwali hapa<br />
chini<br />
Mwaka<br />
Kiasi Idadi ya Halmashauri<br />
(Sh.)<br />
2006/2007 586,715,095 17<br />
2007/2008 214,489,665 18<br />
Muhtasari wa matokeo ya masurufu yasiyorejeshwa katika<br />
mwaka 2007/08 umeonyesha kwamba kumekuwa na<br />
maendeleo mazuri ya urejeshaji wa masurufu yaliyotolewa<br />
kwa watumishi katika Halmashauri, ambapo yalipungua<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
120
toka Sh.586,715,095 kwa mwaka 2006/2007 yakihusisha<br />
Halmashauri 17 hadi kufikia Sh.136,913,405 kwa mwaka<br />
2007/2008.<br />
4.7 Vitabu vya mapato ambavyo havikuwasilishwa kwa<br />
ukaguzi<br />
Maagizo Na.101 na 102 ya Memoranda ya fedha ya Mamlaka<br />
za Halmashauri za Serikali za Mitaa yanasema: “Maofisa<br />
wote wenye vitabu vya stakabadhi lazima warudishe vitabu<br />
vyote vya stakabadhi vilivyotumika na visivyotumika kila<br />
mwisho wa mwezi katika fomu maalum, na upotevu<br />
wowote wa nyaraka zinazotakiwa kutolewa maelezo lazima<br />
utolewe taarifa haraka kwa ofisa anayehusika. Nakala ya<br />
ripoti lazima ipelekwe kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />
Hesabu za Serikali na afisa mhimili msaidizi wa Serikali za<br />
Mitaa anayehusika. Kinyume na maagizo hayo, jumla ya<br />
vitabu 860 vya stakabadhi za mapato kutoka Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa 43 zimetolewa taarifa ya kukosekana kwa<br />
hiyo havikuwasilishwa kwa ajili ya ukaguzi.<br />
• Kwa kuwa vitabu hivi vya stakabadhi za mapato<br />
vilikusudiwa kukusanya mapato ya Halmashauri<br />
haikujulikana kwa uhakika kiasi cha mapato kilichokuwa<br />
kimekusanywa.<br />
• Kuna uwezekano mkubwa wa wizi wa wazi wa maduhuli<br />
ya Halmashauri kutoka kwa wakusanyaji wa maduhuli.<br />
• Inaathiri bajeti ya mapato ya Halmashauri.<br />
Kwa hiyo ni muhimu kwa menejimenti ya Halmashauri<br />
kuanzisha mfumo wa udhibiti wa ndani unaofaa kwa<br />
usimamizi wa vitabu vya stakabadhi za mapato.<br />
Hatua kali kwa upande wa menejimenti ikiwemo<br />
kuwafungulia mashitaka wakusanyaji mapato wanaokiuka<br />
utaratibu lazima zichukuliwe. Orodha ya vitabu vya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
121
stakabadhi za maduhuli vilivyokosekana inaonyeshwa katika<br />
kiambatisho 9 cha ripoti hii.<br />
Muhtasari wa vitabu ambavyo havikuwasilishwa kwa<br />
ukaguzi kwa mwaka 2006/2007 na 2007/2008<br />
Mwaka<br />
Idadi ya vitabu<br />
vilivyokosekana<br />
Idadi ya<br />
Halmashauri<br />
2006/2007 996 8<br />
2007/2008 860 43<br />
4.8 Kutokuwasilishwa kwa maduhuli ya Mamlaka ya Serikali<br />
za Mitaa yaliyokusanywa na mawakala Sh.421,213,641<br />
Ili kuzingatia Agizo Na.110 la Memoranda ya fedha za<br />
Mamlaka ya Serikali za Mitaa (1997) wakusanyaji wa<br />
maduhuli wanatakiwa kuwasilisha kwa mtunza fedha wa<br />
Halmashauri vitabu vya kukusanyia maduhuli.<br />
Katika mwaka wa taarifa hii, Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
22 hazikupokea maduhuli kutoka kwa mawakala wa<br />
ukusanyaji ya jumla ya Sh.421,213,641 zilizokusanywa<br />
katika vituo mbalimbali kinyume na Agizo Na. 110 la<br />
Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa (1997). Orodha ya<br />
Halmashauri imeonyeshwa katika kiambatanisho 10.<br />
Muhtasari wa mapato ambayo hayakuwasilishwa katika<br />
Halmashauri kwa mwaka 2006/07 na 2007/08<br />
Mwaka Maduhuli yasiyo<br />
wasilishwa (Sh.)<br />
Idadi ya Halmashauri<br />
zilizohusika<br />
2006/2007 366,971,247 12<br />
2007/2008 421,213,641 22<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
122
Muhtasari hapo juu unaonyesha kwamba maduhuli<br />
yasiyowasilishwa na mawakala kwa mwaka 2006/2007<br />
yaliyohusisha Halmashauri 12 yalifikia Sh. 366,971,247<br />
ambapo katika mwaka 2007/2008 yasiyowalishwa na<br />
mawakala yalifikia Shs.421,213,641 ambayo yalihusisha<br />
Halmashauri 22.<br />
4.9 malipo yenye nyaraka pungufu Sh 3,590,228,595<br />
Malipo yenye nyaraka pungufu yanatokea wakati hati za<br />
malipo zinakosa viambatisho kama vile hati za kuagizia<br />
vifaa, Ankara, taarifa za matumizi, orodha ya malipo<br />
iliyosainiwa, hati za kupokelea vifaa nk.<br />
Agizo Na. (5) (c) la Memoranda ya Fedha ya Serikali ya<br />
Mitaa inataka malipo yote yanayofanywa kutoka Fedha za<br />
Halmashauri yawe na uthibitisho wa kutosha. Wakati wa<br />
ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka<br />
2007/2008, imegunduliwa kwamba Halmashauri 69 kati ya<br />
133 zilizokaguliwa zimepitisha malipo yenye kasoro bila ya<br />
nyaraka za uthibitisho yenye jumla ya Sh. 3,590,228,595.<br />
Malipo yasiyo na uthibitisho yanatia shaka uhalali na uhalisi<br />
wa malipo hayo. Menejimenti za Halmashauri zina jukumu<br />
la kuhakikisha kuwa nyaraka zinazohitajika tu zikiwemo<br />
nyaraka za uthibitisho wa hati za malipo zinatunzwa vizuri<br />
na kupatikana kwa ukaguzi wakati zinapohitajika. Orodha<br />
ya matumizi yenye nyaraka pungufu yameonyeshwa katika<br />
kiambatisho 11 cha ripoti hii.<br />
Muhstasari wa malipo yenye nyaraka pungufu kwa mwaka<br />
2006/2007 na 2007/2008<br />
Mwaka Kiasi(Sh.) Idadi ya Halmashauri<br />
zilizohusika<br />
2006/2007 895,091,162 32<br />
2007/2008 3,590,228,595 69<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
123
Matokeo ya muhtasari hapo juu wa matumizi yenye nyaraka<br />
pungufu unaonyesha kuwa hakuna maendeleo yaliyofanywa<br />
na Halmashauri kwa matumizi yenye nyaraka pungufu. Hii<br />
inashuhudiwa na ukweli kwamba katika mwaka 2006/2007<br />
malipo ya aina hii yalikuwa Sh.895,091,162 yakihusisha<br />
Halmashauri 32 wakati mwaka 2007/078 malipo ya aina hii<br />
yaliongezeka hadi kufikia Sh.3,590,228,595 yakihusisha<br />
Halmashauri 69.<br />
4.10 Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo Sh.1,370,245,729<br />
Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo ni matumizi ambayo<br />
yanakuwa hayana hati za malipo na viambatisho vyake<br />
kuthibitisha uhalali wa malipo hayo.<br />
Kwa Mwaka 2007/2008 Halmashauri 45 kati ya 133<br />
zilizokaguliwa zilifanya malipo yasiyokuwa na hati za<br />
malipo yenye jumla ya Sh.1,370,245,729. Haya yalikuwa ni<br />
malipo yaliyoakisiwa katika daftari la fedha taslimu lakini<br />
yamekosa uthibitisho wa madhumuni ya malipo hayo.<br />
Malipo yasiyo na hati za malipo za uthibitisho zinakosesha<br />
taarifa moja muhimu kuhusu malipo ya aina hiyo kwa<br />
mfano; sababu, aina na madhumuni ya malipo. Zaidi ya<br />
hapo, kuna uwezekano mkubwa kuwa fedha hizo<br />
zimetumika kwa matumizi yasiyohalali.<br />
Kwa vile hili ni tatizo la muda mrefu linalojirudia katika<br />
Halmashauri zetu nyingi, ningependa kuwakumbusha<br />
Maofisa Masuuli na menejimenti za Halmashauri kuhusu<br />
wajibu wao katika kuhakikisha kuwa nyaraka za maelezo za<br />
Halmashauri zikiwemo hati za malipo zinatunzwa vizuri na<br />
hazina budi kupatikana kwa ukaguzi zinapohitajika.<br />
Halmashauri zilizokaguliwa na kuonekana na malipo<br />
yasiyokuwa na Hati za malipo zimeonyeshwa katika<br />
kiambatanisho 12 katika ripoti hii.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
124
Halmashauri zilizofanya matumizi bila kuwa na hati za malipo Kwa<br />
mwaka 2006/2007 na 2007/2008 zimeonyeshwa hapa chini:-<br />
Mwaka Kiasi (Sh.) Idadi ya<br />
Halmashauri<br />
2006/2007 81,329,428 12<br />
2007/2008 1,370,245,729 45<br />
Jedwali hapo juu linaonyesha kwamba mwaka 2007/2008<br />
matumizi bila hati za malipo yaliongezeka kutoka<br />
Sh.81,329,428 mwaka 2006/07 hadi kufikia<br />
Sh.1,370,245,729 mwaka 2007/08 yakihusisha Halmashauri<br />
45. Hii ni kiashiria kwamba maendeleo katika utunzaji wa<br />
hati za malipo yameshuka chini.<br />
4.11 Ruzuku kutoka Serikali Kuu isiyotumika<br />
Ruzuku ya maendeleo hutolewa kwa Halmashauri kwa ajili<br />
ya kujenga miundo mbinu au kufanya ukarabati wa miundo<br />
mbinu iliyopo kulingana na maeneo yaliyopewa kipao mbele<br />
katika lengo la kujenga uwezo kwenye jamii, kuboresha<br />
huduma na kupunguza umasikini.<br />
Fedha nyingi hutumika katika maeneo yanayohusika na<br />
kupunguza umasikini (Afya, Elimu, Maji na usafi, barabara<br />
na kilimo).<br />
Fedha za Maendeleo zenye jumla ya Sh.99,114,082,540<br />
zilizokuwa zimeidhinishwa kwenye Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa 111 hazikuweza kutumika hadi ilipofika mwisho<br />
wa mwaka tarehe 30 Juni, 2008. Fedha hii ambayo<br />
haikutumika ilikuwa asilimia thelathini na saba (37%) ya<br />
fedha zote.<br />
Orodha ya Halmashauri na kiasi cha ruzuku isiyoyumika<br />
imeonyeshwa katika kiambatanisho 13.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
125
Muhtasari wa ruzuku za Serikali zisizotumika kwa mwaka<br />
2006/2007 na 2007/2008 ni kama ilivyoonyeshwa hapa<br />
chini:<br />
Mwaka Kiasi (Sh.) Idadi ya<br />
Halmashauri<br />
zilizohusika<br />
2006/2007 7,884,401,171 14<br />
2007/2008 99,114,082,540 111<br />
Katika mwaka 2007/2008, jumla ya Halmashauri 111<br />
zilipata ruzuku ya Serikali jumla ya Sh.270,547,629,434 kwa<br />
miradi ya maendeleo. Ila kufikia tarehe 30 Juni, 2008 kiasi<br />
cha Sh.171,791,488,611 kilikuwa kimetumika, na kubakia<br />
kiasi cha Sh.99,114,082,540 au 37%.<br />
Kuwepo kwa Ruzuku isiyotumika ni ushahidi kwamba miradi<br />
ya maendeleo ambayo ilitengewa ruzuku hizi ambazo<br />
hazikutumika, haikutekelezwa kama ilivyopangwa. Hii pia<br />
inaweza ikasababisha marudio ya Bajeti ili kuweza kufidia<br />
mapungufu yaliyojitokeza kutokana na mfumuko wa bei.<br />
Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya maendeleo<br />
Agizo Na. 84 (v) la Memoranda ya fedha ya Mamlaka za<br />
Halmashauri za Serikali za Mitaa ya 1997 na kifungu 10.4<br />
cha Mwongozo wa hesabu za Serikali za Mitaa wa mwaka<br />
1993 zinawataka wakurugenzi, pamoja na taarifa zingine<br />
kuandaa taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />
maendeleo ya mwaka. Ila, taarifa hizi hazikuweza<br />
kuonekana kuwa zimetayarishwa na kuletwa pamoja na<br />
taarifa zingine katika Halmashauri kumi na nne (14). Zaidi<br />
ya hizo, Halmashauri (8) ziliandaa taarifa ya mapato na<br />
matumizi ya miradi ya maendeleo zenye mapungufu ya<br />
taarifa muhimu kama vile salio anzia, kiasi cha fedha<br />
kilichopokelewa kwa mwaka, kiasi cha fedha kilichotumika<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
126
kwa mwaka na bakaa ya mwaka kama inavyoonyeshwa hapa<br />
chini:-<br />
Mwaka<br />
Jina La<br />
Halmashauri<br />
Taarifa ya mapato na<br />
matumizi ya miradi ya<br />
maendeleo<br />
haikuandaliwa<br />
Taarifa<br />
muhimu<br />
hazikutolewa<br />
1. Halmashauri Ya<br />
Wilaya ya Lindi<br />
2. Halmashauri ya<br />
Wilaya<br />
ya<br />
Chamwino<br />
3. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Manispaa<br />
ya Iringa<br />
v<br />
v<br />
v<br />
4. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilolo<br />
v<br />
5. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Pangani<br />
6. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Korogwe<br />
7. Halmashauri ya<br />
Wilaya Lushoto<br />
8. Halmashauri ya<br />
Wilaya Igunga<br />
v<br />
v<br />
v<br />
v<br />
9. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Magu<br />
v<br />
10. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mtwara<br />
v<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
127
Mikindani<br />
11. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Makete<br />
v<br />
12. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Siha<br />
13. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Ngara<br />
14. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mbarali<br />
15. Halmashauri ya<br />
Wilaya Ya Ruangwa<br />
16. H Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilwa<br />
v<br />
v<br />
v<br />
v<br />
v<br />
17. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Liwale<br />
18. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mkuranga<br />
19. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mwanga<br />
20. Halmashauri ya Jiji<br />
la Dar es Salaam<br />
21. Halmashauri ya<br />
Manispaa Kinondoni<br />
v<br />
v<br />
v<br />
v<br />
v<br />
22. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Bukoba<br />
v<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
128
Kukosekana kwa taarifa za mapato na matumizi au kuwa na<br />
taarifa yenye mapungufu, kumetufanya tusiweze kufanya<br />
uhakiki wa matumizi ya fedha iliyotolewa kwa ajili ya<br />
miradi ya maendeleo na hali ya miradi iliyotekelezwa.<br />
4.12 Ukaguzi wa Mishahara<br />
4.12.1 Mishahara isiyolipwa ambayo haijarudishwa Hazina Sh.<br />
881,966,748<br />
Agizo Na.307 la Memoranda ya fedha za Serikali za Mitaa ya<br />
mwaka 1997 linatamka kwamba mishahara isiyolipwa ni<br />
lazima ipelekwe benki ndani ya siku kumi za kazi, pia barua<br />
kutoka Wizara ya Fedha na Uchumi kumb.<br />
Na.EB/AG/5/03/01/Vol.VI/136 ya tarehe 31 Agosti, 2007<br />
inataka mishahara isiyolipwa irudishwe Hazina kwa kupitia<br />
Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa. Kinyume na taratibu hizo,<br />
Mishahara isiyolipwa yenye jumla ya Sh.881,966,747.91<br />
haijarudishwa Hazina. (Angalia kiambatanisho 14)<br />
4.12.2 Malipo ya mishahara ya watumishi waliokufa, kuacha<br />
kazi, kuachishwa kazi Shs.178,066,130 hayajafutwa<br />
kwenye payroll<br />
Ukaguzi uliofanywa kwenye kumbukumbu za mishahara<br />
imeonyesha kuwa jumla ya Sh.178,066,130 zililipwa moja<br />
kwa moja kwenye akaunti za watu binafsi. Ukaguzi wa<br />
kumbukumbu za mishahara ikiwemo “computer payrolls”,<br />
“control sheets” na rejista za mishahara isiyolipwa kwa<br />
mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2008 imeonekana kuwa<br />
malipo hayo yalihusisha watumishi waliofariki, acha kazi,<br />
staafu au kuachishwa kazi ambao waliendelea kuonekana<br />
kwenye taarifa za komputa za malipo ya Mishahara<br />
(computer payrolls) za Halmashauri. Zaidi ya hapo,<br />
sheria ya utumishi wa umma Na. 8 ya Mwaka 2002<br />
kifungu Na. 57(1) kinatamka kwamba “ iwapo mfanyakazi<br />
hatakuwepo katika kituo cha kazi bila ya kuwa na likizo<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
129
au sababu ya msingi kwa muda unaozidi siku tano (5),<br />
mtumishi huyo atawajibishwa kwa kosa la utovu wa<br />
nidhamu kwa kutokuwa ofisini na atafukuzwa kazi”.<br />
(Angalia kiambatanisho 14)<br />
4.12.3 Makato ya kisheria yasiyowasilishwa Sh.13,950,925<br />
Agizo Na.134 la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa<br />
ya mwaka 1997 linazitaka Halmashauri kutunza na kulipa<br />
Makato ya kisheria yakiwemo yanayotarajiwa kulipwa<br />
kama kodi ya mapato, vyama vya biashara, vyama vya<br />
mikopo n.k.<br />
Kinyume na hivyo Halmashauri mbili ambazo ni Manispaa<br />
ya Kigoma na Halmashauri ya Kasulu zilikata makato ya<br />
kisheria kwa niaba ya taasisi mbalimbali kama vile NSSF,<br />
LAPF, NHIF, TUGHE n.k jumla ya Sh.13,950,925 lakini<br />
hazikupelekwa kwenye taasisi husika.<br />
4.12.4 Malipo ya mishahara ambayo hayakuwa katika orodha<br />
ya mishahara iliyoandaliwa kwa komputa (Computer<br />
payroll print outs) Sh.139,886,669<br />
Jumla ya Sh.139,886,669 zililipwa kupitia Benki ya<br />
Mwanga Rural Community Bank na NMB Mwanga ikiwa ni<br />
malipo ya mishahara kwa wafanyakazi wa Halmashauri<br />
kwa Mwezi Desemba 2007 na Januari – Juni, 2008 kama<br />
inavyoonyeshwa hapa chini:<br />
Mwezi<br />
Kiasi (Sh.)<br />
Desemba, 2007 22,551,177<br />
Januari, 2008 27,215,372<br />
Februari, 2008 5,533,632<br />
Machi, 2008 22,029,912<br />
Aprili, 2008 9,333,545<br />
Mei, 2008 50,479,490<br />
Juni, 2008 2,743,541<br />
Jumla 139,886,669<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
130
Ukaguzi wa hati za malipo umebaini kuwa hati za malipo<br />
zililipwa , lakini hazikuambatanishwa na taarifa za malipo<br />
ya mishahara zilizoandaliwa kwa komputa (Computer<br />
payroll print outs) kuthibitisha uhalali wa malipo kinyume<br />
na Agizo Na.5 (c) la Memoranda ya fedha za Serikali za<br />
Mitaa ya mwaka 1997.<br />
4.13 Masuala ya Utawala bora na Mfumo wa udhibiti wa<br />
ndani<br />
4.13.1 Utangulizi<br />
Sehemu ya 33 ya Sheria za Fedha za Halmshauri ya<br />
Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa<br />
2000) na miongozo mbalimbali inaipa Halmashauri<br />
mamlaka ya kuanzisha na kutekeleza sera za udhibiti<br />
kuhusiana na usimamizi wa rasilimali za Halmashauri.<br />
Katika kutekeleza lengo hili, uongozi unatakiwa kuanzisha<br />
mfululizo wa matukio ambayo yataiwezesha Halmashauri<br />
kuwa na udhibiti madhubuti ambao utaondoa upotevu<br />
kwa kupiga vita wizi, uzembe, ubadilifu na utendaji kazi<br />
mbaya.<br />
Kwa hiyo Halmashauri inatakiwa kuwa na muundo wa<br />
utawala ambao utaunga mkono uwazi na mfumo mzuri wa<br />
udhibiti wa ndani. Kwa nyongeza, muundo wa utawala<br />
uweze kusaidia uangalizi wa matukio; uanzishwaji wa<br />
ukaguzi wa ndani, Kamati ya manunuzi (Tender Board),<br />
Kitengo cha usimamizi wa manunuzi (PMU) na Kamati ya<br />
ukaguzi wa hesabu. Vile vile kuhakikisha kuwa kuna<br />
ukaguzi huru kwa kila Mwaka.<br />
Utawala bora katika taasisi za umma unajumuisha sera na<br />
taratibu zinazotumika kuongoza shughuli za Mamlaka za<br />
Serikali Mitaa ili kutoa uhakika kwamba majukumu<br />
yanatekelezwa na hatua zinachukuliwa kwa usawa na<br />
uwajibikaji. Katika taasisi za umma, utawala bora<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
131
unahusiana na jinsi malengo yanavyoanzishwa na<br />
kutekelezwa. Pia inajumuisha shughuli ambazo<br />
zinahakikisha kuaminiwa kwa Serikali, uanzishaji wa<br />
utoaji wa huduma kwa wote, na kuhakikisha tabia nzuri<br />
kwa wafanyakazi wa Serikali katika kupunguza hatari ya<br />
rushwa katika jamii.<br />
Zaidi ya hapo, taasisi za serikali zinatakiwa kuwa na miiko<br />
ya maadili, Mkataba wa Huduma kwa Wateja, Mpango<br />
Mkakati wa ofisi, Bajeti ya Mwaka pamoja na Bodi ya<br />
Uongozi (Governing Board) kwa maamuzi ya kimikakati.<br />
Kwa hiyo lengo kuu la utawala bora ni kwa uongozi<br />
kuwajibika kikamilifu na kutekeleza matakwa ya wateja<br />
kisiasa, kiuchumi na kijamii.<br />
Sura hii imejaribu kuelezea mapungufu yaliyobainika kwa<br />
ufupi kuhusiana na utawala bora ambayo tuliyaona yana<br />
uzito.<br />
4.13.2 Mfumo wa Udhibiti wa Ndani<br />
Uimara wa Mfumo wa udhibiti wa ndani unategemea<br />
muundo wa sheria zinazofanya kazi katika Halmashauri.<br />
Inasisitiza kuona kuwa sheria zinazotumika katika<br />
Halmashauri zikisimamia usimamizi wa fedha na udhibiti<br />
katika Halmashauri umepitwa na wakati, kwa mfano,<br />
Sheria za Fedha za Halmshauri ya Serikali za Mitaa Na.9<br />
ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000), Memoranda ya<br />
fedha ya Mamlaka za Halmashauri za Serikali za Mitaa ya<br />
mwaka, 1997 na Mwongozo wa hesabu za Halmashauri<br />
wa mwaka 1993. Nyaraka hizi zinaendelea kutumika<br />
katika uandaaji wa vitabu vya hesabu vya Halmashauri<br />
katika utoaji taarifa pamoja na kwamba haziko<br />
sambamba na viwango vya kimataifa vya utoaji taarifa za<br />
hesabu (IFRS) na viwango vya kimataifa vya utoaji taarifa<br />
za hesabu za taasisi za serikali (IPSAs), ambavyo tangu<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
132
mwaka 2004 serikali imeamua kuzifuata. Vile vile ni<br />
vizuri kuelewa kwamba hii imekuwa ni chanzo cha<br />
mgongano katika kutoa taarifa mbalimbali za Halmashauri<br />
wakati Halmashauri moja inapoamua kutumia viwango<br />
zaidi ya kimoja katika uandaaji wa hesabu za mwaka.<br />
4.13.3 Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu<br />
Malengo makuu ya Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu ni<br />
kuchangia kwa uhuru, uhakika wa kuwepo na mfumo<br />
thabiti wa udhibiti wa ndani ulio imara katika<br />
Halmashauri. Waraka kutoka Ofisi ya waziri Mkuu, Tawala<br />
za Mikoa na Serikali za Mitaa kumb. Na.CHA:3/215/01 ya<br />
tarehe 27 Novemba, 2007 ambayo iko sambamba na<br />
utendaji wa kawaida wa kimataifa inasema kuwa “Maafisa<br />
Masuuli wanatakiwa kuanzisha kamati ya Ukaguzi wa<br />
Hesabu ambayo itakuwa huru kimajukumu kusaidia<br />
kuimarisha muundo wa udhibiti wa ndani”.<br />
(i)<br />
Uteuzi wa Mkaguzi wa Ndani kuwa katibu wa<br />
Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu<br />
Kanuni Na. 28 ya Kanuni za Fedha za Umma ya<br />
Mwaka 2004 inataka maafisa masuuli kuanzisha<br />
Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu yenye ufanisi wa kazi.<br />
Wakati wa ukaguzi tulibaini kuwa Mkaguzi wa ndani<br />
ameteuliwa kuwa katibu wa Kamati ya Ukaguzi wa<br />
Hesabu. Kwa kuwa Kamati ya Ukaguzi inawajibika<br />
moja kwa moja kutathmini kazi ya mkaguzi wa<br />
ndani, kupitisha mipango kazi na kutathmini<br />
utendaji wa Mkaguzi wa ndani wa kila siku, uteuzi<br />
wa Mkaguzi wa Ndani katika nafasi hiyo kunaweza<br />
kuathiri ufanisi wa kazi za Kamati ya Ukaguzi wa<br />
Hesabu.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
133
(ii)<br />
Udhaifu uliobainika wakati wa kutathmini utendaji<br />
wa Kamati za ukaguzi Hesabu katika Halmashuri<br />
Kamati ya ukaguzi inatakiwa kuwa na makubaliano<br />
ya Kamati ambayo yataeleza madhumuni, mamlaka,<br />
Muundo na muda wa wajumbe, kazi na wajibu,<br />
utoaji wa taarifa na utaratibu wa utawala. Ila ,<br />
mpaka wakati wa ukaguzi kamati za Ukaguzi<br />
hazikuwa na makubaliano. Waraka kutoka Ofisi ya<br />
Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa<br />
kumb. Na.CHA:3/215/01 ya tarehe 27 Novemba,<br />
2007 inaitaka Halmashauri kuwa na kamati ya<br />
Ukaguzi wa hesabu yenye ufanisi wa kazi zake. Ila<br />
katika tathmini ya utendaji wa kamati za Ukaguzi wa<br />
Hesabu katika baadhi ya Halmashauri tumebaini<br />
mapungufu ambayo tumeyatolea taarifa kama<br />
ifuatavyo:<br />
Na.<br />
Jina la<br />
Halmashauri<br />
1 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpwapwa<br />
2 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Mtwara<br />
Mikindani<br />
Makubaliano<br />
(Charter)<br />
Mkaguzi wa<br />
Ndani ni<br />
Katibu<br />
Mikutano<br />
ya robo<br />
mwaka<br />
Ofisi ya<br />
Taifa ya<br />
Ukaguzi<br />
ilialikwa<br />
Mipango ya<br />
Mkaguzi wa<br />
Ndani<br />
haikuthibitishwa<br />
<br />
<br />
3 Jiji la Mbeya <br />
4 Halmashauri ya<br />
Wilaya Mbeya<br />
5 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbarali<br />
6 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Hanang<br />
7 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilombero<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
8 Halmashauri ya <br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
134
Wilaya Morogoro<br />
9 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Manispaa<br />
Singida<br />
10 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kwimba<br />
11 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Magu<br />
12 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sengerema<br />
13 Halmashauri ya<br />
Mji wa Mpanda<br />
14 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mtwara<br />
15 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Newala<br />
16 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ukerewe<br />
17 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Iringa<br />
18 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilolo<br />
19 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ludewa<br />
20 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Makete<br />
21 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bukoba<br />
22 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kasulu<br />
23 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Kigoma Ujiji<br />
24 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Hai<br />
25 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tabora<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
26 Halmashauri ya <br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
135
Wilaya ya<br />
Mkinga<br />
27 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Arusha<br />
28 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bagamoyo<br />
29 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Rufiji<br />
30 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Kinondoni<br />
31 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Siha<br />
32 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Dodoma<br />
33 Halmshauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Ilala<br />
34 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Musoma<br />
35 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bariadi<br />
36 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Shinyanga<br />
37 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Lushoto<br />
38 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Rufiji<br />
39 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kishapu<br />
40 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Iramba<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
Kwa kutumia mapungufu ya kiutendaji hapo juu, tunashauri<br />
Serikali za Mitaa kufanya yafuatayo:-<br />
• Kamati za Ukaguzi wa Hesabu kufanya kazi kama<br />
chombo huru cha ushauri katika Halmashauri na iundwe<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
136
na wajumbe wasiopungua watatu – Diwani mmoja na<br />
wajumbe wengine wawili kutoka nje. Mwenyekiti<br />
atachaguliwa kutoka kamati nje ya wajumbe wa kamati<br />
na uteuzi wake utathibitishwa na baraza<br />
• Mkurugenzi asiwe mjumbe katika kamati ila anaweza<br />
kuhudhuria vikao<br />
• Mkaguzi wa Ndani atahudhuria vikao vya Kamati kama<br />
mjumbe mwalikwa na asiwe katibu wa Kamati kama<br />
ilivyo sasa.<br />
• Kamati yenye wajumbe zaidi ya watatu ni lazima<br />
iundwe na wajumbe wengi kutoka nje na wote<br />
watakuwa mamlaka sawa katika maamuzi.<br />
• Mkaguzi wa Nje ataalikwa kuhudhuria kwenye Kamati,<br />
kwa maamuzi ya kamati ila ni lazima ahudhurie vikao<br />
vinavyohusiana na kujadili rasimu ya hesabu za Mwaka<br />
na matokeo ya ukaguzi wa hesabu uliofanywa na<br />
Mkaguzi wa Nje.<br />
• Tathmini ya ufanisi wa kamati ya ukaguzi wa Hesabu ya<br />
mara kwa mara ni muhimu. Pendekezo ni mara moja<br />
kwa mwaka. Hii inaweza kufanywa Kama tathmini ya<br />
binafsi kwa kutumia vigezo vya mazoea mazuri.<br />
4.13.4 Utendaji wa Wakaguzi wa Ndani Halmashauri<br />
Katika taasisi nyingi za Serikali kuna aina mbili ya vyombo<br />
ambavyo jamii inaweza ikajiridhisha kuwa mali ya umma<br />
inatumka vizuri, ambavyo ni ukaguzi wa Ndani na Ukaguzi<br />
wa Nje. Katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, Ofisi ya<br />
Taifa ya Ukaguzi chini ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu<br />
inawajibika na ukaguzi wa nje. Kazi za ukaguzi wa ndani<br />
zinafanywa kwanza kabisa kwa manufaa ya Afisa Masuuli<br />
wa Halmashauri. Ingawa kazi ya ukaguzi wa nje kwanza<br />
kabisa inafanywa kwa manufaa ya Bunge, lakini bado<br />
manufaa yanakuwa ni Halmashauri.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
137
Ukaguzi wa ndani unahusisha utumiaji wa mbinu za<br />
kuchanganua taratibu za uongozi au matatizo na<br />
mapendekezo ya suluhu. Mawanda ya ukaguzi wa ndani ni<br />
mapana na yanahusisha udhibiti wa ndani kama vile ufanisi<br />
wa kazi, usahihi wa taarifa za fedha, uzuiaji na uchunguzi<br />
wa wizi, utunzaji wa mali, na ufuataji wa sheria na kanuni.<br />
Wakati wa ukaguzi wa mwaka 2007/2008, tulitathmini<br />
vitengo vya ukaguzi wa ndani katika Halmashauri kwa<br />
kufuata matakwa ya Sehemu ya 45(1) ya Sheria za Fedha za<br />
Halmashauri ya Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982<br />
(iliyorekebishwa 2000) na Maagizo Na.12 – 16 ya Memoranda<br />
ya Fedha ya Serikali za Mitaa ya mwaka 1997 ilibainika<br />
kwamba kuna mapungufu makubwa licha ya mapendekezo<br />
yetu yanayohusiana na kazi za wakaguzi wa ndani kwa<br />
miaka ya nyuma. Mapungufu yalibainika karibu Halmashauri<br />
zote, matokeo ya sampuli iliyochaguliwa ni kama ifuatavyo:<br />
Na Halmashauri Watumis<br />
hi chini<br />
ya<br />
watatu<br />
1 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpwapwa<br />
Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Dodoma<br />
2 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Mtwara<br />
Mikindani<br />
3 Halmashauri ya<br />
Jiji la Mbeya<br />
4 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbeya<br />
Idadi ya<br />
Vifungu<br />
Wanafanya<br />
uhakiki<br />
wa<br />
malipo<br />
kabla ya<br />
kulipwa<br />
Menejimenti<br />
hawajibu<br />
hoja za<br />
wakaguzi<br />
Hawafanyi<br />
tathmini ya<br />
utendaji kazi<br />
/mipango ya<br />
Mwaka<br />
haipitishwi<br />
na kamati ya<br />
ukaguzi wa<br />
hesabu<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
138
5 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbarali<br />
6 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Hanang<br />
7 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilombero<br />
8 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Morogoro<br />
9 Halmashauri ya<br />
Wilaya Ukerewe<br />
10 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Singida<br />
11 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpanda<br />
12 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Nkasi<br />
13 Manispaa ya<br />
Sumbawanga<br />
14 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Siha<br />
15 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Iringa<br />
16 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilolo<br />
17 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ludewa<br />
18 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Makete<br />
19 Halmashauri ya<br />
Jiji la Tanga<br />
20 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Muheza<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
Kwa ufupi, mwaka 2007/2008 mambo yafuatayo yalibainika:<br />
• Kitengo cha ukaguzi wa ndani hakina kifungu cha fedha<br />
katika bajeti na hivyo hutegemea zaidi fedha kutoka<br />
idara zingine kwa matumizi ya kawaida.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
139
• Halmashauri nyingi zimeanzisha vitengo vya ukaguzi wa<br />
ndani ambavyo havina watumishi wa kutosha.<br />
Halmashauri nyingi zimeonekana kuwa na mtumishi<br />
mmoja au wawili ambao hawatoshelezi.<br />
• Mawanda ya ukaguzi kwa Wakaguzi wa Ndani ni<br />
machache, msisitizo ukiwa katika ukaguzi wa nyaraka<br />
badala ya kupima matokeo, usimamizi wa miradi,<br />
uandaaji wa taarifa za fedha na taratibu za utendaji<br />
katika kufikia malengo yaliyowekwa na Halmashauri.<br />
• Menejimenti ya Halmashauri zilizo nyingi huwa hawajibu<br />
na kuchukua hatua madhubuti dhidi ya hoja za wakaguzi<br />
wa ndani. Kwa hali hii kazi za Wakaguzi wa Ndani huwa<br />
hazina manufaa katika kuimarisha usimamizi wa fedha.<br />
• Mipango ya mwaka ya Wakaguzi wa Ndani huwa<br />
haithibitishwi na Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu.<br />
4.14 Uchambuzi wa ugharimiaji<br />
Ugharimiaji katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa nchini<br />
Tanzania unatokana na vyanzo vikuu vitatu vifuatavyo;<br />
• Vyanzo vya ndani vya mapato<br />
• Ruzuku ya Serikali<br />
• Wafadhili<br />
4.14.1 Utendaji kifedha wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa<br />
mwaka 2007/2008<br />
Uhakiki wa mapato na matumizi ya Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa kwa mwaka 2006/07 ulitoa matokeo yafuatayo:<br />
• Halmashauri ishirini na nane (28) zilitumia jumla ya<br />
Sh.260,559,263,688 kati ya mapato ya<br />
Sh.232,989,909,648 na kusababisha matumizi ziada<br />
Sh.27,569,354,041. (Kiambatanisho 15 chahusika).<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
140
• Halmashauri mia moja na tano (105) zilitumia jumla ya<br />
Sh.929,417,430,857 kati ya mapato ya<br />
Sh.1,014,488,715,963 na kusababisha ziada ya<br />
Sh.85,071,285,107. Uchambuzi wa kina wa<br />
Halmashauri zinazohusika umeonyeshwa katika<br />
kiambatisho namba 16 cha ripoti hii.<br />
4.14.2 Ulinganisho kati ya maduhuli yaliyotokana na vyanzo<br />
vya ndani vya Halmashauri, ruzuku za Serikali Kuu na<br />
fedha za wahisani kwa mwaka 2006/2007 na<br />
2007/2008<br />
Mwaka<br />
Jumla ya<br />
maduhuli toka<br />
vyanzo vya<br />
ndani vya<br />
Halmashauri<br />
(Sh.)<br />
Jumla ya ruzuku<br />
za<br />
serikali/wafadhili<br />
(Sh.)<br />
% ya jumla ya<br />
maduhuli toka vyanzo<br />
vya ndani na Jumlaya<br />
ruzuku ya<br />
serikali/wafadhili<br />
(Sh.)<br />
2006/2007 77,310,930,607 914,713,448,103 8.5<br />
2007/2008 93,545,987,812 1,140,847,566,087 9.2%<br />
Jedwali hapo juu linaonyesha kwamba mapato yatokanayo<br />
na maduhuli toka vyanzo vya ndani vya Halmashauri<br />
yaliongezeka kidogo katika mwaka 2007/2008 kulinganisha<br />
na mwaka 2006/2007.<br />
Jumla ya maduhuli ya Halmashauri yatokanayo na vyanzo<br />
vya ndani yaliongezeka toka Sh.77,310,930,607 mwaka<br />
2006/2007 hadi Sh. 93,545,987,812 mwaka 2007/2008<br />
sawa na asilimia ishirini na moja (21%).<br />
Hata hivyo, wakati maduhuli yatokanayo na vyanzo vya<br />
ndani vya Halmashauri yanapolinganishwa na ruzuku za<br />
Serikali na wafadhili inaonekana kwamba Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa zinategemea mno ruzuku za Serikali na<br />
wafadhili. Hii inaashiria kwamba Mamlaka za Serikali za<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
141
Mitaa hazifanyi jitihada za kutafuta vyanzo vingine vya<br />
kuongeza ukusanyaji wa maduhuli. Kwa mfano, mwaka<br />
2006/2007 maduhuli ya Halmashauri toka vyanzo vya ndani<br />
yalikuwa Sh.77,310,930,607 ambapo Sh.914,713,448,103<br />
zilitokana na ruzuku za Serikali na wafadhili. Hali<br />
kadhalika, maduhuli kutoka vyanzo vya ndani vya<br />
Halmashauri kwa mwaka 2007/2008 yalikuwa ni<br />
Sh.93,545,987,812 ukilinganisha na Sh.1,140,847,566,087<br />
fedha toka ruzuku ya Serikali na Wafadhili.<br />
MWELEKEO <strong>WA</strong> UGHARIMIAJI KATIKA HALMASHAURI<br />
Kiasi (Sh.)<br />
Milioni<br />
1,200,000<br />
1,000,000<br />
800,000<br />
600,000<br />
400,000<br />
200,000<br />
Vyanzo vya ndani<br />
Ruzuku ya<br />
Serikali /wafadhili<br />
0<br />
2006 /2007 2007/ 2008<br />
Miaka<br />
Muhimili unaonyesha kwamba Mamlaka za Halmashauri za<br />
Serikali za Mitaa zinategemea kwa kiasi kikubwa ruzuku<br />
toka Serikali Kuu na fedha za wafadhili. Inaonyesha pia<br />
kuwa Halmashauri haziwezi kuendesha shughuli zake bila<br />
kutegemea ruzuku za Serikali Kuu na wafadhili. Kwa hali<br />
hiyo menejimenti za Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
zinashauriwa kutafuta njia mbadala ambazo zinaweza<br />
kuongeza wigo wa vyanzo vya mapato yao ya ndani.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
142
4.15 Ukaguzi wa Bajeti<br />
4.15.1 Uhakiki wa utaratibu wa Bajeti<br />
Sehemu ya 43(1) ya Sheria za Fedha za Halmashauri ya<br />
Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa<br />
2000) inazitaka Halmashauri kuandaa makisio ya mwaka<br />
ya mapato na matumizi. Zaidi ya hapo, Halmashauri<br />
zinatakiwa kutengeneza bajeti na kupeleka mipango na<br />
bajeti kwa kufuata MKUKUTA.<br />
Mipango na bajeti za Halmashauri zilizo pitishwa zitoe<br />
mwelekeo na miongozo kwa watumishi wa Halmashauri na<br />
wadau wengine katika kutoa huduma na utekelezaji wa<br />
shughuli zilizopangwa.<br />
Zaidi ya kuonyesha shughuli zilizopangwa kwa utekelezaji<br />
na huduma zitakazotolewa kwa mwaka, mipango na bajeti<br />
pia ziweze kudhibitiwa na kutathminiwa wakati wa<br />
utekelezaji wa mipango na Bajeti.<br />
Lengo kuu kuhusiana na utaratibu wa bajeti za Halmashuri<br />
ni kuhakikisha kuwa mapato yaliyopangwa yanadhibitiwa.<br />
Katika kutathmini utaratibu wa bajeti kwenye Halmashauri,<br />
tumebaini yafuatayo:-<br />
Namba Jina la<br />
Matokeo ya Ukaguzi<br />
Halmashauri<br />
1. Manispaa ya • baadhi ya vifungu vimetumia mara<br />
Singida<br />
saba zaidi ya bajeti<br />
• Matumizi pungufu ya bajeti katika<br />
baadhi ya vifungu kwa 44% hadi<br />
100%<br />
• Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />
• Tofauti kubwa kati ya bajeti na<br />
matumizi kwa ujumla<br />
• Hasara ya Sh.196,161,516<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
143
2. Halmashauri ya<br />
wilaya Ileje<br />
3. Halmashauri ya<br />
Wilaya Mbarali<br />
4. Halmashauri ya<br />
Wilaya Rungwe<br />
5. Halmashauri ya<br />
Wilaya Morogoro<br />
Taarifa ya maliganisho kati ya bajeti<br />
na matumizi kinyume na Agizo Na. 42-<br />
43 la Sheria za Fedha za Halmshauri ya<br />
Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982<br />
(iliyorekebishwa 2000)<br />
Matumizi zaidi ya makisio<br />
yaliyopitishwa kwa Sh.16,681,413<br />
Matumizi zaidi ya makisio<br />
yaliyopitishwa kwa Sh.4 39,924,185<br />
Tofauti kubwa kati ya makisio<br />
yaliyopitishwa na matumizi yanayozidi<br />
asilimia thelathini na sita (36%) ya<br />
bajeti.<br />
6. Manispaa Arusha Malipo kwa madeni ya miaka ya nyuma<br />
bila kuwa kwenye bajeti Sh.44,154,124<br />
na hakuna uthibitisho kuwa kiwango<br />
hicho kiliwekwa kwenye wadai wa<br />
mwaka 2006/2007.<br />
7. Halmashauri ya<br />
Wilaya Tabora<br />
8. Halmashauri ya<br />
Wilaya Bahi<br />
9. Halmashauri ya<br />
Wilaya Mpwapwa<br />
• Matumizi ya Sh.44,187,780 bila kuwa<br />
kwenye bajeti<br />
• Matumizi zaidi ya bajeti katika<br />
baadhi ya vifungu kwa 13% hadi<br />
100%<br />
Taarifa ya utekelezaji wa bajeti<br />
haikuletwa pamoja na hesabu za<br />
mwaka<br />
• Taarifa ya utekelezaji wa bajeti<br />
haikuletwa pamoja na hesabu za<br />
mwaka<br />
• Matumiza zaidi ya bajeti<br />
iliyopitishwa kwa 15% hadi 95%<br />
katika baadhi ya vifungu<br />
10. Manispaa Dodoma • Taarifa ya utekelezaji wa bajeti<br />
haikuletwa pamoja na hesabu za<br />
mwaka<br />
• Tofauti kubwa kati ya bajeti na<br />
matumizi katika baadhi ya vifungu<br />
bila maelezo yoyote inayofikia<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
144
11. Halmashauri ya<br />
Wilaya Iringa<br />
12. Halmashauri ya<br />
Wilaya Ludewa<br />
13. Halmashauri ya<br />
Wilaya Kilolo<br />
14. Halmashauri ya Mji<br />
Njombe<br />
15. Halmashauri ya<br />
Wilaya Kasulu<br />
16. Manispaa ya<br />
Kigoma Ujiji<br />
17. Halmashauri ya<br />
Wilaya Rombo<br />
18. Halmashauri ya<br />
Wilaya Moshi<br />
Sh.173,801,116.40<br />
• Matumizi pungufu ya bajeti katika<br />
baadhi ya vifungu yanayofikia<br />
Sh.598,264,082<br />
Tofauti kubwa kati ya kiasi<br />
kilichokisiwa cha makusanyo ya<br />
mapato ya ndani na mapato halisi<br />
kutokana na makisio yasiyo ya kweli.<br />
Makusanyo ya ndani kukusanywa zaidi<br />
ya makisio kwa 49%<br />
Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />
ndani na makusanyo halisi imebainika<br />
kuwa na makusanyo pungufu kwa 10%<br />
hadi 94%<br />
Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />
ndani na makusanyo halisi imebainika<br />
kuwa na makusanyo pungufu kwa 7%<br />
hadi 84%<br />
Taarifa ya ulinganisho wa makisio ya<br />
mapato ya ndani na makusanyo halisi<br />
haikuandaliwa na kuletwa na tofauti<br />
hazikuelezwa<br />
Taarifa ya ulinganisho wa makisio ya<br />
mapato ya ndani na makusanyo halisi<br />
haikuandaliwa na kuletwa pamoja na<br />
hesabu za mwaka<br />
Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />
pamoja na hesabu za mwaka<br />
• Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />
pamoja na hesabu za mwaka<br />
• Mgawanyo wa fedha za nyongeza<br />
kwenye taarifa ya makisio na halisi.<br />
19. Halmashauri ya Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />
Wilaya Siha pamoja na hesabu za mwaka<br />
20. Manispaa ya Moshi Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />
pamoja na hesabu za mwaka<br />
21. Halmashauri ya Matumizi bila kuwa na makisio<br />
Wilaya Tunduru Sh.47,760,267 kinyume na Sehemu Na.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
145
43 ya Sheria za Fedha za Halmashauri<br />
ya Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka<br />
1982 (iliyorekebishwa 2000)<br />
22. Halmashauri ya Matumizi zaidi ya makisio<br />
Wilaya Tandahimba yaliyopitishwa kwa Sh.11,386,625,415<br />
23. Manispaa ya Iringa Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />
ndani na makusanyo halisi imebainika<br />
kuwa na makusanyo pungufu kutokana<br />
na kutokana na kutokuwa na utafiti wa<br />
kina kuhusu uwezo wa Halmashauri<br />
kukusanya mapato.<br />
24. Halmashauri ya<br />
Wilaya Mufindi<br />
25. Halmashauri ya<br />
Wilaya Njombe<br />
26. Halmashauri ya<br />
Wilaya Masasi<br />
4.15.2 Kuandaa Upya Bajeti ya Salio Anzia<br />
Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />
ndani na makusanyo halisi imebainika<br />
kuwa na makusanyo pungufu kutokana<br />
na kutokana na kutokuwa na utafiti wa<br />
kina kuhusu uwezo wa Halmashauri<br />
kukusanya mapato<br />
Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />
ndani na makusanyo halisi imebainika<br />
na makusanyo pungufu kuliko<br />
ilivyokusudiwa. Katika ukaguzi<br />
ilibainika kuwa Halmashauri ya Mji wa<br />
Njombe haikufanya utafiti kuelewa<br />
mapato yake halisi kabla ya<br />
kutayarisha bajeti na hii imesababisha<br />
tofauti kubwa<br />
Matumizi katika baadhi ya vifungu<br />
vyenye matumizi zaidi na matumizi<br />
pungufu ya makisio ambayo kwa<br />
ujumla wake yanafikia Sh.163,587,579<br />
Katika kuandaa wigo wa bajeti, Salio anzia ni lazima<br />
lifikiriwe, kiasi kwamba sehemu ya salio anzia kwa miradi<br />
inayoendelea ni lazima lichanganuliwe kwa kufuata miradi<br />
hiyo. Hii itaongeza uwazi kwa kuwa inaeleweka kuwa sio<br />
fedha zote zilizoko katika Halmashauri aidha ni za<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
146
makusanyo ya ndani au ruzuku zinatumika kwa mwaka<br />
husika. Baadhi ya fedha zimebaki hazijatumika kwa miaka<br />
ya 2006/07 na 2007/2008.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
147
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
148
SURA <strong>YA</strong> TANO<br />
UCHAMBUZI <strong>WA</strong> MCHAKATO <strong>WA</strong> MANUNUZI KATIKA MAMLAKA <strong>ZA</strong><br />
<strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA<br />
5.1 Utangulizi<br />
Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.21 ya 2004 inaeleza kuwa<br />
manunuzi ni mchakato unaofanywa na taasisi katika<br />
kununua, kukodisha, au kwa maana nyingine upatikanaji<br />
wa bidhaa, kazi za ujenzi au huduma kwa kutumia fedha<br />
za umma na kujumuisha njia zote zinazohusisha kupata au<br />
kununua bidhaa au kazi za ujenzi au huduma, kwa kuitisha<br />
zabuni na kufanya maandalizi ya uingiaji wa mikataba.<br />
Katika zama hizi za ushindani kati ya mahitaji na<br />
rasilimali zilizopo, suala la uwajibikaji na uwazi katika<br />
Serikali linapewa umuhimu mkubwa kwani usimamizi mzuri<br />
wa manunuzi inaiwezesha Serikali kupata mafanikio katika<br />
malengo yake ya Kisiasa, kiuchumi na kijamii. Kutokana na<br />
ukweli huu, ni dhahiri kuwa manunuzi ni eneo muhimu<br />
katika kukagua na yafuatayo ndiyo yaliyojitokeza:<br />
5.1.1 Uzingatiaji wa Sheria ya Manunuzi<br />
Kifungu cha 44 (2) cha Sheria ya manunuzi ya Umma Na.21<br />
ya mwaka 2004 na Kanuni Na.31 ya manunuzi ya Umma<br />
(bidhaa, ujenzi, huduma ambazo si za ushauri na kuuza<br />
mali za umma kwa njia ya zabuni), Toleo Na.97 la Serikali<br />
la mwaka 2005 ninatakiwa kueleza katika ripoti yangu ya<br />
mwaka ya ukaguzi kwamba taasisi inayokaguliwa<br />
imezingatia au haikuzingatia mahitaji ya sheria na<br />
kanuni zake. Kwa kuzingatia majukumu haya kwa taasisi<br />
inayofanya manunuzi zikiwemo Halmashauri, tamko la<br />
ujumla la Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
ni kwamba hali ya kiwango cha uzingatiaji wa sheria katika<br />
ukaguzi uliofanyika haukuridhisha kama mahitaji ya sheria<br />
yanavyotaka.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
149
5.2 Uimarishwaji wa Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi<br />
Kifungu cha 34 cha Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.21 ya<br />
mwaka 2004 na Kanuni Na.22 ya Bodi ya Zabuni ya Serikali<br />
za Mitaa ya mwaka 2007 inazitaka taasisi zinazofanya<br />
manunuzi kuanzisha vitengo vya usimamizi wa manunuzi<br />
vinavyojumuisha wajumbe wenye umahiri mkubwa. Hivyo<br />
basi kitengo hicho kitajumuisha wataalam wa manunuzi pia<br />
na wataalum wa kada mbalimbali wenye fani maalum<br />
wakisaidiwa na wale wa fani ya utawala.<br />
Kazi za kitengo cha Manunuzi zimeainishwa katika kifungu<br />
cha 35 cha Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.21 ya mwaka<br />
2004 ambapo ni pamoja na kusimamia shughuli zote za<br />
manunuzi katika taasisi inayohusika ikiwa ni pamoja na<br />
kuandaa mpango wa manunuzi ili kuiwezesha bodi ya<br />
zabuni iweze kufanya kazi zake ipasavyo kama vile kufanya<br />
maamuzi mbalimbali, kuratibu shughuli zote za manunuzi<br />
katika idara husika,kutayarisha nyaraka za zabuni na<br />
mikataba pia kutunza na kuhifadhi nyaraka zenye kuonesha<br />
kumbukumbu za manunuzi yaliyofanywa.<br />
Ni dhahiri kuwa kitengo hiki kinatakiwa kujumuisha<br />
wajumbe wenye umahiri mkubwa kwa idadi yao na kwa sifa<br />
walizo nazo za kitaaluma kiasi kwamba kutokuwa na<br />
umahiri na sifa za kutosha watashindwa kutekeleza<br />
matakwa ya Sheria ya Manunuzi ya mwaka, 2004 na kanuni<br />
zake.<br />
Tathmini iliyofanywa juu ya shughuli zilizotekelezwa na<br />
vitengo vya Manunuzi katika Halmashauri mbalimbali<br />
tumebaini mambo yafuatayo:-<br />
5.2.1 Taarifa za vitengo vya Manunuzi zimekuwa zikipelekwa<br />
kwa waweka Hazina waJiji/Manispaa/Mji Na Wilaya.<br />
Kinyume na kanuni namba 22(5) ya Kanuni ya Bodi ya<br />
zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2007 ambayo<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
150
inawataka wakuu wa vitengo vya Manunuzi kutoa taarifa<br />
zao moja kwa moja kwa Maafisa Masuuli. Maeneo mengine<br />
yaliyobainika kuwa na udhaifu ni kama yafuatayo katika<br />
jedwali hili:-<br />
Na Jina la<br />
Halmashauri<br />
1. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Musoma<br />
2. Halmashauri ya<br />
wilaya Mpwapwa<br />
3. Halmashauri ya<br />
wilaya Kilombero<br />
4. Halmashauri ya<br />
wilaya Morogoro<br />
5. Halmashauri ya<br />
wilaya Kwimba<br />
6. Hallmashauri ya<br />
wilaya<br />
Sengerema<br />
7. Manispaa ya<br />
Singida<br />
8. Manispaa ya<br />
Musoma<br />
Halmashauri<br />
9. ya wilaya<br />
Ukerewe<br />
10.<br />
Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Bukoba<br />
Matokeo ya Ukaguzi<br />
Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi amekuwa<br />
akiwajibika kwa Mweka Hazina wa wilaya badala<br />
ya Afisa Masuuli.<br />
Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi na<br />
ile Taarifa ya mwaka hazikuwasilishwa ukaguzi<br />
Taarifa za kila mwezi na ya mwaka<br />
hazikutayarishwa.<br />
Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />
hazikutayarishwa ambapo ni kinyume na kanuni<br />
namba 23 ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya Serikali<br />
za Mitaa ya mwaka 2007.<br />
Kitengo cha Manunuzi hakijaanzishwa<br />
Muhtasari wa vikao vilivyofanywa na kitengo cha<br />
Manunuzi na Taarifa mbalimbali muhimu<br />
kuthibitisha utendaji wa kitengo hiki ndani ya<br />
Halmashaurri hazikuweza kupatikana.<br />
Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />
hazikutayarishwa ambapo ni kinyume na kanuni<br />
namba 23 ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya Serikali<br />
za Mitaa ya mwaka 2007.<br />
Taarifa za kila mwezi na ya mwaka<br />
hazikutayarishwa<br />
Tangu kitengo cha Manunuzi kianzishwe<br />
Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />
hazikutayarishwa ambapo ni kinyume na<br />
kanuni namba 23(e) hadi (q) ya Kanuni za Bodi<br />
ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2007<br />
na kutangazwa katika Gazeti la Serikali<br />
namba 177 chapisho la tarehe 3/8/2007.<br />
Muhtasari wa vikao vilivyofanywa na kitengo<br />
cha Manunuzi hazikunakiliwa ofisi ya Taifa ya<br />
Ukaguzi,ni dhahiri utendaji wa kitengo hiki<br />
kuwa wa kutia shaka.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
151
11. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Singida<br />
12. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Sengerema<br />
13. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Tabora<br />
14. Halmashauri<br />
ya wilaya Hai<br />
15. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Kasulu<br />
Taarifa za kila mwezi na ya mwaka<br />
hazikutayarishwa kinyume na kanuni namba<br />
23 ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya Serikali za<br />
Mitaa ya mwaka 2007. Pia, ilibainika kuwa<br />
Kitengo cha Manunuzi hakiwajibiki moja kwa<br />
moja kwa Afisa Masuuli kinyume na kanuni<br />
namba 22 (5) ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 2007.<br />
Tangu kitengo cha Manunuzi kianzishwe<br />
Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />
hazikutayarishwa ambapo ni kinyume na<br />
kanuni namba 23(e) hadi (q) ya Kanuni za Bodi<br />
ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2007<br />
na kutangazwa katika Gazeti la Serikali<br />
namba 177 chapisho la tarehe 3/8/2007.<br />
Imetuwia vigumu kupima ufanisi wa kitengo<br />
cha Manunuzi kwa vile kitengo hiki kipo chini<br />
ya Idara ya Fedha na kuuongozwa na Mweka<br />
Hazina wa Wilaya.<br />
Kitengo kinatunza faili mahsusi kwa ajili ya<br />
kitengo cha Manunuzi lakini nyaraka<br />
mbalimbali muhimu zikiwemo muhtasari ya<br />
vikao haikuweza kuonekana ndani ya faili hili.<br />
Hali hii ndiyo iliyosababisha kutoweza kupima<br />
ufanisi wa kitengo hiki.<br />
• Taarifa ya mwaka ya Manunuzi ya mwaka<br />
2007/2008 haikuweza kupatikana kwa<br />
kufanyiwa Ukaguzi.<br />
• Hakuna Mafaili maalum kwa ajili ya kitengo cha<br />
Manunuzi<br />
• Waombaji wa utoaji wa huduma za uzabuni<br />
hawajulishwi Matokeo ya vikao vya zabuni.<br />
• Halmashauri hawana Daftari linalo onesha<br />
manunuzi mbalimbali yaliyofanywa.<br />
16. Manispaa ya<br />
Kigoma /Ujiji<br />
17. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Taarifa za kila mwezi na ya mwaka<br />
hazikutayarishwa na kuletwa Ukaguzi.<br />
• Muhtasari wa Kikao cha Bodi ya Zabuni<br />
cha tarehe 29/1/08 kimebainisha kuwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
152
Kisarawe<br />
18. Halmashauri<br />
ya Jiji Dar es<br />
salaam<br />
19. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Ulanga<br />
20. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Mvomero<br />
21. Halmashauri<br />
ya wilaya Bahi<br />
22. Manispaa ya<br />
Dodoma<br />
23. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Kondoa<br />
Bodi ya Zabuni kinafanya shughuli za<br />
Kitengo cha manunuzi na kile cha kamati<br />
ya tathmini.<br />
• Katika hatua nyingine ya ushiriki wa<br />
kitengo cha Manunuzi kwa mujibu wa<br />
kanuni ya 18(a) hadi (c) ya Kanuni za<br />
Bodi ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya<br />
mwaka 2007haikuweza kuthibitishwa.<br />
Ukaguzi umebaini kuwa kitengo cha Manunuzi<br />
hakijatoa mchango wa kutosha ili kuifanya<br />
Bodi ya Zabuni iweze kutekeleza majukumu<br />
yake ipasavyo kinyume na sehemu 35 (c)<br />
inayokitaka kitengo cha Manunuzi kutekeleza<br />
maamuzi ya Bodi ya Zabuni.<br />
Taarifa ya mwaka ya utekelezazi juu ya<br />
manunuzi mbalimbali yaliyofanywa<br />
haikutayarishwa na kitengo cha Manunuzi hali<br />
iliyosababisha kutofanyika tathimni ya<br />
shughuli za kitengo cha manunuzi.<br />
Kitengo cha Manunuzi kimeshindwa kutoa<br />
Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />
kinyume na kanuni namba 23 ya Kanuni za<br />
Bodi ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka<br />
2007.<br />
Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi<br />
na ile Taarifa ya mwaka 2007/2008<br />
hazikuwasilishwa ukaguzi.<br />
Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi<br />
na ile Taarifa ya mwaka 2007/2008<br />
hazikuwasilishwa ukaguzi.Pia,Mkuu wa<br />
Kitengo cha manunuzi anawajibika kwa<br />
Mweka Hazina wa Manispaa. Utaratibu huu ni<br />
kinyume na kanuni na.22 (5) ya Kanuni za<br />
Bodi ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka<br />
2007 ambayo inataka Kitengo Cha Manunuzi<br />
kuwajibika moja kwa moja kwa Afisa Masuuli.<br />
Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi<br />
na ile Taarifa ya mwaka 2007/2008<br />
hazikuwasilishwa ukaguzi.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
153
24. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Kongwa<br />
25. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Nanyumbu<br />
26. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Ludewa<br />
27. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Tarime<br />
28. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Mkuranga<br />
29. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Chato<br />
Taarifa ya manunuzi ya mwaka 2007/2008<br />
imeonesha kutokamilika kutokana na<br />
kukosekana kwa taarifa muhimu kama vile<br />
makadirio ya manunuzi ya vifaa au huduma<br />
mbalimbali zilizopangwa kufanyika na sababu<br />
zilizosabaisha kutofanyika kwa baadhi ya<br />
manunuzi.<br />
Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi amekuwa<br />
akiwajibika kwa Mweka Hazina wa wilaya<br />
badala ya Afisa Masuuli<br />
Hakuna mafaili ya kutunza nyaraka za<br />
manunuzi pia taarifa ya manunuzi<br />
haikutayarishwa.<br />
Kitengo cha Manunuzi hakijaanzishwa<br />
kinyume na sehemu ya 34 Sheria ya<br />
Manunuzi, 2004 badala yake kitengo cha<br />
Manunuzi kilianzishwa kama kamati yenye<br />
wajumbe watatu.<br />
• Mchanganyiko wa wajumbe wa Kamati<br />
ya Manunuzi haukuzingatia matakwa ya<br />
kifungu cha 34 cha Sheria ya Manunuzi<br />
ya mwaka 2004.Kamati hii<br />
imewajumuisha Mganga Mkuu wa<br />
Wilaya,Afisa Ununuzi,Afisa Elimu wa<br />
Wilaya,Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya<br />
na Mweka Hazina.<br />
Hata hivyo hakuna ushahidi kuthibitisha kuwa<br />
taarifa za kila robo mwaka ziliwasilishwa<br />
kwenye taasisi husika kinyume na matakwa ya<br />
Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2001 na ile<br />
iliyofanyiwa marekebisho ya mwaka 2004.<br />
Halmashauri imeshindwa kuanzisha Kitengo<br />
cha Manunuzi kinyume na Sheria ya Manunuzi<br />
namba 21 ya Mwaka 2004.<br />
30. Igunga DC Kitengo cha Manunuzi kipo chini ya idara ya<br />
Fedha kikiongozwa na Mweka Hazina na<br />
imekuwa ikiwajibika kwa Mweka Hazina wa<br />
wilaya badala ya Mkurugenzi wa Halmashauri<br />
ambaye ni Afisa Masuuli.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
154
31. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Lushoto<br />
32. Manispaa ya<br />
Tabora<br />
33. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Kibondo<br />
34. Manispaa ya<br />
Kinondoni<br />
• Kitengo cha Manunuzi kinaongozwa na<br />
Mhandisi wa Wilaya ambapo ni kinyume<br />
cha kifungu cha 34(4) cha Sheria ya<br />
Manunuzi ya mwaka 2004 na Kanuni ya<br />
22(4) ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 2007<br />
ambapo inatakiwa kitengo hiki<br />
kiongozwe na mtu mwenye sifa ya fani<br />
ya manunuzi na uzoefu wa kutosha<br />
kama vile Afisa ununuzi.<br />
Pia ukaguzi ilibaini kuwa mjumbe mmoja wa<br />
Kamati ya Manunuzi alikuwa ni Mwanasheria<br />
wa Halmashauri ambaye anahusika sana<br />
katika kuandaa mikataba na kuwa na nguvu ya<br />
kisheria katika kusaini mikataba<br />
mbalimbali.Hali hii inakinzana na dhana ya<br />
utawala bora kwa kuhusika kwake katika<br />
sehemu zote mbili.<br />
• Muhtasari wa vikao vilivyofanywa na<br />
kitengo cha Manunuzi hazikunakiliwa<br />
ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.<br />
Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi anawajibika<br />
kwa Mweka Hazina wa Manispaa ambapo ni<br />
kinyume cha kanuni ya 22 (5) ya Sheria ya<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 2007 ambayo<br />
inataka Mkuu wa KItengo cha Manunuzi<br />
kuwajibika moja kwa moja kwa Afisa Masuuli.<br />
Muhtasari wa vikao vilivyofanywa na kitengo<br />
cha Manunuzi haikunakiliwa ofisi ya Taifa ya<br />
Ukaguzi<br />
Ili kukidhi matakwa ya Kifungu namba 35 (o) ya<br />
Sheria namba 21 ya Manunuzi ya mwaka 2004,<br />
kitengo cha Manunuzi kinatakiwa kutayarisha<br />
taarifa ya kila mwezi ya shughuli ilizozifanya na<br />
kuipeleka kwenye Bodi ya Zabuni ya Manispaa.<br />
Ukaguzi umeshindwa kuthibitisha kama<br />
kitengo cha Manunuzi kimekidhi matakwa ya<br />
kifungu cha 35 (o) cha Sheria ya Manunuzi<br />
namba 21 ya Mwaka 2004.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
155
35. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Nzega<br />
36. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Chamwino<br />
37. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Misungwi<br />
38. Halmashauri<br />
ya wilaya<br />
Manyoni<br />
39. Manispaa ya<br />
Temeke<br />
Kitengo cha Manunuzi kimeshindwa kutoa<br />
Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka kwa<br />
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu kinyume<br />
na kanuni namba 23 ya Kanuni za Bodi ya<br />
Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2007.<br />
Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi<br />
na ile Taarifa ya mwaka zikionesha shughuli<br />
za kitengo hazikutayarishwa.<br />
Tangu kitengo cha Manunuzi kianziswhe<br />
kimeshindwa kutekeleza majukumu yake<br />
kama yalivyo ainishwa katika kifungu 23(e)<br />
hadi (q) cha Bodi ya Zabuni ya Serikali za<br />
Mitaa ya mwaka 2007 na kutangazwa katika<br />
Gazeti la Serikali namba 177 chapisho la<br />
tarehe 3/8/2007.<br />
Kitengo cha Manunuzi kimeshindwa<br />
kutayarisha Taarifa ya utekelezaji wa<br />
manunuzi na kusabaisha ukaguzi kushindwa<br />
kufanya tathmini ya kitengo hiki kwa mwaka<br />
husika.<br />
• Kitengo cha Manunuzi katika<br />
Halmashauri ya Manispaa hakina<br />
wataalam wenye ujuzi wa masuala<br />
ya Manunuzi na wale wenye fani<br />
maalum kinyume na kanuni ya 22 (2)<br />
ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka<br />
2007.Badala ya watumishi<br />
walioajiriwa, kamati inafanya kazi<br />
zake kama kamati ikijumuisha<br />
wajumbe walioteuliwa na haina<br />
hadhi kama kitengo au idara.<br />
Mkuu wa kitengo kinacho<br />
fanya kazi zake kama kitengo<br />
cha manunuzi kinapeleka<br />
taarifa zake kwa Mweka<br />
Hazina wa Manispaa badala ya<br />
kupeleka taarifa zake moja<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
156
kwa moja kwa Afisa Masuuli<br />
ambapo ni kinyume na kanuni<br />
namba 22 (5) Kanuni za Bodi<br />
ya Zabuni ya Serikali za Mitaa<br />
ya mwaka 2007.Utoaji huu wa<br />
taarifa ulitolewa na Afisa<br />
Masuuli kupitia barua yake<br />
yenye kumbukunbu Na.<br />
TMC/C/2/19/198; ya tarehe<br />
15 July, 2008.<br />
Ukaguzi umebaini kuwa chanzo kikubwa cha kutokufuatwa<br />
kwa Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2004 na kanuni zake ni<br />
kukosekana kwa vitengo vya manunuzi vilivyo madhubuti<br />
ndani ya Halmashauri kadhaa.Kuna baadhi ya Halmashauri<br />
ambazo ingawa zimeunda vitengo vya Manunuzi lakini<br />
vitengo hivyo bado havina watumishi waliopata mafunzo na<br />
wenye sifa zinazokidhi kwa wao kuwa miongoni mwa<br />
wajumbe wa kitengo cha Manunuzi.<br />
5.3 Upembuzi wa manunuzi ya bidhaa, kazi za ujenzi na<br />
huduma katika Serikali za Mitaa<br />
Sehemu hii ina dhamiria kutoa mwelekeo ni kwa kiasi gani<br />
baadhi ya Halmashauri za Serikali za Mitaa zimeweza<br />
kukidhi matakwa ya Sheria ya manunuzi namba 21 ya<br />
mwaka 2004 na kanuni zake za mwaka 2005, pia na<br />
Memoranda ya fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />
5.3.1 Vifaa vilivyonunuliwa lakini havikuingizwa katika daftari<br />
la vifaa Sh.265,703,896<br />
Agizo Na.207 la Memoranda ya fedha za Serikali za Mitaa ya<br />
mwaka 1997 linatamka kwamba kumbukumbu za vifaa<br />
vilivyopokelewa, kutolewa na vilivyobaki katika ghala,<br />
kuingizwa katika kurasa tofauti za leja zikionyesha tiririko<br />
wa manunuzi, tarehe ya manunuzi, hati ya kupokelea<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
157
idhaa, idadi na bei kwa kila kifaa. Aidha inahitaji<br />
kumbukumbu ya tarehe ya kutoa, kiasi kilichotolewa,<br />
namba ya hati iliyotumika kutoa na bakaa halisi.<br />
Ukaguzi uliofanyika katika usimamiaji wa vifaa umebaini<br />
kwamba Halmashauri 24 hazikuzingatia agizo hili.<br />
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)<br />
1. Halmashauri ya Wilaya Lushoto 15,512,850<br />
2 Halmashauri ya Wilaya Magu<br />
7,324,140<br />
3 Halmashauri ya Wilaya Mwanga 26,691,896<br />
4 Halmashauri ya Wilaya Hai 5,065,000<br />
5 Halmashauri ya Wilaya Kishapu 3,015,000<br />
6 Halmashauri ya Mji Korogwe 10,814,000<br />
7. Halmashauri ya Wilaya Ngara 11,131,725<br />
8 Halmashauri ya Wilaya<br />
1,699,000<br />
Ukerewe<br />
10 Halmashauri ya Wilaya<br />
2,143,200<br />
Kisarawe<br />
11 Halmashauri ya Wilaya Kilwa 6,376,825.60<br />
12 Halmashauri ya Wilaya Tarime 4,450,000<br />
13 Halmashauri ya Wilaya Longido 65,959,330<br />
14 Halmashauri ya Wilaya Meru 25,225,400<br />
15 Halmashauri ya Wilaya Monduli 25,072,559<br />
16 Halmashauri ya Wilaya Kilolo 6,101,750<br />
17. Halmashauri ya Wilaya<br />
Shinyanga 3,678,640<br />
18 Halmashauri ya Jiji la Mbeya 8,961,600<br />
19 Halmashauri ya Manispaa ya<br />
16,920,700<br />
Morogoro<br />
20 Halmashauri ya Wilaya Mbeya 2,914,000<br />
21. Halmashauri ya Wilaya<br />
2,143,200<br />
Kisarawe<br />
22 Halmashauri ya Wilaya 4,740,700<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
158
Namtumbo<br />
23 Halmashauri ya Manispaa ya<br />
11,903,850<br />
Dodoma<br />
24 Halmashauri ya Wilaya<br />
20,695,520<br />
Mvomero<br />
Jumla 265,703,896<br />
5.3.2 Bidhaa ambazo zimelipiwa lakini hazijapokelewa au<br />
zimepokelewa pungufu Sh.697, 077,950<br />
Bidhaa zenye thamani ya Sh.697,077,950 zilizoagizwa na<br />
kulipiwa zilionekana aidha kupokelewa pungufu au<br />
kutopokelewa kabisa na Halmashauri ambazo<br />
zimeorodheshwa katika jedwali hapa chini. Hali inakinzana<br />
na matakwa ya Kanuni ya Manunuzi ya Umma Na.122<br />
kifungu (1) ambayo inahitaji taasisi inayofanya manunuzi<br />
kupata taarifa za mapokezi ya bidhaa zilizopokelewa, ili<br />
kulinganisha na mikataba na kuruhusu malipo kwa muuzaji<br />
kufanyika mapema iwezekanavyo.<br />
Na Halmashauri Vifaa/Huduma Kiasi (Sh.)<br />
1. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Meru<br />
Vifaa vya Ujenzi<br />
1,800,000<br />
2. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mufindi<br />
Ununuzi wa gari bila<br />
kupokelewa<br />
46,660,000<br />
3. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kisarawe<br />
4. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Magu<br />
5. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sikonge<br />
Ununuzi wa samani lakini<br />
hazijapokelewa<br />
Ununuzi wa dawa na<br />
vifaa vya hospitali<br />
ambavyo<br />
havijapokelewa<br />
Ununuzi wa Vifaa<br />
mbalimbali<br />
3,500,000<br />
62,396,200<br />
14,690,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
159
6. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sengerema<br />
7. Manispaa<br />
Tabora<br />
Ununuzi wa gari bila<br />
kupokelewa 30,935,000<br />
Ununuzi wa dawa<br />
6,155,200<br />
ambazo hazijapokelewa<br />
8. JIJI la DSM Ununuzi wa magari<br />
ambayo hayajapokelewa 225,000,000<br />
9. Halmashauri ya Ununuzi wa gari bila<br />
Wilaya ya Nkasi kupokelewa 9,200,000<br />
10. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mufindi<br />
11. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Namtumbo<br />
12. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Morogoro<br />
13 Manispaaa<br />
Dodoma<br />
Ununuzi wa gari bila<br />
kupokelewa<br />
Ununuzi wa gari bila<br />
kupokelewa<br />
Ununuzi wa gari bila<br />
kupokelewa<br />
Ununuzi wa gari bila<br />
kupokelewa<br />
46,660,000<br />
112,706,550<br />
66,875,000<br />
70,500,000<br />
Jumla 697,077,950<br />
5.3.3 Manunuzi yasiyozingatia ushindani wa bei<br />
Sh.106,142,346<br />
Ukaguzi wa hati za malipo na kumbukumbu za manunuzi<br />
uligundua kwamba Halmashauri zilizo orodheshwa hapa<br />
chini zilifanya malipo ya Sh.106,142,346 kugharimia ujenzi,<br />
ununuzi wa bidhaa na kulipia huduma za ushauri. Hata<br />
hivyo ilidhihirika kwamba zabuni hazikuitishwa wala<br />
hakukuwa na ushindani wa bei kutoka kwa wauzaji<br />
mbalimbali ili kuwezesha Halmashauri kupata bei nafuu na<br />
kiwango bora kwa bidhaa, kazi za ujenzi na huduma.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
160
Halmashauri 6 zilizo orodheshwa hapa chini zilifanya<br />
manunuzi ya bidhaa bila kufuata taratibu za ushindani wa<br />
bei:-<br />
Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)<br />
1 Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha 16,440,550<br />
2 Halmashauri ya Wilaya ya Songea 12,331,000<br />
3 Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 36,750,000<br />
4 Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 5,498,096<br />
5 Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa 28,136,000<br />
6 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe 6,986,700<br />
Jumla 106,142,346<br />
5.4 Usimamiaji wa Mikataba na kukidhi matakwa ya Sheria ya<br />
Manunuzi<br />
Sehemu hii imeweka mkazo katika usimamizi wa Mikataba<br />
na jinsi Halmashauri mbali mbali zilivyoweza kukidhi<br />
matakwa ya Sheria za Manunuzi, hali ambayo ukaguzi<br />
umeweza kubaini mambo ya msingi ambayo yameainishwa<br />
katika taarifa hii na pia katika barua za ukaguzi ambazo<br />
zimetumwa katika Halmashauri mbalimbali kwa mwaka wa<br />
fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2008.<br />
Katika nchi mbalimbali masuala ya Manunuzi ni moja ya<br />
maeneo yanayokabiliwa na hatari nyingi. Hii inatokana<br />
kuwa maamuzi ya manunuzi yanahitaji kufanyika kwa<br />
umakini hasa ikizingatiwa ni bidhaa gani au huduma ya aina<br />
gani inataka kununuliwa, pia ni njia zipi zinatumika<br />
kumpata Mkandarasi au Mtoa huduma.Kimsingi eneo hili<br />
limefafanuliwa vya kutosha chini ya kifungu cha 34 cha<br />
Sheria ya Manunuzi namba 21 ya Mwaka 2004 ambapo<br />
imeeleza kuwa ili kutekeleza kazi zake Bodi za Zabuni na<br />
Taasisi zinazofanya manunuzi ni vyema zikajizatiti kufikia<br />
viwango vya hali ya juu vya usawa katika kuwapata<br />
wazabuni,kwa kuzingatia yafuatayo:-<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
161
(a) Kutoa fursa sawa kwa waombaji wa kutoa<br />
huduma,wakandarasi au washauri waelekezi<br />
(b) Kutotoa upendeleo kwa upande wowote<br />
(c) Haja ya kuzingatiwa kwa dhana nzima ya thamani ya<br />
fedha hususan bei, ubora na utoaji huduma kwa<br />
viwango na vigezo vilivyowekwa.<br />
Mara nyingi manunuzi yanagubikwa katika mazingira<br />
hatarishi pale ambapo Bodi za zabuni na Taasisi<br />
zinazofanya manunuzi zinaposhindwa kufikia viwango vya<br />
juu vya usawa kwa walioomba kutoa huduma mbalimbali<br />
kama ilivyoainishwa chini ya kifungu cha 43 cha Sheria ya<br />
Manunuzi ya mwaka 2004.<br />
Pia, kifungu cha 44(1) cha Sheria ya Manunuzi ya mwaka<br />
2004, kinatamka kuwa ni jukumu la kila Afisa Masuuli,<br />
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi inayofanya manunuzi<br />
kuhakikisha kuwa vifaa vinavyonunuliwa, shughuli ya ujenzi<br />
au huduma zinafanyika kwa kuzingatia taratibu zote kama<br />
zilivyo ainishwa kwenye Sheria ya Manunuzi ya Mwaka 2004<br />
na Kanuni zake za Mwaka 2005. Kutokana na sababu<br />
zilizotajwa hapo juu, imebainika kuwa sehemu ya<br />
usimamizi wa mikataba na ule wa uzingatiaji wa Sheria ya<br />
manunuzi ni eneo ambayo ukaguzi ulitilia mkazo. Hivyo<br />
kutokana na zoezi hili la ukaguzi ninawajibika kutolea<br />
taarifa eneo lifuatalo:-<br />
5.4.1 Nyaraka pungufu katika mikataba mbalimbali na ukosefu<br />
wa kumbukumbu za miradi Sh.2,684,574,948<br />
Ni jambo muhimu sana kutunza kumbukumbu zinazohusu<br />
miradi au mikataba katika faili moja kwa urahisi wa<br />
kufanya marejeo au ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi au<br />
mikataba.<br />
Tabia ya utunzaji wa kumbukumbu sio tu unarahisisha<br />
upatikanaji wa taarifa kwa urahisi zaidi kwa halmashauri<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
162
husika bali pia inawawezesha wadau wa maendeleo au<br />
wakaguzi kupata taarifa sahihi na kwa wakati.Aidha,<br />
wakaguzi walishindwa kupata nyaraka mbalimbali muhimu<br />
katika zoezi la ukaguzi kama vile Hati za Mikataba,<br />
Mchanganuo wa gharama za bei (BOQ), Hati za Wahandisi,<br />
Hati fungani na Idhini ya uwekezaji.Matokeo ya zoezi hili la<br />
Ukaguzi limeoneshwa kwa kina katika kimbatisho namba 17<br />
katika taarifa hii.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
163
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
164
SURA <strong>YA</strong> SITA<br />
6.0 MATOKEO <strong>YA</strong> KAGUZI MAALUM<br />
Sheria ya Fedha za umma namba 6 ya mwaka 2001 (na<br />
marekebisho ya mwaka 2004) na kama ilivyo huishwa na<br />
Sheria ya Ukaguzi wa Umma namba 11 ya mwaka 2008<br />
kifungu cha 36(1) imempa mamlaka Mdhibiti na Mkaguzi<br />
Mkuu wa Hesabu za Serikali kufanya ukaguzi maalum pale<br />
itakapoonekana kuna umuhimu wa kufanya hivyo. Sheria hii<br />
imeweka bayana kuwa pale Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />
Heasabu za Serikali anapoona kuwa kuna dalili ya matumizi<br />
mabaya ya fedha au mali ya Serikali na kuna haja ya<br />
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lijulishwe juu<br />
ya kadhia hiyo basi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu<br />
atafanya ukaguzi maalum na kupeleka taarifa yake kwa<br />
Mheshimiwa Rais.<br />
Ni katika hali hii ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />
Hesabu za Serikali imeweza kufanya kaguzi maalum saba<br />
(7) katika Halmashauri ya Serikali za Mitaa kama<br />
inavyooneshwa hapa chini:-<br />
6.1 Matokeo kwa ufupi ya kaguzi maalum zilizofanyika<br />
mwaka 2007/08<br />
Katika mwaka 2007/08 tulifanya kaguzi maalum katika<br />
Halmashauri 7 ambazo ni Halmashauri za Wilaya ya<br />
Mkuranga, Kilwa, Ludewa, Kibondo, Meatu, Ukerewe na<br />
Karatu.<br />
Mambo yaliyojitokeza katika kaguzi maalum hizi ni kama<br />
ifuatavyo:<br />
6.1.1 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu<br />
• Kiasi cha Sh.35,831,200 kimelipwa kwa mkandarasi kwa<br />
ajili ya matengenezo ya muda maalum na ukarabati wa<br />
barabara bila kuwapo kwa nyaraka za mikataba.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
165
• Ukaguzi ulibaini ubora ulio hafifu wa madarasa mawili na<br />
nyumba moja ya mwalimu zilizotengenezwa, maeneo<br />
yaliyoonyesha kuwa hafifu ni kama vile sakafu haikujengwa<br />
kwa umadhubuti na imebomoka na kubakia mchanga. Pia<br />
dari limeanza kubomoka na milango haikuwa imewekwa.<br />
Uhakiki wa taarifa ya Utekelezaji wa Miradi mbalimbali<br />
iliyowasilishwa mbele ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za<br />
Serikali za Mitaa (LAAC) na taarifa zilizoko katika vitabu<br />
vya hesabu vya Halmashauri ya Wilaya ya Meatu kwa<br />
mwaka wa fedha 2006/2007 ilibaini upungufu ufuatao:-<br />
Na<br />
i.<br />
ii.<br />
iii.<br />
iv.<br />
v.<br />
Maelezo<br />
Kiasi cha<br />
fedha kwa<br />
mujibu wa<br />
taarifa ya<br />
kamati (Sh.)<br />
Kiasi cha<br />
fedha kwa<br />
mujibu wa<br />
vitabu vya<br />
Hesbu (Sh.)<br />
Tofauti<br />
(Sh.)<br />
Ukarabati wa<br />
Barabara ya Bukundi<br />
- Mwanhuzi 10,163,200 5,082,000 5,081,200<br />
Gharama za<br />
usimamizi wa kazi<br />
ya ujenzi wa<br />
barabara 24,282,330 6,320,000 17,962,330<br />
Ununuzi wa vifaa<br />
vya kuandikia kwa<br />
shughuli ya<br />
ukarabati wa<br />
Barabara ya<br />
Mwanhuzi-Busia 0 18,623,000 -18,623,000<br />
Ununuzi wa vifaa<br />
vya ujenzi wa<br />
madarasa mawili<br />
Shule ya Sekondari<br />
ya Lubiga 4,269,550 4,334,550 -65,000<br />
Ujenzi wa nyumba<br />
ya mfanyakazi<br />
zahanati ya<br />
Mwashata 9,540,200 7,198,200 2,342,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
166
vi.<br />
vii.<br />
viii.<br />
ix.<br />
x.<br />
xi.<br />
xii.<br />
Ujenzi wa darasa<br />
Mwabusalu 9,984,000 10,184,000 -200,000<br />
Ujenzi wa darasa<br />
Nkoma 6,568,290 8358061 -1,789,771<br />
Ujenzi wa nyumba<br />
ya mfanyakazi<br />
zahanati ya<br />
Mwanjoro 7,526,000 6,360,000 1,166,000<br />
Gharama ya<br />
mafunzo kwa Wakuu<br />
wa idara,madiwani<br />
na viongozi wa<br />
vijiji. 26,031,100 25,808,500 222,600<br />
Gharama ya<br />
mafunzo kwa<br />
wafanyakazi wa<br />
Mwabuzo, Mwanhuzi<br />
na Mwandoya 8,967,000 8,695,300 271,700<br />
Ufuatiliaji na<br />
usimamizi wa<br />
gharama za VVU 8,924,000 8,489,800 434,200<br />
Ujenzi wa nyumba<br />
ya waalimu (2 kwa<br />
1) 4,454,000 2,906,600 1,547,400<br />
Jumla 120,709,670 112,360,011 8,349,659<br />
6.1.2 Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa<br />
• Malipo ya Mishahara yalifanywa kwa watumishi<br />
waliostaafu/kuacha kazi Sh.5,690,748.59 kinyume na<br />
taratibu.<br />
• Vitabu vya makusanyo vilivyotolewa Kwa Watendaji<br />
wa Kata na ambavyo bado havijarudi ni Vitabu 31<br />
• Mapato yaliyopelekwa Benki pungufu Sh.2,525,137<br />
• Malipo ya awali Kutolipwa na Mawakala Kama<br />
Makubaliano Kwenye Mikataba Sh.4,820,000<br />
• Mikataba ya kukusanya Mapato bila ya Kufanyiwa<br />
upembuzi yakinifu.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
167
• Kutoingizwa kwa fedha za madawa katika vitabu vya<br />
Halmashauri Sh.350,215,749<br />
• Madawa yenye thamani ya Sh.93,318,496.91 bila<br />
usuluhisho kati ya halmashauri na Bohari Kuu ya<br />
Madawa (MSD) ili kuwa na usahihi wa hesabu zake.<br />
• Malipo ya fedha nje ya Bajeti na Mpango wa kazi<br />
uliopitishwa Sh.13,266,000<br />
6.1.3 Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga<br />
• Ucheleweshwaji wa mawasilisho ya makusanyo ya<br />
ushuru kinyume na Mkataba wa uwakala wa ukusanyaji<br />
ushuru Sh.49,000,000<br />
• Upungufu wa mawasilisho ya makusanyo Sh.25,200,000<br />
• Fedha zilizokopwa bado kurejeshwa Sh.1,038,500<br />
• Upotevu wa mabati yapatayo 426 yenye thamani ya<br />
Sh.5,226,385<br />
• Utoaji wa kandarasi ya ukusanyaji mapato kwa Wakala<br />
ambaye hajasajiliwa<br />
• Udhaifu katika utunzaji wa kumbukumbu<br />
• Hali halisi ya ujenzi wa Josho na Bwawa kutofahamika<br />
na kiasi cha Sh.19,000,000 zimetumika hadi sasa, pia<br />
Skimu ya Umwagiliaji ya Yavayava ambayo<br />
imeshatumia kiasi cha Sh.106,620,960 bado<br />
haijakamilika.<br />
• Malipo ya ziadi yasiyostahili ya Sh.4,624,916<br />
yamefanywa kwa Mkandarasi.<br />
• Kumekuwapo na ucheleweshaji wa kukamilisha ujenzi<br />
wa daraja moja,madarasa 11 na zahanati 3.<br />
• Kisima kirefu kilichogharimu kiasi cha Sh.49,346,000<br />
bado hakijaanza kutumika.<br />
• Manunuzi ya Kompyuta yenye viwango vya kitaalamu<br />
(Technical Specifications) chini ya vilivyoonyeshwa<br />
kwenye nyaraka za manunuzi.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
168
• Malipo ya kiasi cha Sh.4,237,000 kwa ajili ya bidhaa na<br />
huduma mbalimbali bila ya ushindani toka kwa<br />
wazabuni.<br />
• Magari mawili ya Halmashauri yamezuiwa katika<br />
karakana za watu binafsi tangu mwaka 2000 kutokana<br />
na Halmashauri kushindwa kulipia gharama za<br />
matengenezo.<br />
• Mafuta yenye thamani ya Sh.40,626,450 yalinunuliwa<br />
lakini hakuna uthibitisho wa matumizi yake ingawa<br />
yaliingizwa vitabuni.<br />
• Dhima ya dharura ya Sh.145,026,157 ikiwa ni wadai<br />
mbalimbali waliofungua kesi mahakamani dhidi ya<br />
Halmashauri hayakuoneshwa vitabuni kwenye hesabu<br />
za mwaka 2007/2008<br />
• Upotevu wa nyaraka za Sh.346,310,809<br />
6.1.4 Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo<br />
• Nyaraka mbalimbali za mikataba 46 ambayo<br />
Halmashauri imeingia na mawakala wa ukusanyaji<br />
ushuru haikuweza kupatikana, pia mikataba minne<br />
ambayo Halmashuri imeingia na watoa huduma na<br />
wauzaji wa vifaa imeshindwa kuletwa wakati wa<br />
ukaguzi.<br />
• Malipo mbalimbali ya Sh.100,409,150 yana upungufu<br />
wa nyaraka kama vile ankara,hati za kupokelea bidhaa<br />
na hati za uthibitisho wa malipo.<br />
• Hati za malipo ya Sh.11,882,160 hazikupatikana<br />
wakati wa zoezi la ukaguzi.<br />
• Vitabu 501 vya kukusanyia maduhuli vyenye thamani<br />
ya Sh.10,020,000 na vitabu 28 (thamani yake<br />
haikuweza kufahamika) vilivyoagizwa na kupokelewa<br />
havikuingizwa kwenye daftari la kumbukumbu ya<br />
vitabu vya kukusanyia mapato.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
169
6.1.5 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu<br />
• Malipo ya Mishahara yalifanywa kwa watumishi<br />
waliostaafu, kuacha kazi au kufariki ya Sh.52,820,145<br />
na kugundulika kuwa ni mishahara isiyochukuliwa na<br />
wahusika. Kiasi chote hicho hakikurudishwa Hazina<br />
kama taratibu zinavyoagiza.<br />
• Mishahara ya Sh.6, 056,891 ililipwa kwa mtumishi<br />
aliyekwisha kustaafu.<br />
• Vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya Sh.7,851,000 kwa<br />
ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Lambo katika<br />
eneo la GYEKRUM havikuweza kutumika. Hali hii<br />
ilibainika na kuthibitishwa wakati wa ziara ya ukaguzi<br />
iliyotembelea majengo Shule hii.<br />
• Ujenzi wa madarasa mawili umegharimu kiasi kikubwa<br />
cha fedha zaidi ya yale yaliyokadiriwa na Wizara ya<br />
Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kila darasa moja.<br />
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ilikadiria kuwa<br />
kila darasa lingegharimu sh 7,000,000 hivyo kufanya<br />
malipo ya madarasa yote mawili kuwa sh.14,301,355.<br />
• Thamani ya madarasa 10 katika Shule ya Sekondari ya<br />
Lambo –GYEKRUM yaliyojengwa chini ya ufadhili wa<br />
jimbo la Minnesota huko nchini Marekani haikuweza<br />
kufahamika kwani fedha zilipokelewa moja kwa moja<br />
na mmoja wa madiwani ambae pia alitoa vifaa vya<br />
ujenzi kutoka kwenye duka lake la Vifaa vya Ujenzi<br />
lijulikanalo kwa jina la Jubilate Mnyenye Hardware.<br />
Hati zihusuzo malipo haya hazikuweza kuletwa kwa<br />
wakaguzi wakati zoezi hili lilipokuwa likifanyika.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
170
6.1.6 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe<br />
• Katika miaka ya fedha 2006/2007 na 2007/2008<br />
Halmashauri imeshindwa kutayarisha usuluhisho wa<br />
benki kwa hesabu zote inazozitunza.<br />
• Mkaguzi wa ndani ambaye majukumu yake ni kukagua<br />
hesabu za halmashauri imebainika kuwa naye yumo<br />
katika orodha ya maafisa wanaoidhinisha malipo.<br />
• Halmashauri haina Daftari ambalo linatunza<br />
kumbukumbu za mishahara isiyochukuliwa na<br />
wahusika.<br />
• Mwaka wa fedha 2006/2007 kulifanyika malipo ya<br />
mishahara kwa watu wasiokuwa watumishi wa<br />
halmashauri ya Sh.1,067,061.<br />
• Mawakala wa ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri<br />
walishindwa kuwasilisha kiasi cha Sh.63,494,000 kwa<br />
miaka ya 2006/2007 na 2007/2008.<br />
• Halmashauri ya Wilaya iliingia mikataba mitatu (3) na<br />
mawakala wa ukusanyaji wa mapato ya Halmashuri<br />
ambao walishindwa kuwasilisha makusanyo katika<br />
mwaka wa fedha 2007/2008. Hata hivyo ukaguzi<br />
ilibaini dosari mbalimbali ikiwamo ile ya mkataba<br />
kukosekana kwa namba ya kumbukumbu ya mkataba<br />
na kukosekana kwa sehemu ya kutia saini<br />
walioshuhudia utiwaji wa saini wa mkataba kama<br />
mashahidi. Hii inaonesha udhaifu mkubwa katika<br />
usimamizi wa Mikataba.<br />
• Mikataba yenye thamani ya Sh.39,616,000 kati ya<br />
Halmashuri na mawakala wa ukusanyaji wa mapato<br />
haikuweza kupatikana wakati wa zoezi la ukaguzi.<br />
• Makusanyo ya Sh.81,620,545 toka kwa Bohari Kuu ya<br />
Madawa (MSD) haikuingizwa vitabuni.<br />
• Halmashauri iliingia mkataba na kampuni ya Masons<br />
Construction ltd ya mjini Musoma kwa ajili ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
171
ukarabati wa jengo la halmashuri kwa gharama ya<br />
Sh.276,334,297. Aidha, dosari zifuatazo ziligundulika:-<br />
‣ Halmashauri imetumia kiasi cha Sh.59,334,277<br />
zaidi ya bajeti yake.<br />
‣ Mkataba haukuingizwa katika daftari la Mikataba.<br />
‣ Kazi hii ilitolewa bila ya kutangazwa ili kuleta<br />
ushindani toka kwa wazabuni.<br />
‣ Mkandarasi amelipwa kiasi cha Sh.29,923,400<br />
kuweka matangi ya kuhifadhia maji ya ujazo wa<br />
lita 2000 kila moja, mita na pampu ya kuvuta maji.<br />
Lakini ukaguzi ulibaini kuwa kazi hii ilifanywa na<br />
Halmashuri yenyewe kwa kutumia fedha za ruzuku<br />
ya maendeleo (CDG).<br />
‣ Hata hivyo kazi hii haikuweza kukamilika katika<br />
muda uliopangwa yaani tarehe 25/08/2008.<br />
• Katika mwaka wa fedha 2007/2008 Halmashauri ilipokea<br />
mgao wa fedha kiasi cha Sh.174,081,250 kwenye<br />
matoleo ya fedha toka mfuko mkuu wa serikali<br />
Na.81/EB/AG/190/07/136 ya tarehe 08/10/2007. Aidha,<br />
hadi wakati wa zoezi hili la ukaguzi lilipokuwa<br />
likifanyika Halmashauri ilikuwa bado haijakiri mapokezi<br />
ya fedha hizo katika vitabu vyake.<br />
• Halmashauri ilipokea fedha za ruzuku toka katika Mfuko<br />
wa Ruzuku wa Halmashauri ya Serikali za Mitaa( LGCDG)<br />
kwa ajili ya ujenzi wa madarasa na ununuzi wa<br />
madawati kwa ajili ya Shule za msingi. Aidha, wakati wa<br />
ziara ya kukagua shughuli za ujenzi ilibainika kuwa<br />
madarasa manne(4) yalikuwa hayajakamilika na<br />
madawati yenye thamani ya Sh.4,142,000 yalikuwa<br />
bado hayajafikishwa katika shule zilizo kusudiwa.<br />
6.1.7 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa<br />
• Halmashauri ya wilaya ilipokea kiasi cha<br />
Sh.4,024,125 kwa mwaka wa fedha 2007/2008 ikiwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
172
ni asilimia 20 ya mapato yanayotoka kwenye chanzo<br />
cha mapato yaliyotokana na watoa huduma za hoteli<br />
chini ya Sheria ya Mahoteli aya ya 105 (kama<br />
ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2006 na kufutwa<br />
baada ya kuanzishwa kwa Sheria ya Utalii Na.29 ya<br />
mwaka 2008) na kifungu cha 7(v) cha Sheria ya<br />
Fedha ya Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982<br />
(kama ilivyorekebishwa mwaka 2000) na kiasi cha<br />
Sh.1,737,350 kilikusanywa katika mwaka wa fedha<br />
2006/2007. Aidha, ilibainika kuwa stakabaadhi<br />
zilizohusika katika kukusanya mapato haya<br />
hazikuweza kuwasilishwa kwa wakaguzi wakati wa<br />
zoezi la ukaguzi na kiasi hicho hakikuweza<br />
kuoneshwa katika daftari la mapato kwa minajili ya<br />
udhibiti wa mapato ya Halmashuri.<br />
• Kiasi cha Sh.10,145,000 kiliwasilishwa kwenye<br />
Halmashauri toka kwa mawakala mbalimbali wa<br />
mapato ya halmashauri, lakini ukaguzi umeshindwa<br />
kujiridhisha kuhusu usahihi wa mapato hayo<br />
kutokana na kutokuwapo kwa nyaraka muhimu.<br />
• Halmashuri imeonesha udhaifu wa udhibiti wa<br />
mapato kutokana na kukosekana kwa daftari la<br />
kumbukumbu linalo onesha kiasi cha makusanyo na<br />
mwezi ambao makusanyo hayo yamefanyika.<br />
• Taarifa inayotoa mchanganuo wa asilimia 20 ya<br />
makusanyo yanayobakizwa katika vijiji haikuweza<br />
kupatikana wakati wa zoezi la ukaguzi.<br />
• Mikataba mbalimbali ambayo Halmashauri imeingia<br />
na mawakala wa ukusanyaji wa mapato<br />
haikumshirikisha Mwanasheria wa Halmashuri.<br />
• Ushuru uliokusanywa toka katika nyumba za wageni<br />
40 uliofikia kiasi cha Sh.13,344,918 haukuwasilishwa<br />
katika Halmashuri katika kwa miaka miwili mfululizo<br />
yaani mwaka 2006/2007 na 2007/2008.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
173
• Halmashauri imeonesha kupokea kiasi cha Sh.30,036,398<br />
ikiwa ni asilimia 20 ya mapato yatokanayo na ada ya<br />
uwindaji chini ya kifungu Na.7 cha Sheria ya Fedha ya<br />
Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 iliyokusnywa<br />
katika miaka ya 2006/2007 na 2007/2008. Lakini ukaguzi<br />
umeshindwa kuthibitisha usahihi wa mapato hayo<br />
kutokana na kukosekana kwa Kiasi chote ambacho<br />
serikali ilikusanya kama ada ya uwindaji katika miaka<br />
husika.<br />
• Dawa zenye thamani ya Sh.10,681,100 na vifaa vya<br />
hospitali vyenye thamani ya Sh.11,202,800 vilipokewa<br />
toka Bohari Kuu ya Madawa na kutoka nchi ya<br />
Ujerumani.Lakini dawa na vifaa hivyo havikuingizwa<br />
vitabuni.<br />
• Hati ya mauzo ya madawa ya Sh.22,799,500 toka Bohari<br />
Kuu ya Madawa Mtwara haikuweza kupatikana<br />
ilipotakiwa na wakaguzi.<br />
• Jumla ya wafanyakazi 56 walipandishwa vyeo katika<br />
mwaka wa fedha 2006/2007 na kusababisha malipo ya<br />
Sh.53,615,730. Lakini ilibainika kuwa kibali toka Ofisi ya<br />
Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma hakikutolewa<br />
na kufanya zoezi zima kuwa batili.<br />
• Malipo ya Mishahara isiyochukuliwa na wahusika ya<br />
Sh.9,761,660 yalisababishwa na watumishi waliostaafu,<br />
kuacha kazi au kufariki kuendelea kulipwa ilihali<br />
haikuwa stahili yao.<br />
• Masurufu ya Sh.14,232,000 waliyopewa watumishi<br />
wakiwa nje ya vituo vyao vya kazi kwa shughuli za kikazi<br />
walikuwa hawajarejesha.<br />
• Malipo ya Sh.9,459,300 yalikuwa na nyaraka pungufu.<br />
• Halmashauri ilinunua vifaa vya hospitali vyenye thamani<br />
ya Sh.7,100,000 bila ya kufuata taratibu za manunuzi.<br />
• Katika mwaka wa fedha 2007/2008 Halmashuri iliingia<br />
katika mikataba na watoa huduma mbalimbali yenye<br />
thamani ya Sh.97,965,900 bila ya kufuata taratibu za<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
174
zabuni. Hali kadhalika, kamati za shule za sekondari<br />
ziliingia mikataba mbalimbali na ujenzi wa majengo<br />
yenye thamani ya Sh.22,500,000 bila kufuata taratibu za<br />
utoaji wa zabuni.<br />
Majumuisho ya ukaguzi maalum<br />
Ukaguzi maalum uliofanyika katika Halmashauri za Wilaya saba<br />
umeonyesha masuala yaliyojitokeza yakiwa ni pamoja na udhibiti<br />
hafifu wa ndani unahusu malipo ya mishahara, udhibiti hafifu<br />
katika makusanyo ya ndani na kutotoa hesabu sahihi za fedha<br />
zilizolipwa MSD na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa<br />
niaba ya Halmshauri.<br />
Kumekuwa na utaratibu hafifu kati ya wadau muhimu<br />
wanaohusika katika masuala mawili ambayo ni malipo ya<br />
mishahara na fedha zilizohamishiwa MSD. Wadau hawa ni<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa, Wizara ya Afya na Ustawi wa<br />
Jamii, Wizara ya Fedha na Uchumi pamoja na Ofisi ya Rais<br />
Menejimenti ya Utumishi wa Umma.<br />
Mishahara inayolipwa kwa wasio watumishi inasabishwa na Hazina<br />
kuchelewa kuondoa majina katika orodha ya mishahara baada ya<br />
kupata taarifa kutoka Halmashauri husika na Ofisi ya Rais<br />
Menejimenti ya Utumishi wa Umma.<br />
Pia imeonekana kwamba fedha zinapelekwa MSD kwa ajili ya<br />
madawa na vifaa - tiba katika hospitali zilizoko Wilayani bila<br />
wilaya husika kupewa taarifa mapema.<br />
Ukaguzi maalum umebaini kwamba mikataba kwa ajili ya<br />
ukusanyaji mapato ya ndani haikufanyika vizuri, kutokana na<br />
Halmashauri kutofanya upembuzi yakinifu wa vyanzo vyake vya<br />
mapato kabla ya kuingia mikataba.<br />
Pia ukaguzi huu maalum umeonyesha kuwa baadhi ya taarifa<br />
zinazopelekwa LAAC kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
175
hazifanani na zile zilizoko katika vitabu vya hesabu vya<br />
Halmashauri.<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi itaendelea kufanya ukaguzi maalum<br />
katika baadhi ya Halmashauri kila itakapo hitajika ili kuboresha<br />
usimamizi wa fedha na uwajibikaji katika Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
176
SURA <strong>YA</strong> SABA<br />
UKAGUZI <strong>WA</strong> MIRADI ILIYOPATA FEDHA TOKA K<strong>WA</strong> <strong>WA</strong>HISANI<br />
7.1 Utangulizi<br />
Ofisi yangu ina mamlaka ya kikatiba ya kukagua mapato<br />
yote ya serikali na matumizi yake. Mamlaka haya ya<br />
kisheria yamejumuisha pia ukaguzi wa miradi yote ya<br />
maendeleo inayopata fedha toka kwa wafadhili<br />
inayotekelezwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />
Nimeona kuna umuhimu mkubwa katika taarifa yangu ya<br />
mwaka kuwa na maelezo ya kutosha juu matokeo ya<br />
ukaguzi uliofanyika katika miradi mbalimbali iliyotekelezwa<br />
ili mamlaka zinazohusika ziweze kufahamu yale yote<br />
yaliyojitokeza katika zoezi hilo la ukaguzi wa miradi.<br />
Taarifa za ukaguzi za miradi husika zimetumwa kwa kila<br />
Halmashauri ambazo miradi hiyo imekuwa ikitekelezwa.<br />
Hapa najaribu kutoa kwa muhtasari matokeo ya ukaguzi wa<br />
miradi hiyo ambayo ni Mfuko wa kupambana na maradhi ya<br />
Ukimwi, Kifua kiku na Malaria, fedha zilizowekwa katika<br />
Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya, Mradi wa<br />
Maendeleo wa Sekta ya Maji, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii<br />
Tanzania na Mradi wa Maendeleo ya sekta ya Kilimo.<br />
Matokeo ya ukaguzi ni kama ifuatavyo:-<br />
7.2 Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />
Huduma za Afya (Basket Fund)<br />
7.2.1 Taarifa fupi ya mradi<br />
Mnamo mwaka 1999 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa<br />
Tanzania ilibuni mpango wa mageuzi na maendeleo ya<br />
sekta ya afya nchini. Na ilipofika mwezi Mei mwaka 2003<br />
Serikali ya Jamhuri ya Tanzania ikishirikiana na wadau<br />
mbalimbali walikubaliana kuanzisha Mpango mkakati wa<br />
Sekta ya Afya (HSDP) wa miaka mitano kuanzia Julai 2003<br />
hadi Juni 2008. Chini ya mpango huo Serikali ya Tanzania<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
177
kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Ofisi ya Waziri<br />
Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Wizara ya<br />
Fedha na Uchumi ndizo zilipewa jukumu la utekelezaji wa<br />
mpango wa kazi wa mwaka wa shughuli zote za mpango huu<br />
kama zilivyoainishwa katika Mpango ya Afya wa Wilaya.<br />
7.2.2 Fedha za Mpango<br />
Wahisani wa fedha hizi zilizowekwa kwenye Mfuko wa<br />
Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa ajili ya uboreshaji wa<br />
huduma za Afya wamefungua akaunti maalum katika Benki<br />
Kuu ya Tanzania na kwa kupitia akaunti hiyo fedha<br />
hutolewa kwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kila robo<br />
mwaka kupitia mfuko mkuu wa Hazina. Fedha<br />
zinazopelekwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii hufuata<br />
utaratibu wa kawaida ambao serikali ya Tanzania inautumia<br />
na kwa upande wa wahisani ni ile mihadi iliyowekwa<br />
inajumuishwa katika bajeti ya mwaka ya Wizara ya Afya na<br />
Ustawi wa Jamii.<br />
Katika mwaka huu wa fedha jumla ya kiasi cha Dola za<br />
kimarekani 40,061,231.01 ambazo ni sawa na Fedha za<br />
Tanzania Sh.47,275,858,103 (kiwango cha ubadilishaji cha<br />
sh 1,180.09 kwa Dola ya kimarekani) zilipokelewa kwenye<br />
Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa ajili ya<br />
kuboresha Huduma za Afya kwa Serikali za Mitaa na<br />
kugawanywa kwenda kwenye Halmashauri mbalimbali kama<br />
zilivyo ainishwa katika bajeti zao.<br />
7.2.3 Masurufu yasiyorejeshwa Sh.385,979,613<br />
Kwa mujibu wa kanuni na mwongozo namba 5.6.3 (e) wa<br />
Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />
Huduma za Afya kwa ajili ya Mpango wa Sekta ya<br />
uboreshaji wa huduma ya afya inatamka kuwa masurufu ya<br />
safari au masurufu maalum lazima yarejeshwe mara tu<br />
baada ya afisa kurejea kwenye kituo chake kazi au baada<br />
ya kukamilisha shughuli iliyokusudiwa kufanywa.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
178
Katika mwaka huu wa fedha nimegundua kuwa Halmashari<br />
kadhaa zimeonesha katika hesabu zao masurufu<br />
yasiyorejeshwa yaliyofikia kiasi cha Sh.385,979,613 ikiwa<br />
ni kinyume cha taratibu na kanuni za fedha. Agizo Na.134<br />
la Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 1997<br />
linasema “Masurufu ya safari au masurufu maalum lazima<br />
yarejeshwe ndani ya majuma mawili baada ya afisa kurejea<br />
kwenye kituo chake cha kazi au baada ya kukamilisha<br />
shughuli; kushindwa kurejesha hakutasababisha tu kiasi<br />
kinachodaiwa kukatwa kwenye mshahara wa afisa kwa kima<br />
kilichoongezwa bali pia kunaweza kusababisha kukatwa<br />
tozo ya si chini ya asilimia 5 ya mshahara wake.<br />
Pia, Agizo namba 135 na 136 la Memoranda ya Fedha za<br />
Serikali za Mitaa ya mwaka 1997 linafafanua kuwa ni<br />
marufuku kutoa masurufu kwa afisa ambaye hajafanya<br />
marejesho ya masurufu aliyopewa. Masurufu ambayo<br />
hayajarejeshwa na yamekuwa vitabuni kwa zaidi ya mwezi<br />
mmoja ni lazima yatozwe riba katika kiwango<br />
kinachotumiwa na mabenki ya kibiashara.<br />
Pamoja na taratibu zilizowekwa katika udhibiti wa<br />
matumizi, Halmashuri kadhaa zimeonesha uzembe katika<br />
kuhakikisha kanuni za fedha zinazingatiwa na marejesho ya<br />
masurufu yanafanywa kwa wakati. Orodha<br />
imeambatanishwa kama kiambatisho namba 15 ikionesha<br />
Halmashauri ambazo zimekuwa na masurufu ambayo<br />
hayajarejeshwa.<br />
7.2.4 Fedha ambazo hazijatumika sh 7,965,022,444<br />
Katika mwaka 2007/08 wa fedha ofisi ya Waziri Mkuu<br />
Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ilipokea kiasi cha Dola<br />
za Kimarekani 40,061,231 ambapo ni sawa na fedha za<br />
Tanzania Sh.47,275,858,103 (kiwango cha ubadilishaji cha<br />
Sh.1,180.09 kwa Dola ya kimarekani) ili kugharamia<br />
shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na fedha zilizowekwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
179
kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa<br />
utekelezaji wa Huduma za Afya kwenye Mamlaka za serikali<br />
za Mitaa. Aidha, ukaguzi uliofanywa juu ya hali ya kifedha<br />
ya Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa uboreshaji<br />
huduma za afya ulionesha kuwa kati ya fedha zote<br />
zilizotolewa katika mwaka wa fedha 2007/2008 kwenda<br />
kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa hazikutumika zote<br />
hivyo kuwa na bakaa ya kiasi cha Sh.7,965,022,444 ambapo<br />
ni sawa na asilimia kumi na saba (17%) ya fedha zote<br />
zilizotolewa.<br />
Hali hii inaashiria kuwa bajeti haikufuatwa ipasavyo na<br />
huduma iliyokusudiwa kwa jamii au walengwa hazikuweza<br />
kutolewa.<br />
7.2.5 Malipo yenye nyaraka pungufu na yasiyokuwa na idhini<br />
Sh.1,038,854,589<br />
Kanuni Na.31 ya manunuzi ya Umma (bidhaa, ujenzi,<br />
huduma ambazo si za ushauri na kuuza mali za umma kwa<br />
njia ya zabuni), ninatakiwa kueleza katika ripoti yangu ya<br />
mwaka ya ukaguzi kwamba taasisi inayokaguliwa<br />
imezingatia au haikuzingatia mahitaji ya sheria na<br />
kanuni zake hususan dhana nzima ya ushindani katika utoaji<br />
wa zabuni, kuidhinisha manunuzi au uuzaji wa mali ya<br />
serikali kwa njia ya zabuni kupitia Bodi za Zabuni<br />
zilizowekwa na mamlaka husika. Hali kadhalika, Kanuni<br />
Na.45 ya Kanuni ya Bodi ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya<br />
mwaka 2007 inamtaka Mkaguzi wa Hesabu za Halmashauri<br />
ya Serikali za Mitaa kutoa maelezo kama Halmashauri<br />
husika imezingatia kanuni za manunuzi hasa dhana ya<br />
manunuzi kwa njia ya ushindani na manunuzi yote<br />
yameidhinishwa na Bodi za manunuzi za Halmashauri.<br />
Ikizingatiwa mamlaka ya kisheria niliyopewa, nimeweza<br />
kupitia mchakato nzima wa manunuzi ya fedha zilizowekwa<br />
katika Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa ajili ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
180
kuboresha huduma za afya ikiwa ni pamoja na manunuzi<br />
yote yaliyofanyika kupitia Fedha zilizowekwa katika Mfuko<br />
wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa hesabu zilizoishia<br />
tarehe 30 Juni 2008. Ukaguzi uliofanywa umeweza kubaini<br />
udhaifu na mambo kadhaa yaliyofanyika kinyume na<br />
taratibu. Halmashauri karibu zote 133 zimebainika kukiuka<br />
taratibu mbalimbali ambazo zimehusisha malipo takribani<br />
ya Sh.1,038,854,589. Maeneo ambayo yaliyo onesha<br />
udhaifu ni kwa baadhi ya Halmashauri hizo kutoanzisha<br />
Vitengo vya Manunuzi, kufanya manunuzi bila ya kupata<br />
idhini ya Bodi za Zabuni, baadhi ya manunuzi yalikiuka<br />
viwango vilivyowekwa kisheria kwa Maafisa Masuuli, malipo<br />
yenye nyaraka pungufu, kukosekana kwa hati za malipo ya<br />
manunuzi yaliyofanywa kwa watoa huduma pekee<br />
wasiothibitishwa, pia ununuzi wa vifaa tiba toka kwenye<br />
maduka binafsi badala ya Bohari Kuu ya Madawa (MSD).<br />
Taarifa kamili zinazoonyesha matokeo ya zoezi hili la<br />
Ukaguzi wa Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa<br />
Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa ajili ya kuboresha<br />
huduma ya afya zimetumwa kwa kila Halmashauri. Kwa<br />
muhtasari matokeo ya ukaguzi yameonyeshwa katika<br />
kiambatisho Na.18 kwenye Taarifa hii ya Ukaguzi.<br />
7.2.6 Vifaa vilivyonunuliwa lakini havikupokewa au vilipokewa<br />
pungufu Sh .354,770,127<br />
Vifaa vyenye thamani ya Sh.354,770,127 vilinunuliwa<br />
kupitia Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma ya Afya, lakini<br />
ilibainika kuwa vifaa vilivyoagizwa na kulipiwa vilipokewa<br />
pungufu au havikupokewa kabisa. Udhaifu huu unakinzana<br />
na Kanuni Na.122 ya Manunuzi ambayo inataka kuandaliwa<br />
kwa taarifa ya mapokezi kwa mali/vifaa vinayoagizwa<br />
katika kila mkataba ulioingiwa wa kuagiza mali au vifaa<br />
ukionesha kuwa mkataba wa uagizaji mali umetekelezwa<br />
ipasavyo kabla ya kuidhinishwa kwa malipo. Katika ukaguzi<br />
nilioufanya nimebaini kuwapo kwa udhaifu ikiwa ni pamoja<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
181
na mali/vifaa viliyonunuliwa vilipokewa pungufu au<br />
kutopokewa kabisa. Halmashauri zinazotekeleza Mradi huu<br />
wa Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya zimejulishwa<br />
juu ya suala hili. Kiambatisho Na.18 chahusika.<br />
7.2.7 Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />
Huduma za Afya kwa ajili ya uboreshaji wa huduma za<br />
Afya zimechanganywa kwenye akaunti Na.6<br />
Kwa mujibu wa kanuni na mwongozo namba 5.2.1 wa Fedha<br />
zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za<br />
Afya kwa ajili ya Mpango wa Sekta ya uboreshaji wa<br />
huduma ya afya inatamka kuwa mfumo wa kiuhasibu wa<br />
fedha hizi utafuata taratibu na sheria zote za fedha za<br />
Halmashauri za Serikali za Mitaa, Memoranda ya Fedha za<br />
Serikali za Mitaa (LAFM 1997), Kitabu cha Mwongozo cha<br />
Uwekaji Mahesabu kwenye serikali za Mitaa (LAAM) na<br />
kanuni mbalimbali ikiwamo na Waraka wa Utunzaji<br />
mahesabu ambao utakuwa ukitolewa mara kwa mara, na<br />
pale inapowezekana basi taratibu na miongozo itolewayo<br />
na Serikali Kuu yaweza kutumika pia.<br />
Hata hivyo nimekuwa na shaka juu ya jinsi Halmashauri<br />
kadhaa zinazopokea fedha hizi za uboreshaji wa huduma ya<br />
afya zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma<br />
za Afya kuchanganywa kwenye akaunti namba 6 ambayo<br />
huko nyuma ilitumiwa kuhifadhi fedha za Afya za<br />
Halmashauri ambazo vyanzo vyake ni sehemu mbalimbali.<br />
Utaratibu huu ni kinyume na Memoranda ya Makubaliano na<br />
Wahisani wanaochangia Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za<br />
Afya. Kutokana na mkanganyiko huu imeniwia vigumu kujua<br />
usahihi wa bakaa la fedha lililo oneshwa kwenye vitabu<br />
mwishoni mwa mwaka.<br />
Ushauri wangu kwa Halmashauri zote kufuatilia kwa karibu<br />
fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
182
Huduma za Afya kwa ajili ya uboreshaji wa huduma za Afya<br />
ili kuweza kujua ni kiasi gani kilikuwapo wakati wa kuanza<br />
kwa mwaka wa fedha na bakaa la mwisho wakati wa<br />
ufungaji wa hesabu za mwisho wa mwaka. Pia nichukue<br />
wasaa huu kuwakumbusha kuwa utayarishaji wa hesabu za<br />
fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />
Huduma za Afya kwa ajili ya uboreshaji wa Huduma za Afya<br />
si la hiyari bali ni la lazima kwa mujibu wa hadidu za rejea<br />
na kukidhi viwango vilivyokubaliwa na wachangiaji wa<br />
Fedha zilizoweka katika Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma<br />
za Afya.<br />
7.2.8 Malipo yaliyofanywa kinyume cha kanuni na taratibu za<br />
manunuzi Sh.1,162,081,225<br />
Kifungu cha 4 cha Kanuni ya Bodi ya Zabuni ya Serikali za<br />
Mitaa ya mwaka 2007 inatamka kuwa sera ya manunuzi<br />
katika Halmashauri ni budi iwe imezingatia na kwa kadri<br />
inavyowezekana haja ya kuwa na matumizi mazuri ya<br />
rasilimali zilizopo, na katika kutekeleza dhana hiyo basi<br />
kuna haja ya usawa na uaminifu wakati wote manunuzi<br />
yanapofanywa. Pia kipengele cha 4(2)(b) kinazitaka<br />
Halmashauri kwa nia nzuri kabisa na kwa maslahi ya<br />
Halmashauri kutoa fursa sawa kwa wale wote walioomba<br />
kutoa huduma mbalimbali na wakandarasi ili waweze<br />
kuingia kwenye ushindani ulio wa uwazi katika zoezi zima<br />
la kutafuta watoa huduma na wauzaji wa vifaa mbalimbali<br />
kwa Halmashauri. Aidha katika ukaguzi uliofanywa wa<br />
hesabu za fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji<br />
wa Huduma za Afya kwa upande wa manunuzi mambo<br />
kadhaa yenye kuonesha udhaifu yameweza kugundulika<br />
zikihusisha malipo yenye jumla ya Sh.1,162,081,225.<br />
Mambo yaliyojitokeza ni kama ifuatavyo; manunuzi<br />
yalifanyika bila ya kuidhinishwa na Bodi za Zabuni za<br />
Halmashauri husika, ununuzi wa dawa umefanyika kwenye<br />
maduka binafsi badala ya Bohari Kuu ya Madawa (MSD),<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
183
ununuzi wa bidhaa bila ya ushindani, matengenezo ya<br />
magari kwenye karakana za watu binafsi bila ya kupata<br />
kibali, utoaji wa kandarasi bila ya upembuzi wa awali,<br />
ununuzi wa mali bila ya kutumia kidondoa/nukuu ya bei na<br />
baadhi ya mali iliyonunuliwa kutoingizwa kwenye Daftari.<br />
Kutokana na maeneo kadhaa yaliyobainika kuwapo kwa<br />
udhaifu ninashauri wakati sasa umefika kwa Halmashauri<br />
zote kuzingatia dhana nzima ya thamani ya fedha mara<br />
zote manunuzi yanapofanyika. Mifumo ya utendaji katika<br />
Halmashuri ni vyema ikaimarishwa kwa kutoa mafunzo ya<br />
ugavi kwa watendaji wao. (kiambatisho Na.18 katika<br />
Taarifa hii ya Ukaguzi)<br />
7.3 Mpango wa uendelezaji wa sekta ya kilimo (ASDP)<br />
7.3.1 Utangulizi<br />
Ukaguzi wa Hesabu za Mpango wa Uendelezaji wa Sekta ya<br />
Maendeleo ya Kilimo (ASDP) zinazoishia tarehe 30 Juni 2008<br />
umekamilika. Mradi huu unatekelezwa katika Halmashauri<br />
97 kati ya 133.<br />
Serikali ya Tanzania inatekeleza Mpango wa Uendelezaji wa<br />
Sekta ya Maendeleo ya Kilimo (ASDP) ambao umeweka<br />
malengo na shabaha kadhaa za kuzikamilisha. Ili kufikia<br />
malengo iliyojiwekea Mpango wa Uendelezaji wa Sekta ya<br />
Maendeleo ya Kilimo (ASDP) ni sehemu ya Mpango Mkubwa<br />
wa Mpango wa Maendeleo wa Wilaya (DDPs) ambao shughuli<br />
zake nyingi zipo katika ngazi ya wilaya na kutekelezwa na<br />
Mamlaka za Halmashauri za Serikali Za Mitaa (LGAs) chini<br />
ya Mpango wa Uendelezaji wa Maendeleo ya Kilimo wa<br />
Wilaya(DADPs).<br />
7.3.2 Historia ya Mradi kwa ufupi<br />
Mpango huu unatekelezwa katika kipindi cha miaka saba<br />
kuanzia mwaka wa fedha 2006/2007 hadi mwaka wa fedha<br />
20012/10013. Madhumuni ya mpango huu ni kuwawezesha<br />
wakulima kufikishiwa tekinolojia ya kisasa ili waweze<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
184
kuongeza tija na kipato, kupatiwa huduma ya ushauri na<br />
masoko kwa bidhaa zao, kuongeza ushiriki wa sekta binafsi<br />
katika sekta ya kilimo kwa kuboresha mazingira bora ya<br />
kisera na vyombo vya uratibu wa shughuli za kilimo.<br />
Mpango huu unatekelezwa na Wizara mbalimbali ambazo<br />
zinahusika na masuala ya sekta ya kilimo (ASLM) na<br />
inatekelezwa katika ngazi zote za kitaifa na ngazi ya<br />
Halmashauri. Wizara mbalimbali ambazo zinahusika na<br />
masuala ya sekta ya kilimo (ASLM) ni kama vile Wizara ya<br />
Kilimo, Chakula na Ushirika, Wizara ya Maendeleo ya Mifugo<br />
na Uvuvi, Wizara ya Maji na umwagiliaji, Wizara ya<br />
Viwanda, Biashara na Masoko na Ofisi ya Waziri Mkuu<br />
Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa.<br />
7.3.3 Matokeo ya utekelezaji wa Bajeti<br />
Katika mwaka wa fedha kiasi cha Sh.58,785,028,001<br />
zilitengwa kwa ajili ya utekelezaji wa bajeti ya Mpango wa<br />
Uendelezaji wa Sekta ya Maendeleo ya Kilimo (ASDP). Kiasi<br />
cha Sh.58,785,028,001 kilitolewa kutoka katika Mfuko Mkuu<br />
wa Hazina ambapo kiasi cha Sh.57,274,749,882 kilitumika.<br />
Kiasi kilichotolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Seikali ni asilimia<br />
100 ya kiasi kilichotengwa kwenye bajeti ambapo matumizi<br />
halisi ya Mpango huu ni asilimia 97 ya bajeti, kwa ufupi<br />
jedwali hili linatoa hali halisi ya bajeti, kiasi kilichotolewa<br />
na matumizi halisi katika utekelezaji wa Mpango huu katika<br />
Mamlaka ya Serikali Za Mitaa:-<br />
Bajeti<br />
iliyoidhinishwa<br />
(sh)<br />
Kiasi kilichotolewa<br />
toka Mfuko Mkuu<br />
wa Hazina (sh)<br />
Matumizi Halisi<br />
(sh)<br />
% ya bajeti<br />
58,785,028,001 58,785,028,001 57,274,749,882 97<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
185
7.3.4 Aina ya shahada za ukaguzi zilizotolewa<br />
Aina ya Shahada za ukaguzi zilizotolewa kwa Halmashuri 97<br />
zinazotekeleza Mpango wa Uendelezaji wa Sekta ya<br />
Maendeleo ya Kilimo (ASDP) kwa mwaka wa fedha<br />
2007/2008 ni kama ilivyooneshwa katika jedwali hapa<br />
chini:-<br />
Aina ya shahada za ukaguzi zilizotolewa kwa Halmashuri<br />
Idadi ya<br />
Halmashuri<br />
zilizo<br />
kaguliwa<br />
Hati<br />
inayoridhisha<br />
Hati<br />
yenye<br />
shaka<br />
Hati<br />
isyoridhisha<br />
Hati<br />
mbaya<br />
97 55 42 0 0<br />
7.3.5 Matokeo ya ukaguzi wa Mpango wa Uendelezaji wa Sekta<br />
ya Maendeleo ya Kilimo (ASDP)<br />
Ukaguzi wa Mpango wa Uendelezaji wa Sekta ya Maendeleo<br />
ya Kilimo (ASDP) kwa mwaka wa fedha 2007/2008 umebaini<br />
mambo yafuatayo:-<br />
Na. Dosari zilizojitokeza kiasi (Sh)<br />
1. Halmashuri nane zimekuwa na Masurufu 46,644,928<br />
yasiyo rejeshwa<br />
2. Halmashauri sita hazikupata mgao wa fedha 2,086,781,538<br />
za Mradi kwa wakati toka Wizarani.<br />
3. Malipo yaliyofanywa kwa Watoa huduma 17,710,650<br />
ambao hawajathibitishwa.<br />
4. Halmashauri tano zilikopa fedha toka kwenye 39,395,770<br />
Mradi na zilishindwa kuzirudisha.<br />
5. Halmashauri kumi zilishindwa kuweka<br />
93,555,090<br />
kumbukumbu za vifaa vitabuni.<br />
6. Halmashauri moja haikuweza kuonesha<br />
15,500,000<br />
kumbukumbu ya kupokea Hundi<br />
7. Halmashuri 22 zimekuwa na nyaraka pungufu<br />
katika malipo yake<br />
606,918,644<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
186
8 Halmashuri moja imeonesha kushindwa<br />
kudhibiti Mali, Mitambo na Vifaa 36,027,012<br />
9. Halmashuri moja imekutwa na malipo yenye 30,899,300<br />
shaka.<br />
10. Halmashuri 3 hazikuweza kutekeleza shughuli<br />
za Mradi kama ilivyopangwa. 330,636,464<br />
11. Halmashauri moja imefanya malipo ambayo 21,417,500<br />
waliolipwa hawakukiri kupokea fedha zilizo<br />
lipwa.<br />
12. Halmashuri moja imeshindwa kuthibitisha 21,265,000<br />
kupokea vifaa ilivyonunua<br />
13. Halmashuri moja imehamisha fedha za mradi 93,898,198<br />
bila idhini.<br />
14. Halmashuri moja imeshindwa kuonesha jinsi 241,324,868<br />
ilivyopokea maduhuli.<br />
15. Mafuta ya Dizeli yalinunuliwa na<br />
kutolewa kwa matumizi bila kuwa na<br />
9,295,980<br />
kumbukumbu za kutolea.<br />
16. Halmashauri mbili zimefanya matumizi 7,385,000<br />
yasiyo stahili kwenye Mradi huu.<br />
17. Halmashuri 3 zimefanya malipo ambayo<br />
hayapo katika bajeti ya Mradi huu. 19,328,300<br />
18. Halmashuri mbili zimefanya malipo bila 61,061,000<br />
ya taarifa ya kuonesha ni shughuli zipi<br />
zilitekelezwa.<br />
19. Malipo yalifanywa bila ya kibali cha Bodi<br />
ya Zabuni. 43,764,350<br />
20. Halmashauri 5 zilitumia Fedha za mradi<br />
kununulia magari na pikipiki ambazo 548,482,580<br />
bado kupokelewa.<br />
21. Halmashuri 3 zilitumia fedha za mradi 445,442,603<br />
kwenye shughuli ambazo hazikukusudiwa.<br />
22. Halmashuri mbili zilionesha kutopokea 33,812,856<br />
fedha zilizotumwa kwenye Halmashuri<br />
hizo.<br />
23. Kiasi cha fedha ambacho 60,000,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
187
hakikuhamishiwa kwenye mradi wa<br />
DADPS.<br />
24. Mradi wa umwagiliaji haukutekelezwa<br />
ingawa ulitengewa fedha.<br />
25. Manunuzi yalifanywa kwa kutumia<br />
kidondoa bei zaidi ya ukomo uliowekwa.<br />
60,571,600<br />
147,436,080<br />
7.4 Mradi wa Mfuko wa kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua<br />
kikuu na Malaria<br />
7.4.1 Uanzishwaji wa Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi,<br />
Kifua Kikuu na Malaria<br />
Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu na<br />
Malaria ulianzishwa mwishoni mwa mwaka 2001 ili kutoa<br />
msaada wa kifedha katika vita dhidi ya magonjwa makubwa<br />
matatu ambayo yamekuwa yakisababisha vifo vya watu<br />
zaidi ya milioni sita kwa mwaka hapa duniani. Mfuko wa<br />
Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria<br />
umeweza kuleta mtazamo na mbinu mpya kwa jumuia za<br />
kimataifa katika vita dhidi ya kutokomeza magonjwa hayo<br />
matatu ambayo ni VVU/Ukimwi, Kifua kikuu na Malaria.<br />
Chini ya Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu<br />
na Malaria, Tanzania imekuwa ikipokea kiasi kikubwa cha<br />
fedha kwenye mfumo wa mzunguko kama ifuatavyo:-<br />
(i)<br />
Hali ya Kifedha<br />
Katika mwaka wa fedha wa 2007/2008 serikali ya Tazania<br />
upande wa Bara ilipokea kiasi cha Sh.83,747,148,709<br />
ambazo Ni sawa na Dola za Kimarekani 68,107,164 toka<br />
katika Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu<br />
na Malaria wenye makao makuu yake huko Geneva Kwa ajili<br />
ya kupambana na HIV/VVU, Kifua Kikuu na Malaria.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
188
Na.<br />
Tarehe ambayo<br />
fedha<br />
ilipokelewa na<br />
Mpokeaji Mkuu<br />
Kiasi USD<br />
Ulinganisho kwa<br />
fedha za Tanzania<br />
Tsh.<br />
1. 13/07/2007 46,300,606 58,394,351,344<br />
2. 28/11/2007 7,699,656 8,905,934,157<br />
3. 07/01/2008 14,106,902 16,446,863<br />
4. Jumla 68,107,164 83,747,148,709<br />
(ii)<br />
(iii)<br />
Ucheleweshaji wa kuwasilisha Hesabu kwa ajili ya<br />
Ukaguzi<br />
Kwa mujibu wa Agizo Na.82 la Memoranda ya Fedha ya<br />
Serikali za Mitaa (1997) Afisa Masuuli anatakiwa<br />
kutayarisha Hesabu na kuziwasilisha kwa ajili ya ukaguzi<br />
ndani ya miezi mitatu baada ya kufunga hesabu za mwaka<br />
ambapo kwa mfuko huu ni mwezi Juni. Aidha, imebainika<br />
kwa baadhi ya Halmashauri zimechelewa kuwasilisha<br />
Hesabu zake kwa wakati.<br />
Uwasilishaji wa Hesabu za mwaka<br />
Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu na<br />
Malaria unajumuisha fedha zilizotumwa toka Makao<br />
Makuu ya Mfuko yaliyopo huko Geneva ili kupiga vita<br />
magonjwa ya Malaria, VVU/Ukimwi na Kifua Kikuu. Aidha<br />
katika uandaaji wa Hesabu za Mwaka baadhi ya<br />
Halmashauri nyingi zimekuwa zikichanganya fedha za<br />
Mfuko huu na zile zilizopokelewa kutoka TACAIDS, SIDA,<br />
TMAP na fedha zingine toka kwa wahisani mbalimbali kwa<br />
kuamini kuwa fedha hizo zinatumika kwa shughuli<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
189
zinazofanana. Hali hii imesababisha ugumu katika zoezi la<br />
ukaguzi wa Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua<br />
Kikuu na Malaria hasa pale tunapotaka kuona shughuli<br />
ambazo mfuko umeweza kufanikisha.<br />
(iv)<br />
Utekelezaji wa mpango wa kazi<br />
Ukaguzi umebaini kuwa Halmashuri nyingi zimeshindwa<br />
kutekeleza shughuli mbalimbali zilizowekwa katika<br />
Mpango wa kazi ingawa fedha zilizotumika ni nyingi. Hali<br />
hii inaonyesha ni kwa kiasi gani jamii iliyokusudiwa<br />
kunufaika na Mfuko huu kukosa huduma hizo.<br />
7.4.2 Mfuko wa kimataifa wa maendeleo wa Canada (CIDA<br />
Funds)<br />
Katika mwaka huu wa ukaguzi Mfuko wa kimataifa wa<br />
maendeleo wa Canada (CIDA) kwa kupitia mfuko wa<br />
ukimwi (TACAIDS) iligharimia program nyingi za ukimwi<br />
ambazo zinaendeshwa chini ya Halmashauri. CIDA ilitoa<br />
kiasi cha dolla 8,681,309 ambazo ni sawa na<br />
Sh.9,845,135,948 kutekeleza program hizo.<br />
Taarifa na michanganuo ya matumizi ya fedha hizo<br />
ilikaguliwa pamoja na fedha za ukimwi zilizotolewa na<br />
TACAIDS kwa watekelezaji wote wa program za ukimwi.<br />
Pia ukaguzi mwingine huru ulifanyika kwa program zote<br />
zinazoendeshwa chini ya usimamizi wa wakaguliwa wetu<br />
wote.<br />
7.5 Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya Maji<br />
7.5.1 Muda na maeneo ya utekelezaji wa mradi<br />
Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya Maji umetajwa kuanza<br />
mwaka 2006 hadi 2025 ingawa utekelezaji wa mradi huu<br />
umeanza rasmi mwaka wa fedha wa 2007/2008 ukifuata<br />
maelekezo yaliyomo ndani ya Mpango wa Kitaifa wa sekta<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
190
ya Maendeleo ya Maji ambapo umeundwa kuweza kuhimili<br />
na kuleta mafanikio endelevu, kukabiliana na changamoto<br />
mbalimbali na kuhakikisha kuwa mahitaji yote ya masuala<br />
mtambuka yanajumuishwa pamoja na kuleta ufanisi.<br />
Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya Maji unatekelezwa<br />
katika Halmashauri zote kwa upande wa Tanzania Bara.<br />
7.5.2 Madhumuni ya kiutendaji ya Mpango wa Sekta ya<br />
Maendeleo ya Maji<br />
Madhumuni ya ujumla ya Mpango huu ni kuzipa uwezo<br />
Menejimenti ya Rasilimaji ya Maji katika kuleta msukumo<br />
kwenye masuala ya maendeleo ya kiuchumi na ya kijamii<br />
na kuweka mazingira yaliyo endelevu na kuhakiksha ya<br />
kuwa makundi yote ya kijamii yaliyo vijijini, mijini na miji<br />
midogo kuweza kupata maji ya kutosha, yaliyo salama na<br />
maji safi pia huduma ya maji taka.<br />
Mpango huu una majukumu ya kimsingi yafuatayo:-<br />
(i) Kuendeleza mpango madhubuti wa matumizi<br />
sahihi ya rasilimali ya maji, pia na kuweka<br />
mwongozo wa utawala bora kwa mabonde ya<br />
maji yapatayo tisa.<br />
(ii) Kutoa msaada wa kiufundi na wa kifedha kwa<br />
Mamlaka ya Serikali za Mitaa katika utekekelezaji<br />
wa Mamlaka za Maji za Wilaya na kuandaa<br />
mpango wa Maji taka.<br />
(iii) Kutoa msaada wa kiufundi na wa kifedha kwa<br />
Mamlaka za Maji mijini na mpango wa huduma ya<br />
maji katika Makao Makuu ya Mikoa na Wilaya, Miji<br />
midogo na Miradi midogo ya Maji kwenye Vijiji na<br />
kuboresha masuala ya usambazaji wa maji na<br />
huduma za Maji taka.<br />
(iv) Kusaidia katika kujenga uwezo wa kisekta na<br />
kuwajengea uwezo watumishi ili kuhakikisha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
191
utekelezaji wa Mpango huu unafanikisha malengo<br />
yake kwa kupitia taasisi mbalimbali<br />
zinazojihusisha na masuala ya maendeleo ya Maji<br />
katika ngazi zote za utekelezaji kuanzia ngazi ya<br />
wilaya na ile ya Mabonde hadi ngazi ya kitaifa.<br />
7.5.3 Mchanganuo wa Fedha za wahisani wa Mpango huu<br />
Katika mwaka wa Fedha 2007/2008, Serikali ya Tanzania<br />
kwa upande wake iliweza kuchangia kiasi cha fedha za<br />
Kitanzania Sh.67,983,240,413 ikiwa ni asilimia 95 ya kiasi<br />
cha mihadi. Benki ya Dunia iliweka kiasi cha fedha za<br />
kitanzania Sh.19,840,909,600 kwenye Akaunti Kuu ikiwa<br />
ni asilimia 48 ya fedha ilizoahidi kuchangia na wahisani<br />
wa kijerumani (KfW) waliochangia kiasi cha fedha za<br />
kitanzania Sh.13,490,163,560 ikiwa ni asilimia 27 ya ahadi<br />
waliyoitoa kuchangia Mpango huu, na kufanya jumla ya<br />
fedha yote kufikia Sh.101,314,313,573. Michango yote<br />
kwa ujumla iliyoingizwa kwenye Mfuko wa uchangiaji wa<br />
Maendeleo ya Mpango huu imefikia asilimia 63 ya fedha<br />
iliyokadiriwa. Sababu kubwa ya kutofikiwa kwa malengo<br />
yaliyowekwa hapo awali ni kucheleweshwa kutolewa kwa<br />
Taarifa za Matumizi ya Fedha za Mradi. Nilipotaka<br />
kufahamu sababu zilizo sababisha Wizara ya Maji na<br />
Umwagiliaji kuchelewesha kutoa Taarifa za Matumizi ya<br />
Fedha kwa wakati nilibaini kuwa Wizara ya Maji na<br />
Umwagiliaji ilikuwa na uwelewa mdogo wa dhana nzima<br />
ya utekelezaji wa Mpango nzima wa uchangiaji wa fedha<br />
katika kwa fedha toka kwa wahisani mbalimbali. Kwani<br />
kulikuwa na mkanganyiko wa nani afanye nini kati ya<br />
taasisi zote zilizohusika katika utekelezaji wa Mradi huu.<br />
Wahisani wa Maendeleo walipeleka Kiasi cha<br />
Sh.55,361,202,501 moja kwa moja katika Miradi teule<br />
mbalimbali. Kiasi hiki ni asilimia 42 ya fedha ambazo<br />
zilizotegemewa kupatikana.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
192
Mchanganuo wa fedha hizo ni kama zinavyoneshwa katika<br />
jedwali hapa chini:-<br />
Vyanzo vya Fedha za Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya<br />
Maji (WSDP) kwa mwaka 2007/2008;<br />
Chanzo<br />
Bajeti-2007/2008<br />
(fedha zaTsh)<br />
Matumizi ahalisi<br />
ya 2007/2008<br />
fedha zaTsh<br />
% ya<br />
matumizi<br />
halisi na<br />
Bajeti<br />
A. Mfuko wa Uchangiaji;<br />
Mchango toka Serikali ya<br />
Tanzania 71,598,224,000 67,983,240,413<br />
95%<br />
Benki ya Dunia (Mfuko<br />
wa Uchangiaji) 40,990,228,170 19,840,909,600<br />
48%<br />
Ujerumani KfW (Mfuko<br />
wa Uchangiaji) 26,651,652,855 13,490,163,560<br />
51%<br />
Serikali ya Uholanzi 22,844,273,875 0.00 0%<br />
Jumla ndogo 162,084,378,900 101,314,313,573 63%<br />
B. Wahisani mbalimbali<br />
Shirika la Ujerumani<br />
KfW (Miradi Teule ya<br />
118%<br />
Hai, Moshi na Mbeya) 6,916,000,000 8,150,159,551<br />
Benki ya Maendeleo ya<br />
Afrika (Africa Dev. Bank) 88,764,038,700* 25,818,244,728<br />
29%<br />
Shirika la Maendeleo la<br />
Korea (KOICA) 1,908,288,899<br />
Jumuia ya nchi za Ulaya<br />
(EU) 7,215,000,000 9,922,142,917<br />
138%<br />
Serikali ya Ufaransa 8,671,000,000 2,316,799,424 27%<br />
Shirika la Maendeleo la<br />
Ujerumani GTZ 1,794,000,000 0<br />
0%<br />
SECO 1,800,000,000 0 0%<br />
Serikali ya Uholanzi 100,000,000 0 0%<br />
Shirika la Maendeleo la<br />
Japan (JICA) 3,829,600,000 93,121,674<br />
2%<br />
BADEA 3,750,000,000 654,770,507 17%<br />
Mfuko wa Dunia wa<br />
Wanyama pori (WWF) 1,000,000,000 0<br />
0%<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
193
IUCN 1,000,000,000 4,480,000 0%<br />
Benki ya Dunia (msaada<br />
huu ulitolewa kwa<br />
81%<br />
Dawasa) 8,000,000,000 6,493,194,801<br />
Jumla ndogo 132,839,638,700 55,361,202,501 42%<br />
Jumla kuu 294,924,017,600 156,675,516,074 53%<br />
7.5.4 Matokeo ya Ukaguzi<br />
Muhtasari wa Matokeo ya Ukaguzi wa Mpango wa Sekta ya<br />
Maendeleo ya Maji (WSDP) kwa mwaka 2007/2008;<br />
Na. Dosari iliyojitokeza Halmashauri Kiasi (Sh)<br />
1. Fedha ambazo ama<br />
zilichelewa kupelekwa<br />
katika Halmashauri au<br />
hazikufika kabisa<br />
Manispaa Arusha<br />
H/M Korogwe<br />
Manispaa Singida<br />
672,021,786<br />
2. Karadha/Mikopo ilitolewa<br />
kwenda Idara nyingine<br />
bado hazijarudishwa<br />
3. Halmashauri sita<br />
hazikusimamia vizuri<br />
kandarasi za ujenzi<br />
ilizozitoa kwa makampuni<br />
mbalimbali<br />
4. Matumizi zaidi ya viwango<br />
vilivyoidhinishwa kwenye<br />
bajeti. Dosari hii<br />
ilibainika kwenye<br />
Halmashauri tano.<br />
5. Fedha za Mradi<br />
hazikutumiwa kabisa<br />
6. Ununuzi wa mali ambayo<br />
haikupokelewa<br />
H/W Bagamoyo<br />
H/W Newala<br />
H/W Ulanga<br />
H/W Bukoba<br />
H/W Kibaha<br />
H/W Mbinga<br />
H/W Namtumbo<br />
H/W Nkasi<br />
H/W Lushoto<br />
H/W Kilindi<br />
H/W Geita<br />
Mji Kibaha<br />
H/W Geita<br />
H/W Simanjiro<br />
H/W Kiteto<br />
26,960,000<br />
-<br />
207,360,306<br />
Halmashauri 27 3,363,717,802<br />
H/W Siha<br />
H/W Lushoto<br />
H/W Hanang<br />
39,343,500<br />
7. Manunuzi yalifanywa bila Halmashauri 8 219,748,692<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
194
kuzingatia dhana ya<br />
ushindani katika<br />
kuwapata watoa huduma<br />
8. Kutotunza kumbukumbu<br />
ya vifaa vilivyotolewa<br />
toka stoo.<br />
9. Mali na Vifaa vya mradi<br />
havikuweza kuwekewa<br />
alama za utambuzi na<br />
kutoingizwa kwenye<br />
Daftari la Mali za mradi.<br />
10. Miradi kadhaa ikiwamo<br />
ile ya uchimbaji visima<br />
virefu haikukamilika kwa<br />
wakati.<br />
11. Miradi kadhaa ikiwamo<br />
ile ya uchimbaji visima<br />
virefu ilibainika kujengwa<br />
chini ya viwango au<br />
kutofanya kazi<br />
iliyokusudiwa.<br />
12. Masurufu yasiyorejeshwa<br />
kwa muda mrefu<br />
hayakutozwa tozo ya<br />
asilimia 5<br />
13. Fedha ya dhamana toka<br />
kwa wakandarasi<br />
haikuhamishiwa kwenye<br />
Mfuko wa Amana.<br />
14. Nyaraka kadhaa za<br />
malipo zilikosekana<br />
wakati wa zoezi la<br />
Ukaguzi na baadhi ya<br />
Malipo hayakuwa na<br />
viambatisho vya<br />
kuthibitisha uhalali wa<br />
malipo.<br />
15. Vifaa mbalimbali<br />
zilizonunuliwa kwa ajili<br />
Halmashauri 7 482,149,204<br />
H/ W Lushoto<br />
H/W Mvomero<br />
18,340,000<br />
Halmashauri 26 -<br />
Halmashauri 18 -<br />
H/W Kilwa<br />
H/W Lushoto<br />
H/W Ruangwa<br />
H/W Mbinga<br />
9,720,010<br />
2,176,706<br />
Halmashauri 12 351,981,416<br />
H/W Kyela 58,000,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
195
ya mradi wa Maji<br />
hazikuweza kuonekana<br />
wakati waukaguzi.<br />
16. Hati ya usuluhisho wa<br />
Benki ilibaini kuwa kiasi<br />
cha fedha kilipokewa na<br />
mtunza Fedha lakini<br />
benki hakikuonekana.<br />
17. Taarifa za Wakaguzi wa<br />
ndani hazikutayarishwa<br />
kuhusiana na ukaguzi wa<br />
Mradi huu.<br />
18. Mpango wa Mwaka wa<br />
Manunuzi<br />
haukutayarishwa.<br />
19. Kumejitokeza malipo<br />
yenye shaka na yasiyo<br />
ya kawaida<br />
20. Malipo yamefanywa kwa<br />
wakandarsi bila<br />
kuwepo kwa idhini ya<br />
Mhandisi. Dosari hii<br />
imejitokeza kwenye<br />
Halmashauri mbili<br />
21. Gharama za usimamizi<br />
na ufuatiliaji<br />
hazikuamba-tana na<br />
taarifa ya utekelezaji<br />
wa shughuli hiyo.<br />
Halmashauri mbili<br />
zilikutwa na dosari hii.<br />
22. Masurufu yasiyo<br />
rejeshwa<br />
23. Manunuzi yamefanywa<br />
kwa kutumia fedha za<br />
masurufu<br />
24. Malipo ya tofauti za bei<br />
yalifanywa kwa<br />
H/W Masasi 16,107,000<br />
H/W Ngorongoro<br />
H/W Longido<br />
H/W Simanjiro<br />
H/W Kiteto<br />
H/W Hanang<br />
H/W Longido<br />
H/W Kiteto<br />
Halmashauri 5 56,628,545<br />
H/W Iringa<br />
H/W Kwimba<br />
H/W Njombe<br />
Manispaa Kigoma<br />
Ujiji<br />
H/W Simanjiro<br />
H/W Bukoba 13,150,000<br />
H/W Njombe<br />
Manispaa ya<br />
Temeke<br />
H/W Shinyanga<br />
-<br />
-<br />
-<br />
-<br />
10,094,166<br />
11,502,247<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
196
kandarasi bila ya kibali<br />
cha kufanya<br />
malipo hayo.<br />
25. Fedha hazikuhamishiwa<br />
kwenye akaunti ya<br />
Quick Win<br />
26. Manunuzi ya vifaa<br />
yalifanywa kidogo<br />
kidogo ili kukwepa<br />
kubanwa na Sheria za<br />
Manunuzi<br />
27. Malipo ya awali<br />
yasiyowekewa dhamana<br />
H/W Sengerema 22,118,333<br />
H/W Mbulu 121,054,400<br />
H/W Kiteto 32,798,743<br />
7.6 Matokeo ya ukaguzi wa Mfuko wa Jamii Tanzania (TASAF)<br />
7.6.1 Historia fupi ya Mfuko<br />
Awamu ya pili ya Mfuko wa Jamii Tanzania ulianzishwa kwa<br />
makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia<br />
kupitia Shirika la Mpango wa Maendeleo ya Kimataifa (IDA)<br />
na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Mkataba<br />
huu ulisainiwa tarehe 19Januari 2005 ambao ulianzisha<br />
Mfuko wa Jamii uliojulikana kama Awamu ya pili ya Mfuko<br />
wa Jamii Tanzania (TASAF II).<br />
7.6.2 Fedha za Mfuko<br />
Awamu ya pili ya Mfuko wa Jamii Tanzania unatekeleza<br />
mradi utakaodumu kwa muda wa miaka minne (4) kuanzia<br />
mwaka 2005/2006 na kupata fedha zake toka Benki ya<br />
Dunia kupitia Shirikisho la Mpango wa Maendeleo ya<br />
Kimataifa (IDA) na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa<br />
Tanzania. Mkataba wa Fedha za Maendeleo ulitiwa saini<br />
tarehe 19Januari, 2005 baina ya Serikali ya Jamhuri ya<br />
Muungano wa Tanzania na Shirika la Mpango wa Maendeleo<br />
ya Kimataifa (IDA). Awamu ya pili ya Mfuko wa Jamii<br />
Tanzania (TASAF II) itapokea kiasi cha Dola za Kimarekani<br />
milioni 150 ikijumuisha mkopo wa kiasi cha Dola za<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
197
Kimarekani 129 na dola za kimarekani milioni 21 kama<br />
Msaada. Hadi sasa kiasi cha fedha za kitanzania<br />
Sh.72,689,040,013 ambazo ni sawa na Dola za kimarekani<br />
60,222,900 zimepokewa kutoka katika vyanzo mbalimbali<br />
katika mwaka huu wa fedha.<br />
Sehemu hii ya Taarifa yangu inataka kutoa kwa ufupi yale<br />
yote yaliyojitokeza katika ukaguzi wa Hesabu za wa Awamu<br />
ya pili ya Mfuko wa Jamii Tanzania zilizoishia tarehe 30<br />
Juni, 2008. Matokeo ya ukaguzi yaliotokana na zoezi la<br />
ukaguzi wa mfuko huu zimekwisha pelekwa kwa<br />
Halmashuri zote zinazohusika katika utekelezaji wa mradi<br />
huu kwa ajili ya kuwezesha menejimenti kuchukua hatua<br />
kwa yale yaliyojitokeza. Kwa muhtasari mambo yafuatayo<br />
yamejitokeza katika ukaguzi huo:-<br />
7.6.3 Mgao na Mtumizi ya fedha za mfuko<br />
Kiasi cha fedha za kitanzania Sh.69,980,105,640 ikiwa ni<br />
sawa na Dola za kimarekani 57,978,546.51 zikiwa ni Fedha<br />
za Mfuko wa Taifa wa Vijiji(NFV) zilihitajika kwa mwaka<br />
huu ikiwa ni sehemu ya fedha za kitanzania<br />
Sh.152,160,000,000 ambazo ni sawa na Dola za kimarekani<br />
120,000,000 ambazo zilitengwa kwa ajili ya Mfuko wa Jamii<br />
Tanzania (TASAF) kwenda kwenye Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi Midogo na kuwa na<br />
bakaa la fedha za kitanzania Sh.71,190,561,469 ambazo ni<br />
sawa na Dola za kimarekani 58,981,409.67. Aidha kiasi cha<br />
fedha kilichotolewa kilikuwa ni fedha za kitanzania<br />
Sh.47,038,761,122 ambazo ni sawa na Dola za kimarekani<br />
38,971,633.08 ili kuwezesha utekelezaji wa Miradi Midogo<br />
2,266 kati ya maombi ya miradi Midogo 3,160<br />
iliyopokelewa.<br />
7.6.4 Hati ya ukaguzi wa Mahesabu iliyotolewa<br />
Katika mwaka huu wa fedha ulioishia tarehe 30 Juni 2008<br />
Hesabu za Mfuko wa Jamii Tanzania (TASAF) umeweza<br />
kupata hati ya Ukaguzi inayoridhisha.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
198
7.6.5 Miradi midogo iliyogharimu Sh.276,351,569 imechelewa<br />
kukamilika<br />
Kama ilivyoelezwa kwenye kitabu cha mwongozo wa<br />
utekelezaji wa Miradi midogo ya Mfuko wa Jamii Tanzania<br />
(TASAF), ni budi miradi yote midogo iwe imekamilishwa<br />
ndani ya kipindi kisichozidi miezi kumi na mbili(12).<br />
Ukaguzi ulibaini kuwa miradi midogo kadhaa yenye thamani<br />
ya Sh.276,351,569 ilishindwa kukamilishwa ndani ya kipindi<br />
hicho na mingine kuchukua zaidi ya miezi ishirini na nne<br />
(24).<br />
7.6.6 Miradi midogo midogo inayohitaji fedha zaidi<br />
Sh.664,662,888<br />
Ukaguzi uligundua kwamba miradi midogo midogo<br />
iliyogharamiwa kiasi cha Sh.664,662,888, fedha hizi<br />
zimetumika zote au kuacha kiwango kidogo sana ambacho<br />
hakiwezi kukamilisha miradi iliyobakia.<br />
Suala jingine ni kwa menejimenti ya Halmashauri kuwa na<br />
regista ya mali za kudumu na kuingiza taarifa zinazohusika<br />
kila wakati.<br />
7.6.7 Ukosefu wa wasimamizi na wasaidizi wa wasimamizi wa<br />
fedha za mfuko wa kijiji<br />
Katika zoezi langu la ukaguzi wa mradi huu unaofadhiliwa<br />
na TASAF nilibaini kutokuwepo kwa watumishi ambao<br />
wanajituma waliochaguliwa na Mkurugenzi wa Halmashauri<br />
ambao wanatumia muda wao wote katika kufanya kazi za<br />
mradi badala yake huazimwa kwa muda tu toka<br />
halmashauri husika na hufanya kazi za mradi kama<br />
nyongeza tu ya majukumu yao ya msingi ambayo ni kazi za<br />
Halmashauri.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
199
Wilaya<br />
H/W Mbeya<br />
H/W Mpanda<br />
H/W Chunya<br />
H/W<br />
Biharamulo<br />
Korogwe<br />
H/W<br />
Handeni<br />
H/W<br />
Maoni<br />
VFJA hakuonekana kujihusisha na kazi za TASAF<br />
badala yake amekuwa akifanya kazi za uhasibu<br />
za halmashauri.<br />
VFJA hakuonekana kabisa kujihusisha na shughuli<br />
za TASAF kwa muda wote<br />
VFJA ambae aliteuliwa kufanya kazi za mradi<br />
alionekana pia kutakiwa kushiriki katika kazi za<br />
Halmashauri ambayo imemuajili.<br />
Hakukuwa na VFC baada ya aliekuwa akifanya<br />
kazi hizo uhamushiwa wilaya mpya ya Chatto.<br />
Na hata hivyo VFJA alikuwepo alikuwa akifanya<br />
kazi zote mbili.<br />
Afisa ambae aliajiriwa kufanya kazi za TASAF<br />
hakuwa na barua ya kuajiriwa. Pia afisa huyo<br />
ameonekana kufanya kazi nyingine nje ya kazi za<br />
mradi kama kinyume na matakwa yaliyomo<br />
katika memoranda ya makubaliano.<br />
Afisa aliyeteuliwa na Mkuregenzi wa Halmashauri<br />
ya Wilaya kufanya kazi za VFJA alipewa barua ya<br />
ajira yakumwezesha kufanya kazi za TASAF, VFJA<br />
pia ameonekana kufanya kazi nyingine.<br />
Pangani H/W Afisa alieajiriwa na Halmashauri kufanya kazi za<br />
TASAF anahudhuria masomo katika Chuo Kikuu<br />
cha Ushirika Moshi na hakuna mtu mwingine<br />
aliyeajiriwa kushika nafasi hiyo kwa sasa.<br />
Kilindi H/W<br />
Katika wilaya hii Afisa alieajiriwa na Halmashauri<br />
kufanya kazi za VFJA ameonekana pia kufanya<br />
kazi nyingine za Halmashauri nje ya kazi za Mradi<br />
wa TASAF<br />
7.6.8 Vifaa havikuingizwa Vitabuni Sh.85,635,910<br />
Kanuni Na.220(1) ya Kanuni ya manunuzi ya umma<br />
inatamka wazi juu ya vifaa vyote vinunuliwavyo kurekodiwa<br />
katika Leja, kinyume chake, alibainika wakati wa ukaguzi<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
200
kuwa vifaa vyenye thamani ya Sh.85,635,910<br />
vilivyonunuliwa kwa ajili ya mradi havikuingizwa katika<br />
Leja.<br />
7.6.9 Malipo yanye nyaraka pungufu Sh.233,233,952<br />
Hatukuweza kupatiwa nyaraka zinazoonyesha malipo ya<br />
Sh.230,210,952 kwa ajili ya miradi midogo. Pia Ankara mbili<br />
zenye thamani ya shilingi 3,023,000 hazikuweza patikana<br />
kama zinavyoonyeshwa hapa chini:<br />
Wilaya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
Bukoba<br />
Pangani<br />
H/W<br />
Namba<br />
ya Vocha<br />
Namba<br />
ya<br />
Hundi<br />
Muuzaji/Kituo/mradi<br />
Kiasi (Sh)<br />
2/2/2008 242938 Miteshi 680,000<br />
10/8 021123 Mkurugenzi-Pangani 2,343,000<br />
Jumla 3,023,000<br />
7.6.10 Kukosekana kwa Ripoti ya Mkaguzi wa Ndani<br />
Sura ya 9, kifungu 3.1 (a) cha Mwongozo wa Ukaguzi wa<br />
ndani inataka Mkaguzi wa ndani kufanya ukaguzi wa ndani<br />
juu ya shughuli zinazofadhiliwa na TASAF II katika kila<br />
Halmashauri na kutoa ripoti ya ukaguzi kwa Halmashauri<br />
kutokana na hadidu za rejea na mwongozo wa ukaguzi wa<br />
ndani ulitolewa na TASAF.<br />
Kinyume na haya makubaliano, ripoti za wakaguzi wa<br />
ndani wa Wilaya zifuatazo hazikuweza kupatikana<br />
zilipohitajika na wakaguzi wa nje.<br />
1. Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi<br />
2. Manispaa ya Mwanza<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
201
3. Halmashauri ya wilaya ya Makete<br />
4. Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu<br />
5. Halmashauri ya Wilaya ya Handeni<br />
6. Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi<br />
7. Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo (pamoja na<br />
kwamba kiasi cha Sh.670,000 kilitumika kwa kazi hiyo<br />
na kulipwa kupitia hundi namba 014522 na 014521<br />
8. Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe (Hakukuwepo<br />
taarifa tofauti ya mkaguzi wa Ndani kuhusu mradi wa<br />
TASAF<br />
Zaidi ya hapo, hatukuweza kufanya tathmini juu ya kiasi<br />
cha ufikiwa wa kazi ya Mkaguzi wa ndani kutokana na<br />
ukweli kwamba hakukuwepo na ripoti zozote za kati/awali.<br />
Hivyo basi hatukuweza kuamini kwa kazi yeyote maalumu<br />
ya Mkaguzi wa ndani ambayo tungeweza kutathmini na<br />
kufanya uhakiki ili kuridhia ukamilifu wake kwa ajili ya<br />
lengo letu (ISA 610)<br />
7.6.11 Utunzaji usioridhisha wa taarifa katika ofisi za VFC na<br />
CMC<br />
Katika ukaguzi uliofanywa katika halmashauri zifuatazo,<br />
mafaili ya miradi midogo ya ofisi ya VFC yalikuwa<br />
hayajakamilika na baadhi ya taarifa muhimu za<br />
kimawasiliano kati ya VFC na Kamati ya uongozi ya jamii<br />
hazikuwepo kwenye mafaili. Pia ilibainika kwamba katika<br />
ngazi ya jamii, kamati ya uongozi wa jamii ya miradi<br />
midogo haikuwa na taarifa zote za kimawasiliano kati ya<br />
kamati na ofisi ya VFC. Wilaya husika ni kama zifuatazo:-<br />
(i)<br />
(ii)<br />
(iii)<br />
(iv)<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
202
Kukosekana kwa taarifa hizo muhimu, kwa mfano kama<br />
ilivyoonekana katika Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Nachingwea taarifa ya uoanisho wa Benki haikuweza<br />
kupatikana hivyo tulishindwa kuhakiki kiasi Cha fedha<br />
chenye thamani ya Sh.476,368,302 ambazo zilitolewa kwa<br />
ajili ya utekelezwaji wa miradi midogo kama kweli<br />
ziliingizwa katika Akaunti husika ya Benki.<br />
7.6.12 Hatari ya kutokuwepo uendelevu wa miradi midogo<br />
hapo baadaye<br />
Malengo ya mradi wa awamu ya pili ya TASAF, ni pamoja<br />
na kulenga katika kuzipa uwezo jamii kupata fursa<br />
mbalimbali ambazo zinaweza kuchangia katika utoaji wa<br />
misaada kwenye kaya kwa watu wenye matatizo<br />
mbalimbali kama vile yatima, wasiojiweza, vikongwe,<br />
wajane, waishio na VVU na wenye Ukimwi ili waweze<br />
kujikimu kimaisha. Katika hili jamii husika zimeweza<br />
kuanzisha miradi midogo midogo kuweza kufikia malengo<br />
hayo.<br />
Katika hili ukaguzi uliofanywa uliweza kubaini uwezo<br />
mdogo wa usimamizi wa miradi kwani miradi mingi<br />
ilikuwa haijakamilika na hata iliyokamilika kuna kila dalili<br />
za kutokuwa endelevu hapo baadae kutokana na ukosefu<br />
wa utaalamu wa uendeshaji na usimamizi wa miradi.<br />
Ifuatayo ni orodha ya miradi ya namna hiyo ambayo aidha<br />
haikukamilika kabisa au ilikuwa imekamilika kiasi<br />
Halmashauri Aina ya Mradi Maelezo mafupi<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Magu<br />
Mradi wa mashine ya<br />
kusaga- ya watoto<br />
yatima, Sakaya.<br />
Mradi huu wa Mashine<br />
ya Kusaga wa watoto<br />
yatima wa Sakaya<br />
ulianzishwa tarehe 3<br />
Mei, 2007. Ukikadiliwa<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
203
Miradi wa mashine<br />
38 za kushonea<br />
watoto yatima<br />
Nyalikungu<br />
Mradi wa ufugaji<br />
kuku Nyalikungu,<br />
walinunuliwa kwa<br />
ajili ya mradi kwa<br />
gharama ya<br />
Sh.2,219,940.<br />
kugharimu kiasi cha<br />
Sh.4,480,110. Mradi huu<br />
haukuweza fanya kazi<br />
kwa kuwa injini yake<br />
kuharibika. Mpaka<br />
wakati wa ukaguzi akiba<br />
ya mradi ulikuwa<br />
Sh.5,041 tu.<br />
Mradi wa kushona sare<br />
za shule za watoto<br />
yatima wa Nyalikungu<br />
ulianza tarehe 2<br />
Januari, 2006. Mradi<br />
ulianza na wasimamizi<br />
10 ambao waliungana<br />
kufanya kikundi cha<br />
jamii lakini baadae<br />
mradi ulikufa.<br />
Msimamizi wa mfuko wa<br />
fedha wa kijiji<br />
alikusanya vifaa<br />
vilivyobaki kwa ajili ya<br />
uhifadhi.<br />
(i)<br />
Machine 8 za<br />
kushonea<br />
(ii) Machine ndogo 4 za<br />
kushonea<br />
(iii) Mashine kubwa 1<br />
(iv) Marobota matatu ya<br />
nguo<br />
• Wanachama<br />
watano<br />
wameshafariki<br />
Dunia na<br />
wamebaki<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
204
Iringa<br />
Manispaa<br />
Mradi wa ufugaji<br />
kuku wa Lugeye.<br />
Mradi huu ulianza na<br />
kuku wa kienyeji<br />
ambao walinunuliwa<br />
kwa kiasi cha<br />
Sh.4,892,800<br />
Mradi wa Ushonaji<br />
nguo wa wa<br />
Nyalikungu ulioanza<br />
Mwezi March, 2007.<br />
Mradi wa ufugaji wa<br />
kuku wa Mayai<br />
uliopo Ipogolo<br />
wenye thamani ya<br />
Sh. 6,369,170.<br />
wanachama<br />
watatu ambao<br />
hata hivyo<br />
ushiriki wao<br />
kwenye mradi sio<br />
wa kuridhisha<br />
sana kutokana na<br />
kuzorota kwa<br />
Afya zao<br />
kutokana na<br />
Maradhi.<br />
• Idadi ya kuku<br />
kwenye mradi nayo<br />
imepungua toka<br />
kuku 100 hadi<br />
kufikia kuku 54<br />
sababu ya kupungua<br />
ni vifo kwa kuku 46.<br />
Wanachama 6 kati ya<br />
tisa wa mradi huu<br />
wameshafariki Dunia<br />
na kubakiwa na<br />
wanachama watatu<br />
tu.<br />
Wanachama 6 kati ya<br />
8 wameshafariki<br />
Dunia na kubakiwa<br />
na wanachama<br />
wawili tu.<br />
Mradi huu mdogo<br />
ulikamilika na<br />
kupewa cheti cha<br />
ukalishwaji wa mradi<br />
toka TMU. Hata<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
205
Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Makete<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Korogwe<br />
Mradi wa Ufugaji<br />
kuku wa wazee wa<br />
kijiji cha Ihela<br />
wenye thamani ya<br />
Sh.13,456,531<br />
ulioanzishwa Januari<br />
2007.<br />
Mradi wa ufugaji wa<br />
Ng’ombe wa maziwa<br />
wa kina mama<br />
wajane-Mazinde A.<br />
Sh. 5,000,000.<br />
hivyo madhumuni ya<br />
mradi kuweza kuwa<br />
endelevu<br />
hayakuweza kufikiwa<br />
kutokana na kufa<br />
kwa kuku wote.<br />
Mpaka kufikia<br />
Oktoba, 2008 mradi<br />
ulikuwa bado<br />
kukamilika. Jengo<br />
ambalo lingetumika<br />
kwa ajili ya mradi<br />
lilikuwa bado<br />
kukamilika kutokana<br />
na usimamidhi hafifu<br />
ambao unaonekana<br />
unachangiwa na<br />
uelewa mdogo wa<br />
elimu ya uendeshaji<br />
wa miradi kwa<br />
wanachama wa CMC.<br />
• Ng’ombe mmoja<br />
kati ya kumi<br />
amekufa, ukaguzi<br />
haukuweza<br />
thibitisha hilo<br />
kutokana na<br />
kukosekana kwa<br />
cheti cha kifo<br />
toka kwa Daktari<br />
wa mifugo wa<br />
Wilaya.<br />
• Uzalishaji wa<br />
maziwa kwa siku<br />
upo kati ya lita 4<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
206
Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
Rufiji<br />
Mradi wa Umoja wa<br />
Uvuvi wenye thamani<br />
ya Sh.7,429,750.<br />
hadi 8 ambapo<br />
lita moja ya<br />
maziwa huuzwa<br />
kwa Sh.300 mauzo<br />
kwa siku ambayo<br />
ni finyu sana.<br />
• Kundi halina elimu<br />
ya masuala ya<br />
uvuvi.<br />
7.6.13 Malipo yasiyostahili<br />
Katika ukaguzi tulioufanya tuliweza kubaini matumizi<br />
yasiyostahili yenye thamani ya Sh.8,472,200 ambayo<br />
yasingeweza stahili kulipwa kwa kutumia fedha za TASAF<br />
kama inavyoonyeshwa hapa chini:-<br />
Halmashauri<br />
Manispaa ya<br />
Sumbawanga<br />
Namba ya<br />
Vocha ya<br />
malipo<br />
1/8/066145 Mkurugenzi<br />
wa<br />
Manispaa<br />
5/10/081355 Mkurugenzi<br />
wa<br />
Manispaa<br />
Mlipwaji Maelezo Kiasi<br />
Posho kwa<br />
ajili ya<br />
vikao vya<br />
kamati ya<br />
bunge ya<br />
mahesabu<br />
ya serikali<br />
za mitaa 7-<br />
16/08/2007<br />
Walipwaji<br />
mbalimbali<br />
kwa ajili ya<br />
kuhudhuria<br />
vikao vya<br />
LAAC DSM<br />
7-12/8/07<br />
1,050,000<br />
1,022,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
207
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilosa<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbeya<br />
Jiji la<br />
Mwanza<br />
2/8/066145 Posho ya<br />
safari<br />
kwenda<br />
Mbeya 7-<br />
12/08/<br />
2007<br />
Jumla<br />
12/1/065700<br />
4/3/065717<br />
3/4/065728<br />
7/4/065732<br />
Maofisa<br />
mbalimbali<br />
5/11/185085 Hudson<br />
Mwasanyamba<br />
2/3/290708 Watumbo<br />
Ngara<br />
2/7/063149 Mkurugenzi<br />
wa Jiji<br />
ndogo<br />
Posho kwa<br />
ajili ya<br />
vikao vya<br />
LAAC na<br />
uwasilishwaji<br />
wa<br />
bajeti<br />
Bungeni<br />
Jumla<br />
ndogo<br />
Malipo ya<br />
posho kwa<br />
ajili ya<br />
kuhudhuria<br />
vikao vya<br />
LAAC<br />
Dodoma<br />
Malipo ya<br />
posho kwa<br />
ajili ya<br />
kuhudhuria<br />
vikao vya<br />
Bunge Kyela<br />
Jumla<br />
Ndogo<br />
Posho ya<br />
chakula cha<br />
950,000<br />
3,316,000<br />
550,000<br />
345,000<br />
450,000<br />
900,000<br />
2,245,000<br />
495,000<br />
120,000<br />
615,000<br />
350,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
208
Mwanza<br />
3/7/063150 Winfrida<br />
C.Fabian<br />
1/8/086351 Mkurugenzi<br />
wa Jiji<br />
Mwanza<br />
9/10/086372 Mariam<br />
Zuberi<br />
mchana kwa<br />
maofisa<br />
wanne kwa<br />
muda wa<br />
siku kumi<br />
kwa ajili ya<br />
usimamiaji<br />
wa miradi<br />
ya Jamii<br />
Malipo kwa<br />
ajili ya saa<br />
za ziada<br />
kwa siku 20<br />
kati ya<br />
tarehe 2-<br />
21/6/2007.<br />
Malipo kwa<br />
ajili ya saa<br />
za ziada<br />
kwa<br />
wafanyakazi<br />
wawili<br />
Malipo ya<br />
ajili ya saa<br />
za ziada<br />
100,000<br />
130,000<br />
50,000<br />
kwa siku 10<br />
Jumla Ndogo 630,000<br />
Jumla Kuu 8,472,200<br />
7.6.14 Kutohusishwa kwa Wataalamu wa kisekta<br />
Kwa ujumla imeonekana kuwepo kwa ushiriki hafifu kwa<br />
wataalamu wa kisekta miongoni mwa baadhi ya shughuli<br />
za TASAF na hata walipokuwa wakihusishwa hapakuwepo<br />
na ripoti yeyote ya kiufundi iliyotolewa. Jambo hili<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
209
lilichangia kuwepo kwa kazi chini ya kiwango. Ifuatayo ni<br />
baadhi ya mifano ya kazi hizo:<br />
Halmashauri Mradi Mdogo Maelezo/maoni<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mbeya<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mbulu<br />
Manispaa ya Bukoba<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Lindi<br />
Ujenzi wa barabara<br />
ya jamii na<br />
madaraja mawili<br />
katika eneo la<br />
Mwashiwawala<br />
Ujenzi wa madarasa<br />
6 na matundu ya<br />
vyoo katika shule ya<br />
msingi Waama<br />
Ujenzi wa ukumbi<br />
wa mkutano katika<br />
shule ya Sekondari<br />
ya Kijiji cha Kinezi<br />
Ujenzi wa Nyumba<br />
moja ya kuishi<br />
mwalimu katika<br />
Mkwaya Shule ya<br />
msingi<br />
Eneo la chini la zege<br />
limeanza kuzolewa<br />
na maji hali<br />
inayoashiria kuwepo<br />
na haja ya<br />
kuimarisha upya<br />
daraja.<br />
Kuta zimeonekana<br />
kuwepo na nyufa na<br />
baadhi ya madirisha<br />
ya vioo yamevunjika.<br />
Madirisha ya vioo<br />
yameonekana<br />
kutowekwa vema<br />
kama kufuata<br />
viwango<br />
Milango iliyowekwa<br />
ni ya kiwango cha<br />
chini na bado<br />
haijakamilika.<br />
Katika mafaili yote ya miradi iliyopitiwa hapo juu<br />
hakukuwepo na taarifa ya fundi Mchundo wa ndani<br />
ikionyesha maendeleo kwa kila hatua iliyofikiwa juu ya<br />
mradi inaoendelea, aidha, hata kwa ile miradi iliyokwisha<br />
kamilika hapakuwepo pia kwa taarifa za kumalizika<br />
kwake. Zaidi ya hayo hapakuwepo pia na vivuli vya taarifa<br />
ya ukamilishwaji wa mradi inayoandaliwa na Fundi<br />
mchundo wa nje.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
210
7.7 Mradi wa mfuko wa barabara katika Halmashauri za<br />
wilaya<br />
7.7.1 Utangulizi<br />
Sekta ya barabara nchini imepitia mageuzi mbalimbali<br />
yakiwemo marekebisho ya sheria ya ushuru wa barabara<br />
Sheria No 2 ya mwaka 1998 ambayo ilianzisha Mfuko wa<br />
barabara na Bodi ya mfuko wa barabara. Sheria ya<br />
kuanzishwa kwa wakala wa barabara 1997 (TANROADS)<br />
ambayo ina jukumu la kusimamia barabara kuu na<br />
barabara za mikoa Tanzania Bara.<br />
7.7.2 Uhai na mawanda ya mradi katika Halmashauri<br />
Dhumuni la mradi ni kutoa fedha kwa aili ya<br />
matengenezo na ukarabati wa barabara za halmashauri za<br />
Wilaya. Karibia asilimia tisini ya fedha zinazotengwa ni<br />
kwa ajili ya matumizi ya ukarabati na matengenezo ya<br />
barabara zilizoteuliwa na Halmashauri pamoja na<br />
kugharamia gharama za kiutawala katika Tanzania Bara<br />
kulingana na mwongozo wa utendaji ulioidhinishwa na<br />
Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa<br />
(TAMISEMI) kifungu 4(3)(b) ya kanuni.<br />
Bodi ya mfuko wa barabara hutoa fedha kupitia wakala<br />
watatu wa utekelezaji ambao ni kama wafuatao:<br />
• TANROADS<br />
• Halmashauri za wilaya kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu<br />
Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa<br />
• Wizara ya Miundombinu<br />
TANROADS kwa sasa inapokea asilimia sitini na tatu<br />
(63%) ya mgawanyo baada ya bodi ya mfuko wa barabara<br />
kutoa gharama za ki utawala, TAMISEMI inapokea<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
211
asilimia 30 na wizara ya miundombinu inapokea asilimia<br />
saba (7%).<br />
7.7.3 Wafadhili<br />
Kutokana na sheria za Mfuko wa fedha za barabara<br />
kifungu cha 4(1), fedha za miradi ya mfuko wa barabara<br />
kwa Halmashauri zinajumuisha zifuatazo:<br />
• Asilimia mia moja (100%) ya fedha zote zikusanywazo<br />
kama ushuru wa barabara utozwao katika Petroli na<br />
Dizeli, gharama za magari yanayotoka nje ya nchi,<br />
faini zitokanazo na kuzidisha kiwango cha mizigo<br />
katika magari na vyanzo vyovyote vinavyoweza<br />
kupangwa na kuidhinishwa na Bunge la Jamhuri nya<br />
Muungano wa Tanzania kwa vipindi tofauti.<br />
• Michango na misaada inayopokelewa toka toka kwa<br />
wafadhili<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
212
7.7.4 Matokeo ya ukaguzi<br />
Katika ukaguzi wa Fedha za Mfuko wa Barabara kwa<br />
mwaka wa fedha unaoishia Juni, 2008 tumebaini<br />
mapungufu kadhaa ambayo yanafikia kiasi cha Sh.<br />
8,770,031,359 kama inavyo onyeshwa hapa chini:-<br />
Na. Maelezo Kiasi (Sh)<br />
1. Fedha ambazo hazikutumika 5,853,100,305<br />
2. Malipo ya mikataba ambayo haikuwa na 222,750,577<br />
viambatanisho kamilifu<br />
3. Mkandarasi kuacha kazi katikati bila ya 115,991,150<br />
kumalizia<br />
4. Rejista ya mikataba kutokuwepo 614,232,850<br />
5. Malipo yanayozidi bajeti 137,241,100<br />
6. Fedha zilizopokelewa lakini<br />
153,036,353<br />
hazijarekodiwa<br />
7. Kutengeneza barabara bila ya kujaribu<br />
vifaa katika maabara 586,000,000<br />
8. Kutokuwepo kwa hati za malipo<br />
253,052,524<br />
9. Mkandarasi alitoroka baada ya kupewa<br />
kazi 216,942,000<br />
10. Kuchelewa katika kukamilisha miradi<br />
ya barabara. 617,684,500<br />
Jumla 8,770,031,359<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
213
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
214
SURA <strong>YA</strong> <strong>NA</strong>NE<br />
TATHMINI <strong>YA</strong> UFANISI <strong>WA</strong> MIRADI <strong>YA</strong> HALMASHAURI<br />
8.1 Tathmini ya ufanisi kwa ujumla<br />
Katika mwaka wa fedha 2007/2008 ofisi yangu ilikagua<br />
utekelezwaji wa miradi iliyoko katika Halmashauri<br />
inayofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo wa Halmashauri na<br />
katika ukaguzi huo mambo yafuatayo yalijitokeza:-<br />
(i) Kuchelewa kukamilika miradi kwa wakati<br />
Ukaguzi wa miradi kwa ujumla uliweza kubaini<br />
ucheweleshwaji mkubwa wa kukamilika kwa miradi<br />
mbalimbali kutokana na sababu mbalimbali kama zifuatazo<br />
• Kukosekana kwa mchango wa nguvu za wananchi katika<br />
utekelezaji wa miradi<br />
Katika mwaka wa fedha niliokagua Halmashauri 9 zilitenga<br />
kiasi cha Sh.1,167,974,302 katika bajeti zao kwa ajili ya<br />
ukamilishaji wa miradi mbalimbali. Hata hivyo miradi hii<br />
haikuweza kamilika kutokana na kukosekana kwa michango<br />
ya nguvu za wananchi, pia ilionekana kuwa kiasi cha<br />
michango ya nguvu za wananchi kilichotegemewa<br />
hakikuingizwa katika bajeti za Halmashauri hapo mwanzoni<br />
hivyo kusababisha makisio madogo ya thamani halisi ya<br />
miradi husika.<br />
Kwa kuwa mchango wa jamii umeonekana kuwa ni sehemu<br />
muhimu katika utekelezwaji wa miradi kwa wakati ilipaswa<br />
gharama za rasilimali husika ziingizwe katika bajeti ya<br />
Halmashauri tangu mwanzo kwa ajili ya urahisi wa<br />
ufuatiliaji. Sababu za kutopata mchango wa kutosha toka<br />
kwenye nguvu za wananchi ni pamoja na ushirikishwaji<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
215
hafifu wa wananchi katika hatua za awali na uelewa mdogo<br />
wa miradi yenyewe toka kwa wananchi.<br />
Orodha ya Halmashauri hizo 9 ambazo zilikumbwa na tatizo hili ni<br />
kama zifuatazo:-<br />
SN HALMASHAURI HOJA <strong>YA</strong> UKAGUZI MCHANGO <strong>WA</strong><br />
HALMASHAURI<br />
1 Moshi H/W • Ujenzi wa madarasa 56<br />
276,480,800<br />
na Ofisi moja<br />
2. Moshi H/M • Ujenzi wa madarasa 14 120,780,257<br />
3. Tarime H/W • Ujenzi na ukarabati wa<br />
madarasa 29, Ofisi<br />
166,200,000<br />
moja na Nyumba nne<br />
za Walimu<br />
4. Kilosa H/W • Madarasa 7 kati ya 15<br />
46,000,000<br />
yapo katika hatua ya<br />
kukamilika<br />
5. Shinyanga H/M • Ujenzi wa madarasa 16<br />
14,361,298<br />
ya Sekondari<br />
6. Babati H/Mji • Ujenzi wa Choo Ziwani<br />
2,000,000<br />
S/Msingi<br />
7. Hai H/W • Ujenzi wa madarasa 37<br />
ya shule ya msingi na<br />
318,604,327<br />
sekondari<br />
8. Rombo H/W • Ujenzi wa madarasa 26<br />
nyumba 2 za walimu<br />
51,102,621<br />
na Ofisi moja<br />
9. Rorya H/W • Ujenzi wa madarasa 20<br />
172,445,000<br />
ya shule za msingi<br />
• Ujenzi wa nyumba<br />
tano za walimu<br />
• Ujenzi wa Zahanati 4<br />
katika vijiji vya<br />
Roche,Busaga,Cherech<br />
e na Bitiryo<br />
Jumla 1,167,974,303<br />
o Kuchelewa kukamilika kwa miradi kutokana na<br />
kukosekana kwa Fedha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
216
Katika eneo hili la ucheleweshaji wa fedha toka serikali kuu<br />
ilibainika kuwa kiasi cha Sh.1,568,500,000 hakikuweza<br />
kutolewa kwa ajili ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali<br />
kwa Halmashauri zipatazo 4 kama zinavyoonyeshwa katika<br />
jedwali hapa chini. Serikali kuu inapaswa kuhakikisha kuwa<br />
fedha zinatolewa kama zilivyopangwa ili kutoathiri<br />
ukamilishaji wa miradi kwa kuwa kutotolewa kwa fedha<br />
kunasababisha kutotekelezeka kwa miradi iliyokusudiwa.<br />
SN HALMASHAURI HOJA <strong>YA</strong> UKAGUZI KIASI AMBACHO BADO<br />
KUTOLE<strong>WA</strong><br />
1. H/W Babati • Ununuzi wa meza<br />
kumi ambazo ambazo<br />
23,500,000<br />
zingetumiwa na<br />
wafanyabia-shara<br />
wadogo wa soko la<br />
Kata ya Babati<br />
• ukamilika kwa<br />
madarasa mawili na<br />
Ofisi moja kwa Himiti<br />
Shule ya Msingi<br />
2. H/W Mkinga • Upimaji wa ramani<br />
15,000,000<br />
Kasera na Mramba<br />
3. H/M Kinondoni • Upanuzi wa stoo<br />
Mwananyamala<br />
485,000,000<br />
• Ununuzi wa thamani<br />
kwa zahanati za<br />
Msumi Mavurunza<br />
Wazo, Hananasif,<br />
Kwembe na Mpiji<br />
Mbweni<br />
• Uthaminishwaji wa<br />
adhari katika dampo<br />
la Kigogo<br />
• Ununuzi wa matrekta<br />
matatu kwa ajili mya<br />
uzoaji taka<br />
• Ununuzi wa machine<br />
tatu za kusafishia<br />
barabara<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
217
• Ujenzi wa maeneo<br />
maalumu kwa ajili ya<br />
ukusanyaji wa<br />
takataka katika kata<br />
za Kawe, Sinza,<br />
Manzese, Makurumla,<br />
kijitonyama na<br />
Tandale.<br />
4. H/M Ilala • Ujenzi wa barabara<br />
1,045,000,000<br />
ya lami ya Allykhan<br />
yenye urefu wa<br />
kilometa moja.<br />
• Ujenzi wa barabara<br />
ya Swahili yenye<br />
urefu wa 0.5<br />
kilometa.<br />
• Ujenzi wa barabara<br />
ya Twiga kwa<br />
kiwango cha lami.<br />
• Ukarabati wa<br />
machinjio ya<br />
Buguruni<br />
• Ukarabati wa Ofisi za<br />
Arnatouglou<br />
• Ukarabati wa<br />
majengo ya masoko<br />
• Ujenzi wa uzio na<br />
ukarabati wa mfumo<br />
wa maji taka sokoni<br />
Buguruni<br />
JUMLA 1,568,500,000<br />
o Kuchelewa kukamilika kwa miradi kutokana na<br />
kucheleweshwa kwa Fedha.<br />
Miradi mbalimbali yenye bajeti ya Sh.420,550,219 ambayo<br />
ilipangwa kutekelezeka katika wilaya zipatazo 5 haikuweza<br />
kufanikiwa kutokana na kuchelewa kwa upatikanaji wa Fedha<br />
toka Serikali Kuu kama inavyoonyeshwa hapa chini:-<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
218
Na Halmashauri Matokeo Kiasi (Sh)<br />
1. Babati H/Mji • Ujenzi wa darasa 1 8,000,000<br />
Nangara shule ya<br />
Sekondari<br />
2. Tarime H/W • Ujenzi wa zahanati 162,000,000<br />
nane na nyumba tatu<br />
za wafanyakazi<br />
3. Mkinga H/W • Kupitia na kudizaini 26,625,000<br />
barabara ya Mkinga<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
Mwalimu<br />
4. Nzega H/W • Ujenzi wa tanki la 110,117,219<br />
maji kwa ajili ya<br />
vituo vya afya vya<br />
Itobo, Zogolo na<br />
Busondo.<br />
• Ujenzi wa Barabara<br />
ya Mwalugi<br />
• Ujenzi wa Zahanati<br />
ya Lukuji<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
Dakitari<br />
• Ujenzi wa tanki la<br />
maji kwa ajili ya<br />
kuhifadhia maji<br />
mvua<br />
5. Bunda H/W • Ujenzi wa wadi ya<br />
“paediatric” katika<br />
zahanati ya<br />
Kasuguti<br />
113,808,000<br />
• Ujenzi wa nyumba<br />
ya mfanyakazi<br />
katika zahanati ya<br />
Nafuba<br />
• Ununuzi wa kifaa<br />
cha “Photovoltaic”,<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
219
nguvu ya jua na<br />
spea ndogondogo<br />
• Ununuzi wa<br />
Compyuta, meza na<br />
kiti.<br />
• Utandazaji wa<br />
mabomba ya maji<br />
yenye urefu wa<br />
kilometa mbili.<br />
• Ujenzi wa vituo<br />
vitano vya maji<br />
Guta.<br />
• Ujenzi wa shimo la<br />
maji Tairo<br />
Jumla 420,550,219<br />
(ii) Kuchelewa katika kukamilisha miradi<br />
Katika wilaya 12 zinazoonyeshwa hapa chini, kulikuwa na<br />
uchelewaji wa miradi mbalimbali iliyokuwa na bajeti ya<br />
Sh.1,406,066,840. Katika kuhakikisha kuwa nidhamu ya<br />
fedha inaimarika, miradi inapaswa kuwa imepangwa vizuri,<br />
kusimamiwa na kutekelezwa katika muda uliopangwa na<br />
Serikali inapata thamani ya fedha.<br />
SN Jina la<br />
Halmashauri<br />
Mradi<br />
1. Tarime H/W • Kukamilika nusu kwa<br />
ujenzi wa barabara<br />
ya Muriba-Mususura<br />
yenye urefu wa km<br />
1.<br />
2. Kishapu H/W • Kuchelewa<br />
kukamilika kwa<br />
matengenezo ya<br />
ujenzi wa barabara<br />
Kiasi<br />
kilichoidhinishwa<br />
49,458,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
220
ya Washiteleja-<br />
Ndundangali and<br />
Bunambiyu-Bubiki.<br />
3 Muleba H/W Ukarabati wa Kamachumu<br />
Kituo cha Afya.<br />
(i) Ukarabati wa wadi<br />
ya wazazi katika<br />
kituo cha afya<br />
Kaigara<br />
(ii) Ujenzi wa uzio<br />
katika uwanja wa<br />
Vijana Muleba Mjini.<br />
4 Nzega H/W • Ujenzi wa nyumba ya<br />
mwalimu Nkiniziwa<br />
S/Msingi.<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
Mwalimu Isumba<br />
S/Msingi.<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
Mwalimu Lakuyi<br />
S/Msingi<br />
• Ujenzi wa Nyumba<br />
ya Mwalimu shule ya<br />
Msingi Kabanga<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
Mwalimu Shuke ya<br />
Msingi Kayombo<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
mwalimu Shule ya<br />
msingi Idala<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
mwalimu shule ya<br />
Msingi Uduka<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
Mwalimu Shule ya<br />
Msingi Kilabili<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
mwalimu Shule ya<br />
Msingi Iyombo<br />
131,460,000<br />
94,961,389<br />
292,994,538<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
221
• Ujenzi wa Zahanati<br />
ya Kipululu<br />
5. Sikonge H/W • Miradi mbalimbali ya<br />
ujenzi 312,230,777<br />
6. Urambo H/W • Ujenzi wa Nyumba<br />
ya Mwalimu na<br />
madarasa mawili<br />
Ukumbisiganga. 32,555,840<br />
7. Hanang’ H/W • Ujenzi wa Nyumba<br />
ya Mwalimu (CDG<br />
NYUMBA 8)<br />
• Ujenzi wa matundu<br />
ya vyoo 2 ya shule.<br />
• Ujenzi wa Makao<br />
makuu ya Wilaya<br />
68,691,353<br />
(CDG)<br />
8. Serengeti H/W • Ukarabati wa<br />
Zahanati 3 za<br />
Machochwe,<br />
Nyichoka and<br />
Rwanchanga na<br />
Nyumba moja.<br />
114,000,000<br />
• Ukarabati wa Kituo<br />
cha Afya Iramba.<br />
9. Liwale H/W • Ujenzi wa Nyumba<br />
sita za Walimu. 31,000,000<br />
10. Lindi H/Mji • Ukarabati wa<br />
Barabara ya<br />
Kineng’ene, yenye<br />
urefu wa kilometa<br />
7.86<br />
• Ujenzi wa nyumba ya<br />
Tabibu eneo la<br />
Nachingwea<br />
• Ujenzi wa Nyumba<br />
ya Afisa Elimu<br />
• Ujenzi wa Mfereji wa<br />
maji taka<br />
• Uchimbaji wa Visima<br />
• (mita 100)<br />
• Ujenzi wa Madarasa<br />
2 Likotwa S/Msingi<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
222
• Ukarabati wa shule<br />
115,909,969<br />
ya Msingi Stadium<br />
11. Kinondoni H/W • Ujenzi wa madarasa<br />
4 Kimara B<br />
• Ujenzi wa madarasa<br />
2 Mirambo<br />
• Ujenzi wa madarasa<br />
2 Mbezi Ndumbwi 10,200,000<br />
12. Rombo H/W • Ukarabati wa wadi<br />
ya wagonjwa wa nje<br />
29,066,024<br />
na nyumba ya<br />
Mfanyakazi wa Kituo<br />
cha Afya Keni<br />
13. Ilala H/W • Ujenzi wa Ofisi tano<br />
katika Shule za<br />
123,538,950<br />
Sekondari<br />
• Uendelezaji wa<br />
Ujenzi wa Kituo cha<br />
Afya Kitunda.<br />
Jumla 1,406,066,840<br />
(iii)<br />
Majengo yaliyokwisha kamilika lakini hayatumiki<br />
Baadhi ya Halmashauri zimekuwa zikiwekeza sana katika<br />
Afya na Elimu kama vile Vituo vya Afya na Zahanati kwa<br />
ajili ya utoaji wa huduma za Afya lakini cha kushangaza ni<br />
kwamba majengo haya pamoja na kuwa yamekamilika<br />
yamekuwa hayatumiki kabisa. Sampuli ya ukaguzi<br />
iliyochukuliwa katika ukaguzi imebaini majengo yenye<br />
thamani ya Sh.708,761,994 kutoka Halmashauri za Mtwara<br />
na Mbozi kutotumika pamoja na kwamba ujenzi wake<br />
umekwisha kamilika kama mchanganuo unavyoonyesha<br />
hapa chini.<br />
Na. Halmashauri Kiasi Kilichotumika<br />
Sh.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
223
1. Mbozi H/W 255,662,672<br />
2. Mtwara H/W 453,099,322<br />
Jumla 708,761,994<br />
(iii)<br />
Miradi iliyopewa fedha lakini haijaanza kutekelezwa<br />
Miradi mbalimbali haijaanza kutekelezwa katika<br />
Halmashauri. Jumla ya Sh.1,291,749,485 zilizotolewa katika<br />
Halmashauri 11 hazijatumika bado. Hata baada ya kuisha<br />
mwaka tangu kumalizika kwa awamu ya kwanza ya fedha<br />
iliyotengwa, miradi bado haijaanza kujengwa. Hii<br />
inajionyesha kwamba miradi inapokuwa imetolewa fedha<br />
huwa haianzi mapema. Halmashauri husika hazijachukua<br />
hatua zozote kuhakikisha kuwa miradi inaanza<br />
kutekelezwa. inaonyesha kuwa hakuna mpangilio maalumu<br />
wa utekelezaji uliowekwa mpaka wakati wa utayarishaji wa<br />
ripoti hii (Novemba, 2008).<br />
Fedha ambazo zimeshatolewa kwenye Halmashauri<br />
zimekuwa hazitumiki kwa muda mrefu na hivyo kuzuia<br />
utoaji wa huduma kwa wananchi kutokana na upungufu wa<br />
ubunifu na uwajibikaji katika Halmashauri. Hii inaweza<br />
ikahakikiwa katika uongozi wa Halmashauri na kuleta<br />
uwajibikaji katika Idara zinazohusika na utekelezaji wa<br />
miradi.<br />
Halmashauri zinatakiwa kuwa na juhudi katika uanzishaji<br />
na utekelezaji wa miradi kwa muda uliopangwa katika<br />
kuhakikisha kuwa miradi iliyopangwa inatekelezwa bila<br />
kuchelewa. Utaratibu huu wa kutotumia fedha una<br />
madhara katika matokeo ya malengo ya miradi iliyopangwa.<br />
Namba<br />
Jina la<br />
halmashauri<br />
maelezo<br />
Kiasi<br />
kilichotngwa<br />
Sh.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
224
1. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Kiteto<br />
(i) ununuzi wa madawati 90<br />
foray shule ya msingi<br />
Katikati<br />
(ii) Ujenzi wa ofisi ya kijiji<br />
Bwagamoyo<br />
(iii) Ujenzi wa ofisi ya kijiji<br />
Ndleta<br />
(iv) Ujenzi wa ofisi ya kijiji<br />
0lpopong<br />
(v) Ujenzi wa nyumba ya walimu<br />
Sachande<br />
2. Jiji laTanga (i) Ujenzi wa madarasa Kihere<br />
Sekondari kata ya Mzingani<br />
(ii) Ujenzi wa madarasa 2 katika<br />
shule ya sekondari<br />
Chongoleani<br />
(iii) Kuboresha mfumo wa maji<br />
Ngamiani kaskazini<br />
(iv) Ujenzi wa madarasa<br />
Ngamiani Kati.<br />
3. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Moshi<br />
(v)<br />
Kuboresha makazi hadi<br />
kufikia Juni 2008<br />
(vi) Kuboresha mfumo wa maji<br />
(vii) Kuendesha vikao vya UDEM<br />
(viii) kuboresha muundo wa<br />
mazingira kwa mwaka<br />
kuishia Juni 2008<br />
(ix) Ujenzi na umaliziaji wa<br />
ununuzi wa majokofu ya<br />
“Deep-sea na Kasera fish<br />
landing point”<br />
(x) ujenzi wa machinjio Sahare<br />
(xi) ujenzi wa machinjio ya jiji<br />
(xii) ujenzi wa mnada wa<br />
ng’ombe Pongwe.<br />
(xiii) Ujenzi wa ofisi ya mifugo ya<br />
jiji.<br />
(xiv) Ujenzi wa wigo katika<br />
zahanati Pongwe<br />
• Upanuzi wa Ofisi makao<br />
makuu<br />
• ujenzi wa nyumba za<br />
watumishi<br />
24,685,668<br />
235,038,789<br />
176,393,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
225
4 Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Nzega<br />
5. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Sikonge<br />
6. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Hanang’<br />
7. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Handeni<br />
10. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Kilindi<br />
• ujenzi wa madarasa 2<br />
katika Sekondari ya<br />
Mkombole<br />
• Ujenzi wa jengo la chakula<br />
katika shule ya Sekondari Njia<br />
Panda<br />
• Ununuzi wa mashine ya maji<br />
katika kisima cha Ndanda<br />
(xv) Ununuzi wa vifaa vya<br />
Hospitali na samani<br />
(xvi) Ununuzi wa vifaa vya ujenzi<br />
na ununuzi wa samani<br />
(xvii) Ukarabati wa majengo,<br />
visima na ununuzi wa samani<br />
• Ujenzi wa ofisi 3 za mradi wa<br />
Kujenga uwezo<br />
• Ujenzi wa zahanati ya<br />
Chanika<br />
• ujenzi wa mfumo wa Maji<br />
Mkata<br />
• Ujenzi wa mfumo wa maji<br />
Kwanyange<br />
• Ujenzi wa daraja na Karavati<br />
barabara Kwinji-Kilindi<br />
30,000,000<br />
270,792,750<br />
16,807,842<br />
446,237,692<br />
12,870,000<br />
Jumla 776,708,284<br />
(i)<br />
Ujenzi mbovu wa miradi<br />
Halmashauri 3 zililipa jumla ya Sh.93,591,024 kwa<br />
ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali. Ila,<br />
ukaguzi wa kutembelea miradi ulibaini mapungufu<br />
yakiutendaji yafuatayo.<br />
Namba<br />
Jina la<br />
halmashauri<br />
mapungufu ya<br />
Miradi<br />
Kiasi<br />
Sh.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
226
1. Manispaa ya<br />
Moshi<br />
2. Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
Namtumbo<br />
3. Manispaa ya<br />
Temeke<br />
Mategenezo ya<br />
kawaida katika<br />
Khambaita<br />
kilomita 2.1<br />
• karavati 7<br />
zilizojengwa<br />
kwa saruji<br />
hazijamaliziwa<br />
vizuri.<br />
• Ukuta wa<br />
karavati Na. 3<br />
una nyufa.<br />
• Vifaa<br />
visivyotakiwa<br />
vimeachwa<br />
kwenye mfumo<br />
wamaji ardhini<br />
Ukaguzi wa<br />
kutembelea miradi<br />
ulibaini kuwa<br />
ujenzi wa<br />
madarasa katika<br />
shule ya Sekondari<br />
ya Lisimonji<br />
yamejengwa bila<br />
kutumia vifaa<br />
visivyokidhi<br />
viwango.<br />
Madarasa 8<br />
yaliyojengwa<br />
katika shule ya<br />
sekondari ya<br />
Kibugumo yana<br />
nyufa.<br />
-Shata za<br />
madirisha<br />
hazijawekwa<br />
-Wavu wa kuzuia<br />
mbu<br />
51,120,000<br />
13,405,000.00<br />
223,740,904<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
227
haujawekwa.<br />
-Ubao wa<br />
kuandikwa<br />
haujawekwa<br />
Madarasa 8<br />
katika shule ya<br />
sekondari ya<br />
Kidete yana<br />
nyufa<br />
SURA <strong>YA</strong> TISA<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
228
MAJUMUISHO <strong>NA</strong> MAPENDEKEZO<br />
Mwisho, ningependa kutoa majumuisho na mapendekezo<br />
yafuatayo ili yaweze kufanyiwa kazi na Serikali Kuu pamoja<br />
na Serikali za Mitaa kwa lengo la kuboresha usimamizi<br />
mzuri wa rasilimali za Taifa katika ngazi za Halmashauri.<br />
9.1 Majumuisho<br />
Mambo ya jumla<br />
Mawanda ya ukaguzi katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />
yanapanuka kwa kasi. Hii inatokana na ukweli kwamba<br />
Tanzania imekuwa ikipitia na inaendelea kupitia mabadiliko<br />
mbalimbali, mengi yao yakilenga upelekaji wa madaraka<br />
ngazi za chini kupitia utaratibu wa “D by D”. Ili kuweza<br />
kuhakikisha kwamba mabadiliko yanaleta tija na ni<br />
endelevu, ni muhimu kwa wadau wote wahakikishiwe kuwa<br />
Mamlaka ya Serikali za mitaa zinao uwezo wa kusimamia<br />
fedha na rasilimali nyinginezo za umma ili uwekevu, tija,<br />
na ufanisi viweze kupatikana. Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa<br />
kupitia kaguzi zake za kila mwaka inatoa hali halisi kuhusu<br />
usimamizi wa fedha na rasilimali za umma katika kila<br />
Halmashauri.<br />
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi pamoja na wadau wengine<br />
tunakabiliana na changamoto ya kupanuka kwa mawanda<br />
ya ukaguzi kwa kufanya kazi pamoja na kwa umakini huku<br />
tukilinda uhuru wetu wa kitaaluma. Matokeo ya ushirikiano<br />
huu ni pamoja na Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu<br />
kutoka kwa wakati na hivyo kuwa ya manufaa kwa kutolea<br />
maamuzi. Uwezeshwaji wa watumishi katika kuwaongezea<br />
uwezo wa kiutendaji ili kwenda na wakati ni mambo<br />
ambayo yanaendelea.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
229
Ili kuweza kufikia lengo hili muhimu la kuimarisha uwezo<br />
wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ngazi zilizopo chini<br />
yake kama vile za kata na vijiji, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi<br />
imeona umuhimu wa kuwa na matawi ya Ofisi zake katika<br />
ngazi za Wilaya.<br />
Kwa sasa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inazo ofisi zake katika<br />
ngazi za Mikoa ambazo hufanya kazi mpaka Wilayani. Ili<br />
kuweza kufanikisha sera ya serikali kuhusu mpango wake<br />
wa “D by D” kuna haja ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kuwa na<br />
ofisi katika ngazi ya Wilaya ili kuwa katika nafasi nzuri ya<br />
kukagua mapato na matumizi ya fedha na rasilimali<br />
zinazokwenda katika ngazi za chini kupitia mfumo wa “D by<br />
D”. Ofisi yangu tayari imeshawasilisha rasimu ya<br />
mapendekezo serikalini kwa ajili ya uidhinishwaji na<br />
ugharamiaji.<br />
Baada ya kuelezea mambo ya ujumla katika sura<br />
zilizotangulia juu ya yaliyojiri katika ukaguzi wa Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha 2007/08 napenda sasa<br />
kuchukua fursa hii kutoa majumuisho yafuatayo:-<br />
(i)<br />
Ufuatiliaji wa mapendekezo ya ukaguzi kwa miaka<br />
iliyopita<br />
Mapendekezo kadhaa yalitolewa katika ukaguzi wa mwaka<br />
uliyopita wa mwaka 2006/07. Ofisi yangu ilipokea majibu ya<br />
Serikali kupitia kwa Mlipaji Mkuu wa Serikali tarehe 16<br />
Oktoba, 2008 kwa barua yenye kumbukumbu namba<br />
ED/AG/AUDT GEN/08/vol.1/150 ya tarehe 4 Oktoba, 2008.<br />
Hata hivyo, majibu niliyoyapokea yaligusia kuhusu Mamlaka<br />
ya Serikali za Mitaa pasipo kwenda kwa undani katika kutoa<br />
majibu yanayojitosheleza juu ya hoja za kiukaguzi na<br />
mapendekezo niliyoyatoa kwenye hesabu za Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa. Hii ni kinyume na kifungu namba 40 (2) (b)<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
230
cha sheria ya ukaguzi Namba 11 ya mwaka 2008 ambacho<br />
kinamtaka Mlipaji Mkuu wa Serikali kuwasilisha nakala ya<br />
majibu na mpango kazi ukielezea namna ya kuyatekeleza<br />
mapendekezo ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />
Hesabu za Serikali. Kutokutekelezwa kwa mapendekezo ya<br />
hoja za ukaguzi kunaweza kusababisha kujirudia kwa<br />
mapungufu yaliyobainishwa awali katika ripoti za kaguzi<br />
zilizopita. Hii inarudisha nyuma jitihada za kuboresha<br />
usimamizi wa fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />
(ii) Ukaguzi wa Mishahara<br />
Udhibiti wa ndani wa mfumo wa ulipwaji wa mishahara kwa<br />
serikali kuu na wa Mamlaka za Serikali za Mitaa imebaki kuwa<br />
changamoto kubwa. Ukaguzi uliofanyika uliweza kubaini<br />
kuwepo na kiasi kikubwa cha fedha za Serikali kikilipwa kwa<br />
watumishi hewa ambao aidha wameshafariki dunia,<br />
wamefukuzwa kazi, wameacha kazi au hata kutoroka kazi.<br />
Katika sampuli ya ukaguzi uliofanyika, uliweza kubaini kiasi<br />
cha Sh.178,066,130 zilizolipwa kwa njia hii ambayo ni<br />
matumizi ambayo serikali haikupata faida. Vile vile<br />
imebainika kuwepo kwa utaratibu mbaya miongoni mwa<br />
watumishi wa Serikali kuu na wale wa Mamlaka ya Serikali za<br />
Mitaa ambao wamekuwa wakiulaghai mfumo wa ulipaji wa<br />
mishahara wa serikali kwa kujiongezea mishahara isivyo rasmi<br />
kwa kujipandisha vyeo isivyo halali. Binafsi, naamini jambo<br />
hili linaweza kutokea kwa kushirikiana kati ya watumishi<br />
wasiowaaminifu wa Mamlaka za Serikali za Mitaa zenyewe,<br />
Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na na<br />
Wizara ya Fedha na Uchumi.<br />
Aidha, kufuatana na sampuli ya ukaguzi uliofanyika uliweza<br />
kubaini jumla ya Sh.881,966,748 toka kwa baadhi ya<br />
Halmashauri ambazo hazikurudisha mishahara isiyolipwa<br />
Hazina kupitia Makatibu Tawala wa Mikoa kama inavyoagizwa<br />
kwenye waraka wa Hazina Namba EB/AG/5/03/01 Vol.VII/136<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
231
wa tarehe 31 Agosti, 2007. Matumizi ya mishahara ya<br />
watumishi wa umma imeonekana kuwa eneo lenye<br />
mapungufu makubwa katika udhibiti wa ndani na husababisha<br />
Mamlaka ya Serikali za Mitaa na Serikali kwa ujumla kupoteza<br />
fedha nyingi ambazo zingeweza kutumika katika shughuli<br />
nyinginezo za maendeleo ya Nchi.<br />
(iii) Majukumu ya Mhasibu Mkuu katika Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa<br />
Matokeo ya ukaguzi uliofanywa katika Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa umebaini kuwepo Kwa utofauti wa utayarishaji na<br />
utoaji wa taarifa za fedha miongoni mwa Halmashauri jambo<br />
ambalo ni kinyume na Kifungu Na. 40(2) cha Sheria ya fedha<br />
ya Mamlaka za Serikali za Mitaa Na 9 ya mwaka 1982<br />
(iliyorekebishwa 2000) ambayo inazitaka Halmashauri zote<br />
kuwa na mfumo unaofanana wa utengenezaji na utoaji wa<br />
taarifa za fedha. Miongozo mbalimbali inayokinzana<br />
imeonekana kutolewa kwa Halmashauri juu ya namna ya<br />
utayarishaji na utoaji wa taarifa za fedha kwa mwaka wa<br />
fedha 2007/08.<br />
Tofauti na Sheria ya Fedha ya Umma ya mwaka<br />
2001(iliyorekebishwa 2004), ambayo kimsingi inampa Mhasibu<br />
Mkuu wa Serikali mamlaka ya kusimamia na kuwa mkuu wa<br />
fedha na uhasibu katika Wizara, Idara na Wakala wa Serikali,<br />
Sheria ya fedha ya Mamlaka za Serikali za Mitaa Na 9 ya<br />
mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000) haiko wazi kuhusu ni nani<br />
atakaye kuwa na madaraka sawa na yale ya Mhasibu Mkuu wa<br />
Serikali kwa upande wa Serikali za Mitaa.<br />
Kutokana na sababu hiyo hapo juu, haishangazi kwamba<br />
kumekuwa na ugumu na ucheleweshwaji wa kuwa na mfumo<br />
wa kisheria unaoendana na wakati ikiwa ni pamoja na kuwa<br />
na miongozo inayofanana juu utoaji wa taarifa za fedha<br />
katika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Hali hii pia, inajieleza<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
232
yenyewe katika utoaji wa nyaraka zinazokinzana na zisizo<br />
sahihi juu ya namna ya ufungaji wa mahesabu ya Halmashauri<br />
kwa mwaka wa fedha 2007/2008. Naamini hali hii inatokea<br />
kutokana kutokuwepo kwa mamlaka ambayo ingekuwa na<br />
majukumu sawa kama yale ya Mhasibu Mkuu wa Serikali<br />
katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />
(iv) Fedha zinazopelekwa MSD<br />
Hili ni eneo jingine lenye udhaifu ambalo limeonekana wakati<br />
wa ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa. Imebainika kuwa<br />
fedha zitumwazo kwenda MSD kwa niaba ya Halmashauri toka<br />
wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa ajili ya ununuzi wa<br />
madawa na vifaa tiba mbalimbali hazitolewi hesabu ipasavyo<br />
katika vitabu vya fedha vya Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />
Fedha hizi ni mali ya Halmashauri na kwa minajili hiyo<br />
zingepaswa kuingizwa kwenye vitabu vya Halmashauri<br />
vinginevyo taarifa za fedha za Halmashauri zitakuwa si sahihi<br />
na za kupotosha.<br />
(v) Masuala ya Utawala bora katika Halmashauri.<br />
Hakuna shaka kwamba usimamizi thabiti wa fedha katika<br />
Halmashauri unaenda sambamba na mifumo imara iliyowekwa<br />
katika maeneo ya utawala bora. Ukaguzi wa mwaka huu<br />
umeshuhudia kuanzishwa kwa kamati za ukaguzi katika<br />
Halmashauri nyingi kama moja ya kigezo cha utawala bora<br />
katika Halmashauri. Hatua hii ni utekelezaji wa waraka wa<br />
TAMISEMI Na. CHA: 3/215/01 wa tarehe 27 Novemba,2007<br />
ambao unazitaka Halmashauri kuanzisha kamati za ukaguzi za<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa. Waraka huo unamtaka mkaguzi<br />
wa ndani wa Halmashauri awe ni mjumbe na katibu wa<br />
kamati za ukaguzi. Jambo hili limeonekana kutia dosari<br />
katika muundo wa kamati hizo kwa kumshirikisha Mkaguzi wa<br />
ndani kama mjumbe na katibu wa kamati. Muundo huo<br />
unaifanya kamati isiwe madhuti katika kutekeleza kazi zake<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
233
kwa ufanisi kutokana na mgongano wa kimaslahi anaokuwa<br />
nao Mkaguzi wa ndani. Muundo huu uko kinyume na mfumo<br />
ulio bora.<br />
Eneo jingine la Utawala bora katika Halmashauri ambalo<br />
linahitaji angalizo ni juu ya uimarishwaji wa vitengo vya<br />
ukaguzi wa ndani. Ukaguzi wa mwaka huu katika maeneo<br />
haya umebaini kuwepo kwa watumishi wachache katika<br />
kitengo cha ukaguzi wa ndani katika Halmashauri nyingi,<br />
kukosekana kwa uwezo wa kitaaluma, kukosekana kwa<br />
majibu ya hoja za wakaguzi wa ndani toka kwa menejimenti<br />
na kutokuwepo kwa miundombinu sawia ambayo imeonekana<br />
kuathiri utendaji wa vitengo hivi katika Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa. Udhibiti imara wa mfumo wa ndani hautaweza<br />
kufikiwa kama hakutakuwepo vitengo imara vya ukaguzi wa<br />
ndani ambavyo vitakuwa huru katika kufanya kazi zake.<br />
(vi)<br />
Matumizi ya mifumo ya kompyuta katika Mamlaka<br />
za Serikali za Mitaa<br />
Halmashauri nyingi zimeonekana kutumia mfumo funganifu wa<br />
usimamizi wa fedha (IFMS) kwa kutumia Programu aina ya<br />
EPICOR. Pia, imeweza kubainika kwamba mafunzo kwa<br />
watumishi hawa juu ya matumizi ya mfumo funganifu wa<br />
usimamizi wa fedha (IFMS) kwa kutumia Programu aina ya<br />
EPICOR yalifanywa miaka mingi iliyopita na watumishi wengi<br />
wameonekana kuhamishwa kutoka kituo kimoja cha kazi<br />
kwenda kingine.<br />
Ukaguzi pia ulibaini kuwa hakuna hata Halmashauri moja<br />
ambayo inatumia kwa kiwango cha juu mfumo funganifu wa<br />
usimamizi wa fedha (IFMS) kwa kutumia Programu aina ya<br />
EPICOR. Matumizi ya IFMS-EPICOR yamekuwa ya kiasi kidogo<br />
kushindwa hata kutengeneza taarifa za mwaka za hesabu toka<br />
kwenye mfumo huo wa kompyuta.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
234
Hivyo, majumuisho ya suala hili ni kwamba thamani ya fedha<br />
kwa ajili ya mfumo huu mkubwa wa matumizi ya kompyuta<br />
haijapatikana kutokana na kutumika kiasi au kutokutumika<br />
kabisa na Mamlaka za Serikali za Mitaa. Pengine yaweza ibua<br />
maswali juu ya kufaa kwa mfumo huu wa IFMS katika<br />
Halmashauri. Je, mfumo huu unakidhi matakwa ya<br />
Halmashauri? Je, Serikali yaweza kuja na mfumo mwingine<br />
ambao ni wa kufaa, wenye kueleweka na rahisi kutumika kwa<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa?.<br />
(vii) Makusanyo ya ndani yanayokusanywa na mawakala<br />
kwa niaba ya Halmashauri<br />
Ukaguzi wa mwaka huu umebainisha mapungufu kadhaa katika<br />
ukusanywaji wa mapato kupitia mawakala walioteuliwa na<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa. Eneo hili limetawaliwa zaidi na<br />
kuwanufaisha Mawakala wa ukusanyaji wa mapato kuliko<br />
Halmashauri zenyewe. Kwa mfano kutoa zabuni za ukusanyaji<br />
mapato bila kufanya uchambuzi yakinifu juu ya mapato halisi<br />
ya Halmashauri, Mawakala wa ukusanyaji mapato kutozingatia<br />
mikataba ya ukusanyaji wa mapato na kushindwa kwa<br />
Halmashauri husika kuwachukulia hatua za kisheria mawakala<br />
wanaoshindwa kuwasilisha makusanyo kutokana na<br />
makubaliano ya kwenye mikataba. Uwezo wa Halmashauri<br />
nyingi kugharamia shughuli zake kutokana na vyanzo vya<br />
mapato vya ndani uko mashakani kutokana na udhibiti hafifu<br />
wa usimamizi wa makusanyo.<br />
(viii) Usimamizi wa Miradi katika Halmashauri<br />
Ukaguzi wa hesabu wa mwaka 2007/2008 umeshuhudia kiasi<br />
kikubwa cha fedha kilichotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa<br />
miradi mbalimbali. Mambo makubwa yaliyojitokeza katika<br />
ukaguzi huu ni pamoja na miradi mingi kutokamilika kwa<br />
wakati uliopangwa, kazi kufanyika chini ya kiwango, usimamizi<br />
usioridhisha wa miradi na kiasi kikubwa cha fedha za miradi<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
235
kuonekana kutotumika kabisa. Kutokana na hali hii<br />
iliyojitokeza uwezo wa Halmashauri nyingi katika suala la<br />
usimamizi wa miradi linatia shaka hasa katika kufikia malengo<br />
waliyojiwekea likiwemo la kuwaletea maendeleo wananchi<br />
wake.<br />
(ix)<br />
Usimamizi wa manunuzi katika Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa<br />
Mwelekeo wa matumizi katika manunuzi ni kama asilimia<br />
sabini (70%) mpaka asilimia themanini (80%) ya matumizi<br />
yote. Hivyo kutokuzingatia sheria za manunuzi inamaanisha<br />
kwamba kunaweza kutokea hasara kubwa inayotokana na<br />
kutengeneza mikataba mibovu, utekelezaji mbovu wa<br />
mikataba, kutokuzingatia mpango wa manunuzi wa kazi za<br />
ujenzi na huduma bila kuzingatia taratibu za manunuzi ni<br />
mambo yaliyojitokeza katika taarifa za ukaguzi.<br />
9.2 Mapendekezo<br />
Kufuatia majumuisho yaliyoainishwa hapo juu yaliyotokana<br />
na ukaguzi wa mwaka huu, napenda kuchukua nafasi hii<br />
kutoa mapendekezo yafuatayo kwa ajili ya kuboresha<br />
usimamizi wa fedha katika Halmashauri.<br />
(i) Ukaguzi wa Mishahara<br />
Changamoto nyingi zimejitokeza katika matumizi mabaya<br />
ya fedha na rasilimali za umma kwa kulipa mishahara kwa<br />
wafanyakazi wasio watumishi wa umma (wafanyakazi<br />
hewa). Wadau wote katika ulipwaji wa mishahara wanalo<br />
jukumu la kuangalia kuwa kunakuwepo na udhibiti wa<br />
kutosha katika eneo la ulipwaji wa mishahara. Malipo ya<br />
mishahara yanapaswa kulipwa kwa wafanyakazi<br />
wanaostahili, kulingana na vyeo na ngazi za mishahara yao.<br />
Vile vile, mishahara ambayo haijalipwa kwa watumishi<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
236
kutokana na sababu moja ama nyingine inapaswa<br />
kurejeshwa Hazina mapema kupitia Makatibu Tawala wa<br />
Mikoa kama inavyoelekezwa kwenye waraka uliotolewa na<br />
Hazina. Mwisho kunatakiwa kuwepo kwa ushirikiano na<br />
jitihada za pamoja za kikutendaji kati ya Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa, TAMISEMI, Ofisi ya Rais Menejimenti na<br />
Utumishi wa Umma na Wizara ya Fedha na Uchumi katika<br />
kuhuisha kumbukumbu za mishahara ya watumishi wa<br />
umma.<br />
(ii) Uzingatiaji wa Mfumo wa utayarishaji wa taarifa za<br />
fedha.<br />
Kwa miaka mingi nimekuwa nikizungumzia juu ya ulazima<br />
wa kufuata kifungu 40(2) cha Sheria ya Fedha ya<br />
Halmshauri Na. 9 ya mwaka 1982(iliyorekebishwa 2000)<br />
katika utayarishaji wa taarifa za fedha unaolingana kwa<br />
Halmashauri zote Nchini. Lakini mpaka sasa matakwa ya<br />
Sheria hii hayajazingatiwa wala kutekelezwa. Hata hivyo,<br />
mfumo wa utayarishaji wa taarifa za fedha kwa kufuata<br />
miongozo kama ilivyo katika: Muongozo wa uaandaaji<br />
hesabu za serikali za mitaa (LAAM) na Memoranda ya fedha<br />
za serikali za mitaa (LAFM) zimepitwa na wakati kufuatia<br />
Tanzania kuamua kufuata viwango vya kimataifa vya<br />
utengenezaji wa hesabu kama vile “IFRS” na “IPSAS”. Zaidi<br />
ya hayo, TAMISEMI wanatakiwa kuwa waangalifu wanapotoa<br />
nyaraka na miongozo mbalimbali inayohusu taaluma ya<br />
uhasibu katika masuala ya kiutendaji kwa Halmashauri ili<br />
kuepuka mkanganyiko.<br />
(iii) Majukumu ya Mhasibu Mkuu katika Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa<br />
Tanzania imekuwa ikipitia na inaendelea kupitia mabadiliko<br />
mbalimbali, mengi yao yakilenga upelekaji wa madaraka<br />
ngazi za chini kupitia utaratibu wa “D by D”. Hii inahusisha<br />
kuzipa Halmashauri madaraka ya menejimenti ya fedha kwa<br />
kuanzisha mfumo uliowazi wa utoaji wa ruzuku ya matumizi<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
237
ya kawaida na ya maendeleo kutoka serikali kuu kwenda<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa. Kutokana na mabadiliko<br />
haya, ninaishauri mamlaka husika umuhimu wa kuwepo kwa<br />
Ofisi ya Mhasibu Mkuu ambaye atakuwa anashughulikia<br />
Halmashauri. Njia nyingine ni kufanyia marekebisho Sheria<br />
Na 6 ya 2001(iliyorekebishwa 2004) ya Fedha za Umma<br />
kifungu Na. 7 ili kumpa Mhasibu Mkuu wa serikali wa sasa<br />
mamlaka ya kusimamia fedha za Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa.<br />
(iv) Utoaji Hesabu wa fedha zinazopelekwa MSD kwa<br />
niaba ya Halmashauri<br />
Katika ukaguzi nilioufanya niliweza kubaini kutokuwepo<br />
kwa utoaji hesabu uliosahihi kuhusiana na fedha<br />
zinazotumwa na wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwenda<br />
MSD kwa ajili ya matumizi ya kununulia madawa na vifaa<br />
tiba kwa niaba ya Halmashauri. Kwa mara nyingine tena<br />
napenda kupendekeza kuwa fedha hizi zinapaswa kuingizwa<br />
katika vitabu vya Halmashauri na kuonyeshwa kama mapato<br />
na matumizi kufuatana na kutumwa kwa fedha na kuchukua<br />
madawa na vifaa tiba. Kiasi cha fedha ambacho kinabakia<br />
MSD mwisho wa mwaka wa fedha na kiasi cha madawa<br />
ambayo yatakuwa hayajatumika vinapaswa kuonyeshwa<br />
katika taarifa za fedha za Halmashauri. Halmashauri<br />
zinapaswa kuhesabu madawa yaliyobaki kila mwisho wa<br />
mwaka kiutaalamu na kuweka kumbukumbu zinazohusu<br />
uhesabuji wa madawa hayo. Uhesabuji wa madawa na mali<br />
nyingine ghalani ni vizuri ukamhusisha Mkaguzi toka Ofisi<br />
ya Taifa ya Ukaguzi. Endapo itatokea Halmashauri<br />
imetumia kiasi kikubwa cha madawa zaidi ya fedha<br />
ilizopelekewa tofauti hiyo inapaswa pia kuonyeshwa kama<br />
deni katika taarifa za fedha za Halmashauri mwishoni mwa<br />
mwaka.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
238
(v)<br />
Muundo wa kamati za ukaguzi katika Mamlaka za<br />
Serikali za Mitaa<br />
Naunga mkono kwa dhati kwa jitihada zilizofikiwa na<br />
TAMISEMI kwa kuanzisha kamati za ukaguzi katika<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa. Hata hivyo, muundo wa sasa<br />
wa kamati hizo unaonekana kuwa na kasoro ambayo<br />
unazifanya zisiweze kufanya kazi zake kwa ufanisi.<br />
Napendekeza kwamba muundo huu unapaswa kubadilishwa.<br />
Mkuu wa kitengo cha Ukaguzi wa ndani hapaswi kuendelea<br />
si tu kuwa mjumbe wa kamati bali pia katibu wa kamati<br />
hiyo kama ilivyo kwa sasa, lakini anaweza kualikwa<br />
kuhudhuria vikao vya kamati kama mwalikwa. Zaidi ya<br />
hayo, napendekeza kwamba kama hali inaruhusu basi<br />
mwanasheria wa Halmashauri anaweza kuteuliwa kuwa<br />
Katibu wa Kamati.<br />
(v) Bakaa ya Fedha za Maendeleo zinazobakia mwisho<br />
wa mwaka bila kutumika<br />
Kwa muda mrefu sasa ukaguzi umeshuhudia kiasi kikubwa<br />
cha fedha za maendeleo ambazo hubakia katika Mamlaka<br />
za Serikali za Mitaa mwisho wa mwaka bila kutumika. Pia<br />
fedha hizo kutoonekana kuwepo katika bajeti kwa mwaka<br />
unaofuatia. Hii inapoteza maana ya utayarishwaji na<br />
uidhinishwaji wa bajeti za Halmashauri. Ninapendekeza<br />
kuwepo na utaratibu wa kuzibajeti upya fedha zote ambazo<br />
hazikutumika ili kuleta maana halisi ya bajeti.<br />
(vii)<br />
Uimarishwaji wa Ukaguzi wa ndani katika Mamlaka<br />
ya Serikali za Mitaa<br />
Mbali na kwamba Halmashauri zimefanikiwa kuweza<br />
kuanzisha vitengo vya ukaguzi wa ndani, changamoto<br />
kubwa iliyopo kwa sasa ni uwezo wa kiutendaji wa vitengo<br />
hivi juu ya kukagua umadhubuti wa mfumo wa ndani katika<br />
Halmashauri husika na kutoa mapendekezo juu ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
239
kuimarishwa kwa mfumo huo. Napendekeza kuimarishwa<br />
kwa vitengo vya ukaguzi wa ndani vya Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa hususan katika maeneo ya rasilimali watu, fedha<br />
na miundombinu.<br />
TAMISEMI kwa kushirikiana na Hazina wanashauriwa<br />
kuandaa mafunzo ya kina kwa wakaguzi wa ndani na<br />
kujipangia mkakati wa namna ya kufikia ubora wa juu wa<br />
kazi za ukaguzi wa ndani ili kuwezesha ripoti hizo kuwa za<br />
kuaminika.<br />
(viii)<br />
Matumizi ya mifumo ya kompyuta katika Mamlaka<br />
za Serikali za Mitaa<br />
Halmashauri nyingi zimekuwa zikidai kuwa zinatumia<br />
mfumo wa uhasibu wa Kompyuta programuya “IFMS-<br />
Epicor” katika kutengeneza na kuripoti taarifa zao za<br />
mahesabu. Ukaguzi ulibaini kuwa ingawa takwimu<br />
zinaonyesha idadi kubwa ya wafanyakazi wamepata<br />
mafunzo ya matumizi ya programu ya kompyuta “IFMS-<br />
Epicor” lakini utengenezwaji wa hesabu bado unafanyika<br />
kwa njia isiyo ya kompyuta. Ninashauri kwamba TAMISEMI<br />
ifanye upembuzi yakinifu ili kuweza kufahamu ni jinsi gani<br />
mfumo huu wa “IFMS-Epicor” unafaa kwa matumizi ya<br />
Halmashauri vinginevyo waangalie uwezekano wa kuwa na<br />
mfumo mwingine rahisi kwa ajili ya shughuli za<br />
Halmashauri.<br />
(ix) Kuimarishwa kwa ukusanywaji wa mapato<br />
yatokanayo na vyanzo vya ndani.<br />
Halmashauri nyingi zimebinafsisha ukusanyaji wa mapato<br />
yake ya ndani kwa kampuni binafsi za ukusanyaji kwa<br />
kuingia nayo mikataba. Ukaguzi umebaini kuwa mikataba<br />
mingi imeonekana kutoinufaisha Halmashauri husika na<br />
badala yake kuzinufaisha kampuni binafsi za ukusanyaji<br />
mapato. Mfano, moja ya mkataba ulikuwa na kipengele<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
240
kisemacho kuwa wakala wa ukusanyaji mapato atalipwa<br />
kamisheni ya ukusanyaji kiasi ambacho kitazidi makusanyo<br />
yaliyokubaliwa katika mkataba. Ukaguzi ulibaini katika<br />
Halmashauri moja ambapo mkandarasi aliweza kukusanya<br />
kiasi cha Sh.289,491,650 na akapeleka Halmashauri<br />
Sh.132,720,000 (sawa na asilimia 45.8) ya makusanyo yote<br />
na kubakiwa na Sh.156,771,650 (sawa na asilimia 54.2)<br />
kama kamisheni. Ninashauri Halmashauri kufanya<br />
uchambuzi yakinifu na wa kina juu ya vyanzo vya mapato<br />
kabla ya kutoa zabuni za ukusanyaji kwa kampuni binafsi.<br />
Na pia nashauri mikataba yote ipitiwe na wanasheria<br />
wenyeuwezo kabla ya kusainiwa na Mamlaka za Serikali za<br />
Mitaa.<br />
(x)<br />
Uimarishwaji wa usimamizi wa Miradi katika<br />
Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
Imebainika wakati wa ukaguzi kuwa miradi mingi ya<br />
Halmashauri inatekelezwa katika ngazi za chini za ki<br />
utawala yaani katika ngazi za Kata na Vijiji. Changamoto<br />
kubwa inayozikabili Halmashauri kwa sasa ni uwezo wa<br />
usimamizi wa kina katika utekelezaji wa miradi hii. Ukaguzi<br />
umebaini kuwa miradi mingi inayotekelezwa katika maeneo<br />
haya ipo chini ya viwango vilivyowekwa na Serikali.<br />
Nashauri kwamba, uongozi wa Halmashauri kote nchini<br />
uhakikishe kuwa thamani ya fedha inapatikana kutokana na<br />
miradi hii kwa kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa<br />
karibu.<br />
Zaidi ya hayo, Halmashauri zinapaswa kuanzisha timu zenye<br />
watu makini na wenye uwezo wa kusimamia na kuendesha<br />
miradi katika kila Halmashauri ambazo zitakuwa na wajibu<br />
wa kuandaa taarifa za utekelezaji angalau kila robo ya<br />
mwaka na kuziwasilisha kwa Baraza la madiwani kwa<br />
majadiliano na kutolewa kwa maamuzi.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
241
(xi)<br />
Viwango vinavyowiana vya gharama za Miradi<br />
Baadhi ya Wizara zimeweka viwango elekezi vya gharama<br />
kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambayo<br />
inapaswa kutekelezwa katika Halmashauri. Mfano ni<br />
viwango vilivyowekwa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya<br />
Shule za Msingi na Sekondari bila kutilia maanani mahali<br />
ambapo shule hizo zinajengwa. Swali la kujiuliza hapa ni<br />
kwamba Je gharama za kujenga darasa Makete ambapo<br />
mchanga na kokoto ni adimu kupatikana zinawezaje<br />
kulingana na gharama za ujenzi wa darasa la aina hiyo hiyo<br />
Morogoro ambako upatikanaji wa mchanga na kokoto ni<br />
rahisi? Au gharama za kujenga darasa Rombo ambako<br />
hakuna mchanga ukilinganisha na Mwanga ambako mchanga<br />
ni rahisi kupatikana?. Napenda kuzishauri Mamlaka husika<br />
kuangalia pia vigezo vya kijiografia na ugumu au urahisi wa<br />
upatikanaji wa vifaa vya ujenzi katika kutengeneza viwango<br />
elekezi.<br />
(xii)<br />
Usimamizi wa manunuzi katika Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa<br />
Kutokuzingatia sheria za manunuzi kunaweza kusababisha<br />
hasara kubwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Hivyo,<br />
ninapendekeza kwamba Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />
zichukue hatua madhubuti dhidi ya watumishi ambao<br />
hawafuati wala kuzingatia taratibu za manunuzi ndani ya<br />
himaya zao ili kuhakikisha kwamba sheria hizo zinafuatwa<br />
na taratibu za manunuzi zinaimarishwa ndani ya Mamlaka<br />
za Serikali za Mitaa. Na zaidi hasa, mikataba ya manunuzi<br />
lazima izingatie kanuni Na. 121 ya kanuni za manunuzi za<br />
mwaka 2005.<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
242
VIAMBATISHO<br />
Kiambatisho 1<br />
Orodha ya mamlaka za serikali za mitaa na aina ya hati<br />
zilizotolewa kwa miaka miwili 2006/2007 na 2007/2008<br />
Na.<br />
Jina la Halmashauri<br />
Aina ya Hati<br />
1. Halmashauri ya<br />
Manispaa Arusha<br />
2. Halmashauri ya Wilaya<br />
Karatu<br />
3. Halmashauri ya Wilaya<br />
Monduli<br />
4. Halmashauri ya Wilaya<br />
Ngorongoro<br />
5 Halmashauri ya Wilaya<br />
Meru<br />
6 Halmashauri ya Wilaya<br />
Longido<br />
7 Halmashauri ya Wilaya<br />
Arusha<br />
8 Halmashauri ya Wilaya<br />
Bagamoyo<br />
2006/2007 2007/2008<br />
Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Haihusiki<br />
Haihusiki<br />
Haihusiki<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
9 Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Kibaha<br />
10. Halmashauri ya Mji Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Kibaha<br />
11 Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Kisarawe<br />
12. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Mafia<br />
13. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />
Mkuranga<br />
14. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Rufiji/Utete<br />
15. Halmashauri ya Jiji Dar Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
es Salaam<br />
16. Halmashauri ya Yenye shaka Yenye shaka<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
243
Manispaa Ilala<br />
17. Halmashauri ya<br />
Manispaa Kinondoni<br />
18. Halmashauri ya<br />
Manispaa Temeke<br />
19. Halmashauri ya Wilaya<br />
Bahi<br />
20. Halmashauri ya Wilaya<br />
Chamwino<br />
21. Halmashauri ya<br />
Manispaa Dodoma<br />
22. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kondoa<br />
23. Halmashauri ya Wilaya<br />
Urambo<br />
24. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kongwa<br />
25. Halmashauri ya Wilaya<br />
Mpwapwa<br />
26 Halmashauri ya Wilaya<br />
Iringa<br />
27. Halmashauri ya<br />
Manispaa Iringa<br />
28 Halmashauri ya Wilaya<br />
Ludewa<br />
29. Halmashauri ya Wilaya<br />
Makete<br />
30. Halmashauri ya Wilaya<br />
Mufindi<br />
31 Halmashauri ya Wilaya<br />
Njombe<br />
32 Halmashauri ya Mji<br />
Njombe<br />
33. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kilolo<br />
34 Halmashauri ya Wilaya<br />
Biharamulo<br />
35 Halmashauri ya Wilaya<br />
Bukoba<br />
36. Halmashauri ya<br />
Manispaa Bukoba<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Haihusiki<br />
Haihusiki<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Haihusiki<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
244
37. Halmashauri ya Wilaya<br />
Karagwe<br />
38.<br />
Halmashauri ya Wilaya<br />
Muleba<br />
39. Halmashauri ya Wilaya<br />
Ngara<br />
40. Halmashauri ya Wilaya<br />
Missenyi<br />
41. Halmashauri ya Wilaya<br />
Chato<br />
42. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kasulu<br />
43. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kibondo<br />
44. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kigoma<br />
45. Halmashauri ya<br />
Manispaa Kigoma/Ujiji<br />
46. Halmashauri ya Wilaya<br />
Hai<br />
47. Halmashauri ya Wilaya<br />
Moshi<br />
48. Halmashauri ya<br />
Manispaa Moshi<br />
49. Halmashauri ya Wilaya<br />
Siha<br />
50. Halmashauri ya Wilaya<br />
Mwanga<br />
51. Halmashauri ya Wilaya<br />
Rombo<br />
52. Halmashauri ya Wilaya<br />
Same<br />
53. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kilwa<br />
54. Halmashauri ya Wilaya<br />
Lindi<br />
55. Halmashauri ya Mji<br />
Lindi<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Haihusiki<br />
Haihusiki<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Haihusiki<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Isiyoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
245
56. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />
Liwale<br />
57. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />
Nachingwea<br />
58. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Ruangwa<br />
59. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />
Babati<br />
60. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Hanang’<br />
61. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Kiteto<br />
62. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Mbulu<br />
63. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />
Simanjiro<br />
64. Halmashauri ya Mji Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Babati<br />
65. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Musoma<br />
66. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Bunda<br />
67. Halmashauri ya<br />
Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Manispaa Musoma<br />
68. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Serengeti<br />
69. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Tarime<br />
70. Halmashauri ya Wilaya Haihusiki<br />
Inayoridhisha<br />
Rorya<br />
71. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />
Chunya<br />
72. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />
Ileje<br />
73. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
74. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />
Mbarali<br />
75. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />
Mbeya<br />
76. Halmashauri ya Jiji<br />
Mbeya<br />
Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
246
77. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />
Mbozi<br />
78. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Rungwe<br />
79 Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Kilombero<br />
80 Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Kilosa<br />
81. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Morogoro<br />
82. Halmashauri ya<br />
Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Manispaa Morogoro<br />
83. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Ulanga<br />
84. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Mvomero<br />
85. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Masasi<br />
86. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Mtwara<br />
87. Halmashauri ya<br />
Yenye shaka Yenye shaka<br />
Manispaa Mtwara<br />
88. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Newala<br />
89. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />
Tandahimba<br />
90. Halmashauri ya Wilaya Haihusiki<br />
Yenye shaka<br />
Nanyumbu<br />
91. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Geita<br />
92. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Kwimba<br />
93. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Magu<br />
94. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Misungwi<br />
95. Halmashauri ya Jiji Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Mwanza<br />
96. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />
Sengerema<br />
97. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
247
Ukerewe<br />
98 Halmashauri ya Wilaya<br />
Mpanda<br />
99. Halmashauri ya Mji<br />
Mpanda<br />
100. Halmashauri ya Wilaya<br />
Nkasi<br />
101. Halmashauri ya Wilaya<br />
Sumbawanga<br />
102. Halmashauri ya<br />
Manispaa Sumbawanga<br />
103 Halmashauri ya Wilaya<br />
Mbinga<br />
104. Halmashauri ya<br />
Manispaa Songea<br />
105. Halmashauri ya Wilaya<br />
Songea<br />
106. Halmashauri ya Wilaya<br />
Tunduru<br />
107. Halmashauri ya Wilaya<br />
Namtumbo<br />
108. Halmashauri ya Wilaya<br />
Bariadi<br />
109. Halmashauri ya Wilaya<br />
Bukombe<br />
110. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kahama<br />
111 Halmashauri ya Wilaya<br />
Meatu<br />
112. Halmashauri ya Wilaya<br />
Shinyanga<br />
113. Halmashauri ya<br />
Manispaa Shinyanga<br />
114. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kishapu<br />
115. Halmashauri ya Wilaya<br />
Maswa<br />
116. Halmashauri ya Wilaya<br />
Iramba<br />
117. Halmashauri ya Wilaya<br />
Manyoni<br />
Inayoridhisha<br />
Haihusiki<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Isiyoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
248
118. Halmashauri ya Wilaya<br />
Singida<br />
119. Halmashauri ya<br />
Manispaa Singida<br />
120. Halmashauri ya Wilaya<br />
Handeni<br />
121. Halmashauri ya Wilaya<br />
Korogwe<br />
122. Halmashauri ya Mji<br />
Korogwe<br />
123. Halmashauri ya Wilaya<br />
Lushoto<br />
124. Halmashauri ya Wilaya<br />
Muheza<br />
125. Halmashauri ya Wilaya<br />
Pangani<br />
126. Halmashauri ya Jiji<br />
Tanga<br />
127. Halmashauri ya Wilaya<br />
Kilindi<br />
128. Halmashauri ya Wilaya<br />
Mkinga<br />
129. Halmashauri ya Wilaya<br />
Igunga<br />
130. Halmashauri ya Wilaya<br />
Nzega<br />
131. Halmashauri ya Wilaya<br />
Sikonge<br />
132. Halmashauri ya Wilaya<br />
Tabora<br />
133. Halmashauri ya<br />
Manispaa Tabora<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Haihusiki<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Yenye shaka<br />
Inayoridhisha<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
249
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
250
Kiambatisho 2<br />
Matokeo ya ukaguzi uliofanyika katika baadhi ya Halmashauri<br />
Na. Jina la Halmashauri Kukosekana<br />
kwa<br />
Miongozo<br />
ya mifumo<br />
ya<br />
kompyuta<br />
Mapungufu<br />
katika<br />
utumiaji<br />
wa<br />
Kompyuta<br />
Mazingira<br />
yasiyo<br />
salama kwa<br />
utumiaji<br />
wa<br />
kompyuta<br />
1. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Igunga √ √ √<br />
2. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Kilosa √ √ √<br />
3. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Lushoto √ √ √<br />
4. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Mbinga √ √ √<br />
5. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Namtumbo √ √ √<br />
6. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Songea √ √ √<br />
7. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Kigoma √ √<br />
8. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Babati √ √<br />
9. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Kiteto √ √<br />
10. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Mbulu √ √<br />
11. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Simanjiro √ √<br />
12. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Iramba √ √<br />
13. Halmashauri ya Manispaa<br />
ya Singida √ √<br />
14. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Manyoni √ √<br />
15. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Singida √ √<br />
16. Halmashauri ya wilaya ya √ √<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
251
Na. Jina la Halmashauri Kukosekana<br />
kwa<br />
Miongozo<br />
ya mifumo<br />
ya<br />
kompyuta<br />
Kilombero<br />
Mapungufu<br />
katika<br />
utumiaji<br />
wa<br />
Kompyuta<br />
Mazingira<br />
yasiyo<br />
salama kwa<br />
utumiaji<br />
wa<br />
kompyuta<br />
17. Halmashauri ya Manispaa<br />
ya Morogoro √ √<br />
18. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Mvomero √ √<br />
19. Halmashauri ya wilaya ya √ √<br />
20. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Ulanga √ √<br />
21. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Bukombe √ √<br />
22. Halmashauri ya Manispaa<br />
ya Temeke<br />
√<br />
23. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Misungwi √ √<br />
24. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Same √ √<br />
25. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Chamwino<br />
√<br />
26. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Iringa<br />
√<br />
27. Halmashauri ya Jiji ya<br />
Mwanza<br />
√<br />
28. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Mbarali<br />
√<br />
29. Halmashauri ya Manispaa<br />
ya Tabora √ √ √<br />
30. Halmashauri ya Manispaa<br />
ya Songea<br />
√<br />
31. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Magu √ √<br />
32. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Kwimba<br />
√<br />
33. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Moshi<br />
√<br />
34. Halmashauri ya Manispaa √ √<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
252
Na. Jina la Halmashauri Kukosekana<br />
kwa<br />
Miongozo<br />
ya mifumo<br />
ya<br />
kompyuta<br />
ya Kigoma ujiji<br />
35. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Mapungufu<br />
katika<br />
utumiaji<br />
wa<br />
Kompyuta<br />
Mazingira<br />
yasiyo<br />
salama kwa<br />
utumiaji<br />
wa<br />
kompyuta<br />
Kondoa<br />
√<br />
36. Halmashauri ya Manispaa<br />
ya Dodoma √ √<br />
37. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Bagamoyo<br />
√<br />
38. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Kibaha<br />
√<br />
39. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Mafia<br />
√<br />
40. Halmashauri ya Manispaa<br />
ya Kibaha<br />
√<br />
41. Halmashauri ya wilaya ya<br />
Bunda √ √<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
253
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
254
Mambo yasiyotekelezwa yanayohusu ukaguzi uliopita<br />
Sh.32,903,395,306<br />
Kiambatisho 3<br />
Na. Mkoa Halmashauri Kiasi 2007/08<br />
1. Dodoma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kongwa 6,813,262,872.00<br />
2. Dodoma<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Dodoma 2,748,605,834.00<br />
3. Dodoma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mpwapwa 2,463,561,332.00<br />
4. Mwanza<br />
Halmashauri ya Jiji la<br />
Mwanza 2,202,304,178.00<br />
5. Dar es salaam<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Ilala 1,519,090,189.00<br />
6. Mbeya<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mbarali 1,390,421,841.00<br />
7. Mwanza<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ukerewe 725,541,039.00<br />
8. Kigoma<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Kigoma Ujiji 706,037,617.00<br />
9. Morogoro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ulanga 633,764,471.00<br />
10. Mwanza<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Misungwi 553,962,964.00<br />
11. Rukwa<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
S’wanga 547,876,785.00<br />
12. Coast<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mkuranga 528,020,752.80<br />
13. Ruvuma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Namtumbo 483,132,590.00<br />
14. Lindi<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Liwale 471,500,294.00<br />
15 Rukwa<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Nkasi 456,422,046.00<br />
16. Rukwa<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
S’wanga 455,652,235.00<br />
17. Dodoma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Chamwino 453,006,078.00<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
255
18. Tabora<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Urambo 406,536,850.00<br />
19. Dar es salaam<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Kinondoni 394,069,016.00<br />
20. Shinyanga<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Shinyanga 393,786,673.27<br />
21. Tabora<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Igunga 336,651,330.00<br />
22. Ruvuma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Tunduru 325,158,761.00<br />
23. Morogoro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mvomero 293,819,308.00<br />
24. Kigoma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kibondo 286,828,432.00<br />
25. Morogoro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Morogoro 283,978,377.00<br />
26. Mtwara<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mtwara 264,193,749.00<br />
27. Mara<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Serengeti 248,006,389.00<br />
28. Manyara<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Simanjiro 243,830,007.00<br />
29. Lindi<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Nachingwea 242,413,000.00<br />
30. Shinyanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Bariadi 234,384,090.00<br />
31. Tanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Korogwe 226,148,241.00<br />
32. Kilimanjaro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Same 225,100,000.00<br />
33. Singida<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Singida 225,056,030.00<br />
34. Mtwara<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Masasi 209,371,600.11<br />
35. Kilimanjaro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mwanga 193,581,429.00<br />
36. Mtwara<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Tandahimba 192,468,378.00<br />
37 Dar es salaam<br />
Halmashauri ya Jiji la Dar<br />
es salaam 189,797,787.00<br />
38 Tanga Halmashauri ya Jiji la Tanga<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
256
39. Coast<br />
40. Mtwara<br />
41. Mwanza<br />
42. Lindi<br />
43. Ruvuma<br />
44. Tabora<br />
45. Iringa<br />
46. Lindi<br />
47. Shinyanga<br />
48. Coast<br />
49. Kagera<br />
50. Kilimanjaro<br />
51. Mara<br />
52. Iringa<br />
53. Kigoma<br />
54. Coast<br />
55. Rukwa<br />
56. Shinyanga<br />
57. Kagera<br />
58. Lindi<br />
180,000,000.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Rufiji 175,562,974.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Newala 156,899,419.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kwimba 155,859,093.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kilwa 140,925,605.34<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Songea 134,934,296.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Nzega 131,825,857.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Makete 129,571,198.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Lindi 126,447,680.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Meatu 122,496,538.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kibaha 108,872,688.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Karagwe 104,176,999.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Hai 103,600,000.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Musoma 102,547,558.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Iringa 97,092,289.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kasulu 86,430,194.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Bagamoyo 84,274,646.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mpanda 82,771,531.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Maswa 81,916,419.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Biharamulo 81,755,125.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mji wa Lindi 80,000,000.00<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
257
59. Tabora<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Sikonge 75,941,854.25<br />
60. Tanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Handeni 72,517,307.00<br />
61. Arusha<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Arusha 70,420,846.00<br />
62. Iringa<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Iringa 70,019,357.00<br />
63. Kagera<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Muleba 69,600,316.00<br />
64. Tabora<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Tabora 67,031,835.00<br />
65. Morogoro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kilombero 65,104,069.00<br />
66. Coast<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mafia 64,772,018.00<br />
67. Kilimanjaro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Moshi 62,893,203.00<br />
68. Kigoma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kigoma 59,464,182.00<br />
69. Shinyanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kishapu 54,541,686.00<br />
70. Tanga<br />
Halmashauri ya Mji wa<br />
Korogwe 51,454,299.00<br />
71. Ruvuma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Songea 50,359,883.00<br />
72. Kilimanjaro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Rombo 50,000,000.00<br />
73. Tanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kilindi 48,411,944.00<br />
74. Kagera<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Bukoba 46,936,579.00<br />
75. Morogoro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kilosa 46,125,855.00<br />
76. Mara<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Musoma 45,802,579.00<br />
77. Mara<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Bunda 43,983,476.00<br />
78. Iringa<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Njombe 43,099,948.00<br />
79. Tanga Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
258
80. Mwanza<br />
81. Mtwara<br />
82. Coast<br />
83. Mara<br />
Muheza 41,938,961.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Sengerema 40,081,700.00<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Mtwara 39,464,816.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kisarawe 36,770,662.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Tarime 35,898,400.00<br />
84. Mbeya Halmashauri ya Jiji la Mbeya 35,760,320.00<br />
85. Arusha<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Monduli 35,598,184.00<br />
86. Arusha<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Meru 35,000,000.00<br />
87. Singida<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Manyoni 31,423,978.00<br />
88. Shinyanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Bukombe 30,076,230.00<br />
89. Kilimanjaro<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Moshi 28,546,400.00<br />
90. Dodoma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kondoa 28,000,000.00<br />
91. Tanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Lushoto 26,552,932.00<br />
92. Ruvuma<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mbinga 26,541,886.00<br />
93. Coast Halmashauri ya Mji Kibaha 25,649,167.00<br />
94. Mbeya<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ileje 24,052,623.00<br />
95 Arusha<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ngorongoro 23,806,635.00<br />
96. Manyara<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Hanang 23,723,180.00<br />
97. Kagera<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Bukoba 23,544,500.00<br />
98. Lindi<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ruangwa 20,262,598.00<br />
99. Mwanza<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Magu 17,308,142.00<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
259
100. Iringa<br />
101. Morogoro<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mufindi 11,918,336.00<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Morogoro 9,840,931.00<br />
102. Manyara Halmashauri ya Mjiya Babati 9,187,020.00<br />
103. Tanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Pangani 8,900,030.00<br />
104. Mbeya<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mbeya 8,094,470.00<br />
105. Shinyanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kahama 7,502,000.00<br />
106. Arusha<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Karatu 6,595,750.00<br />
107. Iringa<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ludewa 6,534,780.00<br />
108. Tabora<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Tabora 5,265,000.00<br />
109. Dar es salaam<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Temeke 3,028,060.00<br />
110. Mbeya<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Rungwe 2,202,034.00<br />
111. Singida<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Singida 537,600.00<br />
112. Shinyanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Shinyanga 4,070.00<br />
Jumla 32,903,395,305.77<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
260
Kiambatisho 4<br />
Mambo yasiyotekelezwa katika taarifa za malinganisho ya benki<br />
Jina la<br />
Halmashauri<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Hanang<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Mbeya<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Mbarali<br />
Halmashauri<br />
ya Jiji la<br />
Mbeya<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Musoma<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya<br />
Mpwapwa<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Mtwara<br />
Mikindani<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Kwimba<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Magu<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Mpanda<br />
Halmashauri<br />
ya Mji<br />
Mpanda<br />
Maingizo<br />
katika<br />
daftari la<br />
fedha<br />
yasiyopelekwa<br />
Benki<br />
Sh.<br />
Hundi<br />
zisizowasilishwa<br />
Banki<br />
Fedha<br />
isiyofika<br />
Benki<br />
Malipo<br />
katika<br />
Banki<br />
yasiyo<br />
katika<br />
Daftari la<br />
Fedha<br />
Maingizo<br />
katika<br />
Banki<br />
yasiyo<br />
katika<br />
Daftari la<br />
fedha<br />
- 121,878,860 - - -<br />
- 3,322,256 - - -<br />
4,022,185 8,923,757 - - -<br />
16,537,582 2,339,244 - 522,500 -<br />
1,152,000 51,377,538 - 1,017,000 -<br />
960,150 1,580,820 - - -<br />
3,500,920 14,900,772 - 2,287,013 -<br />
7,413,860 357,017,750 - - -<br />
- 76,666,953 4,959,972 - -<br />
210,500 8,557,102 - - -<br />
- 220,660 - - -<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
261
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Nkasi<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Newala<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Musoma<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Bunda<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya<br />
Serengeti<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Rorya<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Tarime<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Chunya<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Ileje<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Kyela<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Mbozi<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Rungwe<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Lindi<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Ruangwa<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Nachi-<br />
9,061,392 60,199,414 - - -<br />
134,000 3,513,906 - - -<br />
- 11,958,699 16,434,350 - -<br />
- 229,442,736 16,356,961 - -<br />
8,133,982 192,664,735 - 297,833,224 254,572,933<br />
750,461 311,765,278 - 50,896 52,345,557<br />
- 105,766,480 - - -<br />
7,943,227 23,534 - 724,156 -<br />
2,813,900 2,734,181 - - -<br />
76,838 7,289,983 - 4,778,000 4,322,600<br />
- 6,055,840 - - -<br />
5,240,000 34,574,484 - - -<br />
- 23,559,436 - - -<br />
1,299,307 11,744,847 - 1,440,732 -<br />
1,370,942 130,859,933 - - 15,700<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
262
ngwea<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- 150,000 - 970,000 -<br />
ya Liwale<br />
Halmashauri<br />
ya Mji ya 474,912 4,177,824 - 2,028,658 -<br />
Lindi<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya 3,524,677 49,914,078 - 11,125,887 175,276<br />
ya Kilwa<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- 202,579,827 6,103,612 59,470,470 2,937,269<br />
ya Kisarawe<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- - 11,913,693 - -<br />
ya Kibaha<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- 7,090,106 - - -<br />
ya Karatu<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- 8,586,679 - - -<br />
ya Arusha<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- 27,162,744 38,545,572 - -<br />
ya Arusha<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- 42,622,700 - - -<br />
ya Longido<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- 89,775,898 - - -<br />
ya Meru<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
2,456,495 - - -<br />
ya Monduli 91,188,065<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya ya<br />
- 10,646,250 - - -<br />
Chamwino<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya 12,080,854 1,338,731 - - -<br />
ya Kongwa<br />
Halmashauri<br />
ya Manispaa 4,090,000 - - - -<br />
ya Moshi<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Rombo<br />
32,242,861 12,083,429 - 535,176 2,057,085<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
263
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- 19,256,311 - - -<br />
ya Hai<br />
Halmashauri<br />
ya Manispaa 13,331,000 52,719,144 - 11,504,955 -<br />
ya Songea<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
- 112,087,826 - 5,157,420 -<br />
ya Tunduru<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya 2,239,350 159,331,988 - - -<br />
ya Mwanga<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya 1,796,351 17,121,825 - - -<br />
ya Babati<br />
Halmashauri<br />
ya Mji ya<br />
- 24,795,174 - - -<br />
Babati<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya 74,113,808 - 4,547,580 - -<br />
ya Kilosa<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Mvomero - - 10,581,945 2,661,500 3,124,193<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Ulanga - - 2,374,729 - -<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Bariadi - 4,509,978 7,165,000 133,748,635 -<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Maswa - 44,519,680 28,360,101 - -<br />
Halmashauri<br />
ya Manispaa<br />
ya<br />
Shinyanga - 284,068,611 10,338,392 - -<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Kahama - 1,815,158 851,821 - -<br />
Halmashauri<br />
ya Wilaya<br />
ya Meatu - 8,656,000 10,166,074 - -<br />
Jumla 305,703,124 2,969,830,892 168,699,801 535,856,223 319,550,613<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
264
Kiambatisho 5<br />
Ukaguzi wa kushitukiza kwenye ofisi ya mtunza fedha<br />
Na.<br />
Halmashauri<br />
husika<br />
Halmashauri<br />
ambazo<br />
hazikufanya<br />
Uhakiki wa<br />
kushtukiza<br />
ambao<br />
haukufanywa<br />
na<br />
Menejimenti<br />
Kutokuwepo<br />
kwa kiwangu<br />
maalum cha<br />
juu cha<br />
kuhifadhi<br />
fedha kwenye<br />
ofisi za<br />
kutunzia<br />
fedha<br />
Kutothibitishwa<br />
kwa kiwango cha<br />
fedha kilichopo<br />
Banki<br />
1. Halmashauri ya<br />
Jiji la Mbeya<br />
√<br />
2. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Mbeya<br />
√<br />
3. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Mbarari<br />
√<br />
4. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Chunya<br />
√<br />
5. Halmashauri ya<br />
wilaya ya Kyela √ √<br />
6. Halmashauri ya<br />
wilaya ya Ileje<br />
√<br />
7. Halmashauri ya<br />
Mji Masasi<br />
√<br />
8. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Bukoba<br />
√<br />
9. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Misenyi<br />
√<br />
10. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Biharamulo<br />
√<br />
11. Halmashauri ya<br />
wilaya ya Chato √<br />
12. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
√<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
265
Karagwe<br />
13. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Muleba<br />
√<br />
14. Halmashauri ya<br />
wilaya ya Ngara √<br />
15. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Kigoma<br />
√<br />
16. Halmashauri ya<br />
Jiji la Dar es<br />
salaam √ √<br />
17. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Tabora<br />
√<br />
18. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Urambo<br />
√<br />
19. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Igunga<br />
√<br />
20. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Nzega √ √<br />
21. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Singida<br />
√<br />
22. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Iramba<br />
√<br />
23. Halmashauri ya<br />
wilaya ya<br />
Mbinga<br />
59,417,291.26<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
266
Kiambatisho 6<br />
Wadaiwa Wasiolipa<br />
Na.<br />
1.<br />
2.<br />
3.<br />
4.<br />
5.<br />
6.<br />
7.<br />
8.<br />
9.<br />
10.<br />
11.<br />
12.<br />
13.<br />
14.<br />
15.<br />
16.<br />
17.<br />
18.<br />
19.<br />
20.<br />
21.<br />
22.<br />
Jina la Halmashauri<br />
Kiasi<br />
Halmashauri ya Mji Lindi 401,000<br />
Halmashauri ya Mji Mpanda 628,841<br />
Halmashauri ya wilaya ya Rorya 2,130,000<br />
Halmashauri ya wilaya ya Bunda 2,139,000<br />
Halmashauri ya wilaya ya Tunduru 3,201,870<br />
Halmashauri ya wilaya ya Misenyi 3,373,030<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa 3,933,000<br />
Halmashauri ya wilaya ya Makete 4,512,100<br />
Halmashauri ya wilaya ya Moshi 5,184,004<br />
Halmashauri ya Mji Njombe 5,912,000<br />
Halmashauri ya wilaya ya Singida 6,036,000<br />
Halmashauri ya wilaya ya Manyoni 6,597,372<br />
Halmashauri ya wilaya ya Karatu 6,956,496<br />
Halmashauri ya wilaya ya Iramba 8,358,024<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kondoa 9,184,220<br />
Halmashauri ya wilaya ya Biharamulo 10,383,030<br />
Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga 11,396,232<br />
Halmashauri ya wilaya ya Handeni 12,265,500<br />
Halmashauri ya wilaya ya Songea 13,380,889<br />
Halmashauri ya wilaya ya Bukoba 13,807,410<br />
Halmashauri ya wilaya ya Ngara 13,890,000<br />
Halmashauri ya wilaya ya Geita 14,117,340<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
267
23.<br />
24.<br />
25.<br />
26.<br />
27.<br />
28.<br />
29.<br />
30.<br />
31.<br />
32.<br />
33.<br />
34.<br />
35.<br />
36.<br />
37.<br />
38.<br />
39.<br />
40.<br />
41.<br />
42.<br />
43.<br />
44.<br />
45.<br />
46.<br />
47.<br />
48.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Muleba 14,398,600<br />
Halmashauri ya wilaya ya Pangani 16,539,981<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Songea 17,577,931<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mkinga 18,017,284<br />
Halmashauri ya wilaya ya Musoma 18,037,674<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kilolo 18,592,833<br />
Halmashauri ya wilaya ya Ileje 19,575,615<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kwimba 19,855,702<br />
Halmashauri ya wilaya ya Sengerema 22,182,377<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kibaha 22,464,704<br />
Halmashauri ya wilaya ya Nzega 23,489,320<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kilombero 24,358,217<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe 24,826,919<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro 24,836,512<br />
Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu 25,106,850<br />
Halmashauri ya wilaya ya Monduli 25,168,875<br />
Halmashauri ya Mji Babati 27,227,360<br />
Halmashauri ya wilaya ya Hai 27,867,677<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kilindi 28,905,156<br />
Halmashauri ya wilaya ya Bukombe 28,988,000<br />
Halmashauri ya wilaya ya Sikonge 36,131,095<br />
Halmashauri ya wilaya ya Tarime 36,364,500<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mbarali 39,380,330<br />
Halmashauri ya wilaya ya Meatu 41,650,039<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 42,530,000<br />
Halmashauri ya wilaya ya Serengeti 42,847,922<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
268
49.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Meru 42,938,293<br />
50.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Karagwe 43,908,635<br />
51.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo 43,964,182<br />
52.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mafia 43,964,182<br />
53.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Tabora 44,681,000<br />
54.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Ulanga 45,510,187<br />
55. Halmashauri ya Mji Mtwara 46,202,382<br />
56.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba 47,663,655<br />
57.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Iringa 49,637,200<br />
58.<br />
Halmashauri ya Mji Singida 52,546,351<br />
59.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mbeya 53,095,606<br />
60.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Lushoto 56,549,956<br />
61.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Morogoro 57,814,837<br />
62.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo 58,306,792<br />
63.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kilosa 58,654,530<br />
64.<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma 60,677,132<br />
65.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Igunga 63,412,014<br />
66.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kiteto 63,585,382<br />
67.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Tabora 63,648,676<br />
68.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea 63,651,983<br />
69.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kahama 64,733,890<br />
70.<br />
Halmashauri ya Mji Kigoma/Ujiji 66,588,086<br />
71.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mufindi 69,594,728<br />
72.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Lindi 70,232,222<br />
73.<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke 71,339,502<br />
74.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kongwa 71,763,069<br />
75.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Babati 72,259,571<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
269
76.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Urambo 73,754,351<br />
77.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mbulu 74,538,435<br />
78.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Liwale 80,029,524<br />
79.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Maswa 81,145,710<br />
80.<br />
Halmashauri ya Mji Kibaha 82,065,750<br />
81.<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Musoma 88,287,434<br />
82.<br />
Halmashauri ya Mji Korogwe 94,257,356<br />
83.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mbozi 101,349,068<br />
84.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe 107,524,548<br />
85.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Hanang 110,160,608<br />
86.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mbinga 116,422,880<br />
87.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Newala 126,682,894<br />
88.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Iringa 129,311,232<br />
89.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kishapu 130,338,840<br />
90.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mtwara 130,735,992<br />
91.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kasulu 131,092,225<br />
92.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro 131,136,185<br />
93. Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Kinondoni 133,171,692<br />
94.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Magu 134,968,961<br />
95.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Muheza 170,445,604<br />
96.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kigoma 192,100,702<br />
97.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kibondo 196,102,076<br />
98.<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Mbeya 209,049,786<br />
99.<br />
Halmashauri ya Jiji laMwanza 220,045,160<br />
100.<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Arusha 224,576,250<br />
101.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Masasi 231,500,675<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
270
102.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Kilwa 261,422,820<br />
103.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga 268,238,859<br />
104.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Mvomero 306,366,476<br />
105.<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala 315,593,573<br />
106.<br />
Halmashauri ya jiji laTanga 339,603,835<br />
107. Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Shinyanga 470,224,770<br />
108.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Bariadi 685,554,031<br />
109.<br />
Halmashauri ya wilaya ya<br />
Sumbawanga 14,436,541<br />
110.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Chamwino 26, 149,849<br />
111.<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Sumbawanga 26,744,624<br />
112.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Bukoba 34, 920,810<br />
113.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Nkasi 45,317,369<br />
114.<br />
Halmashauri ya wilaya ya Rungwe 49,810,080<br />
Jumla 8,675,739,790<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
271
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
272
Wadai ambao hawajalipwa<br />
Kiambatisho 7<br />
Na. Jina la Halmashauri inayodaiwa Kiasi Sh.<br />
1. Halmashauri ya Mji Lindi 5,149,344<br />
2. Halmashauri ya Mji Mpanda 224,483,296<br />
3. Halmashauri ya wilaya ya Tunduru 25,168,875<br />
4. Halmashauri ya wilaya ya Makete 324,512,966<br />
5. Halmashauri ya wilaya ya Moshi 72,690,721<br />
6. Halmashauri ya wilaya ya Manyoni 399,556,584<br />
7. Halmashauri ya wilaya ya Kondoa 1,725,708,997<br />
8. Halmashauri ya wilaya ya Biharamulo 94,000,000<br />
9. Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga 1,180,007,203<br />
10. Halmashauri ya wilaya ya Handeni 573,828,765<br />
11. Halmashauri ya wilaya ya Songea 167,997,026<br />
12. Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba MC 575,439,166<br />
13. Halmashauri ya wilaya ya Ngara 269,667,395<br />
14. Halmashauri ya wilaya ya Geita 117,694,489<br />
15. Halmashauri ya wilaya ya Muleba 162,086,202<br />
16. Halmashauri ya wilaya ya Pangani 224,529,797<br />
17. Halmashauri ya wilaya ya Songea 42,435,158<br />
18. Halmashauri ya wilaya ya Mkinga 21,697,347<br />
19. Halmashauri ya wilaya ya Musoma 59,256,406<br />
20. Halmashauri ya wilaya ya Kilolo 158,682,187<br />
21. Halmashauri ya wilaya ya Ileje 18,493,860<br />
22. Halmashauri ya wilaya ya Kwimba 183,123,115<br />
23. Halmashauri ya wilaya ya Sengerema 3,511,100<br />
24. Halmashauri ya wilaya ya Kibaha 15,348,891<br />
25. Halmashauri ya wilaya ya Nzega 4,187,000<br />
26. Halmashauri ya wilaya ya Kilombero 26,043,300<br />
27. Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe 43,908,635<br />
28. Halmashauri ya wilaya ya Monduli 307,774,388<br />
29. Halmashauri ya Mji Babati 164,304,435<br />
30. Halmashauri ya wilaya ya Hai 124,642,102<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
273
31. Halmashauri ya wilaya ya Kilindi 417,516,976<br />
32. Halmashauri ya wilaya ya Sikonge 69,182,746<br />
33. Halmashauri ya wilaya ya Tarime 91,822,222<br />
34. Halmashauri ya wilaya ya Mbarali 111,852,197<br />
35. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 97,133,691<br />
36. Halmashauri ya wilaya ya Meru 444,232,891<br />
37. Halmashauri ya wilaya ya Karagwe 141,059,154<br />
38. Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo 38,824,625<br />
39. Halmashauri ya wilaya ya Mafia 37, 586,714<br />
40. Halmashauri ya Manispaa ya Tabora 183,191,503<br />
41. Halmashauri ya Mji Mtwara 15,399,824<br />
42. Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba 95,331,216<br />
43. Halmashauri ya wilaya ya Iringa 254,499,274<br />
44. Halmashauri ya Mji Singida 9,897,887<br />
45. Halmashauri ya wilaya ya Mbeya 28,980,386<br />
46. Halmashauri ya wilaya ya Lushoto 104,538,783<br />
47. Halmashauri ya wilaya ya Morogoro 20,124,554<br />
48. Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo 14,493,592<br />
49. Halmashauri ya wilaya ya Kilosa 27,533,540<br />
50. Halmashauri ya wilaya ya Igunga 99,462,229<br />
51. Halmashauri ya wilaya ya Kiteto 135,185,032<br />
52. Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea 10,327,690<br />
53. Halmashauri ya Mji Kigoma/Ujiji 41,400,747<br />
54. Halmashauri ya wilaya ya Mufindi 14,550,944<br />
55. Halmashauri ya wilaya ya Lindi 104,498,556<br />
56. Halmashauri ya Manispaa ya Temeke 16,910,013<br />
57. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa 238,625,361<br />
58. Halmashauri ya wilaya ya Babati 118,329,479<br />
59. Halmashauri ya wilaya ya Urambo 135,088,122<br />
60. Halmashauri ya wilaya ya Mbulu 129,015,734<br />
62. Halmashauri ya wilaya ya Liwale 81,037,254<br />
63. Halmashauri ya wilaya ya Maswa 42,259,872<br />
64. Halmashauri ya Mji Kibaha 88,052,449<br />
65. Halmashauri ya Manispaa ya Musoma 36,707,196<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
274
66. Halmashauri ya Mji Korogwe 11,626,700<br />
67. Halmashauri ya wilaya ya Mbozi 303,941,460<br />
68. Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe 81,237,386<br />
69. Halmashauri ya wilaya ya Hanang 7,384,360<br />
70. Halmashauri ya wilaya ya Mbinga 33,483,465<br />
71. Halmashauri ya wilaya ya Newala 683,500<br />
72. Halmashauri ya wilaya ya Iringa 74,976,222<br />
73. Halmashauri ya wilaya ya Kishapu 157,300,828<br />
74. Halmashauri ya wilaya ya Kasulu 471,720,013<br />
75. Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro 185,203,179<br />
76. Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni 505,237,564<br />
77. Halmashauri ya wilaya ya Kigoma 3,160,000<br />
78. Halmashauri ya wilaya ya Arusha 92,900,403<br />
79. Halmashauri ya wilaya ya Masasi 92,616,655<br />
80. Halmashauri ya wilaya ya Kilwa 21,613,998<br />
81. Halmashauri ya wilaya ya Mvomero 30,957,410<br />
82. Halmashauri ya Manispaa ya Ilala 27,043,725<br />
83. Halmashauri ya Mji Tanga 46,024,311<br />
84. Halmashauri ya Manispaab ya Shinyanga 62,350,654<br />
85. Halmashauri ya wilaya ya Bariadi 107,985,514<br />
86. Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga 36,248,874<br />
87. Halmashauri ya wilaya ya Chamwino 33,657,190<br />
88. Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga 182,465,686<br />
89. Halmashauri ya wilaya ya Nkasi 202,531,517<br />
90. Halmashauri ya wilaya ya Rungwe 165,186,742<br />
91. Halmashauri ya wilaya ya Arumeru 429,354,026<br />
92. Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro 20,215,114<br />
93. Halmashauri ya wilaya ya Rufiji 417,804,128<br />
94. Halmashauri ya Manispaa ya Dar 112,625,119<br />
95. Halmashauri ya wilaya ya Bahi 187,160,296<br />
96. Halmashauri ya wilaya ya Mwanga 45,711,844<br />
97. Halmashauri ya wilaya ya Siha 228,815,892<br />
98. Halmashauri ya wilaya ya Rombo 107,433,846<br />
99. Halmashauri ya wilaya ya Same 60,689,068<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
275
100. Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa 69,887,386<br />
101. Halmashauri ya wilaya ya Kyela 189,441,994<br />
102. Halmashauri ya wilaya ya Mpanda 115,053,026<br />
Jumla 15,610,406,163<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
276
Masurufu yasiyorejeshwa 2007/2008<br />
Kiambatisho 8<br />
Na. Jina la Halmashauri Kiasi<br />
Kinachodaiwa<br />
(Sh.)<br />
1. Halmashauri ya Wilaya ya Moshi 3,200,000<br />
2. Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 17,359,350<br />
3. Halmashauri ya Manispaa ya Arusha 22,421,490<br />
4. Halmashauri ya Wilaya ya Babati 34,595,420<br />
5. Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 12,778,700<br />
6. Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo 8,020,000<br />
7. Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 8,374,000<br />
8. Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba 1,120,000<br />
9. Halmashauri ya Wilaya ya Magu 13,048,340<br />
10. Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 17,359,350<br />
11. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma 18,037,674<br />
12. Halmashauri ya Wilaya ya Bahi 12,264,163<br />
13. Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa 4,407,000<br />
14. Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe 5,696,045<br />
15. Halmashauri ya Wilaya ya Tarime 17,108,433<br />
16. Halmashauri ya Wilaya ya Rorya 5,921,000<br />
17. Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 12,778,700<br />
Jumla 214,489,665<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
277
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
278
Kiambatisho 9<br />
Vitabu vya Stakabadhi Vilivyokosekana<br />
Na. Jina la Halmashauri Idadi ya vitabu vya<br />
stakabadhi<br />
vilivyokosekana<br />
1. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
24<br />
Monduli<br />
2. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
31<br />
Kasulu<br />
3. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
4<br />
Mbulu<br />
4. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
6<br />
Longido<br />
5. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
3<br />
Babati<br />
6. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
145<br />
Lushoto<br />
7. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
25<br />
Mwanga<br />
8. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
1<br />
Mvomero<br />
9. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
5<br />
Morogoro<br />
10. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
120<br />
Chamwino<br />
11. Halmashauri ya Jiji la<br />
2<br />
Mwanza<br />
12. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
3<br />
Masasi<br />
13. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
4<br />
Njombe<br />
14. Halmashauri ya Mji Njombe 7<br />
15. Halmashauri ya Wilaya ya 36<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
279
Iringa<br />
16. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
1<br />
Kiteto<br />
17. Halmashauri ya Mji Masasi 5<br />
18. Halmashauri ya Mji Kibaha 35<br />
19. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
28<br />
Kibaha<br />
20. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
3<br />
Kilwa<br />
21. Halmashauri ya Mji Korogwe 3<br />
22. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
21<br />
Ludewa<br />
23. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
11<br />
Kondoa<br />
24. Halmashauri ya Manispaa ya<br />
43<br />
Songea<br />
25. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
20<br />
Shinyanga<br />
26. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
13<br />
Songea<br />
27. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
7<br />
Mbinga<br />
28. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
25<br />
Ileje<br />
29. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
8<br />
Rungwe<br />
30. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
3<br />
Sengerema<br />
31. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
22<br />
Kwimba<br />
32. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
5<br />
Magu<br />
33. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ukerewe<br />
40<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
280
34. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
22<br />
Kwimba<br />
35. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
6<br />
Urambo<br />
36. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
4<br />
Mtwara<br />
37. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
3<br />
Nachingwea<br />
38. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
3<br />
Newala<br />
39. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
15<br />
Kigoma<br />
40. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
26<br />
Igunga<br />
41. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
22<br />
Chato<br />
42. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
50<br />
Mkuranga<br />
Jumla 860<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
281
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
282
Kiambatisho 10<br />
Maduhuli yasiyowasilishwa toka kwa Mawakala wa ukusanyaji<br />
mapato Sh.421,213,641<br />
Na Jina La Halmashauri Kiasi(Sh.)<br />
1. Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 22,084,000<br />
2. Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba 7,385,000<br />
3. Halmashauri ya Manispaa ya<br />
27,500,000<br />
Kinondoni<br />
4. Halmashauri ya Manispaa ya<br />
70,589,000<br />
Dodoma<br />
5. Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga 51,123,512<br />
6. Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 9,492,000<br />
6. Halmashauri ya Manispaa ya Ilala 81,720,000<br />
6. Halmashauri ya Manispaa ya<br />
11,220,000<br />
Musoma<br />
8. Halmashauri ya Wilaya ya Rorya 4,469,900<br />
9. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 30,731,112<br />
11. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
4,018,000<br />
Sengerema<br />
12. Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe 1,126,000<br />
13. Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa 5,979,000<br />
14. Halmashauri ya Manispaa ya<br />
70,589,000<br />
Dodoma<br />
15. Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa 367,750<br />
16. Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe 3,964,000<br />
18. Halmashauri ya Wilaya ya Urambo 3,665,000<br />
19. Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 397,450<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
283
20. Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge 833,000<br />
21. Halmashauri ya Manispaa ya<br />
3,329,917<br />
Shinyanga<br />
22. Halmashauri ya Wilaya ya Kahama 10,630,000<br />
Jumla 421,213,641<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
284
Kiambatisho 11<br />
Malipo yenye nyaraka pungufu Sh. 3,590,228,595<br />
Jina la Halmashauri<br />
Kiasi<br />
(Sh)<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Arusha<br />
98,327,353<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Arusha 29,983,211<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Hai 128,852,888<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Meru 24,111,594<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Bunda 37,582,380<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
3,264,220<br />
Musoma<br />
Halmashauri ya Jiji la Mwanza 41,168,900<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha 55,743,051<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 7,156,452<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 209,035,119<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Same 5,755,100<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Rombo 2,500,000<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 3,174,600<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo 8,753,834<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 29,700,000<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 13,891,964<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
285
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Kigoma Ujiji 159,523,792<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 24,545,270<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Nachingwea 10,291,963<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru 66,278,999<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Longido 11,925,650<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 20,441,300<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Monduli 25,072,559<br />
Halmashauri ya Mji Korogwe 18,211,000<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mvomero<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kilombero<br />
145,592,000<br />
65,695,878<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga 3,464,000<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Lindi 1,900.000<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Pangani 65,501,552<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi 50,511,200<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya 15,570,500<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe 840,000<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kyela 55,098,016<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Mtwara Mikindani<br />
86,233,8730<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi 31,903,853<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara 24,069,682<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
286
Halmashauri ya Wilaya ya Newala 19,368,847<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa 42,380,106<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali 605,000<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Musoma 37,277,241.56<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Serengeti<br />
30,490,804<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Rorya 23,132,125<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 24,366,525<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ruangwa<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Biharamulo<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Karagwe<br />
229,490,107<br />
15,195,067<br />
5,920,042<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Ngara 4,587,439<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Chato 26,545,270<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 23,806,200<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Shinyanga<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Shinyanga<br />
30,080,360<br />
11,691,961<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kahama 12,632,050<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi 4,529,160<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu 12,632,050<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Meatu 102,245,949<br />
Halmashauri ya Manispaa ya 54,493,091<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
287
Tabora<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Tarime 150,356,420<br />
Halmashauri ya Jiji la Mwanza 41,168,900<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 171,615,118<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Namtumbo<br />
26,345,842<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 5,878,066<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru 66,278,999<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda 3,187,000<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Songea<br />
8,601,250<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Songea 9,295,491<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 5,878,060<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi 2,456,000<br />
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa 28,644,945<br />
Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 3,174,600<br />
Jumla 3,590,228,595<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
288
Kiambatisho 12<br />
Malipo yasiyo na hati za malipo<br />
Na Jina la Halmashauri Kiasi (Sh)<br />
1. Halmashauri ya mji Kibaha<br />
9,371,583<br />
2. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Rufiji 4,271,979<br />
3. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mafia 3,167,699<br />
4. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
4,489,041<br />
Kibaha<br />
5. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
5,452,000<br />
Ruangwa<br />
6. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Nachingwea 10,291,963<br />
7. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Liwale 20,191,052<br />
8. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kilwa 33,534,055<br />
9. Halmashauri ya Jiji la Mbeya 47,516,500<br />
10. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mbeya 3,069,390<br />
11. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Rungwe 4,923,942<br />
12. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kyela 24,656,496<br />
13. Halmashauri ya Wilaya ya Ileje 54,338,939<br />
14. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Rorya 23,132,125<br />
15. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Meru 8,437,371<br />
16. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
289
Monduli 17,223,452<br />
17. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Ngorongoro 9,190,000<br />
18. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Karatu 9,903,858<br />
19. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Longido 17,490,000<br />
20. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Arusha 1,160,000<br />
21. Halmashauri ya Wilaya na Mji<br />
Masasi 26,514,600<br />
22. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Makete 145,070,985<br />
23. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Chamwino 65,006,033<br />
24. Halmashauri ya Wilaya na Mji<br />
Kondoa 1,040,000<br />
25. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mwanga 342,943,545<br />
26. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
10,694,516<br />
Chato<br />
27. Halmashauri ya Manispaa<br />
Kigoma Ujiji 52,269,889<br />
28. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Songea 32,509,983<br />
29. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Songea 1,407,483<br />
30. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Namtumbo 6,345,000<br />
31. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Nzega 3,687,000<br />
32. Halmashauri ya Wilaya ya Magu 48,324,464<br />
33. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kwimba 3,798,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
290
34. Halmashauri ya Jiji la Mwanza 41,168,900<br />
35. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Misungwi 23,028,306<br />
36. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Korogwe 3,100,000<br />
37. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Lushoto 83,811,074<br />
38. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
52,719,312<br />
Kilindi<br />
39. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kiteto 34,509,560<br />
40. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Hanang 2,071,000<br />
41. Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Bariadi 17,223,452<br />
42.<br />
Halmashauri ya Manispaa ya<br />
Singida 24,467,413<br />
43.<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Kilosa 18,674,770<br />
44.<br />
Halmashauri ya Wilaya ya<br />
Mvomero 18,049,000<br />
Jumla 1,370,245,729<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
291
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
292
Fedha za maendeleo ambazo hazikutumika<br />
Kiambatisho 13<br />
Na.<br />
Jina la<br />
Halmashauri<br />
1. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Ileje<br />
2. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Rungwe<br />
3. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mbozi<br />
4. Halmashauri ya<br />
Jiji la Mbeya<br />
5. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Musoma<br />
6. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kasulu<br />
7. Halmashauri ya<br />
Manispaa<br />
Kigoma Ujiji<br />
8. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Hai<br />
9. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Rombo<br />
10. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Moshi<br />
11. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Moshi<br />
12. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tunduru<br />
13. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Hanang<br />
Kiasi<br />
kilichotengwa<br />
(Sh.)<br />
Kiasi<br />
kilichotumika<br />
(Sh)<br />
Kiasi<br />
ambacho<br />
hakikutumika<br />
(Sh.)<br />
Asili<br />
mia<br />
ya<br />
fed<br />
ha<br />
zisi<br />
zot<br />
umi<br />
ka<br />
983,774,558 852,153,492 131,621,067 13<br />
153,043,252 149,588,452 3,454,800 2<br />
1,283,477,134 1,159,262,973 124,214,161 10<br />
2,208,557,000 1,622,462,000 586,095,000 27<br />
2,492,561,631 1,418,762,218 1,073,799,413 43<br />
2,695,098,269 1,665,140,468 1,029,957,801 38<br />
2,286,882,332 1,081,622,428 1,555,031,970 59<br />
1,609,103,828 1,456,318,828 152,785,001 9<br />
1,489,788,203 553,894,525 935,893,678 63<br />
1,700,013,459 985, 209,412 714,804,047 42<br />
1,487,337,309 1,304,689,266 503,971,579 28<br />
621,760,760 460,800,915 160,959,845 26<br />
2,003,958,878 1,744,224,555 259,734,323 13<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
293
14. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Simanjiro<br />
15. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Singida<br />
16. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilombero<br />
17. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Morogoro<br />
18. Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Shinyanga<br />
19. Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Arusha<br />
20. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Masasi<br />
21. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Newala<br />
22. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mtwara<br />
23. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tandahimba<br />
24. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Bahi<br />
25. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpwapwa<br />
26. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Dodoma<br />
27. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kondoa<br />
28. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Iringa<br />
29. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ludewa<br />
1,876,573,285 742,325,265 1,134,248,020 60<br />
1,445,557,448 1, 228,963,878 216, 593,569 15<br />
2,526,127,917 1,826,290,350 699,837,567 28<br />
1,078,651,922 453,954,092 624,697,830 58<br />
1,248,332,895 1,087,566,598 160,766,297 13<br />
3,790,544,200 3,560,304,458 230,239,742 6<br />
852,352,590 535,214,590 317,138,000 37<br />
1,618,841,070 889,983,951 728,857,119 45<br />
535,552,078 390,881,016 144,671,062 27<br />
1,073,851,006 612,761,469 461,089,537 43<br />
3,310,117,858 706,900,600 2,603,217,257 79<br />
1,232,733,659 839,718,833 393,014,825 32<br />
3,142,592,853 1,845,625,889 1,296,966,707 41<br />
2,428,599,766 1,237,208,233 1,191,391,533 49<br />
4,733,121,635 2,416,437,251 2,316,684,384 49<br />
1,967,263,776 1,202,175,349 765,088,427 39<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
294
30. Halmashauri ya<br />
Mji Njombe<br />
31. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kwimba<br />
32. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ukerewe<br />
33. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sengerema<br />
34. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tabora<br />
35. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Urambo<br />
36. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpanda<br />
37. Halmashauri ya<br />
Mji ya Mpanda<br />
38. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Nkasi<br />
39. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sumbawanga<br />
40. Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Sumbawanga<br />
41. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Handeni<br />
42. Halmashauri ya<br />
Mji Tanga<br />
43. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mkinga<br />
44. Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Muheza<br />
45. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kongwa<br />
46. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
1,008,186,543 765,863,902 242,322,641 24<br />
3,637,776,730 1,957,328,311 1,680,448,420 46<br />
2,212,150,457 1,026,642,549 1,185,507,908 54<br />
3,018,565,315 2,857,096,301 1,250,503,528 44<br />
3,198,019,918 2,282,353,753 915,666,165 27<br />
3,461,941,543 1,699,447,345 1,762,494,198 51<br />
6,590,704,021 5,320,691,801 1,663,316,278 25<br />
1,667,727,515 587,772,720 1,079,954,795 64<br />
544,010,578 473,296,324 70,714,254 13<br />
1,974,004,302 1,238,717,422 735,286,881 37<br />
1,429,103,478 1,140,427,635 891,355,086 43<br />
1,194,343,740 1,000,733,228 193,610,512 16<br />
3,866,878,795 1,480,644,544 2,386,234,251 62<br />
2,398,991,784 553, 227,762 1,845,764,022 77<br />
2,679,176,446 1,829,322,489 849,853,956 32<br />
3,378,427,628 2,610,909,449 767,520,179 23<br />
1,953,559,742 1,414,346,801 539,212,942 28<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
295
Tarime<br />
47. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kisarawe<br />
48. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilindi<br />
49. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Biharamulo<br />
50. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Muleba<br />
51. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bukombe<br />
52. Halmashauri ya<br />
Mji Babati<br />
53. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Shinyanga<br />
54. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Karatu<br />
55. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Longido<br />
56. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Monduli<br />
57. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ngorongoro<br />
58. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Nanyumbu<br />
59. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Karagwe<br />
60. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Nachingwea<br />
61. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ulanga<br />
1,767,952,939 1,279,865,587 488,087,352 28<br />
3,414,369,203 2, 449,007,906 965,361,297 28<br />
2,662,755,072 2,138,333,077 524,421,995 24<br />
3,671,935,846 2,858,281,196 786, 654,651 27<br />
4,373,790,899 3,727,685,155 646,105,744 15<br />
1,584,412,333 1,208,759,634 375,652,699 24<br />
1,879,375,057 1,624,360,210 255,014,847 14<br />
2,350,033,342 1,664,875,256 685,158,086 29<br />
740,576,415 138,691,792 601,884,623 81<br />
1,969,231,358 1,425,831,275 543,400,083 28<br />
2,858,234,300 1,594,698,227 1,263,536,073 44<br />
573,958,505 394,846,874 179,111,631 31<br />
2,517,967,948 2,006,250,862 511,717,086 20<br />
1,195,665,193 1,194,328,508 1,336,685 0.1<br />
4,926,005,825 2,260,865,541 2,665,140,284 54<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
296
62. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mvomero<br />
63. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Nzega<br />
64. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tabora<br />
65. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sikonge<br />
66. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Korogwe<br />
67. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Iramba<br />
68. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Manyoni<br />
69. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Singida<br />
70. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bariadi<br />
71. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kahama<br />
72. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kishapu<br />
73. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Maswa<br />
74. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Meatu<br />
75. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Songea<br />
76. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Songea<br />
77. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Namtumbo<br />
3,265,775,981 1,956,154,386 1,309,621,595 67<br />
2,664,942,240 1,361,136,019 1,303,806,222 49<br />
1,424,541,603 1,141,860,467 563,824,337 39<br />
1,666,777,672 1,363,041,561 373,359,136 22<br />
1, 532,782,030 1, 337,876,335 194, 905,695 13<br />
2,665,680,031 1,892,692,802 772,987,229 29<br />
2,777,528,390 675,732,131 2,101,796,258 75<br />
2,231,583,247 1,877,328,785 354,254,463 16<br />
7,259,533,627 3,444,751,188 3,814,782,439 53<br />
3,912,849,534 2,692,090,014 1,220,759,520 31<br />
3,068,095,477 2,836,143,921 231,951,556 8<br />
2,893,396,752 2,147,313,897 746,082,856 24<br />
3,111,544,791 1,631,445,485 1,480,099,305 48<br />
1,266,746,660 711,193,086 556,405,574 44<br />
2,751,484,791 1,416,121,413 1,335,363,377 37<br />
2,010,721,323 1,514,630,964 496,090,360 22<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
297
78. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbinga<br />
79. Halmashauri ya<br />
Jiji la Mwanza<br />
80. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Misungwi<br />
81. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Geita<br />
82. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilosa<br />
83. Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Morogoro<br />
84. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kyela<br />
85. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Chunya<br />
86. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Serengeti<br />
87. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Bunda<br />
88. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Musoma<br />
89. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Rorya<br />
90. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bagamoyo<br />
91. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Rufiji<br />
92. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kibaha<br />
93. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Babati<br />
94. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kiteto<br />
95. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mbulu<br />
96. Halmashauri ya<br />
Mji Lindi<br />
5,630,022,216 3,045,725,792 2,584,296,424 46<br />
6,413,220,026 1,376,826,412 5,036,393,614 78<br />
3,172,811,762 900,706,819 2,272,104,943 24<br />
5,395,243,094 4,198,201,094 1,197,042,000 22<br />
1,255,648,491 1,052,720,726 202,927,765 16<br />
2,112,326,809 1,229,322,036 883,004,772 42<br />
1,060,770,513 911,529,689 149,240,824 14<br />
3,512,638,714 2,563,335,266 949,303,448 27<br />
4,047,902,739 2,423,816,085 1,624,086,654 40<br />
2,801,431,309 1,982,465,974 818,965,334 29<br />
1,428,339,302 1,169,259,580 259,079,722 18<br />
1,190,252,973. 770,304,582 419,948,391 35<br />
43<br />
5,060,245,612 3,257,129,484 1,803,116,128 36<br />
2,903,302,620 2,308,296,340 829,299,292 36<br />
1,869,129,977 894,600,024 974,529,953 52<br />
1,315,152,068 1,117,303,907 1,117,303,907 21<br />
2,039,945,144 1,612,916,304 427,028,840 31<br />
2, 412,723,146 1,933,826,069 478,897,077 20<br />
841,928,177 604,807,241 237,120,937 28<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
298
97. Halmashauri ya 885,929,819 387,800,354 498,129,465 56<br />
Wilaya ya Same<br />
98. Halmashauri ya 1,990,283,879 1,320,096,120 604,449,342 30<br />
Wilaya ya<br />
Kigoma<br />
99. Halmashauri ya 4,990,669,266 2,734,244,803 2,256,424,463 45<br />
Wilaya ya<br />
Kibondo<br />
100. Halmashauri ya 1,615,785,457 841,782,019 774,003,438 48<br />
Wilaya ya<br />
Misenyi<br />
101. Halmashauri ya 1,273,751,269 1,104,717,362 169,033,908 13<br />
Manispaa ya<br />
Bukoba<br />
102. Halmashauri ya 2,267,904,695 1,969,261,853 298,642,842 13<br />
Wilaya ya Chato<br />
103. Halmashauri ya 3,547,469,293 3,083,971,068 463,498,224 13<br />
Wilaya ya<br />
Njombe<br />
104. Halmashauri ya 4,851,768,929 3,098,274,990 1,753,493,939 36<br />
Wilaya ya<br />
Mufindi<br />
105. Halmashauri ya 8,438,713,765 6,296,587,797 2,142,125 25<br />
Manispaa ya<br />
Ilala<br />
,968<br />
106. Halmashauri ya 6,057,163,346 4,150,035,883 1,907,127,463 31<br />
Manispaa ya<br />
Temeke<br />
107. Halmashauri ya 2,811,369,201 2,207,795,840 599,705,381 21<br />
Wilaya ya Meru<br />
108. Halmashauri ya 123,755,439 49,869,419 73,886,020 60<br />
Wilaya ya<br />
Arusha<br />
109. Halmashauri ya 680,134,345 631,094,770 49,039,575 7<br />
Wilaya ya Mafia<br />
110. Halmashauri ya<br />
381,035 257,210 123,825 32<br />
Wilaya ya Mbeya<br />
111. Halmashauri ya 1,415,032,690 881,433,748 533,598,942 37<br />
Wilaya ya<br />
Kibaha<br />
Jumla 270,547,629,434 171,791,488,611 99,114,082,540<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
299
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
300
Kiambatisho 14<br />
Mishahara isiyolipwa ambayo haijarejeshwa Hazina<br />
Sh.881,966,748<br />
Na<br />
Halmashauri<br />
Mishahara<br />
isiyolipwa<br />
Watumishi aidha<br />
waliostaafu,walioa<br />
chakazi au<br />
kufukuzwa ambao<br />
bado majinayao<br />
hayajaondelewa<br />
kenye orodha ya<br />
malipo yapo<br />
Makato ya<br />
kisheria<br />
ambayo<br />
hayapelekwa<br />
kwa<br />
mashirika<br />
husika<br />
Malipo ya<br />
mishahara<br />
ambayo<br />
yanakosa<br />
vielelezo<br />
vya<br />
mchanganuo<br />
wa<br />
walipwaji<br />
kutoka<br />
kenye<br />
compiuta<br />
1.<br />
2.<br />
3.<br />
4.<br />
5.<br />
6.<br />
Halmasha<br />
uri ya Mji<br />
Kibaha 1,310,599<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mkuranga 36,883,937<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kisarawe 616,039<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kibaha 24,274,223<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ruangwa 6,590,765 3,015,760<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Nachingw<br />
ea 5,651,595<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
301
7.<br />
8.<br />
9.<br />
10.<br />
11.<br />
12.<br />
13.<br />
14.<br />
Halmasha<br />
uri ya Jiji<br />
la Mbeya 9,113,553<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbarari 4,595,112<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Rungwe 5,128,475<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kyela 1,117,782 7,826,658<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ileje 15,592,826<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
Musoma 5,957,241<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tarime 5,000,352<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa<br />
ya Arusha 15,695,085 10,661,374<br />
15.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Meru 12,131,209 7,875,630<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
302
16.<br />
17.<br />
18.<br />
19.<br />
20.<br />
21.<br />
22.<br />
23.<br />
24.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Karatu 19,223,098 6,056,891<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mtwara 12,097,894<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Masasi 7,408,441<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Newala 10,933,388<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa<br />
ya Iringa 23,985,688<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Iringa 7,466,885<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mufindi 3,177,373<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Njombe 36,615,505<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Makete 28,520,614<br />
25. Halmasha 20,150,541<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
303
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ludewa<br />
26.<br />
27.<br />
28.<br />
29.<br />
30.<br />
31.<br />
32.<br />
33.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
Dodoma 22,684,123 5,622,596<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bahi 16,750,915 2,457,936<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kondoa 4,098,051 18,037,502<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpwapwa 2,179,320<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kongwa 46,059,807 1,640,539<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Moshi 10,137,111<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Hai 21,610,261<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mwanga 139,886,671<br />
34. Halmasha 3,462,175<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
304
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bukoba<br />
35.<br />
36.<br />
37.<br />
38.<br />
39.<br />
40.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Misenyi 3,768,708<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Biharamul<br />
o 22,073,421<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Karagwe 10,844,637<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ngara 7,043,970<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa<br />
ya Kigoma<br />
Ujiji 12,638,728<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kasulu 10,816,336 1,312,197<br />
41.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kibondo 8,726,834<br />
42.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa<br />
ya Songea<br />
15,231,907<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
305
43.<br />
44.<br />
45.<br />
46.<br />
47.<br />
48.<br />
49.<br />
50.<br />
51.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Songea 21,000,723<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tunduru 16,329,171<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa<br />
ya Tabora 14,131,960<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Urambo 3,008,878<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Igunga 12,791,587<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Nzega 15,890,788<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
S’wanga 7,654,959<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Magu 40,242,696<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kwimba 3,979,099<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
306
52.<br />
53.<br />
54.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Misungwi 33,739,445<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Geita 2,889,052<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sengerem<br />
a 17,505,254<br />
55.<br />
56.<br />
57.<br />
58.<br />
59.<br />
60.<br />
Halmasha<br />
uri ya Jiji<br />
la Tanga 39,190,909<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mkinga 1,242,661<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Lushoto 9,444,798<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Handeni 22,847,740<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
Temeke 17,520,194 5,224,290<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa 49,710,048<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
307
ya Ilala<br />
61.<br />
62.<br />
63.<br />
64.<br />
65.<br />
66.<br />
67.<br />
68.<br />
69.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kiteto 11,932,530<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Hanang 24,690,200<br />
Halmasha<br />
uri ya Mji<br />
Babati 4,902,796<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Shinyanga 1,093,828<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kahama 34,012,020<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Meatu 2,934,899<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Iramba 1,839,661<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
Morogoro 2,295,060<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilosa 13,096,434<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
308
70.<br />
71.<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Ulanga 31,686,716<br />
Halmasha<br />
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mvomero 9,283,798<br />
Jumla 881,966,748 178,066,130 13,950,925 139,886,671<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
309
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
310
Kiambatisho 15<br />
Halmashauri zenye matumizi ziada<br />
1.<br />
2.<br />
3.<br />
4.<br />
5.<br />
6.<br />
7.<br />
8.<br />
9.<br />
10.<br />
11.<br />
12.<br />
13.<br />
14.<br />
15.<br />
16.<br />
17.<br />
18.<br />
19.<br />
Jina la<br />
Jumla ya mapato Jumla ya<br />
Ziada (Sh.)<br />
Halmashauri<br />
(Sh.)<br />
Matumizi (Sh.)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Babati 3,830,231,205 8,409,075,599 (4,578,844,394)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Chunya 7,534,647,492 8,089,627,771 (554,980,279)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Hai 12,098,616,526 12,159,320,542 (60,704,016)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Ileje 4,887,172,803 4,924,467,573 (37,294,770)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Iramba 11,585,071,712 11,896,986,217 (311,914,505)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kahama 12,857,829,603 15,223,263,427 (2,365,433,824)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilindi 3,920,507,191 3,945,460,867 (24,953,676)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
9,160,258,548 9,500,886,848 (340,628,300)<br />
Kilombero<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kisarawe 5,434,607,167 6,214,030,274 (779,423,107)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kishapu 5,278,948,882 5,380,187,570 (101,238,688)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Korogwe 2,176,209,944 8,881,438,011 (6,705,228,067)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mafia 4,308,722,829 4,386,954,865 (78,232,036)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Makete 4,771,909,635 4,894,072,274 (122,162,639)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Manyoni 6,028,513,315 6,643,128,122 (614,614,807)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mbozi 18,540,992,088 18,992,710,874 (451,718,786)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Meatu 7,074,491,676 7,138,110,471 (63,618,795)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Monduli 6,043,899,619 6,231,915,835 (188,016,216)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mufindi 13,202,835,411 13,228,537,435 (25,702,024)<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Muleba 12,426,143,140 12,466,114,780 (39,971,640)<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
311
20.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Musoma 4,187,727,128 5,555,049,627 (1,367,322,498)<br />
21. Jiji la Mwanza 15,895,983,168 20,836,067,909 (4,940,084,741)<br />
22.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
5,739,376,273 6,784,355,261 (1,044,978,988)<br />
Namtumbo<br />
23.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
4,317,248,683 4,458,613,253 (141,364,570)<br />
Ngorongoro<br />
24.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Njombe 12,058,296,985 13,037,126,470 (978,829,485)<br />
25.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Rombo 11,654,523,101 11,729,874,336 (75,351,235)<br />
26.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Rungwe 11,665,412,324 12,411,491,814 (746,079,490)<br />
27.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Singida 11,239,204,271 11,873,705,220 (634,500,949)<br />
28.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Singida 5,070,528,928 5,266,690,444 (196,161,516)<br />
Jumla 232,989,909,648 260,559,263,688 (27,569,354,041)<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
312
KIAMBATANISHO 16<br />
Halmashauri zenye matumizi pungufu<br />
Jumla ya Pungufu (Sh.)<br />
Jina la<br />
Halmashauri<br />
Jumla ya<br />
mapato (Sh.)<br />
Matumizi (Sh.)<br />
1. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Arusha 8,578,632,564 8,073,424,417 505,208,147<br />
2.<br />
Manispaa ya<br />
Arusha 13,339,568,140 11,894,609,905 1,444,958,235<br />
3.<br />
Halmashauri ya<br />
Mji Babati 3,830,231,205 2,680,704,454 1,149,526,751<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
12,649,568,652 12,138,288,978 511,279,674<br />
4. Bagamoyo<br />
5. Halmashauri ya<br />
wilaya Bahi 5,232,941,939 2,327,626,396 2,905,315,543<br />
6.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Bariadi 15,262,600,615 12,957,788,190 2,304,812,425<br />
7. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
11,554,004,829 11,327,208,540 226,796,289<br />
Biharamulo<br />
8.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya 10,840,698,068 10,612,669,836 228,028,232<br />
9. Manispaa ya<br />
Bukoba 4,906,247,756 4,263,996,485 642,251,271<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
7,452,486,342 7,204,234,027 248,252,315<br />
10. Bukombe<br />
11. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Bunda 11,446,079,555 10,008,765,591 1,437,313,964<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
4,542,913,061 2,525,604,767 2,017,308,294<br />
12. Chamwino<br />
13. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Chato 3,189,069,160 3,024,959,334 164,109,826<br />
Jiji la Dar es<br />
salaam 5,007,943,710 4,544,693,964 463,249,746<br />
14.<br />
15. Manispaa ya<br />
Dodoma 11,253,535,361 10,560,210,542 693,324,819<br />
16.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Geita 15,454,509,930 14,720,210,000 734,299,930<br />
17. Halmashauri ya<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
313
Wilaya ya<br />
6,394,436,335 6,241,907,916 152,528,419<br />
Hanang<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
9,832,846,343 8,856,804,593 976,041,750<br />
18. Handeni<br />
19. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Igunga 8,475,309,082 7,931,560,853 543,748,229<br />
20.<br />
Manispaa ya<br />
Ilala 32,939,930,003 29,567,275,948 3,372,654,055<br />
21. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Iramba 11,585,071,712 11,896,986,217 (311,914,505)<br />
22.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Iringa 14,882,801,175 13,706,510,383 1,176,290,792<br />
23. Manispaa ya<br />
Iringa 5,771,167,547 5,603,841,484 167,326,063<br />
24.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Karatu 6,594,879,102 6,532,543,371 62,335,731<br />
25. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya 18,093,154,811 16,993,338,366 1,099,816,445<br />
26.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kibaha 5,157,240,870 3,371,785,099 1,785,455,771<br />
27. Halmashauri ya<br />
mji Kibaha 5,192,003,945 4,913,228,704 278,775,241<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
11,068,878,850 9,991,294,493 1,077,584,357<br />
28. Kibondo<br />
29. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
9,952,143,838 8,747,734,405 1,204,409,433<br />
Kigoma<br />
Manispaa ya<br />
Kigoma Ujiji 7,364,006,227 5,963,447,711 1,400,558,516<br />
30.<br />
31. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilolo 8,995,273,875 7,158,804,004 1,836,469,871<br />
32.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilosa 14,365,018,681 13,904,979,748 460,038,933<br />
33. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilwa 10,300,570,579 9,383,527,618 917,042,961<br />
34.<br />
Manispaa ya<br />
Kinondoni 39,197,015,201 37,795,540,215 1,401,474,986<br />
35. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kiteto 7,234,308,371 6,892,387,107 341,921,264<br />
36.<br />
Halmashauri ya<br />
wilaya na<br />
mamlaka Kondoa<br />
14,199,758,031 13,775,529,183 424,228,848<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
314
37. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kongwa<br />
9,943,469,561 9,312,348,949 631,120,612<br />
Halmashauri ya<br />
Mji Korogwe 2,176,209,944 1,909,281,895 266,928,049<br />
38.<br />
39. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kwimba<br />
6,837,150,035 6,397,793,366 439,356,669<br />
40.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kyela 8,746,899,391 8,328,614,250 418,285,141<br />
41. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Lindi 7,342,553,783 6,492,028,667 850,525,116<br />
42.<br />
Halmashauri ya<br />
Mji Lindi 3,067,958,230 2,322,985,957 744,972,273<br />
43. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Liwale 5,795,875,376 4,791,770,611 1,004,104,765<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
1,145,763,345 963,576,204 182,187,141<br />
44. Longido<br />
45. L Halmashauri ya<br />
Wilaya ya udewa 8,155,174,409 7,695,275,141 459,899,268<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
15,429,219,504 14,083,179,940 1,346,039,564<br />
46. Lushoto<br />
47. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Magu 14,096,376,992 13,373,931,048 722,445,944<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya & na 13,540,095,627 11,581,597,495 1,958,498,132<br />
48. Mamlaka Masasi<br />
49. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Maswa 8,323,554,081 8,001,753,702 321,800,379<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
50. Mbarari<br />
51. Jiji la Mbeya<br />
13,282,053,126 12,805,299,127 476,753,999<br />
11,820,020,333 10,901,533,081 918,487,252<br />
52.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mbeya 10,050,087,620 10,015,939,454 34,148,166<br />
53. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mbinga 17,388,354,426 17,286,440,016 101,914,410<br />
54.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mbulu 9,364,490,118 8,059,627,812 1,304,862,306<br />
55. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Meru 13,995,532,099 13,605,026,439 390,505,660<br />
56.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya 3,604,584,188 2,735,714,263 868,869,926<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
315
Misenyi<br />
57. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Misungwi<br />
9,359,959,957 7,937,970,066 1,421,989,891<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Mkinga 2,010,613,650 1,831,364,180 179,249,470<br />
58.<br />
59. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mkuranga<br />
8,690,380,904 7,956,008,807 734,372,097<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
8,863,693,521 8,061,844,065 801,849,456<br />
60. Morogoro<br />
61. Manispaa ya<br />
Morogoro 9,793,365,044 9,220,949,373 572,415,671<br />
62.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Moshi 17,601,153,212 16,570,282,335 1,030,870,877<br />
63. Manispaa ya<br />
Moshi 7,745,462,580 7,123,509,957 621,952,624<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
14,332,072,864 13,593,692,746 738,380,118<br />
64. Mpanda<br />
65. Halmashauri ya<br />
Mji Mpanda 3,440,245,333 2,365,043,276 1,075,202,057<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpwapwa<br />
66.<br />
67. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mtwara<br />
9,528,908,027 8,328,313,113 1,200,594,914<br />
7,205,449,894 6,569,309,343 636,140,551<br />
Manispaa ya<br />
Mtwara 3,965,146,132 3,271,731,018 693,415,114<br />
68.<br />
69. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Muheza<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Musoma<br />
70.<br />
71. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mvomero<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mwanga<br />
72.<br />
73. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Nachingwea<br />
8,240,981,063 7,263,357,827 977,623,236<br />
12,161,498,498 10,745,806,207 1,415,692,290<br />
9,044,295,405 8,850,852,942 193,442,463<br />
13,915,791,590 13,812,185,340 103,606,250<br />
8,748,913,122 8,435,447,906 313,465,216<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
316
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
3,090,936,751 2,558,779,405 532,157,346<br />
74. Nanyumbu<br />
75. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
8,156,287,470 7,763,360,382 392,927,088<br />
Newala<br />
76.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Ngara 9,448,584,285 9,059,539,662 389,044,623<br />
77. Njombe TC<br />
3,475,804,882 2,176,123,179 1,299,681,703<br />
78.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Nkasi 7,268,913,291 6,630,575,897 638,337,394<br />
79. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Nzega 10,436,076,104 9,799,370,609 636,705,495<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
4,058,618,810 3,464,548,515 594,070,295<br />
80. Pangani<br />
81. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Rorya 3,820,300,059 3,523,316,506 296,983,553<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
11,524,139,591 10,029,156,964 1,494,982,626<br />
82. Ruangwa<br />
83. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Rufiji 9,956,013,670 8,883,904,060 1,072,109,610<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
11,096,992,248 10,078,350,979 1,018,641,269<br />
84. S’wanga<br />
85. Manispaa ya<br />
S’wanga 8,486,904,118 7,503,604,785 983,299,333<br />
86.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Same 9,786,917,315 9,746,486,510 40,430,805<br />
87. Halmashauri ya<br />
Wilay Sengerema 14,992,019,890 14,368,438,857 623,581,033<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
5,367,553,054 5,155,563,124 211,989,930<br />
88. Serengeti<br />
89. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
7,369,427,557 5,978,479,767 1,390,947,790<br />
Shinyanga<br />
90.<br />
Manispaa ya<br />
Shinyanga 4,604,418,522 4,573,718,845 30,699,677<br />
91. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Siha 2,228,714,703 1,237,718,866 990,995,838<br />
92.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Sikonge<br />
5,371,723,710 5,305,926,634 65,797,077<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
317
93. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
5,649,652,470 5,464,583,743 185,068,727<br />
Simanjiro<br />
94.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Songea 9,787,185,517 8,314,309,320 1,472,876,197<br />
95. Manispaa ya<br />
Songea 5,689,302,243 5,332,779,372 356,522,871<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Tabora 7,032,909,478 6,829,887,682 203,021,796<br />
96. /Uyui<br />
97. Manispaa ya<br />
Tabora 6,896,146,404 6,602,244,393 293,902,011<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
8,154,810,964 7,410,839,856 743,971,108<br />
98. Tandahimba<br />
99. Jiji la Tanga<br />
11,250,001,185 9,423,296,316 1,826,704,869<br />
100.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Tarime 11,501,751,608 11,138,158,669 363,592,939<br />
101. Manispa<br />
Temeke 26,545,738,890 24,246,549,654 2,299,189,236<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
13,603,234,061 13,039,938,620 563,295,441<br />
102. Tunduru<br />
103. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
8,439,058,611 7,568,605,869 870,452,742<br />
Ukerewe<br />
104.<br />
Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Ulanga 5,303,383,852 4,689,334,632 614,049,220<br />
105. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
10,309,248,881 8,953,163,717 1,356,085,164<br />
Urambo<br />
Jumla 1,014,488,715,963 929,417,430,857 85,071,285,107<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
318
Kiambatisho 17<br />
Utunzaji wa nyaraka za Mikataba na Miradi ya maendeleo<br />
usioridhisha Sh.2,684,574,948<br />
Na. Halmashauri Upungufu katika utunzaji wa<br />
nyaraka za mikataba, miradi ya<br />
Kiasi (Sh.)<br />
1. Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Arusha<br />
maendeleo na Rasilimali<br />
Uwekezaji wa hisa Kwenye<br />
makampuni yafuatayo Bodi<br />
yaukobeshaji ya Halmashauri<br />
,Kampuni ya Nyama ya Arusha na<br />
Banki ya wananchi ya Arusha<br />
386,535,200<br />
2. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Iringa<br />
3. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilolo<br />
4. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Makete<br />
5. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpwapwa<br />
6. Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kondoa<br />
7 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Newala<br />
8 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kasulu<br />
9 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Kigoma Ujiji<br />
10 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tunduru<br />
Uwekezaji Kwenye makampuni<br />
yafuatayo Bodi ya ukopeshaji ya<br />
Halmashauri,CRDB Ltd, TBL(T) Ltd,<br />
NICO (T) na Umoja Fund<br />
Hisa za Halmashauri kweny (UTT)<br />
Unit Trust of Tanzania<br />
Ujenzi wa wodi ya watoto na mahali pa<br />
wazazi kusubiria katika wilayani Makete.<br />
Ulipaji wa wa mabadiliko ya nyongeza<br />
ya bei katika mkataba yasiyoithinishwa<br />
Wazabuni ambao hawakujumuishwa<br />
kwenye vitabu vya mwaka vya<br />
halmashauri kama wadai wa<br />
Halmashauri ya Kondoa<br />
Uwekezaji wa hisa na mitaji kwenye<br />
Bodi ya Mikopo ya<br />
Halmashauri,kukosekana kwa hati za<br />
kumiliki Hisa,Kazi zilizocheleweshwa<br />
bila tozo ya ucheleweshaji<br />
matumizi yanayohusu fedha za<br />
maendeleo katika shule za msingi<br />
mapungufu katika kuonyesha na<br />
kuandaa mchanganua wa matumizi ya<br />
fedha za maendeleo kwenys shule za<br />
msingi na fedha za misaada.<br />
Usambazaji wa vyakula kwa<br />
watumishi wa hospitali bila kuwepo<br />
na mkataba<br />
209,967,627<br />
12 ,417,327<br />
107,226,670<br />
45,608,046<br />
269,667,395<br />
18,058,800<br />
15,801,129<br />
144,700,710<br />
140,129,300<br />
25,231,900<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
319
11 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Urambo<br />
12 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tabora<br />
13 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Hanang<br />
14 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilwa<br />
15 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilwa<br />
16 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tarime<br />
17 Halmashauri ya<br />
Jiji la Mbeya<br />
18 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Bahi<br />
19 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Simanjiro<br />
20 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Simanjiro<br />
21 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bukombe<br />
22 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Shinyanga<br />
23 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mkuranga<br />
24 Halmashauri ya<br />
yaJiji la DSM<br />
Uwekezaji wa hisa ambao<br />
haukuambatana na mikataba au<br />
hati za hisa<br />
Uwekezaji uliofanyika bila ya kuwepo<br />
na hati ya kinga, mkataba na pia kuto<br />
kuingizwa kwenye daftari.<br />
Kukosekana kwa mkataba na cheti<br />
cha udhibiticho wa kumaliza kazi toka<br />
kwa mhandisi<br />
Mikataba iliyolipwa bila yakuwa na<br />
makubaliano<br />
Fedha zilizotumika kwenye kazi<br />
nyingine<br />
Mapungufu kwenye kumbukumbu za<br />
mikataba na miradi<br />
18,418,100<br />
24,380,800<br />
29,743,000<br />
31,200,000<br />
60,000,000<br />
37,800,000<br />
Kadi za umiliki,vitabu vya kutolea 35,725,583<br />
vifaa na hisa zinazokosa hati za<br />
numiliki<br />
- manunuzi yaliyofanyika kwa<br />
31,525,598<br />
wazabuni ambao<br />
hawakuidhinishwa na mabadiliko<br />
31,038,360<br />
ya bei kwenye mikataba<br />
yosiyoidhinishwa<br />
Ujenzi wa hosteli wenye mashaka 28, 071,300<br />
Ujenzi wa hosteli wenye shaka 28, 071,300<br />
Malipo yaliyofanyika mara mbili kwa<br />
mkandarasi<br />
matengenezo ya magari bila ya<br />
kupitia TEMESA<br />
Kazi zinazoendelea bila ya kuwa na<br />
miongozo inayoonyesha aina ya<br />
mradi, kazi zilizofanyika na kazi<br />
ambazo hazijafanyika.<br />
Manunuzi yaliyofanywa bila ya<br />
kuitisha wazabuni, manunuzi<br />
yaliyozidi kiwango kilichowekwa,<br />
manunuzi yaliyofanyika bila kupitia<br />
bodi ya manunuzi<br />
5,054,000<br />
19,141,500<br />
102,324,659<br />
27,979,900<br />
30,119,330<br />
9,008,000<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
320
25 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Biharamulo<br />
26 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bukoba<br />
27 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Ngara<br />
28 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Mwanga<br />
29 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Rombo<br />
30 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Siha<br />
31 Halmashauri ya<br />
Mji Njombe<br />
32 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Kongwa<br />
33 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Kilosa<br />
Kukosekana kwa mikataba 8,669,362<br />
Manunuzi yaliyofanyika bila ya<br />
kutangaza na kuitisha tenda<br />
Kukosekana kwa kumbukumbu za<br />
mikataba<br />
Fidia kutoka kwa wakandarasi<br />
isiyokusanywa<br />
Ununuzi wa vifaa vya hospitali nje ya<br />
Bohari ya madawa MSD<br />
7,136,526<br />
62,971,520<br />
1,212,489<br />
34,614,796<br />
Kazi za mikataba zinazoendelea 65,838,000<br />
Ujenzi wa nyumba za serikali kwa<br />
18,000,000<br />
kutumia matope kinyume na<br />
vegezo vilivyopo<br />
Kuchelewa kumaliza mradi 48,481,200<br />
Mapungufu katika utunzaji wa<br />
nyaraka za manunuzi na taarifa<br />
mapungufu ya utunzaji wa nyaraka za<br />
manunuzi na taarifa zake<br />
307,825,471<br />
34 Halmashauri ya<br />
Manispaa ya<br />
Shinyanga<br />
35 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya Moshi<br />
36 Halmashauri ya<br />
Wilaya ya<br />
Tarime<br />
Mapungufu katika utekelezaji wa<br />
shughuli za mradi wa “Windmill<br />
system” na huduma za maji katika<br />
kijiji cha Mwamashele<br />
Uhamishaji wa fedha za ununuzi wa<br />
gari toka mfuko mkuu kwenda mfuko<br />
mwa amana bila kuwepo kwa sababu<br />
maalum<br />
mapungufu katika utunzaji wa<br />
mikataba na nyaraka za miradi<br />
26,222,650<br />
85,000,000<br />
37,800,000<br />
Jumla 2,684,574,948<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
321
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
322
Kiambatisho 18<br />
Mapungufu yaliyoonekana wakati wa ukaguzi wa mradi wa<br />
Mfuko wa pamoja wa afya (Basket Fund)<br />
Halmasha<br />
uri<br />
Manunuziyaliyofanyika bila ya<br />
kuingizwa vitabuni au kuletwa<br />
baadhi au kutokuletwa kabisa.<br />
Malipo yaliyofanyika yakiwa<br />
na nyaraka pungufu kama vile<br />
malipo<br />
yasiyoidhinishwa,malipo<br />
yenyeshaka au malipo ambayo<br />
hayakukaguliwa kwasababu ya<br />
kukosa nyaraka<br />
Malipo yaliyofanywa bila<br />
kuitisha zabuni,bila kibali cha<br />
PMU,bila kidondoa,bila<br />
kupitisha na tenda Bodi<br />
Masurufu yasiyorejeshwa<br />
Fedha ambazohazikutumika<br />
licha yakutolewa<br />
Asilimia %<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kiteto<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Babati<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbulu<br />
- - 19,656,500 2,056,750 36,355,135 15%<br />
- 27,996,209 10,242,500 - 89,787,629 28%<br />
- 4,709,719 8,153,568 1,660,500 98,166,770 26%<br />
Halmashauri<br />
ya Jiji<br />
la Tanga<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Muheza<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Korogwe<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Lushoto<br />
9,973,725 - - - 230,949,243 13%<br />
22,045,075 - - - -<br />
11,142,000 - - - 120,749,538 41%<br />
- 23,575,000 - - -<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
323
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Handeni<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilindi<br />
23,577,900 - 24,515,000 35,835,900 -<br />
17,311,500 - - - 104,595,200 50%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Moshi<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Moshi<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Same<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Hai<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Siha<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mwanga<br />
- 12,537,560 - - 25,313,630 16%<br />
3,397,500 - - - 349,999,307 2%<br />
5,833,200 - - - 58,320,072 20%<br />
- 4,416,000 - 7,825,688 -<br />
- 2,000,000 1,310,000. - 34,451,542 13%<br />
19,190,386 7,924,000. - - 25,175,864 15%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Meru<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Monduli<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Ngorongoro<br />
- 37,619,423 4,857,900 - 10,227,704 3%<br />
- 3,100,000 - 2,509,850 6,913,874 3%<br />
- 15,186,880 - - -<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
324
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Karatu<br />
- - - - 12,457,257 5%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Arusha<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Simanjiro<br />
7,437,426 114,494,996 12,147,500 34,055,350 -<br />
- - - - 142,795,175 55%<br />
Katibu<br />
tawala wa<br />
Jiji la<br />
Mwanza<br />
(RAS)<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Magu<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Geita<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Sengerema<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Ukerewe<br />
85,875,900 60,387,283 - - -<br />
- 8,453,000 - - -<br />
- 32,310,600 - - -<br />
- - - - 129,985,195 17%<br />
- 2,030,000 - - -<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Bukoba<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Misenyi<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Chato<br />
- - 2,574,000 1,771,000 17,888,150 19%<br />
- - - - 47,310,405 23%<br />
- 20,645,200 - - 66,987,725 22%<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
325
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Karagwe<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Muleba<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Ngara<br />
- - 59,579,000 3,359,000 75,395,368 13%<br />
- - 48,178,617 16,413,535 15,252,262 3%<br />
- - 17,082,160 - -<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
Shinyanga<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Shinyanga<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Bariadi<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Bukombe<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Maswa<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Meatu<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kishapu<br />
- - - - 37,210,082 2%<br />
- - - - 167,240,387 36%<br />
- 7,850,400 18,628,000 - 771,838,109 63%<br />
- - - - 85,815,988 16%<br />
- - - - 167,180,304 58%<br />
- - 25,658,114 - 96,191,950 23%<br />
- 64,147,952 28,140,065 - -<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Musoma<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Rorya<br />
- 9,550,000 9,033,000 - 104,269,767 35%<br />
- 8,516,500 14,035,000 - 85,222,985 22%<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
326
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Tarime<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Serengeti<br />
23,161,800 - 76,833,750 - 109,524,202 30%<br />
- - - - 92,175,890 27%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Temeke<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Ilala<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
Kinondoni<br />
- 6,205,500 45,556,600 - 511,701,581 51%<br />
60,552,500 163,986,776 105,169,930 - 122,436,857 17%<br />
- - - - -<br />
24,476,100 69,909,904 15,375,900. 1,802,000 365,718,979 28%<br />
Halmashauri<br />
ya Mji<br />
Kibaha<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Bagamoyo<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Rufiji<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kisarawe<br />
- - - - 1,141,625 1%<br />
- - - - 290,305,083 14%<br />
- 40,559,010 - 2,624,000 -<br />
- 22,876,003 - 1,856,140 -<br />
Katibu<br />
Tawala<br />
Lindi (RAS )<br />
Halmashauri<br />
ya Mji<br />
ya Lindi<br />
- 10,295,000 - - 17,994,000. 46%<br />
- - - 28,276,172 40%<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
327
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Lindi<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Ruangwa<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Nachingwea<br />
- 9,181,850 - 47,041,612 45,074,160 12%<br />
- 3,776,400 - 6,198,650 80,188,450 45%<br />
- - - 5,804,470 49,461,382 21%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Liwale<br />
- - 4,000,000 - -<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mtwara<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Masasi<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Nanyumbu<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Newala<br />
- 5,771,000 - - -<br />
- - 24,481,600 - -<br />
- 9,108,000 30,122,500 - -<br />
- 20,066,808 - - -<br />
Halmashauri<br />
ya jiji<br />
la Mbeya<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbeya<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbarari<br />
- 111,284,900 - - -<br />
- - - - 112,023,276 32%<br />
- 10,709,400 17,757,200. - 89,731,534 23%<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
328
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Rungwe<br />
2,926,000 104,045,443 - - -<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mbozi<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Chunya<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kyela<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Ileje<br />
- 71,426,350 25,680,120 - 226,951,561 17%<br />
1,456,500 28,553,240 - - 16,543,909 5%<br />
- - - - 20,028,293 16%<br />
- 7,794,090 - - 26,081,181 14%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Songea<br />
7,262,500 - - -<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Songea<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Tunduru<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Namtumbo<br />
- 1,897,000 - - 149,866,307 13%<br />
- 69,744,912 - - 171,899,142 12%<br />
- 33,014,287 - - 100,431,284 33%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Iringa<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Iringa<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mufindi<br />
6,448,330 23,286,775 - - 44,172,805 6%<br />
- - - - -<br />
- - - - 78,883,604 19%<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
329
Halmashauri<br />
ya Mji<br />
Njombe<br />
1,084,300 - 34,000,000 - 12,049,345 13%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Makete<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Ludewa<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilolo<br />
- - - - 74,539,571.00 43%<br />
- - 16,083,710 - 76,367,068.00 37%<br />
- - 25,120,000 - 32,790,448 16%<br />
- - - - -<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
S’wanga<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
S’wanga<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpanda<br />
Halmashauri<br />
ya Mji<br />
Mpanda<br />
3,940,220 9,994,000 - 1,895,000 70,463,796 40%<br />
- 18,040,800 - 3,065,000 253,554,134 48%<br />
45,617,300 15,755,536 - - -<br />
- 586,935 - - 15,697,848 26%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Nkasi<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
Dodoma<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Chamwino<br />
- 5,796,000 - 1,374,000 226,653,024 0.5%<br />
- - - - -<br />
- 8,419,681 - - 25,679,447 7%<br />
- - - 8,064,000 87,632,666 22%<br />
Halmasha- - 3,010,000 52,026,735 47,577,046 34,086,646 13%<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
330
uri ya<br />
Wilaya ya<br />
Bahi<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kondoa<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mpwapwa<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kongwa<br />
- - 23,460,000 3,174,000 207,503,628 30%<br />
30,834,100 - - - 129,514,632 27%<br />
97,733,600 - - - 64,154,527 17%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Ujiji<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kasulu<br />
28,151,500 - 21,999,418 18,988,600 109,539,722 54%<br />
- 8,707,000 277,112,238 111,098,520 8,910,000 1%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Singida<br />
- - - - 42,862,204 6%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Singida<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Manyoni<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Iramba<br />
- 162,997,180 - - 9,132,975 2%<br />
- 13,435,314. - - 14,914,225 4%<br />
- - - - 60,650,231.00 9%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya Tabora<br />
- 13,280,000 - - 23,961,786 9%<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
331
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Tabora<br />
/Uyui<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Igunga<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Nzega<br />
- 62,477,400 - 15,040,000 -<br />
3,535,380 38,035,000 - - 124,881,740 30%<br />
- 47,008,288 61,515,600 - 166,769,125 31%<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Manispaa<br />
ya<br />
Morogoro<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Morogoro<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilosa<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Ulanga<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Kilombero<br />
Halmashauri<br />
ya<br />
Wilaya ya<br />
Mvomero<br />
Halmashauri<br />
133<br />
5,381,500 2,605,400 - - -<br />
26,062,628 10,653,000 - - -<br />
14,814,689 92,683,600 - - 9,808,878 40%<br />
- - - - 45,345,033 27%<br />
2,550,000 - 1,995,000 1,830,000 72,901,850 16%<br />
4,230,000 8,446,500 - 3,059,000 -<br />
354,770,127 1,038,854,589 1,162,081,225 385,979,612 7,965,022,443<br />
Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />
Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />
za fedha za Mamlaka za Serikali<br />
za Mitaa 2007/08<br />
332