30.08.2015 Views

RIPOTI YA MWAKA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI

Read document - Parliament of Tanzania

Read document - Parliament of Tanzania

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>RIPOTI</strong> <strong>YA</strong> <strong>M<strong>WA</strong>KA</strong> <strong>YA</strong> <strong>MDHIBITI</strong> <strong>NA</strong> <strong>MKAGUZI</strong> <strong>MKUU</strong> <strong>WA</strong><br />

<strong>HESABU</strong> <strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong><br />

KUHUSU UKAGUZI <strong>WA</strong> TAARIFA <strong>ZA</strong> FEDHA <strong>ZA</strong> MAMLAKA<br />

<strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA K<strong>WA</strong> <strong>M<strong>WA</strong>KA</strong> <strong>WA</strong><br />

FEDHA ULIOISHIA 30 JUNI, 2008


JAMHURI <strong>YA</strong> MUUNGANO <strong>WA</strong> TAN<strong>ZA</strong>NIA<br />

OFISI <strong>YA</strong> TAIFA <strong>YA</strong> UKAGUZI<br />

Simu ya Upepo: “Ukaguzi"<br />

D’Salaam<br />

Simu: 255(022)2115157/8<br />

Nukishi: 255(022)2117527<br />

Tovuti: ocag@nao.go.tz<br />

Tovuti: www.nao.go.tz<br />

Unapojibu tafadhali taja<br />

Kumb. EA.103/2007/2008<br />

na tarehe<br />

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />

Hesabu za Serikali,<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi,<br />

Barabara ya Samora /Ohio,<br />

S.L.P. 9080,<br />

DAR ES SALAAM.<br />

26 Machi, 2009<br />

Mh. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete,<br />

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,<br />

Ikulu,<br />

S.L.P 9120,<br />

Dar es Salaam.<br />

Yah : KU<strong>WA</strong>SILISHA <strong>RIPOTI</strong> <strong>YA</strong> <strong>M<strong>WA</strong>KA</strong> <strong>YA</strong> UKAGUZI <strong>WA</strong><br />

<strong>HESABU</strong> <strong>ZA</strong> MAMLAKA <strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA K<strong>WA</strong><br />

<strong>M<strong>WA</strong>KA</strong> 2007/08<br />

Kwa mujibu wa Ibara ya 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano<br />

wa Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005) na kifungu<br />

cha 45 cha Sheria ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa Na.9<br />

ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000), pamoja na kifungu cha<br />

10(1) cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka 2008<br />

ninawasilisha kwako ripoti tajwa hapo juu.<br />

Nawasilisha,<br />

Ludovick S.L. Utouh<br />

<strong>MDHIBITI</strong> <strong>NA</strong> <strong>MKAGUZI</strong> <strong>MKUU</strong> <strong>WA</strong> <strong>HESABU</strong> <strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong><br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

iii


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

iv


Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi<br />

Imeanzishwa kwa mujibu wa Ibara namba 143 ya Katiba ya<br />

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />

Kazi na wajibu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

zimeainishwa katika Ibara ya 143 ya Katiba ya Jamhuri ya<br />

Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005)<br />

kama ilivyofafanuliwa zaidi na vifungu Na. 45 na 48 vya sheria ya<br />

Fedha za Serikali za Mitaa Na. 9 ya mwaka 1982 (ilivyorekebishwa<br />

2000) na kifungu Na.10(1) cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma ya<br />

mwaka 2008.<br />

Dira ya Ofisi<br />

Kuwa kituo cha ubora katika ukaguzi wa hesabu katika sekta za<br />

umma.<br />

Lengo la Ofisi<br />

Kutoa huduma bora za ukaguzi zenye kuleta tija kwa nia ya<br />

kuimarisha uwajibikaji na thamani ya fedha katika kukusanya na<br />

kutumia rasilimali za umma.<br />

Katika kutoa huduma zenye ubora unaostahili, Ofisi inaongozwa<br />

na vigezo vya msingi vifuatavyo:<br />

Kutopendelea Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni taasisi<br />

isiyopendelea, inayotoa huduma kwa wateja<br />

wake kwa haki.<br />

Ubora<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni ya kitaalamu<br />

inayotoa huduma bora za ukaguzi wa hesabu<br />

kwa kuzingatia viwango vya kitaaluma.<br />

Uadilifu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inazingatia na<br />

kudumisha haki kwa kiwango cha juu na<br />

kuheshimu sheria.<br />

Ubunifu Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni taasisi bunifu<br />

ambayo wakati wote inaimarisha na kukaribisha<br />

mawazo mapya ya kimaendeleo toka ndani na<br />

nje ya taasisi.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

v


Matumizi bora ya<br />

rasilimali za<br />

umma<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni taasisi<br />

inayozingatia matumizi bora ya rasilimali<br />

zilizokabidhiwa kwake.<br />

© Taarifa hii ni kwa ajili ya matumizi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />

Hata hivyo, baada ya taarifa kuwalishwa Bungeni, taarifa hii<br />

inakuwa ni kumbukumbu ya umma na usambazaji wake hautakuwa<br />

na kikomo.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

vi


Dibaji<br />

Ninapenda kuchukua fursa hii kuwashukuru wadau mbalimbali<br />

ambao nimefanya nao kazi katika zoezi zima la ukaguzi wa hesabu<br />

na uandaaji wa taarifa hii. Wadau hawa wamenipa heshima kubwa<br />

kwa kuchangia katika taaluma ya ukaguzi na kufanya Ofisi ya Taifa<br />

ya Ukaguzi kutimiza malengo yake kwa kuzingatia Dira ya Ofisi.<br />

Nina imani kuwa sifa za msingi za ofisi zitaainishwa kwa taarifa za<br />

ukaguzi wa hesabu ambazo zinaboreshwa kila mara. Matumaini ni<br />

kwamba, taarifa hizi zitakuwa ni za thamani kwa wadau wetu<br />

katika kuboresha utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya msingi.<br />

Ninawashukuru wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa<br />

Hesabu. Kama ilivyo ndani ya taarifa hii, wafanyakazi hawa katika<br />

kufanya kazi za Ukaguzi na kutoa taarifa muhimu wameendelea<br />

kudumisha mahusiano mazuri na wakaguliwa bila kuathiri uhuru<br />

wa kitaalamu. Pamoja na kwamba Mamlaka ya Ofisi ya Taifa ya<br />

Ukaguzi hufanya ukaguzi kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya<br />

Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ilivyorekebishwa 2005),<br />

Mamlaka hii haitakuwa na nguvu kama kuaminika kwa Ofisi<br />

hakutakuwepo. Ukaguzi wa hesabu umekuwa ukifanyika bila woga<br />

wala upendeleo na mchango wa ofisi katika uwajibikaji umekuwa<br />

ukiongezeka ndani na nje ya nchi. Ninachukua fursa hii<br />

kuwashukuru sana wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa<br />

mara nyingine kufanikiwa kukamilisha taarifa ya 2007/08 ikiwa ni<br />

mwaka wa nne mfululizo.<br />

Pia napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Rais wa Jamhuri ya<br />

Muungano wa Tanzania Mheshimiwa, Daktari Jakaya Mrisho<br />

Kikwete, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />

Mheshimiwa Samwel Sitta (Mb), kamati tatu za kudumu za hesabu<br />

za bunge ambazo ni PAC, LAAC, na POAC, waheshimiwa wabunge<br />

wote na wadau wa maendeleo kwa kuunga mkono kazi<br />

zinazofanywa na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.<br />

Michango yao na uzito walioipa taarifa yangu ya ukaguzi kwa<br />

lengo la kuleta ufanisi katika matumizi, uwazi na uwajibikaji bora<br />

na katika kusimamia vyema fedha za umma. Ni matumaini yangu<br />

kuwa nguvu hizi za pamoja zitaimarisha usimamizi bora wa fedha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

vii


za umma katika kuchangia na pia kutimiza malengo ya MKUKUTA<br />

na ya Milenia (MDG).<br />

Kama Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ninao<br />

wajibu wa kutoa taarifa kuhusu Taasisi za umma katika hali<br />

ambayo siyo rahisi. Kwanza kabisa, mahusiano mazuri kati ya<br />

Mkaguzi na Mkaguliwa ni muhimu sana ili kudumisha na kuleta<br />

maelewano. Hata hivyo uhusiano huu ni muhimu kwa kuzingatia<br />

kwamba yanayotolewa taarifa tayari yanaeleweka na umma, hivyo<br />

taarifa za fedha zinatoa taswira ya hali halisi. Kwa upande wa<br />

ukaguzi, hati yenye mashaka ikitolewa inaweza kuleta matokeo<br />

hasi kwa taasisi na uongozi wa taasisi hiyo. Hali hii pekee yaweza<br />

kuleta msuguano na chuki kati ya wadau na jamii. Hata hivyo ni<br />

ukweli kwamba hata kwa Mkaguzi mwangalifu wakati mwingine<br />

kutolewa kwa hati yenye mashaka hakuepukiki kwa sababu ya<br />

sheria imara zinazosimamia ukaguzi na viwango vya uhasibu<br />

vilivyoridhiwa.<br />

Kwa Afisa masuuli ambaye atakuwa na muono chanya kuhusu<br />

taarifa za ukaguzi, taarifa hizi zinaweza kuleta maboresho ndani<br />

ya taasisi husika. Kwa hali hiyo kushirikisha uongozi wa juu katika<br />

mchakato mzima wa Ukaguzi ni suala muhimu sana katika<br />

mchakato mzima wa ukaguzi na vilevile katika usimamizi<br />

madhubuti wa fedha na pia kuimarisha usimamizi wa ndani wa<br />

fedha za umma unaotarajiwa na wadau. Kwa ujumla nimepata<br />

ushirikiano mzuri wakati wa ukaguzi wangu, kwa hiyo ninawaomba<br />

maafisa masuuli wote kuendelea kujenga uwezo ili kuweza kutoa<br />

huduma kwa umma kama inavyo tegemewa.<br />

Wanahabari, ni kundi jingine muhimu sana ambalo ninapenda<br />

kulishukuru. Wanahabari wamekuwa ni wana taaluma ambao<br />

wanawezesha kufikisha taarifa za Ukaguzi kwa watanzania walio<br />

wengi kama inavyohitajika baada ya kuwa imewasilishwa bungeni.<br />

Kwa kufanya hivyo, wadau wengi wanapata taarifa ya nini<br />

kilichomo ndani ya taarifa ya ukaguzi.<br />

Napenda vile vile, kuwashukuru watumishi wa umma wote ndani<br />

ya Mamlaka za Serikali za Mitaa na Serikali Kuu. Michango yao<br />

madhubuti, hata kama ni ya kukosoa au kupongeza yote<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

viii


inachukuliwa kwa uzito unaostahili. Ni mategemeo yangu<br />

kwamba michango yao yote imejumuishwa ndani ya taarifa<br />

ambayo wanaweza kuiona na kukubali kwamba Ofisi yangu<br />

inajitahidi sana katika kuleta mabadiliko katika nchi yetu na<br />

ulimwengu kwa ujumla.<br />

Kundi lingine ni umma wa watanzania kwa michango mbali mbali<br />

wanayotoa ili kuongeza uwajibikaji, ninawaomba waendelee<br />

kuhakikisha kuna uwajibikaji mkubwa katika kukusanya na<br />

kutumia rasilimali na fedha za umma unakuwepo kwa kiwango cha<br />

hali ya juu.<br />

Mwisho hata hivyo ni muhimu, kwa maoni yangu binafsi na kwa<br />

maoni ya wanataaluma wote kwamba taarifa ya ukaguzi ni<br />

nyaraka ‘inayoishi’. Hivyo inatakiwa kutoa taswira, kwa namna<br />

inavyowezekana kwa mwelekeo wa sasa kuhusu masuala<br />

yanayohusu taratibu za ukaguzi na matokeo yake. Kwa hiyo<br />

taarifa hii ni kioo cha kuonyesha ni jinsi gani taasisi ya ukaguzi<br />

inavyoweza kutumiwa kama chombo cha kuleta mabadiliko na<br />

mwelekeo mzuri.<br />

Ludovick S. L. Utouh<br />

<strong>MDHIBITI</strong> <strong>NA</strong> <strong>MKAGUZI</strong> <strong>MKUU</strong> <strong>WA</strong> <strong>HESABU</strong> <strong>ZA</strong> <strong>SERIKALI</strong><br />

_______________________________________<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi,<br />

Dar es Salaam,<br />

26 Machi, 2009<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

ix


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

x


Shukrani<br />

Napenda kutoa shukrani kwa wote waliotengeneza mazingira ya<br />

kuniwesha kutekeleza majukumu yangu ya kikatiba na hivyo<br />

kukamilisha taarifa hii ya ukaguzi na kuitoa kwa wakati.<br />

Katika hali hii ninawiwa kutoa shukrani zangu kwa Bunge kupitia<br />

kamati za kudumu kwa kujituma kwao katika kuleta uwajibikaji<br />

katika matumizi na menejimenti ya usimamizi mzuri wa rasilimali<br />

za umma kwa njia ya majadiliano na kufikia maazimio kuhusiana<br />

na taarifa za ukaguzi. Ni imani yangu kwamba kwa kuwa taarifa<br />

hii inatolewa kwa wakati itachochea majadiliano ya kamati za<br />

kudumu za Bunge kwa wakati muafaka ili kazi ya usimamizi<br />

iendane na wakati.<br />

Katika kutekeleza majukumu yake Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />

Hesabu za Serikali inahitaji taasisi madhubuti yenye vifaa vya<br />

kutosha na teknolojia za kisasa, na watumishi wenye utaalam na<br />

uwezo huku wakiungwa mkono na uwepo wa sheria madhubuti.<br />

Katika hali hiyo, Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka<br />

2008 ilipitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na<br />

kuanza kutumika rasmi tarehe 1 Julai, 2008. Naishukuru Serikali<br />

na Bunge kwa ujumla katika kufanikisha mchakato mzima wa<br />

kuwepo kwa sheria hii.<br />

Aidha, napenda kutoa shukrani kwa wadau wa maendeleo na hasa<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ya Sweden (S<strong>NA</strong>O), Serikali ya Sweden,<br />

Benki ya Dunia kupitia Mpango wa Maboresho katika Usimamizi wa<br />

Fedha za Umma (PFMRP), Muungano wa Asasi Kuu za Ukaguzi<br />

katika nchi za Afrika zinazotumia Kiingereza (AFROSAI-E) na pia<br />

wale wote waliochangia kwa namna moja au nyingine katika<br />

kuiwezesha Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kuwa ya kisasa.<br />

Hali kadhalika, ninawashukuru wadau wengine akiwemo Katibu<br />

Mkuu ambaye pia ni Mlipaji Mkuu, Hazina pamoja na Maafisa<br />

Masuuli wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kuunga mkono kazi<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xi


za ukaguzi na uhusiano mzuri katika kutoa taarifa zilizonisaidia<br />

katika uandaaji wa taarifa za ukaguzi. Vile vile namshukuru Mpiga<br />

Chapa Mkuu wa Serikali kwa kuharakisha uchapishaji wa taarifa hii<br />

na hivyo kuniwezesha kuiwasilisha kwa wakati.<br />

Mwisho, ninapenda kuwashukuru wafanyakazi wote wa Ofisi ya<br />

Taifa ya Ukaguzi waliofanya kazi hii kwa juhudi bila kuchoka na<br />

kuwezesha taarifa hii kutoka kwa wakati. Kujitolea kwao na<br />

kujituma imekuwa ni kwa manufaa makubwa. Nawasihi wote<br />

kuendelea na moyo huu waliouonyesha na uendelee katika siku<br />

zijazo.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xii


VIFUPISHO<br />

AFROSAI-E Muungano wa Asasi Kuu za Ukaguzi katika nchi za<br />

Afrika zinazotumia Kiingereza<br />

BoQ Mchanganuo wa gharama za kazi<br />

CIDA Shirika la Kimatifa la maendeleo la Canada<br />

EU Jumuiya ya Nchi za Ulaya<br />

GAAP Viwango kubalifu vya uhasibu<br />

GFS Takwimu za Serikali katika masuala ya fedha<br />

H/W Halmashauri ya Wilaya<br />

HSDP Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya<br />

IFAC Shirikisho la Kimataifa la Wahasibu<br />

IFMS Mfumo funganifu wa usimamizi wa fedha<br />

IFRS Viwango vya kimataifa vya utoaji wa taarifa za fedha<br />

INTOSAI Shirika la kimataifa la Asasi kuu za ukaguzi<br />

IPSAs Viwango vya kimataifa vya uhasibu kwa sekta ya<br />

umma<br />

ISA Viwango vya kimataifa vya uhasibu<br />

JICA Shirika la Maendeleo la Japan<br />

KfW Wahisani wa Kijerumani<br />

LAAC Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa<br />

LAAM Muongozo wa uaandaaji hesabu za Serikali za mitaa<br />

LAFM Memoranda ya fedha za Serikali za mitaa, 1997<br />

LAPF Mfuko wa akiba ya Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa<br />

LGAs Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />

LGCDG Ruzuku ya Miradi ya Maendeleo ya Serikali za Mitaa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xiii


LGLB<br />

MDG<br />

MKUKUTA<br />

MSD<br />

MTEF<br />

PAA<br />

PAC<br />

PFM<br />

PFMRP<br />

POC<br />

S<strong>NA</strong>O<br />

TACAIDS<br />

TAMISEMI<br />

TASAF<br />

TEMESA<br />

TSRP<br />

VEO<br />

WEO<br />

Mfuko wa Mikopo wa Serikali za Mitaa<br />

Malengo ya Milenia<br />

Mkakati wa Kukuza Uchumi Na Kupunguza Umaskini<br />

Tanzania<br />

Bohari Kuu ya Madawa<br />

Mpango wa kati wa matumizi ya fedha za umma<br />

Sheria ya Ukaguzi wa Umma<br />

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali<br />

Mradi Shirikishi wa Uhifadhi Misitu<br />

Mpango wa maboresho katika usimamizi wa fedha za<br />

Umma<br />

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ya Sweden<br />

Mfuko wa Ukimwi<br />

Ofisi ya Waziri Mkuu - Tawala za Mikoa na Serikali za<br />

Mitaa<br />

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii Tanzania<br />

Wakala wa ufundi na Umeme Tanzania<br />

Mwongozo wa Kihasibu Unaopendekezwa Tanzania<br />

Maafisa tendaji wa Vijiji<br />

Maafisa tendaji wa Kata<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xiv


<strong>YA</strong>LIYOMO<br />

Dibaji .....................................................................................vii<br />

Shukrani .................................................................................... xi<br />

VIFUPISHO .................................................................................xiii<br />

Muhtasari wa taarifa ya Ukaguzi...................................................... xvii<br />

SURA <strong>YA</strong> K<strong>WA</strong>N<strong>ZA</strong> ......................................................................... 1<br />

UTANGULIZI <strong>NA</strong> MAMBO <strong>YA</strong> JUMLA .................................................... 1<br />

1.1 Msingi wa Kisheria unaomwongoza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />

Hesabu za Serikali kuhusu ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa ............................................................................... 1<br />

1.2 Taratibu za kutoa taarifa ....................................................... 4<br />

1.3 Mpangilio wa kazi za Ukaguzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa .......... 4<br />

1.4 Mawanda na viwango vya Ukaguzi ............................................. 5<br />

1.5 Majukumu ya Mamlaka za Serikali za Mitaa .................................. 6<br />

SURA <strong>YA</strong> PILI................................................................................ 9<br />

AI<strong>NA</strong>, VIGEZO <strong>NA</strong> MWELEKEO <strong>WA</strong> HATI <strong>ZA</strong> UKAGUZI .............................. 9<br />

2.1 Vigezo vya hati za ukaguzi zilizotolewa ...................................... 9<br />

2.2 Hati za Ukaguzi ................................................................... 9<br />

2.3 Misingi ya kutoa hati zaidi ya hati inayoridhisha ..........................10<br />

2.4 Mchanganuo wa hati za ukaguzi katika Halmashauri ......................14<br />

SURA <strong>YA</strong> TATU ............................................................................19<br />

U<strong>WA</strong>SILISHAJI <strong>WA</strong> TAARIFA <strong>ZA</strong> FEDHA <strong>NA</strong> MATOKEO <strong>YA</strong> UKAGUZI .............19<br />

3.1 Mamlaka za Serikali za Mitaa zenye hati inayoridhisha ...................19<br />

3.2 Halmashauri zilizopata hati zinazoridhisha na masuala ya<br />

msisitizo ..........................................................................19<br />

3.3 Halmashauri zilizopata Hati zenye shaka....................................45<br />

3.4 Mchakato wa Utayarishaji wa Taarifa za Fedha ............................81<br />

3.5 Tathmini ya Udhibiti wa Teknolojia ya Mawasiliano katika<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa..................................................97<br />

SURA <strong>YA</strong> NNE ............................................................................ 103<br />

USIMAMIZI <strong>WA</strong> FEDHA <strong>NA</strong> MALI <strong>ZA</strong> KUDUMU KATIKA MAMLAKA <strong>YA</strong><br />

<strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA ........................................................... 103<br />

4.1 Ufuatiliaji wa utekelezaji wa maoni ya ukaguzi kwa miaka<br />

iliyopita katika Halmashauri ................................................ 103<br />

4.2 Usimamizi wa Fedha .......................................................... 104<br />

4.3 Usimamizi wa mali za Halmashauri......................................... 108<br />

4.4 Wadaiwa wasiolipa............................................................ 118<br />

4.5 Wadai wasiolipwa ............................................................. 119<br />

4.6 Masurufu yasiyorejeshwa ................................................... 119<br />

4.7 Vitabu vya mapato ambavyo havikuwasilishwa kwa ukaguzi ........... 121<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xv


4.8 Kutokuwasilishwa kwa maduhuli ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />

yaliyokusanywa na mawakala ............................................... 122<br />

4.9 Malipo yenye nyaraka pungufu .............................................. 123<br />

4.10 Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo .................................. 124<br />

4.11 Ruzuku kutoka Serikali Kuu isiyotumika ................................... 125<br />

4.12 Ukaguzi wa Mishahara........................................................ 129<br />

4.13 Masuala ya Utawala bora na Mfumo wa udhibiti wa ndani ............. 131<br />

4.14 Uchambuzi wa ugharimiaji.................................................. 140<br />

4.15 Ukaguzi wa Bajeti ............................................................. 143<br />

SURA <strong>YA</strong> TANO<br />

UCHAMBUZI <strong>WA</strong> MCHAKATO <strong>WA</strong> MANUNUZI KATIKA MAMLAKA <strong>ZA</strong><br />

<strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA ......................................................... 149<br />

5.1 Utangulizi ....................................................................... 149<br />

5.2 Uimarishwaji wa Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi .................. 150<br />

5.3 Upembuzi wa manunuzi ya bidhaa, kazi za ujenzi na huduma<br />

katika Serikali za Mitaa...................................................... 157<br />

5.4 Usimamiaji wa Mikataba na kukidhi matakwa ya Sheria ya Manunuzi 161<br />

SURA <strong>YA</strong> SITA............................................................................ 165<br />

6.0 MATOKEO <strong>YA</strong> KAGUZI MAALUM .............................................. 165<br />

6.1 Matokeo kwa ufupi ya kaguzi maalum zilizofanyika katika mwaka<br />

huu wa fedha. ................................................................. 165<br />

SURA <strong>YA</strong> SABA.......................................................................... 177<br />

UKAGUZI <strong>WA</strong> MIRADI ILIYOPATA FEDHA TOKA K<strong>WA</strong> <strong>WA</strong>HISANI................ 177<br />

7.1 Utangulizi....................................................................... 177<br />

7.2 Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za<br />

Afya (Basket Fund) ............................................................ 177<br />

7.3 Mpango wa uendelezaji wa sekta ya kilimo (ASDP) ...................... 184<br />

7.4 Mradi wa Mfuko wa kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua kikuu na<br />

Malaria .......................................................................... 188<br />

7.5 Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya Maji................................... 190<br />

7.6 Matokeo ya ukaguzi wa Mfuko wa Jamii Tanzania (TASAF)............. 197<br />

7.7 Mradi wa mfuko wa barabara katika Halmashauri za wilaya ........... 211<br />

SURA <strong>YA</strong> <strong>NA</strong>NE .......................................................................... 215<br />

TATHMINI <strong>YA</strong> UFANISI <strong>WA</strong> MIRADI <strong>YA</strong> HALMASHAURI ............................ 215<br />

8.1 Tathmini ya ufanisi kwa ujumla............................................. 215<br />

SURA <strong>YA</strong> TISA............................................................................229<br />

MAJUMUISHO <strong>NA</strong> MAPENDEKEZO .................................................... 229<br />

9.1 Majumuisho..................................................................... 229<br />

9.2 Mapendekezo .................................................................. 236<br />

VIAMBATISHO ............................................................................ 243<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xvi


Muhtasari wa taarifa ya Ukaguzi<br />

Taarifa hii inatoa majumuisho ya matokeo ya ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha<br />

ulioishia tarehe 30 Juni, 2008.<br />

Kama itakavyoonekana, matokeo ya ukaguzi ya Mamlaka ya<br />

Serikali za Mitaa kwa ya mwaka 2007/08 yameshuka ukilinganisha<br />

na matokeo ya mwaka 2006/07. Sababu za kushuka kwa matokeo<br />

haya zimesababishwa na mambo makubwa yafuatayo:-<br />

• Kutolewa kwa miongozo iliyokinzana kuhusu utayarishaji wa<br />

hesabu katika Mamlaka za Serikali za mitaa kwa mwaka wa<br />

fedha 2007/08.<br />

• Taarifa za fedha zilizowasilishwa kwa ajili ya ukaguzi<br />

hazikuainisha mambo muhimu kwa mujibu wa matakwa ya<br />

viwango vya kimataifa kuhusu uandaaji wa hesabu (IPSAs)<br />

hivyo kuleta ugumu katika kutathmini utendaji wa Mamlaka<br />

za Serikali za Mitaa.<br />

• Menejimenti za Halmashauri husika kutosimamia<br />

utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Halmashuri zilipeleka<br />

fedha katika kata na vijiji pasipo ufuatiliaji.<br />

• Kupanuka kwa mawanda ya ukaguzi na kujumuisha ukaguzi<br />

kuhusu thamani ya fedha, mishahara na mifumo ndani ya<br />

mamlaka ya Serikali za mitaa.<br />

• Kuongezeka kwa kiwango cha fedha zinazokwenda<br />

halmashauri kwa utaratibu wa kupeleka madaraka ngazi za<br />

chini (D by D), ambao unahitaji uwepo wa uwezo wa<br />

kusimamia fedha na rasilimali za Halmashauri katika ngazi<br />

hizo za utawala.<br />

Muhtasari wa matokeo ya Ukaguzi na mambo yanayohusiana<br />

nayo<br />

Kwa mujibu wa Ibara ya 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano<br />

wa Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005) na kifungu<br />

cha 45 cha Sheria ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa Na.9<br />

ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000), pamoja na kifungu cha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xvii


10(1) cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka 2008,<br />

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ndiye mwenye<br />

dhamana ya kukagua hesabu za Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />

Matokeo ya ukaguzi kwa kina katika taarifa hii yamewasilishwa<br />

kwa menejimenti za kila Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />

Ufuatao ni muhtasari wa matokeo muhimu ya ukaguzi kama<br />

yalivyojitokeza katika taarifa mbali mbali za Halmashauri husika:-<br />

Mchanganuo linganifu wa hati za ukaguzi zilizotolewa kwa<br />

mwaka 2006/07 na 2007/2008<br />

Hati zinazoridhisha<br />

Hati zenye shaka<br />

Hati<br />

zisizoridhisha<br />

Jumla<br />

2006/07 2007/2008 2006/07 2007/08 2006/07 2007/08 2006/07 2007/08<br />

Halmashauri<br />

Halmashauri<br />

za Jiji<br />

5 3 - 1 - - 5 4<br />

Halmashauri<br />

13 7 3 10 - - 16 17<br />

za<br />

Manispaa<br />

Halmashauri<br />

3 4 1 2 - - 4 6<br />

za Miji<br />

Halmashauri<br />

79 58 20 48 - - 99 106<br />

za<br />

Wilaya<br />

Jumla 100 72 24 61 - - 124 133<br />

Asilimia 81% 54% 19% 46% - -<br />

Sura ya<br />

kwanza<br />

Utangulizi na mambo ya jumla<br />

Sura hii inatoa maelezo ya kina kuhusu sheria<br />

zinazosimamia utoaji wa taarifa za fedha katika<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa ambazo ni pamoja<br />

na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xviii


Sura ya pili<br />

ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005), Sheria<br />

ya Fedha za Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka<br />

1982 (iliyorekebishwa 2000) na Sheria ya<br />

Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka 2008.<br />

Masuala mengine yaliyopo katika sura hii ni<br />

pamoja na majukumu ya Ofisi ya Taifa ya<br />

Ukaguzi na jinsi taarifa ilivyoandaliwa,<br />

mawanda ya ukaguzi, viwango vinavyotumika<br />

kukagua Hesabu za Halmashauri nchini, wajibu<br />

wa Halmashauri na wadau wengine, mfumo wa<br />

udhibiti wa ndani wa Serikali za Mitaa na<br />

uwasilishaji wa taarifa za fedha kwa ajili ya<br />

ukaguzi.<br />

Aina, vigezo na mwelekeo wa hati za ukaguzi<br />

Sura hii inatoa maelezo kwa undani na tafsiri za<br />

aina mbalimbali za hati za ukaguzi, ambazo<br />

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu anatoa kuhusiana na<br />

Hesabu za Fedha za Mamlaka ya Serikali za<br />

Mitaa, kama vile hati zinazoridhisha, hati zenye<br />

shaka, hati zisizoridhisha na hati mbaya. Pia<br />

aina ya hati za Ukaguzi zilizotolewa katika<br />

mwaka wa fedha 2006/07 na 2007/08<br />

zimeainishwa katika sura hii kwa ajili ya<br />

ulinganisho.<br />

Sura ya tatu Uwasilishaji wa taarifa za fedha na<br />

mchanganuo wa matokeo ya ukaguzi<br />

Mchanganuo wa kina wa matokeo ya ukaguzi wa<br />

hesabu za Serikali za Mitaa kwa mwaka 2007/08<br />

umetolewa katika sura hii. Pia inachanganua<br />

sababu zilizosababisha kutolewa kwa aina ya<br />

hati iliyotolewa kwa mwaka huu kwa kila<br />

Halmashauri. Matokeo ya mchanganuo huu<br />

yameonyesha kati ya Halmashauri 133<br />

zilizokaguliwa, ni Halmashauri 72 sawa na<br />

asilimia hamsini na nne (54%) zimepata hati<br />

zinazoridhisha, Halmashauri 61 sawa na asilimia<br />

arobaini na sita (46%) zimepata hati zenye<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xix


shaka. Hakuna Halmashauri hata moja<br />

iliyopata Hati isiyoridhisha.<br />

Sura ya nne<br />

Sura ya tano<br />

Sura ya sita<br />

Usimamizi wa fedha na mali, utawala bora na<br />

udhibiti wa ndani katika Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa<br />

Sura hii inatoa kwa ufupi mapungufu na udhaifu<br />

uliojitokeza katika usimamizi wa fedha na mali<br />

za Halmashauri. Sura hii pia inatoa taarifa ya<br />

utekelezaji wa maoni ya ukaguzi yaliyotolewa<br />

katika taarifa za ukaguzi kwa miaka iliyopita.<br />

Pia, sura hii inatoa mchanganuo wa usimamizi<br />

wa fedha na mali za Halmashauri. Masuala<br />

mengine katika sura hii ni tathmini ya utawala<br />

bora na udhibiti wa ndani katika Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa.<br />

Mapitio ya mikataba na taratibu za manunuzi<br />

katika Halmashauri<br />

Sura hii inahusika na tathmini ya uzingatiaji wa<br />

Sheria ya Manunuzi Na.21 ya mwaka 2004<br />

pamoja na Kanuni husianifu, taratibu za<br />

manunuzi ya bidhaa, kazi za ujenzi na utoaji wa<br />

huduma katika Halmashauri pamoja na<br />

mapungufu yanayohusiana na manunuzi<br />

yaliyoonekana wakati wa ukaguzi.<br />

Matokeo ya ukaguzi maalum<br />

Sura hii inaonyesha nia na madhumuni ya<br />

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

kufanya ukaguzi maalum.<br />

Katika ukaguzi wa mwaka 2007/08 kaguzi<br />

maalum saba (7) zimefanyika kwa kuzingatia<br />

hadidu za rejea zilizotolewa na matokeo<br />

kuwasilishwa kwa menejimenti za Halmashauri<br />

husika kwa ajili ya kuchukua hatua<br />

zinazostahili.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xx


Sura ya saba<br />

Sura ya nane<br />

Sura ya tisa<br />

Matokeo ya ukaguzi wa miradi iliyofadhiliwa<br />

na wadau wa maendeleo<br />

Sura hii inaonyesha matokeo ya ukaguzi kwa<br />

ufupi kuhusu usimamizi na utekelezaji wa<br />

miradi katika Halmashauri husika.<br />

Matokeo ya ukaguzi wa miradi iliyotekelezwa<br />

chini ya ruzuku ya Miradi ya Maendeleo ya<br />

Serikali za Mitaa (LGCDG)<br />

Sura hii inahusika na tathmini ya masuala<br />

muhimu katika miradi michache iliyochaguliwa<br />

ambayo ni: Afya, Shule na ujenzi wa barabara.<br />

Majumuisho na mapendekezo<br />

Sura hii inatoa majumuisho na mapendekezo ya<br />

ukaguzi wa Hesabu za Halmashauri na jinsi ya<br />

kuboresha usimamizi wa fedha na mali za<br />

Halmashauri.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

xxi


SURA <strong>YA</strong> K<strong>WA</strong>N<strong>ZA</strong><br />

UTANGULIZI <strong>NA</strong> MAMBO <strong>YA</strong> JUMLA<br />

1.1 Msingi wa Kisheria unaomwongoza Mdhibiti na Mkaguzi<br />

Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu ukaguzi wa Mamlaka<br />

za Serikali za Mitaa<br />

Taarifa hii ya ukaguzi inatolewa kwa mujibu wa Ibara ya<br />

143 (4) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya<br />

mwaka 1977 (iliyorekebishwa 2005) pamoja na kifungu cha<br />

10(1) cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma Na.11 ya mwaka<br />

2008.<br />

Taarifa hii inajumuisha matokeo ya ukaguzi wa fedha za<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha ulioishia<br />

tarehe 30 Juni, 2008.<br />

Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa<br />

Tanzania, Ibara 143 (2) (c), ninawajibika, angalau mara<br />

moja kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa taarifa juu ya<br />

ukaguzi wa hesabu za Serikali ya Jamhuri ya Muungano,<br />

hesabu zinazosimamiwa na watumishi wote wa Serikali ya<br />

Jamhuri ya Muungano na hesabu za Mahakama zote za<br />

Jamhuri ya Muungano na hesabu zinazosimamiwa na Katibu<br />

wa Bunge.<br />

Kwa upande mwingine, kifungu 45 (1) cha Sheria ya fedha<br />

ya Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa<br />

2000) kinatamka “hesabu za kila Halmashauri ya Wilaya,<br />

Mamlaka za Miji zinapaswa kukaguliwa na Mkaguzi wa Ndani<br />

aliyeajiriwa na Mamlaka husika, ukaguzi wa nje wa<br />

Mamlaka hizo unapaswa kufanywa na Mdhibiti na Mkaguzi<br />

Mkuu wa Hesabu za Serikali”.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

1


Kifungu cha 45 (4) cha Sheria ya Fedha za Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000) kwa<br />

upande mwingine kinabainisha kwamba “mara tu baada ya<br />

kufunga mwaka wa fedha wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa,<br />

Mamlaka husika itawasilisha hesabu za fedha kwa wakaguzi<br />

ambao watakamilisha ukaguzi katika kipindi cha miezi sita<br />

baada ya kufunga mwaka wa fedha”.<br />

Kifungu cha 45 (5) cha Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa<br />

ya Na.9 ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000) kinafafanua<br />

zaidi kwamba “Kila Mamlaka itamruhusu mkaguzi kukagua<br />

fedha, vitega uchumi au rasilimali nyingine ambazo<br />

zinamilikiwa au zilizo chini ya udhibiti wao na wakaguzi<br />

wawe na fursa ya kukagua hesabu, vitabu, hati za malipo<br />

na nyaraka zote zinazohusiana”.<br />

Aidha, kifungu cha 48 (1), (2) na (4) cha Sheria ya Fedha ya<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 1982 kinabainisha kwamba<br />

“Mkaguzi ataandaa na kuweka saini katika ripoti ya ukaguzi<br />

wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa kuhusu hesabu na mizania<br />

ya mwaka na taarifa nyingine zinazohusiana nazo, nakala<br />

moja ya kila ripoti pamoja na mizania na taarifa nyingine<br />

zinazo husiana nazo zitapelekwa kwa Waziri, Mkuu wa Mkoa<br />

na Mkurugenzi ambaye ataziwasilisha kwa Baraza la<br />

Madiwani”.<br />

Kifungu hiki aidha kinanitaka kufanya yafuatayo:-<br />

(a)<br />

(b)<br />

(c)<br />

kubainisha kila kipengele cha matumizi ambacho<br />

kimefanyika bila kuidhinishwa na sheria au ambacho<br />

hakikuruhusiwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />

Kubainisha mapungufu au hasara ambayo imetokea<br />

aidha kwa uzembe au mtu yeyote aliyeshindwa kutoa<br />

taarifa ya matumizi ya fedha alizokabidhiwa;<br />

Kuthibitisha kiasi cha matumizi batili, upungufu, au<br />

hasara ambayo haijaonyeshwa vitabuni;<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

2


(d)<br />

Kuwasilisha nakala ya ripoti ya ukaguzi kwa Waziri<br />

mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa, Bunge,<br />

Wakuu wa Mikoa na Wakurugenzi Watendaji wa<br />

Mamlaka za Halmashauri.<br />

Kifungu cha 49 cha Sheria ya Serikali za Mitaa ya mwaka 1982<br />

(iliyorekebishwa 2000) kinabainisha kwamba “Kila Mamlaka ya<br />

Serikali za Mitaa katika ofisi zake au kwa maagizo yatakayotolewa<br />

na Mkuu wa Mkoa, itaweka bayana katika maeneo yake:<br />

(a)<br />

(b)<br />

Mizania ya hesabu na taarifa ambatanifu<br />

Ripoti yoyote kuhusu hesabu iliyotayarishwa na kutiwa saini<br />

na Mkaguzi, ndani ya kipindi cha miezi sita baada ya<br />

kufungwa kwa mwaka wa fedha unaohusika na hesabu hizo<br />

au ndani ya miezi sita ya kupokelewa ripoti ya wakaguzi,<br />

kutegemea hali itakavyokuwa”<br />

Agizo Na.90 la Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka<br />

1997 pia linaitaka Halmashauri kutangaza katika ofisi zake na<br />

katika gazeti la eneo lake yafuatayo:-<br />

(i)<br />

(ii)<br />

Mizania jumuifu iliyokaguliwa na taarifa ya mapato na<br />

matumizi (muhtasari wa hesabu) na<br />

Ripoti yoyote iliyotiwa saini na mkaguzi<br />

Kuridhia na kuchapishwa hesabu na ripoti za ukaguzi wa Mamlaka<br />

za Serikali za Mitaa ni fursa nyingine kwa Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa kuhimiza mawasiliano mapana zaidi na mazungumzo na<br />

wakazi wao, kuhusu mafanikio yao na mustakabali wao.<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni asasi kuu ya Ukaguzi wa hesabu<br />

ambayo ina wajibu pekee wa kuhakikisha kwamba kuna<br />

uwajibikaji, nidhamu ya fedha na uwazi katika Serikali ya Jamhuri<br />

ya Muungano wa Tazania. Aidha, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ina<br />

jukumu pekee la kutoa ripoti za ukaguzi kwa kiwango bora na<br />

kuhakikisha kwamba ripoti hizo zinatolewa kwa wakati. Ripoti<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

3


hizi zinaonyesha kwa kina matokeo ya ukaguzi wa mapato na<br />

matumizi na masuala ya utawala bora katika Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa.<br />

1.2 Taratibu za kutoa taarifa<br />

Kama mwanachama wa Shirika la Kimataifa la Asasi za<br />

Ukaguzi (INTOSAI), Ofisi yangu inawajibika kufanya ukaguzi<br />

wa taarifa za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa<br />

mujibu wa viwango vya INTOSAI na Viwango vya Kimataifa<br />

vya Ukaguzi (ISA).<br />

Wakati wa ukaguzi tulichunguza na kuhakiki taarifa za<br />

fedha pamoja na nyaraka ili kuhakikisha uhalali wake katika<br />

matumzi ya Halmashauri. Mwisho wa ukaguzi, maoni<br />

mbalimbali ya ukaguzi yametolewa kuhusu taarifa za fedha<br />

kwa msingi wa matokeo.<br />

Ili kukidhi matakwa ya Ibara 143 (4) ya Katiba ya Jamhuri<br />

ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (iliyorekebishwa<br />

2005) ripoti hii imewasilishwa kwa Mheshimiwa Rais.<br />

Ripoti za ukaguzi za kila Halmashauri zimewasilishwa kwa<br />

Wenyeviti wa Halmashauri husika ambao watawajibika<br />

kuziwasilisha ripoti hizo katika Baraza la Madiwani.<br />

1.3 Mpangilio wa kazi za Ukaguzi wa Mamlaka ya Serikali za<br />

Mitaa<br />

Ripoti inatoa muhtasari wa matokeo ya mwisho ya shughuli<br />

ya ukaguzi uliofanywa na Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi nchini<br />

kote katika kipindi chote cha mwaka 2007/08. Ili Ofisi<br />

yangu iweze kushughulikia kazi hii kubwa ya kukagua<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa zote nchini, kiutawala<br />

imefungua Ofisi katika mikoa yote ishirini na moja (21) ya<br />

Tanzania Bara. Ofisi hizi za Mikoa ziko chini ya usimamizi<br />

wa Wakaguzi Wakazi wanaowajibika kwa Wakaguzi wa<br />

Kanda.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

4


Aidha, Ofisi za Ukaguzi Mikoani zimegawanyika katika<br />

kanda tano (5) chini ya usimamizi wa Wakaguzi wa Kanda<br />

walioko Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi<br />

wanawajibika kwa Mkaguzi Mkuu Msaidizi. Mgawanyiko huu<br />

ni kama ifuatavyo:-<br />

Mdhibiti na<br />

Mkaguzi Mkuu<br />

Msaidizi Mkaguzi<br />

Mkuu (Mikoa)<br />

Kanda ya<br />

Mashariki<br />

Makao Makuu ni<br />

Dar es Salaam<br />

Kanda ya Kati<br />

Makao Makuu ni<br />

Dodoma<br />

Kanda ya Ziwa<br />

Makao Makuu ni<br />

Mwanza<br />

Kanda ya Kusini<br />

Makao Makuu ni<br />

Mbeya<br />

Kanda ya<br />

Kaskazini<br />

Makao Makuu ni<br />

Arusha<br />

Dar es Salaam<br />

Mtwara<br />

Lindi<br />

Pwani<br />

Dodoma<br />

Singida<br />

Tabora<br />

Kigoma<br />

Morogoro<br />

Mwanza<br />

Kagera<br />

Mara<br />

Shinyanga<br />

Mbeya<br />

Ruvuma<br />

Iringa<br />

Sumbawanga<br />

Arusha<br />

Kilimanjaro<br />

Tanga<br />

Manyara<br />

1.4 Mawanda na viwango vya Ukaguzi<br />

1.4.1 Mawanda ya Ukaguzi<br />

Mawanda ya ukaguzi ni shughuli zinazokamilishwa wakati<br />

wa ukaguzi. Mawanda ya ukaguzi ni pamoja na malengo ya<br />

ukaguzi, aina, maeneo na taratibu zilizotumika wakati wa<br />

ukaguzi, kipindi kilichohusika wakati wa ukaguzi na<br />

shughuli husianifu ambazo hazikukaguliwa ili kuweka<br />

mipaka ya ukaguzi.<br />

Madhumuni ya kufanya ukaguzi ni kumwezesha Mdhibiti na<br />

Mkaguzi Mkuu kutoa maoni huru ya kitaalam katika taarifa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

5


za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa kipindi<br />

kilichoishia 30 Juni, 2008. Ukaguzi ulihusu tathmini ya<br />

ubora wa mfumo wa utunzaji hesabu na udhibiti wa ndani<br />

wa shughuli za Halmashauri, ukaguzi na uhakiki wa taarifa<br />

zinazoambatana na taarifa za fedha, taarifa za utendaji na<br />

taratibu nyingine zilizoonekana muhimu kutokana na<br />

mazingira yaliyojitokeza katika kutoa maoni katika hesabu<br />

za fedha. Ukaguzi ulifanywa kwa misingi ya sampuli kwa<br />

hiyo matokeo ya ukaguzi yamejikita katika kiwango<br />

ambacho kilipatikana kwa nyaraka na taarifa zilizoombwa<br />

kwa madhumuni ya ukaguzi.<br />

1.4.2 Viwango vilivyotumika wakati wa ukaguzi<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ni mwanachama wa Shirika la<br />

Kimataifa la Asasi za Ukaguzi (INTOSAI), ni Mwanachama wa<br />

Shirika la Afrika la Asasi Kuu za Ukaguzi (AFROSAI), ni<br />

Mwanachama wa Shirika la Afrika la Asasi Kuu za Ukaguzi<br />

zinazotumia lugha ya Kiingereza (AFROSAI-E). Kwa hiyo<br />

ninawajibika kutumia viwango vya ukaguzi vilivyotolewa<br />

na INTOSAI na viwango vya Kimataifa vya Ukaguzi (ISA)<br />

kama vilivyotolewa na Shirikisho la Wahasibu la Kimataifa<br />

(IFAC).<br />

1.5 Majukumu ya Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

Jukumu la kutayarisha taarifa za fedha kwa madhumuni ya<br />

ukaguzi ni la kila Halmashauri. Kifungu 40 (1) cha Sheria ya<br />

Fedha za Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 kinatamka<br />

kuwa “Kwa mujibu wa masharti ya kifungu hiki, kila<br />

Mamlaka ya Serikali za Mitaa itasababisha kupatikana,<br />

kuweka na kutunzwa kwa vitabu vya hesabu za fedha na<br />

nyaraka kuhusu:-<br />

(a) Mapato na matumizi ya fedha na miamala mingine ya<br />

fedha ya Mamlaka<br />

(b) Mali na dhima za Mamlaka, na kutayarishwa kila<br />

mwaka wa fedha, mizania inayoonyesha maelezo ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

6


mapato na matumizi ya mamlaka na mali zake zote na<br />

dhima.<br />

Kwa hiyo, utayarishaji na uwasilishaji wa hesabu za<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa ni sharti la kisheria kwa<br />

mujibu wa Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa Na. 9 ya<br />

Mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000). Menejimeti za<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa inapaswa kufuata Sheria hii.<br />

Ripoti za mwezi za Mamlaka za Serikali za Mitaa zinatoa<br />

taarifa itakayowasaidia wananchi kupima utendaji wao na<br />

kuwawajibisha kwa utendaji huo. Utoaji taarifa kwa<br />

wakati ni muhimu ili hali hiyo itokee. Hiki ndicho kiini cha<br />

uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma.<br />

Uchapishaji wa taarifa za fedha zilizokaguliwa utafanywa<br />

ndani ya miezi sita baada ya kupokewa kwa ripoti ya<br />

mkaguzi kwa mujibu wa masharti ya kifungu cha 49 cha<br />

Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa, Na. 9 ya 1982<br />

(Iliyorekebishwa 2000).<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini zinatarajiwa kuwa na<br />

utaratibu mzuri wa utoaji wa taarifa za fedha zinazohimiza<br />

taratibu za utayarishaji wa taarifa za fedha ukiwemo<br />

utambuaji na utatuzi wa masuala yanayogusa taarifa za<br />

fedha zenyewe. Matokeo ya ukaguzi wangu mwaka huu,<br />

yameonyesha kuwa zile Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

zinazotekeleza ufuataji wa michakato ya utoaji taarifa zao<br />

za fedha kila mwisho wa mwaka kwa mifumo ya udhibiti wa<br />

ndani inayofaa, mgawanyo wa kazi katika Idara ya Fedha,<br />

malinganisho ya benki ya kila mwezi, utunzaji kwa usalama<br />

wa nyaraka zote muhimu, n.k zimefanikiwa katika kutimiza<br />

tarehe za kuwasilisha hesabu zilizo bora kwa madhumuni ya<br />

ukaguzi, kuliko zile ambazo hazikufuata taratibu hizo.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

7


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

8


SURA <strong>YA</strong> PILI<br />

AI<strong>NA</strong>, VIGEZO <strong>NA</strong> MWELEKEO <strong>WA</strong> HATI <strong>ZA</strong> UKAGUZI<br />

2.1 Vigezo vya hati za ukaguzi zilizotolewa<br />

Katika kutekeleza matakwa ya Kisheria, ninawajibika kutoa<br />

uhakika kwa wadau wa Halmashauri kwamba taarifa za<br />

fedha zilizotayarishwa na Halmashauri zinatoa picha halisi<br />

ya matokeo ya shughuli zilizofanyika, mtiririko wa fedha<br />

pia mali na dhima za Halmashauri kwa mwaka ulioishia<br />

tarehe 30 Juni, 2008. Maoni ya ukaguzi yanatolewa kwa<br />

mtumiaji kama uhakikisho wa usahihi wa hesabu za fedha<br />

za Halmashauri pamoja na uzingatiaji matakwa husika.<br />

Kufuatana na viwango vya Ki-mataifa vya Ukaguzi (ISA) na<br />

(INTOSAI) hati za ukaguzi zifuatazo zinatolewa kama kipimo<br />

cha kutathmini usahihi wa hesabu za fedha. Hati hizi ni;<br />

hati zisizo na shaka, hati zenye shaka, hati chafu na hati<br />

mbaya.<br />

2.2 Hati za Ukaguzi<br />

2.2.1 Maana ya Hati za Ukaguzi<br />

Hati za ukaguzi ni maoni yaliyomo katika ripoti ya<br />

wakaguzi. Maoni hayo yanaeleza iwapo taarifa za fedha<br />

zilizokaguliwa zimetayarishwa kwa kutumia sera za hesabu<br />

za fedha kwa mujibu wa sheria zinazohusika, kanuni au<br />

viwango/misingi ya hesabu za fedha vinavyotumika.<br />

Maoni hayo hayana budi kuonyesha iwapo kuna uwazi wa<br />

kutosha wa taarifa zinazohusika kuwezesha kuelewa vizuri<br />

taarifa za fedha au hapana.<br />

Kwa madhumuni ya uwajibikaji na uwazi kwa Bunge, bila ya<br />

kujali aina ya maoni yaliyotolewa kwa taarifa husika za<br />

ukaguzi, matokeo ya ukaguzi yameelezwa pamoja na athari<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

9


zake, mapendekezo, jibu la mteja na maoni ya wakaguzi.<br />

Naamini kwamba mtindo huu wa uwasilishaji wa matokeo<br />

ya ukaguzi na utoaji ripoti, unakuza majukumu<br />

aliyokabidhiwa Afisa Masuuli na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu<br />

wa Hesabu za Serikali.<br />

2.2.2 Aina za Hati<br />

2.2.2.1 Hati zinazoridhisha<br />

Hati inayoridhisha kwa maana nyingine inatafsiriwa<br />

kama hati safi. Hati ya aina hii inatolewa wakati taarifa<br />

za fedha zilizowasilishwa ukaguzi hazina makosa na<br />

zimetengenezwa kwa mujibu wa kanuni za uhasibu,<br />

ambayo inamaanisha kuwa hali ya fedha na shughuli za<br />

Halmashauri kama zilivyoonyeshwa katika hesabu<br />

zilizowasilishwa ni sahihi.<br />

Hata hivyo, utoaji wa hati inayoridhisha haina maana<br />

kwamba Halmashauri ina mfumo safi kabisa wa udhibiti<br />

wa ndani, bali aina hii ya hati ina maana kwamba<br />

hakuna jambo lolote nililoliona ambalo lingesababisha<br />

kutolewa kwa hati yenye shaka. Kila Halmashauri<br />

iliyopata aina hii ya hati imeandikiwa taarifa nyingine<br />

kwa ajili ya menejimenti inayoeleza masuala ambayo<br />

yasipoangaliwa, yanaweza kuisababishia Halmashauri<br />

kupata hati yenye shaka miaka inayofuatia.<br />

2.3 Misingi ya kutoa hati zaidi ya hati inayoridhisha<br />

2.3.1 Hati inayoridhisha na yenye msisitizo wa masuala<br />

Katika baadhi ya mazingira, ripoti ya ukaguzi inaweza<br />

kurekebishwa kwa kuongeza msisitizo wa aya inayotaja<br />

masuala yanayoathiri taarifa za fedha. Kuongeza huko<br />

kwa aya ya msisitizo wa masuala hakuwezi kuathiri<br />

maoni ya ukaguzi. Kwa kawaida aya hiyo inaongezwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

10


aada ya maoni na kwamba hati iliyotolewa si yenye<br />

shaka.<br />

Aya ya msisitizo wa masuala inaambatisha kwa kila hali<br />

maelezo ya uzingativu wa haraka kwa Ofisa Masuuli kwa<br />

kumhadharisha kuhusu masuala hayo yanayohitaji<br />

kushughulikiwa haraka na kushindwa kufanya hivyo<br />

kutaweza kusababisha kutolewa kwa hati yenye shaka<br />

katika ukaguzi utakaofuata. Hata hivyo lengo kuu la<br />

msisitizo wa suala ni kuleta karibu uelewa wa hali hiyo<br />

ndani ya asasi iliyokaguliwa ingawa kumetolewa hati<br />

inayoridhisha.<br />

2.3.2 Hati yenye shaka<br />

Hati yenye shaka inatolewa iwapo ninaridhika kuwa hati<br />

inayoridhisha haiwezi kutolewa lakini kutokana na<br />

kutokubaliana na menejimenti au kukwazwa kwa<br />

mawanda ambapo athari yake ni kubwa lakini si muhimu<br />

katika usahihi wa taarifa ya fedha. Maneno<br />

yanayotumika katika hati yenye shaka hayatofautiani<br />

sana na yale yaliyo katika hati isiyo na shaka, lakini aya<br />

inaongezewa kuelezea sababu za kutolewa kwa hati<br />

yenye shaka. Kwa hali hiyo, inaonyesha kwamba taarifa<br />

za fedha zilizotolewa zinaonyesha hali halisi isipokuwa<br />

kwa mambo maalum yaliyoonekana katika ukaguzi.<br />

2.3.3 Hati Isiyoridhisha<br />

Hati isiyoridhisha inatolewa pale ambapo taarifa za<br />

fedha za Halmashauri kwa ujumla wake zina mapungufu<br />

makubwa kwa ujumla na hazikubaliani na kanuni za<br />

uhasibu. Hati hii ni kinyume cha hati inayoridhisha.<br />

Kimsingi inaeleza kwamba taarifa zilizopo kwa kiwango<br />

kikubwa zina makosa, haziaminiki na si sahihi katika<br />

kupima hali ya kifedha na matokeo ya shughuli zake.<br />

Maneno yanayotumika katika hati hii yanaeleza wazi<br />

kuwa taarifa za fedha hazikubaliani na kanuni kubalifu<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

11


za fedha kwa maana kwamba kwa ujumla wake<br />

hazikubaliki, si sahihi na hazionyeshi hali halisi ya<br />

kifedha na shughuli za Halmashauri husika.<br />

2.3.4 Hati mbaya<br />

Hati mbaya hutolewa wakati ninaposhindwa kupata<br />

uthibitisho wa ukaguzi wa kutosha na hivyo kushindwa<br />

kutoa maoni juu ya taarifa za fedha zilizowasilishwa.<br />

Hali hiyo hutokea wakati ninaposhindwa kukagua au<br />

kumaliza ukaguzi kwa sababu mbalimbali hivyo<br />

kupelekea kutotoa hati. Mazingira ambayo hati hii<br />

hutolewa ni pale ambapo mkaguzi hana uhuru katika<br />

kufanya kazi ya ukaguzi au, kukwazwa kwa mawanda<br />

ambako ni muhimu na pia ni kuficha taarifa muhimu<br />

kwa makusudi kunako nizuia kufuata taratibu za ukaguzi<br />

nilizopanga.<br />

2.3.5 Mambo yanayosababisha kutolewa kwa Hati zenye<br />

Dosari<br />

Mambo yanayosababisha kutolewa kwa hati za ukaguzi<br />

zenye dosari kwa ujumla yapo katika makundi mawili:-<br />

(a) Kukwazwa kwa mawanda kunakomzuia mkaguzi<br />

kutoa maoni<br />

Pale ambapo nashindwa kupata taarifa za kutosha<br />

zinazohusiana na uandaaji wa taarifa za fedha au<br />

nyaraka, au kukwazwa kwa mawanda ya kaguzi<br />

kiasi kwamba nashindwa kutoa maoni, yafuatayo ni<br />

baadhi ya mambo yanayojitokeza:-<br />

• Malipo kufanywa bila hati za malipo;<br />

• Vifaa au huduma kununuliwa bila kuwa na<br />

viambatisho kama<br />

hati za mapokezi, hivyo kukosekana kwa<br />

uthibitisho wa upokeaji wa vifaa au huduma<br />

hizo;<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

12


• Malipo kufanywa bila kuwa na viambatisho<br />

sahihi;<br />

• Vitabu vya kukusanyia maduhuli kutowasilishwa<br />

kwa ajili ya ukaguzi;<br />

• Mali inayomilikiwa au iliyonunuliwa<br />

kutokuingizwa vitabuni. Hii inaleta shaka<br />

kuwepo kwa mali hizo;<br />

• Kutopatikana kwa ushahidi kwa fedha iliyolipwa<br />

toka kwa mlipwaji. Kukosekana kwa stakabadhi<br />

kutoka kwa mlipwaji kunaashiria ubadhirifu wa<br />

fedha kwa maana hiyo kuna kukwazwa kwa<br />

mawanda ya ukaguzi.<br />

(b) Kutokubaliana katika namna bora ya utunzaji wa<br />

kumbukumbu na kutokuzingatia sheria na kanuni<br />

Agizo Na.9 hadi 16 la Memoranda ya Fedha ya<br />

Mamlaka ya Serikali za Mitaa (1997) linaagiza<br />

Halmashauri kuanzisha udhibiti wa ndani ulio<br />

madhubuti. Agizo Na.53 linaeleza jukumu la<br />

menejimenti za Halmashauri katika kuzingatia kanuni<br />

kubalifu za uhasibu kwa kufuata Sheria, Kanuni,<br />

Maagizo yanayotolewa na Waziri mwenye dhamana ya<br />

Mamlaka ya Serikali za Mitaa na Memoranda ya Fedha<br />

ya Serikali za Mitaa.<br />

Kutokubaliana na menejimenti kuhusu kanuni bora za<br />

utunzaji wa kumbukumbu, kuzingatia sheria kunaweza<br />

kutokea katika hali zifuatazo:-<br />

• Mali zinazomilikiwa na Halmashauri kutoingizwa<br />

Katika rejista ya mali za kudumu<br />

• Vifaa vilivyonunuliwa na kulipiwa kutoingizwa<br />

kwenye leja na hivyo utoaji na utumiaji hauwezi<br />

kuhakikishwa;<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

13


• Kutoonyeshwa masalio ya benki katika vitabu vya<br />

hesabu;<br />

• Kuachwa kwa kukosewa na kutokamilika kwa<br />

kumbukumbu za hesabu;<br />

• Kutoonyeshwa kwa ukamilifu sera za utunzaji<br />

hesabu za fedha na,<br />

• Halmashauri inapotumia mfumo wa hesabu usio<br />

sahihi kama kutumia kiwango kisicho sahihi cha<br />

uchakavu.<br />

• Manunuzi ya mali, ujenzi na huduma haukuzingatia<br />

sheria ya manunuzi Na.21 ya mwaka 2004 na<br />

kanuni zake.<br />

2.4 Mchanganuo wa hati za ukaguzi katika Halmashauri<br />

Sehemu hii inakusudia kuonyesha mwelekeo wa hati za<br />

ukaguzi zilizotolewa kwa miaka miwili 2006/07 na 2007/08.<br />

Mantiki ya taarifa hii ni kulinganisha hali ya kiutendaji<br />

kifedha katika Halmashauri kwa kipindi cha miaka miwili.<br />

Mchanganuo wa aina ya hati za ukaguzi zilizotolewa katika<br />

mwaka wa fedha 2006/07 na 2007/08 umeonyesha kwamba<br />

ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa 133 ulikamilika.<br />

Kati ya Halmashauri 133 zilizokaguliwa, 72 sawa na<br />

asilimia hamsini na nne (54%) zilipata hati inayoridhisha<br />

ambapo katika mwaka wa fedha 2006/07, Hamashauri 100<br />

sawa na asilimia themanini na moja (81%) ndizo zilizopata<br />

hati zinazoridhisha. Aidha, kati ya 133 Halmashauri<br />

zilizokaguliwa 61 sawa na asilimia arobaini na sita (46%)<br />

zilipata hati zenye shaka katika mwaka 2007/08<br />

ukilinganisha na Halmashauri 24 sawa na asilimia kumi na<br />

tisa (19%) katika mwaka 2006/07.<br />

Sababu za kushuka kwa matokea haya zimesababishwa na<br />

mambo makubwa yafuatayo:<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

14


• Kutolewa kwa miongozo iliyokinzana kuhusu utayarishaji<br />

wa hesabu katika Mamlaka za serikali za mitaa kwa<br />

mwaka wa fedha 2007/08.<br />

• Taarifa za fedha zilizowasilishwa kwa ajili ya ukaguzi<br />

hazikuainisha mambo muhimu kwa mujibu wa matakwa<br />

ya viwango vya kimataifa kuhusu uandaaji wa hesabu<br />

(IPSAs) hivyo kuleta ugumu katika kutathmini utendaji<br />

wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />

• Menejimenti ya Halmashauri husika kutosimamia<br />

utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Halmashuri<br />

zilipeleka fedha katika kata na vijiji pasipo ufuatiliaji.<br />

• Kupanuka kwa mawanda ya ukaguzi na kujumuisha<br />

ukaguzi kuhusu thamani ya fedha, mishahara na mifumo<br />

ndani ya mamlaka ya serikali za mitaa.<br />

• Kuongezeka kwa kiwango cha fedha zinazokwenda<br />

Halmashauri kwa utaratibu wa kupeleka madaraka ngazi<br />

za chini (D by D), ambao unahitaji uwepo wa uwezo wa<br />

kusimamia fedha na rasilimali za Halmashauri.<br />

Kwa kuzingatia mchanganuo hapo juu, tunaweza kufanya<br />

majumuisho yafuatayo:<br />

(a) Kwa ujumla idadi ya hati zinazoridhisha zimepungua<br />

kutoka 100 sawa na asilimia themanini na moja (81%)<br />

katika mwaka 2006/07 hadi kufikia 72 sawa na asilimia<br />

hamsini na nne (54%) kwa mwaka 2007/08<br />

(b) Kwa ujumla idadi ya hati zenye shaka zimeongezeka<br />

kutoka 24 sawa na asilimia kumi na tisa (19%) mwaka<br />

2006/07 hadi kufikia 61 sawa na asilimia arobaini na<br />

sita (46%) mwaka 2007/08. Mambo makubwa<br />

yaliyosabisha kutolewa kwa hati 61 zenye shaka ni<br />

haya yafuatayo:-<br />

• Mambo yanayohusu ulinganisho wa kibenki yasiyo<br />

shughulikiwa<br />

• Udhaifu katika usimamiaji wa mali<br />

• Mishahara isiyorejeshwa kutokufutwa kutoka<br />

orodha ya mishahara inayo pitia katika mtandao wa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

15


Kompyuta wala kurejeshwa Hazina kwa mujibu wa<br />

maagizo.<br />

• Maduhuli kutowasilishwa na wakala wa ukusanyaji<br />

• Uwasilishwaji wa taarifa za fedha usio sahihi<br />

• Masurufu yasiyorejeshwa<br />

• Kutoandaliwa kwa muhtasari wa matumizi katika<br />

upatikanaji wa mali za kudumu na vyanzo vyake<br />

vya mapato<br />

• Vitabu vya kukusanyia maduhuli kutopatikana<br />

• Maduhuli kutowasilishwa katika akaunti za<br />

Halmashauri<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu<br />

• Kukosekana kwa hati za malipo<br />

• Kutotumika kwa ruzuku za serikali kuu<br />

Kwa mwaka 2007/08 hakuna Halmashauri iliyopata hati<br />

chafu.<br />

Matokeo ya ukaguzi kwa mwaka 2007/08 yanaweza<br />

kuchanganuliwa kama ilivyo katika jedwali hapa chini:<br />

Halmash<br />

auri<br />

Hati zinazoridhisha Hati zenye shaka Hati zisizoridhisha Jumla<br />

2006/07 2007/2008 2006/07 2007/08 2006/07 2007/08 2006/07 2007/08<br />

Halmashauri<br />

5 3 - 1 - - 5 4<br />

za<br />

Jiji<br />

Halmashauri<br />

13 7 3 10 - - 16 17<br />

za<br />

Manispaa<br />

Halmashauri<br />

3 4 1 2 - - 4 6<br />

za<br />

Miji<br />

Halmashauri<br />

79 58 20 48 - - 99 106<br />

za<br />

Wilaya<br />

Jumla 100 72 24 61 - - 124 133<br />

Asilimia 81% 54% 19% 46% - -<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

16


Mchanganuo huu unaweza kuonyeshwa katika jedwali la mhimili<br />

kama ifuatavyo:-<br />

70<br />

60<br />

50<br />

40<br />

30<br />

20<br />

10<br />

0<br />

Hati zinazoridhisha<br />

Hati zenye shaka<br />

Jiji<br />

Manisapaa<br />

Miji<br />

Wilaya<br />

Mchanganuo wa kina wa orodha za Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />

na aina ya hati zilizotolewa kwa mwaka 2006/07 na 2007/08 uko<br />

katika Kiambatisho Na.1.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

17


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

18


SURA <strong>YA</strong> TATU<br />

U<strong>WA</strong>SILISHAJI <strong>WA</strong> TAARIFA <strong>ZA</strong> FEDHA <strong>NA</strong> MATOKEO <strong>YA</strong> UKAGUZI<br />

3.1 Mamlaka za Serikali za Mitaa zenye hati inayoridhisha<br />

Katika mwaka 2007/08 hakuna Halmashauri iliyopata hati<br />

inayoridhisha bila masuala ya msisitizo.<br />

3.2 Halmashauri zilizopata hati zinazoridhisha na masuala ya<br />

msisitizo<br />

Zifuatazo ni Halmashauri 72 ambazo zimepata hati<br />

zinazoridhisha na masuala ya msisitizo:-<br />

1. Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa<br />

• Vifaa visivyo ingizwa vitabuni Sh.6,376,825.60<br />

• Risasi zisizo pokelewa Sh.3,300,000.<br />

• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.42,380,107.<br />

• Matumizi yasiyokuwa na nyaraka Sh.33,534,055.<br />

• Kukosekana kwa mkataba wa ujenzi wa tanki la maji<br />

Sh.18,903,675<br />

2. Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe<br />

• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.2,143,200<br />

• Vifaa vyenye thamani ya Sh.6,986,700 vimenunuliwa<br />

bila kufuata taratibu za zabuni.<br />

• Kiasi cha Sh.3,500,000 zimelipwa kwa watoa<br />

huduma bila vifaa kupokelewa.<br />

• Samani zilizonunuliwa bila utaratibu wa zabuni<br />

Sh.60,000,000.<br />

• Halmashauri ilionesha mapato ya Sh.2,720,290 bila<br />

kuwa na nyaraka za mauzo ya mazao.<br />

• Matumizi yenye shaka Sh.3,524,000<br />

• Walimu walilipwa zaidi ya madai yao Sh.3,964,160<br />

• Kiasi cha Sh.8,990,258 kilikopwa bila kurudishwa<br />

katika akauti husika.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

19


• Mishahara ya kiasi cha Sh.9,793,367 ilichukuliwa<br />

zaidi<br />

• Malipo ya mishahara yenye shaka Sh.2,415,919<br />

3. Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali<br />

• Halmashauri ilinunua vifaa vya thamani ya<br />

Sh.2,986,500 kwa kutumia masurufu.<br />

• Matumizi ya mafuta ya kiasi cha Sh.7,750,000<br />

hayakutolewa hesabu yake.<br />

• Kiasi cha Sh.3,600,000 kimelipwa kutoka akaunti ya<br />

amana bila kuwepo na nyaraka za uthibitisho.<br />

• Mishahara isiyolipwa ambayo haikuingizwa katika<br />

rejista Sh.4,595,112.<br />

• Makato ya Sh.1,311,840 hayakutunzwa pamoja na<br />

mishahara isiyolipwa.<br />

• Magari mawili STJ 9184 na STK 3925 hayakuwa katika<br />

daftari la mali za kudumu.<br />

4. Halmashauri ya Jiji la Mbeya<br />

• Kukosekana kwa mpango wa manunuzi<br />

• Vifaa visivyoorodheshwa daftarini Sh.8,961,600.<br />

• Mapato ya Sh.3,300,000 hayakutolewa stakabadhi<br />

• Kukosekana kwa hati za malipo Sh.47, 516,500<br />

• Malipo ya mishahara yasiyo suruhishwa ya<br />

Sh.71,531,982<br />

• Halmashauri haikurudisha Hazina kiasi cha<br />

Sh.9,113,553 kinyume na taratibu.<br />

• Halmashauri ililipa kiasi cha Sh.28,251,971 kwa<br />

Mkandarasi bila kuwa na hati ya kukamilika kwa kazi<br />

kutoka kwa Mhandisi.<br />

• Halmashauri ilikuwa na albaki MSD kiasi ya<br />

Sh.16,083,634 kwa ajili ya madawa, kiasi hiki<br />

hakikuonekana katika vitabu vya Halmashauri.<br />

• Halmashauri ilionyesha zaidi kiasi cha Sh.2,772,000.<br />

kwa wadaiwa.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

20


5. Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya<br />

• Halmashauri imenunua vifaa vyenye thamani ya<br />

Sh.2,914,000 bila kuviingiza vitabuni.<br />

• Kufikia mwisho wa mwaka Halmashauri ilikuwa na<br />

bakaa ya Sh.23,530,581 kwenye akaunti ya MSD kwa<br />

ajili madawa ambayo bado kupokelewa.<br />

• Halmashauri imelipa kiasi cha Sh.9, 759,695 kwa ajili<br />

ya semina ambayo ukaguzi umeshindwa kuthibitisha<br />

uhalali wake kwa kukosa nyaraka muhimu.<br />

• Stakabadhi za mapokezi ya mapato ya Sh.385,700<br />

hazikuonyeshwa wakati wa ukaguzi.<br />

• Ukaguzi haukuweza kuthibitisha uhalali wa malipo ya<br />

Sh.15,750,500 kwa kukosekana kwa viambatisho<br />

muhimu.<br />

• Hati za malipo za Sh.3,069,390 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Halmashauri ililipa kiasi cha Sh.12,279,784 kwa ajili<br />

ya madeni ya miaka ya nyuma ambayo<br />

hayakuinguzwa vitabuni.<br />

• Pikipiki kumi na nane (18) hazikuingizwa katika<br />

daftari la mali za kudumu.<br />

• Halmashauri ilionyesha wadaiwa pungufu kiasi cha<br />

Sh.7,858,789<br />

6. Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi<br />

• Fidia kwa ajili ya kutozingatia masharti ya mkataba<br />

Sh.3,219,360 bado kulipwa kutoka kwa Mkandarasi.<br />

• Vitabu viwili vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />

wakati wa ukauzi. Kiasi kilichokusanywa kwa<br />

kutumia vitabu hivi haikuweza kujulikana.<br />

• Magari mawili hayakuingizwa kwenye jedwali la mali<br />

za kudumu, hivyo kusababisha upungufu wa mali<br />

kwenye taarifa za fedha.<br />

• Magari yenye thamani ya Sh.119,741,702<br />

hayakuingizwa katika daftari la mali za kudumu,<br />

hivyo dhamani halisi ya magari ya Halmashauri<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

21


kutofahamika.<br />

• Wadaiwa kiasi cha Sh. 9,978,894 kuhusiana na<br />

akaunti ya MSD hawakuonyeshwa katika taarifa za<br />

fedha.<br />

7. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma<br />

• Matumizi ya kiasi cha Sh.37,277,242 yalifanyika bila<br />

nyaraka muhimu.<br />

• Halmashauri ililipa kiasi cha Sh.21,959,200 zaidi ya<br />

bajeti kwa ajili ya ujenzi wa madaraja.<br />

• Kazi ya ukarabati wa kiasi cha Sh.1,524,000 ndani ya<br />

mkataba wa Sh.54,621,000 kililipwa kwa kazi ambayo<br />

ilichelewa kukamilika.<br />

• Halmashauri ilikuwa na masurufu yasiyorejeshwa<br />

kiasi cha Sh.16,283,594, wadaiwa Sh.1,754,080 na<br />

wadai Sh.50,991,685.<br />

• Vile vile, Halmashauri haijatatua tofauti iliyopo kati<br />

ya taarifa za benki na daftari la hesabu kiasi cha<br />

Sh.1,017,000.<br />

8. Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea<br />

• Malipo yasiyokuwa na viambatanisho sahihi<br />

Sh.10,291,963.<br />

• Mapato kutokana na vyanzo vya ndani yalitolewa<br />

taarifa pungufu kwa kiasi cha Sh.3,357,999 katika<br />

taarifa ya mapato na matumizi.<br />

• Vitabu vitatu (3) vya kukusanyia mapato<br />

havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Halmashauri ilikuwa haina daftari la mali za kudumu.<br />

9. Halmashauri ya Wilaya ya Tarime<br />

• Vifaa vyenye thamani ya Sh. 4,450,000 vilinunuliwa<br />

bila kuingizwa daftarini.<br />

• Mapato ya Sh.3,170,000 yalikuwa hayajawasilishwa<br />

kutoka kwa wakala wa kukusanya mapato.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.150,356,420<br />

• Kukosekana kwa nyaraka muhimu za mikataba/<br />

miradi Sh.37,800,000.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

22


10. Halmashauri ya Wilaya ya Karatu<br />

• Kitabu kimoja (1) cha kukusanyia mapato<br />

hakikuwasilishwa wakati wa ukaguzi.<br />

• Mapato kiasi cha Sh.3,122,500 hayajathibitishwa<br />

kupelekwa benki.<br />

• Mapato pungufu ya kiasi cha Sh.7,406,000<br />

hayakuwasilishwa na wakala. Vilevile hayakuonekana<br />

katika hesabu ya wadaiwa.<br />

• Hati za malipo kiasi cha Sh.9,903,858 hazikuwalishwa<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Ujenzi wa madarasa katika Sekondari ya Gyekrum<br />

Lambo Uligharimu Sh.14,301,355 kuliko kiwango<br />

kilichokadiriwa na Mhandisi wa ujenzi cha<br />

Sh.7,000,000.<br />

• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.19,223,098<br />

haikuthibitishwa kurudishwa Hazina.<br />

• Kiasi cha Sh.6,056,891 cha mishahara kililipwa kwa<br />

watumishi ambao hawapo katika ajira.<br />

11. Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa<br />

• Kiasi cha Sh.107,686,555 kililipwa kwa ajili ununuzi<br />

wa magari ambayo bado kupokelewa.<br />

• Malipo yasiyoidhinishwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa<br />

vya ofisi (shajara) vya Sh.18,576,360.<br />

• Wafanyakazi waliostaafu ambao hawajafutwa katika<br />

orodha hati za mishahara ya Sh.18,037,502.<br />

• Madawa kiasi cha Sh.56,883,840 hayakuingizwa<br />

vitabuni.<br />

• Malipo kiasi cha sh.12,860,000 kililipwa kwa wauzaji<br />

wasio idhinishwa.<br />

12. Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa<br />

• Mapato kiasi cha Sh.5,848,100 hayakupelekwa benki<br />

• Salio ishia kiasi cha Sh.240,894,308 katika mwaka<br />

2006/07 halikuonyeshwa kama salio anzia kwa<br />

mwaka 2007/08 kwenye akaunti ya fedha za<br />

maendeleo.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

23


• Halmashauri haikuonyesha wadaiwa kiasi cha<br />

Sh.22,315,018 na wadai kiasi cha Sh.29,610,611<br />

kikihusiana na huduma ya madawa kutoka MSD.<br />

• Ruzuku ya kiasi cha Sh.169,537,359 kutoka Serikali<br />

kuu hakikutumika.<br />

• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.2,179,320<br />

haikurudishwa Hazina.<br />

13. Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam<br />

• Maoni ya ukaguzi kuhusiana na Sh.189,797,787 kwa<br />

miaka ya nyuma hayajatekelezwa.<br />

• Kamati ya Fedha ya Halmashauri haijaweka kiwango<br />

cha juu kwa ajili ya fedha taslimu inayotakiwa<br />

kuwepo kwa mtunza fedha wa Halmashauri.<br />

• Wadaiwa walionyeshwa zaidi ya Sh.45,542,464.<br />

• Daftari ya amana haikuwasilishwa kwa ajili ya<br />

ukaguzi.<br />

• Manunuzi yaliyofanyika bila zabuni Sh.27,979,900.<br />

• Manunuzi yalifanywa kwa msingi wa nukuu ya bei<br />

Sh.6,208,200.<br />

• Manunuzi yalifanywa zaidi ya kiwango<br />

kilichoidhinishwa Sh.30,119,330.<br />

• Manunuzi yalifanywa bila idhini ya Bodi ya Zabuni<br />

Sh.9,008,000.<br />

• Gari zilipiwa bado kupokelewa Sh.225,000,000.<br />

14. Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo<br />

• Masuala ya miaka ya nyuma yasiyotatuliwa kuhusiana<br />

na mauzo ya magari Sh.81,755,125.<br />

• Malipo ya Sh.15,195,067 yalifanywa bila viambatisho<br />

sahihi.<br />

• Masurufu kiasi cha Sh.8,020,000 yalitolewa kwa<br />

maafisa wa Halmashauri, bado hayajareshwa.<br />

• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.22,073,421<br />

haijarudishwa Hazina.<br />

• Mkataba kwa ajili ya ukarabati wa kituo cha Afya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

24


haukutolewa kwa ajili ya ukaguzi.<br />

15 Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe<br />

• Masuala ya miaka ya nyuma kiasi cha Sh.104,176,999<br />

bado hayajatatuliwa na Halmashauri kinyume na<br />

agizo Na.4 (f) la Memoranda ya Fedha za Serikali za<br />

Mitaa, 1977.<br />

• Masurufu kiasi cha Sh.5,696,046 hayajarejeshwa.<br />

• Mishahara isiyolipwa kiasi Sh. 10,844,637 bado<br />

haijarejeshwa Hazina.<br />

16. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi<br />

• Vifaa vilivyonunuliwa na kulipiwa bado kuthibitishwa<br />

matumizi yake Sh.13,043,250.<br />

• Uchakavu ulionyeshwa pungufu kwa kiasi cha<br />

Sh.47,216,817.<br />

• Mapungufu katika ukarabati wa barabara ya<br />

Khambaita yenye urefu wa kilomita 2 hivyo thamani<br />

ya fedha haikufikiwa.<br />

• Bakaa ya mali iliyojitokeza katika mizania ya hesabu<br />

bado kuthibitika Sh.46,474,959.<br />

• Gharama za bidhaa na huduma kugharimiwa bila<br />

kidondoa au nukuu ya bei Sh.19,617,110.<br />

17. Halmashauri ya Wilaya ya Siha<br />

• Mapato yasiyokusanywa kwa wakala ya kukusanya<br />

mapato Sh.5,384,000.<br />

• Kukosekana kwa stakabadhi ya mapato na muhtasari<br />

wa matumizi kiasi cha Sh.19,164,357.<br />

• Malipo ya fidia yanayotokana na kandarasi<br />

hayakutolewa risiti ya kukiri mapokezi<br />

Sh.11,818,803.<br />

• Makusanyo yasiyopokelewa kutokana na mauzo ya<br />

chakula cha msaada wakati wa njaa Sh.1,388,000.<br />

• Kukosekana kwa umri wa wadaiwa Sh.5,434,895 na<br />

wadai Sh.8,394,823.<br />

• Kukosekana kwa sera ya kudhibiti wadai na wadaiwa.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

25


18. Halmashauri ya Wilaya ya Rombo<br />

• Mali iliyohesabiwa mwisho wa mwaka ya dhamani ya<br />

Sh.46,474,959 haikuweza kuthibitishwa wakati wa<br />

ukaguzi.<br />

• Bidhaa na huduma vilivyonunuliwa bila zabuni wala<br />

nukuu ya bei Sh.19,617,110.<br />

19. Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa<br />

• Manunuzi yaliyofanyika bila ushindanishi<br />

Sh.28,136,000.<br />

• Fedha kiasi cha Sh.43,260,000 hazikutumika kwa ajili<br />

ya ununuzi wa vivunge vya sayansi, vibao vya<br />

kuandikia pamoja na madawati.<br />

• Vifaa vya umeme wa jua vilinunuliwa bila kufungwa<br />

na kutumika Sh.2,640,000.<br />

• Ucheleweshwaji katika ukamilishaji wa miradi ya<br />

maendeleo Sh.48,481,200.<br />

• Mapato yasiyokusanywa Sh.5,979, 000.<br />

• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.46,059,807<br />

haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />

20. Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara<br />

• Vitabu vinne (4) vya kukusanyia mapato<br />

havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.24,069,882.<br />

• Mishahara kwa waajiriwa wa muda bila kuingizwa<br />

katika orodha ya mishahara kwa muda mrefu<br />

Sh.5,33,992.<br />

• Mapato yanayotokana mauzo ya Korosho<br />

yasiyowasilishwa Halmashauri Sh.412,123,669.<br />

• Matengenezo ya magari yaliyofanyika kinyume na<br />

Kanuni za manunuzi Sh.9,28,090.<br />

21. Halmashauri ya Wilaya ya Newala<br />

• Masuala ya miaka ya nyuma yasiyotatuliwa ya kiasi<br />

cha Sh.156,899,419.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

26


• Vitabu vitatu (3) vya mapato vyenye viwango maalum<br />

havikuwasilishwa wakati wa ukaguzi Sh.7,331,209.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.19,368,847.<br />

• Mishahara kwa waajiriwa wa muda bila kuingizwa<br />

katika orodha ya mishahara kwa muda mrefu<br />

Sh.6,440,731.<br />

• Mapato yanayotokana mauzo ya Korosho<br />

yasiyowasilishwa Halmashauri Sh.46,797,631.<br />

• Halmashauri iligharamia matengenezo ya gari<br />

iliyopata ajali Sh.4,173,978, ambayo ilikuwa<br />

igharimiwa na Shirika la Bima la Taifa. Shirika la<br />

Bima halijarejesha fedha hizo.<br />

• Halmashauri haukutoza fidia ya kiasi cha Sh.<br />

15,801,129 toka kwa wakandarasi kwa kuchelewesha<br />

kukamilisha kazi kama ilivyo katika Mkataba.<br />

22. Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema<br />

• Halmashauri haikukusanya mapato ya Sh.4,018,000<br />

kutoka kwa wakala.<br />

• Matumizi ambayo hayamo katika bajeti<br />

Sh.10,800,000.<br />

• Mishahara isiyolipwa ambayo haaikurejeshwa Hazina<br />

Sh.17,505,254.<br />

• Kiasi cha Sh.30,935,000 kililipwa kwa ajili ya ununuzi<br />

wa gari ambalo halijapokelewa.<br />

• Vitabu vitatu vitatu (3) vya kukusanyia mapato<br />

havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

23. Halmashauri ya Mji wa Mpanda<br />

• Kiasi cha Sh.5,400.000 kililipiwa katika akauti ya<br />

Elimu badala ya akaunti ya jumla.<br />

• Ukarabati wa Ofisi ya Mweka Hazina, na ujenzi wa<br />

nyumba mbili za walimu na madarasa katika Shule<br />

ya Msingi ya Shanwe, Nselemulwa na Kasimba,<br />

ulikuwa bado haujaanza wakati wa ukaguzi.<br />

24. Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi<br />

• Kutotekelezwa kwa miradi ya pamoja<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

27


Sh.411,600,000.<br />

• Pikipiki zilizonunuliwa kwa gharama ya Sh.9,200,000<br />

bado kupokelewa.<br />

• Fedha ya tahadhari kiasi cha Sh.4,263,202 bado<br />

kulipwa kwa wakandarasi.<br />

• Wadaiwa Sh.45,317,369 na wadai Sh.11,591,668<br />

walionekana katika mizania ya hesabu bila umri.<br />

• Masuala yasiyosuluhishwa katika usuluhishi wa benki<br />

Sh.60,199,414.39.<br />

25. Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga<br />

• Marejeo ya Mkataba yaliyofanyika kinyume na<br />

mchanganuo wa gharama za bei (BOQ)<br />

Sh.43,146,720.<br />

• Kulikuwa na ucheleweshaji wa miradi ya maendeleo<br />

ya kiasi cha Sh.97,696,500.<br />

• Kutowasilishwa mishahara isiyolipwa Hazina<br />

Sh.7,654,959.<br />

• Karadha zisizorejeshwa Halmashauri Sh.14,436,541.<br />

26. Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga<br />

• Matumizi yasiyokuwa na nyaraka za kutosha<br />

Sh.2,850,880.<br />

• Ucheleweshaji wa miradi ya maendeleo<br />

Sh.27,164,000.<br />

• Wadaiwa wa muda mrefu Sh.22,746,925.<br />

27. Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo<br />

• Stakabadhi zisizotumika zimenyofolewa kutoka<br />

vitabuni.<br />

• Vifaa kutolewa bila kuwa na kumbukumbu za kutosha<br />

Sh.12,036,920.<br />

• Ucheleweshaji katika kukamilisha kazi ya ujenzi<br />

Sh.39,650,000.<br />

• Mapungufu katika kutekeleza mikataba<br />

Sh.23,999,004.<br />

• Wadaiwa hawajalipa mapato kwa Halmashauri<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

28


Sh.18,592,833.<br />

• Wadai hawajalipwa na Halmashauri Sh.21,697,347.<br />

28 Halmashauri ya Mji wa Njombe<br />

• Mishahara isiyolipwa haijadhibitika kupokelewa<br />

Sh.5,890,289.<br />

• Mapato ya maendeleo yamelipwa pungufu<br />

Sh.24,418,537.<br />

• Wadaiwa hawajalipa mapato kwa Halmashauri<br />

Sh.5,912,000.<br />

• Wadai hawajalipwa na Halmashauri Sh.4,859,850.<br />

29 Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi<br />

• Wadaiwa wa miaka ya nyuma hawajailipa<br />

Halmashauri mapato ya Sh.11,918,336 wakisubiri<br />

uamuzi wa Mahakama.<br />

• Halmashauri imelipa Sh.46,660,000 kwa ajili ya<br />

ununuzi wa gari ambalo bado kupokelewa.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh.3,177,373 bado<br />

kurejeshwa Hazina.<br />

30. Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto<br />

• Bidhaa na huduma za Sh.7,329,000 zilinunuliwa<br />

kupita viwango vilivyowekwa.<br />

• Kutofanyika marejesho ya stakabadhi zilizotumika<br />

kila mwezi.<br />

• Mapato ambayo bado kukusanywa Sh.14,810,000.<br />

• Hati za malipo za Sh.34,509,560 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Katika mwaka huu wa ukaguzi Halmashauri imefanya<br />

malipo zaidi ya bajeti Sh.18,594,200.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh.11,932,530 bado<br />

kurejeshwa Hazina.<br />

• Uongozi wa Halmashauri unatakiwa kuweka mikakati<br />

ya kukabiliana na uwezekano wa kutokea hatari<br />

inayoweza kuathiri utekelezaji wa majukumu ya<br />

kutoa huduma.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

29


31. Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu<br />

• Uongozi wa Halmashauri unatakiwa kuweka mikakati<br />

ya kukabiliana na uwezekano wa kutokea hatari<br />

inayoweza kuathiri utekelezaji wa majukumu ya<br />

kutoa huduma.<br />

• Upotevu wa shs. 31,098,894 uliochangiwa na<br />

kuingia na kutekeleza mikataba yenye mapungufu.<br />

• Vitabu 10 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi kinyume na Agizo Na.101 la<br />

Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa, 1997.<br />

• Halmashauri kwa ukamilifu programu ya Kompyuta ya<br />

uhasibu EPICOR, taarifa zinaandaliwa nje ya mfumo<br />

wa Kompyuta.<br />

32. Halmashauri ya Wilaya ya Singida<br />

• Masuala ya miaka ya nyuma yasiyotekelezwa<br />

Sh.8,820,000.<br />

• Wadaiwa hawajailipa Halmashauri Sh.6,036,000.<br />

• Wadai wasiolipwa na Halmashauri Sh.165,186,742.<br />

33. Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda<br />

• Mikataba ya kazi yenye thamani ya Sh.119,451,597.<br />

ihusuyo miradi haikuingizwa kwenye mpango wa<br />

manunuzi wa Halmashauri.<br />

• Ucheleweshaji katika kukamilisha miradi<br />

inayoendelea Sh.47,260,360.<br />

• Malipo yaliyofanywa bila viambatanisho Sh. 3,187,000.<br />

• Masuala yasiyosuluhishwa katika usuluhisho wa benki<br />

hadi kufikia Juni, 2008 Sh.8,767,600.18.<br />

34. Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge<br />

• Mali ghalani yenye thamani ya Sh.19,534,500<br />

haikuingizwa katika nyaraka yenye orodha ya mali<br />

iliyohesabiwa.<br />

• Makusanyo ya kiasi cha Sh.1,561,800 hayakupelekwa<br />

benki.<br />

• Akiba iliyowekezwa ya Sh.10,000,000 haikuwa na<br />

ushahidi wa makubaliano ya uwekezaji.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

30


• Amana za Sh.49,468,320 zilizoko MSD<br />

hazikuonyeshwa katika vitabu vya Halmashauri.<br />

• Mali za muda zilionyeshwa pungufu kwa kiasi cha<br />

Sh.1,144,287.47 katika mizania ya hesabu.<br />

• Kulikuwa na makosa ya tarakimu katika mtiririko wa<br />

fedha.<br />

• Mali ya kiasi cha Sh.14,690,800 bado kupokelewa na<br />

Halmashauri.<br />

35. Halmashauri ya Wilaya ya Urambo<br />

• Vitabu (HW5) sita (6) vya kukusanyia mapato<br />

havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Akiba iliyowekezwa ya Sh. 118,418,100 haikuingizwa<br />

katika rejista na shahada ya uwekezaji haikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Ruzuku ya Sh. 38,833,000 iliyotolewa na Serikali Kuu<br />

kwa mwaka 2007/08 bado kupokelewa na<br />

Halmashauri ya Urambo.<br />

• Mapato ya Sh. 11,524,205 hayakuingizwa katika<br />

akaunti ya benki ya Halmashauri.<br />

• Mapato ya Sh. 3,665,000 kutoka kwa wakala wa<br />

kukusanya mapato hayajapokelewa na Halmashauri.<br />

• Matumizi ya Sh. 30,385,346 ya mwaka 2006/07<br />

yalilipwa mwaka 2007/08.<br />

36. Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru<br />

• Vyakula vyenye thamani ya Sh. 25,231,900<br />

vilipelekwa Hospitalini bila kuwepo mkataba.<br />

• Nyaraka kama ankra, hati ya kupokelea vifaa, orodha<br />

ya malipo na daftari la mahudhurio havikuonyeshwa<br />

wakati wa ukaguzi Sh. 66,278,999.<br />

• Malipo yahusuyo miaka ya nyuma Sh. 16,880,049<br />

yamelipwa mwaka 2007/08 bila kuwepo katika<br />

bajeti.<br />

• Hati ya kuwekeza katika LGLB ya Sh. 15,435,400<br />

haikuonekena wakati wa ukaguzi.<br />

• Mafuta ya Sh. 52,020,830 matumizi yake<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

31


hayakuthitishwa wakati wa ukaguzi kutokana na<br />

kutokuwepo kwa rejea za magari husika.<br />

37. Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga<br />

• Masuala ya Sh.26,541,886 yaliyopo katika taarifa<br />

za ukaguzi za miaka ya nyuma hayajashughulikiwa.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu ya Sh.5,878,066.<br />

• Malipo yaliyofanywa kwa kutumia ankara kifani<br />

Sh.5,840,000.<br />

• Malipo ya Sh.6,054,731 yalilipwa kwa taasisi<br />

mbalimbali bila kutolewa risiti.<br />

• Matumizi ya kiasi cha Sh.1,800,000 yalilipwa kutoka<br />

katika akaunti isiyo sahihi.<br />

• Magari na Pikipiki yenye thamani ya Sh.69,900,000<br />

bado kupokelewa na Halmashauri.<br />

• Taarifa zilionyesha wadaiwa kiasi cha<br />

Sh.116,946,664 na wadai kiasi cha Sh.512,941,300.<br />

• Hati za kuthibitisha akiba iliyowekezwa ya<br />

Sh.146,020,348 hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Vitabu saba (7) vya kukusanyia mapato<br />

havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

38. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo<br />

• Wadaiwa kiasi cha Sh.40,340,133 hawakuonyeshwa<br />

katika mizania ya hesabu.<br />

• Kiasi cha Sh.28,203,363 ikiwa ni bakaa katika Bohari<br />

ya Madawa haikuonyeshwa katika vitabu vya<br />

Halmashauri.<br />

• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.8,726,834<br />

haijarejeshwa Hazina.<br />

• Kiasi cha Sh.3,519,400 kililipwa ziadi katika ujenzi<br />

wa mifereji.<br />

• Hati za malipo hazikuonekana wakati wa ukaguzi<br />

Sh.13,382,628.<br />

39. Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma<br />

• Mapato ya Sh.16,112,000 yamekusanywa na<br />

mawakala bila kupelekwa Halmashauri.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

32


• Vitabu (15) vya kukusanyia mapato vilipelekwa kwa<br />

mawakala havikuonekana wakati wa ukaguzi<br />

• Wadaiwa kiasi cha Sh.192,100,702 waionyeshwa bila<br />

umri.<br />

• Wadai kiasi cha Sh.56,923,612 hawakuingizwa katika<br />

taarifa za hesabu za Halmashauri.<br />

• Matengenezo ya magari kiasi cha Sh.11,775,120<br />

yalifanyika bila idhini ya mkaguzi wa magari.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.33,890,614 bado<br />

kurejeshwa Hazina.<br />

40. Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni<br />

• Wadaiwa waliolipa Sh.6,597,372.<br />

• Wadai waliolipwa Sh.202,531,517.<br />

• Malipo yasiyo na faida Sh.18,657,473.<br />

• Mishahara iliyolipwa kwa wastaafu/waliofariki<br />

Sh.1,839,661.<br />

• Halmashauri haikutengeneza mpango wa manunuzi<br />

wa mwaka.<br />

• Manunuzi ya kiasi cha Sh.32,675,614<br />

hayakuidhinishwa na Bodi ya Zabuni.<br />

• Kiasi cha Sh.8,396,471 kililipwa zaidi katika ununuzi<br />

wa gari.<br />

41. Halmashauri ya Wilaya ya Rorya<br />

• Makusanyo ya Sh.4,469,900 hayakuwasilishwa<br />

Halmashauri toka kwa mawakala wa kukusanywa<br />

mapato.<br />

• Malipo ya Sh.13,642,527 yalifanywa bila viambatisho<br />

sahihi.<br />

• Hati za malipo za Sh.23,132,125 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Masurufu ya Sh.5,921,000 hayajarejeshwa.<br />

• Mapato katika benki ambayo hayajaingizwa katika<br />

vitabu vya Halmashauri Sh.52,345,556.58.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

33


• Mapato yalionekana katika vitabu vya Halmashauri<br />

lakini hayakupelekwa benki Sh.750,461<br />

42. Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu ya Sh.30,490,804<br />

• Kiasi cha Sh.3,552,350 kutoka akaunti ya Airport<br />

kwenda akaunti ya jumla na pia kiasi cha Sh.930,000<br />

kilihamishwa kutoka akaunti ya Elimu kwenda<br />

akaunti ya Maji bila kurejeshwa.<br />

• Makato ya kisheria ya Sh.3,085,016 yalilipwa bila<br />

ushahidi wa kupokelewa na taasisi husika.<br />

43. Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo<br />

• Manunuzi bila nukuu ya bei Sh.3,634,080.<br />

• Kukosekana kwa ushahidi wa vifaa vilivyopokelewa<br />

vyenye thamani ya Sh.9,397,200.<br />

• Marekebisho ya hesabu za mwaka uliopita ya<br />

Sh.158,918,053 yalifanyika bila ya viambatisho.<br />

44. Halmashauri ya Mji wa Lindi<br />

• Manunuzi bila ushindani wa Sh.5,895,100.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.9,585,053.<br />

• Malipo yalifanyika bila kuzingatia bajeti<br />

Sh.20,641,600.<br />

• Malipo ya ufukizaji yenye shaka Sh.3,413,190.<br />

• Kukosekana kwa shahada ya uwekezaji<br />

Sh.10,500,000.<br />

• Vifaa vya michezo vilivyouzwa havikutolewa hesabu<br />

yake Sh.3,300,000.<br />

45. Halmashauri ya Mji wa Kibaha<br />

• Vifaa vya Sh.1,650,000 havikuingizwa katika leja za<br />

Halmashauri.<br />

• Vifaa vya thamani ya Sh.10,924,000 havikuwa na<br />

nyaraka za kutolea vifaa.<br />

• Mikataba ya pango haikuonekana wakati wa ukaguzi<br />

Sh.1,500,000.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.9,371,583.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

34


• Halmashauri ililipa kiasi cha Sh.1,050,609 kama<br />

mishahara kwa wasiowatumishi.<br />

• Vitabu 27 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Mapato ya Sh.127,915,000 hayakuwasilishwa<br />

Halmashauri kutoka kwa mawakala wawili wa<br />

kukusanya mapato.<br />

46 Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni<br />

• Mapato ya Sh.27,500,000 hayakuwasilishwa<br />

Halmashauri kutoka kwa wakala.<br />

• Malipo ya zaidi ya kiasi cha Sh.9,600,000 yalilipwa<br />

kwa mkandarasi aliyepewa kazi ya kufanya usafi<br />

katika Hospitali ya Mwananyamala.<br />

• Madai ya bima ya Afya bado kurejeshwa<br />

Sh.27,152,901.<br />

• Kiasi cha Sh.76,000,000 kimelipwa kutoka akauti ya<br />

amana bila kufanya marejesho.<br />

• Madawa ya Sh.10,788,000 yaliyolipwa na<br />

Halmahauri hayakufika kwenye Zahanati husika.<br />

• Kiasi cha Sh.7,704,599 kilicholipwa kwa ajili ya<br />

madawati ambayo hayakupokelewa katika Shule za<br />

Misingi za Mapinduzi, Ukwamani na Ununio.<br />

47 Halmashauri ya Wilaya ya Chato<br />

• Hati za malipo na viambatisho vyake za<br />

Sh.62,948,230 havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Vitabu 22 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

48. Halmashauri ya Wilaya ya Misenyi<br />

• Vifaa na huduma vyenye thamani ya Sh.23,079,127<br />

vilinunuliwa bila idhini ya Bodi ya Zabuni.<br />

• Stakabadhi ya kukiri mapokezi haikuonekana wakati<br />

wa ukaguzi Sh.7,698,376.44.<br />

49. Halmashauri ya Wilaya ya Same<br />

• Manunuzi yenye nukuu za bei zenye mashaka<br />

Sh.11,721,950.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

35


• Kiasi cha Sh.13,500,000 kilitumika kulipia madeni ya<br />

nyuma ambayo hayakuonyeshwa katika hesabu za<br />

wadai.<br />

• Matumizi ya kiasi cha Sh.2,172,800 hayakuzingatia<br />

bajeti.<br />

• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.5,755,100.<br />

50. Halmashauri ya Wilaya ya Arusha<br />

• Hati za malipo hazikuonekana wakati wa ukaguzi<br />

Sh.1,160,000.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.29,983,211.<br />

• Utoaji wa mafuta wenye shaka Sh.11,681,192.60.<br />

• Mali za kudumu ambazo hazikuwekewa namba za<br />

utambuzi Shs. 47,746,000<br />

51. Halmashauri ya Wilaya ya Mafia<br />

• Halmashauri ililipia manunuzi kiasi cha<br />

Sh.6,000,000 bila ushindani.<br />

• Malipo ya Sh.29,119,000 yalifanywa kama fidia bila<br />

kuwepo orodha ya majina husika.<br />

• Malipo ya Sh.7,156,450 yalifanyika bila<br />

viambatanisho sahihi.<br />

• Akaunti ya amana ilionyeshwa zaidi kwa kiasi cha<br />

Sh.21,083,945.<br />

52. Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu<br />

• Taarifa za fedha za Halmashauri<br />

hazikuambatanishwa na dondoo za majedwali ya<br />

ufafanuzi wa taarifa za fedha.<br />

• Taarifa za fedha zilionyesha matumizi ya ziada ya<br />

Sh.101,238,687.<br />

• Halmashauri ilipitisha gharama za matengenezo ya<br />

magari ya Sh.20,783,664 bila kupitia TAMESA.<br />

• Kazi za ujenzi wa barabara na majengo za thamani<br />

ya Sh.161,660,000 hazikumalizika kwa wakati.<br />

• Kompyuta nne ndogo za thamani ya Sh.10,500,000<br />

zilotolewa bila kufuata utaratibu.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

36


53. Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga<br />

• Masuala yanayohusiana na miaka ya nyuma ambayo<br />

bado hayajasuluhishwa Sh.417,869,580.<br />

• Mapato ya Sh.3,329,917 hayakuwasilishwa<br />

Halmashauri kutoka kwa mawakala wa kukusanya.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.30,080,360.<br />

• Malipo ya Sh.2,610,000 yalifanyika kutoka katika<br />

akaunti isiyo sahihi.<br />

• Malipo ya thamani ya Sh.1,399,895 hayakuidhinishwa<br />

na kamati ya fedha.<br />

• Kuwepo na masuala mawili yasiyo suluhishwa katika<br />

usuluhisho wa benki.<br />

• Hundi ambazo hazikuwasilishwa benki<br />

Sh.248,068,611.<br />

• Fedha ambazo hazikupelekwa benki Sh.10,338,392.<br />

54. Halmashauri ya Wilaya ya Meatu<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh.2,934,899 haikurejeshwa<br />

Hazina kinyume na taratibu.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.102,245,949.<br />

• Wadaiwa wasiolipa Sh.41,650,039 na wadai<br />

Sh.107,985,513.<br />

• Masuala yasiyosuluhishwa katika usuluhishi wa benki:<br />

- Hundi zisizopelekwa benki Sh.8,656,000.<br />

- Fedha zisizopelekwa benki Sh.10,166,074.<br />

• Mambo ya miaka ya nyuma ambayo hayajapatiwa<br />

ufumbuzi Sh.122,496,538.<br />

55. Halmashauri ya Wilaya ya Kahama<br />

• Mambo ya miaka ya nyuma ambayo hayajapatiwa<br />

ufumbuzi:<br />

- Mapato yasiyopokelewa Sh.4,860,000 kutoka<br />

kwa mawakala wa kukusanya mapato.<br />

- Vifaa vilivyoagizwa na kulipiwa bila kupokelewa<br />

Sh.2,642,000.<br />

• Kiasi cha Sh.10,630,000 kilikusanywa na mawakala<br />

wa kukusanya mapato bila kuwasilishwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

37


Halmashauri.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.12,632,050.<br />

• Mishahara iliyolipwa kwa wasio watumishi ambao ni<br />

waliofariki, waliostaafu, waliofukuzwa kazi na<br />

waliotoroka kazini Sh.30,012,020.<br />

• Malipo ya fidia ya Sh.15,330,000 hayakulipwa kutoka<br />

kwa watoa huduma.<br />

• Ununuzi wa dawa wa kiasi cha Sh.8,600,000<br />

ulifanyika bila kupitia MSD.<br />

• Mizania ya hesabu imeonyesha orodha ya wadaiwa<br />

kiasi cha Sh.64,733,890 na wadai kiasi cha<br />

Sh.46,024,312 bila kuonyesha umri.<br />

56. Halmashauri ya Wilaya ya Maswa<br />

• Mapato ya Sh.1,121,000 yaliyopokelewa na mtunza<br />

fedha hayakuthibitishwa kupelekwa benki.<br />

• Halmashauri ililipa zaidi kiasi cha Sh.1,702,819 kama<br />

posho ya usumbufu wakati wa uhamisho kwa<br />

watumishi.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.11,958,500.<br />

• Mapato yaliyoingizwa vitabuni bila kupelekwa benki<br />

Sh.28,360,100.<br />

57. Halmashauri ya Wilaya ya Geita<br />

• Vifaa vilivyonunuliwa ambavyo havikuingizwa katika<br />

leja Sh.53,235,000.<br />

• Halmashauri ilifanya manunuzi bila nukuu ya bei<br />

Sh.116,848,500.<br />

• Nyaraka za mkataba wa ujenzi wa uzio katika Ofisi<br />

kuu ya Halmashauri na Vyoo kwa ajili ya matumizi ya<br />

umma havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Ripoti za tathmini kuhusu mradi wa ujenzi wa kituo<br />

cha mabasi na Ofisi ya Elimu havikuonekana wakati<br />

wa ukaguzi.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.10,278,864.<br />

• Mishahara ya kiasi cha Sh.2,889,052.28 kwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

38


watumishi waliostaafu au kufariki.<br />

• Halmashauri ilikuwa na orodha ya wadaiwa kiasi cha<br />

Sh.14,117,340 ikiwa ni madeni kutoka vikundi vya<br />

akina mama.<br />

58. Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi<br />

• Kitengo cha manunuzi kilikuwa hakifanyi kazi kwa<br />

ufanisi kwa kuwa hakuna taarifa ya manunuzi<br />

iliyowahi kuandaliwa pia Mkuu wa kitengo hakuwa<br />

katibu wa Bodi ya Zabuni kwa mujibu wa sheria ya<br />

manunuzi.<br />

• Halmashauri haikuandaa mpango wa manunuzi wa<br />

mwaka.<br />

• Vifaa vya Bohari kiasi cha Sh.12,866,330<br />

havikuingizwa katika leja.<br />

• Vitabu 3 vya stakabadhi za mapato havikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.23,028,306<br />

hazikuonekena wakati wa ukaguzi.<br />

• Uhamisho wa fedha Sh.41,831,214 bila idhini wala<br />

hesabu ya matumizi kutolewa.<br />

• Mishahara kiasi cha Sh.33,739,445 isiyolipwa<br />

haikupelekwa Hazina kinyume na taratibu.<br />

• Fedha zilizoingizwa vitabuni lakini hazimo katika<br />

taarifa ya benki Sh.40,425,817.<br />

59. Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro<br />

• Mishahara kiasi cha Sh.2,295,060 zililipwa kwa<br />

wasio watumishi.<br />

• Dondoo kuhusu taarifa za fedha hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Mtiririko wa fedha ulionyesha pungufu kiasi cha<br />

Sh.423,975,540 katika shughuli za ugharimiaji.<br />

60. Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga<br />

• Kiasi cha Sh.51,123,512 kutoka kwa mawakala wa<br />

kukusanya mapato hakikupokelewa Halmashauri.<br />

• Hakuna ushahidi wa kuthibitisha kiasi cha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

39


Sh.24,026,463 kilichokusanywa na mawakala na<br />

kupokelewa na mtunza fedha hatimaye kupelekwa<br />

benki.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.3,464,000.<br />

• Mishahara isiyolipwa Sh.31,686,716 haikurejeshwa<br />

Hazina kinyume na utaratibu.<br />

• Kiasi cha Sh.5,003,030 Kilicholipwa kama karadha<br />

hakikuingizwa vitabuni wala kurejeshwa.<br />

• Mapato ya Sh.2,374,729 yalionekana vitabuni lakini<br />

hayakuonekana katika taarifa za benki.<br />

61 Halmashauri ya Wilaya ya Kyela<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.24,656,496<br />

hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Kiasi cha Sh.9,600,025 kililipwa na Halmashauri kwa<br />

ajili ya kulipia madeni ya nyuma ambayo<br />

hayakuonyeshwa katika hesabu.<br />

• Mishahara isiyolipwa Sh.7,826,658 haikurejeshwa<br />

Hazina.<br />

• Wadai walionyeshwa pungufu kwa kiasi cha<br />

Sh.36,675,701 ikiwa ni mishahara ya watendaji wa<br />

Kata na Vijiji.<br />

62. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya<br />

• Kazi za ujenzi zimelipwa bila kumalizika<br />

Sh.14,000,000.<br />

• Fidia ya ucheleweshaji bado kulipwa Sh.5,320,930<br />

Tofauti ya mishahara iliyopokelewa toka Hazina na<br />

iliyolipwa kutoka akaunti ya amana Sh.14,038,202.<br />

• Tofauti ya kiasi kilichopokelewa katika akaunti ya<br />

Amana na kilicholipwa kwenda katika akaunti ya<br />

Elimu na Afya Sh.13,337,648.<br />

• Mishahara na makato ya kisheria ambayo haikubakia<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

40


kama mishahara isiyolipwa Sh.2,134,974.<br />

• Magari 3 hayakuorodheshwa katika rejista ya mali za<br />

kudumu.<br />

63. Halmashauri ya Manispaa ya Musoma<br />

• Makusanyo ya mapato toka kwa mawakala ambayo<br />

hajawasilishwa Halmashauri Sh.11,220,000.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh. 3,264,221.<br />

• Tofauti isiyofafanuliwa ya Sh. 18,096,427 kati ya<br />

taarifa ya mapato na matumizi na mchanganuo wa<br />

mapato na matumizi.<br />

• Jumla ya wadaiwa wa Halmashauri wameonyeshwa<br />

pungufu katika mizania ya hesabu kwa<br />

Sh.45,360,912.05.<br />

• Mishahara isiyolipwa Sh.5,957,240 haijarejeshwa<br />

Hazina.<br />

• Sh.16,434,349 zilionekana katika vitabu vya<br />

Halmashauri lakini hajapelekwa Benki.<br />

• Hundi zilizochacha kiasi cha Sh.10,246,785.<br />

64 Halmashauri ya Wilaya ya Handeni<br />

• Kiasi cha Sh.224,749,488 kililipwa MSD na Wizara ya<br />

Afya kwa niaba ya Halmashauri bila kuonyeshwa<br />

kwenye vitabu vya Halmashauri.<br />

• Bakaa iliyopo katika taarifa za benki<br />

Sh.1,263,245,980 inatofautiana na taarifa zilizoko<br />

katika vitabu vya Halmashuri Sh. 1,262,534,280.<br />

• Mapato yaliyomo katika vitabu vya Halmashauri<br />

lakini hayakuonekana katika taarifa ya benki<br />

Sh.1,025,071.<br />

65 Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga<br />

• Vitabu vya kukusanyia mapato 17 (HW5) na vitabu 8<br />

vya ushuru wa soko vilitolewa kwa wakusanyaji wa<br />

mapato na havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Mapato ya Sh.1,756,775 toka vyanzo mbalimbali<br />

hayakuwasilishwa kwa mtunza fedha wa<br />

Halmashauri.<br />

• Mishahara kiasi cha Sh.1,242,661 ikihusiana na<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

41


watumishi waliostaafu, waliofariki na wengine<br />

ambao hawapo kazini haijafutwa katika orodha ya<br />

mishahara.<br />

• Uchakavu umeonyeshwa pungufu kwa Sh.11,270,311<br />

kutokana na kutumia kiwango cha 20% badala ya<br />

25%.<br />

• Mizania ya Hesabu imeonyesha wadaiwa kiasi cha<br />

Sh.18,017,284 bila kuonyesha umri.<br />

66. Halmashauri ya Wilaya ya Pangani<br />

• Manunuzi ya bidhaa na huduma bila nukuu ya bei<br />

Sh.1,085,000<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.65,501,552<br />

67. Halmashauri ya Jiji la Tanga<br />

• Masuala ya miaka ya nyuma yanayohusiana na<br />

marejesho kutoka kwa wadaiwa ambayo hayajalipwa<br />

yakisubiri uamuzi wa mahakama<br />

• Kutokutengenezwa kwa Mizania ya Hesabu na taarifa<br />

zake ambatanifu za kila idara.<br />

• Mishahara isiyolipwa Sh.39,190,909 ikiwahusisha<br />

watumishi waliostaafu, waliofariki na waliotoroka<br />

kazini bila kufutwa kwenye orodha ya mishahara.<br />

• Kiasi cha Sh.890,820 kililipwa zaidi kutokana na<br />

kutumia bei iliyotofauti na iliyoko katika nukuu za<br />

bei<br />

68. Halmashauri ya Wilaya ya Bunda<br />

• Malipo ya Sh.37,582,380 yalifanyika bila kuwa na<br />

viambatanisho sahihi.<br />

• Bidhaa zenye thamani ya Sh.38,455,000 zililipiwa<br />

lakini zimepokelewa pungufu na nyingine<br />

kutopokelewa kabisa<br />

• Vifaa vyenye thamani ya Sh.14,255,450 viliagizwa na<br />

kulipiwa lakini havijaingizwa vitabuni.<br />

69. Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba<br />

• Vifaa vya Ofisi na Samani vilinunuliwa kwa kutumia<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

42


masurufu Sh.11,400,000<br />

• Vifaa vya Sh.29,950,000 vilinunuliwa bila ushindani<br />

wa bei<br />

• Vitabu 22 vya kukusanyia mapato (HW5)<br />

havikuonekana wakati wa Ukaguzi.<br />

• Mishahara isiyolipwa Sh.3,979,099 haijarejeshwa<br />

Hazina kinyume na taratibu<br />

• Mapato yaliyoonyeshwa katika vitabu vya<br />

Halmashauri lakini hayamo katika taarifa za Benki<br />

Sh.7,413,860<br />

70 Halmashauri ya Wilaya ya Hanang<br />

• Mikataba pamoja na shahada ya mhandisi za kuthibitisha<br />

kukamilika kwa kazi hazikuonekana wakati wa ukaguzi<br />

Sh.29,743,000<br />

• Hati za malipo za Sh.2,071,000 hazikuonekana wakati wa<br />

ukaguzi.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh. 24,690,200 inayowahusu<br />

watumishi ambao hawapo katika ajira, haijarejesha<br />

Hazina kinyume na taratibu<br />

• Kuongezeka kwa nakisi katika taarifa ya mtiririko wa<br />

fedha ya Sh.320,143,674 kwenye kipengere cha<br />

ugharimiaji hakikuweza kuhakikiwa wakati wa ukaguzi<br />

kutokana na kutokuwepo kwa mchanganuo wake.<br />

71. Halmashauri ya Manispaa ya Tabora<br />

• Manunuzi yaliyofanyika nje ya mipango wa<br />

manunuzi Sh.26,691,881<br />

• Vifaa vilivyolipiwa bila kupokelewa Sh.6,155,200<br />

• Utoaji wa vifaa bila kuwepo uthibitisho wa<br />

ugawaji Sh.15,035,200<br />

• Kitabu kimoja cha mapato (HW5. 434131 –<br />

434250) kilichotolewa kwa mkusanya mapato<br />

bado kurudishwa Halmashauri<br />

• Makusanyo pungufu yaliyotokana na ushuru wa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

43


mauzo ya Tumbaku Sh.13,484,405<br />

• Kukosekana kwa ushahidi wa kupokelewa kwa<br />

Sh.182,074,000 kutoka kwa RAS kwa ajili ya miradi<br />

ya maendeleo.<br />

• Madawa na vifaa tiba vilivyolipiwa MSD na Wizara<br />

ya Afya kwa niaba ya Halmashauri Sh.73,500,000<br />

havikuingizwa katika hesabu za Halmashauri.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.54,493,091.<br />

• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.14,131,960<br />

haijarejeshwa Hazina kinyume na utaratibu<br />

• Kukosekana kwa shahada ya kuthibitisha fedha<br />

zilizowekezwa Sh.15,604,258<br />

• Madawa yaliyobakia mwisho wa mwaka<br />

hayakuonyeshwa katika Mizania ya Hesabu<br />

72. Halmashauri ya Wilaya ya Songea<br />

• Manunuzi ya vipuri vya magari na matengenezo<br />

yalifanyika kwa njia ya kutoa masurufu kinyume na<br />

taratibu Sh.9,142,280<br />

• Manunuzi ya bidhaa Sh.12,331,000 yalifanyika bila<br />

nukuu ya bei.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.10,295,491.<br />

• Vitabu 13 vya wazi vya kukusanyia mapato<br />

havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Posho ya kiasi cha Sh.25,367,000 kililipwa kwa<br />

watumishi bila uthibitisho wa orodha ya<br />

mahudhurio, na viwango vilivyotumika.<br />

• Hati za malipo ya Sh.1,407,483 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh.21,000,723<br />

haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />

• Fedha zilizowekezwa katika taasisi mbalimbali<br />

hazikuthibitishwa kutokana na kukosekana kwa<br />

shahada za kuwekeza Sh.11,423,600.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

44


3.3 Halmashauri zilizopata Hati zenye shaka<br />

Zifuatazo ni Halmshauri 61 ambazo zimepata hati zenye<br />

shaka pamoja na sababu zake.<br />

1. Halmashauri ya Wilaya ya Iringa<br />

• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />

ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa<br />

ukaguzi kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya<br />

Fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 1997<br />

• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.265,805,946<br />

hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri.<br />

• Mishahara Sh.7,466,885 isiyolipwa haikurudishwa<br />

Hazina kinyume na taratibu.<br />

• Hisa zenye thamani ya Sh.209,967,627 iliyowekezwa<br />

katika taasisi mbalimbali hazikuonekana wakati wa<br />

ukaguzi.<br />

• Vitabu vya mapato 36 vyenye thamani ya<br />

Sh.12,000,000 vinavyohusu mfuko wa Afya ya<br />

Jumuiya havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

2. Halmashauri ya Manispaa ya Iringa<br />

• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />

ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa ukaguzi<br />

kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya Fedha za<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />

• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.129,851,522<br />

hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri<br />

• Mishahara Sh.28,520,614 isiyolipwa haikurudishwa<br />

Hazina kinyume na taratibu.<br />

• Mtiririko wa fedha ulionyesha kiasi cha<br />

Sh.299,047,082 katika shughuli za uwekevu bila<br />

kuwa na mchanganuo wake.<br />

• Kiasi cha Sh.6,622,718 kilitumika zaidi kutoka<br />

katika Akaunti ya Amana.<br />

3. Halmashauri ya Wilaya ya Makete<br />

• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />

ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

45


ukaguzi kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya<br />

Fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />

• Vitabu 10 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Vifaa vya ujenzi vya Sh.7,076,000 vilinunuliwa bila<br />

kutolewa hesabu.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh.28,520,614<br />

haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />

• Hati za malipo za Sh.145,070,985 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Malipo ya Sh.107,226,670 hayakuwa na maelezo ya<br />

matumizi.<br />

4. Halmashauri ya Wilaya ya Njombe<br />

• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.36,716,667<br />

hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri.<br />

• Bakaa ya akaunti ya Amana imetofautiana na bakaa<br />

iliyoonyeshwa katika vitabu vya Halmashauri wakati<br />

wa usuluhisho wa benki Sh.6,384,644.<br />

• Ruzuku ya maendeleo isiyotumika ya<br />

Sh.872,163,182 iliingizwa kimakosa katika mtiririko<br />

wa fedha.<br />

• Mali iliyoghalani yenye thamani ya Sh.62,757,490<br />

iliyoonyeshwa katika mizania ya hesabu usahihi<br />

wake haukuweza kuthibitishwa kutokana na<br />

kutokuwepo kwa nyaraka za kuhesabia mali hiyo.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

46


5. Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa<br />

• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />

ugharimiaji wake ilionyesha salio ishia la<br />

Sh.104,614,781 kwa mwaka 2006/07, halikuonekana<br />

kama salio anzia katika mwaka 2007/08.<br />

• Fedha kutoka akaunti ya Amana zilitumika kulipia<br />

matumizi ya kawaida hazikurejeshwa katika akaunti<br />

ya Amana Sh.5,661,000.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh.20,150,541 inayowahusu<br />

watumishi walifariki, waliostaafu na waliotoroka<br />

kazini haikurejeshwa Hazina.<br />

• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.474,529,948<br />

hayakuonyeshwa katika taarifa za fedha kama wadai<br />

6. Halmashauri ya Wilaya ya Babati<br />

• Vitabu vitatu (3) vya kukusanyia mapato (HW 5)<br />

vilivyotolewa kwa makusanyaji wa mapato<br />

havikuonekana wakati wa Ukaguzi.<br />

• Malipo ya Sh.35,664,462 katika akaunti ya Afya kwa<br />

ajili ya vibarua waliofanya kazi katika zahanati za<br />

Magugu, Merry na Hospitali ya Mlala<br />

hayakuidhinishwa.<br />

• Malipo ya miaka ya nyuma Sh.15,152,500 yalilipwa<br />

mwaka 2007/08 kinyume na Agizo Na. 46 la<br />

Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa 1997.<br />

• Ukaguzi katika taarifa za fedha umegundua kwamba<br />

taarifa ya mapato iliyoonyeshwa inatofautiana na<br />

mapato yaliyopo katika leja kuu kwa Sh.954,946,373.<br />

7. Halmashauri ya Mji wa Babati<br />

• Mapato yaliyokusanywa kutokana na kodi ya Ardhi<br />

hayakuwasilishwa Sh.56,361,781.<br />

• Vifaa vya kilimo vya thamani ya Sh.3,000,000<br />

vililipiwa na havikuthibitika kupokelewa na<br />

Halmashauri.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh.4,902,796 haikurejeshwa<br />

Hazina.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

47


• Ruzuku Sh.1,040,428,552 ikiwa ni fedha za maendeleo<br />

zilionyeshwa katika taarifa ya mapato na matumizi ya<br />

kawaida kinyume na taratibu.<br />

• Fedha kwa ajili ya shughuli za uwekezaji ilionyeshwa<br />

pungufu kwa kiasi cha Sh.691,649,483 katika taarifa<br />

ya mtiririko wa fedha.<br />

8. Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro<br />

• Ruzuku ya fedha za maendeleo ya Sh.1,876,573,286<br />

ilionyeshwa katika taarifa ya mapato na matumizi<br />

kinyume na utaratibu.<br />

• Kiasi cha Sh.742,325,266 ikiwa ni matumizi ya fedha<br />

za maendeleo yalionyeshwa katika taarifa ya mapato<br />

na matumizi ya kawaida hivyo taarifa ya mapato na<br />

matumizi na mtiririko wa fedha ilipotoshwa.<br />

• Malipo yaliyofanyika bila stakabadhi ya kukiri<br />

mapokezi Sh.4,561,500.<br />

• Kuongezeka/kupungua kwa wadaiwa Sh.4,856,250 na<br />

wadai Sh.29,982,021 haikuonyeshwa kwa usahihi<br />

katika mtiririko wa fedha.<br />

• Madawa yaliyokwisha muda wake yalionekana katika<br />

bakaa ya mali iliyo ghalani Sh.747,900.<br />

• Malipo zaidi yaliyofanyika kwa mkandarasi Sh.500,000.<br />

9. Halmashauri ya Wilaya ya Iramba<br />

• Kwa ujumla Halmashauri ilitumia zaidi kwa kiasi cha<br />

Sh.311,914,505 zaidi ya mapato.<br />

• Halmashauri ilikuwa haina sera dhidi ya wadaiwa waka<br />

hivyo kusababisha mrundikano wa mapato ambayo<br />

hauajakusanywa kwa kiasi cha Sh.8,358,024.<br />

• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.103,046,824<br />

hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri.<br />

• Bakaa ya kiasi cha Sh.8,393,828 ilisalia katika akauti<br />

ya MSD haikuonyeshwa katika mizania ya hesabu za<br />

Halmashauri.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

48


10. Halmashauri ya Manispaa ya Singinda<br />

• Kwa ujumla Halmashauri ilitumia zaidi kwa kiasi cha<br />

Sh.196,161,516 zaidi ya mapato.<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.24,467,413<br />

hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Malimbikizo ya mapato kutoka kwa wadaiwa yamekaa<br />

muda mredu bila kukusanywa Sh.52,546,351.<br />

• Halmashauri ilikuwa na orodha ya wadai ya kiasi cha<br />

Sh.342,447,469 bila kuonyeshwa umri.<br />

• Madai ya walimu ya kiasi cha Sh.86,906,556<br />

hayakuonyeshwa kama wadai wa Halmashauri.<br />

11. Halmashauri ya Wilaya ya Igunga<br />

• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />

ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa ukaguzi<br />

kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya Fedha za<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />

• Manunuzi yenye thamani ya Sh.5,498,097 yamefanyika<br />

nje ya mpango wa manunuzi.<br />

• Vitabu 26 vya mapato vyenye thamani ya Sh.900,000<br />

havijarejeshwa na wakusanya mapato baada ya<br />

matumizi.<br />

• Mgao wa fedha kutoka Serikali Kuu ya kiasi cha<br />

Sh.45,750,000 haukuonyeshwa katika vitabu vya<br />

Halmashauri.<br />

• Malipo ya kiasi cha Sh.138,338,843 yalihusu madeni ya<br />

miaka ya nyuma ambayo Halmashauri ilikuwa<br />

haijayatengea fedha.<br />

12. Halmashauri ya Wilaya ya Nzega<br />

• Kulikuwa na orodha ya wadaiwa kiasi cha<br />

Sh.23,489,320 na wadai kiasi cha Sh.417,804,129 bila<br />

kuonyesha mchanganuo wa umri.<br />

• Mzania ya hesabu haukuonyesha uwekezaji wa kiasi<br />

cha Sh.18,352,724 kama kiwango cha chini cha<br />

mchango kama miliki ya Halmashauri.<br />

• Mali iliyo ghalani ya kiasi cha Sh.103,688,567<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

49


iliyoonekana katika mizania ya hesabu haikuweza<br />

kuthibitishwa kwa kukosekana orodha iliyotumika<br />

kuhesabia mali hiyo.<br />

• Hati za malipo za Sh.5,321,100 Hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Vitabu viwili (2) vya kukusanyia mapato<br />

havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh. 15,890,788<br />

haikurejeshwa Hazina kinyume cha utaratibu.<br />

• Mapato kiasi cha Sh.47,900,876 yaliyotokana na<br />

ushuru wa mazao hayakuweza kuthibitishwa kama<br />

ndiyo hayo yaliyotakiwa kukusanywa, kutokana na<br />

kutokuwepo kwa rejista ya makusanyo.<br />

13. Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo<br />

• Kiasi cha Sh.112,706,550 kwa kampuni ya Toyota<br />

Tanzania Ltd kwa ajili ya ununuzi wa gari ambalo<br />

hadi February 2009 lilikuwa bado halijapokelewa.<br />

• Vifaa vyenye thamani ya Sh.4,740,700 vilikuwa<br />

havijaingizwa vitabuni.<br />

• Mizania ya Hesabu ilionyesha wadaiwa kiasi cha<br />

Sh.58,306,792 na wadai kiasi cha Sh.92,900,403 bila<br />

kuonyesha mchanganuo wa umri.<br />

• Mannunuzi ya Kiasi cha Sh.5,546,944 yalilipwa bila<br />

nukuu ya bei.<br />

• Hati za malipo kiasi cha Sh.6,345,000 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

14. Halmashauri ya Manispaa ya Songea<br />

• Vitabu 13 (HW 5) vya kukusanyia mapato<br />

vilivyotolewa kwa wakusanya mapato havikuonekana<br />

wakati wa Ukaguzi.<br />

• Stakabadhi ya kukiri mapokezi ya kiasi cha<br />

Sh.6,896,268<br />

yaliyolipwa katika taasisi mbali mbali hazikuonekana<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

50


wakati wa ukaguzi.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.8,601,250<br />

• Hati za malipo ambazo hazikuonekana wakati wa<br />

ukaguzi Sh.32,509,983<br />

• Matumizi yaliyoonyeshwa katika akaunti isiyo sahihi<br />

ya Sh.8,514,000<br />

• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.15,231,907<br />

haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />

• Malipo yalifanyika kwa kutumia ankara vifani<br />

Sh.1,814,500<br />

• Manunuzi ya kiasi cha Sh.19,112,800 yalifanyika bila<br />

ushindani.<br />

• Vifaa vyenye thamani ya Sh.1,362,000 havikuingizwa<br />

vitabuni.<br />

15. Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji<br />

• Mishahara ililipwa kwa wafanyakazi wa muda bila<br />

kuwa na mkataba Sh.73,146,900<br />

• Mapato ya kiasi cha Sh.71,795,410 hayakurejeshwa<br />

kwa Halmashauri kutoka kwa wakala wa kukusanya<br />

mapato.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.211,793,681<br />

• Masurufu ya kiasi cha Sh. 14,515,600 hayakuingizwa<br />

katika rejista ya masurufu.<br />

• Rejista ya mali za kudumu haijahuishwa tangu<br />

mwaka 2002 Sh.3,713,314,983.<br />

• Mtaji wa Sh.4,137,351,399 ulionyeshwa katika<br />

taarifa za fedha haukuchanganuliwa.<br />

• Wadaiwa wa kiasi cha Sh.66,588,086<br />

hawakuonyeshwa umri.<br />

• Masuala yasiyosuluhishwa katika usuluhishi wa benki<br />

‣ Mapato katika taarifa za benki ambayo hayapo<br />

katika vitabu vya Halmashauri Sh.44,763,199.<br />

‣ Mapato katika vitabu vya Halmashauri ambayo<br />

hayakupelekwa benki Sh.16,859,536.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

51


‣ Mapato katika taarifa za benki ambayo hayapo<br />

katika vitabu vya Halmashauri Sh.62,640,183.<br />

• Matengenezo ya magari yaliyofanyika bila<br />

kukaguliwa kabla na baada ya matengenezo<br />

Sh.29,020,890.<br />

16. Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu<br />

• Kukosekana kwa hesabu ya matumizi ya vifaa vya<br />

Sh.15,344,170.<br />

• Mapato ya kiasi cha Sh. 5,994,500 hayakupokelewa<br />

na mtunza fedha wa Halmashauri.<br />

• Gharama za semina kiasi cha Sh. 62,473,650<br />

hazikuthibitishwa uhalali wake kutokana na<br />

kukosekana kwa nyaraka zilizohusu matumizi ya<br />

fedha hizo.<br />

• Mikopo ya Sh.13,640,410 iliyotolewa kwa vikundi<br />

vya akina mama na vijana haijarudishwa<br />

Halmashauri.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh.20,365,200 haijarejeshwa<br />

Hazina.<br />

• Vitabu 31 vya kukusanyia mapato havikuoneka<br />

wakati wa Ukaguzi.<br />

• Madeni ya muda mfupi yalionyeshwa pungufu kwa<br />

Sh.216,387,852<br />

• Makato ya kisheria ya Sh. 1,312,197 hayakupelekwa<br />

kwa taasisi husika.<br />

17. Halmashauri ya Wilaya ya Tabora Uyui<br />

• Taarifa ya matumizi ya fedha za maendeleo na<br />

ugharimiaji wake haikuwasilishwa wakati wa ukaguzi<br />

kinyume na Agizo Na.84 la Memoranda ya Fedha za<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />

• Halmashauri ilinunua bidhaa na huduma kiasi cha<br />

Sh. 285,389,328 zaidi ya kiwango kilichopo katika<br />

mpango wa manunuzi wa mwaka ulioidhinishwa<br />

uliokuwa na kiasi cha Sh.153,686,675.<br />

• Kiasi cha Sh.732,000 kilichokusanywa na wakusanya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

52


mapato hakikuwasilishwa kwa mtunza fedha wa<br />

Halmashauri.<br />

• Mikopo ya Sh.24,865,000 iliyotolewa kwa vikundi vya<br />

akina mama na watoto haikuingizwa katika rejista.<br />

Hivyo marejesho yake hayajulikani.<br />

• Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii ililipa<br />

Sh.120,057,674 MSD kwa niaba ya Halmashauri kwa<br />

ajili ya kununua dawa na vifaa. Kiasi hiki<br />

hakikuonyeshwa katika vitabu vya Halmashauri.<br />

18. Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga<br />

• Matumizi ya mafuta Sh.8,113,500 yasiyothibitishwa<br />

• Vitabu 50 (HW5) vya kukusanyia mapato<br />

havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Kiasi cha Sh. 6,288,000 kililipwa kwa ajili ya kuagiza<br />

vitabu vya kukusanyia mapato, hakuna ushahidi wa<br />

kupokelewa kwa vitabu vilivyoagizwa.<br />

• Makato ya kisheria kutoka mishahara ya wafanyakazi<br />

ya Sh.1,883,070 hayakuthibitishwa kupokelewa na<br />

taasisi husika.<br />

• Kiasi cha Sh.100,594,122 kilitumika zaidi katika<br />

akaunti zifuatazo; akaunti ya Jumla, Amana na<br />

Elimu.<br />

• Kiasi cha Sh. 10,043,900 kikihusiana na matumizi ya<br />

mwaka 2004/2005 na 2006/2007 kililipwa mwaka<br />

2007/08 bila kuwepo bajeti.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.22,131,095.73<br />

ilihamishiwa akaunti ya amana badala ya kupelekwa<br />

katika Akaunti ya RAS – Pwani kwa ajili ya<br />

kuhamishiwa Hazina.<br />

• Ununuzi wa Kompyuta bila kufuata viwango vya<br />

kitaalam.<br />

• Magari mawili yamezuiliwa katika gereji binafsi<br />

tangu mwaka 2000 kufuatia kwa Halmashauri<br />

kushindwa kulipia gharama za matengenezo.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

53


Masuala yatokanayo na ukaguzi maalum<br />

• Matumizi ya mafuta Sh. 40,626,450<br />

yasiyothibitishwa<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh. 346,310,809<br />

hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Mapato yaliwasilishwa pungufu kwa kiasi cha<br />

Sh.25,200,000.<br />

• Upotevu wa mabati 426 yenye thamani ya<br />

Sh.5,226,385 yaliyokuwa yatumike kwa ajili ya<br />

ujenzi wa shule za Sekondari.<br />

• Malipo yaliyolipwa zaidi ya Sh.4,624,916 kwa watoa<br />

huduma.<br />

• Ununuzi wa bidhaa na huduma wa Sh.4,237,000 bila<br />

kutumia zabuni.<br />

• Deni linalotegemewa la Sh.145,026,157 linahusiana<br />

na mashitaka halikuonyeshwa katika taarifa za<br />

fedha za mwaka 2007/08.<br />

19. Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe<br />

• Vitabu nane (8) - HW.5, vya kukusanyia mapato<br />

havikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Vitabu 16 HW5 vilivyotolewa kwa mawakala wa<br />

kukusanya mapato, mikataba husika haikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi<br />

• Hati za malipo za Sh.4,923,942 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Mishahara isiyolipwa kiasi cha Sh.11,441,860<br />

haikupelekwa Hazina.<br />

• Sh.11,920,920 zililipwa zaidi kwa ajili ya kandarasi<br />

bila idhini ya bodi ya zabuni.<br />

• Tofauti ya Sh.7,507,980 iliyotokea katika kandarasi<br />

haikuidhinishwa na bodi ya zabuni.<br />

• Mapato ya Sh.2,583,000 yaliyokusanywa na<br />

wakusanya mapato hayakuwasilishwa kwa mtunza<br />

fedha wa Halmashauri<br />

• Kiasi cha Sh. 840,000 kililipwa bila kuwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

54


viambatisho vya kutosha<br />

• Kiasi cha Sh.27,941,533 zililipwa ikiwa matumizi ya<br />

miaka ya nyuma, kiasi hiki hakikuonekana katika<br />

taarifa za fedha kama wadai.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya Sh.5,128,475<br />

haikurejeshwa Hazina kinyume na taratibu.<br />

• Makato ya kisheria yaliyolipwa katika taasisi<br />

mbalimbali kwa ajili ya watumishi walio acha kazi<br />

ya umma ya kiasi cha Sh. 2,418,571 hayakubakizwa<br />

katika akaunti ya amana ya Halmashauri pamoja na<br />

mishahara yao.<br />

• Halmashauri imetumia kiasi cha Sh.248,211,788 kwa<br />

ajili ya miradi ya maendeleo katika mwaka wa<br />

fedha 2007/08. Matumizi hayo yaliingizwa katika<br />

taarifa ya matumizi ya kawaida badala ya kuingizwa<br />

katika taarifa ya matumizi ya maendeleo katika<br />

vitabu vya Halmashauri.<br />

• Matumizi ya Sh.9,169,746 hayakuingizwa katika<br />

taarifa za hesabu za mwisho wa mwaka.<br />

• Matumizi ya Sh.13,000,000 yalilipwa kama posho ya<br />

madiwani kutoka katika fedha za miradi ya<br />

maendeleo.<br />

• Kiasi cha Sh.16,927,531 kilibakia MSD,<br />

hawakuonyeshwa kama wadaiwa katika hesabu za<br />

Halmashauri.<br />

20. Halmashauri ya Manispaa ya Arusha<br />

• Kiasi cha Sh. 23,100,000 kililipwa kwa ajili ya<br />

kununulia vifaa vya ujenzi wa madarasa katika<br />

shule ya Sorenyi, mchanganuo wa vifaa<br />

vilivyonunuliwa na mgawanyo wake haukuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Matumizi ya Sh.25,336,000 kutoka akaunti ya amana<br />

yalifanyika bila kuwa na viambatanisho.<br />

• Halmashauri ililipa Sh.10,000,000 kwa ajili ya<br />

kununua hisa kutoka “Arusha Community Bank”<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

55


shahada za ununuzi wa hisa hizo hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Hati za malipo za Sh.17,539,690 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Malipo ya Sh.98,327,353 yalifanyika bila<br />

viambatanisho sahihi.<br />

• Halmashauri ililipa Sh.11,616,660 kwa ajili ya<br />

safari ya waheshimiwa madiwani wawili kwenda<br />

Athens, Ugiriki na Washington - DC. Hakuna<br />

ushahidi unaoonyesha matumizi haya yalikuwa<br />

katika bajeti na hata kuidhinishwa na Kamati ya<br />

Fedha na mipango.<br />

• Halmashauri imeonyesha kuwekeza Sh.386,535,200<br />

kama ilivyo katika mizania ya hesabu, hakuna<br />

uthibitisho uliotolewa wakati wa ukaguzi<br />

kuthibitisha uwekezaji huu.<br />

• Kiasi cha Sh.11,525,000 kililipwa kwa ajili ya<br />

ukarabati wa ofisi ya uhasibu, matumizi haya<br />

hayakuwa katika bajeti.<br />

• Bakaa ya fedha iliyoonekana katika mizania ya<br />

hesabu kwa akaunti ya jumla inatofautiana kwa<br />

Sh.2,000,000 na taarifa iliyoko katika Daftari la<br />

fedha.<br />

• Malipo ya Sh.17,799,240 yalifanyika kutoka katika<br />

akaunti ya matumizi kama masurufu kwa<br />

wafanyakazi mbalimbali kwa ajili ya siku ya Serikali<br />

za Mitaa, malipo haya hayakuwa katika bajeti na<br />

marejesho yake hayakuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Mishahara isiyolipwa Sh.11,032,706 haikurejeshwa<br />

Hazina.<br />

• Mishahara kiasi cha Sh. 10,661,374 kililipwa moja<br />

kwa moja katika akaunti za benki za watumishi<br />

waliostaafu.<br />

• Malipo ya Sh.5,688,048 hayakuingizwa katika<br />

daftari la fedha la akaunti ya Elimu.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

56


• Masurufu ya Sh.22,431,490 yalitolewa kwa<br />

watumishi, bado hayajatolewa hesabu.<br />

• Halmashauri ilionyesha wadaiwa kiasi<br />

Sh.127,590,024 bila kujumuisha kiasi cha<br />

Sh.9,088,285 zilizobaki MSD.<br />

• Halmashauri iliwasilisha orodha ya vifaa vilivyo<br />

ghalani, ambavyo vilionyeshwa zaidi kwa kiasi cha<br />

Sh.3,114,600.<br />

• Wadai walionyeshwa kiasi cha Sh.19,305,432 bila<br />

kujumuisha wadai kiasi cha Sh. 22,179,551 MSD<br />

• Sh.44,154,124 zililipwa kwa ajili ya wadai wa<br />

miaka ya nyuma ambao hawakuonyeshwa katika<br />

hesabu.<br />

21 Halmashauri ya Wilaya ya Longido<br />

• Leja zilizoingiza vifaa vya Sh.12,065,000<br />

hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Vitabu 6 ya kukusanyia mapato havikuonekana wakati<br />

wa ukaguzi.<br />

• Hati za malipo za Sh.17,490,000 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Mtunza fedha hakurejesha Sh.12,767,000 kwa miezi<br />

miwili baada ya semina kuahirishwa.<br />

• Magari 15 hayakuonyeshwa katika mizania ya hesabu<br />

iliyotengenezwa mwisho wa mwaka.<br />

• Kiasi cha Sh.61,377,542 kilihamishwa kutoka katika<br />

akaunti ya amana kwenda katika akaunti mbali mbali<br />

kwa ajili ya kulipia matumizi ya kawaida.<br />

• Kiasi cha Sh.46,554,600 kilihamishwa kutoka akaunti<br />

moja kwenda akaunti nyingine bila kurejeshwa.<br />

22. Halmashauri ya Wilaya ya Monduli<br />

• Vifaa vya Sh.5,010,000 havikuingizwa katika leja.<br />

• Vitabu 24 vya kukusanyia mapato havikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

57


• Hati za malipo za Sh.17,223,452 hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Malipo ya Sh.25,072,559 hayakuwa na viambatanisho<br />

sahihi.<br />

• Stakabadhi ya kukiri mapokezi ya Sh.72,105,231<br />

hazikuonekana wakati wa ukaguzi.<br />

• Malipo ya Sh.21,963,700 kutoka akaunti ya amana<br />

hayakuambatanishwa na nyaraka sahihi.<br />

• Malipo ya posho ya kiasi cha Sh.4,358,000 yenye<br />

nyaraka pungufu.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.12,131,209<br />

haikurejeshwa Hazina.<br />

• Mishahara ya kiasi cha Sh.7,875,630 ililipwa kwa<br />

watumishi waliostaafu.<br />

• Kiasi cha Sh.4,848,160 kilionyeshwa pungufu katika<br />

jumla ya wadai.<br />

• Sh.104,746,360 zililipwa zaidi kutoka katika akaunti<br />

ya amana<br />

• Malipo ya miaka ya nyuma kiasi cha Sh.12,435,840<br />

yalilipwa mwaka 2007/08<br />

23. Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro<br />

• Kiasi cha Sh.17,318,650 kililipwa kama masurufu kwa<br />

dereva katika vipindi tofauti kwa ajili ya<br />

matengenezo ya gari.<br />

• Hati za malipo za Sh.9,190,000 hazikuonekana wakati<br />

wa ukaguzi.<br />

• Malipo ya Sh.41,993,738 yalifanyika bila<br />

viambatanisho sahihi.<br />

• Kiasi cha Sh.122,021,167 kililipwa kwa taasisi<br />

mbalimbali kwa ajili ya huduma walizotoa.<br />

Stakabadhi za kukiri malipo haya hazikuonekana<br />

wakati wa ukaguzi.<br />

• Mishahara isiyolipwa ya kiasi cha Sh.11,165,036<br />

haikurejeshwa Hazina kinyume na utaratibu.<br />

• Uchakavu wa kiasi cha Sh.453,143,946 haukuoneshwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

58


katika taarifa jumuifu ya mapato na matumizi.<br />

• Kazi zinazoendelea zenye thamani ya Sh.97,609,750<br />

zilionyeshwa kwa makosa kama fedha za maendeleo<br />

ambazo hazijatumika.<br />

• Malipo ya miaka ya nyuma yenye thamani ya Sh.<br />

41,440,539 yalilipwa mwaka 2007/08.<br />

24. Halmashauri ya Wilaya ya Muleba<br />

• Malipo ya manunuzi ya Sh.57,135,500 yalifanyika<br />

bila ushindani.<br />

• Mapato ya Sh. 22,084,000 yaliyokusanywa na<br />

wakusanyaji mapato hayakuwasilishwa Halmashauri.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh. 23,806,200<br />

• Kiasi cha Sh. 355,974,129 kililipwa zaidi ya kiasi cha<br />

kilichoidhinishwa katika bajeti, bila kibali toka<br />

mamlaka zinazohusika.<br />

25. Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba<br />

• Manunuzi yasiyozingatia ushindani Sh.7,136,500<br />

• Maduhuli toka kwa mawakala wa ukusanyaji<br />

hayakuwasilishwa Sh.7,385,000<br />

• Uwasilishwaji usiokuwa sahihi wa taarifa ya mapato<br />

na matumizi ya fedha za maendeleo –Sh.913,285,806<br />

• Umri wa wadaiwa haukuoneshwa Sh.34,920,810<br />

• Samani za ofisi zilizolipiwa lakini bado kuletwa toka<br />

kwa mzabuni Sh.2,877,500.<br />

26. Halmashauri ya Wilaya ya Ngara<br />

• Uwasilishwaji usiokuwa sahihi wa taarifa ya mapato<br />

na matumizi ya fedha za maendeleo –Sh.860,432,712<br />

• Miradi ya maendeleo yenye thamani ya<br />

Sh.998,307,744 ikiwemo ya ujenzi, majengo ya ofisi<br />

na shule imeingizwa kama matumizi katika Taarifa ya<br />

Mapato na Matumizi.<br />

• Kukosekana kwa nyaraka mbalimbali kama vile<br />

mikataba, rejista za mikataba, michanganuo ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

59


thamani na vyeti vya malipo Sh.62,971,520.<br />

• Matumizi ya fedha za maendeleo kiasi cha<br />

Sh.913,285,806 zikijumuisha kazi za ujenzi wa ofisi<br />

na shule zilionyeshwa katika hesabu za matumizi ya<br />

kawaida badala ya kuonyeshwa katika hesabu za<br />

matumizi ya maendeleo.<br />

• Umri wa wadaiwa haukuonyeshwa Sh.13,890,000<br />

• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.11,131,725<br />

• Mishahara isiyorejeshwa Hazina Sh.7,043,970.<br />

27. Halmashauri ya Wilaya ya Bahi<br />

• Wadai wasiolipwa hawakuoneshwa kwenye hesabu<br />

Sh.573,828,765<br />

• Mishahara isiyorejeshwa Hazina Sh.16,750,916<br />

• Gharama za uchakavu zisizothibitishwa Sh.22,754,665<br />

28. Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma<br />

• Magari yaliyolipiwa bado kuletwa katika Halmashauri<br />

Sh.70,500,000<br />

• Vifaa vilivyonunuliwa toka kwa wasambazaji wasio<br />

wazabuni wa Halmashauri Sh.37,151,050<br />

• Maduhuli toka kwa mawakala wa ukusanyaji<br />

hayakuwasilishwa Sh.70,589,000<br />

• Maduhuli yatokanayo na ada za matangazo<br />

hayajakusanywa Sh.57,193,600<br />

• Makato ya karadha yasiyothitishwa kurejeshwa<br />

Sh.6,499,958<br />

• Wastaafu hawakuondolewa katika orodha ya<br />

mishahara Sh.5,622,596.<br />

• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.22,684,123.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

60


29. Halmashauri ya Wilaya ya Hai<br />

• Matumizi yaliyozidi bajeti iliyoidhinishwa<br />

Sh.60,704,016<br />

• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.128,852,888<br />

• Malipo rujua ambayo hayakuthitishwa kuwemo katika<br />

Hesabu za Halmashauri Sh.12,428,447<br />

• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina Sh 21,610,261<br />

• Vifaa havikuingizwa vitabuni Sh.5,065,000<br />

• Malipo ya thamani ya Sh.3,296,250 yaliyofanyika kwa<br />

kutumia ankara kifani kinyume na taratibu .<br />

30. Halmashauri ya Wilaya ya Moshi<br />

• Malipo ya thamani ya Sh.13,609,500 yaliyofanyika<br />

kwa kutumia ankara kifani kinyume na taratibu .<br />

• Mchanganuao wa umri wa wadai Sh.5,184,004 na<br />

wadaiwa Sh.91,822,222 haukuonyeshwa kwenye<br />

majedwali.<br />

• Makadirio ya ununuzi wa magari kiasi cha<br />

Sh.85,000,000 , ununuzi wa pikipiki Sh.15,500,000 na<br />

ufungaji wa huduma ya tovuti yalihamishwa toka<br />

Akaunti ya Mfuko Mkuu kwenda Akaunti ya Amana<br />

bila idhini.<br />

31. Halmashauri ya Wilaya ya Masasi<br />

• Malipo yasiyo na faida kwa Halmashauri baada ya<br />

kushindwa kesi Sh.5,364,120.<br />

• Manunuzi yaliyofanywa bila kuzingatia mpango wa<br />

manunuzi wa mwaka Sh.26,964,000<br />

• Ununuzi wa mashine ya kurudufu bila kupata ushauri<br />

wa kitalaam toka Wizara husika Sh.15,976,000<br />

• Maduhuli hayakupelekwa benki Sh.7,767,158<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

61


• Maduhuli hayakuingizwa katika Daftari la fedha<br />

Sh.1,326,887<br />

• Kutotayarishwa kwa taarifa ya upotevu wa<br />

redio/simu ya upepo ya Zahanati ya Mkululu Sh.<br />

2,054,000<br />

• Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo Sh.26,514,600<br />

• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.31,903,853<br />

• Malipo yaliyopitwa na muda Sh.69,178,192<br />

• Karadha zisizorejeshwa Sh.77,000,000<br />

• Mikopo ya mishahara bado kurejeshwa Sh.2,180,520<br />

• Mishahara iliyolipwa kwa makosa wa watu ambao si<br />

watumishi wa Halmashauri Sh. 7,408,441.<br />

32. Halmashauri ya Manispaa Mtwara Mikindani<br />

• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.1,978,000<br />

• Kodi ya huduma ambayo hayakuambatanishwa na<br />

nyaraka za Kodi ya Ongezeko la Thamani<br />

Sh.86,233,873<br />

• Bakaa ya Mali yenye thamani ya Sh.467,870,155<br />

iliyoonyeshwa kwenye taarifa ya mtiririko halisi wa<br />

fedha imeongezwa kwa kiasi kama hicho.<br />

• Malipo ya ziada kwa mkandarasi bila kuwa na kibali<br />

cha kazi ya ziada Sh.456,509<br />

• Kutofuatwa kwa taratibu za mkataba wa ukusanyaji<br />

wa maduhuli ya soko Sh.12,020,000<br />

• Halmashauri haikutayarisha taarifa ya matumizi na<br />

mapato ya miradi ya maendeleo.<br />

33. Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba<br />

• Lita 881 za madawa ya aina ya Bayfidan yenye<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

62


thamani Sh.102,526,900 yaliyo agizwa toka M/s<br />

Bytrade Tanzania Ltd na kufanyiwa malipo kabla ya<br />

mapokezi ya mali bado kuletwa.<br />

• Gharama ya Sh.4,200,000 kwa ajili ya ununuzi wa<br />

gea boksi ilizidi kiwango kilichoidhinishwa kwa Afisa<br />

Masuuli.<br />

• Malipo ya Sh.2,847,125 yasiyo na faida kwa<br />

Halmashauri yalilipwa kwa mwenye gereji iitwayo<br />

Amars ikiwa ni tozo la asilimia 10 kwa kushindwa<br />

kulipa gharama za matengenezo kwa wakati.<br />

• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.24,819,670<br />

• Malipo yaliyopitwa na wakati Sh.29,995,311<br />

• Malipo ya mishahara kwa watumishi waliofanya kazi<br />

kama vibarua kwa muda mrefu bila kuingizwa<br />

kwenye orodha ya malipo ya mishahara kwa<br />

kompyuta kinyume na Kanuni za Kudumu za Utumishi<br />

Sh.23,926,712<br />

• Bakaa ya mali haikuambatanishwa na nyaraka za<br />

uhakiki mali Sh.23,926,712<br />

• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina<br />

Sh.2,332,309<br />

• Matumizi kiasi cha Sh.24,933,131 ya fedha za<br />

maendeleo yasiyotumika mwaka 2006/07<br />

hayakuonyeshwa katika taarifa ya hesabu za mapato<br />

na matumizi ya maendeleo za mwaka 2007/2008.<br />

34. Halmashauri ya Wilaya ya Magu<br />

• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.7,324,140<br />

• Madawa yaliyolipiwa bado kupokelewa Sh.62,396,200<br />

• Vitabu vitano (5) vya kukusanyia maduhuli<br />

havikupatikana<br />

• Maduhuli yaliyo kusanywa hayakuingizwa vtabuni<br />

Sh.2,838,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

63


• Malipo yasiyokuwa na nyaraka na yenye nyaraka<br />

pungufu Sh.48,324,463<br />

• Malipo ya ziada ya posho ya usumbufu na kujikimu<br />

Sh.813,576<br />

• Malipo yaliyofanyika mara mbili Sh.3,879,000 kwa<br />

shughuli moja.<br />

• Masurufu hayakuingizwa vitabuni Sh.13,048,340<br />

35. Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero<br />

• Matumizi zaidi ya mapato Sh.196,161,516<br />

• Malimbikizo ya wadaiwa na wadai yenye thamani ya<br />

Sh.24,358,217 na Sh.118,329,479 kwa mtiririko<br />

huo.Pia mchanganuo wa umri wa wadaiwa na wadai<br />

kiasi cha haukutolewa Sh.80,544,705<br />

• Malipo ya miaka ya nyuma Sh.18,661,256<br />

• Maduhuli yaliyo kusanywa hayakuthbitishwa<br />

kukusanywa na hayakupelekwa benki na mtunza<br />

fedha mkuu Sh.6,845,250<br />

• Malipo ya kodi ya mishahara hayakuambatanishwa na<br />

majedwali ya makato Sh.38,268,895.<br />

36. Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero<br />

• Vifaa vilivyonunuliwa bila kupata michanganuo ya<br />

ushindani wa bei Sh.21,236,000<br />

• Manunuzi ya vifaa na huduma kutoka kwa<br />

wasambazaji na watoa huduma wasio idhinishwa<br />

Sh.35,031,070<br />

• Utoaji wa vifaa usiokuwa na saini ya mwombaji<br />

Sh.19,135,969<br />

• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.20,695,569<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

64


• Umri wa wadaiwa haukuonyeshwa Sh.12,270,040<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.18,048,000<br />

hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />

• Masuala ya ulinganisho wa kibenki ya muda mrefu<br />

yakiwemo fedha ambayo haijaingizwa katika vitabu<br />

vya Halmashauri Sh.10,581,945 na malipo<br />

yaliyofanywa na benki lakini hayamo kwenye daftari<br />

la fedha Sh.2,661,500 bado hayajashughulikiwa.<br />

• Malipo ya mishahara yaliyofanywa kwa watumishi<br />

waliostaafu na waliokufa kupitia Akaunti zao za<br />

benki bila uongozi wa Halmashauri kugundua<br />

Sh.9,283,798.<br />

37. Halimashauri ya Wilaya ya Shinyanga<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh. 11,691,961<br />

hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />

• Taarifa Jumuifu ya Mapato na Matumizi<br />

haikutayarishwa kulingana na maelekezo<br />

yaliyotolewa.<br />

• Vitabu ishirini (20) vya kukusanyia maduhuli<br />

havikupatikana.<br />

• Matengenezo ya magari ya Halmashauri yaliyofanywa<br />

bila idhini na kibali toka TEMESA Sh.19,141,500.<br />

• Kukosekana kwa michanganuo ya Wadaiwa Sh.<br />

68,866,006 na na Wadai Sh.244,608,639.<br />

38. Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.28,644,946<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh. 18,674,770<br />

hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />

• Malipo yasiyothibitishwa kupokelewa na walipwaji<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

65


Sh.23,176,000.<br />

• Uhamishaji wa kiasi cha Sh.11,720,412 kutoka<br />

Akaunti za Maendeleo, Menejimenti Shirikishi ya<br />

Utunzaji wa Misitu (PFM) na Ujenzi kwa ajili ya<br />

matumizi ya kawaida bila idhini ya Waheshimiwa<br />

Madiwani.<br />

• Fedha zilizoingizwa moja kwa moja katika<br />

Akaunti ya MSD hazikuonyeshwa katika vitabu vya<br />

Halmashauri Sh.94,670,771.<br />

• Malipo ya manunuzi ya bidhaa na huduma bila<br />

kutengewa bajeti na kutokuwa na nyaraka za<br />

manunuzi Sh.8,566,259.<br />

• Matumizi yaliyozidi makisio ya bajeti<br />

Sh.194,804,613.<br />

• Malipo ya mishahara yaliyofanywa kwa watumishi<br />

wasiojulikana kupitia Akaunti zao za benki bila<br />

uongozi wa Halmashauri kugundua Sh.13,096,434.<br />

• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.16,920,700<br />

• Manunuzi bila idhini ya Bodi ya Zabuni na<br />

ushindanishi wa bei Sh.4,214,430.<br />

• Matumizi ya maendeleo yameonyeshwa kama<br />

matumizi ya kawaida na ya muda mfupi<br />

Sh.745,527,024.<br />

39. Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha<br />

• Vifaa vyenye thamani ya Sh.28,096,264<br />

vilivyotolewa toka Stoo Kuu kwenda kwenye Idara<br />

mbalimbali matumizi yake hayakuonyeshwa kwa<br />

wakaguzi.<br />

• Mikataba na Hati za Mhandisi yenye thamani ya<br />

Sh.26,651,202 haikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili<br />

ya kuhakikiwa.<br />

• Vitabu ishirini na nane (28) vya kukusanyia<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

66


maduhuli vilivyo gawiwa kwa wakusanyaji<br />

maduhuli havikupatikana.<br />

• Michango ya muda mrefu kwa taasisi mbalimbali<br />

ya kiasi cha Sh.38,504,861 haikuonyeshwa<br />

kwenye Taarifa ya Mizania hivyo wadai<br />

wameonyeshwa pungufu kwa kiasi hicho.<br />

• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.274,223<br />

• Madai ya mwaka uliopita wa 2006/2007 kiasi cha<br />

Sh.26,249,600 yamelipwa katika mwaka huu wa<br />

fedha bila kuwemo katika makadirio ya bajeti.<br />

• Mtiririko wa fedha kwa ajili ya shughuli za<br />

uwekezaji wa kiasi cha Sh.405,548,201<br />

umeonyeshwa katika Taarifa ya Mtiririko wa<br />

Fedha bila kuwa na maelezo<br />

• Mtiririko wa fedha kwa ajili ya masuala ya<br />

mapato wa kiasi cha Sh.24,013,506 umeonyeshwa<br />

katika Taarifa ya Mtiririko wa Fedha bila kuwa na<br />

maelezo ya kutosha.<br />

40. Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji<br />

• Kuna tofauti ya kiasi cha Sh.33,969,896 kati ya<br />

kumbukumbu katika leja ya mafuta na Taarifa ya<br />

Mapato na Matumizi kuhusu manunuzi ya mafuta<br />

pia kuna kutokuwepo kwa ulinganifu kati ya Idara<br />

zinazotoa na kupokea mafuta.<br />

• Matumizi ya Lita 68,597 za mafuta zenye thamani<br />

ya Sh.107,904,481 hayakuweza kuhakikiwa kwa<br />

kukosekana kwa vitabu vya kumbukumbu za<br />

matumizi ya magari za kila siku.<br />

• Manunuzi ya thamani ya Sh.9,978,000<br />

yamefanyika bila kufuata taratibu za ushindani<br />

wa zabuni.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

67


• Kiasi cha Sh.30,909,461 kimekusanywa bila kuwa<br />

na uthibitisho wa mapokezi au nyaraka za<br />

upelekaji fedha benki.<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.4,271,979<br />

hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />

• Nyaraka za upelekaji fedha benki za makusanyo<br />

ya mapato ya ndani kiasi cha Sh.14,223,930<br />

hazikuweza kupatikana.<br />

• Matumizi yaliyofanywa bila kuwepo katika bajeti<br />

Sh.98,050,323.<br />

• Kukosekana kwa maelezo ya matumizi ya fedha<br />

Sh.16,000,000<br />

41. Halmashauri ya Wilaya ya Meru<br />

• Vifaa visivyoingizwa vitabuni Sh.25,225,400<br />

• Bidhaa zilizoagizwa na kulipiwa zimepokelewa<br />

pungufu Sh.1,800,000<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.8,437,371<br />

hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.24,111,594<br />

• Malipo kwa walipwaji mbalimbali<br />

hayakuthibitishwa kupokelewa Sh.243,609,944<br />

• Malipo ya posho yenye shaka Sh.8,065,000<br />

• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />

vitabu vya Halmashauri Sh.122,360,826<br />

• Thamani ya magari nane(8) haikuonyeshwa<br />

kwenye Taarifa za Fedha za Halmashauri<br />

• Kutotayarishwa kwa Rejista ya Madeni<br />

• Kukosekana kwa Sera ya achambuaji na uzuiaji wa<br />

madhara na majanga mbalimbali.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

68


42. Halmashauri ya Manispaa ya Ilala<br />

• Taarifa ya Mapato na Matumizi na Taarifa ya<br />

Matumizi ya Miradi ya Maendeleo zimeonyesha<br />

upungufu wa Sh.567,342,760.<br />

• Malipo ya ziada kwa mkandarasi bila kibali haali<br />

cha nyongeza Sh.12,186,000<br />

• Malipo ya ziada kwa Makandarasi bila idhini ya<br />

Bodi ya Zabuni Sh.90,670,243<br />

• Maduhuli yaliyo kusanywa toka kwenye vyanzo<br />

vya mapato vya vyoo vya kulipia na ushuru wa<br />

masoko hayakuthibitishwa kupelekwa<br />

Halmashauri Sh.81,720,000.<br />

• Fidia ya ucheweleshaji wa ujenzi haikukatwa toka<br />

kwa makandarasi waliochelewa kumaliza kazi<br />

kulinana na mikataba Sh.194,768,696.<br />

• Mishahara isiyolipwa inayohusu watumishi<br />

waliostaafu, kufariki na kuacha kazi<br />

Sh.49,710,048.<br />

43. Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa<br />

• Manunuzi bidhaa na huduma yaliyofanywa bila<br />

kuzingatia mpango wa manunuzi wa mwaka<br />

Sh.5,770,000<br />

• Manunuzi ya vifaa na huduma kutoka kwa<br />

wasambazaji na watoa huduma wasio idhinishwa<br />

Sh.29,139,880<br />

• Hati za malipo zenye thamani ya Sh.5,452,000<br />

hazikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.229,490,107<br />

• Malipo ya miaka ya nyuma Sh.5,822,076.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

69


• Matengenezo ya magari yaliyofanywa kwenye<br />

gereji mbalimbali bila kufuata taratibu<br />

zinazotakiwa Sh.34,036,287<br />

• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina Sh.<br />

6,590,765<br />

• Uwekezaji wa Sh. 9,100,000 umilikaji wake<br />

haukuweza kuthibitika kwa kukosekana kwa<br />

nyaraka za uwekezaji<br />

• Fedha taslim benki zimeonyeshwa pungufu kwa<br />

kiasi cha Sh.1,674,112 hivyo mali za muda mfupi<br />

pia zimeonyeshwa pungufu kwa kiasi hicho.<br />

44. Halmashauri ya Manispaa ya Temeke<br />

• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina<br />

Sh.17,520,194<br />

• Malipo ya ziada kwa miradi isiyokamilika<br />

Sh.12,992,603<br />

• Taarifa ya mtiririko halisi wa fedha ilionyeshwa<br />

zaidi kwa Sh.11,272,000<br />

• Manunuzi yaliyofanywa bila kufuata mpango wa<br />

manunuzi wa mwaka Sh.278,325,007<br />

• Wadai wasioonyeshwa katika Taarifa za Hesabu za<br />

mwaka Sh.57,371,432<br />

• Kiasi kilichoonyeshwa kwenye Daftari la Fedha<br />

hakimo kwenye taarifa za benki Sh.139,227,395<br />

• Kiasi cha mali kilichooneshwa zaidi katika Mizania<br />

Sh.90,903,343<br />

• Malipo kwa mlipwaji asiyejulikana kwa kutumia<br />

hundi iliyo chacha Sh.42,621,500<br />

• Mali za kudumu zisizokuwepo zimeonyeshwa<br />

kwenye Mizania Sh.57,000,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

70


• Ada za mabango ya matangazo na majengo<br />

hazikuonyeshwa kwenye vitabu vya Halmahauri<br />

Sh.405,874,022.<br />

45. Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba<br />

• Manunuzi ya thamani ya Sh.4,300,000<br />

yamefanyika bila kutafuta nukuu za bei za<br />

ushindani.<br />

• Maduhuli toka kwa mawakala wa ukusanyaji<br />

hayakuwasilishwa Halmashauri Sh.6,000,000<br />

• Fedha zilizotumika kutoka Mfuko wa pamoja<br />

hazikutolewa maelezo Sh.16,042,000<br />

• Fedha zilizokopwa kutoka Kapu la fedha la huduma<br />

ya afya kwa matumizi ya Akaunti ya Afya bado<br />

kurejeshwa Sh.4,737,000<br />

• Matengenezo ya magari yaliyolipiwa toka Akaunti ya<br />

Amana bila kuwepo kwa fungu hilo katika Akaunti hiyo<br />

Sh.2,000,000<br />

• Ripoti ya ukaguzi kuhusu kazi za kukarabati matenki<br />

ya maji haikutolewa Sh.64,346,180<br />

• Mali za muda mrefu zenye thamani ya<br />

Sh.266,576,250 hazikuonyeshwa katika Rejista ya<br />

mali za kudumu.<br />

46. Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino<br />

• Bakaa ya bidhaa na vifaa haikuonyeshwa kwenye<br />

Mizania Jumuifu<br />

• Taarifa ya kuonyesha mapato na matumizi kwa<br />

kila kifungu na Urari hazikutayarishwa.<br />

• Gharama za uchakavu hazikuthibitishwa<br />

Sh.44,383,893<br />

• Malipo hayakuingizwa katika daftari la fedha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

71


Sh.331,122,302<br />

• Madeni ya muda mfupi hayakuonyeshwa kwenye<br />

taarifa za fedha Sh.575, 439,167<br />

• Magari na pikipiki zilizo kwisha lipiwa bado<br />

kuletwa Sh.152,400,000.<br />

• Manunuzi ya vifaa kutoka kwa wasambazaji wasio<br />

idhinishwa Sh.7,818,400.<br />

• Manunuzi yaliyofanywa bila kufuata taratibu za<br />

ushindani Sh.12,570,000.<br />

• Gharama ya madawa na vifaa tiba toka MSD<br />

hazikuonyeshwa kwenye vitabu vya Halmashauri<br />

Sh.76,281,694.<br />

• Hati za malipo za Akaunti ya Maendeleo zenye<br />

thamani ya Sh.65,006,033 hazikupatikana wakati<br />

wa ukaguzi.<br />

47. Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe<br />

• Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />

maendeleo haikuletwa pamoja na Taarifa za<br />

Fedha za mwisho wa mwaka.<br />

• Maelezo ya kutosha kuhusu ufafanuzi wa masuala<br />

mbalimbali katika Taarifa za Fedha za mwisho wa<br />

mwaka hayakutolewa.<br />

• Matokeo ya utekelezaji wa bajeti ya Maduhuli na<br />

Matumizi katika mwaka huu wa fedha hauridhishi.<br />

Katika kulinganisha makisio ya maduhuli na<br />

makusanyo halisi kuna upungufu wa hadi asilimia<br />

ishirini na nane (28%). Kwa upande mwingine,<br />

matumizi yaliyofanywa kuhusu gharama za<br />

mitihani ya shule za msingi kiasi cha<br />

Sh.133,123,975(Kulingana na ukaguzi)<br />

ukilinganisha na makisio ya bajeti ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

72


Sh.109,998,000 kupelekea kuwa na nyongeza ya<br />

matumizi ya Sh.23,125,975 au asilimia ishirini na<br />

moja (21%). Menejimenti inatakiwa kuzingatia<br />

vifungu Na.42 na 49 vya Memoranda ya Fedha<br />

kuhusu usimamizi wa bajeti.<br />

• Japokuwa Halmashauri inategemea ruzuku toka<br />

Serikalini kwa asilimia tisini na tisa (99%) ,<br />

Halmashauri imeshindwa kukusanya madeni ya<br />

Sh.169,332,308 ikimaanisha kwamba hakuna sera<br />

madhubuti ya ukusanyaji wa madeni na vilevile<br />

urejeshwaji wa masurufu na karadha ya<br />

mishahara.<br />

• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />

vitabu vya Halmashauri Sh.224,243,111<br />

• Vitabu 170 vikiwemo 66 vya wazi (HW5) na 104<br />

vya ushuru wa masoko vyenye thamani ya<br />

Sh.1,040,000 vya kukusanyia maduhuli vilivyo<br />

gawiwa kwa wakusanyaji maduhuli<br />

havikupatikana wakati wa ukaguzi.<br />

• Matumizi yasiyo na hati za malipo Sh.3,100,000 na<br />

yenye nyaraka pungufu Sh.17,331,450<br />

• Fidia ya kodi ya Sh.21,000,000 haikulipwa kwa<br />

Mamlaka ya Mji mdogo wa Mombo.<br />

• Vifaa vilivyonunuliwa vyenye thamani ya<br />

Sh.8,671,650 havikuingizwa vitabuni kinyume na<br />

Kifungu Na.223 cha Memoranda ya Fedha ya<br />

mwaka 1997.<br />

• Ukaguzi umeshindwa kuthibitisha mapokezi na<br />

matumizi ya vifaa vilivyonunuliwa vya thamani ya<br />

Sh.19,107,200 kwa kukosekana kwa nukuu za leja,<br />

nyaraka za mapokezi na vifaa vyenyewe.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

73


• Majedwali na taarifa za ulinganisho wa benki kwa<br />

Akaunti tano (5) hazikupatikana.<br />

48. Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto<br />

• Mabomba yenye thamani ya Sh.4,175,000<br />

yaliyonunuliwa katika mwaka huu wa fedha<br />

hayakuingizwa vatabuni.<br />

• Malipo ya matengenezo ya magari ambayo<br />

hayakufaniwa ukaguzi na Mhandisi mitambo kabla na<br />

baada ya matengenezo Sh.17,413,800<br />

• Vifaa vilivyonunuliwa havikuingizwa vitabuni<br />

Sh.15,512,850<br />

• Mafuta ya magari yaliyonunuliwa toka kwa<br />

wasambazaji wasioidhinishwa Sh.80,872,649<br />

• Vifaa vilivyonunuliwa viliingizwa vitabuni kabla<br />

havijaletwa Halmashauri Sh.10,863,500<br />

• Vitabu mia moja na arobaini na tano (145) vya<br />

kukusanyia maduhuli havikupatikana.<br />

• Uingizwaji vitabuni wa maduhuli ya kiasi cha<br />

Sh.36,520,880 yaliyokusanywa katika mwaka<br />

husika haukuweza kuthibitishwa.<br />

• Maduhuli yaliyokusanywa na kuingizwa vitabuni<br />

mapokezi yake hayakuweza kuthibitishwa kwa<br />

kukosekana uthibitisho wa mapokezi Sh.65,120,275<br />

• Matumizi yasiyo na hati za malipo Sh.83,811,074 na<br />

yenye nyaraka pungufu Sh.515,134,358.<br />

• Mizania Jumuifu imeonyeshwa pungufu kwa kiasi cha<br />

Sh.5,126,010 kwa sababu ya kutokuonyesha bakaa<br />

ya vifaa inayohusu Idara ya Afya ya Sh.94,268,330<br />

iliyomo katika Taarifa ya Urari badala ya kiasi<br />

halisi cha Sh.99,394,340.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

74


49. Halmashauri ya Wilaya ya Muheza<br />

• Manunuzi ya kadi za wagonjwa wa nje<br />

hayakuidhinishwa na Bodi ya Zabuni<br />

Sh.12,000,000<br />

• Vyakula vilivyoletwa pungufu kwenye kituo cha<br />

afya cha Mkuzi Sh.4,235,500<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.40,585,940<br />

• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />

vitabu vya Halmashauri Sh.141,208,854<br />

• Umri wa wadaiwa kiasi cha Sh.170,445,604<br />

haujaonyeshwa.<br />

50. Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi<br />

• Hakuna uthibitisho wa mapokezi na matumizi ya<br />

vifaa vilivyonunuliwa Sh.76,685,400<br />

• Vifaa vilivyonunuliwa vyenye thamani ya<br />

Sh.12,686,600 havikuingizwa vitabuni<br />

• Matumizi yasiyo na hati za malipo Sh.52,719,312<br />

• Matumizi ya miaka ya nyuma yaliyolipwa mwaka<br />

huu wa fedha Sh.19,085,360<br />

• Kiasi cha Sh.46,367,011 kilichowekwa kwenye<br />

Akaunti ya Amana kwa ajili ya malipo ya posho za<br />

waalimu zimetumika kwa malipo mengine.<br />

• Mali za kudumu za maendeleo zimeonyeshwa<br />

pungufu katika Taarifa ya Mizania Sh.889,394,447<br />

• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />

vitabu vya Halmashauri Sh.45,745,500<br />

51. Halmashauri ya Mji wa Korogwe<br />

• Vifaa vilivyo agizwa na kulipiwa havikuingizwa<br />

vitabuni Sh.10,814,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

75


• Kumbukumbu za matumizi ya mafuta ya magari<br />

yenye thamani ya Sh.15,845,246 hazikutolewa<br />

kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />

• Taarifa ya tathmini ya fidia ya viwanja kiasi cha<br />

Sh.8,589,071 haikutolewa kwa wakaguzi kwa ajili<br />

ya uhakiki.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.18,211,000<br />

• Jedwali la mali za kudumu zenye thamani ya<br />

Sh.502,048,799 zilizoonyeshwa kwenye Mizania<br />

halikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />

• Vitabu vitatu (3) vya kukusanyia maduhuli<br />

havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />

• Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />

maendeleo haikutayarishwa na kuletwa kwa<br />

wakaguzi .<br />

52. Halmashauri ya Wilaya ya Liwale<br />

• Manunuzi ya Sh.9,833,650 yamefanywa bila<br />

kuzingatia mpango wa manunuzi wa mwaka<br />

ulioidhinishwa.<br />

• Vifaa vilivyo nunuliwa havikuingizwa vitabuni<br />

Sh.5,380,600<br />

• Malipo kwa ajili manunuzi ya bidhaa yamefanywa<br />

kwenye Akaunti aya mtu binafsi badal ya kampuni<br />

ya biashara Sh.31,000,000<br />

• Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo<br />

Sh.20,191,052.<br />

• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.206,663,575.<br />

• Kuonyeshwa zaidi kwa mapato jumuifu<br />

Sh.25,401,418<br />

• Kuonyeshwa zaidi kwa matumizi Sh.117,148,012<br />

• Kiasi cha mapato ya ndani, ruzuku na fedha za<br />

wahisani ni Sh.5,765,772 badala ya 5,790,487,189<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

76


zilizoonyeshwa kwenye Taarifa ya Mtiririko Halisi<br />

wa Fedha.<br />

• Kiasi cha majengo, mitambo na mashine ni<br />

Sh.423,164,754 badala ya 410,964,754<br />

kilichoonyeshwa kwenye Taarifa ya Mtiririko<br />

Halisi wa Fedha.<br />

53. Halimashauri ya Wilaya ya Bariadi<br />

• Masuala yasiyo suluhishwa katika taarifa za<br />

ulinganisho za benki<br />

- Mapato bado kuingia vitabuni Sh.7,165,000<br />

- Makato yaliyofanywa na benki lakini hayamo kwenye<br />

Daftari la Fedha Sh.133,748,635<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa mtiririko wa fedha<br />

zinazotokana na uwekezaji Sh.2,892,538,829.<br />

54. Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe<br />

• Taarifa Jumuifu ya Mapato na Matumizi<br />

haikutayarishwa kulingana na utaratibu<br />

unaotakiwa. Taarifa hiyo imeonyesha jedwali<br />

lenye maelezo mbalimbali yasiyo hitajika<br />

kuchapishwa kama Taarifa za Fedha za<br />

Halmashauri. Tarakimu za ulinganishi<br />

hazikuonyeshwa na wala tarakimu nyingine hazina<br />

maelezo.<br />

• Taarifa Jumuifu ya Mapato na Matumizi<br />

inaonyesha ziada ya matumizi ya Sh.683,761,201.<br />

• Matengenezo ya magari ya Halmashauri ya kiasi<br />

cha Sh.44,724,922 yameidhinishwa bila kupitia<br />

TEMESA.<br />

55. Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe<br />

• Maduhuli toka kwa mawakala wa ukusanyaji<br />

hayakuwasilishwa Halmashauri Sh.106,508,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

77


• Vitabu arobaini (40) vya kukusanyia maduhuli<br />

havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />

• Halmashauri haikutayarisha Taarifa ya mapato na<br />

matumizi ya miradi ya maendeleo.<br />

• Manunuzi ya vifaa vya maji vyenye thamani ya<br />

Sh.29,923,400 yamevuka kiasi manunuzi<br />

kinachotakiwa kufanywa na Afisa Masuuli.<br />

• Halmashauri haikutayarisha Taarifa ya ulinganisho<br />

wa benki,<br />

• Matumizi yaliyofanywa bila kuwa na fungu la makisio<br />

katika bajeti Sh.4,242,265.<br />

56. Halmashauri ya Jiji la Mwanza<br />

• Makubaliano ya kazi za ziada na hati ya<br />

uthibitisho ya mhandisi kwa kazi za nyongeza<br />

kuhusu ujenzi wa baraza ya ndani katika Ofisi kuu ya<br />

Halmashauri ya jiji la Mwanza havikuweza kuletwa<br />

kwa wakaguzi kwa uhakiki Sh.8,646,000.<br />

• Vitabu viwili (2) vya kukusanyia ushuru wa jumla<br />

na vile sita(6) vya ushuru wa majengo<br />

havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />

• Taarifa ya ushuru wa huduma kiasi cha<br />

Sh.1,144,363,800 haikutayarishwa.<br />

• Hundi zilizo chacha zenye thamani ya<br />

Sh.2,010,697 hazikuinizwa vitabuni.<br />

• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh. 41,168,900<br />

• Mishahara isiolipwa haikurejeshwa Hazina<br />

Sh.22,151,251<br />

• Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />

maendeleo haikutayarishwa na kuletwa kwa<br />

wakaguzi.<br />

57. Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro<br />

• Kiasi kilichotumika kwa matumizi ya miradi na<br />

kazi za maendeleo kimeonyeshwa kama matumizi<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

78


ya kawaida Sh.453,954,092<br />

• Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />

maendeleo haikutayarishwa na kuletwa pamoja<br />

na Taarifa za Fedha.<br />

• Masurufu ya Sh.49,920,055 na karadha za<br />

mishahara Sh.6,694,782 bado kurejeshwa.<br />

• Halmashauri inadaiwa kiasi cha Sh.129,015,734 na<br />

wadai mbalimbali. Pia wadaiwa wa kiasi cha<br />

Sh.85,511,272 umri wao haukuonyeshwa.<br />

• Kiasi cha Sh.41,117,076 kimekopwa toka Akaunti ya<br />

Amana na kutumika kwa matumizi ya kawaida bila<br />

idhini.<br />

• Gari lenye thamani ya Sh.66,875,000 lililoagizwa na<br />

kulipiwa tokea mwezi Disemba 2007 bado kuletwa.<br />

• Fedha zilizopelekwa MSD hazijaonyeshwa kwenye<br />

vitabu vya Halmashauri Sh.21,870,533<br />

• Upelekaji benki wa maduhuli yaliyokusanywa<br />

ulikuwa haufanyiki kila siku kwani ukaguzi umebaini<br />

kuwa maduhuli yaliyokusanywa kati ya kipindi cha<br />

tarehe 4 Machi, 2008 hadi tarehe 8 Septemba, 2008<br />

hayakupelekwa benki kwa muda wa kati ya siku<br />

ishirini na moja(21) hadi siku sitini na tano(65).<br />

58. Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu<br />

• Manunuzi ya kompyuta yasiofuata taratibu za<br />

ushindani Sh.1,900,000<br />

• Malipo ya ziada kwa mkataba Sh.4,447,325.<br />

• Mkandarasi anayejenga jengo la utawala la<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu amelipwa<br />

zaidi Sh.4,447,325<br />

• Matumizi yenye nyaraka pungufu Sh.12,282,600<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

79


• Mali za kudumu zenye thamani ya<br />

Sh.1,182,431,838 zilizohamishiwa toka<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi hazikuingizwa<br />

vitabuni.<br />

59. Halmashauri ya Wilaya ya Lindi<br />

• Kitabu kimoja(1) cha kukusanyia maduhuli<br />

hakikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya uhakiki.<br />

• Malipo yenye nyaraka pungufu Sh.1,900,000<br />

• Manunuzi yaliyofanywa bila kuzingatia mpango wa<br />

manunuzi ulioidhinishwa.<br />

• Fidia/tozo ya ucheweleshaji wa ujenzi haikukatwa<br />

toka kwa malipo ya mkandarasi Sh.4,852,492<br />

• Matumizi ya miaka ya nyuma yaliyolipwa katika<br />

mwaka huu wa fedha Sh.2,172,360.<br />

60. Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga<br />

• Malipo yasiyokuwa na viambatanisho vya matumizi<br />

kama vile ankara,kumbukumbu za kupokelea<br />

mali,orodha za walipwaji Sh.209,035,119<br />

• Vifaa vya ujenzi vilivyonunuliwa kwa kutumia<br />

masurufu maalum vimegawiwa kwa maafisa wa<br />

Halmashauri Sh.70,928,495<br />

• Hati za malipo zilizokesekana Sh.423,558,449<br />

• Manunuzi yaliyofanywa bila kufuata taratibu<br />

zinazotakiwa Sh.47,965,240<br />

• Masurufu yaliyotolewa kwa watumishi wa<br />

Halmashauri na taasisi nyingine bado kurejeshwa<br />

Sh.17,359,350<br />

• Kumbukumbu za matumizi ya vifaa<br />

vilivyonunuliwa hazikuweza kuthibitishwa<br />

Sh.46,888,636<br />

• Manunuzi yaliyofanywa bila nukuu za bei<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

80


Sh.11,448,000<br />

• Malipo ya mishahara yasiyoambatanishwa na<br />

mchanganuo wa kompyuta Sh.139,886,671<br />

• Vitabu ishirini na tano (25) vya kukusanyia<br />

maduhuli havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya<br />

uhakiki.<br />

61. Halmashauri ya Wilaya ya Ileje<br />

• Hati za malipo zilikosekana Sh.54,338,939<br />

• Vitabu ishirini na tano (25) vya kukusanyia<br />

maduhuli havikuletwa kwa wakaguzi kwa ajili ya<br />

uhakiki.<br />

• Maduhuli ya kiasi cha Sh.2,393,740 hayakuingizwa<br />

kwenye vitabu vya Halmashauri.<br />

• Magari saba (7) ya Halmashauri hayakuingizwa<br />

kwenye jedwali la mali za kudumu.<br />

• Magari na pikipiki zenye thamani ya<br />

Sh.192,154,166 havikuweza kuonekana katika<br />

eneo la ofisi za Halmashauri wala kuelezwa na<br />

menejimenti mahali zilipo.<br />

• Vifungu vya matumizi kiasi cha Sh.21,231,250<br />

havikuonyeshwa kwenye Taarifa za Fedha za<br />

Halmashauri.<br />

• Ongezeko la mali za muda mfupi zilizoonyeshwa<br />

kwenye taarifa ya mtiririko halisi wa fedha<br />

zimeongezwa kwa kiasi cha Sh.22,608,290<br />

• Bakaa ya fedha za maendeleo kwenye Mizaniaya<br />

Sh.23,240,218 imeonyeshwa pungufu kwa kiasi<br />

cha Sh.108,380,848.<br />

3.4 Mchakato wa Utayarishaji wa Taarifa za Fedha<br />

3.4.1 Utangulizi<br />

Mambo muhimu katika mfumo wowote wa utawala bora na<br />

uwajibikaji katika Sekta ya Umma zikiwemo Serikali za<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

81


Mitaa ni utayarishaji wa Taarifa za Fedha kulingana na<br />

Viwango vya Uhasibu vya Kimataifa vinavyoeleweka na<br />

kukubalika.<br />

Taarifa za Fedha ni muhimu katika kuonyesha ni vipi na<br />

kwa kiasi gani sekta ya Umma katika ngazi ya Taasisi<br />

mojamoja na Serikali yote kwa ujumla zinatimiza<br />

majukumu yao katika usimamizi wa masuala ya fedha.<br />

Mabadiliko ya hivi karibuni yameongeza mbinyo katika<br />

ratiba ya utayarishaji wa taarifa za fedha, kutumia kwa<br />

ukamilifu Viwango vya Kimatafia vya Ripoti ya Fedha (IFRS),<br />

Viwango vya Kimatafia vya Uhasibu katika Sekta ya Umma<br />

(IPSAs) na takwimu za Serikali katika masuala ya fedha<br />

(GFS) zinazotumiwa kutayarisha mchakato wa matumizi ya<br />

muda mfupi (MTEF).<br />

Mabadiliko haya ni miongoni mwa mambo muhimu<br />

yanayotambulika ulimwenguni yanayohitaji uimarishwaji wa<br />

usimamizi wa fedha na ubora wa taarifa za fedha kwenye<br />

sekta ya umma na sekta binafsi.<br />

Taaluma ya uhasibu nchini Tanzania, kwa kuungwa mkono<br />

na Serikali imefanya uamuzi mzito wa kutumia kwa<br />

ukamilifu Viwango vya Kimatafia vya Ripoti ya Fedha (IFRS)<br />

kuanzia 1 Julai, 2004. Agizo Na. 57 (iii) la Memoranda ya<br />

Fedha ya Serikali za mtaa ya mwaka 1997 linazitaka<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa kutayarisha hesabu kwa msingi<br />

wa limbikizo au ongezeko. Kwa hiyo ina maana kwamba<br />

taarifa za fedha za mamlaka za serikali za Mitaa hazina<br />

budi kutayarishwa kwa mujibu wa viwango kubalifu vya<br />

Kimataifa vya utayarishaji hesabu katika sekta ya umma<br />

vinavyoonyesha na kurekodi mapato katika vitabu vya fedha<br />

kabla fedha hazijapokelewa (Accrual basis).<br />

Katika ukaguzi huu tumebaini kuwa uwezo wa Halmashauri<br />

katika utayarishaji wa hesabu na taarifa zao za fedha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

82


kulingana na muda uliowekwa, kisheria na kisera<br />

unatofautiana kwa kiasi kikubwa.<br />

Kinyume na mahitaji tajwa hapo juu, ukaguzi wa taarifa za<br />

fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa katika mwaka<br />

2007/2008 ulibaini mapungufu na kuwepo mtiririko tofauti<br />

wa utayarishaji wa taarifa za fedha hali iliyochangia<br />

kuwapotosha wasomaji wa taarifa hizo.<br />

3.4.2 Utayarishaji na uwasilishaji wa taarifa za fedha toka<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

Memoranda ya Fedha ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />

(1997) inatoa jukumu kwa Menejimenti ya Halmashauri<br />

kutayarisha taarifa za fedha kwa kutumia kanuni kubalifu<br />

za Uhasibu na kuziwasilisha kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu<br />

wa Hesabu za Serikali kupitia Kamati ya Fedha katika<br />

kipindi cha miezi mitatu mara baada ya kufungwa kwa<br />

mwaka wa fedha (30 Septemba).<br />

Halmashauri zote 133 sawa na asilimia mia moja (100%)<br />

ziliwasilisha taarifa za fedha za mwaka ilipofika 30<br />

Septemba, 2008 kisheria. Hata hivyo Halmashauri 15 kama<br />

zilivyoonyeshwa kwenye jedwali hapa chini ziliondoa<br />

taarifa zao na kuwasilisha taarifa za fedha zilizorekebishwa<br />

kati ya Novemba, 2008 na Februari, 2009 na kuacha<br />

Halmashauri 118 au asilimia themanini na tisa 89%<br />

zikizingatia uwasilishaji wa hesabu kwa mujibu wa Sheria.<br />

Idadi ya Halmashauri zilizoondoa taarifa zao za fedha na<br />

kuwasilisha taarifa zilizorekebishwa zilikuwa 15 katika<br />

mwaka uliopita (2006/2007) na mwaka huu unaofanywa<br />

tathmini (2007/2008) ni 14 kama ifuatavyo:-<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

83


Na. Jina la Halmashauri Tarehe ya kuwasilisha<br />

taarifa za fedha<br />

zilizorekebishwa<br />

1. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Kisarawe<br />

2. Halmashauri ya Mji<br />

wa Kibaha<br />

3. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Mafia<br />

4. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Bagamoyo<br />

5. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Kibaha<br />

6. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Mufindi<br />

7. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Ludewa<br />

8. Halmashauri ya Jiji la<br />

Mwanza<br />

9. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Magu<br />

10. Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Kigoma/Ujiji<br />

11. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Kibondo<br />

12. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Kasulu<br />

24 Disemba 2008<br />

16 Disemba<br />

10 Januari, 2009<br />

24 Disemba, 2008<br />

24 Disemba, 2008<br />

14 Januari, 2009<br />

29 Disemba, 2008<br />

8 Disemba, 2008<br />

13 Februari, 2009<br />

8 Novemba, 2008<br />

26 Novemba, 2008<br />

6 Novemba, 2008<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

84


13. Halmashauri ya Wilaya<br />

ya Mpanda<br />

14. Halmashauri ya<br />

Manispaa ya Kinondoni<br />

24 Novemba, 2008<br />

31 Disemba, 2008<br />

Mtiririko wa taarifa za fedha zilizorekebishwa kwa kipindi cha<br />

miaka mitatu mfululizo<br />

Mwaka wa<br />

Fedha<br />

Idadi ya<br />

Halmashauri<br />

zilizokaguli<br />

wa<br />

Idadi ya<br />

Halmashauri<br />

zilizoleta taarifa<br />

za fedha<br />

zilizorekebishwa<br />

Asilimia<br />

2005/2006 117 8 7<br />

2006/2007 124 15 12<br />

2007/2008 133 14 11<br />

(i)<br />

Kwa ujumla ukaguzi wa taarifa za fedha za<br />

Halmashauri umebaini mapungufu na kuwepo<br />

mtiririko tofauti wa utayarishaji wa taarifa za fedha<br />

kama ifuatavyo:-<br />

Miongozo miwili inayopingana kuhusu utayarishaji<br />

wa Taarifa za Fedha<br />

Katika ukaguzi wetu, tumebaini kuwepo kwa<br />

mwongozo/waraka kutoka kwa mtaalamu wa<br />

masuala ya fedha wa Mpango wa Maboresho wa<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa kanda ya Dar es Salaam<br />

wenye Kumb.Na. 2RT/DSM/FIN/169 wa tarehe 10<br />

Septemba, 2007 ambao unatoa maelekezo yasiyo<br />

sahihi kuhusu utayarishaji wa taarifa za fedha pia<br />

kuonyesha kimakosa kwamba ofisi yangu inahusika na<br />

waraka huo. Pia Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za<br />

Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa Waraka<br />

Kumb.Na. CA.26/307/01 wa tarehe 23 Julai, 2008<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

85


kuhusu taratibu za kufuatwa kuhusu ufungaji na<br />

utayarishaji wa Taarifa za Fedha za Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa.<br />

Miongozo hii miwili inapingana kuhusu yaliyomo,<br />

umbo na mwonekano wa taarifa za fedha<br />

zinavyotakiwa kutayarishwa na Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa. Matokeo yake baadhi ya Halmashauri<br />

taarifa zao za fedha zimepata hati zisizoridhisha<br />

kutokana na kutotayarishwa kulingana na Viwango<br />

kubalifu hivyo kuwapotosha watumiaji wa taarifa<br />

hizo.<br />

(ii)<br />

Kufuata Viwango kubalifu katika utayarishaji wa<br />

taarifa za fedha<br />

Karibu Mamlaka zote za serikali za Mitaa<br />

zimetayarisha taarifa zao za fedha kulingana na<br />

sehemu ya IV ya Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa<br />

Na. 9 ya mwaka 1982 (Iliyorekebishwa 2000) na Agizo<br />

Na.53 la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa ya<br />

1997 ambayo ndiyo miongozo inayotumika .<br />

Hata hivyo miongozo hiyo imepitwa na wakati<br />

kutokana na kutangazwa kwa miongozo na viwango<br />

kubalifu vya Kimataifa kama vile “IFRS” na “IPSAS”<br />

ambavyo vilianza kutumika hapa Tanzania tangu<br />

Julai, 2004<br />

Taarifa za fedha zilizoletwa kwa ukaguzi zimekosa<br />

maelezo ya kutosheleza na hazikuwa na mwonekano<br />

unaotakiwa kwa sababu baadhi ya vipengele<br />

havikuonyeshwa kama inavyotakiwa na “IPSAS”<br />

zinazotambua mapato na matumizi pale<br />

yanapojitokeza na sio pale yanapopokelewa au<br />

yanapolipwa –(Accrual Basis) hivyo kuleta ugumu<br />

katika kupima utendaji/utekelezaji na kulinganisha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

86


kati ya kipengele na kipengele na baina ya<br />

Halmashauri na Halmashauri.<br />

Kutokana na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuwa ni<br />

taasisi katika Sekta ya Umma, zinatakiwa kutumia<br />

Viwango vya Kimataifa vya Uhasibu katika Sekta ya<br />

Umma vinavyotambua mapato na matumizi pale<br />

yanapojitokeza (accrual basis).<br />

(iii) Uwasilishaji wa taarifa za fedha usio sahihi<br />

Taarifa za fedha za baadhi ya Halmashauri<br />

ziliwasilishwa bila kuonyesha hesabu linganifu<br />

hali iliyosababisha kushindwa kupata ulinganisho<br />

wenye maana wa mwaka uliopita.<br />

Kwa upande mwingine, taarifa za fedha nyingi<br />

zilizowasilishwa zimekuwa na makosa mengi ya<br />

msingi kama vile salio la kuanzia la mwaka<br />

2007/2008 kuwa tofauti na salio ishia la mwaka<br />

2006/2007 lililosababisha taarifa hizo kupotosha.<br />

(iv)<br />

(v)<br />

Hesabu zenye makosa zimeripotiwa katika taarifa<br />

jumuifu za fedha:<br />

Taarifa nyingi za fedha zilizowasilishwa na Mamlaka<br />

za Serikali za Mitaa kama mapato na matumizi na<br />

taarifa ya mtiririko wa fedha hazikuwa na<br />

majedwali na maelezo ya ufafanuzi. Katika hali<br />

hiyo, taarifa hizi za fedha zimeonekana<br />

kutokamilika.<br />

Utoaji taarifa usiosahihi wa thamani ya uchakavu.<br />

Taarifa za Fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

mbalimbali hazikujumuisha vipengele vya kupunguza<br />

uchakavu.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

87


(vi)<br />

Kutoonyeshwa kwa Rasilimali za Kudumu katika<br />

Mizania<br />

Taarifa za Fedha za Mamlaka nyingi za Serikali za<br />

Mitaa hazikujumuisha rasilimali za kudumu. Aidha<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa nyingi hazikuweka<br />

rejista za rasilimali za kudumu kwa mujibu wa Sheria<br />

na wakati mwingine pale ambapo rejista za rasilimali<br />

za kudumu zipo, hazikuwa za hivi karibuni na<br />

kuhuishwa pale inapobidi.<br />

(vii) Utoaji taarifa usiofaa na usiolingana na sera za<br />

utunzaji hesabu<br />

Agizo Na. 57 la Memoranda ya Fedha ya Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa (1997) linazitaka Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa kueleza sera za utunzaji hesabu<br />

walizotumia katika utayarishaji wa taarifa za fedha.<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa nyingi zilizotoa taarifa<br />

zimekiuka agizo hili.<br />

(viii) Utoaji taarifa zenye makosa za salio la fedha Benki<br />

Katika baadhi ya matukio, mizania za mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa zimeonyesha madeni katika akaunti<br />

za benki hali iliyoashiria kuwa Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa zimetumia fedha zaidi ya walizoweka benki<br />

kinyume na Agizo Na.156 la Memoranda ya Fedha ya<br />

Serikali za Mtaa (1997).<br />

(ix) Kutoonyeshwa kwa masurufu yasiyorejeshwa<br />

katika Taarifa za Fedha<br />

Baadhi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa zimekuwa na<br />

kiasi kikubwa cha masurufu yasiyorudishwa lakini<br />

hayakuonyeshwa katika Mizania hivyo masurufu<br />

yameonyeshwa pungufu.<br />

(x) Kuonyesha kwa makosa matumizi ya<br />

mtaji/maendeleo kama matumizi ya kawaida<br />

Wakati mwingine, matumizi ya mtaji yaliyofanywa<br />

na Mamlaka za Serikali za Mitaa yalifanywa kuwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

88


Matumizi ya kawaida kwa makosa. Kwa hali hiyo,<br />

matumizi ya kawaida yaliongezwa na matokeo yake<br />

ni kwamba ziada zilizoripotiwa zilikuwa pungufu.<br />

(xi)<br />

Hesabu za taarifa za mtiririko halisi wa fedha<br />

Katika taarifa nyingi za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa zilizokaguliwa, hesabu zilizoripotiwa katika<br />

taarifa za mtiririko halisi wa fedha hazikulinganishwa<br />

na hesabu katika Mizania ya hesabu na hivyo<br />

kufanya iwe vigumu kueleweka.<br />

(xii) Sera na kanuni zinazotumika katika utayarishaji<br />

wa Taarifa za Fedha<br />

Sera na kanuni zinazotumika katika utayarishaji wa<br />

taarifa za fedha za Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

zimefuata Viwango, Miongozo, Sheria za Serikali na<br />

Kanuni mbalimbali Halmashauri zenyewe<br />

zilivyoonyesha baadhi yake ni pamoja na:-<br />

(a) Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa Na. 9 ya<br />

mwaka 1982(Iliyorekebishwa 2000) Vifungu vya<br />

40 na 41(2)<br />

(b) Viwango vya Tanzania kuhusu utayarishaji wa<br />

mahesabu (TSSAP) vilivyotolewa na NBAA.<br />

(c) Mwongozo wa utayarishaji wa mahesabu<br />

Tanzania (TSAGs) uliotolewa na NBAA<br />

(d) Mwongozo wa Uhasibu wa Mamlaka za serikali<br />

za Mitaa (1992) uliotolewa na Ofisi ya Waziri<br />

Mkuu.<br />

(e) Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mtaa (1997).<br />

(f)<br />

Viwango vya Kimataifa vya Ripoti ya Fedha<br />

(IFRS)<br />

(g) Viwango vya Uhasibu vya Tanzania (TFAS)<br />

(h) Sheria ya Fedha za Umma Na. 6 ya mwaka<br />

2001.<br />

(i)<br />

Viwango vya Kimataifa vya Uhasibu (IAS)<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

89


(j)<br />

Viwango vya Kimataifa vya Uhasibu katika Sekta<br />

ya Umma (IPSAS)<br />

Baadhi ya mapungufu yaliyobainika katika taarifa za fedha<br />

Kutokana na tathmini ya sampuli tumebaini mapungufu yafuatayo<br />

katika utayarishaji wa taarifa za fedha za serikali za Mitaa kwa<br />

mwaka 2007/2008:-<br />

Na.<br />

Jina la<br />

Halmashauri<br />

1. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilombero<br />

2. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Hanang<br />

3. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Ileje<br />

4. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mapungufu<br />

• Malimbikizo ya Wadai<br />

yasiyoonyeshwa katika hesabu za<br />

mwaka uliopita.<br />

• Kukosekana Kwa maelezo ya<br />

vipengele katika taarifa za fedha<br />

kinyume Na. 85 la LAFM, 1997.<br />

• Kuongezeka kwa nakisi hadi<br />

Sh.320,143,074 kumeonyeshwa<br />

katika shughuli za ugharamiaji<br />

kwenye taarifa ya mtiririko halisi wa<br />

fedha.<br />

• Matumizi ya mtaji/maendeleo kiasi<br />

cha Sh.761,636,007 yameonyeshwa<br />

kama matumizi ya kawaida badala ya<br />

kuyathaminisha kama mali za<br />

kudumu.<br />

• Ongezeko la mali za muda mfupi<br />

zimeonyeshwa zaidi kwa kiasi cha<br />

Sh.22,608,290<br />

• Kukosekana Kwa maelezo ya<br />

vipengele katika taarifa za fedha<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa ruzuku ya<br />

maendeleo isiyotumika kiasi cha<br />

Sh.108,380,848.<br />

• Wadai hawakuonyeshwa kwenye<br />

taarifa za fedha Sh.7,958,789.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

90


Mbeya • Kuonyeshwa pungufu kwa Wadaiwa<br />

kiasi cha Sh.23,530,380.<br />

5. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbarali<br />

6. Halmashauri ya<br />

Jiji la Mbeya<br />

7. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Rungwe<br />

8. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Morogoro<br />

9. Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Arusha<br />

10. Halmashauri ya<br />

Mji wa Njombe<br />

• Magari yaliyotengwa kwa ajili ya<br />

kuuzwa hayakuonyeshwa katika<br />

taarifa za fedha Sh.105,000,000.<br />

• Kuonyeshwa zaidi kwa Wadaiwa<br />

mbalimbali Sh.2,772,000.<br />

• Matumizi ya maendeleo<br />

yameonyeshwa kama matumizi ya<br />

kawaida Sh.248,211,788.<br />

• Malipo kiasi cha Sh.9,169,746<br />

hayakuonyeshwa katika taarifa za<br />

fedha.<br />

• Kutotayarishwa kwa taarifa ya<br />

matumizi na mapato ya mtaji/miradi<br />

yamaendeleo.<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa matumizi<br />

Shs.5,703,048.<br />

• Kuonyeshwa zaidi kwa bakaa ya<br />

bidhaa Sh.3,114,600.<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa Wadaiwa<br />

kiasi cha Sh.9,088,285.<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa Wadai<br />

kiasi cha Sh.22,179,551.<br />

• Tofauti zilizoonekana katika bakaa<br />

au nakisi.<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa mapato ya<br />

miradi ya maendeleo isiyotumika<br />

Sh.242,322,641.<br />

• Madai ya Waalimu hayakuonyeshwa<br />

kwenye taarifa ya fedha kiasi cha<br />

Sh.33,723,787.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

91


11. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ukerewe<br />

12. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Magu<br />

13. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sengerema<br />

14. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sumbawanga<br />

15. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Mkinga<br />

16. Halmashauri<br />

hya Wilaya ya<br />

Bai<br />

• Kutotayarishwa kwa taarifa ya<br />

matumizi na mapato ya mtaji/miradi<br />

ya maendeleo.<br />

• Uwekezaji kiasi cha Sh.14,332,516<br />

haukuonyeshwa kwenye taarifa za<br />

fedha.<br />

• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />

mtaji/miradi ya maendeleo<br />

imetayarishwa bila na kuwa na<br />

taarifa muhimu kama vile : -<br />

1. Bakaa ya kuanzia ya mwaka.<br />

2. Mapato ya mtaji/miradi ya<br />

maendeleo yaliyopatikana katika<br />

mwaka 2007/2008.<br />

3. Jumla ya mapato ya maendeleo<br />

yasiyotumika hadi kufikia tarehe<br />

30 Juni, 2008 kwa kila mradi.<br />

• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />

mtaji/miradi ya maendeleo<br />

haikutayarishwa.<br />

• Kuonyeshwa zaidi kwa mali za muda<br />

mfupi katika taarifa ya mtiririko<br />

halisi wa fedha Sh.3,578,424 (Mali za<br />

kudumu hazikuonyeshwa kwenye<br />

mizania).<br />

• Kuonyeshwa pungufu Akaunti ya<br />

uchakavu wa mali kwa kiasi cha<br />

Sh.11,270,311 kwa sababu ya<br />

kutumia viwango vya uchakavu<br />

visivyo sahihi.<br />

• Kutoonyeshwa kwa madeni ya muda<br />

mfupi kiasi cha Sh.573,828,765.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

92


17. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpwapwa<br />

18. Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

ya Dodoma<br />

19. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Kondoa<br />

20. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Iringa<br />

21. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Makete<br />

22. Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

ya Bukoba<br />

23. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Ludewa<br />

• Mapato ya mtaji/maendeleo kiasi<br />

cha Sh.240,894,308 toka mwaka<br />

uliopita 2006/2007 hayakuonyeshwa<br />

kwenye Taarifa ya matumizi na<br />

mapato ya mtaji/miradi ya<br />

maendeleo .<br />

• Taarifa jumuifu ya mapato na<br />

matumizi haionyeshi makisio ya<br />

bajeti.<br />

• Kutoonyeshwa kwa bakaa ya bidhaa<br />

katika Mizania<br />

• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />

mtaji/miradi ya maendeleo<br />

haikutayarishwa.<br />

• Wadai wasioonyeshwa kwenye<br />

taarifa za fedha Sh.145,872,027<br />

• Madeni ya Waalimu hayakuonyeshwa<br />

kwenye taarifa ya fedha kiasi cha<br />

Sh.265,805,946<br />

• Madeni yasiyolipwa hayakuonyeshwa<br />

kwenye taarifa ya fedha kiasi cha<br />

Sh.112,198,087<br />

• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />

mtaji/miradi ya maendeleo<br />

haikutayarishwa<br />

ipasavyo.<br />

Haionyeshi miradi inayotekelezwa,<br />

kiasi cha kuanzia, kiasi<br />

kilichopokewa, jumla ya kiasi<br />

kilichopo kwa matumizi, kiasi<br />

kilichotumika na kiasi kisichotumika<br />

kwa kila mradi.<br />

• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />

mtaji/miradi ya maendeleo<br />

haikuonyesha salio la mwaka uliopita<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

93


24. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Kasulu<br />

25. Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

Kigoma Ujiji<br />

26. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Hai<br />

27. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Moshi<br />

28. Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

ya Moshi<br />

29. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Nachingwea<br />

kiasi cha Sh.104,614,781<br />

• Madai ya Waalimu hayakuonyeshwa<br />

kwenye taarifa ya fedha kiasi cha<br />

Sh.74,529,948<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa mishahara<br />

isiyolipwa kwa kiasi cha<br />

Sh.13,744,777<br />

• Madeni kuonyeshwa pungufu kwa<br />

kiasi cha Sh.216,387,852 ( Madai ya<br />

waalimu kutoonyeshwa kwenye<br />

vitabu vya hesabu)<br />

• Madeni kuonyeshwa pungufu kwa<br />

kiasi cha Sh.104,943,364 kwa<br />

sababu ya kutoingiza madini ya<br />

Waalimu katika hesabu.<br />

(Kuonyeshwa pungufu kwa wadai<br />

mbalimbali)<br />

• Wadaiwa hawakuonyeshwa kwenye<br />

Mizania ya hesabu Sh.24,969,917<br />

• Taarifa ya matumizi na mapato ya<br />

mtaji/miradi ya maendeleo<br />

haikutayarishwa na kuletwa pamoja<br />

na taarifa za fedha.<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa nakisi kiasi<br />

cha Sh.349,758,642<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa kwa<br />

gharama za uchakavu wa mali za<br />

muda mrefu kiasi cha Sh.47,216,817<br />

(Hakikuonyeshwa kwenye taarifa za<br />

fedha)<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa mapato ya<br />

vyanzo vya ndani Sh.3,358,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

94


30. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Kisarawe<br />

31. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Simanjiro<br />

32. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

• Maelezo kuhusu tarakimu<br />

zilizoonyeshwa kwenye taarifa ya<br />

mtiririko halisi wa fedha<br />

hayakuletwa kwa ukaguzi.<br />

• Fedha taslimu kuhusu shughuli za<br />

uwekezaji na ugharamiaji<br />

hazikuonyeshwa<br />

Taarifa ya mtiririko halisi wa fedha<br />

haikuonyesha fedha taslimu zilizoingia na<br />

kutoka kuhusu shughuli za uwekezaji na<br />

ugharamiaji japokuwa kuna kiasi cha<br />

Sh.1,631,885,872 kilichoonyeshwa<br />

kutumika kugharamia miradi ya<br />

maendeleo.<br />

• Kiasi cha kuongezeka na kupungua<br />

kwa wadaiwa na wadai<br />

kilichoonyeshwa kwenye Taarifa ya<br />

mtiririko halisi wa fedha<br />

kinatofautiana na kile<br />

kilichokokotolewa na wakaguzi kama<br />

ifuatavyo:<br />

Tofauti<br />

Wadaiwa- Sh.4,856,250<br />

Wadai – Sh.29,982,021<br />

• Matumizi ya mtaji/maendeleo kiasi<br />

cha<br />

Sh.1,876,573,285.50<br />

yameoneshwa kama matumizi ya<br />

kawaida katika taarifa ya mapato na<br />

matumizi badala ya kuonyeshwa<br />

kwenye taarifa ya mapato na<br />

matumizi ya maendeleo hivyo ziada<br />

ya Sh.182,357,048 sio sahihi.<br />

• Fedha ya miradi isiyotumika katika<br />

mwaka uliopita wa 2006/2007 kiasi<br />

cha Sh.24,933,131 hakikuonyeshwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

95


Tandahimba<br />

33. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Handeni<br />

34. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Kilindi<br />

35. Halmashauri<br />

ya Mji wa<br />

Korogwe<br />

36. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Mkuranga<br />

katika mwaka huu wa fedha.<br />

• Wadaiwa hawakufanyiwa usuluhisho<br />

hivyo kupelekea kuwepo kwa tofauti<br />

ya kiasi cha Sh.120,649,908<br />

• Kiasi kisichohakikiwa kuhusu<br />

limbikizo hasi la fedha kwa sababu<br />

ya kukosekana kwa jedwali<br />

Sh.31,497,008<br />

• Kuonyeshwa kimakosa katika taarifa<br />

ya mtiririko halisi wa fedha ongezeko<br />

la Wadaiwa na Malipo kabla kiasi cha<br />

Sh.6,658,860<br />

• Kuonyeshwa kimakosa kupungua<br />

kwa Wadai kulikoonyeshwa kwenye<br />

taarifa ya mtiririko halisi wa fedha<br />

Sh.7,621,593,000<br />

• Kuonyeshwa pungufu kwa mali za<br />

kudumu na muda mrefu kuliko athiri<br />

mizania Sh.889,394,447<br />

• Kutofautiana kwa tarakimu katika<br />

Urari na Taarifa ya mapato na<br />

matumizi.<br />

• Kuonyeshwa zaidi kwa mali za<br />

kudumu kwa kiasi cha<br />

Sh.200,190,193 bila kutolewa<br />

maelezo.<br />

• Mapato ya mtaji yasiyotumika<br />

yameonyeshwa zaidi kwa kiasi<br />

cha Sh.143,976,769.<br />

• Mapato ya mtaji yameonyeshwa<br />

kimakosa kama mapato ya<br />

matumizi ya kawaida<br />

Sh.1,668,809,961 .<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

96


37. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Ngorongoro<br />

• Kuonyeshwa zaidi kwa ruzuku ya<br />

matumizi ya kawaida na<br />

maendeleo iliyopatikana Sh.<br />

484,322,837.<br />

• Taarifa jumuifu ya mapato na<br />

matumizi iliyoletwa kwa ukaguzi<br />

imekosa jedwali la ufafanuzi wa<br />

matumizi ya kiasi cha<br />

Sh.1,153,409,892.<br />

• Ziada iliyoonyeshwa pungufu<br />

katika taarifa ya mtiririko halisi<br />

wa fedha Sh.318,320,721.<br />

• Wadai walioonyeshwa pungufu<br />

katika mizania Sh.4,848,159.<br />

Kuonyeshwa zaidi kwa mapato ya<br />

miradi ya maendeleo isiyotumika<br />

Sh.197,609,750.<br />

3.5 Tathmini ya Udhibiti wa Teknolojia ya Mawasiliano katika<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

Utangulizi<br />

Teknolojia ya Mawasiliano inazisaidia Mamlaka ya Serikali<br />

za Mitaa(LGAs) na kuziwezesha kurekebisha utendaji wa<br />

kazi na kuhimiza jitihada za kutoa huduma kwa Umma ,<br />

kuongeza ufanisi, utendaji kazi na kutumia mitambo ya<br />

mawasiliano ya kisasa na inayojiendesha yenyewe .<br />

Ingawa Teknolojia ya Mawasiliano na masuala<br />

yanayoambatana nayo huboresha huduma na kuleta ufanisi<br />

katika shughuli za Mamlaka ya Serikali za Mitaa, kwa<br />

upande mwingine inahusisha na kuchangia kuleta athari<br />

mpya kama vile udhibiti wa vifaa vya mawasiliano ambavyo<br />

vinahitaji usimamizi mzuri zaidi na makini.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

97


Utayarishaji wa taarifa za fedha na nyinginezo katika<br />

baadhi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa hutumia mifumo ya<br />

mawasiliano. Hivyo mifumo ya mawasiliano ina changia<br />

mazingira ya udhibiti katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />

na kulifanya liwe eneo muhimu ambalo ukaguzi wetu<br />

unalizingatia.<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi katika ukaguzi wake inatathmini<br />

udhibiti wa jumla na ule wa matumizi ya teknolojia ya<br />

Kompyuta kama sehemu ya ukaguzi wa mwaka wa taarifa<br />

za fedha.<br />

Udhibiti wa jumla wa Teknolojia ya Mawasiliano unahusu<br />

miundo, sera, utaratibu na viwango ambavyo vinasaidia<br />

mchakato wa uhasibu na ule wa utayarishaji wa taarifa<br />

mbalimbali. Utendaji kazi mzuri wa udhibiti wa jumla<br />

husaidia kudhibiti matumizi ili kufanya kazi zake kama<br />

ilivyokusudiwa kwa kipindi chote cha mwaka.<br />

Udhibiti wa vitumizi unafanyika katika ngazi ya uhasibu na<br />

udhibiti wa utayarishaji wa taarifa mbalimbali, ukijumuisha<br />

idhini ya utumiaji, uunganishaji na utayarishaji taarifa.<br />

Mamlaka ya Serikali za Mitaa (LGAs) zinatumia<br />

mchanganyiko wa mifumo mbalimbali katika kusaidia<br />

mipango na utayarishaji wa bajeti, usimamizi wa fedha,<br />

usimamizi na utoaji taarifa na ukusanyaji wa maduhuli.<br />

Mifumo hiyo ni kama vile: Mfumo funganifu wa usimamizi<br />

wa fedha (IFMS), Taarifa za Mipango na Bajeti (Plan – Rep),<br />

Mfumo wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa wa Usimamizi na<br />

Utunzaji wa Taarifa (LGMD). Pia Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa zimepatiwa vitendea kazi vilivyo unganishwa moja<br />

kwa moja kama vile Mfumo wa kutengeneza na kutunza<br />

Sheria ndogondogo( BLMD).<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

98


Kulingana na Taarifa ya Tathmini ya Mifumo ya mawasiliano<br />

inayosaidia Mpango wa kupeleka madaraka katika ngazi za<br />

chini za utawala (D by D) kama sehemu ya uandaaji wa<br />

Programu ya hapo baadaye iliyotayarishwa kwa ajili ya<br />

Programu ya Maboresho ya Serikali za Mitaa ya mwezi Mei,<br />

2008. Mfumo Funganifu wa Usimamizi wa Fedha (IFMS)<br />

unatekelezwa katika Halmashauri 86 kati ya Halmashauri<br />

133 .<br />

Kufanikiwa kwa juhudi za utoaji huduma kwa Umma kwa<br />

kutumia Teknologia ya mawasiliano kunategemea mambo<br />

yafuatayo:<br />

• Uhakika wa usalama na ulinzi kutokana na utumiaji<br />

usioidhinishwa, kusudio la vitendo vya uovu, na<br />

mashambulizi ambayo yanaweza kusimamisha utoaji wa<br />

huduma.<br />

• Ulinganifu au upatanifu ambao utawezesha kubadilishana<br />

kwa kielektoniki ujumbe (mifumo ya waya), nyaraka,<br />

utayarishaji wa data na taarifa nk.<br />

• Kuzuia matumizi ya rasilimali na shughuli zisizo muhimu<br />

kujirudia rudia.<br />

• Ufanisi na kuzingatia kanuni na kupata matumzi bora ya<br />

fedha zilizotumika.<br />

Mambo yaliyoelezwa hapo juu ni muhimu kuzingatiwa<br />

katika ukaguzi wa mifumo ya mawasiliano. Hata hivyo,<br />

kaguzi zilizofanywa katika Mamlaka mbali mbali za<br />

Serikali za Mitaa katika mwaka wa fedha 2007/2008<br />

zimejikita /zimejielekeza hasa katika usalama kwenye<br />

Teknologia ya mawasiliano. Nia yangu ya baadaye hasa<br />

katika kaguzi za mwaka 2008/09 na kuendelea ni kuendelea<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

99


kutathmini maeneo mengine katika mifumo ya teknologia<br />

ya mawasiliano.<br />

Madhumuni ya sehemu hii ni kuonyesha na kuelezea<br />

uwajibikaji katika Tekinolojia ya mawasiliano kwa kuelezea<br />

kwa ufupi mapungufu na athari zake katika mifumo ya<br />

Urasimu inayotumia Teknolojia ya mawasiliano. Mapungufu<br />

haya yametokana na tathmini ya mifumo hiyo iliyofanyika<br />

katika baadhi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

zilizochaguliwa ambazo zinatumia na kutekeleza mfumo<br />

Funganifu wa Fedha (IFMS) – Epicor na zile zinazotumia<br />

mifumo inayojitegemea.<br />

• Mfumo wa Epicor bado haujahuishwa ili kuingiza na<br />

kuandaa kumbukumbu za mali za kudumu, bakaa za mali na<br />

utayarishaji wa Hati za manunuzi ya vifaa (LPOs), kuandika<br />

Hundi na kutoa taarifa mbali mbali za fedha. Pia, mfumo<br />

hauwawezeshi Maafisa Masuuli kutayarisha ulinganisho wa<br />

Benki. Kwa upande mwingine, Mfumo huu hautoi<br />

mchanganuo kwa ajili ya kutengeneza taarifa za fedha.<br />

Hivyo, Mamlaka za Serikali za Mitaa huyashughulikia<br />

mapungufu hayo kwa kutayarisha taarifa za fedha nje ya<br />

mfumo kwa njia ya kawaida.<br />

• Ufunganishi wa mifumo ya uhasibu bado haujakuwa wa<br />

kisasa zaidi na kuunganishwa na mfumo mkuu uliopo Wizara<br />

ya Fedha na Uchumi. Kuna kuharibika /kusimama mara<br />

kwa mara (kutofanya kazi kwa mfumo mtandao (Network)<br />

na kukatika mara kwa mara kwa umeme. Pia IFMS<br />

haijaweza kupelekwa/kuunganishwa kwenye baadhi ya<br />

Halmashauri bado zinaendelea kutayarisha Hesabu na<br />

Taarifa za Fedha bila kutumia mfumo Funganifu wa<br />

Usimamizi wa Fedha.<br />

• Mamlaka za Serikali za Mitaa zinakosa/ hazina programu<br />

zilizojengwa ndani ya Kompyuta na za uhasibu ambazo<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

100


zingewezesha kuzuia au kugundua makosa au<br />

mapungufu/vitendo viovu (irregularities).<br />

• Mamlaka nyingi za Serikali za Mitaa hazina Sera ya<br />

Teknolojia ya Mawasiliano ambayo ingeweza kuweka<br />

mipaka ya fikio la mfumo, taratibu za kuendesha mfumo<br />

na pia kuelezea udhibiti wa vifaa na ule wa umakini.<br />

• Udhibiti wa namba za siri za kuingia na kufungua Kompyuta<br />

hauridhishi kwa sababu baadhi ya watumiaji hawana kanuni<br />

na taratibu za siri na hakuna ushahidi kwamba<br />

menejimenti inafanya tathmini ya suala hili mara kwa<br />

mara.<br />

• Kukosekana kwa wasimamizi wa mtandao (System<br />

Administrators) na kushughulikia kutafuta na kuondoa<br />

kasoro zinazojitokeza na vile vile kunakosekana sehemu<br />

/vifaa vya kurudisha taarifa (data) .<br />

• Kukosekana kwa watumishi wenye uwezo wa kutumia<br />

mifumo ya mawasiliano kama vile Epicor, Excel na<br />

matumizi ya Kompyuta kwa ujumla.<br />

• Hakuna vifaa vya kuzimia moto vya uhakika vya kuzuia<br />

moto katika vyumba vya Kompyuta na sehemu za kufanyia<br />

kazi. Mahali ambapo vifaa vya kuzimia moto vimefungwa,<br />

ukaguzi ulibaini kwamba havifanyiwi matengenezo ya mara<br />

kwa mara kama inavyotakiwa.<br />

Muhtasari wa mambo yaliyojitokeza wakati wa kutathmini<br />

udhibiti wa Teknolojia ya mawasiliano katika Mamlaka ya<br />

Serikali za Mitaa umeonyeshwa katika kiambatanisho Na.2<br />

katika taarifa hii. Kwa ufupi ni kama ifuatavyo:-<br />

• Mali za kudumu hazijaingizwa kwenye mfumo.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

101


• Ucheleweshaji wa kuingiza makisio ya bajeti katika mfumo<br />

wa wa usimamizi wa fedha<br />

• Kukosekana kwa ujuzi wa watumiaji wa mfumo ambao<br />

hawakupata mafunzo<br />

• Taarifa za hesabu za mwaka bado zinaendelea<br />

kutengenezwa bila kutumia mfumo funganifu wa<br />

usimamizi wa fedha.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

102


SURA <strong>YA</strong> NNE<br />

USIMAMIZI <strong>WA</strong> FEDHA <strong>NA</strong> MALI <strong>ZA</strong> KUDUMU KATIKA MAMLAKA <strong>YA</strong><br />

<strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA<br />

4.1 Ufuatiliaji wa utekelezaji wa maoni ya ukaguzi kwa<br />

miaka iliyopita katika Halmashauri<br />

Katika Mwaka 2007/08, mapendekezo mbalimbali ya<br />

ukaguzi yametolewa kuhusiana na masuala muhimu<br />

yalitojitokeza katika ukaguzi uliofanyika miaka ya nyuma.<br />

Tumegundua kuwa baadhi ya Halmashauri zilifanya juhudi<br />

katika kutekeleza maoni yaliyotolewa na wakaguzi. Ila ,<br />

Halmashauri 112 zilikuwa na hoja za miaka ya nyuma zenye<br />

thamani ya Sh.32,903,395,306, kati ya hizo Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kongwa ilikuwa na kiwango kikubwa zaidi cha<br />

Sh.6,813,262,872 ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Dodoma Mjini yenye jumla ya Sh.2,748,605,834. Tumekuwa<br />

tukitoa hoja na maoni ya ukaguzi kwa wakaguliwa wetu<br />

kwa lengo la kuwezesha uongozi wa Halmashauri<br />

kurekebisha kwa haraka dosari zilizoonekana ili<br />

kuuimarisha udhibiti wa ndani na usimamizi wa rasilimali za<br />

Halmashauri.<br />

Hulka ya kutoshughulikia taarifa au mapendekezo ya<br />

wakaguzi inaweza kusababisha kujirudia kwa dosari<br />

zilizoonekana miaka ijayo. Hii inaweza ikawa ni upungufu<br />

wa uwajibikaji kwa Maafisa Masuuli na Menejimenti za<br />

Halmashauri husika.<br />

4.1.1 Ulinganisho kwa ufupi wa mambo ambayo<br />

hayakushughulikiwa kwa miaka 2005/06, 2006/07 na<br />

2007/2008 ni kama ilivyo katika jedwali hapa chini:-<br />

Mwaka<br />

Kiasi mambo<br />

kisichoshughulikiwa (Sh.)<br />

Idadi ya<br />

Halmashauri<br />

2005/2006 9,035,355,267 65<br />

2006/2007 4,643,565,831 52<br />

2007/2008 32, 903,395,306 112<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

103


Mfululizo wa mambo ambayo hayakushughulikiwa yanaweza<br />

kuonyeshwa kwa kutumia kielelezo kifuatacho:<br />

Mwelekeo wa mambo ya siyoshughulikiwa kwa miaka mitatu<br />

Idadi ya Halmashauri zilizohusika<br />

120<br />

100<br />

80<br />

60<br />

40<br />

20<br />

0<br />

9,035,355,267 4,643,565,831 32, 903,395,306<br />

2005/2006 2006/2007 2007/2008<br />

Mwaka wa fedha<br />

Matokeo yanayoonekana hapo juu yanaonyesha kwamba<br />

thamani ya masuala yasiyoshughulikiwa kwa mwaka wa<br />

ukaguzi 2006/07 yalikuwa Sh.4,643,565,831 yaliyohusisha<br />

Halmashauri 52 . Katika mwaka 2006/07 masuala<br />

yasiyoshughulikiwa ya kipindi cha nyuma yaliongezeka<br />

kutoka Halmashauri 52 kwa mwaka 2006/07 hadi 112 kwa<br />

mwaka 2007/08 yakihusisha Sh.32,903,395,306 ikiwa ni<br />

ongezeko la Sh.28,258,829,475. Hii inaonyesha kuwa,<br />

menejimenti za Halmashauri zimepunguza juhudi katika<br />

kuyafanyia kazi maoni ya ukaguzi. Kiambatisho Na.3 cha<br />

ripoti hii kinaonyesha kwa undani Halmashauri na kiasi cha<br />

mambo yasiyoshughulikiwa.<br />

4.2 Usimamizi wa Fedha<br />

Usimamizi wa fedha kwa ujumla unahusisha makusanyo na<br />

mapokezi ya fedha za Umma na pia usimamizi wa akaunti<br />

za benki za Halmashauri. Masuala yaliyojitokeza wakati wa<br />

ukaguzi ni pamoja na:-<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

104


4.2.1 Masuala yasiyoshughulikiwa ya ulinganisho wa kibenki<br />

Agizo Na.134 la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa<br />

(1997) linasema kwamba waweka Hazina katika<br />

Halmashauri wahakikishe kuwa usuluhisho wa kibenki<br />

ukiwemo udhibiti kati ya kitabu cha mapato na hati za<br />

benki zinafanywa walau mara moja kwa kila Mwezi. Kwa<br />

mwaka wa fedha 2007/2008, Halmashauri 56 hazikufuata<br />

Agizo lililotajwa hapo juu; hali ambayo imesababisha kuwa<br />

na masuala mengi yasiyoshughulikiwa katika ulinganisho wa<br />

kibenki kama ifutavyo:-<br />

• Jumla ya Sh.305,703,124 zilipokelewa katika daftari za<br />

fedha katika Halmashauri lakini hazikuonekana katika<br />

taarifa za Benki. Hii inaonyesha mapungufu makubwa<br />

katika udhibiti wa mapato na mapato hayo yanaweza<br />

kuwa yametumiwa isivyo halali, hii ni kutokana na<br />

ukweli kwamba hakuna uthibitisho kuwa usuluhisho wa<br />

kibenki ulifanywa na mtu huru.<br />

• Jumla ya Hundi zenye thamani ya Sh.2,969,830,892<br />

ziliandikwa kwa watu mbalimbali lakini hazikupelekwa<br />

benki mpaka wakati wa kufunga hesabu za Mwaka<br />

tarehe 30 June, 2008.<br />

• Jumla ya Sh.168,699,801 ni Mapokezi katika daftari la<br />

fedha lakini hayapo katika taarifa za benki. Hakuna<br />

juhudi zozote zilizofanywa na Halmashauri kuhakikisha<br />

kuwa fedha hizo zimeingia benki.<br />

• Jumla ya Sh.535,856,223 ilikuwa ni malipo katika benki<br />

ambayo hayajaingizwa katika daftari za fedha za<br />

Halmashauri.<br />

• Jumla ya Sh.319,550,613 ilikuwa ni mapato yaliyoingia<br />

benki hayakuoneka katika daftari za fedha za<br />

Halmashauri.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

105


Kwa ufupi masuala yasiyoshughulikiwa ya ulinganisho wa kibenki<br />

kwa mwaka 2006/2007 na 2007/2008 yameonyeshwa katika<br />

jedwali hapa chini:-<br />

Mwaka<br />

Mapokezi<br />

katika daftari<br />

la fedha lakini<br />

hayapo katika<br />

taarifa za<br />

benki (Sh.)<br />

Hundi ambazo<br />

hazikupelekw<br />

a benki (Sh.)<br />

Fedha<br />

ambayo<br />

haijaingizw<br />

a katika<br />

akaunti ya<br />

Halmashauri<br />

(Sh.)<br />

Malipo<br />

katika benki<br />

ambayo<br />

hayajaingiz<br />

wa katika<br />

daftari la<br />

fedha (Sh.)<br />

Mapato<br />

yaliyoingia<br />

benki<br />

hayakuoneka<br />

katika daftari<br />

la fedha (Sh.)<br />

2006/2007 392,220,923 4,913,727,464 1,277,787,933 360,510,539 489,624,271<br />

2007/2008 305,703,124 2,969,830,892 168,699,801 535,856,223 319,550,613<br />

• Jedwali hapo juu linaonyesha kwamba mapokezi katika<br />

daftari la fedha lakini hayapo katika taarifa za benki<br />

kwa mwaka 2006/07 yalikuwa Sh.392,220,923 wakati<br />

mwaka 2007/08 zilikuwa Sh.305,703,124.<br />

• Hundi ambazo ziliandaliwa kwa malipo ya wateja<br />

mbalimbali lakini hazikupelekwa benki kwa Mwaka<br />

2006/2007 zilikuwa Sh.4,913,727,464 wakati mwaka<br />

2007/2008 zilikuwa Sh.2,969,830,892.<br />

• Fedha ambazo hazijaingizwa katika akaunti ya<br />

Halmashauri kwa Mwaka 2006/2007 zilikuwa ni<br />

Sh.1,277,787,933 wakati kwa Mwaka 2007/2008 zilikuwa<br />

Sh.168,699,801.<br />

• Kiasi cha Sh.535,856,223 zilipwa benki lakini<br />

hazikuingizwa katika daftari za fedha za Halmashauri<br />

kwa mwaka wa fedha 2007/2008 wakati Sh.360,510,539<br />

zililipwa benki lakini hazikuingizwa katika daftari za<br />

fedha za Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2006/2007.<br />

Mwisho, jumla ya mapato Sh.319,550,613 yaliyoingia<br />

benki lakini hayakuoneka katika daftari za fedha za<br />

Halmashauri kwa mwaka 2007/2008. Kwa mwaka<br />

2006/2007 jumla ya Sh.489,624,271 zilizoingia benki<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

106


lakini hazikuoneka katika daftari za fedha za<br />

Halmashauri.<br />

Mchanganuo masuala yasiyoshughulikiwa ya ulinganisho<br />

wa kibenki yameonyeshwa katika Kiambatanisho 4.<br />

4.2.2 Uhakiki wa fedha na Ukaguzi wa kushitukiza<br />

(i) Ukaguzi wa kushitukiza<br />

Agizo Na.170 la Memoranda ya Fedha za Serikali za<br />

Mitaa ya mwaka 1997 linamtaka Mkurugenzi wa<br />

Halmashauri au Mwakilishi wake hakufanya uhakiki<br />

wa fedha taslimu wa kushtukiza mara kwa mara. Ila,<br />

wakati wa ukaguzi tumebaini kuwa, hakuna<br />

utaratibu wala uhakiki wa fedha wa kushitukiza<br />

umefanywa na Mkurugenzi au mwakilishi katika<br />

baadhi ya Halmashauri. (Angalia kiambatanisho 5)<br />

(ii)<br />

Kutunza fedha zaidi ya kiwango kilichowekwa<br />

Agizo Na.352 la Memoranda ya Fedha za Serikali za<br />

Mitaa ya mwaka 1997 linaitaka Halmashauri kwa<br />

kutumia kamati ya Fedha na Mipango kuweka<br />

kiwango cha juu cha kuhifadhi fedha katika majengo<br />

ya Halmashuri na kiwango hicho hakitakiwi kuzidi<br />

bila kibali”.<br />

Ukaguzi wa kushitukiza uliofanywa kwa mwaka<br />

2007/2008 ulibaini kuwa, hakuna kiwango<br />

maalumu kilichowekwa na Halmashauri cha<br />

kutunza fedha katika majengo ya Halmashauri<br />

kama Agizo Na.352 la Memoranda ya Fedha za<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 1997 linavyotaka.<br />

(Angalia kiambatanisho 5).<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

107


(iii) Kutokuwa na uthibitisho wa bakaa za benki<br />

Sh.59,417,291.26<br />

Ukaguzi uliofanywa katika Halmashauri ya Mbinga<br />

kuhusiana na Usimamizi wa fedha ulibaini kuwa<br />

Halmashauri ilikuwa na Akaunti za benki 36 kwa<br />

Mwaka wa fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2008<br />

ambazo zilikuwa na jumla ya bakaa la<br />

Sh.3,283,977,288.84. Hata hivyo ni akaunti za<br />

benki 27 tu ndizo zilizothibitika kuambatana na<br />

taarifa za benki zikiwa zimesainiwa na Meneja wa<br />

Benki. Akaunti 9 zenye bakaa ya jumla ya<br />

Sh.59,417,291.26 hazikuambatana na taarifa za<br />

benki kama ifuatavyo:<br />

Akaunti Na. Jina la Akaunti Bakaa (Sh.)<br />

6171200011 CSPD 91,031.45<br />

6171200017 Mfuko wa vijana 3,793,082.16<br />

6171200018 STABEX 488,320.25<br />

6171200021 Bodi ya Elimu 2,657,268.50<br />

6171200023 UPE 154,067.90<br />

6171200026 DADPS 163,789.00<br />

6171200037 Global fund 45,882,557.00<br />

6171200039 Lundo<br />

umwagiliaji<br />

6,187,175.00<br />

Jumla 59,417,291.26<br />

4.3 Usimamizi wa mali za Halmashauri<br />

4.3.1 Usimamizi wa mali za kudumu<br />

Taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali<br />

za miaka ya nyuma zilizowasilishwa Bungeni zimetoa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

108


mapendekezo mbalimbali kuhusiana na usimamizi wa mali<br />

za kudumu katika Halmashauri. Taarifa hizi zimebainisha<br />

maeneo mbambali kuhusiana na usimamizi wa mali za<br />

kudumu na hasa, manunuzi, umiliki, uingizaji vitabuni,<br />

matengenezo na uuzaji wa mali za kudumu.<br />

Halmashauri zinasimamia miundo mbinu na mali za jamii<br />

mbalimbali kama vile barabara, majengo, mali na vifaa<br />

ambazo zinatoa huduma katika jamii. Ni muhimu<br />

Halmashauri zikaonyesha kwa vitendo matokeo ya matumizi<br />

ya vifaa vya kudumu ili jamii iweze kuona na kunufaika na<br />

huduma inayotokana na mali hizo. Katika Halmashauri zilizo<br />

nyingi mali za kudumu ndizo zinazochukua sehemu kubwa<br />

katika hesabu za Mwaka na inahitaji mwendelezo wa miradi<br />

ya maendeleo kushughulikia ukuaji na mabadiliko ya<br />

viwango. Zaidi ya hayo, mali za kudumu ndizo<br />

zinazotengeneza taarifa ya mwaka ya mapato na matumizi<br />

ya mali za kudumu.<br />

Yafuatayo ni mapungufu yaliyojitokeza wakati wa<br />

kutathmini usimamizi wa mali za kudumu uliohusisha<br />

Halmashauri thelathini na tisa (39).<br />

Na. Jina La<br />

Halmashauri<br />

1. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Mbeya<br />

Kiasi (Sh.)<br />

Matokeo ya ukaguzi<br />

- (i) magari 13<br />

yasiyokuwa na<br />

kadi za usajiri<br />

(ii) pikipiki 18 ambazo<br />

hazikuingizwa<br />

kwenye regista ya<br />

mali za kudumu<br />

(iii) Majengo<br />

yasiyokuwa na hati<br />

miliki<br />

Uhakiki wa mali za<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

109


2. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Mbarali<br />

kudumu kwa mwaka wa<br />

fedha 2007/2008<br />

umebaini kuwa ardhi<br />

majengo ya Hospitali ya<br />

Wilaya yamejengwa<br />

katika eneo ambalo<br />

halina hati miliki<br />

japokuwa eneo hilo<br />

limeshapimwa.<br />

- (i) magari 2<br />

hayakuwekwa<br />

kwenye rejista ya<br />

mali za kudumu<br />

kinyume na Agizo<br />

na. 326 ya<br />

memoranda ya<br />

fedha za<br />

Halmashauri ya<br />

Mwaka 1997.<br />

(ii) Pikipiki 8 ambazo<br />

thamani yake<br />

haikuweza<br />

kupatikana mara<br />

moja<br />

hazikuingizwa<br />

kwenye jedwali la<br />

mali za kudumu<br />

wala kadi za<br />

usajiri hazikuletwa<br />

ukaguzi.<br />

(iii) Kutokuwepo kwa<br />

rejista ya mali za<br />

kudumu kinyume<br />

na Maagizo Na.<br />

60(d) na 366 ya<br />

Memoranda ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

110


3. Halmashauri<br />

ya Jiji la<br />

Mbeya<br />

4. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Mbozi<br />

5. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Fedha ya Serikali<br />

za Mitaa 1997<br />

(iv) Eneo ambamo<br />

majengo ya<br />

utawala<br />

yamejengwa<br />

katika<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya hayana hati<br />

miliki.<br />

47,292,804 (i) Magari 3<br />

yameegeshwa kwa muda<br />

mrefu bila ya kuwa na<br />

injini zake<br />

(ii) magari 2 na ardhi ya<br />

“Iwambi Farm and City<br />

park” hayakuingizwa<br />

kwenye mizania ya<br />

hesabu ya mwaka.<br />

119,741,702 (i) Magari 2<br />

hayakuingizwa<br />

katika jedwali za<br />

mali za kudumu za<br />

(ii)<br />

mwaka 2007/08.<br />

Magari 4 hayakuwa<br />

na kadi za usajili ili<br />

kuthibitisha umiliki<br />

wake.<br />

(iii) (iii) Magari 7<br />

yaliyonunuliwa kwa<br />

Sh.119,741,702<br />

hayakuingizwa<br />

katika rejista ya<br />

mali za kudumu<br />

133,435,375 Magari na Pikipiki zenye<br />

thamani ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

111


Ileje<br />

6. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Rungwe<br />

7. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Chunya<br />

Sh.133,435,375 hazikuwa<br />

na kadi ya uandikishwaji<br />

au hati ya kutolea mali.<br />

- Uhakiki wa mali za<br />

kudumu umeonyesha<br />

kuwa magari 25 na<br />

pikipiki 28<br />

hazikuonyeshwa katika<br />

rejista wala kadi za<br />

usajili/ upokeaji<br />

hazikuletwa wakati wa<br />

ukaguzi.<br />

- magari 3 hayakuwekwa<br />

kwenye rejista ya mali za<br />

kudumu kinyume na<br />

Agizo na. 326 ya<br />

memoranda ya fedha za<br />

Halmashauri ya Mwaka<br />

1997.<br />

8. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Kyela<br />

9. Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

ya Morogoro<br />

3,225,000 • Pikipiki 2 zenye<br />

thamnai ya<br />

Sh.3,225,000<br />

hazikuwa na kadi za<br />

usajiri/ mapokezi.<br />

• Ardhi ambamo<br />

majengo ya Hospitali<br />

ya Wilaya hayana hati<br />

miliki japokuwa eneo<br />

limeshapimwa.<br />

- Mali za kudumu<br />

zimeonyeshwa katika<br />

Mizania thamani ya zero.<br />

10. Halmashauri Rejista ya mali za<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

112


ya Wilaya ya<br />

Kilombero<br />

11. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Mvomero<br />

12. Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

ya Songea<br />

13. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Mbinga<br />

14. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Korogwe<br />

15. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Iramba<br />

kudumu haikuletwa kwa<br />

ajili ya ukaguzi<br />

kinyume na Maagizo Na.<br />

366 na 367 ya<br />

Memoranda ya Fedha ya<br />

Serikali za Mitaa 1997<br />

Halmashauri haikuwa na<br />

rejista ya mali za<br />

kudumu<br />

- kinyume na Maagizo<br />

Na.366 na 367 ya<br />

Memoranda ya Fedha ya<br />

Serikali za Mitaa 1997<br />

Halmashauri haikuwa na<br />

rejista ya mali za<br />

kudumu<br />

- Uthamanisho wa mali za<br />

kudumu ulikuwa bado<br />

haujakamilika.<br />

9,740,437,034 Mizania ya hesabu ya<br />

mwaka wa kuishia tarehe<br />

30 Juni, 2008 ilionyesha<br />

mali za kudumu zenye<br />

jumla ya<br />

Sh.9,740,437,034 ambazo<br />

hazikuthibitika kutokana<br />

na utofauti uliopo kati<br />

tarakimu zilizoonyeshwa<br />

kwenye jedwali la mali<br />

za kudumu na mizania.<br />

5,237,959,828 Ardhi na Nyumba zenye<br />

thamani ya<br />

Sh.5,237,959,828<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

113


16. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Manyoni<br />

17. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Singida<br />

18. Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

ya Singida<br />

19. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Tunduru<br />

20. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Masasi<br />

21. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Nanyumbu<br />

hazikuwa na hati miliki<br />

• Ardhi na Nyumba<br />

6,009,558,000 zenye thamani ya<br />

Sh.6,009,558,000<br />

hazikuwa na hati<br />

miliki<br />

• Magari 7 hayakuwa na<br />

bima za magari<br />

6,437,587,069 Ardhi na Nyumba zenye<br />

thamani ya Sh.<br />

6,437,587,069 hazikuwa<br />

na hati miliki<br />

6,627,544,296 Ardhi na Nyumba zenye<br />

thamani ya Sh.<br />

6,627,544,296 hazikuwa<br />

na hati miliki<br />

- Uthamanisho wa mali za<br />

kudumu ulikuwa bado<br />

haujakamilika.<br />

1,182,431,838 Kibali na orodha ya mali<br />

za kudumu<br />

zilizohamishiwa<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Nanyumbu zenye jumla<br />

ya Sh.1,182,431,838<br />

hazikuletwa kwa<br />

ukaguzi.<br />

1,182,431,838 Orodha ya mali za<br />

kudumu zilizohamishwa<br />

kutoka Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Nanyumbu<br />

zenye jumla ya<br />

Sh.1,182,431,838<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

114


22. Halmashauri<br />

ya Mji ya<br />

Korogwe<br />

23. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Kwimba<br />

24. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Magu<br />

25. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Ukerewe<br />

26. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Arusha<br />

27 Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Meru<br />

hazikuonyeshwa kwenye<br />

Mizania ya hesabu.<br />

502,048,799 Thamani ya mali ya<br />

kudumu ya<br />

Sh.502,048,799<br />

iliyoonyeshwa kwenye<br />

Mizania ya hesabu<br />

haikuchanganuliwa<br />

kufuata makundi kama<br />

vile ardhi, majengo,<br />

vifaa n.k<br />

- Hati Miliki za majengo<br />

ya Halmashauri<br />

hazikuletwa kwa<br />

ukaguzi.<br />

- Rejista ya Mali za<br />

kudumu haijaboreshwa<br />

kinyume na Agizo Na.<br />

326 ya Memoranda ya<br />

Fedha ya Serikali za<br />

Mitaa 1997.<br />

- Rejista ya Mali za<br />

kudumu haijaboreshwa<br />

kinyume na Agizo Na.<br />

326 ya Memoranda ya<br />

Fedha ya Serikali za<br />

Mitaa ya mwaka 1997.<br />

47,746,000 Mali za kudumu<br />

hazijawekewa alama za<br />

utambulisho.<br />

Magari ya Halmashauri<br />

yakiwemo-Toyota Stout<br />

SM 1010 na Jiefang Lorry<br />

Tipper SM 1285<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

115


28 Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Bagamoyo<br />

29. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Mkuranga<br />

30. Manispaa ya<br />

Dodoma<br />

31. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Kongwa<br />

32. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Mufindi<br />

33. Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

ya<br />

Kigoma/Ujiji<br />

hayakuonyeshwa kwenye<br />

mizania ya kuishia tarehe<br />

30 Juni, 2008<br />

320,000,000 Gari la zima Moto<br />

lililonunuliwa halijaletwa<br />

katika Halmashauri<br />

pamoja na kuwa<br />

limeonyeshwa katika<br />

mizania ya kipindi cha<br />

kuishia tarehe 30 Juni,<br />

2008 kam sehemu ya<br />

mali za kudumu.<br />

200,190,193 Thamani ya mali za<br />

kudumu ilionyeshwa kwa<br />

thamani zaidi ya<br />

Sh.200,190,193 bila<br />

maelezo.<br />

998,056,905 Kutotunzwa vizuri kwa<br />

rejista ya mali za<br />

kudumu.<br />

- Hati miliki inakosekana<br />

za majengo na ardhi<br />

zinakosekana.<br />

65,536,975<br />

Thamani ya majengo<br />

ilionyeshwa pungufu<br />

3,731,314,983 Mizania ya marudio ya<br />

tarehe 30 Juni, 2008<br />

ilionyesha mali za<br />

kudumu zenye thamani<br />

ya sh.3,731,314,983<br />

ambazo hazikuweza<br />

kuthibitika kulingana na<br />

ukweli kwamba rejista ya<br />

mali za kudumu<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

116


34. Halmashauri<br />

ya Wilaya Hai<br />

35. Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

ya Moshi<br />

36. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Kilwa<br />

37. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Nachingwea<br />

38. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Babati<br />

39. Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Bunda<br />

haijafanyiwa maboresho<br />

tangu mwaka 2002.<br />

2,616,677,443 Kutokuwepo kwa rejista<br />

ya mali za kudumu<br />

47,216,817<br />

Kiasi cha uchakavu<br />

kilionyeshwa pungufu<br />

-<br />

Kutokuwepo kwa rejista<br />

ya mali za kudumu<br />

-<br />

Kutokuwepo kwa rejista<br />

ya mali za kudumu<br />

171,109,395.65 Kadi za uandikishwaji wa<br />

Mitambo na vifaa<br />

havikuonekana wakati wa<br />

ukaguzi<br />

Gari aina ya Toyota<br />

– Land cruiser<br />

Modeli number – HJZ78R<br />

– RMRs<br />

Yenye ya uandikishwaji<br />

SM 5342 na Trekta<br />

VALMET<br />

Modeli number – 2600<br />

Yenye namba za usajiri<br />

SM 4625 hazikuingizwa<br />

kwenye rejista ya mali za<br />

kudumu<br />

Halmashauri ziendelee kuboresha takwimu za mali za<br />

kudumu na kuhakikisha kuwa takwimu zinatunzwa kwa<br />

usahihi kwa matumizi ya miaka ijayo.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

117


4.4 Wadaiwa wasiolipa Sh.8,675,739,790<br />

Ukaguzi wa taarifa za hesabu na majedwali ya uthibitisho<br />

kwa Halmashauri 115 umeonyesha kuwa jumla ya<br />

Sh.8,675,739,790 hazikukusanywa kutoka kwa wadaiwa<br />

mpaka mwisho wa mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2008.<br />

Hii ni kinyume na maagizo Na.120 na 121 ya Memoranda ya<br />

Fedha ya Serikali za Mitaa 1997 yanayosema kwamba “ni<br />

jukumu la Mweka Hazina kufanya mipango ya kutosha ya<br />

fedha na hesabu ili kuhakikisha uwekaji kumbukumbu mzuri<br />

wa fedha zote za Halmashauri na ukusanyaji, utunzaji kwa<br />

usalama na uwekaji benki wa fedha hizo. Na “Kadiri<br />

iwezekanavyo mapato yote yatakusanywa kulingana na<br />

huduma iliyotolewa au wakati wa kutoa huduma. Kama<br />

sehemu ya mchakato wa bajeti ya mwaka, Halmashauri<br />

itaweka kiwango cha chini cha mwisho ambacho<br />

kitawezesha malipo kamili kufanywa kabla na (kama ni<br />

lazima) viwango vya chini vya amana”. Kushindwa<br />

kukusanya fedha toka kwa wadaiwa wa Halmashauri<br />

kunaonyesha udhaifu mkubwa wa udhibiti wa ndani wa<br />

ukusanyaji wa madeni toka wadaiwa na kutozingatiwa kwa<br />

Maagizo yaliyotajwa hapo juu ambayo yanaweza<br />

Halmashauri kushindwa kutimiza majukumu yaliyowekwa<br />

ikiwemo kuchelewa kukamilika kwa miradi iliyopangwa kwa<br />

wakati kutokana na tatizo la ukata. Orodha ya deni la<br />

Wadaiwa imeonyeshwa katika Kiambatisho 6 cha ripoti hii.<br />

4.4.1 : Ulinganisho kwa ufupi wa orodha ya wadaiwa kwa<br />

mwaka 2006/2007<br />

na 2007/08 ni kama ilivyo katika jedwali hapa chini<br />

Mwaka Kiasi(Sh.) Idadi ya Halmashauri<br />

2006/2007 5,614,010,055 76<br />

2007/2008 8,675,739,790 115<br />

Kutokana na jedwali hilo hapo juu ni dhahiri kwamba<br />

Halmashauri 76 zilizokaguliwa mwaka 2006/2007<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

118


hazikuweza kukusanya kutoka kwa wadaiwa jumla ya<br />

Sh.5,614,010,055 ambapo kwa mwaka 2007/2008<br />

Halmashauri 115 zilikuwa na wadaiwa wanaofikia<br />

Sh.8,675,739,790. Hiki ni kiashiria kwamba menejimenti<br />

katika Halmashauri husika hazikufanya jitihada za kutosha<br />

kukusanya kutoka kwa wadaiwa na hivyo kiwango cha<br />

wadaiwa kiliongezeka kutoka kiasi cha Sh.5,614,010,055<br />

hadi kufikia Sh.8,675,739,790 tarehe 30 Juni, 2008.<br />

4.5 Wadai wasiolipwa Sh. 15,610,406,163<br />

Katika ukaguzi wa taarifa za fedha za Halmashauri,<br />

tumebaini deni kubwa la wadai la Sh.15,610,406,163<br />

litakalosababisha Halmashauri kupoteza uaminifu kwa<br />

watoa mikopo ya huduma. Halmashauri zenye deni kubwa<br />

la Wadai ni Halmashauri ya Manispaa ya Ilala<br />

Sh.1,725,708,997 ikifuatwa na Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Morogoro yenye Sh.444,232,891 na baadaye Halmashauri<br />

ya Mkuranga Sh.399,556,584.<br />

Kuzidi kuchelewesha kulipa deni la wadai kutaleta athari<br />

mbaya kwa Halmashauri, zikiwemo:-<br />

• Hatari ya kuanzisha madaiano na wadai.<br />

• Kupoteza hadhi na uaminifu wa mkopo.<br />

• Kunyimwa huduma<br />

• Kuathiri bajeti.<br />

Kutokana na hoja hizo, Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

zinahimizwa sana kulipa madeni yao haraka yanapofikia<br />

wakati wake. Orodha ya deni la wadai imeonyeshwa<br />

katika kiambatisho cha 7 cha ripoti hii.<br />

4.6 Masurufu yasiyorejeshwa Sh.214,489,665 toka katika<br />

Halmashuri 18<br />

Agizo Na.134 la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa<br />

(1997) linasema “Masurufu ya safari au masurufu maalum<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

119


lazima yarejeshwe ndani ya majuma mawili baada ya afisa<br />

kurejea kwenye kituo chake cha kazi au baada ya<br />

kukamilisha shughuli; kushindwa kurejesha hakutasababisha<br />

tu kiasi kinachodaiwa kukatwa kwenye mshahara wa afisa<br />

kwa kima kilichoongezwa bali pia kunaweza kusababisha<br />

kukatwa tozo ya si chini ya asilimia 5 ya mshahara wake”.<br />

Kinyume na Agizo la taarifa za fedha za Mamlaka ya Serikali<br />

za Mitaa, Halmashauri 18 kwa mwaka 2007/2008<br />

zimeonyesha jumla ya masurufu yasiyorejeshwa ya<br />

Sh.214,489,665. Halmashauri ya Wilaya ya Babati inadai<br />

kiasi kikubwa cha masurufu ya Sh.34,595,420 ikifuatiwa na<br />

Manispaa ya Arusha yenye Sh.22,421,490 na Halmashauri<br />

ya Wilaya ya Musoma District Council Sh.18,037,674<br />

zikifuatana. Masurufu mapya yatatolewa tu kwa watumishi<br />

ambao wamekamilisha kurejesha masurufu waliyopewa<br />

awali.<br />

Ninapenda kusisitiza umuhimu wa kufuata masharti ya<br />

Sheria hasa kuhusu urejeshaji wa masurufu. Orodha ya<br />

masurufu yasiyorejeshwa kama ilivyokuwa 30 Juni, 2008<br />

imeonyeshwa katika Kiambatisho 8 cha ripoti hii.<br />

Orodha ya Masurufu yasiyorejeshwa kwa ufupi kwa mwaka<br />

2006/2007 na 2007/08 ni kama ilivyo katika jedwali hapa<br />

chini<br />

Mwaka<br />

Kiasi Idadi ya Halmashauri<br />

(Sh.)<br />

2006/2007 586,715,095 17<br />

2007/2008 214,489,665 18<br />

Muhtasari wa matokeo ya masurufu yasiyorejeshwa katika<br />

mwaka 2007/08 umeonyesha kwamba kumekuwa na<br />

maendeleo mazuri ya urejeshaji wa masurufu yaliyotolewa<br />

kwa watumishi katika Halmashauri, ambapo yalipungua<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

120


toka Sh.586,715,095 kwa mwaka 2006/2007 yakihusisha<br />

Halmashauri 17 hadi kufikia Sh.136,913,405 kwa mwaka<br />

2007/2008.<br />

4.7 Vitabu vya mapato ambavyo havikuwasilishwa kwa<br />

ukaguzi<br />

Maagizo Na.101 na 102 ya Memoranda ya fedha ya Mamlaka<br />

za Halmashauri za Serikali za Mitaa yanasema: “Maofisa<br />

wote wenye vitabu vya stakabadhi lazima warudishe vitabu<br />

vyote vya stakabadhi vilivyotumika na visivyotumika kila<br />

mwisho wa mwezi katika fomu maalum, na upotevu<br />

wowote wa nyaraka zinazotakiwa kutolewa maelezo lazima<br />

utolewe taarifa haraka kwa ofisa anayehusika. Nakala ya<br />

ripoti lazima ipelekwe kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />

Hesabu za Serikali na afisa mhimili msaidizi wa Serikali za<br />

Mitaa anayehusika. Kinyume na maagizo hayo, jumla ya<br />

vitabu 860 vya stakabadhi za mapato kutoka Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa 43 zimetolewa taarifa ya kukosekana kwa<br />

hiyo havikuwasilishwa kwa ajili ya ukaguzi.<br />

• Kwa kuwa vitabu hivi vya stakabadhi za mapato<br />

vilikusudiwa kukusanya mapato ya Halmashauri<br />

haikujulikana kwa uhakika kiasi cha mapato kilichokuwa<br />

kimekusanywa.<br />

• Kuna uwezekano mkubwa wa wizi wa wazi wa maduhuli<br />

ya Halmashauri kutoka kwa wakusanyaji wa maduhuli.<br />

• Inaathiri bajeti ya mapato ya Halmashauri.<br />

Kwa hiyo ni muhimu kwa menejimenti ya Halmashauri<br />

kuanzisha mfumo wa udhibiti wa ndani unaofaa kwa<br />

usimamizi wa vitabu vya stakabadhi za mapato.<br />

Hatua kali kwa upande wa menejimenti ikiwemo<br />

kuwafungulia mashitaka wakusanyaji mapato wanaokiuka<br />

utaratibu lazima zichukuliwe. Orodha ya vitabu vya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

121


stakabadhi za maduhuli vilivyokosekana inaonyeshwa katika<br />

kiambatisho 9 cha ripoti hii.<br />

Muhtasari wa vitabu ambavyo havikuwasilishwa kwa<br />

ukaguzi kwa mwaka 2006/2007 na 2007/2008<br />

Mwaka<br />

Idadi ya vitabu<br />

vilivyokosekana<br />

Idadi ya<br />

Halmashauri<br />

2006/2007 996 8<br />

2007/2008 860 43<br />

4.8 Kutokuwasilishwa kwa maduhuli ya Mamlaka ya Serikali<br />

za Mitaa yaliyokusanywa na mawakala Sh.421,213,641<br />

Ili kuzingatia Agizo Na.110 la Memoranda ya fedha za<br />

Mamlaka ya Serikali za Mitaa (1997) wakusanyaji wa<br />

maduhuli wanatakiwa kuwasilisha kwa mtunza fedha wa<br />

Halmashauri vitabu vya kukusanyia maduhuli.<br />

Katika mwaka wa taarifa hii, Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

22 hazikupokea maduhuli kutoka kwa mawakala wa<br />

ukusanyaji ya jumla ya Sh.421,213,641 zilizokusanywa<br />

katika vituo mbalimbali kinyume na Agizo Na. 110 la<br />

Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa (1997). Orodha ya<br />

Halmashauri imeonyeshwa katika kiambatanisho 10.<br />

Muhtasari wa mapato ambayo hayakuwasilishwa katika<br />

Halmashauri kwa mwaka 2006/07 na 2007/08<br />

Mwaka Maduhuli yasiyo<br />

wasilishwa (Sh.)<br />

Idadi ya Halmashauri<br />

zilizohusika<br />

2006/2007 366,971,247 12<br />

2007/2008 421,213,641 22<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

122


Muhtasari hapo juu unaonyesha kwamba maduhuli<br />

yasiyowasilishwa na mawakala kwa mwaka 2006/2007<br />

yaliyohusisha Halmashauri 12 yalifikia Sh. 366,971,247<br />

ambapo katika mwaka 2007/2008 yasiyowalishwa na<br />

mawakala yalifikia Shs.421,213,641 ambayo yalihusisha<br />

Halmashauri 22.<br />

4.9 malipo yenye nyaraka pungufu Sh 3,590,228,595<br />

Malipo yenye nyaraka pungufu yanatokea wakati hati za<br />

malipo zinakosa viambatisho kama vile hati za kuagizia<br />

vifaa, Ankara, taarifa za matumizi, orodha ya malipo<br />

iliyosainiwa, hati za kupokelea vifaa nk.<br />

Agizo Na. (5) (c) la Memoranda ya Fedha ya Serikali ya<br />

Mitaa inataka malipo yote yanayofanywa kutoka Fedha za<br />

Halmashauri yawe na uthibitisho wa kutosha. Wakati wa<br />

ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka<br />

2007/2008, imegunduliwa kwamba Halmashauri 69 kati ya<br />

133 zilizokaguliwa zimepitisha malipo yenye kasoro bila ya<br />

nyaraka za uthibitisho yenye jumla ya Sh. 3,590,228,595.<br />

Malipo yasiyo na uthibitisho yanatia shaka uhalali na uhalisi<br />

wa malipo hayo. Menejimenti za Halmashauri zina jukumu<br />

la kuhakikisha kuwa nyaraka zinazohitajika tu zikiwemo<br />

nyaraka za uthibitisho wa hati za malipo zinatunzwa vizuri<br />

na kupatikana kwa ukaguzi wakati zinapohitajika. Orodha<br />

ya matumizi yenye nyaraka pungufu yameonyeshwa katika<br />

kiambatisho 11 cha ripoti hii.<br />

Muhstasari wa malipo yenye nyaraka pungufu kwa mwaka<br />

2006/2007 na 2007/2008<br />

Mwaka Kiasi(Sh.) Idadi ya Halmashauri<br />

zilizohusika<br />

2006/2007 895,091,162 32<br />

2007/2008 3,590,228,595 69<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

123


Matokeo ya muhtasari hapo juu wa matumizi yenye nyaraka<br />

pungufu unaonyesha kuwa hakuna maendeleo yaliyofanywa<br />

na Halmashauri kwa matumizi yenye nyaraka pungufu. Hii<br />

inashuhudiwa na ukweli kwamba katika mwaka 2006/2007<br />

malipo ya aina hii yalikuwa Sh.895,091,162 yakihusisha<br />

Halmashauri 32 wakati mwaka 2007/078 malipo ya aina hii<br />

yaliongezeka hadi kufikia Sh.3,590,228,595 yakihusisha<br />

Halmashauri 69.<br />

4.10 Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo Sh.1,370,245,729<br />

Matumizi yasiyokuwa na hati za malipo ni matumizi ambayo<br />

yanakuwa hayana hati za malipo na viambatisho vyake<br />

kuthibitisha uhalali wa malipo hayo.<br />

Kwa Mwaka 2007/2008 Halmashauri 45 kati ya 133<br />

zilizokaguliwa zilifanya malipo yasiyokuwa na hati za<br />

malipo yenye jumla ya Sh.1,370,245,729. Haya yalikuwa ni<br />

malipo yaliyoakisiwa katika daftari la fedha taslimu lakini<br />

yamekosa uthibitisho wa madhumuni ya malipo hayo.<br />

Malipo yasiyo na hati za malipo za uthibitisho zinakosesha<br />

taarifa moja muhimu kuhusu malipo ya aina hiyo kwa<br />

mfano; sababu, aina na madhumuni ya malipo. Zaidi ya<br />

hapo, kuna uwezekano mkubwa kuwa fedha hizo<br />

zimetumika kwa matumizi yasiyohalali.<br />

Kwa vile hili ni tatizo la muda mrefu linalojirudia katika<br />

Halmashauri zetu nyingi, ningependa kuwakumbusha<br />

Maofisa Masuuli na menejimenti za Halmashauri kuhusu<br />

wajibu wao katika kuhakikisha kuwa nyaraka za maelezo za<br />

Halmashauri zikiwemo hati za malipo zinatunzwa vizuri na<br />

hazina budi kupatikana kwa ukaguzi zinapohitajika.<br />

Halmashauri zilizokaguliwa na kuonekana na malipo<br />

yasiyokuwa na Hati za malipo zimeonyeshwa katika<br />

kiambatanisho 12 katika ripoti hii.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

124


Halmashauri zilizofanya matumizi bila kuwa na hati za malipo Kwa<br />

mwaka 2006/2007 na 2007/2008 zimeonyeshwa hapa chini:-<br />

Mwaka Kiasi (Sh.) Idadi ya<br />

Halmashauri<br />

2006/2007 81,329,428 12<br />

2007/2008 1,370,245,729 45<br />

Jedwali hapo juu linaonyesha kwamba mwaka 2007/2008<br />

matumizi bila hati za malipo yaliongezeka kutoka<br />

Sh.81,329,428 mwaka 2006/07 hadi kufikia<br />

Sh.1,370,245,729 mwaka 2007/08 yakihusisha Halmashauri<br />

45. Hii ni kiashiria kwamba maendeleo katika utunzaji wa<br />

hati za malipo yameshuka chini.<br />

4.11 Ruzuku kutoka Serikali Kuu isiyotumika<br />

Ruzuku ya maendeleo hutolewa kwa Halmashauri kwa ajili<br />

ya kujenga miundo mbinu au kufanya ukarabati wa miundo<br />

mbinu iliyopo kulingana na maeneo yaliyopewa kipao mbele<br />

katika lengo la kujenga uwezo kwenye jamii, kuboresha<br />

huduma na kupunguza umasikini.<br />

Fedha nyingi hutumika katika maeneo yanayohusika na<br />

kupunguza umasikini (Afya, Elimu, Maji na usafi, barabara<br />

na kilimo).<br />

Fedha za Maendeleo zenye jumla ya Sh.99,114,082,540<br />

zilizokuwa zimeidhinishwa kwenye Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa 111 hazikuweza kutumika hadi ilipofika mwisho<br />

wa mwaka tarehe 30 Juni, 2008. Fedha hii ambayo<br />

haikutumika ilikuwa asilimia thelathini na saba (37%) ya<br />

fedha zote.<br />

Orodha ya Halmashauri na kiasi cha ruzuku isiyoyumika<br />

imeonyeshwa katika kiambatanisho 13.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

125


Muhtasari wa ruzuku za Serikali zisizotumika kwa mwaka<br />

2006/2007 na 2007/2008 ni kama ilivyoonyeshwa hapa<br />

chini:<br />

Mwaka Kiasi (Sh.) Idadi ya<br />

Halmashauri<br />

zilizohusika<br />

2006/2007 7,884,401,171 14<br />

2007/2008 99,114,082,540 111<br />

Katika mwaka 2007/2008, jumla ya Halmashauri 111<br />

zilipata ruzuku ya Serikali jumla ya Sh.270,547,629,434 kwa<br />

miradi ya maendeleo. Ila kufikia tarehe 30 Juni, 2008 kiasi<br />

cha Sh.171,791,488,611 kilikuwa kimetumika, na kubakia<br />

kiasi cha Sh.99,114,082,540 au 37%.<br />

Kuwepo kwa Ruzuku isiyotumika ni ushahidi kwamba miradi<br />

ya maendeleo ambayo ilitengewa ruzuku hizi ambazo<br />

hazikutumika, haikutekelezwa kama ilivyopangwa. Hii pia<br />

inaweza ikasababisha marudio ya Bajeti ili kuweza kufidia<br />

mapungufu yaliyojitokeza kutokana na mfumuko wa bei.<br />

Taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya maendeleo<br />

Agizo Na. 84 (v) la Memoranda ya fedha ya Mamlaka za<br />

Halmashauri za Serikali za Mitaa ya 1997 na kifungu 10.4<br />

cha Mwongozo wa hesabu za Serikali za Mitaa wa mwaka<br />

1993 zinawataka wakurugenzi, pamoja na taarifa zingine<br />

kuandaa taarifa ya mapato na matumizi ya miradi ya<br />

maendeleo ya mwaka. Ila, taarifa hizi hazikuweza<br />

kuonekana kuwa zimetayarishwa na kuletwa pamoja na<br />

taarifa zingine katika Halmashauri kumi na nne (14). Zaidi<br />

ya hizo, Halmashauri (8) ziliandaa taarifa ya mapato na<br />

matumizi ya miradi ya maendeleo zenye mapungufu ya<br />

taarifa muhimu kama vile salio anzia, kiasi cha fedha<br />

kilichopokelewa kwa mwaka, kiasi cha fedha kilichotumika<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

126


kwa mwaka na bakaa ya mwaka kama inavyoonyeshwa hapa<br />

chini:-<br />

Mwaka<br />

Jina La<br />

Halmashauri<br />

Taarifa ya mapato na<br />

matumizi ya miradi ya<br />

maendeleo<br />

haikuandaliwa<br />

Taarifa<br />

muhimu<br />

hazikutolewa<br />

1. Halmashauri Ya<br />

Wilaya ya Lindi<br />

2. Halmashauri ya<br />

Wilaya<br />

ya<br />

Chamwino<br />

3. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Manispaa<br />

ya Iringa<br />

v<br />

v<br />

v<br />

4. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilolo<br />

v<br />

5. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Pangani<br />

6. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Korogwe<br />

7. Halmashauri ya<br />

Wilaya Lushoto<br />

8. Halmashauri ya<br />

Wilaya Igunga<br />

v<br />

v<br />

v<br />

v<br />

9. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Magu<br />

v<br />

10. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mtwara<br />

v<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

127


Mikindani<br />

11. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Makete<br />

v<br />

12. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Siha<br />

13. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Ngara<br />

14. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mbarali<br />

15. Halmashauri ya<br />

Wilaya Ya Ruangwa<br />

16. H Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilwa<br />

v<br />

v<br />

v<br />

v<br />

v<br />

17. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Liwale<br />

18. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mkuranga<br />

19. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mwanga<br />

20. Halmashauri ya Jiji<br />

la Dar es Salaam<br />

21. Halmashauri ya<br />

Manispaa Kinondoni<br />

v<br />

v<br />

v<br />

v<br />

v<br />

22. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Bukoba<br />

v<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

128


Kukosekana kwa taarifa za mapato na matumizi au kuwa na<br />

taarifa yenye mapungufu, kumetufanya tusiweze kufanya<br />

uhakiki wa matumizi ya fedha iliyotolewa kwa ajili ya<br />

miradi ya maendeleo na hali ya miradi iliyotekelezwa.<br />

4.12 Ukaguzi wa Mishahara<br />

4.12.1 Mishahara isiyolipwa ambayo haijarudishwa Hazina Sh.<br />

881,966,748<br />

Agizo Na.307 la Memoranda ya fedha za Serikali za Mitaa ya<br />

mwaka 1997 linatamka kwamba mishahara isiyolipwa ni<br />

lazima ipelekwe benki ndani ya siku kumi za kazi, pia barua<br />

kutoka Wizara ya Fedha na Uchumi kumb.<br />

Na.EB/AG/5/03/01/Vol.VI/136 ya tarehe 31 Agosti, 2007<br />

inataka mishahara isiyolipwa irudishwe Hazina kwa kupitia<br />

Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa. Kinyume na taratibu hizo,<br />

Mishahara isiyolipwa yenye jumla ya Sh.881,966,747.91<br />

haijarudishwa Hazina. (Angalia kiambatanisho 14)<br />

4.12.2 Malipo ya mishahara ya watumishi waliokufa, kuacha<br />

kazi, kuachishwa kazi Shs.178,066,130 hayajafutwa<br />

kwenye payroll<br />

Ukaguzi uliofanywa kwenye kumbukumbu za mishahara<br />

imeonyesha kuwa jumla ya Sh.178,066,130 zililipwa moja<br />

kwa moja kwenye akaunti za watu binafsi. Ukaguzi wa<br />

kumbukumbu za mishahara ikiwemo “computer payrolls”,<br />

“control sheets” na rejista za mishahara isiyolipwa kwa<br />

mwaka ulioishia tarehe 30 Juni, 2008 imeonekana kuwa<br />

malipo hayo yalihusisha watumishi waliofariki, acha kazi,<br />

staafu au kuachishwa kazi ambao waliendelea kuonekana<br />

kwenye taarifa za komputa za malipo ya Mishahara<br />

(computer payrolls) za Halmashauri. Zaidi ya hapo,<br />

sheria ya utumishi wa umma Na. 8 ya Mwaka 2002<br />

kifungu Na. 57(1) kinatamka kwamba “ iwapo mfanyakazi<br />

hatakuwepo katika kituo cha kazi bila ya kuwa na likizo<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

129


au sababu ya msingi kwa muda unaozidi siku tano (5),<br />

mtumishi huyo atawajibishwa kwa kosa la utovu wa<br />

nidhamu kwa kutokuwa ofisini na atafukuzwa kazi”.<br />

(Angalia kiambatanisho 14)<br />

4.12.3 Makato ya kisheria yasiyowasilishwa Sh.13,950,925<br />

Agizo Na.134 la Memoranda ya Fedha ya Serikali za Mitaa<br />

ya mwaka 1997 linazitaka Halmashauri kutunza na kulipa<br />

Makato ya kisheria yakiwemo yanayotarajiwa kulipwa<br />

kama kodi ya mapato, vyama vya biashara, vyama vya<br />

mikopo n.k.<br />

Kinyume na hivyo Halmashauri mbili ambazo ni Manispaa<br />

ya Kigoma na Halmashauri ya Kasulu zilikata makato ya<br />

kisheria kwa niaba ya taasisi mbalimbali kama vile NSSF,<br />

LAPF, NHIF, TUGHE n.k jumla ya Sh.13,950,925 lakini<br />

hazikupelekwa kwenye taasisi husika.<br />

4.12.4 Malipo ya mishahara ambayo hayakuwa katika orodha<br />

ya mishahara iliyoandaliwa kwa komputa (Computer<br />

payroll print outs) Sh.139,886,669<br />

Jumla ya Sh.139,886,669 zililipwa kupitia Benki ya<br />

Mwanga Rural Community Bank na NMB Mwanga ikiwa ni<br />

malipo ya mishahara kwa wafanyakazi wa Halmashauri<br />

kwa Mwezi Desemba 2007 na Januari – Juni, 2008 kama<br />

inavyoonyeshwa hapa chini:<br />

Mwezi<br />

Kiasi (Sh.)<br />

Desemba, 2007 22,551,177<br />

Januari, 2008 27,215,372<br />

Februari, 2008 5,533,632<br />

Machi, 2008 22,029,912<br />

Aprili, 2008 9,333,545<br />

Mei, 2008 50,479,490<br />

Juni, 2008 2,743,541<br />

Jumla 139,886,669<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

130


Ukaguzi wa hati za malipo umebaini kuwa hati za malipo<br />

zililipwa , lakini hazikuambatanishwa na taarifa za malipo<br />

ya mishahara zilizoandaliwa kwa komputa (Computer<br />

payroll print outs) kuthibitisha uhalali wa malipo kinyume<br />

na Agizo Na.5 (c) la Memoranda ya fedha za Serikali za<br />

Mitaa ya mwaka 1997.<br />

4.13 Masuala ya Utawala bora na Mfumo wa udhibiti wa<br />

ndani<br />

4.13.1 Utangulizi<br />

Sehemu ya 33 ya Sheria za Fedha za Halmshauri ya<br />

Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa<br />

2000) na miongozo mbalimbali inaipa Halmashauri<br />

mamlaka ya kuanzisha na kutekeleza sera za udhibiti<br />

kuhusiana na usimamizi wa rasilimali za Halmashauri.<br />

Katika kutekeleza lengo hili, uongozi unatakiwa kuanzisha<br />

mfululizo wa matukio ambayo yataiwezesha Halmashauri<br />

kuwa na udhibiti madhubuti ambao utaondoa upotevu<br />

kwa kupiga vita wizi, uzembe, ubadilifu na utendaji kazi<br />

mbaya.<br />

Kwa hiyo Halmashauri inatakiwa kuwa na muundo wa<br />

utawala ambao utaunga mkono uwazi na mfumo mzuri wa<br />

udhibiti wa ndani. Kwa nyongeza, muundo wa utawala<br />

uweze kusaidia uangalizi wa matukio; uanzishwaji wa<br />

ukaguzi wa ndani, Kamati ya manunuzi (Tender Board),<br />

Kitengo cha usimamizi wa manunuzi (PMU) na Kamati ya<br />

ukaguzi wa hesabu. Vile vile kuhakikisha kuwa kuna<br />

ukaguzi huru kwa kila Mwaka.<br />

Utawala bora katika taasisi za umma unajumuisha sera na<br />

taratibu zinazotumika kuongoza shughuli za Mamlaka za<br />

Serikali Mitaa ili kutoa uhakika kwamba majukumu<br />

yanatekelezwa na hatua zinachukuliwa kwa usawa na<br />

uwajibikaji. Katika taasisi za umma, utawala bora<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

131


unahusiana na jinsi malengo yanavyoanzishwa na<br />

kutekelezwa. Pia inajumuisha shughuli ambazo<br />

zinahakikisha kuaminiwa kwa Serikali, uanzishaji wa<br />

utoaji wa huduma kwa wote, na kuhakikisha tabia nzuri<br />

kwa wafanyakazi wa Serikali katika kupunguza hatari ya<br />

rushwa katika jamii.<br />

Zaidi ya hapo, taasisi za serikali zinatakiwa kuwa na miiko<br />

ya maadili, Mkataba wa Huduma kwa Wateja, Mpango<br />

Mkakati wa ofisi, Bajeti ya Mwaka pamoja na Bodi ya<br />

Uongozi (Governing Board) kwa maamuzi ya kimikakati.<br />

Kwa hiyo lengo kuu la utawala bora ni kwa uongozi<br />

kuwajibika kikamilifu na kutekeleza matakwa ya wateja<br />

kisiasa, kiuchumi na kijamii.<br />

Sura hii imejaribu kuelezea mapungufu yaliyobainika kwa<br />

ufupi kuhusiana na utawala bora ambayo tuliyaona yana<br />

uzito.<br />

4.13.2 Mfumo wa Udhibiti wa Ndani<br />

Uimara wa Mfumo wa udhibiti wa ndani unategemea<br />

muundo wa sheria zinazofanya kazi katika Halmashauri.<br />

Inasisitiza kuona kuwa sheria zinazotumika katika<br />

Halmashauri zikisimamia usimamizi wa fedha na udhibiti<br />

katika Halmashauri umepitwa na wakati, kwa mfano,<br />

Sheria za Fedha za Halmshauri ya Serikali za Mitaa Na.9<br />

ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000), Memoranda ya<br />

fedha ya Mamlaka za Halmashauri za Serikali za Mitaa ya<br />

mwaka, 1997 na Mwongozo wa hesabu za Halmashauri<br />

wa mwaka 1993. Nyaraka hizi zinaendelea kutumika<br />

katika uandaaji wa vitabu vya hesabu vya Halmashauri<br />

katika utoaji taarifa pamoja na kwamba haziko<br />

sambamba na viwango vya kimataifa vya utoaji taarifa za<br />

hesabu (IFRS) na viwango vya kimataifa vya utoaji taarifa<br />

za hesabu za taasisi za serikali (IPSAs), ambavyo tangu<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

132


mwaka 2004 serikali imeamua kuzifuata. Vile vile ni<br />

vizuri kuelewa kwamba hii imekuwa ni chanzo cha<br />

mgongano katika kutoa taarifa mbalimbali za Halmashauri<br />

wakati Halmashauri moja inapoamua kutumia viwango<br />

zaidi ya kimoja katika uandaaji wa hesabu za mwaka.<br />

4.13.3 Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu<br />

Malengo makuu ya Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu ni<br />

kuchangia kwa uhuru, uhakika wa kuwepo na mfumo<br />

thabiti wa udhibiti wa ndani ulio imara katika<br />

Halmashauri. Waraka kutoka Ofisi ya waziri Mkuu, Tawala<br />

za Mikoa na Serikali za Mitaa kumb. Na.CHA:3/215/01 ya<br />

tarehe 27 Novemba, 2007 ambayo iko sambamba na<br />

utendaji wa kawaida wa kimataifa inasema kuwa “Maafisa<br />

Masuuli wanatakiwa kuanzisha kamati ya Ukaguzi wa<br />

Hesabu ambayo itakuwa huru kimajukumu kusaidia<br />

kuimarisha muundo wa udhibiti wa ndani”.<br />

(i)<br />

Uteuzi wa Mkaguzi wa Ndani kuwa katibu wa<br />

Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu<br />

Kanuni Na. 28 ya Kanuni za Fedha za Umma ya<br />

Mwaka 2004 inataka maafisa masuuli kuanzisha<br />

Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu yenye ufanisi wa kazi.<br />

Wakati wa ukaguzi tulibaini kuwa Mkaguzi wa ndani<br />

ameteuliwa kuwa katibu wa Kamati ya Ukaguzi wa<br />

Hesabu. Kwa kuwa Kamati ya Ukaguzi inawajibika<br />

moja kwa moja kutathmini kazi ya mkaguzi wa<br />

ndani, kupitisha mipango kazi na kutathmini<br />

utendaji wa Mkaguzi wa ndani wa kila siku, uteuzi<br />

wa Mkaguzi wa Ndani katika nafasi hiyo kunaweza<br />

kuathiri ufanisi wa kazi za Kamati ya Ukaguzi wa<br />

Hesabu.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

133


(ii)<br />

Udhaifu uliobainika wakati wa kutathmini utendaji<br />

wa Kamati za ukaguzi Hesabu katika Halmashuri<br />

Kamati ya ukaguzi inatakiwa kuwa na makubaliano<br />

ya Kamati ambayo yataeleza madhumuni, mamlaka,<br />

Muundo na muda wa wajumbe, kazi na wajibu,<br />

utoaji wa taarifa na utaratibu wa utawala. Ila ,<br />

mpaka wakati wa ukaguzi kamati za Ukaguzi<br />

hazikuwa na makubaliano. Waraka kutoka Ofisi ya<br />

Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa<br />

kumb. Na.CHA:3/215/01 ya tarehe 27 Novemba,<br />

2007 inaitaka Halmashauri kuwa na kamati ya<br />

Ukaguzi wa hesabu yenye ufanisi wa kazi zake. Ila<br />

katika tathmini ya utendaji wa kamati za Ukaguzi wa<br />

Hesabu katika baadhi ya Halmashauri tumebaini<br />

mapungufu ambayo tumeyatolea taarifa kama<br />

ifuatavyo:<br />

Na.<br />

Jina la<br />

Halmashauri<br />

1 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpwapwa<br />

2 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Mtwara<br />

Mikindani<br />

Makubaliano<br />

(Charter)<br />

Mkaguzi wa<br />

Ndani ni<br />

Katibu<br />

Mikutano<br />

ya robo<br />

mwaka<br />

Ofisi ya<br />

Taifa ya<br />

Ukaguzi<br />

ilialikwa<br />

Mipango ya<br />

Mkaguzi wa<br />

Ndani<br />

haikuthibitishwa<br />

<br />

<br />

3 Jiji la Mbeya <br />

4 Halmashauri ya<br />

Wilaya Mbeya<br />

5 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbarali<br />

6 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Hanang<br />

7 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilombero<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

8 Halmashauri ya <br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

134


Wilaya Morogoro<br />

9 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Manispaa<br />

Singida<br />

10 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kwimba<br />

11 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Magu<br />

12 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sengerema<br />

13 Halmashauri ya<br />

Mji wa Mpanda<br />

14 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mtwara<br />

15 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Newala<br />

16 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ukerewe<br />

17 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Iringa<br />

18 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilolo<br />

19 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ludewa<br />

20 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Makete<br />

21 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bukoba<br />

22 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kasulu<br />

23 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Kigoma Ujiji<br />

24 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Hai<br />

25 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tabora<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

26 Halmashauri ya <br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

135


Wilaya ya<br />

Mkinga<br />

27 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Arusha<br />

28 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bagamoyo<br />

29 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Rufiji<br />

30 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Kinondoni<br />

31 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Siha<br />

32 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Dodoma<br />

33 Halmshauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Ilala<br />

34 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Musoma<br />

35 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bariadi<br />

36 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Shinyanga<br />

37 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Lushoto<br />

38 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Rufiji<br />

39 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kishapu<br />

40 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Iramba<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

Kwa kutumia mapungufu ya kiutendaji hapo juu, tunashauri<br />

Serikali za Mitaa kufanya yafuatayo:-<br />

• Kamati za Ukaguzi wa Hesabu kufanya kazi kama<br />

chombo huru cha ushauri katika Halmashauri na iundwe<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

136


na wajumbe wasiopungua watatu – Diwani mmoja na<br />

wajumbe wengine wawili kutoka nje. Mwenyekiti<br />

atachaguliwa kutoka kamati nje ya wajumbe wa kamati<br />

na uteuzi wake utathibitishwa na baraza<br />

• Mkurugenzi asiwe mjumbe katika kamati ila anaweza<br />

kuhudhuria vikao<br />

• Mkaguzi wa Ndani atahudhuria vikao vya Kamati kama<br />

mjumbe mwalikwa na asiwe katibu wa Kamati kama<br />

ilivyo sasa.<br />

• Kamati yenye wajumbe zaidi ya watatu ni lazima<br />

iundwe na wajumbe wengi kutoka nje na wote<br />

watakuwa mamlaka sawa katika maamuzi.<br />

• Mkaguzi wa Nje ataalikwa kuhudhuria kwenye Kamati,<br />

kwa maamuzi ya kamati ila ni lazima ahudhurie vikao<br />

vinavyohusiana na kujadili rasimu ya hesabu za Mwaka<br />

na matokeo ya ukaguzi wa hesabu uliofanywa na<br />

Mkaguzi wa Nje.<br />

• Tathmini ya ufanisi wa kamati ya ukaguzi wa Hesabu ya<br />

mara kwa mara ni muhimu. Pendekezo ni mara moja<br />

kwa mwaka. Hii inaweza kufanywa Kama tathmini ya<br />

binafsi kwa kutumia vigezo vya mazoea mazuri.<br />

4.13.4 Utendaji wa Wakaguzi wa Ndani Halmashauri<br />

Katika taasisi nyingi za Serikali kuna aina mbili ya vyombo<br />

ambavyo jamii inaweza ikajiridhisha kuwa mali ya umma<br />

inatumka vizuri, ambavyo ni ukaguzi wa Ndani na Ukaguzi<br />

wa Nje. Katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, Ofisi ya<br />

Taifa ya Ukaguzi chini ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu<br />

inawajibika na ukaguzi wa nje. Kazi za ukaguzi wa ndani<br />

zinafanywa kwanza kabisa kwa manufaa ya Afisa Masuuli<br />

wa Halmashauri. Ingawa kazi ya ukaguzi wa nje kwanza<br />

kabisa inafanywa kwa manufaa ya Bunge, lakini bado<br />

manufaa yanakuwa ni Halmashauri.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

137


Ukaguzi wa ndani unahusisha utumiaji wa mbinu za<br />

kuchanganua taratibu za uongozi au matatizo na<br />

mapendekezo ya suluhu. Mawanda ya ukaguzi wa ndani ni<br />

mapana na yanahusisha udhibiti wa ndani kama vile ufanisi<br />

wa kazi, usahihi wa taarifa za fedha, uzuiaji na uchunguzi<br />

wa wizi, utunzaji wa mali, na ufuataji wa sheria na kanuni.<br />

Wakati wa ukaguzi wa mwaka 2007/2008, tulitathmini<br />

vitengo vya ukaguzi wa ndani katika Halmashauri kwa<br />

kufuata matakwa ya Sehemu ya 45(1) ya Sheria za Fedha za<br />

Halmashauri ya Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982<br />

(iliyorekebishwa 2000) na Maagizo Na.12 – 16 ya Memoranda<br />

ya Fedha ya Serikali za Mitaa ya mwaka 1997 ilibainika<br />

kwamba kuna mapungufu makubwa licha ya mapendekezo<br />

yetu yanayohusiana na kazi za wakaguzi wa ndani kwa<br />

miaka ya nyuma. Mapungufu yalibainika karibu Halmashauri<br />

zote, matokeo ya sampuli iliyochaguliwa ni kama ifuatavyo:<br />

Na Halmashauri Watumis<br />

hi chini<br />

ya<br />

watatu<br />

1 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpwapwa<br />

Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Dodoma<br />

2 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Mtwara<br />

Mikindani<br />

3 Halmashauri ya<br />

Jiji la Mbeya<br />

4 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbeya<br />

Idadi ya<br />

Vifungu<br />

Wanafanya<br />

uhakiki<br />

wa<br />

malipo<br />

kabla ya<br />

kulipwa<br />

Menejimenti<br />

hawajibu<br />

hoja za<br />

wakaguzi<br />

Hawafanyi<br />

tathmini ya<br />

utendaji kazi<br />

/mipango ya<br />

Mwaka<br />

haipitishwi<br />

na kamati ya<br />

ukaguzi wa<br />

hesabu<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

138


5 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbarali<br />

6 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Hanang<br />

7 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilombero<br />

8 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Morogoro<br />

9 Halmashauri ya<br />

Wilaya Ukerewe<br />

10 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Singida<br />

11 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpanda<br />

12 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Nkasi<br />

13 Manispaa ya<br />

Sumbawanga<br />

14 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Siha<br />

15 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Iringa<br />

16 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilolo<br />

17 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ludewa<br />

18 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Makete<br />

19 Halmashauri ya<br />

Jiji la Tanga<br />

20 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Muheza<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

<br />

Kwa ufupi, mwaka 2007/2008 mambo yafuatayo yalibainika:<br />

• Kitengo cha ukaguzi wa ndani hakina kifungu cha fedha<br />

katika bajeti na hivyo hutegemea zaidi fedha kutoka<br />

idara zingine kwa matumizi ya kawaida.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

139


• Halmashauri nyingi zimeanzisha vitengo vya ukaguzi wa<br />

ndani ambavyo havina watumishi wa kutosha.<br />

Halmashauri nyingi zimeonekana kuwa na mtumishi<br />

mmoja au wawili ambao hawatoshelezi.<br />

• Mawanda ya ukaguzi kwa Wakaguzi wa Ndani ni<br />

machache, msisitizo ukiwa katika ukaguzi wa nyaraka<br />

badala ya kupima matokeo, usimamizi wa miradi,<br />

uandaaji wa taarifa za fedha na taratibu za utendaji<br />

katika kufikia malengo yaliyowekwa na Halmashauri.<br />

• Menejimenti ya Halmashauri zilizo nyingi huwa hawajibu<br />

na kuchukua hatua madhubuti dhidi ya hoja za wakaguzi<br />

wa ndani. Kwa hali hii kazi za Wakaguzi wa Ndani huwa<br />

hazina manufaa katika kuimarisha usimamizi wa fedha.<br />

• Mipango ya mwaka ya Wakaguzi wa Ndani huwa<br />

haithibitishwi na Kamati ya Ukaguzi wa Hesabu.<br />

4.14 Uchambuzi wa ugharimiaji<br />

Ugharimiaji katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa nchini<br />

Tanzania unatokana na vyanzo vikuu vitatu vifuatavyo;<br />

• Vyanzo vya ndani vya mapato<br />

• Ruzuku ya Serikali<br />

• Wafadhili<br />

4.14.1 Utendaji kifedha wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa<br />

mwaka 2007/2008<br />

Uhakiki wa mapato na matumizi ya Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa kwa mwaka 2006/07 ulitoa matokeo yafuatayo:<br />

• Halmashauri ishirini na nane (28) zilitumia jumla ya<br />

Sh.260,559,263,688 kati ya mapato ya<br />

Sh.232,989,909,648 na kusababisha matumizi ziada<br />

Sh.27,569,354,041. (Kiambatanisho 15 chahusika).<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

140


• Halmashauri mia moja na tano (105) zilitumia jumla ya<br />

Sh.929,417,430,857 kati ya mapato ya<br />

Sh.1,014,488,715,963 na kusababisha ziada ya<br />

Sh.85,071,285,107. Uchambuzi wa kina wa<br />

Halmashauri zinazohusika umeonyeshwa katika<br />

kiambatisho namba 16 cha ripoti hii.<br />

4.14.2 Ulinganisho kati ya maduhuli yaliyotokana na vyanzo<br />

vya ndani vya Halmashauri, ruzuku za Serikali Kuu na<br />

fedha za wahisani kwa mwaka 2006/2007 na<br />

2007/2008<br />

Mwaka<br />

Jumla ya<br />

maduhuli toka<br />

vyanzo vya<br />

ndani vya<br />

Halmashauri<br />

(Sh.)<br />

Jumla ya ruzuku<br />

za<br />

serikali/wafadhili<br />

(Sh.)<br />

% ya jumla ya<br />

maduhuli toka vyanzo<br />

vya ndani na Jumlaya<br />

ruzuku ya<br />

serikali/wafadhili<br />

(Sh.)<br />

2006/2007 77,310,930,607 914,713,448,103 8.5<br />

2007/2008 93,545,987,812 1,140,847,566,087 9.2%<br />

Jedwali hapo juu linaonyesha kwamba mapato yatokanayo<br />

na maduhuli toka vyanzo vya ndani vya Halmashauri<br />

yaliongezeka kidogo katika mwaka 2007/2008 kulinganisha<br />

na mwaka 2006/2007.<br />

Jumla ya maduhuli ya Halmashauri yatokanayo na vyanzo<br />

vya ndani yaliongezeka toka Sh.77,310,930,607 mwaka<br />

2006/2007 hadi Sh. 93,545,987,812 mwaka 2007/2008<br />

sawa na asilimia ishirini na moja (21%).<br />

Hata hivyo, wakati maduhuli yatokanayo na vyanzo vya<br />

ndani vya Halmashauri yanapolinganishwa na ruzuku za<br />

Serikali na wafadhili inaonekana kwamba Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa zinategemea mno ruzuku za Serikali na<br />

wafadhili. Hii inaashiria kwamba Mamlaka za Serikali za<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

141


Mitaa hazifanyi jitihada za kutafuta vyanzo vingine vya<br />

kuongeza ukusanyaji wa maduhuli. Kwa mfano, mwaka<br />

2006/2007 maduhuli ya Halmashauri toka vyanzo vya ndani<br />

yalikuwa Sh.77,310,930,607 ambapo Sh.914,713,448,103<br />

zilitokana na ruzuku za Serikali na wafadhili. Hali<br />

kadhalika, maduhuli kutoka vyanzo vya ndani vya<br />

Halmashauri kwa mwaka 2007/2008 yalikuwa ni<br />

Sh.93,545,987,812 ukilinganisha na Sh.1,140,847,566,087<br />

fedha toka ruzuku ya Serikali na Wafadhili.<br />

MWELEKEO <strong>WA</strong> UGHARIMIAJI KATIKA HALMASHAURI<br />

Kiasi (Sh.)<br />

Milioni<br />

1,200,000<br />

1,000,000<br />

800,000<br />

600,000<br />

400,000<br />

200,000<br />

Vyanzo vya ndani<br />

Ruzuku ya<br />

Serikali /wafadhili<br />

0<br />

2006 /2007 2007/ 2008<br />

Miaka<br />

Muhimili unaonyesha kwamba Mamlaka za Halmashauri za<br />

Serikali za Mitaa zinategemea kwa kiasi kikubwa ruzuku<br />

toka Serikali Kuu na fedha za wafadhili. Inaonyesha pia<br />

kuwa Halmashauri haziwezi kuendesha shughuli zake bila<br />

kutegemea ruzuku za Serikali Kuu na wafadhili. Kwa hali<br />

hiyo menejimenti za Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

zinashauriwa kutafuta njia mbadala ambazo zinaweza<br />

kuongeza wigo wa vyanzo vya mapato yao ya ndani.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

142


4.15 Ukaguzi wa Bajeti<br />

4.15.1 Uhakiki wa utaratibu wa Bajeti<br />

Sehemu ya 43(1) ya Sheria za Fedha za Halmashauri ya<br />

Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 (iliyorekebishwa<br />

2000) inazitaka Halmashauri kuandaa makisio ya mwaka<br />

ya mapato na matumizi. Zaidi ya hapo, Halmashauri<br />

zinatakiwa kutengeneza bajeti na kupeleka mipango na<br />

bajeti kwa kufuata MKUKUTA.<br />

Mipango na bajeti za Halmashauri zilizo pitishwa zitoe<br />

mwelekeo na miongozo kwa watumishi wa Halmashauri na<br />

wadau wengine katika kutoa huduma na utekelezaji wa<br />

shughuli zilizopangwa.<br />

Zaidi ya kuonyesha shughuli zilizopangwa kwa utekelezaji<br />

na huduma zitakazotolewa kwa mwaka, mipango na bajeti<br />

pia ziweze kudhibitiwa na kutathminiwa wakati wa<br />

utekelezaji wa mipango na Bajeti.<br />

Lengo kuu kuhusiana na utaratibu wa bajeti za Halmashuri<br />

ni kuhakikisha kuwa mapato yaliyopangwa yanadhibitiwa.<br />

Katika kutathmini utaratibu wa bajeti kwenye Halmashauri,<br />

tumebaini yafuatayo:-<br />

Namba Jina la<br />

Matokeo ya Ukaguzi<br />

Halmashauri<br />

1. Manispaa ya • baadhi ya vifungu vimetumia mara<br />

Singida<br />

saba zaidi ya bajeti<br />

• Matumizi pungufu ya bajeti katika<br />

baadhi ya vifungu kwa 44% hadi<br />

100%<br />

• Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />

• Tofauti kubwa kati ya bajeti na<br />

matumizi kwa ujumla<br />

• Hasara ya Sh.196,161,516<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

143


2. Halmashauri ya<br />

wilaya Ileje<br />

3. Halmashauri ya<br />

Wilaya Mbarali<br />

4. Halmashauri ya<br />

Wilaya Rungwe<br />

5. Halmashauri ya<br />

Wilaya Morogoro<br />

Taarifa ya maliganisho kati ya bajeti<br />

na matumizi kinyume na Agizo Na. 42-<br />

43 la Sheria za Fedha za Halmshauri ya<br />

Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982<br />

(iliyorekebishwa 2000)<br />

Matumizi zaidi ya makisio<br />

yaliyopitishwa kwa Sh.16,681,413<br />

Matumizi zaidi ya makisio<br />

yaliyopitishwa kwa Sh.4 39,924,185<br />

Tofauti kubwa kati ya makisio<br />

yaliyopitishwa na matumizi yanayozidi<br />

asilimia thelathini na sita (36%) ya<br />

bajeti.<br />

6. Manispaa Arusha Malipo kwa madeni ya miaka ya nyuma<br />

bila kuwa kwenye bajeti Sh.44,154,124<br />

na hakuna uthibitisho kuwa kiwango<br />

hicho kiliwekwa kwenye wadai wa<br />

mwaka 2006/2007.<br />

7. Halmashauri ya<br />

Wilaya Tabora<br />

8. Halmashauri ya<br />

Wilaya Bahi<br />

9. Halmashauri ya<br />

Wilaya Mpwapwa<br />

• Matumizi ya Sh.44,187,780 bila kuwa<br />

kwenye bajeti<br />

• Matumizi zaidi ya bajeti katika<br />

baadhi ya vifungu kwa 13% hadi<br />

100%<br />

Taarifa ya utekelezaji wa bajeti<br />

haikuletwa pamoja na hesabu za<br />

mwaka<br />

• Taarifa ya utekelezaji wa bajeti<br />

haikuletwa pamoja na hesabu za<br />

mwaka<br />

• Matumiza zaidi ya bajeti<br />

iliyopitishwa kwa 15% hadi 95%<br />

katika baadhi ya vifungu<br />

10. Manispaa Dodoma • Taarifa ya utekelezaji wa bajeti<br />

haikuletwa pamoja na hesabu za<br />

mwaka<br />

• Tofauti kubwa kati ya bajeti na<br />

matumizi katika baadhi ya vifungu<br />

bila maelezo yoyote inayofikia<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

144


11. Halmashauri ya<br />

Wilaya Iringa<br />

12. Halmashauri ya<br />

Wilaya Ludewa<br />

13. Halmashauri ya<br />

Wilaya Kilolo<br />

14. Halmashauri ya Mji<br />

Njombe<br />

15. Halmashauri ya<br />

Wilaya Kasulu<br />

16. Manispaa ya<br />

Kigoma Ujiji<br />

17. Halmashauri ya<br />

Wilaya Rombo<br />

18. Halmashauri ya<br />

Wilaya Moshi<br />

Sh.173,801,116.40<br />

• Matumizi pungufu ya bajeti katika<br />

baadhi ya vifungu yanayofikia<br />

Sh.598,264,082<br />

Tofauti kubwa kati ya kiasi<br />

kilichokisiwa cha makusanyo ya<br />

mapato ya ndani na mapato halisi<br />

kutokana na makisio yasiyo ya kweli.<br />

Makusanyo ya ndani kukusanywa zaidi<br />

ya makisio kwa 49%<br />

Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />

ndani na makusanyo halisi imebainika<br />

kuwa na makusanyo pungufu kwa 10%<br />

hadi 94%<br />

Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />

ndani na makusanyo halisi imebainika<br />

kuwa na makusanyo pungufu kwa 7%<br />

hadi 84%<br />

Taarifa ya ulinganisho wa makisio ya<br />

mapato ya ndani na makusanyo halisi<br />

haikuandaliwa na kuletwa na tofauti<br />

hazikuelezwa<br />

Taarifa ya ulinganisho wa makisio ya<br />

mapato ya ndani na makusanyo halisi<br />

haikuandaliwa na kuletwa pamoja na<br />

hesabu za mwaka<br />

Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />

pamoja na hesabu za mwaka<br />

• Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />

pamoja na hesabu za mwaka<br />

• Mgawanyo wa fedha za nyongeza<br />

kwenye taarifa ya makisio na halisi.<br />

19. Halmashauri ya Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />

Wilaya Siha pamoja na hesabu za mwaka<br />

20. Manispaa ya Moshi Taarifa ya utekelezaji haikuletwa<br />

pamoja na hesabu za mwaka<br />

21. Halmashauri ya Matumizi bila kuwa na makisio<br />

Wilaya Tunduru Sh.47,760,267 kinyume na Sehemu Na.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

145


43 ya Sheria za Fedha za Halmashauri<br />

ya Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka<br />

1982 (iliyorekebishwa 2000)<br />

22. Halmashauri ya Matumizi zaidi ya makisio<br />

Wilaya Tandahimba yaliyopitishwa kwa Sh.11,386,625,415<br />

23. Manispaa ya Iringa Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />

ndani na makusanyo halisi imebainika<br />

kuwa na makusanyo pungufu kutokana<br />

na kutokana na kutokuwa na utafiti wa<br />

kina kuhusu uwezo wa Halmashauri<br />

kukusanya mapato.<br />

24. Halmashauri ya<br />

Wilaya Mufindi<br />

25. Halmashauri ya<br />

Wilaya Njombe<br />

26. Halmashauri ya<br />

Wilaya Masasi<br />

4.15.2 Kuandaa Upya Bajeti ya Salio Anzia<br />

Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />

ndani na makusanyo halisi imebainika<br />

kuwa na makusanyo pungufu kutokana<br />

na kutokana na kutokuwa na utafiti wa<br />

kina kuhusu uwezo wa Halmashauri<br />

kukusanya mapato<br />

Ulinganisho wa makisio ya mapato ya<br />

ndani na makusanyo halisi imebainika<br />

na makusanyo pungufu kuliko<br />

ilivyokusudiwa. Katika ukaguzi<br />

ilibainika kuwa Halmashauri ya Mji wa<br />

Njombe haikufanya utafiti kuelewa<br />

mapato yake halisi kabla ya<br />

kutayarisha bajeti na hii imesababisha<br />

tofauti kubwa<br />

Matumizi katika baadhi ya vifungu<br />

vyenye matumizi zaidi na matumizi<br />

pungufu ya makisio ambayo kwa<br />

ujumla wake yanafikia Sh.163,587,579<br />

Katika kuandaa wigo wa bajeti, Salio anzia ni lazima<br />

lifikiriwe, kiasi kwamba sehemu ya salio anzia kwa miradi<br />

inayoendelea ni lazima lichanganuliwe kwa kufuata miradi<br />

hiyo. Hii itaongeza uwazi kwa kuwa inaeleweka kuwa sio<br />

fedha zote zilizoko katika Halmashauri aidha ni za<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

146


makusanyo ya ndani au ruzuku zinatumika kwa mwaka<br />

husika. Baadhi ya fedha zimebaki hazijatumika kwa miaka<br />

ya 2006/07 na 2007/2008.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

147


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

148


SURA <strong>YA</strong> TANO<br />

UCHAMBUZI <strong>WA</strong> MCHAKATO <strong>WA</strong> MANUNUZI KATIKA MAMLAKA <strong>ZA</strong><br />

<strong>SERIKALI</strong> <strong>ZA</strong> MITAA<br />

5.1 Utangulizi<br />

Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.21 ya 2004 inaeleza kuwa<br />

manunuzi ni mchakato unaofanywa na taasisi katika<br />

kununua, kukodisha, au kwa maana nyingine upatikanaji<br />

wa bidhaa, kazi za ujenzi au huduma kwa kutumia fedha<br />

za umma na kujumuisha njia zote zinazohusisha kupata au<br />

kununua bidhaa au kazi za ujenzi au huduma, kwa kuitisha<br />

zabuni na kufanya maandalizi ya uingiaji wa mikataba.<br />

Katika zama hizi za ushindani kati ya mahitaji na<br />

rasilimali zilizopo, suala la uwajibikaji na uwazi katika<br />

Serikali linapewa umuhimu mkubwa kwani usimamizi mzuri<br />

wa manunuzi inaiwezesha Serikali kupata mafanikio katika<br />

malengo yake ya Kisiasa, kiuchumi na kijamii. Kutokana na<br />

ukweli huu, ni dhahiri kuwa manunuzi ni eneo muhimu<br />

katika kukagua na yafuatayo ndiyo yaliyojitokeza:<br />

5.1.1 Uzingatiaji wa Sheria ya Manunuzi<br />

Kifungu cha 44 (2) cha Sheria ya manunuzi ya Umma Na.21<br />

ya mwaka 2004 na Kanuni Na.31 ya manunuzi ya Umma<br />

(bidhaa, ujenzi, huduma ambazo si za ushauri na kuuza<br />

mali za umma kwa njia ya zabuni), Toleo Na.97 la Serikali<br />

la mwaka 2005 ninatakiwa kueleza katika ripoti yangu ya<br />

mwaka ya ukaguzi kwamba taasisi inayokaguliwa<br />

imezingatia au haikuzingatia mahitaji ya sheria na<br />

kanuni zake. Kwa kuzingatia majukumu haya kwa taasisi<br />

inayofanya manunuzi zikiwemo Halmashauri, tamko la<br />

ujumla la Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

ni kwamba hali ya kiwango cha uzingatiaji wa sheria katika<br />

ukaguzi uliofanyika haukuridhisha kama mahitaji ya sheria<br />

yanavyotaka.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

149


5.2 Uimarishwaji wa Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi<br />

Kifungu cha 34 cha Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.21 ya<br />

mwaka 2004 na Kanuni Na.22 ya Bodi ya Zabuni ya Serikali<br />

za Mitaa ya mwaka 2007 inazitaka taasisi zinazofanya<br />

manunuzi kuanzisha vitengo vya usimamizi wa manunuzi<br />

vinavyojumuisha wajumbe wenye umahiri mkubwa. Hivyo<br />

basi kitengo hicho kitajumuisha wataalam wa manunuzi pia<br />

na wataalum wa kada mbalimbali wenye fani maalum<br />

wakisaidiwa na wale wa fani ya utawala.<br />

Kazi za kitengo cha Manunuzi zimeainishwa katika kifungu<br />

cha 35 cha Sheria ya Manunuzi ya Umma Na.21 ya mwaka<br />

2004 ambapo ni pamoja na kusimamia shughuli zote za<br />

manunuzi katika taasisi inayohusika ikiwa ni pamoja na<br />

kuandaa mpango wa manunuzi ili kuiwezesha bodi ya<br />

zabuni iweze kufanya kazi zake ipasavyo kama vile kufanya<br />

maamuzi mbalimbali, kuratibu shughuli zote za manunuzi<br />

katika idara husika,kutayarisha nyaraka za zabuni na<br />

mikataba pia kutunza na kuhifadhi nyaraka zenye kuonesha<br />

kumbukumbu za manunuzi yaliyofanywa.<br />

Ni dhahiri kuwa kitengo hiki kinatakiwa kujumuisha<br />

wajumbe wenye umahiri mkubwa kwa idadi yao na kwa sifa<br />

walizo nazo za kitaaluma kiasi kwamba kutokuwa na<br />

umahiri na sifa za kutosha watashindwa kutekeleza<br />

matakwa ya Sheria ya Manunuzi ya mwaka, 2004 na kanuni<br />

zake.<br />

Tathmini iliyofanywa juu ya shughuli zilizotekelezwa na<br />

vitengo vya Manunuzi katika Halmashauri mbalimbali<br />

tumebaini mambo yafuatayo:-<br />

5.2.1 Taarifa za vitengo vya Manunuzi zimekuwa zikipelekwa<br />

kwa waweka Hazina waJiji/Manispaa/Mji Na Wilaya.<br />

Kinyume na kanuni namba 22(5) ya Kanuni ya Bodi ya<br />

zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2007 ambayo<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

150


inawataka wakuu wa vitengo vya Manunuzi kutoa taarifa<br />

zao moja kwa moja kwa Maafisa Masuuli. Maeneo mengine<br />

yaliyobainika kuwa na udhaifu ni kama yafuatayo katika<br />

jedwali hili:-<br />

Na Jina la<br />

Halmashauri<br />

1. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Musoma<br />

2. Halmashauri ya<br />

wilaya Mpwapwa<br />

3. Halmashauri ya<br />

wilaya Kilombero<br />

4. Halmashauri ya<br />

wilaya Morogoro<br />

5. Halmashauri ya<br />

wilaya Kwimba<br />

6. Hallmashauri ya<br />

wilaya<br />

Sengerema<br />

7. Manispaa ya<br />

Singida<br />

8. Manispaa ya<br />

Musoma<br />

Halmashauri<br />

9. ya wilaya<br />

Ukerewe<br />

10.<br />

Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Bukoba<br />

Matokeo ya Ukaguzi<br />

Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi amekuwa<br />

akiwajibika kwa Mweka Hazina wa wilaya badala<br />

ya Afisa Masuuli.<br />

Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi na<br />

ile Taarifa ya mwaka hazikuwasilishwa ukaguzi<br />

Taarifa za kila mwezi na ya mwaka<br />

hazikutayarishwa.<br />

Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />

hazikutayarishwa ambapo ni kinyume na kanuni<br />

namba 23 ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya Serikali<br />

za Mitaa ya mwaka 2007.<br />

Kitengo cha Manunuzi hakijaanzishwa<br />

Muhtasari wa vikao vilivyofanywa na kitengo cha<br />

Manunuzi na Taarifa mbalimbali muhimu<br />

kuthibitisha utendaji wa kitengo hiki ndani ya<br />

Halmashaurri hazikuweza kupatikana.<br />

Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />

hazikutayarishwa ambapo ni kinyume na kanuni<br />

namba 23 ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya Serikali<br />

za Mitaa ya mwaka 2007.<br />

Taarifa za kila mwezi na ya mwaka<br />

hazikutayarishwa<br />

Tangu kitengo cha Manunuzi kianzishwe<br />

Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />

hazikutayarishwa ambapo ni kinyume na<br />

kanuni namba 23(e) hadi (q) ya Kanuni za Bodi<br />

ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2007<br />

na kutangazwa katika Gazeti la Serikali<br />

namba 177 chapisho la tarehe 3/8/2007.<br />

Muhtasari wa vikao vilivyofanywa na kitengo<br />

cha Manunuzi hazikunakiliwa ofisi ya Taifa ya<br />

Ukaguzi,ni dhahiri utendaji wa kitengo hiki<br />

kuwa wa kutia shaka.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

151


11. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Singida<br />

12. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Sengerema<br />

13. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Tabora<br />

14. Halmashauri<br />

ya wilaya Hai<br />

15. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Kasulu<br />

Taarifa za kila mwezi na ya mwaka<br />

hazikutayarishwa kinyume na kanuni namba<br />

23 ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya Serikali za<br />

Mitaa ya mwaka 2007. Pia, ilibainika kuwa<br />

Kitengo cha Manunuzi hakiwajibiki moja kwa<br />

moja kwa Afisa Masuuli kinyume na kanuni<br />

namba 22 (5) ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 2007.<br />

Tangu kitengo cha Manunuzi kianzishwe<br />

Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />

hazikutayarishwa ambapo ni kinyume na<br />

kanuni namba 23(e) hadi (q) ya Kanuni za Bodi<br />

ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2007<br />

na kutangazwa katika Gazeti la Serikali<br />

namba 177 chapisho la tarehe 3/8/2007.<br />

Imetuwia vigumu kupima ufanisi wa kitengo<br />

cha Manunuzi kwa vile kitengo hiki kipo chini<br />

ya Idara ya Fedha na kuuongozwa na Mweka<br />

Hazina wa Wilaya.<br />

Kitengo kinatunza faili mahsusi kwa ajili ya<br />

kitengo cha Manunuzi lakini nyaraka<br />

mbalimbali muhimu zikiwemo muhtasari ya<br />

vikao haikuweza kuonekana ndani ya faili hili.<br />

Hali hii ndiyo iliyosababisha kutoweza kupima<br />

ufanisi wa kitengo hiki.<br />

• Taarifa ya mwaka ya Manunuzi ya mwaka<br />

2007/2008 haikuweza kupatikana kwa<br />

kufanyiwa Ukaguzi.<br />

• Hakuna Mafaili maalum kwa ajili ya kitengo cha<br />

Manunuzi<br />

• Waombaji wa utoaji wa huduma za uzabuni<br />

hawajulishwi Matokeo ya vikao vya zabuni.<br />

• Halmashauri hawana Daftari linalo onesha<br />

manunuzi mbalimbali yaliyofanywa.<br />

16. Manispaa ya<br />

Kigoma /Ujiji<br />

17. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Taarifa za kila mwezi na ya mwaka<br />

hazikutayarishwa na kuletwa Ukaguzi.<br />

• Muhtasari wa Kikao cha Bodi ya Zabuni<br />

cha tarehe 29/1/08 kimebainisha kuwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

152


Kisarawe<br />

18. Halmashauri<br />

ya Jiji Dar es<br />

salaam<br />

19. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Ulanga<br />

20. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Mvomero<br />

21. Halmashauri<br />

ya wilaya Bahi<br />

22. Manispaa ya<br />

Dodoma<br />

23. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Kondoa<br />

Bodi ya Zabuni kinafanya shughuli za<br />

Kitengo cha manunuzi na kile cha kamati<br />

ya tathmini.<br />

• Katika hatua nyingine ya ushiriki wa<br />

kitengo cha Manunuzi kwa mujibu wa<br />

kanuni ya 18(a) hadi (c) ya Kanuni za<br />

Bodi ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya<br />

mwaka 2007haikuweza kuthibitishwa.<br />

Ukaguzi umebaini kuwa kitengo cha Manunuzi<br />

hakijatoa mchango wa kutosha ili kuifanya<br />

Bodi ya Zabuni iweze kutekeleza majukumu<br />

yake ipasavyo kinyume na sehemu 35 (c)<br />

inayokitaka kitengo cha Manunuzi kutekeleza<br />

maamuzi ya Bodi ya Zabuni.<br />

Taarifa ya mwaka ya utekelezazi juu ya<br />

manunuzi mbalimbali yaliyofanywa<br />

haikutayarishwa na kitengo cha Manunuzi hali<br />

iliyosababisha kutofanyika tathimni ya<br />

shughuli za kitengo cha manunuzi.<br />

Kitengo cha Manunuzi kimeshindwa kutoa<br />

Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka<br />

kinyume na kanuni namba 23 ya Kanuni za<br />

Bodi ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka<br />

2007.<br />

Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi<br />

na ile Taarifa ya mwaka 2007/2008<br />

hazikuwasilishwa ukaguzi.<br />

Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi<br />

na ile Taarifa ya mwaka 2007/2008<br />

hazikuwasilishwa ukaguzi.Pia,Mkuu wa<br />

Kitengo cha manunuzi anawajibika kwa<br />

Mweka Hazina wa Manispaa. Utaratibu huu ni<br />

kinyume na kanuni na.22 (5) ya Kanuni za<br />

Bodi ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka<br />

2007 ambayo inataka Kitengo Cha Manunuzi<br />

kuwajibika moja kwa moja kwa Afisa Masuuli.<br />

Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi<br />

na ile Taarifa ya mwaka 2007/2008<br />

hazikuwasilishwa ukaguzi.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

153


24. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Kongwa<br />

25. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Nanyumbu<br />

26. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Ludewa<br />

27. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Tarime<br />

28. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Mkuranga<br />

29. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Chato<br />

Taarifa ya manunuzi ya mwaka 2007/2008<br />

imeonesha kutokamilika kutokana na<br />

kukosekana kwa taarifa muhimu kama vile<br />

makadirio ya manunuzi ya vifaa au huduma<br />

mbalimbali zilizopangwa kufanyika na sababu<br />

zilizosabaisha kutofanyika kwa baadhi ya<br />

manunuzi.<br />

Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi amekuwa<br />

akiwajibika kwa Mweka Hazina wa wilaya<br />

badala ya Afisa Masuuli<br />

Hakuna mafaili ya kutunza nyaraka za<br />

manunuzi pia taarifa ya manunuzi<br />

haikutayarishwa.<br />

Kitengo cha Manunuzi hakijaanzishwa<br />

kinyume na sehemu ya 34 Sheria ya<br />

Manunuzi, 2004 badala yake kitengo cha<br />

Manunuzi kilianzishwa kama kamati yenye<br />

wajumbe watatu.<br />

• Mchanganyiko wa wajumbe wa Kamati<br />

ya Manunuzi haukuzingatia matakwa ya<br />

kifungu cha 34 cha Sheria ya Manunuzi<br />

ya mwaka 2004.Kamati hii<br />

imewajumuisha Mganga Mkuu wa<br />

Wilaya,Afisa Ununuzi,Afisa Elimu wa<br />

Wilaya,Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya<br />

na Mweka Hazina.<br />

Hata hivyo hakuna ushahidi kuthibitisha kuwa<br />

taarifa za kila robo mwaka ziliwasilishwa<br />

kwenye taasisi husika kinyume na matakwa ya<br />

Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2001 na ile<br />

iliyofanyiwa marekebisho ya mwaka 2004.<br />

Halmashauri imeshindwa kuanzisha Kitengo<br />

cha Manunuzi kinyume na Sheria ya Manunuzi<br />

namba 21 ya Mwaka 2004.<br />

30. Igunga DC Kitengo cha Manunuzi kipo chini ya idara ya<br />

Fedha kikiongozwa na Mweka Hazina na<br />

imekuwa ikiwajibika kwa Mweka Hazina wa<br />

wilaya badala ya Mkurugenzi wa Halmashauri<br />

ambaye ni Afisa Masuuli.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

154


31. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Lushoto<br />

32. Manispaa ya<br />

Tabora<br />

33. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Kibondo<br />

34. Manispaa ya<br />

Kinondoni<br />

• Kitengo cha Manunuzi kinaongozwa na<br />

Mhandisi wa Wilaya ambapo ni kinyume<br />

cha kifungu cha 34(4) cha Sheria ya<br />

Manunuzi ya mwaka 2004 na Kanuni ya<br />

22(4) ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 2007<br />

ambapo inatakiwa kitengo hiki<br />

kiongozwe na mtu mwenye sifa ya fani<br />

ya manunuzi na uzoefu wa kutosha<br />

kama vile Afisa ununuzi.<br />

Pia ukaguzi ilibaini kuwa mjumbe mmoja wa<br />

Kamati ya Manunuzi alikuwa ni Mwanasheria<br />

wa Halmashauri ambaye anahusika sana<br />

katika kuandaa mikataba na kuwa na nguvu ya<br />

kisheria katika kusaini mikataba<br />

mbalimbali.Hali hii inakinzana na dhana ya<br />

utawala bora kwa kuhusika kwake katika<br />

sehemu zote mbili.<br />

• Muhtasari wa vikao vilivyofanywa na<br />

kitengo cha Manunuzi hazikunakiliwa<br />

ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.<br />

Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi anawajibika<br />

kwa Mweka Hazina wa Manispaa ambapo ni<br />

kinyume cha kanuni ya 22 (5) ya Sheria ya<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 2007 ambayo<br />

inataka Mkuu wa KItengo cha Manunuzi<br />

kuwajibika moja kwa moja kwa Afisa Masuuli.<br />

Muhtasari wa vikao vilivyofanywa na kitengo<br />

cha Manunuzi haikunakiliwa ofisi ya Taifa ya<br />

Ukaguzi<br />

Ili kukidhi matakwa ya Kifungu namba 35 (o) ya<br />

Sheria namba 21 ya Manunuzi ya mwaka 2004,<br />

kitengo cha Manunuzi kinatakiwa kutayarisha<br />

taarifa ya kila mwezi ya shughuli ilizozifanya na<br />

kuipeleka kwenye Bodi ya Zabuni ya Manispaa.<br />

Ukaguzi umeshindwa kuthibitisha kama<br />

kitengo cha Manunuzi kimekidhi matakwa ya<br />

kifungu cha 35 (o) cha Sheria ya Manunuzi<br />

namba 21 ya Mwaka 2004.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

155


35. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Nzega<br />

36. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Chamwino<br />

37. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Misungwi<br />

38. Halmashauri<br />

ya wilaya<br />

Manyoni<br />

39. Manispaa ya<br />

Temeke<br />

Kitengo cha Manunuzi kimeshindwa kutoa<br />

Taarifa za kila mwezi na ile ya mwaka kwa<br />

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu kinyume<br />

na kanuni namba 23 ya Kanuni za Bodi ya<br />

Zabuni ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2007.<br />

Taarifa za shughuli za kitengo cha Manunuzi<br />

na ile Taarifa ya mwaka zikionesha shughuli<br />

za kitengo hazikutayarishwa.<br />

Tangu kitengo cha Manunuzi kianziswhe<br />

kimeshindwa kutekeleza majukumu yake<br />

kama yalivyo ainishwa katika kifungu 23(e)<br />

hadi (q) cha Bodi ya Zabuni ya Serikali za<br />

Mitaa ya mwaka 2007 na kutangazwa katika<br />

Gazeti la Serikali namba 177 chapisho la<br />

tarehe 3/8/2007.<br />

Kitengo cha Manunuzi kimeshindwa<br />

kutayarisha Taarifa ya utekelezaji wa<br />

manunuzi na kusabaisha ukaguzi kushindwa<br />

kufanya tathmini ya kitengo hiki kwa mwaka<br />

husika.<br />

• Kitengo cha Manunuzi katika<br />

Halmashauri ya Manispaa hakina<br />

wataalam wenye ujuzi wa masuala<br />

ya Manunuzi na wale wenye fani<br />

maalum kinyume na kanuni ya 22 (2)<br />

ya Kanuni za Bodi ya Zabuni ya<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka<br />

2007.Badala ya watumishi<br />

walioajiriwa, kamati inafanya kazi<br />

zake kama kamati ikijumuisha<br />

wajumbe walioteuliwa na haina<br />

hadhi kama kitengo au idara.<br />

Mkuu wa kitengo kinacho<br />

fanya kazi zake kama kitengo<br />

cha manunuzi kinapeleka<br />

taarifa zake kwa Mweka<br />

Hazina wa Manispaa badala ya<br />

kupeleka taarifa zake moja<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

156


kwa moja kwa Afisa Masuuli<br />

ambapo ni kinyume na kanuni<br />

namba 22 (5) Kanuni za Bodi<br />

ya Zabuni ya Serikali za Mitaa<br />

ya mwaka 2007.Utoaji huu wa<br />

taarifa ulitolewa na Afisa<br />

Masuuli kupitia barua yake<br />

yenye kumbukunbu Na.<br />

TMC/C/2/19/198; ya tarehe<br />

15 July, 2008.<br />

Ukaguzi umebaini kuwa chanzo kikubwa cha kutokufuatwa<br />

kwa Sheria ya Manunuzi ya mwaka 2004 na kanuni zake ni<br />

kukosekana kwa vitengo vya manunuzi vilivyo madhubuti<br />

ndani ya Halmashauri kadhaa.Kuna baadhi ya Halmashauri<br />

ambazo ingawa zimeunda vitengo vya Manunuzi lakini<br />

vitengo hivyo bado havina watumishi waliopata mafunzo na<br />

wenye sifa zinazokidhi kwa wao kuwa miongoni mwa<br />

wajumbe wa kitengo cha Manunuzi.<br />

5.3 Upembuzi wa manunuzi ya bidhaa, kazi za ujenzi na<br />

huduma katika Serikali za Mitaa<br />

Sehemu hii ina dhamiria kutoa mwelekeo ni kwa kiasi gani<br />

baadhi ya Halmashauri za Serikali za Mitaa zimeweza<br />

kukidhi matakwa ya Sheria ya manunuzi namba 21 ya<br />

mwaka 2004 na kanuni zake za mwaka 2005, pia na<br />

Memoranda ya fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 1997.<br />

5.3.1 Vifaa vilivyonunuliwa lakini havikuingizwa katika daftari<br />

la vifaa Sh.265,703,896<br />

Agizo Na.207 la Memoranda ya fedha za Serikali za Mitaa ya<br />

mwaka 1997 linatamka kwamba kumbukumbu za vifaa<br />

vilivyopokelewa, kutolewa na vilivyobaki katika ghala,<br />

kuingizwa katika kurasa tofauti za leja zikionyesha tiririko<br />

wa manunuzi, tarehe ya manunuzi, hati ya kupokelea<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

157


idhaa, idadi na bei kwa kila kifaa. Aidha inahitaji<br />

kumbukumbu ya tarehe ya kutoa, kiasi kilichotolewa,<br />

namba ya hati iliyotumika kutoa na bakaa halisi.<br />

Ukaguzi uliofanyika katika usimamiaji wa vifaa umebaini<br />

kwamba Halmashauri 24 hazikuzingatia agizo hili.<br />

Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)<br />

1. Halmashauri ya Wilaya Lushoto 15,512,850<br />

2 Halmashauri ya Wilaya Magu<br />

7,324,140<br />

3 Halmashauri ya Wilaya Mwanga 26,691,896<br />

4 Halmashauri ya Wilaya Hai 5,065,000<br />

5 Halmashauri ya Wilaya Kishapu 3,015,000<br />

6 Halmashauri ya Mji Korogwe 10,814,000<br />

7. Halmashauri ya Wilaya Ngara 11,131,725<br />

8 Halmashauri ya Wilaya<br />

1,699,000<br />

Ukerewe<br />

10 Halmashauri ya Wilaya<br />

2,143,200<br />

Kisarawe<br />

11 Halmashauri ya Wilaya Kilwa 6,376,825.60<br />

12 Halmashauri ya Wilaya Tarime 4,450,000<br />

13 Halmashauri ya Wilaya Longido 65,959,330<br />

14 Halmashauri ya Wilaya Meru 25,225,400<br />

15 Halmashauri ya Wilaya Monduli 25,072,559<br />

16 Halmashauri ya Wilaya Kilolo 6,101,750<br />

17. Halmashauri ya Wilaya<br />

Shinyanga 3,678,640<br />

18 Halmashauri ya Jiji la Mbeya 8,961,600<br />

19 Halmashauri ya Manispaa ya<br />

16,920,700<br />

Morogoro<br />

20 Halmashauri ya Wilaya Mbeya 2,914,000<br />

21. Halmashauri ya Wilaya<br />

2,143,200<br />

Kisarawe<br />

22 Halmashauri ya Wilaya 4,740,700<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

158


Namtumbo<br />

23 Halmashauri ya Manispaa ya<br />

11,903,850<br />

Dodoma<br />

24 Halmashauri ya Wilaya<br />

20,695,520<br />

Mvomero<br />

Jumla 265,703,896<br />

5.3.2 Bidhaa ambazo zimelipiwa lakini hazijapokelewa au<br />

zimepokelewa pungufu Sh.697, 077,950<br />

Bidhaa zenye thamani ya Sh.697,077,950 zilizoagizwa na<br />

kulipiwa zilionekana aidha kupokelewa pungufu au<br />

kutopokelewa kabisa na Halmashauri ambazo<br />

zimeorodheshwa katika jedwali hapa chini. Hali inakinzana<br />

na matakwa ya Kanuni ya Manunuzi ya Umma Na.122<br />

kifungu (1) ambayo inahitaji taasisi inayofanya manunuzi<br />

kupata taarifa za mapokezi ya bidhaa zilizopokelewa, ili<br />

kulinganisha na mikataba na kuruhusu malipo kwa muuzaji<br />

kufanyika mapema iwezekanavyo.<br />

Na Halmashauri Vifaa/Huduma Kiasi (Sh.)<br />

1. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Meru<br />

Vifaa vya Ujenzi<br />

1,800,000<br />

2. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mufindi<br />

Ununuzi wa gari bila<br />

kupokelewa<br />

46,660,000<br />

3. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kisarawe<br />

4. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Magu<br />

5. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sikonge<br />

Ununuzi wa samani lakini<br />

hazijapokelewa<br />

Ununuzi wa dawa na<br />

vifaa vya hospitali<br />

ambavyo<br />

havijapokelewa<br />

Ununuzi wa Vifaa<br />

mbalimbali<br />

3,500,000<br />

62,396,200<br />

14,690,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

159


6. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sengerema<br />

7. Manispaa<br />

Tabora<br />

Ununuzi wa gari bila<br />

kupokelewa 30,935,000<br />

Ununuzi wa dawa<br />

6,155,200<br />

ambazo hazijapokelewa<br />

8. JIJI la DSM Ununuzi wa magari<br />

ambayo hayajapokelewa 225,000,000<br />

9. Halmashauri ya Ununuzi wa gari bila<br />

Wilaya ya Nkasi kupokelewa 9,200,000<br />

10. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mufindi<br />

11. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Namtumbo<br />

12. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Morogoro<br />

13 Manispaaa<br />

Dodoma<br />

Ununuzi wa gari bila<br />

kupokelewa<br />

Ununuzi wa gari bila<br />

kupokelewa<br />

Ununuzi wa gari bila<br />

kupokelewa<br />

Ununuzi wa gari bila<br />

kupokelewa<br />

46,660,000<br />

112,706,550<br />

66,875,000<br />

70,500,000<br />

Jumla 697,077,950<br />

5.3.3 Manunuzi yasiyozingatia ushindani wa bei<br />

Sh.106,142,346<br />

Ukaguzi wa hati za malipo na kumbukumbu za manunuzi<br />

uligundua kwamba Halmashauri zilizo orodheshwa hapa<br />

chini zilifanya malipo ya Sh.106,142,346 kugharimia ujenzi,<br />

ununuzi wa bidhaa na kulipia huduma za ushauri. Hata<br />

hivyo ilidhihirika kwamba zabuni hazikuitishwa wala<br />

hakukuwa na ushindani wa bei kutoka kwa wauzaji<br />

mbalimbali ili kuwezesha Halmashauri kupata bei nafuu na<br />

kiwango bora kwa bidhaa, kazi za ujenzi na huduma.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

160


Halmashauri 6 zilizo orodheshwa hapa chini zilifanya<br />

manunuzi ya bidhaa bila kufuata taratibu za ushindani wa<br />

bei:-<br />

Na. Halmashauri Kiasi (Sh.)<br />

1 Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha 16,440,550<br />

2 Halmashauri ya Wilaya ya Songea 12,331,000<br />

3 Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 36,750,000<br />

4 Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 5,498,096<br />

5 Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa 28,136,000<br />

6 Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe 6,986,700<br />

Jumla 106,142,346<br />

5.4 Usimamiaji wa Mikataba na kukidhi matakwa ya Sheria ya<br />

Manunuzi<br />

Sehemu hii imeweka mkazo katika usimamizi wa Mikataba<br />

na jinsi Halmashauri mbali mbali zilivyoweza kukidhi<br />

matakwa ya Sheria za Manunuzi, hali ambayo ukaguzi<br />

umeweza kubaini mambo ya msingi ambayo yameainishwa<br />

katika taarifa hii na pia katika barua za ukaguzi ambazo<br />

zimetumwa katika Halmashauri mbalimbali kwa mwaka wa<br />

fedha ulioishia tarehe 30 Juni, 2008.<br />

Katika nchi mbalimbali masuala ya Manunuzi ni moja ya<br />

maeneo yanayokabiliwa na hatari nyingi. Hii inatokana<br />

kuwa maamuzi ya manunuzi yanahitaji kufanyika kwa<br />

umakini hasa ikizingatiwa ni bidhaa gani au huduma ya aina<br />

gani inataka kununuliwa, pia ni njia zipi zinatumika<br />

kumpata Mkandarasi au Mtoa huduma.Kimsingi eneo hili<br />

limefafanuliwa vya kutosha chini ya kifungu cha 34 cha<br />

Sheria ya Manunuzi namba 21 ya Mwaka 2004 ambapo<br />

imeeleza kuwa ili kutekeleza kazi zake Bodi za Zabuni na<br />

Taasisi zinazofanya manunuzi ni vyema zikajizatiti kufikia<br />

viwango vya hali ya juu vya usawa katika kuwapata<br />

wazabuni,kwa kuzingatia yafuatayo:-<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

161


(a) Kutoa fursa sawa kwa waombaji wa kutoa<br />

huduma,wakandarasi au washauri waelekezi<br />

(b) Kutotoa upendeleo kwa upande wowote<br />

(c) Haja ya kuzingatiwa kwa dhana nzima ya thamani ya<br />

fedha hususan bei, ubora na utoaji huduma kwa<br />

viwango na vigezo vilivyowekwa.<br />

Mara nyingi manunuzi yanagubikwa katika mazingira<br />

hatarishi pale ambapo Bodi za zabuni na Taasisi<br />

zinazofanya manunuzi zinaposhindwa kufikia viwango vya<br />

juu vya usawa kwa walioomba kutoa huduma mbalimbali<br />

kama ilivyoainishwa chini ya kifungu cha 43 cha Sheria ya<br />

Manunuzi ya mwaka 2004.<br />

Pia, kifungu cha 44(1) cha Sheria ya Manunuzi ya mwaka<br />

2004, kinatamka kuwa ni jukumu la kila Afisa Masuuli,<br />

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi inayofanya manunuzi<br />

kuhakikisha kuwa vifaa vinavyonunuliwa, shughuli ya ujenzi<br />

au huduma zinafanyika kwa kuzingatia taratibu zote kama<br />

zilivyo ainishwa kwenye Sheria ya Manunuzi ya Mwaka 2004<br />

na Kanuni zake za Mwaka 2005. Kutokana na sababu<br />

zilizotajwa hapo juu, imebainika kuwa sehemu ya<br />

usimamizi wa mikataba na ule wa uzingatiaji wa Sheria ya<br />

manunuzi ni eneo ambayo ukaguzi ulitilia mkazo. Hivyo<br />

kutokana na zoezi hili la ukaguzi ninawajibika kutolea<br />

taarifa eneo lifuatalo:-<br />

5.4.1 Nyaraka pungufu katika mikataba mbalimbali na ukosefu<br />

wa kumbukumbu za miradi Sh.2,684,574,948<br />

Ni jambo muhimu sana kutunza kumbukumbu zinazohusu<br />

miradi au mikataba katika faili moja kwa urahisi wa<br />

kufanya marejeo au ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi au<br />

mikataba.<br />

Tabia ya utunzaji wa kumbukumbu sio tu unarahisisha<br />

upatikanaji wa taarifa kwa urahisi zaidi kwa halmashauri<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

162


husika bali pia inawawezesha wadau wa maendeleo au<br />

wakaguzi kupata taarifa sahihi na kwa wakati.Aidha,<br />

wakaguzi walishindwa kupata nyaraka mbalimbali muhimu<br />

katika zoezi la ukaguzi kama vile Hati za Mikataba,<br />

Mchanganuo wa gharama za bei (BOQ), Hati za Wahandisi,<br />

Hati fungani na Idhini ya uwekezaji.Matokeo ya zoezi hili la<br />

Ukaguzi limeoneshwa kwa kina katika kimbatisho namba 17<br />

katika taarifa hii.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

163


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

164


SURA <strong>YA</strong> SITA<br />

6.0 MATOKEO <strong>YA</strong> KAGUZI MAALUM<br />

Sheria ya Fedha za umma namba 6 ya mwaka 2001 (na<br />

marekebisho ya mwaka 2004) na kama ilivyo huishwa na<br />

Sheria ya Ukaguzi wa Umma namba 11 ya mwaka 2008<br />

kifungu cha 36(1) imempa mamlaka Mdhibiti na Mkaguzi<br />

Mkuu wa Hesabu za Serikali kufanya ukaguzi maalum pale<br />

itakapoonekana kuna umuhimu wa kufanya hivyo. Sheria hii<br />

imeweka bayana kuwa pale Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />

Heasabu za Serikali anapoona kuwa kuna dalili ya matumizi<br />

mabaya ya fedha au mali ya Serikali na kuna haja ya<br />

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lijulishwe juu<br />

ya kadhia hiyo basi Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu<br />

atafanya ukaguzi maalum na kupeleka taarifa yake kwa<br />

Mheshimiwa Rais.<br />

Ni katika hali hii ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />

Hesabu za Serikali imeweza kufanya kaguzi maalum saba<br />

(7) katika Halmashauri ya Serikali za Mitaa kama<br />

inavyooneshwa hapa chini:-<br />

6.1 Matokeo kwa ufupi ya kaguzi maalum zilizofanyika<br />

mwaka 2007/08<br />

Katika mwaka 2007/08 tulifanya kaguzi maalum katika<br />

Halmashauri 7 ambazo ni Halmashauri za Wilaya ya<br />

Mkuranga, Kilwa, Ludewa, Kibondo, Meatu, Ukerewe na<br />

Karatu.<br />

Mambo yaliyojitokeza katika kaguzi maalum hizi ni kama<br />

ifuatavyo:<br />

6.1.1 Halmashauri ya Wilaya ya Meatu<br />

• Kiasi cha Sh.35,831,200 kimelipwa kwa mkandarasi kwa<br />

ajili ya matengenezo ya muda maalum na ukarabati wa<br />

barabara bila kuwapo kwa nyaraka za mikataba.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

165


• Ukaguzi ulibaini ubora ulio hafifu wa madarasa mawili na<br />

nyumba moja ya mwalimu zilizotengenezwa, maeneo<br />

yaliyoonyesha kuwa hafifu ni kama vile sakafu haikujengwa<br />

kwa umadhubuti na imebomoka na kubakia mchanga. Pia<br />

dari limeanza kubomoka na milango haikuwa imewekwa.<br />

Uhakiki wa taarifa ya Utekelezaji wa Miradi mbalimbali<br />

iliyowasilishwa mbele ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za<br />

Serikali za Mitaa (LAAC) na taarifa zilizoko katika vitabu<br />

vya hesabu vya Halmashauri ya Wilaya ya Meatu kwa<br />

mwaka wa fedha 2006/2007 ilibaini upungufu ufuatao:-<br />

Na<br />

i.<br />

ii.<br />

iii.<br />

iv.<br />

v.<br />

Maelezo<br />

Kiasi cha<br />

fedha kwa<br />

mujibu wa<br />

taarifa ya<br />

kamati (Sh.)<br />

Kiasi cha<br />

fedha kwa<br />

mujibu wa<br />

vitabu vya<br />

Hesbu (Sh.)<br />

Tofauti<br />

(Sh.)<br />

Ukarabati wa<br />

Barabara ya Bukundi<br />

- Mwanhuzi 10,163,200 5,082,000 5,081,200<br />

Gharama za<br />

usimamizi wa kazi<br />

ya ujenzi wa<br />

barabara 24,282,330 6,320,000 17,962,330<br />

Ununuzi wa vifaa<br />

vya kuandikia kwa<br />

shughuli ya<br />

ukarabati wa<br />

Barabara ya<br />

Mwanhuzi-Busia 0 18,623,000 -18,623,000<br />

Ununuzi wa vifaa<br />

vya ujenzi wa<br />

madarasa mawili<br />

Shule ya Sekondari<br />

ya Lubiga 4,269,550 4,334,550 -65,000<br />

Ujenzi wa nyumba<br />

ya mfanyakazi<br />

zahanati ya<br />

Mwashata 9,540,200 7,198,200 2,342,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

166


vi.<br />

vii.<br />

viii.<br />

ix.<br />

x.<br />

xi.<br />

xii.<br />

Ujenzi wa darasa<br />

Mwabusalu 9,984,000 10,184,000 -200,000<br />

Ujenzi wa darasa<br />

Nkoma 6,568,290 8358061 -1,789,771<br />

Ujenzi wa nyumba<br />

ya mfanyakazi<br />

zahanati ya<br />

Mwanjoro 7,526,000 6,360,000 1,166,000<br />

Gharama ya<br />

mafunzo kwa Wakuu<br />

wa idara,madiwani<br />

na viongozi wa<br />

vijiji. 26,031,100 25,808,500 222,600<br />

Gharama ya<br />

mafunzo kwa<br />

wafanyakazi wa<br />

Mwabuzo, Mwanhuzi<br />

na Mwandoya 8,967,000 8,695,300 271,700<br />

Ufuatiliaji na<br />

usimamizi wa<br />

gharama za VVU 8,924,000 8,489,800 434,200<br />

Ujenzi wa nyumba<br />

ya waalimu (2 kwa<br />

1) 4,454,000 2,906,600 1,547,400<br />

Jumla 120,709,670 112,360,011 8,349,659<br />

6.1.2 Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa<br />

• Malipo ya Mishahara yalifanywa kwa watumishi<br />

waliostaafu/kuacha kazi Sh.5,690,748.59 kinyume na<br />

taratibu.<br />

• Vitabu vya makusanyo vilivyotolewa Kwa Watendaji<br />

wa Kata na ambavyo bado havijarudi ni Vitabu 31<br />

• Mapato yaliyopelekwa Benki pungufu Sh.2,525,137<br />

• Malipo ya awali Kutolipwa na Mawakala Kama<br />

Makubaliano Kwenye Mikataba Sh.4,820,000<br />

• Mikataba ya kukusanya Mapato bila ya Kufanyiwa<br />

upembuzi yakinifu.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

167


• Kutoingizwa kwa fedha za madawa katika vitabu vya<br />

Halmashauri Sh.350,215,749<br />

• Madawa yenye thamani ya Sh.93,318,496.91 bila<br />

usuluhisho kati ya halmashauri na Bohari Kuu ya<br />

Madawa (MSD) ili kuwa na usahihi wa hesabu zake.<br />

• Malipo ya fedha nje ya Bajeti na Mpango wa kazi<br />

uliopitishwa Sh.13,266,000<br />

6.1.3 Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga<br />

• Ucheleweshwaji wa mawasilisho ya makusanyo ya<br />

ushuru kinyume na Mkataba wa uwakala wa ukusanyaji<br />

ushuru Sh.49,000,000<br />

• Upungufu wa mawasilisho ya makusanyo Sh.25,200,000<br />

• Fedha zilizokopwa bado kurejeshwa Sh.1,038,500<br />

• Upotevu wa mabati yapatayo 426 yenye thamani ya<br />

Sh.5,226,385<br />

• Utoaji wa kandarasi ya ukusanyaji mapato kwa Wakala<br />

ambaye hajasajiliwa<br />

• Udhaifu katika utunzaji wa kumbukumbu<br />

• Hali halisi ya ujenzi wa Josho na Bwawa kutofahamika<br />

na kiasi cha Sh.19,000,000 zimetumika hadi sasa, pia<br />

Skimu ya Umwagiliaji ya Yavayava ambayo<br />

imeshatumia kiasi cha Sh.106,620,960 bado<br />

haijakamilika.<br />

• Malipo ya ziadi yasiyostahili ya Sh.4,624,916<br />

yamefanywa kwa Mkandarasi.<br />

• Kumekuwapo na ucheleweshaji wa kukamilisha ujenzi<br />

wa daraja moja,madarasa 11 na zahanati 3.<br />

• Kisima kirefu kilichogharimu kiasi cha Sh.49,346,000<br />

bado hakijaanza kutumika.<br />

• Manunuzi ya Kompyuta yenye viwango vya kitaalamu<br />

(Technical Specifications) chini ya vilivyoonyeshwa<br />

kwenye nyaraka za manunuzi.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

168


• Malipo ya kiasi cha Sh.4,237,000 kwa ajili ya bidhaa na<br />

huduma mbalimbali bila ya ushindani toka kwa<br />

wazabuni.<br />

• Magari mawili ya Halmashauri yamezuiwa katika<br />

karakana za watu binafsi tangu mwaka 2000 kutokana<br />

na Halmashauri kushindwa kulipia gharama za<br />

matengenezo.<br />

• Mafuta yenye thamani ya Sh.40,626,450 yalinunuliwa<br />

lakini hakuna uthibitisho wa matumizi yake ingawa<br />

yaliingizwa vitabuni.<br />

• Dhima ya dharura ya Sh.145,026,157 ikiwa ni wadai<br />

mbalimbali waliofungua kesi mahakamani dhidi ya<br />

Halmashauri hayakuoneshwa vitabuni kwenye hesabu<br />

za mwaka 2007/2008<br />

• Upotevu wa nyaraka za Sh.346,310,809<br />

6.1.4 Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo<br />

• Nyaraka mbalimbali za mikataba 46 ambayo<br />

Halmashauri imeingia na mawakala wa ukusanyaji<br />

ushuru haikuweza kupatikana, pia mikataba minne<br />

ambayo Halmashuri imeingia na watoa huduma na<br />

wauzaji wa vifaa imeshindwa kuletwa wakati wa<br />

ukaguzi.<br />

• Malipo mbalimbali ya Sh.100,409,150 yana upungufu<br />

wa nyaraka kama vile ankara,hati za kupokelea bidhaa<br />

na hati za uthibitisho wa malipo.<br />

• Hati za malipo ya Sh.11,882,160 hazikupatikana<br />

wakati wa zoezi la ukaguzi.<br />

• Vitabu 501 vya kukusanyia maduhuli vyenye thamani<br />

ya Sh.10,020,000 na vitabu 28 (thamani yake<br />

haikuweza kufahamika) vilivyoagizwa na kupokelewa<br />

havikuingizwa kwenye daftari la kumbukumbu ya<br />

vitabu vya kukusanyia mapato.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

169


6.1.5 Halmashauri ya Wilaya ya Karatu<br />

• Malipo ya Mishahara yalifanywa kwa watumishi<br />

waliostaafu, kuacha kazi au kufariki ya Sh.52,820,145<br />

na kugundulika kuwa ni mishahara isiyochukuliwa na<br />

wahusika. Kiasi chote hicho hakikurudishwa Hazina<br />

kama taratibu zinavyoagiza.<br />

• Mishahara ya Sh.6, 056,891 ililipwa kwa mtumishi<br />

aliyekwisha kustaafu.<br />

• Vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya Sh.7,851,000 kwa<br />

ajili ya ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Lambo katika<br />

eneo la GYEKRUM havikuweza kutumika. Hali hii<br />

ilibainika na kuthibitishwa wakati wa ziara ya ukaguzi<br />

iliyotembelea majengo Shule hii.<br />

• Ujenzi wa madarasa mawili umegharimu kiasi kikubwa<br />

cha fedha zaidi ya yale yaliyokadiriwa na Wizara ya<br />

Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kila darasa moja.<br />

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ilikadiria kuwa<br />

kila darasa lingegharimu sh 7,000,000 hivyo kufanya<br />

malipo ya madarasa yote mawili kuwa sh.14,301,355.<br />

• Thamani ya madarasa 10 katika Shule ya Sekondari ya<br />

Lambo –GYEKRUM yaliyojengwa chini ya ufadhili wa<br />

jimbo la Minnesota huko nchini Marekani haikuweza<br />

kufahamika kwani fedha zilipokelewa moja kwa moja<br />

na mmoja wa madiwani ambae pia alitoa vifaa vya<br />

ujenzi kutoka kwenye duka lake la Vifaa vya Ujenzi<br />

lijulikanalo kwa jina la Jubilate Mnyenye Hardware.<br />

Hati zihusuzo malipo haya hazikuweza kuletwa kwa<br />

wakaguzi wakati zoezi hili lilipokuwa likifanyika.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

170


6.1.6 Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe<br />

• Katika miaka ya fedha 2006/2007 na 2007/2008<br />

Halmashauri imeshindwa kutayarisha usuluhisho wa<br />

benki kwa hesabu zote inazozitunza.<br />

• Mkaguzi wa ndani ambaye majukumu yake ni kukagua<br />

hesabu za halmashauri imebainika kuwa naye yumo<br />

katika orodha ya maafisa wanaoidhinisha malipo.<br />

• Halmashauri haina Daftari ambalo linatunza<br />

kumbukumbu za mishahara isiyochukuliwa na<br />

wahusika.<br />

• Mwaka wa fedha 2006/2007 kulifanyika malipo ya<br />

mishahara kwa watu wasiokuwa watumishi wa<br />

halmashauri ya Sh.1,067,061.<br />

• Mawakala wa ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri<br />

walishindwa kuwasilisha kiasi cha Sh.63,494,000 kwa<br />

miaka ya 2006/2007 na 2007/2008.<br />

• Halmashauri ya Wilaya iliingia mikataba mitatu (3) na<br />

mawakala wa ukusanyaji wa mapato ya Halmashuri<br />

ambao walishindwa kuwasilisha makusanyo katika<br />

mwaka wa fedha 2007/2008. Hata hivyo ukaguzi<br />

ilibaini dosari mbalimbali ikiwamo ile ya mkataba<br />

kukosekana kwa namba ya kumbukumbu ya mkataba<br />

na kukosekana kwa sehemu ya kutia saini<br />

walioshuhudia utiwaji wa saini wa mkataba kama<br />

mashahidi. Hii inaonesha udhaifu mkubwa katika<br />

usimamizi wa Mikataba.<br />

• Mikataba yenye thamani ya Sh.39,616,000 kati ya<br />

Halmashuri na mawakala wa ukusanyaji wa mapato<br />

haikuweza kupatikana wakati wa zoezi la ukaguzi.<br />

• Makusanyo ya Sh.81,620,545 toka kwa Bohari Kuu ya<br />

Madawa (MSD) haikuingizwa vitabuni.<br />

• Halmashauri iliingia mkataba na kampuni ya Masons<br />

Construction ltd ya mjini Musoma kwa ajili ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

171


ukarabati wa jengo la halmashuri kwa gharama ya<br />

Sh.276,334,297. Aidha, dosari zifuatazo ziligundulika:-<br />

‣ Halmashauri imetumia kiasi cha Sh.59,334,277<br />

zaidi ya bajeti yake.<br />

‣ Mkataba haukuingizwa katika daftari la Mikataba.<br />

‣ Kazi hii ilitolewa bila ya kutangazwa ili kuleta<br />

ushindani toka kwa wazabuni.<br />

‣ Mkandarasi amelipwa kiasi cha Sh.29,923,400<br />

kuweka matangi ya kuhifadhia maji ya ujazo wa<br />

lita 2000 kila moja, mita na pampu ya kuvuta maji.<br />

Lakini ukaguzi ulibaini kuwa kazi hii ilifanywa na<br />

Halmashuri yenyewe kwa kutumia fedha za ruzuku<br />

ya maendeleo (CDG).<br />

‣ Hata hivyo kazi hii haikuweza kukamilika katika<br />

muda uliopangwa yaani tarehe 25/08/2008.<br />

• Katika mwaka wa fedha 2007/2008 Halmashauri ilipokea<br />

mgao wa fedha kiasi cha Sh.174,081,250 kwenye<br />

matoleo ya fedha toka mfuko mkuu wa serikali<br />

Na.81/EB/AG/190/07/136 ya tarehe 08/10/2007. Aidha,<br />

hadi wakati wa zoezi hili la ukaguzi lilipokuwa<br />

likifanyika Halmashauri ilikuwa bado haijakiri mapokezi<br />

ya fedha hizo katika vitabu vyake.<br />

• Halmashauri ilipokea fedha za ruzuku toka katika Mfuko<br />

wa Ruzuku wa Halmashauri ya Serikali za Mitaa( LGCDG)<br />

kwa ajili ya ujenzi wa madarasa na ununuzi wa<br />

madawati kwa ajili ya Shule za msingi. Aidha, wakati wa<br />

ziara ya kukagua shughuli za ujenzi ilibainika kuwa<br />

madarasa manne(4) yalikuwa hayajakamilika na<br />

madawati yenye thamani ya Sh.4,142,000 yalikuwa<br />

bado hayajafikishwa katika shule zilizo kusudiwa.<br />

6.1.7 Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa<br />

• Halmashauri ya wilaya ilipokea kiasi cha<br />

Sh.4,024,125 kwa mwaka wa fedha 2007/2008 ikiwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

172


ni asilimia 20 ya mapato yanayotoka kwenye chanzo<br />

cha mapato yaliyotokana na watoa huduma za hoteli<br />

chini ya Sheria ya Mahoteli aya ya 105 (kama<br />

ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2006 na kufutwa<br />

baada ya kuanzishwa kwa Sheria ya Utalii Na.29 ya<br />

mwaka 2008) na kifungu cha 7(v) cha Sheria ya<br />

Fedha ya Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982<br />

(kama ilivyorekebishwa mwaka 2000) na kiasi cha<br />

Sh.1,737,350 kilikusanywa katika mwaka wa fedha<br />

2006/2007. Aidha, ilibainika kuwa stakabaadhi<br />

zilizohusika katika kukusanya mapato haya<br />

hazikuweza kuwasilishwa kwa wakaguzi wakati wa<br />

zoezi la ukaguzi na kiasi hicho hakikuweza<br />

kuoneshwa katika daftari la mapato kwa minajili ya<br />

udhibiti wa mapato ya Halmashuri.<br />

• Kiasi cha Sh.10,145,000 kiliwasilishwa kwenye<br />

Halmashauri toka kwa mawakala mbalimbali wa<br />

mapato ya halmashauri, lakini ukaguzi umeshindwa<br />

kujiridhisha kuhusu usahihi wa mapato hayo<br />

kutokana na kutokuwapo kwa nyaraka muhimu.<br />

• Halmashuri imeonesha udhaifu wa udhibiti wa<br />

mapato kutokana na kukosekana kwa daftari la<br />

kumbukumbu linalo onesha kiasi cha makusanyo na<br />

mwezi ambao makusanyo hayo yamefanyika.<br />

• Taarifa inayotoa mchanganuo wa asilimia 20 ya<br />

makusanyo yanayobakizwa katika vijiji haikuweza<br />

kupatikana wakati wa zoezi la ukaguzi.<br />

• Mikataba mbalimbali ambayo Halmashauri imeingia<br />

na mawakala wa ukusanyaji wa mapato<br />

haikumshirikisha Mwanasheria wa Halmashuri.<br />

• Ushuru uliokusanywa toka katika nyumba za wageni<br />

40 uliofikia kiasi cha Sh.13,344,918 haukuwasilishwa<br />

katika Halmashuri katika kwa miaka miwili mfululizo<br />

yaani mwaka 2006/2007 na 2007/2008.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

173


• Halmashauri imeonesha kupokea kiasi cha Sh.30,036,398<br />

ikiwa ni asilimia 20 ya mapato yatokanayo na ada ya<br />

uwindaji chini ya kifungu Na.7 cha Sheria ya Fedha ya<br />

Serikali za Mitaa Na.9 ya mwaka 1982 iliyokusnywa<br />

katika miaka ya 2006/2007 na 2007/2008. Lakini ukaguzi<br />

umeshindwa kuthibitisha usahihi wa mapato hayo<br />

kutokana na kukosekana kwa Kiasi chote ambacho<br />

serikali ilikusanya kama ada ya uwindaji katika miaka<br />

husika.<br />

• Dawa zenye thamani ya Sh.10,681,100 na vifaa vya<br />

hospitali vyenye thamani ya Sh.11,202,800 vilipokewa<br />

toka Bohari Kuu ya Madawa na kutoka nchi ya<br />

Ujerumani.Lakini dawa na vifaa hivyo havikuingizwa<br />

vitabuni.<br />

• Hati ya mauzo ya madawa ya Sh.22,799,500 toka Bohari<br />

Kuu ya Madawa Mtwara haikuweza kupatikana<br />

ilipotakiwa na wakaguzi.<br />

• Jumla ya wafanyakazi 56 walipandishwa vyeo katika<br />

mwaka wa fedha 2006/2007 na kusababisha malipo ya<br />

Sh.53,615,730. Lakini ilibainika kuwa kibali toka Ofisi ya<br />

Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma hakikutolewa<br />

na kufanya zoezi zima kuwa batili.<br />

• Malipo ya Mishahara isiyochukuliwa na wahusika ya<br />

Sh.9,761,660 yalisababishwa na watumishi waliostaafu,<br />

kuacha kazi au kufariki kuendelea kulipwa ilihali<br />

haikuwa stahili yao.<br />

• Masurufu ya Sh.14,232,000 waliyopewa watumishi<br />

wakiwa nje ya vituo vyao vya kazi kwa shughuli za kikazi<br />

walikuwa hawajarejesha.<br />

• Malipo ya Sh.9,459,300 yalikuwa na nyaraka pungufu.<br />

• Halmashauri ilinunua vifaa vya hospitali vyenye thamani<br />

ya Sh.7,100,000 bila ya kufuata taratibu za manunuzi.<br />

• Katika mwaka wa fedha 2007/2008 Halmashuri iliingia<br />

katika mikataba na watoa huduma mbalimbali yenye<br />

thamani ya Sh.97,965,900 bila ya kufuata taratibu za<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

174


zabuni. Hali kadhalika, kamati za shule za sekondari<br />

ziliingia mikataba mbalimbali na ujenzi wa majengo<br />

yenye thamani ya Sh.22,500,000 bila kufuata taratibu za<br />

utoaji wa zabuni.<br />

Majumuisho ya ukaguzi maalum<br />

Ukaguzi maalum uliofanyika katika Halmashauri za Wilaya saba<br />

umeonyesha masuala yaliyojitokeza yakiwa ni pamoja na udhibiti<br />

hafifu wa ndani unahusu malipo ya mishahara, udhibiti hafifu<br />

katika makusanyo ya ndani na kutotoa hesabu sahihi za fedha<br />

zilizolipwa MSD na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa<br />

niaba ya Halmshauri.<br />

Kumekuwa na utaratibu hafifu kati ya wadau muhimu<br />

wanaohusika katika masuala mawili ambayo ni malipo ya<br />

mishahara na fedha zilizohamishiwa MSD. Wadau hawa ni<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa, Wizara ya Afya na Ustawi wa<br />

Jamii, Wizara ya Fedha na Uchumi pamoja na Ofisi ya Rais<br />

Menejimenti ya Utumishi wa Umma.<br />

Mishahara inayolipwa kwa wasio watumishi inasabishwa na Hazina<br />

kuchelewa kuondoa majina katika orodha ya mishahara baada ya<br />

kupata taarifa kutoka Halmashauri husika na Ofisi ya Rais<br />

Menejimenti ya Utumishi wa Umma.<br />

Pia imeonekana kwamba fedha zinapelekwa MSD kwa ajili ya<br />

madawa na vifaa - tiba katika hospitali zilizoko Wilayani bila<br />

wilaya husika kupewa taarifa mapema.<br />

Ukaguzi maalum umebaini kwamba mikataba kwa ajili ya<br />

ukusanyaji mapato ya ndani haikufanyika vizuri, kutokana na<br />

Halmashauri kutofanya upembuzi yakinifu wa vyanzo vyake vya<br />

mapato kabla ya kuingia mikataba.<br />

Pia ukaguzi huu maalum umeonyesha kuwa baadhi ya taarifa<br />

zinazopelekwa LAAC kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

175


hazifanani na zile zilizoko katika vitabu vya hesabu vya<br />

Halmashauri.<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi itaendelea kufanya ukaguzi maalum<br />

katika baadhi ya Halmashauri kila itakapo hitajika ili kuboresha<br />

usimamizi wa fedha na uwajibikaji katika Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

176


SURA <strong>YA</strong> SABA<br />

UKAGUZI <strong>WA</strong> MIRADI ILIYOPATA FEDHA TOKA K<strong>WA</strong> <strong>WA</strong>HISANI<br />

7.1 Utangulizi<br />

Ofisi yangu ina mamlaka ya kikatiba ya kukagua mapato<br />

yote ya serikali na matumizi yake. Mamlaka haya ya<br />

kisheria yamejumuisha pia ukaguzi wa miradi yote ya<br />

maendeleo inayopata fedha toka kwa wafadhili<br />

inayotekelezwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />

Nimeona kuna umuhimu mkubwa katika taarifa yangu ya<br />

mwaka kuwa na maelezo ya kutosha juu matokeo ya<br />

ukaguzi uliofanyika katika miradi mbalimbali iliyotekelezwa<br />

ili mamlaka zinazohusika ziweze kufahamu yale yote<br />

yaliyojitokeza katika zoezi hilo la ukaguzi wa miradi.<br />

Taarifa za ukaguzi za miradi husika zimetumwa kwa kila<br />

Halmashauri ambazo miradi hiyo imekuwa ikitekelezwa.<br />

Hapa najaribu kutoa kwa muhtasari matokeo ya ukaguzi wa<br />

miradi hiyo ambayo ni Mfuko wa kupambana na maradhi ya<br />

Ukimwi, Kifua kiku na Malaria, fedha zilizowekwa katika<br />

Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya, Mradi wa<br />

Maendeleo wa Sekta ya Maji, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii<br />

Tanzania na Mradi wa Maendeleo ya sekta ya Kilimo.<br />

Matokeo ya ukaguzi ni kama ifuatavyo:-<br />

7.2 Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />

Huduma za Afya (Basket Fund)<br />

7.2.1 Taarifa fupi ya mradi<br />

Mnamo mwaka 1999 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa<br />

Tanzania ilibuni mpango wa mageuzi na maendeleo ya<br />

sekta ya afya nchini. Na ilipofika mwezi Mei mwaka 2003<br />

Serikali ya Jamhuri ya Tanzania ikishirikiana na wadau<br />

mbalimbali walikubaliana kuanzisha Mpango mkakati wa<br />

Sekta ya Afya (HSDP) wa miaka mitano kuanzia Julai 2003<br />

hadi Juni 2008. Chini ya mpango huo Serikali ya Tanzania<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

177


kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Ofisi ya Waziri<br />

Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Wizara ya<br />

Fedha na Uchumi ndizo zilipewa jukumu la utekelezaji wa<br />

mpango wa kazi wa mwaka wa shughuli zote za mpango huu<br />

kama zilivyoainishwa katika Mpango ya Afya wa Wilaya.<br />

7.2.2 Fedha za Mpango<br />

Wahisani wa fedha hizi zilizowekwa kwenye Mfuko wa<br />

Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa ajili ya uboreshaji wa<br />

huduma za Afya wamefungua akaunti maalum katika Benki<br />

Kuu ya Tanzania na kwa kupitia akaunti hiyo fedha<br />

hutolewa kwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kila robo<br />

mwaka kupitia mfuko mkuu wa Hazina. Fedha<br />

zinazopelekwa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii hufuata<br />

utaratibu wa kawaida ambao serikali ya Tanzania inautumia<br />

na kwa upande wa wahisani ni ile mihadi iliyowekwa<br />

inajumuishwa katika bajeti ya mwaka ya Wizara ya Afya na<br />

Ustawi wa Jamii.<br />

Katika mwaka huu wa fedha jumla ya kiasi cha Dola za<br />

kimarekani 40,061,231.01 ambazo ni sawa na Fedha za<br />

Tanzania Sh.47,275,858,103 (kiwango cha ubadilishaji cha<br />

sh 1,180.09 kwa Dola ya kimarekani) zilipokelewa kwenye<br />

Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa ajili ya<br />

kuboresha Huduma za Afya kwa Serikali za Mitaa na<br />

kugawanywa kwenda kwenye Halmashauri mbalimbali kama<br />

zilivyo ainishwa katika bajeti zao.<br />

7.2.3 Masurufu yasiyorejeshwa Sh.385,979,613<br />

Kwa mujibu wa kanuni na mwongozo namba 5.6.3 (e) wa<br />

Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />

Huduma za Afya kwa ajili ya Mpango wa Sekta ya<br />

uboreshaji wa huduma ya afya inatamka kuwa masurufu ya<br />

safari au masurufu maalum lazima yarejeshwe mara tu<br />

baada ya afisa kurejea kwenye kituo chake kazi au baada<br />

ya kukamilisha shughuli iliyokusudiwa kufanywa.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

178


Katika mwaka huu wa fedha nimegundua kuwa Halmashari<br />

kadhaa zimeonesha katika hesabu zao masurufu<br />

yasiyorejeshwa yaliyofikia kiasi cha Sh.385,979,613 ikiwa<br />

ni kinyume cha taratibu na kanuni za fedha. Agizo Na.134<br />

la Memoranda ya Fedha za Serikali za Mitaa ya mwaka 1997<br />

linasema “Masurufu ya safari au masurufu maalum lazima<br />

yarejeshwe ndani ya majuma mawili baada ya afisa kurejea<br />

kwenye kituo chake cha kazi au baada ya kukamilisha<br />

shughuli; kushindwa kurejesha hakutasababisha tu kiasi<br />

kinachodaiwa kukatwa kwenye mshahara wa afisa kwa kima<br />

kilichoongezwa bali pia kunaweza kusababisha kukatwa<br />

tozo ya si chini ya asilimia 5 ya mshahara wake.<br />

Pia, Agizo namba 135 na 136 la Memoranda ya Fedha za<br />

Serikali za Mitaa ya mwaka 1997 linafafanua kuwa ni<br />

marufuku kutoa masurufu kwa afisa ambaye hajafanya<br />

marejesho ya masurufu aliyopewa. Masurufu ambayo<br />

hayajarejeshwa na yamekuwa vitabuni kwa zaidi ya mwezi<br />

mmoja ni lazima yatozwe riba katika kiwango<br />

kinachotumiwa na mabenki ya kibiashara.<br />

Pamoja na taratibu zilizowekwa katika udhibiti wa<br />

matumizi, Halmashuri kadhaa zimeonesha uzembe katika<br />

kuhakikisha kanuni za fedha zinazingatiwa na marejesho ya<br />

masurufu yanafanywa kwa wakati. Orodha<br />

imeambatanishwa kama kiambatisho namba 15 ikionesha<br />

Halmashauri ambazo zimekuwa na masurufu ambayo<br />

hayajarejeshwa.<br />

7.2.4 Fedha ambazo hazijatumika sh 7,965,022,444<br />

Katika mwaka 2007/08 wa fedha ofisi ya Waziri Mkuu<br />

Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ilipokea kiasi cha Dola<br />

za Kimarekani 40,061,231 ambapo ni sawa na fedha za<br />

Tanzania Sh.47,275,858,103 (kiwango cha ubadilishaji cha<br />

Sh.1,180.09 kwa Dola ya kimarekani) ili kugharamia<br />

shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na fedha zilizowekwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

179


kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa<br />

utekelezaji wa Huduma za Afya kwenye Mamlaka za serikali<br />

za Mitaa. Aidha, ukaguzi uliofanywa juu ya hali ya kifedha<br />

ya Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa uboreshaji<br />

huduma za afya ulionesha kuwa kati ya fedha zote<br />

zilizotolewa katika mwaka wa fedha 2007/2008 kwenda<br />

kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa hazikutumika zote<br />

hivyo kuwa na bakaa ya kiasi cha Sh.7,965,022,444 ambapo<br />

ni sawa na asilimia kumi na saba (17%) ya fedha zote<br />

zilizotolewa.<br />

Hali hii inaashiria kuwa bajeti haikufuatwa ipasavyo na<br />

huduma iliyokusudiwa kwa jamii au walengwa hazikuweza<br />

kutolewa.<br />

7.2.5 Malipo yenye nyaraka pungufu na yasiyokuwa na idhini<br />

Sh.1,038,854,589<br />

Kanuni Na.31 ya manunuzi ya Umma (bidhaa, ujenzi,<br />

huduma ambazo si za ushauri na kuuza mali za umma kwa<br />

njia ya zabuni), ninatakiwa kueleza katika ripoti yangu ya<br />

mwaka ya ukaguzi kwamba taasisi inayokaguliwa<br />

imezingatia au haikuzingatia mahitaji ya sheria na<br />

kanuni zake hususan dhana nzima ya ushindani katika utoaji<br />

wa zabuni, kuidhinisha manunuzi au uuzaji wa mali ya<br />

serikali kwa njia ya zabuni kupitia Bodi za Zabuni<br />

zilizowekwa na mamlaka husika. Hali kadhalika, Kanuni<br />

Na.45 ya Kanuni ya Bodi ya Zabuni ya Serikali za Mitaa ya<br />

mwaka 2007 inamtaka Mkaguzi wa Hesabu za Halmashauri<br />

ya Serikali za Mitaa kutoa maelezo kama Halmashauri<br />

husika imezingatia kanuni za manunuzi hasa dhana ya<br />

manunuzi kwa njia ya ushindani na manunuzi yote<br />

yameidhinishwa na Bodi za manunuzi za Halmashauri.<br />

Ikizingatiwa mamlaka ya kisheria niliyopewa, nimeweza<br />

kupitia mchakato nzima wa manunuzi ya fedha zilizowekwa<br />

katika Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa ajili ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

180


kuboresha huduma za afya ikiwa ni pamoja na manunuzi<br />

yote yaliyofanyika kupitia Fedha zilizowekwa katika Mfuko<br />

wa Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa hesabu zilizoishia<br />

tarehe 30 Juni 2008. Ukaguzi uliofanywa umeweza kubaini<br />

udhaifu na mambo kadhaa yaliyofanyika kinyume na<br />

taratibu. Halmashauri karibu zote 133 zimebainika kukiuka<br />

taratibu mbalimbali ambazo zimehusisha malipo takribani<br />

ya Sh.1,038,854,589. Maeneo ambayo yaliyo onesha<br />

udhaifu ni kwa baadhi ya Halmashauri hizo kutoanzisha<br />

Vitengo vya Manunuzi, kufanya manunuzi bila ya kupata<br />

idhini ya Bodi za Zabuni, baadhi ya manunuzi yalikiuka<br />

viwango vilivyowekwa kisheria kwa Maafisa Masuuli, malipo<br />

yenye nyaraka pungufu, kukosekana kwa hati za malipo ya<br />

manunuzi yaliyofanywa kwa watoa huduma pekee<br />

wasiothibitishwa, pia ununuzi wa vifaa tiba toka kwenye<br />

maduka binafsi badala ya Bohari Kuu ya Madawa (MSD).<br />

Taarifa kamili zinazoonyesha matokeo ya zoezi hili la<br />

Ukaguzi wa Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa<br />

Uchangiaji wa Huduma za Afya kwa ajili ya kuboresha<br />

huduma ya afya zimetumwa kwa kila Halmashauri. Kwa<br />

muhtasari matokeo ya ukaguzi yameonyeshwa katika<br />

kiambatisho Na.18 kwenye Taarifa hii ya Ukaguzi.<br />

7.2.6 Vifaa vilivyonunuliwa lakini havikupokewa au vilipokewa<br />

pungufu Sh .354,770,127<br />

Vifaa vyenye thamani ya Sh.354,770,127 vilinunuliwa<br />

kupitia Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma ya Afya, lakini<br />

ilibainika kuwa vifaa vilivyoagizwa na kulipiwa vilipokewa<br />

pungufu au havikupokewa kabisa. Udhaifu huu unakinzana<br />

na Kanuni Na.122 ya Manunuzi ambayo inataka kuandaliwa<br />

kwa taarifa ya mapokezi kwa mali/vifaa vinayoagizwa<br />

katika kila mkataba ulioingiwa wa kuagiza mali au vifaa<br />

ukionesha kuwa mkataba wa uagizaji mali umetekelezwa<br />

ipasavyo kabla ya kuidhinishwa kwa malipo. Katika ukaguzi<br />

nilioufanya nimebaini kuwapo kwa udhaifu ikiwa ni pamoja<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

181


na mali/vifaa viliyonunuliwa vilipokewa pungufu au<br />

kutopokewa kabisa. Halmashauri zinazotekeleza Mradi huu<br />

wa Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za Afya zimejulishwa<br />

juu ya suala hili. Kiambatisho Na.18 chahusika.<br />

7.2.7 Fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />

Huduma za Afya kwa ajili ya uboreshaji wa huduma za<br />

Afya zimechanganywa kwenye akaunti Na.6<br />

Kwa mujibu wa kanuni na mwongozo namba 5.2.1 wa Fedha<br />

zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za<br />

Afya kwa ajili ya Mpango wa Sekta ya uboreshaji wa<br />

huduma ya afya inatamka kuwa mfumo wa kiuhasibu wa<br />

fedha hizi utafuata taratibu na sheria zote za fedha za<br />

Halmashauri za Serikali za Mitaa, Memoranda ya Fedha za<br />

Serikali za Mitaa (LAFM 1997), Kitabu cha Mwongozo cha<br />

Uwekaji Mahesabu kwenye serikali za Mitaa (LAAM) na<br />

kanuni mbalimbali ikiwamo na Waraka wa Utunzaji<br />

mahesabu ambao utakuwa ukitolewa mara kwa mara, na<br />

pale inapowezekana basi taratibu na miongozo itolewayo<br />

na Serikali Kuu yaweza kutumika pia.<br />

Hata hivyo nimekuwa na shaka juu ya jinsi Halmashauri<br />

kadhaa zinazopokea fedha hizi za uboreshaji wa huduma ya<br />

afya zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma<br />

za Afya kuchanganywa kwenye akaunti namba 6 ambayo<br />

huko nyuma ilitumiwa kuhifadhi fedha za Afya za<br />

Halmashauri ambazo vyanzo vyake ni sehemu mbalimbali.<br />

Utaratibu huu ni kinyume na Memoranda ya Makubaliano na<br />

Wahisani wanaochangia Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma za<br />

Afya. Kutokana na mkanganyiko huu imeniwia vigumu kujua<br />

usahihi wa bakaa la fedha lililo oneshwa kwenye vitabu<br />

mwishoni mwa mwaka.<br />

Ushauri wangu kwa Halmashauri zote kufuatilia kwa karibu<br />

fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

182


Huduma za Afya kwa ajili ya uboreshaji wa huduma za Afya<br />

ili kuweza kujua ni kiasi gani kilikuwapo wakati wa kuanza<br />

kwa mwaka wa fedha na bakaa la mwisho wakati wa<br />

ufungaji wa hesabu za mwisho wa mwaka. Pia nichukue<br />

wasaa huu kuwakumbusha kuwa utayarishaji wa hesabu za<br />

fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji wa<br />

Huduma za Afya kwa ajili ya uboreshaji wa Huduma za Afya<br />

si la hiyari bali ni la lazima kwa mujibu wa hadidu za rejea<br />

na kukidhi viwango vilivyokubaliwa na wachangiaji wa<br />

Fedha zilizoweka katika Mfuko wa Uchangiaji wa Huduma<br />

za Afya.<br />

7.2.8 Malipo yaliyofanywa kinyume cha kanuni na taratibu za<br />

manunuzi Sh.1,162,081,225<br />

Kifungu cha 4 cha Kanuni ya Bodi ya Zabuni ya Serikali za<br />

Mitaa ya mwaka 2007 inatamka kuwa sera ya manunuzi<br />

katika Halmashauri ni budi iwe imezingatia na kwa kadri<br />

inavyowezekana haja ya kuwa na matumizi mazuri ya<br />

rasilimali zilizopo, na katika kutekeleza dhana hiyo basi<br />

kuna haja ya usawa na uaminifu wakati wote manunuzi<br />

yanapofanywa. Pia kipengele cha 4(2)(b) kinazitaka<br />

Halmashauri kwa nia nzuri kabisa na kwa maslahi ya<br />

Halmashauri kutoa fursa sawa kwa wale wote walioomba<br />

kutoa huduma mbalimbali na wakandarasi ili waweze<br />

kuingia kwenye ushindani ulio wa uwazi katika zoezi zima<br />

la kutafuta watoa huduma na wauzaji wa vifaa mbalimbali<br />

kwa Halmashauri. Aidha katika ukaguzi uliofanywa wa<br />

hesabu za fedha zilizowekwa kwenye Mfuko wa Uchangiaji<br />

wa Huduma za Afya kwa upande wa manunuzi mambo<br />

kadhaa yenye kuonesha udhaifu yameweza kugundulika<br />

zikihusisha malipo yenye jumla ya Sh.1,162,081,225.<br />

Mambo yaliyojitokeza ni kama ifuatavyo; manunuzi<br />

yalifanyika bila ya kuidhinishwa na Bodi za Zabuni za<br />

Halmashauri husika, ununuzi wa dawa umefanyika kwenye<br />

maduka binafsi badala ya Bohari Kuu ya Madawa (MSD),<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

183


ununuzi wa bidhaa bila ya ushindani, matengenezo ya<br />

magari kwenye karakana za watu binafsi bila ya kupata<br />

kibali, utoaji wa kandarasi bila ya upembuzi wa awali,<br />

ununuzi wa mali bila ya kutumia kidondoa/nukuu ya bei na<br />

baadhi ya mali iliyonunuliwa kutoingizwa kwenye Daftari.<br />

Kutokana na maeneo kadhaa yaliyobainika kuwapo kwa<br />

udhaifu ninashauri wakati sasa umefika kwa Halmashauri<br />

zote kuzingatia dhana nzima ya thamani ya fedha mara<br />

zote manunuzi yanapofanyika. Mifumo ya utendaji katika<br />

Halmashuri ni vyema ikaimarishwa kwa kutoa mafunzo ya<br />

ugavi kwa watendaji wao. (kiambatisho Na.18 katika<br />

Taarifa hii ya Ukaguzi)<br />

7.3 Mpango wa uendelezaji wa sekta ya kilimo (ASDP)<br />

7.3.1 Utangulizi<br />

Ukaguzi wa Hesabu za Mpango wa Uendelezaji wa Sekta ya<br />

Maendeleo ya Kilimo (ASDP) zinazoishia tarehe 30 Juni 2008<br />

umekamilika. Mradi huu unatekelezwa katika Halmashauri<br />

97 kati ya 133.<br />

Serikali ya Tanzania inatekeleza Mpango wa Uendelezaji wa<br />

Sekta ya Maendeleo ya Kilimo (ASDP) ambao umeweka<br />

malengo na shabaha kadhaa za kuzikamilisha. Ili kufikia<br />

malengo iliyojiwekea Mpango wa Uendelezaji wa Sekta ya<br />

Maendeleo ya Kilimo (ASDP) ni sehemu ya Mpango Mkubwa<br />

wa Mpango wa Maendeleo wa Wilaya (DDPs) ambao shughuli<br />

zake nyingi zipo katika ngazi ya wilaya na kutekelezwa na<br />

Mamlaka za Halmashauri za Serikali Za Mitaa (LGAs) chini<br />

ya Mpango wa Uendelezaji wa Maendeleo ya Kilimo wa<br />

Wilaya(DADPs).<br />

7.3.2 Historia ya Mradi kwa ufupi<br />

Mpango huu unatekelezwa katika kipindi cha miaka saba<br />

kuanzia mwaka wa fedha 2006/2007 hadi mwaka wa fedha<br />

20012/10013. Madhumuni ya mpango huu ni kuwawezesha<br />

wakulima kufikishiwa tekinolojia ya kisasa ili waweze<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

184


kuongeza tija na kipato, kupatiwa huduma ya ushauri na<br />

masoko kwa bidhaa zao, kuongeza ushiriki wa sekta binafsi<br />

katika sekta ya kilimo kwa kuboresha mazingira bora ya<br />

kisera na vyombo vya uratibu wa shughuli za kilimo.<br />

Mpango huu unatekelezwa na Wizara mbalimbali ambazo<br />

zinahusika na masuala ya sekta ya kilimo (ASLM) na<br />

inatekelezwa katika ngazi zote za kitaifa na ngazi ya<br />

Halmashauri. Wizara mbalimbali ambazo zinahusika na<br />

masuala ya sekta ya kilimo (ASLM) ni kama vile Wizara ya<br />

Kilimo, Chakula na Ushirika, Wizara ya Maendeleo ya Mifugo<br />

na Uvuvi, Wizara ya Maji na umwagiliaji, Wizara ya<br />

Viwanda, Biashara na Masoko na Ofisi ya Waziri Mkuu<br />

Tawala za Mikoa na Serikali Za Mitaa.<br />

7.3.3 Matokeo ya utekelezaji wa Bajeti<br />

Katika mwaka wa fedha kiasi cha Sh.58,785,028,001<br />

zilitengwa kwa ajili ya utekelezaji wa bajeti ya Mpango wa<br />

Uendelezaji wa Sekta ya Maendeleo ya Kilimo (ASDP). Kiasi<br />

cha Sh.58,785,028,001 kilitolewa kutoka katika Mfuko Mkuu<br />

wa Hazina ambapo kiasi cha Sh.57,274,749,882 kilitumika.<br />

Kiasi kilichotolewa kutoka Mfuko Mkuu wa Seikali ni asilimia<br />

100 ya kiasi kilichotengwa kwenye bajeti ambapo matumizi<br />

halisi ya Mpango huu ni asilimia 97 ya bajeti, kwa ufupi<br />

jedwali hili linatoa hali halisi ya bajeti, kiasi kilichotolewa<br />

na matumizi halisi katika utekelezaji wa Mpango huu katika<br />

Mamlaka ya Serikali Za Mitaa:-<br />

Bajeti<br />

iliyoidhinishwa<br />

(sh)<br />

Kiasi kilichotolewa<br />

toka Mfuko Mkuu<br />

wa Hazina (sh)<br />

Matumizi Halisi<br />

(sh)<br />

% ya bajeti<br />

58,785,028,001 58,785,028,001 57,274,749,882 97<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

185


7.3.4 Aina ya shahada za ukaguzi zilizotolewa<br />

Aina ya Shahada za ukaguzi zilizotolewa kwa Halmashuri 97<br />

zinazotekeleza Mpango wa Uendelezaji wa Sekta ya<br />

Maendeleo ya Kilimo (ASDP) kwa mwaka wa fedha<br />

2007/2008 ni kama ilivyooneshwa katika jedwali hapa<br />

chini:-<br />

Aina ya shahada za ukaguzi zilizotolewa kwa Halmashuri<br />

Idadi ya<br />

Halmashuri<br />

zilizo<br />

kaguliwa<br />

Hati<br />

inayoridhisha<br />

Hati<br />

yenye<br />

shaka<br />

Hati<br />

isyoridhisha<br />

Hati<br />

mbaya<br />

97 55 42 0 0<br />

7.3.5 Matokeo ya ukaguzi wa Mpango wa Uendelezaji wa Sekta<br />

ya Maendeleo ya Kilimo (ASDP)<br />

Ukaguzi wa Mpango wa Uendelezaji wa Sekta ya Maendeleo<br />

ya Kilimo (ASDP) kwa mwaka wa fedha 2007/2008 umebaini<br />

mambo yafuatayo:-<br />

Na. Dosari zilizojitokeza kiasi (Sh)<br />

1. Halmashuri nane zimekuwa na Masurufu 46,644,928<br />

yasiyo rejeshwa<br />

2. Halmashauri sita hazikupata mgao wa fedha 2,086,781,538<br />

za Mradi kwa wakati toka Wizarani.<br />

3. Malipo yaliyofanywa kwa Watoa huduma 17,710,650<br />

ambao hawajathibitishwa.<br />

4. Halmashauri tano zilikopa fedha toka kwenye 39,395,770<br />

Mradi na zilishindwa kuzirudisha.<br />

5. Halmashauri kumi zilishindwa kuweka<br />

93,555,090<br />

kumbukumbu za vifaa vitabuni.<br />

6. Halmashauri moja haikuweza kuonesha<br />

15,500,000<br />

kumbukumbu ya kupokea Hundi<br />

7. Halmashuri 22 zimekuwa na nyaraka pungufu<br />

katika malipo yake<br />

606,918,644<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

186


8 Halmashuri moja imeonesha kushindwa<br />

kudhibiti Mali, Mitambo na Vifaa 36,027,012<br />

9. Halmashuri moja imekutwa na malipo yenye 30,899,300<br />

shaka.<br />

10. Halmashuri 3 hazikuweza kutekeleza shughuli<br />

za Mradi kama ilivyopangwa. 330,636,464<br />

11. Halmashauri moja imefanya malipo ambayo 21,417,500<br />

waliolipwa hawakukiri kupokea fedha zilizo<br />

lipwa.<br />

12. Halmashuri moja imeshindwa kuthibitisha 21,265,000<br />

kupokea vifaa ilivyonunua<br />

13. Halmashuri moja imehamisha fedha za mradi 93,898,198<br />

bila idhini.<br />

14. Halmashuri moja imeshindwa kuonesha jinsi 241,324,868<br />

ilivyopokea maduhuli.<br />

15. Mafuta ya Dizeli yalinunuliwa na<br />

kutolewa kwa matumizi bila kuwa na<br />

9,295,980<br />

kumbukumbu za kutolea.<br />

16. Halmashauri mbili zimefanya matumizi 7,385,000<br />

yasiyo stahili kwenye Mradi huu.<br />

17. Halmashuri 3 zimefanya malipo ambayo<br />

hayapo katika bajeti ya Mradi huu. 19,328,300<br />

18. Halmashuri mbili zimefanya malipo bila 61,061,000<br />

ya taarifa ya kuonesha ni shughuli zipi<br />

zilitekelezwa.<br />

19. Malipo yalifanywa bila ya kibali cha Bodi<br />

ya Zabuni. 43,764,350<br />

20. Halmashauri 5 zilitumia Fedha za mradi<br />

kununulia magari na pikipiki ambazo 548,482,580<br />

bado kupokelewa.<br />

21. Halmashuri 3 zilitumia fedha za mradi 445,442,603<br />

kwenye shughuli ambazo hazikukusudiwa.<br />

22. Halmashuri mbili zilionesha kutopokea 33,812,856<br />

fedha zilizotumwa kwenye Halmashuri<br />

hizo.<br />

23. Kiasi cha fedha ambacho 60,000,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

187


hakikuhamishiwa kwenye mradi wa<br />

DADPS.<br />

24. Mradi wa umwagiliaji haukutekelezwa<br />

ingawa ulitengewa fedha.<br />

25. Manunuzi yalifanywa kwa kutumia<br />

kidondoa bei zaidi ya ukomo uliowekwa.<br />

60,571,600<br />

147,436,080<br />

7.4 Mradi wa Mfuko wa kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua<br />

kikuu na Malaria<br />

7.4.1 Uanzishwaji wa Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi,<br />

Kifua Kikuu na Malaria<br />

Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu na<br />

Malaria ulianzishwa mwishoni mwa mwaka 2001 ili kutoa<br />

msaada wa kifedha katika vita dhidi ya magonjwa makubwa<br />

matatu ambayo yamekuwa yakisababisha vifo vya watu<br />

zaidi ya milioni sita kwa mwaka hapa duniani. Mfuko wa<br />

Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria<br />

umeweza kuleta mtazamo na mbinu mpya kwa jumuia za<br />

kimataifa katika vita dhidi ya kutokomeza magonjwa hayo<br />

matatu ambayo ni VVU/Ukimwi, Kifua kikuu na Malaria.<br />

Chini ya Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu<br />

na Malaria, Tanzania imekuwa ikipokea kiasi kikubwa cha<br />

fedha kwenye mfumo wa mzunguko kama ifuatavyo:-<br />

(i)<br />

Hali ya Kifedha<br />

Katika mwaka wa fedha wa 2007/2008 serikali ya Tazania<br />

upande wa Bara ilipokea kiasi cha Sh.83,747,148,709<br />

ambazo Ni sawa na Dola za Kimarekani 68,107,164 toka<br />

katika Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu<br />

na Malaria wenye makao makuu yake huko Geneva Kwa ajili<br />

ya kupambana na HIV/VVU, Kifua Kikuu na Malaria.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

188


Na.<br />

Tarehe ambayo<br />

fedha<br />

ilipokelewa na<br />

Mpokeaji Mkuu<br />

Kiasi USD<br />

Ulinganisho kwa<br />

fedha za Tanzania<br />

Tsh.<br />

1. 13/07/2007 46,300,606 58,394,351,344<br />

2. 28/11/2007 7,699,656 8,905,934,157<br />

3. 07/01/2008 14,106,902 16,446,863<br />

4. Jumla 68,107,164 83,747,148,709<br />

(ii)<br />

(iii)<br />

Ucheleweshaji wa kuwasilisha Hesabu kwa ajili ya<br />

Ukaguzi<br />

Kwa mujibu wa Agizo Na.82 la Memoranda ya Fedha ya<br />

Serikali za Mitaa (1997) Afisa Masuuli anatakiwa<br />

kutayarisha Hesabu na kuziwasilisha kwa ajili ya ukaguzi<br />

ndani ya miezi mitatu baada ya kufunga hesabu za mwaka<br />

ambapo kwa mfuko huu ni mwezi Juni. Aidha, imebainika<br />

kwa baadhi ya Halmashauri zimechelewa kuwasilisha<br />

Hesabu zake kwa wakati.<br />

Uwasilishaji wa Hesabu za mwaka<br />

Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua Kikuu na<br />

Malaria unajumuisha fedha zilizotumwa toka Makao<br />

Makuu ya Mfuko yaliyopo huko Geneva ili kupiga vita<br />

magonjwa ya Malaria, VVU/Ukimwi na Kifua Kikuu. Aidha<br />

katika uandaaji wa Hesabu za Mwaka baadhi ya<br />

Halmashauri nyingi zimekuwa zikichanganya fedha za<br />

Mfuko huu na zile zilizopokelewa kutoka TACAIDS, SIDA,<br />

TMAP na fedha zingine toka kwa wahisani mbalimbali kwa<br />

kuamini kuwa fedha hizo zinatumika kwa shughuli<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

189


zinazofanana. Hali hii imesababisha ugumu katika zoezi la<br />

ukaguzi wa Mfuko wa Kupambana na VVU/Ukimwi, Kifua<br />

Kikuu na Malaria hasa pale tunapotaka kuona shughuli<br />

ambazo mfuko umeweza kufanikisha.<br />

(iv)<br />

Utekelezaji wa mpango wa kazi<br />

Ukaguzi umebaini kuwa Halmashuri nyingi zimeshindwa<br />

kutekeleza shughuli mbalimbali zilizowekwa katika<br />

Mpango wa kazi ingawa fedha zilizotumika ni nyingi. Hali<br />

hii inaonyesha ni kwa kiasi gani jamii iliyokusudiwa<br />

kunufaika na Mfuko huu kukosa huduma hizo.<br />

7.4.2 Mfuko wa kimataifa wa maendeleo wa Canada (CIDA<br />

Funds)<br />

Katika mwaka huu wa ukaguzi Mfuko wa kimataifa wa<br />

maendeleo wa Canada (CIDA) kwa kupitia mfuko wa<br />

ukimwi (TACAIDS) iligharimia program nyingi za ukimwi<br />

ambazo zinaendeshwa chini ya Halmashauri. CIDA ilitoa<br />

kiasi cha dolla 8,681,309 ambazo ni sawa na<br />

Sh.9,845,135,948 kutekeleza program hizo.<br />

Taarifa na michanganuo ya matumizi ya fedha hizo<br />

ilikaguliwa pamoja na fedha za ukimwi zilizotolewa na<br />

TACAIDS kwa watekelezaji wote wa program za ukimwi.<br />

Pia ukaguzi mwingine huru ulifanyika kwa program zote<br />

zinazoendeshwa chini ya usimamizi wa wakaguliwa wetu<br />

wote.<br />

7.5 Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya Maji<br />

7.5.1 Muda na maeneo ya utekelezaji wa mradi<br />

Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya Maji umetajwa kuanza<br />

mwaka 2006 hadi 2025 ingawa utekelezaji wa mradi huu<br />

umeanza rasmi mwaka wa fedha wa 2007/2008 ukifuata<br />

maelekezo yaliyomo ndani ya Mpango wa Kitaifa wa sekta<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

190


ya Maendeleo ya Maji ambapo umeundwa kuweza kuhimili<br />

na kuleta mafanikio endelevu, kukabiliana na changamoto<br />

mbalimbali na kuhakikisha kuwa mahitaji yote ya masuala<br />

mtambuka yanajumuishwa pamoja na kuleta ufanisi.<br />

Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya Maji unatekelezwa<br />

katika Halmashauri zote kwa upande wa Tanzania Bara.<br />

7.5.2 Madhumuni ya kiutendaji ya Mpango wa Sekta ya<br />

Maendeleo ya Maji<br />

Madhumuni ya ujumla ya Mpango huu ni kuzipa uwezo<br />

Menejimenti ya Rasilimaji ya Maji katika kuleta msukumo<br />

kwenye masuala ya maendeleo ya kiuchumi na ya kijamii<br />

na kuweka mazingira yaliyo endelevu na kuhakiksha ya<br />

kuwa makundi yote ya kijamii yaliyo vijijini, mijini na miji<br />

midogo kuweza kupata maji ya kutosha, yaliyo salama na<br />

maji safi pia huduma ya maji taka.<br />

Mpango huu una majukumu ya kimsingi yafuatayo:-<br />

(i) Kuendeleza mpango madhubuti wa matumizi<br />

sahihi ya rasilimali ya maji, pia na kuweka<br />

mwongozo wa utawala bora kwa mabonde ya<br />

maji yapatayo tisa.<br />

(ii) Kutoa msaada wa kiufundi na wa kifedha kwa<br />

Mamlaka ya Serikali za Mitaa katika utekekelezaji<br />

wa Mamlaka za Maji za Wilaya na kuandaa<br />

mpango wa Maji taka.<br />

(iii) Kutoa msaada wa kiufundi na wa kifedha kwa<br />

Mamlaka za Maji mijini na mpango wa huduma ya<br />

maji katika Makao Makuu ya Mikoa na Wilaya, Miji<br />

midogo na Miradi midogo ya Maji kwenye Vijiji na<br />

kuboresha masuala ya usambazaji wa maji na<br />

huduma za Maji taka.<br />

(iv) Kusaidia katika kujenga uwezo wa kisekta na<br />

kuwajengea uwezo watumishi ili kuhakikisha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

191


utekelezaji wa Mpango huu unafanikisha malengo<br />

yake kwa kupitia taasisi mbalimbali<br />

zinazojihusisha na masuala ya maendeleo ya Maji<br />

katika ngazi zote za utekelezaji kuanzia ngazi ya<br />

wilaya na ile ya Mabonde hadi ngazi ya kitaifa.<br />

7.5.3 Mchanganuo wa Fedha za wahisani wa Mpango huu<br />

Katika mwaka wa Fedha 2007/2008, Serikali ya Tanzania<br />

kwa upande wake iliweza kuchangia kiasi cha fedha za<br />

Kitanzania Sh.67,983,240,413 ikiwa ni asilimia 95 ya kiasi<br />

cha mihadi. Benki ya Dunia iliweka kiasi cha fedha za<br />

kitanzania Sh.19,840,909,600 kwenye Akaunti Kuu ikiwa<br />

ni asilimia 48 ya fedha ilizoahidi kuchangia na wahisani<br />

wa kijerumani (KfW) waliochangia kiasi cha fedha za<br />

kitanzania Sh.13,490,163,560 ikiwa ni asilimia 27 ya ahadi<br />

waliyoitoa kuchangia Mpango huu, na kufanya jumla ya<br />

fedha yote kufikia Sh.101,314,313,573. Michango yote<br />

kwa ujumla iliyoingizwa kwenye Mfuko wa uchangiaji wa<br />

Maendeleo ya Mpango huu imefikia asilimia 63 ya fedha<br />

iliyokadiriwa. Sababu kubwa ya kutofikiwa kwa malengo<br />

yaliyowekwa hapo awali ni kucheleweshwa kutolewa kwa<br />

Taarifa za Matumizi ya Fedha za Mradi. Nilipotaka<br />

kufahamu sababu zilizo sababisha Wizara ya Maji na<br />

Umwagiliaji kuchelewesha kutoa Taarifa za Matumizi ya<br />

Fedha kwa wakati nilibaini kuwa Wizara ya Maji na<br />

Umwagiliaji ilikuwa na uwelewa mdogo wa dhana nzima<br />

ya utekelezaji wa Mpango nzima wa uchangiaji wa fedha<br />

katika kwa fedha toka kwa wahisani mbalimbali. Kwani<br />

kulikuwa na mkanganyiko wa nani afanye nini kati ya<br />

taasisi zote zilizohusika katika utekelezaji wa Mradi huu.<br />

Wahisani wa Maendeleo walipeleka Kiasi cha<br />

Sh.55,361,202,501 moja kwa moja katika Miradi teule<br />

mbalimbali. Kiasi hiki ni asilimia 42 ya fedha ambazo<br />

zilizotegemewa kupatikana.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

192


Mchanganuo wa fedha hizo ni kama zinavyoneshwa katika<br />

jedwali hapa chini:-<br />

Vyanzo vya Fedha za Mpango wa Sekta ya Maendeleo ya<br />

Maji (WSDP) kwa mwaka 2007/2008;<br />

Chanzo<br />

Bajeti-2007/2008<br />

(fedha zaTsh)<br />

Matumizi ahalisi<br />

ya 2007/2008<br />

fedha zaTsh<br />

% ya<br />

matumizi<br />

halisi na<br />

Bajeti<br />

A. Mfuko wa Uchangiaji;<br />

Mchango toka Serikali ya<br />

Tanzania 71,598,224,000 67,983,240,413<br />

95%<br />

Benki ya Dunia (Mfuko<br />

wa Uchangiaji) 40,990,228,170 19,840,909,600<br />

48%<br />

Ujerumani KfW (Mfuko<br />

wa Uchangiaji) 26,651,652,855 13,490,163,560<br />

51%<br />

Serikali ya Uholanzi 22,844,273,875 0.00 0%<br />

Jumla ndogo 162,084,378,900 101,314,313,573 63%<br />

B. Wahisani mbalimbali<br />

Shirika la Ujerumani<br />

KfW (Miradi Teule ya<br />

118%<br />

Hai, Moshi na Mbeya) 6,916,000,000 8,150,159,551<br />

Benki ya Maendeleo ya<br />

Afrika (Africa Dev. Bank) 88,764,038,700* 25,818,244,728<br />

29%<br />

Shirika la Maendeleo la<br />

Korea (KOICA) 1,908,288,899<br />

Jumuia ya nchi za Ulaya<br />

(EU) 7,215,000,000 9,922,142,917<br />

138%<br />

Serikali ya Ufaransa 8,671,000,000 2,316,799,424 27%<br />

Shirika la Maendeleo la<br />

Ujerumani GTZ 1,794,000,000 0<br />

0%<br />

SECO 1,800,000,000 0 0%<br />

Serikali ya Uholanzi 100,000,000 0 0%<br />

Shirika la Maendeleo la<br />

Japan (JICA) 3,829,600,000 93,121,674<br />

2%<br />

BADEA 3,750,000,000 654,770,507 17%<br />

Mfuko wa Dunia wa<br />

Wanyama pori (WWF) 1,000,000,000 0<br />

0%<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

193


IUCN 1,000,000,000 4,480,000 0%<br />

Benki ya Dunia (msaada<br />

huu ulitolewa kwa<br />

81%<br />

Dawasa) 8,000,000,000 6,493,194,801<br />

Jumla ndogo 132,839,638,700 55,361,202,501 42%<br />

Jumla kuu 294,924,017,600 156,675,516,074 53%<br />

7.5.4 Matokeo ya Ukaguzi<br />

Muhtasari wa Matokeo ya Ukaguzi wa Mpango wa Sekta ya<br />

Maendeleo ya Maji (WSDP) kwa mwaka 2007/2008;<br />

Na. Dosari iliyojitokeza Halmashauri Kiasi (Sh)<br />

1. Fedha ambazo ama<br />

zilichelewa kupelekwa<br />

katika Halmashauri au<br />

hazikufika kabisa<br />

Manispaa Arusha<br />

H/M Korogwe<br />

Manispaa Singida<br />

672,021,786<br />

2. Karadha/Mikopo ilitolewa<br />

kwenda Idara nyingine<br />

bado hazijarudishwa<br />

3. Halmashauri sita<br />

hazikusimamia vizuri<br />

kandarasi za ujenzi<br />

ilizozitoa kwa makampuni<br />

mbalimbali<br />

4. Matumizi zaidi ya viwango<br />

vilivyoidhinishwa kwenye<br />

bajeti. Dosari hii<br />

ilibainika kwenye<br />

Halmashauri tano.<br />

5. Fedha za Mradi<br />

hazikutumiwa kabisa<br />

6. Ununuzi wa mali ambayo<br />

haikupokelewa<br />

H/W Bagamoyo<br />

H/W Newala<br />

H/W Ulanga<br />

H/W Bukoba<br />

H/W Kibaha<br />

H/W Mbinga<br />

H/W Namtumbo<br />

H/W Nkasi<br />

H/W Lushoto<br />

H/W Kilindi<br />

H/W Geita<br />

Mji Kibaha<br />

H/W Geita<br />

H/W Simanjiro<br />

H/W Kiteto<br />

26,960,000<br />

-<br />

207,360,306<br />

Halmashauri 27 3,363,717,802<br />

H/W Siha<br />

H/W Lushoto<br />

H/W Hanang<br />

39,343,500<br />

7. Manunuzi yalifanywa bila Halmashauri 8 219,748,692<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

194


kuzingatia dhana ya<br />

ushindani katika<br />

kuwapata watoa huduma<br />

8. Kutotunza kumbukumbu<br />

ya vifaa vilivyotolewa<br />

toka stoo.<br />

9. Mali na Vifaa vya mradi<br />

havikuweza kuwekewa<br />

alama za utambuzi na<br />

kutoingizwa kwenye<br />

Daftari la Mali za mradi.<br />

10. Miradi kadhaa ikiwamo<br />

ile ya uchimbaji visima<br />

virefu haikukamilika kwa<br />

wakati.<br />

11. Miradi kadhaa ikiwamo<br />

ile ya uchimbaji visima<br />

virefu ilibainika kujengwa<br />

chini ya viwango au<br />

kutofanya kazi<br />

iliyokusudiwa.<br />

12. Masurufu yasiyorejeshwa<br />

kwa muda mrefu<br />

hayakutozwa tozo ya<br />

asilimia 5<br />

13. Fedha ya dhamana toka<br />

kwa wakandarasi<br />

haikuhamishiwa kwenye<br />

Mfuko wa Amana.<br />

14. Nyaraka kadhaa za<br />

malipo zilikosekana<br />

wakati wa zoezi la<br />

Ukaguzi na baadhi ya<br />

Malipo hayakuwa na<br />

viambatisho vya<br />

kuthibitisha uhalali wa<br />

malipo.<br />

15. Vifaa mbalimbali<br />

zilizonunuliwa kwa ajili<br />

Halmashauri 7 482,149,204<br />

H/ W Lushoto<br />

H/W Mvomero<br />

18,340,000<br />

Halmashauri 26 -<br />

Halmashauri 18 -<br />

H/W Kilwa<br />

H/W Lushoto<br />

H/W Ruangwa<br />

H/W Mbinga<br />

9,720,010<br />

2,176,706<br />

Halmashauri 12 351,981,416<br />

H/W Kyela 58,000,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

195


ya mradi wa Maji<br />

hazikuweza kuonekana<br />

wakati waukaguzi.<br />

16. Hati ya usuluhisho wa<br />

Benki ilibaini kuwa kiasi<br />

cha fedha kilipokewa na<br />

mtunza Fedha lakini<br />

benki hakikuonekana.<br />

17. Taarifa za Wakaguzi wa<br />

ndani hazikutayarishwa<br />

kuhusiana na ukaguzi wa<br />

Mradi huu.<br />

18. Mpango wa Mwaka wa<br />

Manunuzi<br />

haukutayarishwa.<br />

19. Kumejitokeza malipo<br />

yenye shaka na yasiyo<br />

ya kawaida<br />

20. Malipo yamefanywa kwa<br />

wakandarsi bila<br />

kuwepo kwa idhini ya<br />

Mhandisi. Dosari hii<br />

imejitokeza kwenye<br />

Halmashauri mbili<br />

21. Gharama za usimamizi<br />

na ufuatiliaji<br />

hazikuamba-tana na<br />

taarifa ya utekelezaji<br />

wa shughuli hiyo.<br />

Halmashauri mbili<br />

zilikutwa na dosari hii.<br />

22. Masurufu yasiyo<br />

rejeshwa<br />

23. Manunuzi yamefanywa<br />

kwa kutumia fedha za<br />

masurufu<br />

24. Malipo ya tofauti za bei<br />

yalifanywa kwa<br />

H/W Masasi 16,107,000<br />

H/W Ngorongoro<br />

H/W Longido<br />

H/W Simanjiro<br />

H/W Kiteto<br />

H/W Hanang<br />

H/W Longido<br />

H/W Kiteto<br />

Halmashauri 5 56,628,545<br />

H/W Iringa<br />

H/W Kwimba<br />

H/W Njombe<br />

Manispaa Kigoma<br />

Ujiji<br />

H/W Simanjiro<br />

H/W Bukoba 13,150,000<br />

H/W Njombe<br />

Manispaa ya<br />

Temeke<br />

H/W Shinyanga<br />

-<br />

-<br />

-<br />

-<br />

10,094,166<br />

11,502,247<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

196


kandarasi bila ya kibali<br />

cha kufanya<br />

malipo hayo.<br />

25. Fedha hazikuhamishiwa<br />

kwenye akaunti ya<br />

Quick Win<br />

26. Manunuzi ya vifaa<br />

yalifanywa kidogo<br />

kidogo ili kukwepa<br />

kubanwa na Sheria za<br />

Manunuzi<br />

27. Malipo ya awali<br />

yasiyowekewa dhamana<br />

H/W Sengerema 22,118,333<br />

H/W Mbulu 121,054,400<br />

H/W Kiteto 32,798,743<br />

7.6 Matokeo ya ukaguzi wa Mfuko wa Jamii Tanzania (TASAF)<br />

7.6.1 Historia fupi ya Mfuko<br />

Awamu ya pili ya Mfuko wa Jamii Tanzania ulianzishwa kwa<br />

makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia<br />

kupitia Shirika la Mpango wa Maendeleo ya Kimataifa (IDA)<br />

na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Mkataba<br />

huu ulisainiwa tarehe 19Januari 2005 ambao ulianzisha<br />

Mfuko wa Jamii uliojulikana kama Awamu ya pili ya Mfuko<br />

wa Jamii Tanzania (TASAF II).<br />

7.6.2 Fedha za Mfuko<br />

Awamu ya pili ya Mfuko wa Jamii Tanzania unatekeleza<br />

mradi utakaodumu kwa muda wa miaka minne (4) kuanzia<br />

mwaka 2005/2006 na kupata fedha zake toka Benki ya<br />

Dunia kupitia Shirikisho la Mpango wa Maendeleo ya<br />

Kimataifa (IDA) na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa<br />

Tanzania. Mkataba wa Fedha za Maendeleo ulitiwa saini<br />

tarehe 19Januari, 2005 baina ya Serikali ya Jamhuri ya<br />

Muungano wa Tanzania na Shirika la Mpango wa Maendeleo<br />

ya Kimataifa (IDA). Awamu ya pili ya Mfuko wa Jamii<br />

Tanzania (TASAF II) itapokea kiasi cha Dola za Kimarekani<br />

milioni 150 ikijumuisha mkopo wa kiasi cha Dola za<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

197


Kimarekani 129 na dola za kimarekani milioni 21 kama<br />

Msaada. Hadi sasa kiasi cha fedha za kitanzania<br />

Sh.72,689,040,013 ambazo ni sawa na Dola za kimarekani<br />

60,222,900 zimepokewa kutoka katika vyanzo mbalimbali<br />

katika mwaka huu wa fedha.<br />

Sehemu hii ya Taarifa yangu inataka kutoa kwa ufupi yale<br />

yote yaliyojitokeza katika ukaguzi wa Hesabu za wa Awamu<br />

ya pili ya Mfuko wa Jamii Tanzania zilizoishia tarehe 30<br />

Juni, 2008. Matokeo ya ukaguzi yaliotokana na zoezi la<br />

ukaguzi wa mfuko huu zimekwisha pelekwa kwa<br />

Halmashuri zote zinazohusika katika utekelezaji wa mradi<br />

huu kwa ajili ya kuwezesha menejimenti kuchukua hatua<br />

kwa yale yaliyojitokeza. Kwa muhtasari mambo yafuatayo<br />

yamejitokeza katika ukaguzi huo:-<br />

7.6.3 Mgao na Mtumizi ya fedha za mfuko<br />

Kiasi cha fedha za kitanzania Sh.69,980,105,640 ikiwa ni<br />

sawa na Dola za kimarekani 57,978,546.51 zikiwa ni Fedha<br />

za Mfuko wa Taifa wa Vijiji(NFV) zilihitajika kwa mwaka<br />

huu ikiwa ni sehemu ya fedha za kitanzania<br />

Sh.152,160,000,000 ambazo ni sawa na Dola za kimarekani<br />

120,000,000 ambazo zilitengwa kwa ajili ya Mfuko wa Jamii<br />

Tanzania (TASAF) kwenda kwenye Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi Midogo na kuwa na<br />

bakaa la fedha za kitanzania Sh.71,190,561,469 ambazo ni<br />

sawa na Dola za kimarekani 58,981,409.67. Aidha kiasi cha<br />

fedha kilichotolewa kilikuwa ni fedha za kitanzania<br />

Sh.47,038,761,122 ambazo ni sawa na Dola za kimarekani<br />

38,971,633.08 ili kuwezesha utekelezaji wa Miradi Midogo<br />

2,266 kati ya maombi ya miradi Midogo 3,160<br />

iliyopokelewa.<br />

7.6.4 Hati ya ukaguzi wa Mahesabu iliyotolewa<br />

Katika mwaka huu wa fedha ulioishia tarehe 30 Juni 2008<br />

Hesabu za Mfuko wa Jamii Tanzania (TASAF) umeweza<br />

kupata hati ya Ukaguzi inayoridhisha.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

198


7.6.5 Miradi midogo iliyogharimu Sh.276,351,569 imechelewa<br />

kukamilika<br />

Kama ilivyoelezwa kwenye kitabu cha mwongozo wa<br />

utekelezaji wa Miradi midogo ya Mfuko wa Jamii Tanzania<br />

(TASAF), ni budi miradi yote midogo iwe imekamilishwa<br />

ndani ya kipindi kisichozidi miezi kumi na mbili(12).<br />

Ukaguzi ulibaini kuwa miradi midogo kadhaa yenye thamani<br />

ya Sh.276,351,569 ilishindwa kukamilishwa ndani ya kipindi<br />

hicho na mingine kuchukua zaidi ya miezi ishirini na nne<br />

(24).<br />

7.6.6 Miradi midogo midogo inayohitaji fedha zaidi<br />

Sh.664,662,888<br />

Ukaguzi uligundua kwamba miradi midogo midogo<br />

iliyogharamiwa kiasi cha Sh.664,662,888, fedha hizi<br />

zimetumika zote au kuacha kiwango kidogo sana ambacho<br />

hakiwezi kukamilisha miradi iliyobakia.<br />

Suala jingine ni kwa menejimenti ya Halmashauri kuwa na<br />

regista ya mali za kudumu na kuingiza taarifa zinazohusika<br />

kila wakati.<br />

7.6.7 Ukosefu wa wasimamizi na wasaidizi wa wasimamizi wa<br />

fedha za mfuko wa kijiji<br />

Katika zoezi langu la ukaguzi wa mradi huu unaofadhiliwa<br />

na TASAF nilibaini kutokuwepo kwa watumishi ambao<br />

wanajituma waliochaguliwa na Mkurugenzi wa Halmashauri<br />

ambao wanatumia muda wao wote katika kufanya kazi za<br />

mradi badala yake huazimwa kwa muda tu toka<br />

halmashauri husika na hufanya kazi za mradi kama<br />

nyongeza tu ya majukumu yao ya msingi ambayo ni kazi za<br />

Halmashauri.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

199


Wilaya<br />

H/W Mbeya<br />

H/W Mpanda<br />

H/W Chunya<br />

H/W<br />

Biharamulo<br />

Korogwe<br />

H/W<br />

Handeni<br />

H/W<br />

Maoni<br />

VFJA hakuonekana kujihusisha na kazi za TASAF<br />

badala yake amekuwa akifanya kazi za uhasibu<br />

za halmashauri.<br />

VFJA hakuonekana kabisa kujihusisha na shughuli<br />

za TASAF kwa muda wote<br />

VFJA ambae aliteuliwa kufanya kazi za mradi<br />

alionekana pia kutakiwa kushiriki katika kazi za<br />

Halmashauri ambayo imemuajili.<br />

Hakukuwa na VFC baada ya aliekuwa akifanya<br />

kazi hizo uhamushiwa wilaya mpya ya Chatto.<br />

Na hata hivyo VFJA alikuwepo alikuwa akifanya<br />

kazi zote mbili.<br />

Afisa ambae aliajiriwa kufanya kazi za TASAF<br />

hakuwa na barua ya kuajiriwa. Pia afisa huyo<br />

ameonekana kufanya kazi nyingine nje ya kazi za<br />

mradi kama kinyume na matakwa yaliyomo<br />

katika memoranda ya makubaliano.<br />

Afisa aliyeteuliwa na Mkuregenzi wa Halmashauri<br />

ya Wilaya kufanya kazi za VFJA alipewa barua ya<br />

ajira yakumwezesha kufanya kazi za TASAF, VFJA<br />

pia ameonekana kufanya kazi nyingine.<br />

Pangani H/W Afisa alieajiriwa na Halmashauri kufanya kazi za<br />

TASAF anahudhuria masomo katika Chuo Kikuu<br />

cha Ushirika Moshi na hakuna mtu mwingine<br />

aliyeajiriwa kushika nafasi hiyo kwa sasa.<br />

Kilindi H/W<br />

Katika wilaya hii Afisa alieajiriwa na Halmashauri<br />

kufanya kazi za VFJA ameonekana pia kufanya<br />

kazi nyingine za Halmashauri nje ya kazi za Mradi<br />

wa TASAF<br />

7.6.8 Vifaa havikuingizwa Vitabuni Sh.85,635,910<br />

Kanuni Na.220(1) ya Kanuni ya manunuzi ya umma<br />

inatamka wazi juu ya vifaa vyote vinunuliwavyo kurekodiwa<br />

katika Leja, kinyume chake, alibainika wakati wa ukaguzi<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

200


kuwa vifaa vyenye thamani ya Sh.85,635,910<br />

vilivyonunuliwa kwa ajili ya mradi havikuingizwa katika<br />

Leja.<br />

7.6.9 Malipo yanye nyaraka pungufu Sh.233,233,952<br />

Hatukuweza kupatiwa nyaraka zinazoonyesha malipo ya<br />

Sh.230,210,952 kwa ajili ya miradi midogo. Pia Ankara mbili<br />

zenye thamani ya shilingi 3,023,000 hazikuweza patikana<br />

kama zinavyoonyeshwa hapa chini:<br />

Wilaya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

Bukoba<br />

Pangani<br />

H/W<br />

Namba<br />

ya Vocha<br />

Namba<br />

ya<br />

Hundi<br />

Muuzaji/Kituo/mradi<br />

Kiasi (Sh)<br />

2/2/2008 242938 Miteshi 680,000<br />

10/8 021123 Mkurugenzi-Pangani 2,343,000<br />

Jumla 3,023,000<br />

7.6.10 Kukosekana kwa Ripoti ya Mkaguzi wa Ndani<br />

Sura ya 9, kifungu 3.1 (a) cha Mwongozo wa Ukaguzi wa<br />

ndani inataka Mkaguzi wa ndani kufanya ukaguzi wa ndani<br />

juu ya shughuli zinazofadhiliwa na TASAF II katika kila<br />

Halmashauri na kutoa ripoti ya ukaguzi kwa Halmashauri<br />

kutokana na hadidu za rejea na mwongozo wa ukaguzi wa<br />

ndani ulitolewa na TASAF.<br />

Kinyume na haya makubaliano, ripoti za wakaguzi wa<br />

ndani wa Wilaya zifuatazo hazikuweza kupatikana<br />

zilipohitajika na wakaguzi wa nje.<br />

1. Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi<br />

2. Manispaa ya Mwanza<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

201


3. Halmashauri ya wilaya ya Makete<br />

4. Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu<br />

5. Halmashauri ya Wilaya ya Handeni<br />

6. Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi<br />

7. Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo (pamoja na<br />

kwamba kiasi cha Sh.670,000 kilitumika kwa kazi hiyo<br />

na kulipwa kupitia hundi namba 014522 na 014521<br />

8. Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe (Hakukuwepo<br />

taarifa tofauti ya mkaguzi wa Ndani kuhusu mradi wa<br />

TASAF<br />

Zaidi ya hapo, hatukuweza kufanya tathmini juu ya kiasi<br />

cha ufikiwa wa kazi ya Mkaguzi wa ndani kutokana na<br />

ukweli kwamba hakukuwepo na ripoti zozote za kati/awali.<br />

Hivyo basi hatukuweza kuamini kwa kazi yeyote maalumu<br />

ya Mkaguzi wa ndani ambayo tungeweza kutathmini na<br />

kufanya uhakiki ili kuridhia ukamilifu wake kwa ajili ya<br />

lengo letu (ISA 610)<br />

7.6.11 Utunzaji usioridhisha wa taarifa katika ofisi za VFC na<br />

CMC<br />

Katika ukaguzi uliofanywa katika halmashauri zifuatazo,<br />

mafaili ya miradi midogo ya ofisi ya VFC yalikuwa<br />

hayajakamilika na baadhi ya taarifa muhimu za<br />

kimawasiliano kati ya VFC na Kamati ya uongozi ya jamii<br />

hazikuwepo kwenye mafaili. Pia ilibainika kwamba katika<br />

ngazi ya jamii, kamati ya uongozi wa jamii ya miradi<br />

midogo haikuwa na taarifa zote za kimawasiliano kati ya<br />

kamati na ofisi ya VFC. Wilaya husika ni kama zifuatazo:-<br />

(i)<br />

(ii)<br />

(iii)<br />

(iv)<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

202


Kukosekana kwa taarifa hizo muhimu, kwa mfano kama<br />

ilivyoonekana katika Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Nachingwea taarifa ya uoanisho wa Benki haikuweza<br />

kupatikana hivyo tulishindwa kuhakiki kiasi Cha fedha<br />

chenye thamani ya Sh.476,368,302 ambazo zilitolewa kwa<br />

ajili ya utekelezwaji wa miradi midogo kama kweli<br />

ziliingizwa katika Akaunti husika ya Benki.<br />

7.6.12 Hatari ya kutokuwepo uendelevu wa miradi midogo<br />

hapo baadaye<br />

Malengo ya mradi wa awamu ya pili ya TASAF, ni pamoja<br />

na kulenga katika kuzipa uwezo jamii kupata fursa<br />

mbalimbali ambazo zinaweza kuchangia katika utoaji wa<br />

misaada kwenye kaya kwa watu wenye matatizo<br />

mbalimbali kama vile yatima, wasiojiweza, vikongwe,<br />

wajane, waishio na VVU na wenye Ukimwi ili waweze<br />

kujikimu kimaisha. Katika hili jamii husika zimeweza<br />

kuanzisha miradi midogo midogo kuweza kufikia malengo<br />

hayo.<br />

Katika hili ukaguzi uliofanywa uliweza kubaini uwezo<br />

mdogo wa usimamizi wa miradi kwani miradi mingi<br />

ilikuwa haijakamilika na hata iliyokamilika kuna kila dalili<br />

za kutokuwa endelevu hapo baadae kutokana na ukosefu<br />

wa utaalamu wa uendeshaji na usimamizi wa miradi.<br />

Ifuatayo ni orodha ya miradi ya namna hiyo ambayo aidha<br />

haikukamilika kabisa au ilikuwa imekamilika kiasi<br />

Halmashauri Aina ya Mradi Maelezo mafupi<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Magu<br />

Mradi wa mashine ya<br />

kusaga- ya watoto<br />

yatima, Sakaya.<br />

Mradi huu wa Mashine<br />

ya Kusaga wa watoto<br />

yatima wa Sakaya<br />

ulianzishwa tarehe 3<br />

Mei, 2007. Ukikadiliwa<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

203


Miradi wa mashine<br />

38 za kushonea<br />

watoto yatima<br />

Nyalikungu<br />

Mradi wa ufugaji<br />

kuku Nyalikungu,<br />

walinunuliwa kwa<br />

ajili ya mradi kwa<br />

gharama ya<br />

Sh.2,219,940.<br />

kugharimu kiasi cha<br />

Sh.4,480,110. Mradi huu<br />

haukuweza fanya kazi<br />

kwa kuwa injini yake<br />

kuharibika. Mpaka<br />

wakati wa ukaguzi akiba<br />

ya mradi ulikuwa<br />

Sh.5,041 tu.<br />

Mradi wa kushona sare<br />

za shule za watoto<br />

yatima wa Nyalikungu<br />

ulianza tarehe 2<br />

Januari, 2006. Mradi<br />

ulianza na wasimamizi<br />

10 ambao waliungana<br />

kufanya kikundi cha<br />

jamii lakini baadae<br />

mradi ulikufa.<br />

Msimamizi wa mfuko wa<br />

fedha wa kijiji<br />

alikusanya vifaa<br />

vilivyobaki kwa ajili ya<br />

uhifadhi.<br />

(i)<br />

Machine 8 za<br />

kushonea<br />

(ii) Machine ndogo 4 za<br />

kushonea<br />

(iii) Mashine kubwa 1<br />

(iv) Marobota matatu ya<br />

nguo<br />

• Wanachama<br />

watano<br />

wameshafariki<br />

Dunia na<br />

wamebaki<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

204


Iringa<br />

Manispaa<br />

Mradi wa ufugaji<br />

kuku wa Lugeye.<br />

Mradi huu ulianza na<br />

kuku wa kienyeji<br />

ambao walinunuliwa<br />

kwa kiasi cha<br />

Sh.4,892,800<br />

Mradi wa Ushonaji<br />

nguo wa wa<br />

Nyalikungu ulioanza<br />

Mwezi March, 2007.<br />

Mradi wa ufugaji wa<br />

kuku wa Mayai<br />

uliopo Ipogolo<br />

wenye thamani ya<br />

Sh. 6,369,170.<br />

wanachama<br />

watatu ambao<br />

hata hivyo<br />

ushiriki wao<br />

kwenye mradi sio<br />

wa kuridhisha<br />

sana kutokana na<br />

kuzorota kwa<br />

Afya zao<br />

kutokana na<br />

Maradhi.<br />

• Idadi ya kuku<br />

kwenye mradi nayo<br />

imepungua toka<br />

kuku 100 hadi<br />

kufikia kuku 54<br />

sababu ya kupungua<br />

ni vifo kwa kuku 46.<br />

Wanachama 6 kati ya<br />

tisa wa mradi huu<br />

wameshafariki Dunia<br />

na kubakiwa na<br />

wanachama watatu<br />

tu.<br />

Wanachama 6 kati ya<br />

8 wameshafariki<br />

Dunia na kubakiwa<br />

na wanachama<br />

wawili tu.<br />

Mradi huu mdogo<br />

ulikamilika na<br />

kupewa cheti cha<br />

ukalishwaji wa mradi<br />

toka TMU. Hata<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

205


Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Makete<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Korogwe<br />

Mradi wa Ufugaji<br />

kuku wa wazee wa<br />

kijiji cha Ihela<br />

wenye thamani ya<br />

Sh.13,456,531<br />

ulioanzishwa Januari<br />

2007.<br />

Mradi wa ufugaji wa<br />

Ng’ombe wa maziwa<br />

wa kina mama<br />

wajane-Mazinde A.<br />

Sh. 5,000,000.<br />

hivyo madhumuni ya<br />

mradi kuweza kuwa<br />

endelevu<br />

hayakuweza kufikiwa<br />

kutokana na kufa<br />

kwa kuku wote.<br />

Mpaka kufikia<br />

Oktoba, 2008 mradi<br />

ulikuwa bado<br />

kukamilika. Jengo<br />

ambalo lingetumika<br />

kwa ajili ya mradi<br />

lilikuwa bado<br />

kukamilika kutokana<br />

na usimamidhi hafifu<br />

ambao unaonekana<br />

unachangiwa na<br />

uelewa mdogo wa<br />

elimu ya uendeshaji<br />

wa miradi kwa<br />

wanachama wa CMC.<br />

• Ng’ombe mmoja<br />

kati ya kumi<br />

amekufa, ukaguzi<br />

haukuweza<br />

thibitisha hilo<br />

kutokana na<br />

kukosekana kwa<br />

cheti cha kifo<br />

toka kwa Daktari<br />

wa mifugo wa<br />

Wilaya.<br />

• Uzalishaji wa<br />

maziwa kwa siku<br />

upo kati ya lita 4<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

206


Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

Rufiji<br />

Mradi wa Umoja wa<br />

Uvuvi wenye thamani<br />

ya Sh.7,429,750.<br />

hadi 8 ambapo<br />

lita moja ya<br />

maziwa huuzwa<br />

kwa Sh.300 mauzo<br />

kwa siku ambayo<br />

ni finyu sana.<br />

• Kundi halina elimu<br />

ya masuala ya<br />

uvuvi.<br />

7.6.13 Malipo yasiyostahili<br />

Katika ukaguzi tulioufanya tuliweza kubaini matumizi<br />

yasiyostahili yenye thamani ya Sh.8,472,200 ambayo<br />

yasingeweza stahili kulipwa kwa kutumia fedha za TASAF<br />

kama inavyoonyeshwa hapa chini:-<br />

Halmashauri<br />

Manispaa ya<br />

Sumbawanga<br />

Namba ya<br />

Vocha ya<br />

malipo<br />

1/8/066145 Mkurugenzi<br />

wa<br />

Manispaa<br />

5/10/081355 Mkurugenzi<br />

wa<br />

Manispaa<br />

Mlipwaji Maelezo Kiasi<br />

Posho kwa<br />

ajili ya<br />

vikao vya<br />

kamati ya<br />

bunge ya<br />

mahesabu<br />

ya serikali<br />

za mitaa 7-<br />

16/08/2007<br />

Walipwaji<br />

mbalimbali<br />

kwa ajili ya<br />

kuhudhuria<br />

vikao vya<br />

LAAC DSM<br />

7-12/8/07<br />

1,050,000<br />

1,022,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

207


Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilosa<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbeya<br />

Jiji la<br />

Mwanza<br />

2/8/066145 Posho ya<br />

safari<br />

kwenda<br />

Mbeya 7-<br />

12/08/<br />

2007<br />

Jumla<br />

12/1/065700<br />

4/3/065717<br />

3/4/065728<br />

7/4/065732<br />

Maofisa<br />

mbalimbali<br />

5/11/185085 Hudson<br />

Mwasanyamba<br />

2/3/290708 Watumbo<br />

Ngara<br />

2/7/063149 Mkurugenzi<br />

wa Jiji<br />

ndogo<br />

Posho kwa<br />

ajili ya<br />

vikao vya<br />

LAAC na<br />

uwasilishwaji<br />

wa<br />

bajeti<br />

Bungeni<br />

Jumla<br />

ndogo<br />

Malipo ya<br />

posho kwa<br />

ajili ya<br />

kuhudhuria<br />

vikao vya<br />

LAAC<br />

Dodoma<br />

Malipo ya<br />

posho kwa<br />

ajili ya<br />

kuhudhuria<br />

vikao vya<br />

Bunge Kyela<br />

Jumla<br />

Ndogo<br />

Posho ya<br />

chakula cha<br />

950,000<br />

3,316,000<br />

550,000<br />

345,000<br />

450,000<br />

900,000<br />

2,245,000<br />

495,000<br />

120,000<br />

615,000<br />

350,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

208


Mwanza<br />

3/7/063150 Winfrida<br />

C.Fabian<br />

1/8/086351 Mkurugenzi<br />

wa Jiji<br />

Mwanza<br />

9/10/086372 Mariam<br />

Zuberi<br />

mchana kwa<br />

maofisa<br />

wanne kwa<br />

muda wa<br />

siku kumi<br />

kwa ajili ya<br />

usimamiaji<br />

wa miradi<br />

ya Jamii<br />

Malipo kwa<br />

ajili ya saa<br />

za ziada<br />

kwa siku 20<br />

kati ya<br />

tarehe 2-<br />

21/6/2007.<br />

Malipo kwa<br />

ajili ya saa<br />

za ziada<br />

kwa<br />

wafanyakazi<br />

wawili<br />

Malipo ya<br />

ajili ya saa<br />

za ziada<br />

100,000<br />

130,000<br />

50,000<br />

kwa siku 10<br />

Jumla Ndogo 630,000<br />

Jumla Kuu 8,472,200<br />

7.6.14 Kutohusishwa kwa Wataalamu wa kisekta<br />

Kwa ujumla imeonekana kuwepo kwa ushiriki hafifu kwa<br />

wataalamu wa kisekta miongoni mwa baadhi ya shughuli<br />

za TASAF na hata walipokuwa wakihusishwa hapakuwepo<br />

na ripoti yeyote ya kiufundi iliyotolewa. Jambo hili<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

209


lilichangia kuwepo kwa kazi chini ya kiwango. Ifuatayo ni<br />

baadhi ya mifano ya kazi hizo:<br />

Halmashauri Mradi Mdogo Maelezo/maoni<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mbeya<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mbulu<br />

Manispaa ya Bukoba<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Lindi<br />

Ujenzi wa barabara<br />

ya jamii na<br />

madaraja mawili<br />

katika eneo la<br />

Mwashiwawala<br />

Ujenzi wa madarasa<br />

6 na matundu ya<br />

vyoo katika shule ya<br />

msingi Waama<br />

Ujenzi wa ukumbi<br />

wa mkutano katika<br />

shule ya Sekondari<br />

ya Kijiji cha Kinezi<br />

Ujenzi wa Nyumba<br />

moja ya kuishi<br />

mwalimu katika<br />

Mkwaya Shule ya<br />

msingi<br />

Eneo la chini la zege<br />

limeanza kuzolewa<br />

na maji hali<br />

inayoashiria kuwepo<br />

na haja ya<br />

kuimarisha upya<br />

daraja.<br />

Kuta zimeonekana<br />

kuwepo na nyufa na<br />

baadhi ya madirisha<br />

ya vioo yamevunjika.<br />

Madirisha ya vioo<br />

yameonekana<br />

kutowekwa vema<br />

kama kufuata<br />

viwango<br />

Milango iliyowekwa<br />

ni ya kiwango cha<br />

chini na bado<br />

haijakamilika.<br />

Katika mafaili yote ya miradi iliyopitiwa hapo juu<br />

hakukuwepo na taarifa ya fundi Mchundo wa ndani<br />

ikionyesha maendeleo kwa kila hatua iliyofikiwa juu ya<br />

mradi inaoendelea, aidha, hata kwa ile miradi iliyokwisha<br />

kamilika hapakuwepo pia kwa taarifa za kumalizika<br />

kwake. Zaidi ya hayo hapakuwepo pia na vivuli vya taarifa<br />

ya ukamilishwaji wa mradi inayoandaliwa na Fundi<br />

mchundo wa nje.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

210


7.7 Mradi wa mfuko wa barabara katika Halmashauri za<br />

wilaya<br />

7.7.1 Utangulizi<br />

Sekta ya barabara nchini imepitia mageuzi mbalimbali<br />

yakiwemo marekebisho ya sheria ya ushuru wa barabara<br />

Sheria No 2 ya mwaka 1998 ambayo ilianzisha Mfuko wa<br />

barabara na Bodi ya mfuko wa barabara. Sheria ya<br />

kuanzishwa kwa wakala wa barabara 1997 (TANROADS)<br />

ambayo ina jukumu la kusimamia barabara kuu na<br />

barabara za mikoa Tanzania Bara.<br />

7.7.2 Uhai na mawanda ya mradi katika Halmashauri<br />

Dhumuni la mradi ni kutoa fedha kwa aili ya<br />

matengenezo na ukarabati wa barabara za halmashauri za<br />

Wilaya. Karibia asilimia tisini ya fedha zinazotengwa ni<br />

kwa ajili ya matumizi ya ukarabati na matengenezo ya<br />

barabara zilizoteuliwa na Halmashauri pamoja na<br />

kugharamia gharama za kiutawala katika Tanzania Bara<br />

kulingana na mwongozo wa utendaji ulioidhinishwa na<br />

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa<br />

(TAMISEMI) kifungu 4(3)(b) ya kanuni.<br />

Bodi ya mfuko wa barabara hutoa fedha kupitia wakala<br />

watatu wa utekelezaji ambao ni kama wafuatao:<br />

• TANROADS<br />

• Halmashauri za wilaya kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu<br />

Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa<br />

• Wizara ya Miundombinu<br />

TANROADS kwa sasa inapokea asilimia sitini na tatu<br />

(63%) ya mgawanyo baada ya bodi ya mfuko wa barabara<br />

kutoa gharama za ki utawala, TAMISEMI inapokea<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

211


asilimia 30 na wizara ya miundombinu inapokea asilimia<br />

saba (7%).<br />

7.7.3 Wafadhili<br />

Kutokana na sheria za Mfuko wa fedha za barabara<br />

kifungu cha 4(1), fedha za miradi ya mfuko wa barabara<br />

kwa Halmashauri zinajumuisha zifuatazo:<br />

• Asilimia mia moja (100%) ya fedha zote zikusanywazo<br />

kama ushuru wa barabara utozwao katika Petroli na<br />

Dizeli, gharama za magari yanayotoka nje ya nchi,<br />

faini zitokanazo na kuzidisha kiwango cha mizigo<br />

katika magari na vyanzo vyovyote vinavyoweza<br />

kupangwa na kuidhinishwa na Bunge la Jamhuri nya<br />

Muungano wa Tanzania kwa vipindi tofauti.<br />

• Michango na misaada inayopokelewa toka toka kwa<br />

wafadhili<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

212


7.7.4 Matokeo ya ukaguzi<br />

Katika ukaguzi wa Fedha za Mfuko wa Barabara kwa<br />

mwaka wa fedha unaoishia Juni, 2008 tumebaini<br />

mapungufu kadhaa ambayo yanafikia kiasi cha Sh.<br />

8,770,031,359 kama inavyo onyeshwa hapa chini:-<br />

Na. Maelezo Kiasi (Sh)<br />

1. Fedha ambazo hazikutumika 5,853,100,305<br />

2. Malipo ya mikataba ambayo haikuwa na 222,750,577<br />

viambatanisho kamilifu<br />

3. Mkandarasi kuacha kazi katikati bila ya 115,991,150<br />

kumalizia<br />

4. Rejista ya mikataba kutokuwepo 614,232,850<br />

5. Malipo yanayozidi bajeti 137,241,100<br />

6. Fedha zilizopokelewa lakini<br />

153,036,353<br />

hazijarekodiwa<br />

7. Kutengeneza barabara bila ya kujaribu<br />

vifaa katika maabara 586,000,000<br />

8. Kutokuwepo kwa hati za malipo<br />

253,052,524<br />

9. Mkandarasi alitoroka baada ya kupewa<br />

kazi 216,942,000<br />

10. Kuchelewa katika kukamilisha miradi<br />

ya barabara. 617,684,500<br />

Jumla 8,770,031,359<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

213


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

214


SURA <strong>YA</strong> <strong>NA</strong>NE<br />

TATHMINI <strong>YA</strong> UFANISI <strong>WA</strong> MIRADI <strong>YA</strong> HALMASHAURI<br />

8.1 Tathmini ya ufanisi kwa ujumla<br />

Katika mwaka wa fedha 2007/2008 ofisi yangu ilikagua<br />

utekelezwaji wa miradi iliyoko katika Halmashauri<br />

inayofadhiliwa na Mfuko wa Maendeleo wa Halmashauri na<br />

katika ukaguzi huo mambo yafuatayo yalijitokeza:-<br />

(i) Kuchelewa kukamilika miradi kwa wakati<br />

Ukaguzi wa miradi kwa ujumla uliweza kubaini<br />

ucheweleshwaji mkubwa wa kukamilika kwa miradi<br />

mbalimbali kutokana na sababu mbalimbali kama zifuatazo<br />

• Kukosekana kwa mchango wa nguvu za wananchi katika<br />

utekelezaji wa miradi<br />

Katika mwaka wa fedha niliokagua Halmashauri 9 zilitenga<br />

kiasi cha Sh.1,167,974,302 katika bajeti zao kwa ajili ya<br />

ukamilishaji wa miradi mbalimbali. Hata hivyo miradi hii<br />

haikuweza kamilika kutokana na kukosekana kwa michango<br />

ya nguvu za wananchi, pia ilionekana kuwa kiasi cha<br />

michango ya nguvu za wananchi kilichotegemewa<br />

hakikuingizwa katika bajeti za Halmashauri hapo mwanzoni<br />

hivyo kusababisha makisio madogo ya thamani halisi ya<br />

miradi husika.<br />

Kwa kuwa mchango wa jamii umeonekana kuwa ni sehemu<br />

muhimu katika utekelezwaji wa miradi kwa wakati ilipaswa<br />

gharama za rasilimali husika ziingizwe katika bajeti ya<br />

Halmashauri tangu mwanzo kwa ajili ya urahisi wa<br />

ufuatiliaji. Sababu za kutopata mchango wa kutosha toka<br />

kwenye nguvu za wananchi ni pamoja na ushirikishwaji<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

215


hafifu wa wananchi katika hatua za awali na uelewa mdogo<br />

wa miradi yenyewe toka kwa wananchi.<br />

Orodha ya Halmashauri hizo 9 ambazo zilikumbwa na tatizo hili ni<br />

kama zifuatazo:-<br />

SN HALMASHAURI HOJA <strong>YA</strong> UKAGUZI MCHANGO <strong>WA</strong><br />

HALMASHAURI<br />

1 Moshi H/W • Ujenzi wa madarasa 56<br />

276,480,800<br />

na Ofisi moja<br />

2. Moshi H/M • Ujenzi wa madarasa 14 120,780,257<br />

3. Tarime H/W • Ujenzi na ukarabati wa<br />

madarasa 29, Ofisi<br />

166,200,000<br />

moja na Nyumba nne<br />

za Walimu<br />

4. Kilosa H/W • Madarasa 7 kati ya 15<br />

46,000,000<br />

yapo katika hatua ya<br />

kukamilika<br />

5. Shinyanga H/M • Ujenzi wa madarasa 16<br />

14,361,298<br />

ya Sekondari<br />

6. Babati H/Mji • Ujenzi wa Choo Ziwani<br />

2,000,000<br />

S/Msingi<br />

7. Hai H/W • Ujenzi wa madarasa 37<br />

ya shule ya msingi na<br />

318,604,327<br />

sekondari<br />

8. Rombo H/W • Ujenzi wa madarasa 26<br />

nyumba 2 za walimu<br />

51,102,621<br />

na Ofisi moja<br />

9. Rorya H/W • Ujenzi wa madarasa 20<br />

172,445,000<br />

ya shule za msingi<br />

• Ujenzi wa nyumba<br />

tano za walimu<br />

• Ujenzi wa Zahanati 4<br />

katika vijiji vya<br />

Roche,Busaga,Cherech<br />

e na Bitiryo<br />

Jumla 1,167,974,303<br />

o Kuchelewa kukamilika kwa miradi kutokana na<br />

kukosekana kwa Fedha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

216


Katika eneo hili la ucheleweshaji wa fedha toka serikali kuu<br />

ilibainika kuwa kiasi cha Sh.1,568,500,000 hakikuweza<br />

kutolewa kwa ajili ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali<br />

kwa Halmashauri zipatazo 4 kama zinavyoonyeshwa katika<br />

jedwali hapa chini. Serikali kuu inapaswa kuhakikisha kuwa<br />

fedha zinatolewa kama zilivyopangwa ili kutoathiri<br />

ukamilishaji wa miradi kwa kuwa kutotolewa kwa fedha<br />

kunasababisha kutotekelezeka kwa miradi iliyokusudiwa.<br />

SN HALMASHAURI HOJA <strong>YA</strong> UKAGUZI KIASI AMBACHO BADO<br />

KUTOLE<strong>WA</strong><br />

1. H/W Babati • Ununuzi wa meza<br />

kumi ambazo ambazo<br />

23,500,000<br />

zingetumiwa na<br />

wafanyabia-shara<br />

wadogo wa soko la<br />

Kata ya Babati<br />

• ukamilika kwa<br />

madarasa mawili na<br />

Ofisi moja kwa Himiti<br />

Shule ya Msingi<br />

2. H/W Mkinga • Upimaji wa ramani<br />

15,000,000<br />

Kasera na Mramba<br />

3. H/M Kinondoni • Upanuzi wa stoo<br />

Mwananyamala<br />

485,000,000<br />

• Ununuzi wa thamani<br />

kwa zahanati za<br />

Msumi Mavurunza<br />

Wazo, Hananasif,<br />

Kwembe na Mpiji<br />

Mbweni<br />

• Uthaminishwaji wa<br />

adhari katika dampo<br />

la Kigogo<br />

• Ununuzi wa matrekta<br />

matatu kwa ajili mya<br />

uzoaji taka<br />

• Ununuzi wa machine<br />

tatu za kusafishia<br />

barabara<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

217


• Ujenzi wa maeneo<br />

maalumu kwa ajili ya<br />

ukusanyaji wa<br />

takataka katika kata<br />

za Kawe, Sinza,<br />

Manzese, Makurumla,<br />

kijitonyama na<br />

Tandale.<br />

4. H/M Ilala • Ujenzi wa barabara<br />

1,045,000,000<br />

ya lami ya Allykhan<br />

yenye urefu wa<br />

kilometa moja.<br />

• Ujenzi wa barabara<br />

ya Swahili yenye<br />

urefu wa 0.5<br />

kilometa.<br />

• Ujenzi wa barabara<br />

ya Twiga kwa<br />

kiwango cha lami.<br />

• Ukarabati wa<br />

machinjio ya<br />

Buguruni<br />

• Ukarabati wa Ofisi za<br />

Arnatouglou<br />

• Ukarabati wa<br />

majengo ya masoko<br />

• Ujenzi wa uzio na<br />

ukarabati wa mfumo<br />

wa maji taka sokoni<br />

Buguruni<br />

JUMLA 1,568,500,000<br />

o Kuchelewa kukamilika kwa miradi kutokana na<br />

kucheleweshwa kwa Fedha.<br />

Miradi mbalimbali yenye bajeti ya Sh.420,550,219 ambayo<br />

ilipangwa kutekelezeka katika wilaya zipatazo 5 haikuweza<br />

kufanikiwa kutokana na kuchelewa kwa upatikanaji wa Fedha<br />

toka Serikali Kuu kama inavyoonyeshwa hapa chini:-<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

218


Na Halmashauri Matokeo Kiasi (Sh)<br />

1. Babati H/Mji • Ujenzi wa darasa 1 8,000,000<br />

Nangara shule ya<br />

Sekondari<br />

2. Tarime H/W • Ujenzi wa zahanati 162,000,000<br />

nane na nyumba tatu<br />

za wafanyakazi<br />

3. Mkinga H/W • Kupitia na kudizaini 26,625,000<br />

barabara ya Mkinga<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

Mwalimu<br />

4. Nzega H/W • Ujenzi wa tanki la 110,117,219<br />

maji kwa ajili ya<br />

vituo vya afya vya<br />

Itobo, Zogolo na<br />

Busondo.<br />

• Ujenzi wa Barabara<br />

ya Mwalugi<br />

• Ujenzi wa Zahanati<br />

ya Lukuji<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

Dakitari<br />

• Ujenzi wa tanki la<br />

maji kwa ajili ya<br />

kuhifadhia maji<br />

mvua<br />

5. Bunda H/W • Ujenzi wa wadi ya<br />

“paediatric” katika<br />

zahanati ya<br />

Kasuguti<br />

113,808,000<br />

• Ujenzi wa nyumba<br />

ya mfanyakazi<br />

katika zahanati ya<br />

Nafuba<br />

• Ununuzi wa kifaa<br />

cha “Photovoltaic”,<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

219


nguvu ya jua na<br />

spea ndogondogo<br />

• Ununuzi wa<br />

Compyuta, meza na<br />

kiti.<br />

• Utandazaji wa<br />

mabomba ya maji<br />

yenye urefu wa<br />

kilometa mbili.<br />

• Ujenzi wa vituo<br />

vitano vya maji<br />

Guta.<br />

• Ujenzi wa shimo la<br />

maji Tairo<br />

Jumla 420,550,219<br />

(ii) Kuchelewa katika kukamilisha miradi<br />

Katika wilaya 12 zinazoonyeshwa hapa chini, kulikuwa na<br />

uchelewaji wa miradi mbalimbali iliyokuwa na bajeti ya<br />

Sh.1,406,066,840. Katika kuhakikisha kuwa nidhamu ya<br />

fedha inaimarika, miradi inapaswa kuwa imepangwa vizuri,<br />

kusimamiwa na kutekelezwa katika muda uliopangwa na<br />

Serikali inapata thamani ya fedha.<br />

SN Jina la<br />

Halmashauri<br />

Mradi<br />

1. Tarime H/W • Kukamilika nusu kwa<br />

ujenzi wa barabara<br />

ya Muriba-Mususura<br />

yenye urefu wa km<br />

1.<br />

2. Kishapu H/W • Kuchelewa<br />

kukamilika kwa<br />

matengenezo ya<br />

ujenzi wa barabara<br />

Kiasi<br />

kilichoidhinishwa<br />

49,458,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

220


ya Washiteleja-<br />

Ndundangali and<br />

Bunambiyu-Bubiki.<br />

3 Muleba H/W Ukarabati wa Kamachumu<br />

Kituo cha Afya.<br />

(i) Ukarabati wa wadi<br />

ya wazazi katika<br />

kituo cha afya<br />

Kaigara<br />

(ii) Ujenzi wa uzio<br />

katika uwanja wa<br />

Vijana Muleba Mjini.<br />

4 Nzega H/W • Ujenzi wa nyumba ya<br />

mwalimu Nkiniziwa<br />

S/Msingi.<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

Mwalimu Isumba<br />

S/Msingi.<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

Mwalimu Lakuyi<br />

S/Msingi<br />

• Ujenzi wa Nyumba<br />

ya Mwalimu shule ya<br />

Msingi Kabanga<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

Mwalimu Shuke ya<br />

Msingi Kayombo<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

mwalimu Shule ya<br />

msingi Idala<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

mwalimu shule ya<br />

Msingi Uduka<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

Mwalimu Shule ya<br />

Msingi Kilabili<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

mwalimu Shule ya<br />

Msingi Iyombo<br />

131,460,000<br />

94,961,389<br />

292,994,538<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

221


• Ujenzi wa Zahanati<br />

ya Kipululu<br />

5. Sikonge H/W • Miradi mbalimbali ya<br />

ujenzi 312,230,777<br />

6. Urambo H/W • Ujenzi wa Nyumba<br />

ya Mwalimu na<br />

madarasa mawili<br />

Ukumbisiganga. 32,555,840<br />

7. Hanang’ H/W • Ujenzi wa Nyumba<br />

ya Mwalimu (CDG<br />

NYUMBA 8)<br />

• Ujenzi wa matundu<br />

ya vyoo 2 ya shule.<br />

• Ujenzi wa Makao<br />

makuu ya Wilaya<br />

68,691,353<br />

(CDG)<br />

8. Serengeti H/W • Ukarabati wa<br />

Zahanati 3 za<br />

Machochwe,<br />

Nyichoka and<br />

Rwanchanga na<br />

Nyumba moja.<br />

114,000,000<br />

• Ukarabati wa Kituo<br />

cha Afya Iramba.<br />

9. Liwale H/W • Ujenzi wa Nyumba<br />

sita za Walimu. 31,000,000<br />

10. Lindi H/Mji • Ukarabati wa<br />

Barabara ya<br />

Kineng’ene, yenye<br />

urefu wa kilometa<br />

7.86<br />

• Ujenzi wa nyumba ya<br />

Tabibu eneo la<br />

Nachingwea<br />

• Ujenzi wa Nyumba<br />

ya Afisa Elimu<br />

• Ujenzi wa Mfereji wa<br />

maji taka<br />

• Uchimbaji wa Visima<br />

• (mita 100)<br />

• Ujenzi wa Madarasa<br />

2 Likotwa S/Msingi<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

222


• Ukarabati wa shule<br />

115,909,969<br />

ya Msingi Stadium<br />

11. Kinondoni H/W • Ujenzi wa madarasa<br />

4 Kimara B<br />

• Ujenzi wa madarasa<br />

2 Mirambo<br />

• Ujenzi wa madarasa<br />

2 Mbezi Ndumbwi 10,200,000<br />

12. Rombo H/W • Ukarabati wa wadi<br />

ya wagonjwa wa nje<br />

29,066,024<br />

na nyumba ya<br />

Mfanyakazi wa Kituo<br />

cha Afya Keni<br />

13. Ilala H/W • Ujenzi wa Ofisi tano<br />

katika Shule za<br />

123,538,950<br />

Sekondari<br />

• Uendelezaji wa<br />

Ujenzi wa Kituo cha<br />

Afya Kitunda.<br />

Jumla 1,406,066,840<br />

(iii)<br />

Majengo yaliyokwisha kamilika lakini hayatumiki<br />

Baadhi ya Halmashauri zimekuwa zikiwekeza sana katika<br />

Afya na Elimu kama vile Vituo vya Afya na Zahanati kwa<br />

ajili ya utoaji wa huduma za Afya lakini cha kushangaza ni<br />

kwamba majengo haya pamoja na kuwa yamekamilika<br />

yamekuwa hayatumiki kabisa. Sampuli ya ukaguzi<br />

iliyochukuliwa katika ukaguzi imebaini majengo yenye<br />

thamani ya Sh.708,761,994 kutoka Halmashauri za Mtwara<br />

na Mbozi kutotumika pamoja na kwamba ujenzi wake<br />

umekwisha kamilika kama mchanganuo unavyoonyesha<br />

hapa chini.<br />

Na. Halmashauri Kiasi Kilichotumika<br />

Sh.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

223


1. Mbozi H/W 255,662,672<br />

2. Mtwara H/W 453,099,322<br />

Jumla 708,761,994<br />

(iii)<br />

Miradi iliyopewa fedha lakini haijaanza kutekelezwa<br />

Miradi mbalimbali haijaanza kutekelezwa katika<br />

Halmashauri. Jumla ya Sh.1,291,749,485 zilizotolewa katika<br />

Halmashauri 11 hazijatumika bado. Hata baada ya kuisha<br />

mwaka tangu kumalizika kwa awamu ya kwanza ya fedha<br />

iliyotengwa, miradi bado haijaanza kujengwa. Hii<br />

inajionyesha kwamba miradi inapokuwa imetolewa fedha<br />

huwa haianzi mapema. Halmashauri husika hazijachukua<br />

hatua zozote kuhakikisha kuwa miradi inaanza<br />

kutekelezwa. inaonyesha kuwa hakuna mpangilio maalumu<br />

wa utekelezaji uliowekwa mpaka wakati wa utayarishaji wa<br />

ripoti hii (Novemba, 2008).<br />

Fedha ambazo zimeshatolewa kwenye Halmashauri<br />

zimekuwa hazitumiki kwa muda mrefu na hivyo kuzuia<br />

utoaji wa huduma kwa wananchi kutokana na upungufu wa<br />

ubunifu na uwajibikaji katika Halmashauri. Hii inaweza<br />

ikahakikiwa katika uongozi wa Halmashauri na kuleta<br />

uwajibikaji katika Idara zinazohusika na utekelezaji wa<br />

miradi.<br />

Halmashauri zinatakiwa kuwa na juhudi katika uanzishaji<br />

na utekelezaji wa miradi kwa muda uliopangwa katika<br />

kuhakikisha kuwa miradi iliyopangwa inatekelezwa bila<br />

kuchelewa. Utaratibu huu wa kutotumia fedha una<br />

madhara katika matokeo ya malengo ya miradi iliyopangwa.<br />

Namba<br />

Jina la<br />

halmashauri<br />

maelezo<br />

Kiasi<br />

kilichotngwa<br />

Sh.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

224


1. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Kiteto<br />

(i) ununuzi wa madawati 90<br />

foray shule ya msingi<br />

Katikati<br />

(ii) Ujenzi wa ofisi ya kijiji<br />

Bwagamoyo<br />

(iii) Ujenzi wa ofisi ya kijiji<br />

Ndleta<br />

(iv) Ujenzi wa ofisi ya kijiji<br />

0lpopong<br />

(v) Ujenzi wa nyumba ya walimu<br />

Sachande<br />

2. Jiji laTanga (i) Ujenzi wa madarasa Kihere<br />

Sekondari kata ya Mzingani<br />

(ii) Ujenzi wa madarasa 2 katika<br />

shule ya sekondari<br />

Chongoleani<br />

(iii) Kuboresha mfumo wa maji<br />

Ngamiani kaskazini<br />

(iv) Ujenzi wa madarasa<br />

Ngamiani Kati.<br />

3. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Moshi<br />

(v)<br />

Kuboresha makazi hadi<br />

kufikia Juni 2008<br />

(vi) Kuboresha mfumo wa maji<br />

(vii) Kuendesha vikao vya UDEM<br />

(viii) kuboresha muundo wa<br />

mazingira kwa mwaka<br />

kuishia Juni 2008<br />

(ix) Ujenzi na umaliziaji wa<br />

ununuzi wa majokofu ya<br />

“Deep-sea na Kasera fish<br />

landing point”<br />

(x) ujenzi wa machinjio Sahare<br />

(xi) ujenzi wa machinjio ya jiji<br />

(xii) ujenzi wa mnada wa<br />

ng’ombe Pongwe.<br />

(xiii) Ujenzi wa ofisi ya mifugo ya<br />

jiji.<br />

(xiv) Ujenzi wa wigo katika<br />

zahanati Pongwe<br />

• Upanuzi wa Ofisi makao<br />

makuu<br />

• ujenzi wa nyumba za<br />

watumishi<br />

24,685,668<br />

235,038,789<br />

176,393,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

225


4 Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Nzega<br />

5. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Sikonge<br />

6. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Hanang’<br />

7. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Handeni<br />

10. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Kilindi<br />

• ujenzi wa madarasa 2<br />

katika Sekondari ya<br />

Mkombole<br />

• Ujenzi wa jengo la chakula<br />

katika shule ya Sekondari Njia<br />

Panda<br />

• Ununuzi wa mashine ya maji<br />

katika kisima cha Ndanda<br />

(xv) Ununuzi wa vifaa vya<br />

Hospitali na samani<br />

(xvi) Ununuzi wa vifaa vya ujenzi<br />

na ununuzi wa samani<br />

(xvii) Ukarabati wa majengo,<br />

visima na ununuzi wa samani<br />

• Ujenzi wa ofisi 3 za mradi wa<br />

Kujenga uwezo<br />

• Ujenzi wa zahanati ya<br />

Chanika<br />

• ujenzi wa mfumo wa Maji<br />

Mkata<br />

• Ujenzi wa mfumo wa maji<br />

Kwanyange<br />

• Ujenzi wa daraja na Karavati<br />

barabara Kwinji-Kilindi<br />

30,000,000<br />

270,792,750<br />

16,807,842<br />

446,237,692<br />

12,870,000<br />

Jumla 776,708,284<br />

(i)<br />

Ujenzi mbovu wa miradi<br />

Halmashauri 3 zililipa jumla ya Sh.93,591,024 kwa<br />

ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali. Ila,<br />

ukaguzi wa kutembelea miradi ulibaini mapungufu<br />

yakiutendaji yafuatayo.<br />

Namba<br />

Jina la<br />

halmashauri<br />

mapungufu ya<br />

Miradi<br />

Kiasi<br />

Sh.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

226


1. Manispaa ya<br />

Moshi<br />

2. Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

Namtumbo<br />

3. Manispaa ya<br />

Temeke<br />

Mategenezo ya<br />

kawaida katika<br />

Khambaita<br />

kilomita 2.1<br />

• karavati 7<br />

zilizojengwa<br />

kwa saruji<br />

hazijamaliziwa<br />

vizuri.<br />

• Ukuta wa<br />

karavati Na. 3<br />

una nyufa.<br />

• Vifaa<br />

visivyotakiwa<br />

vimeachwa<br />

kwenye mfumo<br />

wamaji ardhini<br />

Ukaguzi wa<br />

kutembelea miradi<br />

ulibaini kuwa<br />

ujenzi wa<br />

madarasa katika<br />

shule ya Sekondari<br />

ya Lisimonji<br />

yamejengwa bila<br />

kutumia vifaa<br />

visivyokidhi<br />

viwango.<br />

Madarasa 8<br />

yaliyojengwa<br />

katika shule ya<br />

sekondari ya<br />

Kibugumo yana<br />

nyufa.<br />

-Shata za<br />

madirisha<br />

hazijawekwa<br />

-Wavu wa kuzuia<br />

mbu<br />

51,120,000<br />

13,405,000.00<br />

223,740,904<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

227


haujawekwa.<br />

-Ubao wa<br />

kuandikwa<br />

haujawekwa<br />

Madarasa 8<br />

katika shule ya<br />

sekondari ya<br />

Kidete yana<br />

nyufa<br />

SURA <strong>YA</strong> TISA<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

228


MAJUMUISHO <strong>NA</strong> MAPENDEKEZO<br />

Mwisho, ningependa kutoa majumuisho na mapendekezo<br />

yafuatayo ili yaweze kufanyiwa kazi na Serikali Kuu pamoja<br />

na Serikali za Mitaa kwa lengo la kuboresha usimamizi<br />

mzuri wa rasilimali za Taifa katika ngazi za Halmashauri.<br />

9.1 Majumuisho<br />

Mambo ya jumla<br />

Mawanda ya ukaguzi katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa<br />

yanapanuka kwa kasi. Hii inatokana na ukweli kwamba<br />

Tanzania imekuwa ikipitia na inaendelea kupitia mabadiliko<br />

mbalimbali, mengi yao yakilenga upelekaji wa madaraka<br />

ngazi za chini kupitia utaratibu wa “D by D”. Ili kuweza<br />

kuhakikisha kwamba mabadiliko yanaleta tija na ni<br />

endelevu, ni muhimu kwa wadau wote wahakikishiwe kuwa<br />

Mamlaka ya Serikali za mitaa zinao uwezo wa kusimamia<br />

fedha na rasilimali nyinginezo za umma ili uwekevu, tija,<br />

na ufanisi viweze kupatikana. Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kwa<br />

kupitia kaguzi zake za kila mwaka inatoa hali halisi kuhusu<br />

usimamizi wa fedha na rasilimali za umma katika kila<br />

Halmashauri.<br />

Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi pamoja na wadau wengine<br />

tunakabiliana na changamoto ya kupanuka kwa mawanda<br />

ya ukaguzi kwa kufanya kazi pamoja na kwa umakini huku<br />

tukilinda uhuru wetu wa kitaaluma. Matokeo ya ushirikiano<br />

huu ni pamoja na Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu<br />

kutoka kwa wakati na hivyo kuwa ya manufaa kwa kutolea<br />

maamuzi. Uwezeshwaji wa watumishi katika kuwaongezea<br />

uwezo wa kiutendaji ili kwenda na wakati ni mambo<br />

ambayo yanaendelea.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

229


Ili kuweza kufikia lengo hili muhimu la kuimarisha uwezo<br />

wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa na ngazi zilizopo chini<br />

yake kama vile za kata na vijiji, Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi<br />

imeona umuhimu wa kuwa na matawi ya Ofisi zake katika<br />

ngazi za Wilaya.<br />

Kwa sasa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi inazo ofisi zake katika<br />

ngazi za Mikoa ambazo hufanya kazi mpaka Wilayani. Ili<br />

kuweza kufanikisha sera ya serikali kuhusu mpango wake<br />

wa “D by D” kuna haja ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kuwa na<br />

ofisi katika ngazi ya Wilaya ili kuwa katika nafasi nzuri ya<br />

kukagua mapato na matumizi ya fedha na rasilimali<br />

zinazokwenda katika ngazi za chini kupitia mfumo wa “D by<br />

D”. Ofisi yangu tayari imeshawasilisha rasimu ya<br />

mapendekezo serikalini kwa ajili ya uidhinishwaji na<br />

ugharamiaji.<br />

Baada ya kuelezea mambo ya ujumla katika sura<br />

zilizotangulia juu ya yaliyojiri katika ukaguzi wa Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha 2007/08 napenda sasa<br />

kuchukua fursa hii kutoa majumuisho yafuatayo:-<br />

(i)<br />

Ufuatiliaji wa mapendekezo ya ukaguzi kwa miaka<br />

iliyopita<br />

Mapendekezo kadhaa yalitolewa katika ukaguzi wa mwaka<br />

uliyopita wa mwaka 2006/07. Ofisi yangu ilipokea majibu ya<br />

Serikali kupitia kwa Mlipaji Mkuu wa Serikali tarehe 16<br />

Oktoba, 2008 kwa barua yenye kumbukumbu namba<br />

ED/AG/AUDT GEN/08/vol.1/150 ya tarehe 4 Oktoba, 2008.<br />

Hata hivyo, majibu niliyoyapokea yaligusia kuhusu Mamlaka<br />

ya Serikali za Mitaa pasipo kwenda kwa undani katika kutoa<br />

majibu yanayojitosheleza juu ya hoja za kiukaguzi na<br />

mapendekezo niliyoyatoa kwenye hesabu za Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa. Hii ni kinyume na kifungu namba 40 (2) (b)<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

230


cha sheria ya ukaguzi Namba 11 ya mwaka 2008 ambacho<br />

kinamtaka Mlipaji Mkuu wa Serikali kuwasilisha nakala ya<br />

majibu na mpango kazi ukielezea namna ya kuyatekeleza<br />

mapendekezo ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa<br />

Hesabu za Serikali. Kutokutekelezwa kwa mapendekezo ya<br />

hoja za ukaguzi kunaweza kusababisha kujirudia kwa<br />

mapungufu yaliyobainishwa awali katika ripoti za kaguzi<br />

zilizopita. Hii inarudisha nyuma jitihada za kuboresha<br />

usimamizi wa fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />

(ii) Ukaguzi wa Mishahara<br />

Udhibiti wa ndani wa mfumo wa ulipwaji wa mishahara kwa<br />

serikali kuu na wa Mamlaka za Serikali za Mitaa imebaki kuwa<br />

changamoto kubwa. Ukaguzi uliofanyika uliweza kubaini<br />

kuwepo na kiasi kikubwa cha fedha za Serikali kikilipwa kwa<br />

watumishi hewa ambao aidha wameshafariki dunia,<br />

wamefukuzwa kazi, wameacha kazi au hata kutoroka kazi.<br />

Katika sampuli ya ukaguzi uliofanyika, uliweza kubaini kiasi<br />

cha Sh.178,066,130 zilizolipwa kwa njia hii ambayo ni<br />

matumizi ambayo serikali haikupata faida. Vile vile<br />

imebainika kuwepo kwa utaratibu mbaya miongoni mwa<br />

watumishi wa Serikali kuu na wale wa Mamlaka ya Serikali za<br />

Mitaa ambao wamekuwa wakiulaghai mfumo wa ulipaji wa<br />

mishahara wa serikali kwa kujiongezea mishahara isivyo rasmi<br />

kwa kujipandisha vyeo isivyo halali. Binafsi, naamini jambo<br />

hili linaweza kutokea kwa kushirikiana kati ya watumishi<br />

wasiowaaminifu wa Mamlaka za Serikali za Mitaa zenyewe,<br />

Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na na<br />

Wizara ya Fedha na Uchumi.<br />

Aidha, kufuatana na sampuli ya ukaguzi uliofanyika uliweza<br />

kubaini jumla ya Sh.881,966,748 toka kwa baadhi ya<br />

Halmashauri ambazo hazikurudisha mishahara isiyolipwa<br />

Hazina kupitia Makatibu Tawala wa Mikoa kama inavyoagizwa<br />

kwenye waraka wa Hazina Namba EB/AG/5/03/01 Vol.VII/136<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

231


wa tarehe 31 Agosti, 2007. Matumizi ya mishahara ya<br />

watumishi wa umma imeonekana kuwa eneo lenye<br />

mapungufu makubwa katika udhibiti wa ndani na husababisha<br />

Mamlaka ya Serikali za Mitaa na Serikali kwa ujumla kupoteza<br />

fedha nyingi ambazo zingeweza kutumika katika shughuli<br />

nyinginezo za maendeleo ya Nchi.<br />

(iii) Majukumu ya Mhasibu Mkuu katika Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa<br />

Matokeo ya ukaguzi uliofanywa katika Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa umebaini kuwepo Kwa utofauti wa utayarishaji na<br />

utoaji wa taarifa za fedha miongoni mwa Halmashauri jambo<br />

ambalo ni kinyume na Kifungu Na. 40(2) cha Sheria ya fedha<br />

ya Mamlaka za Serikali za Mitaa Na 9 ya mwaka 1982<br />

(iliyorekebishwa 2000) ambayo inazitaka Halmashauri zote<br />

kuwa na mfumo unaofanana wa utengenezaji na utoaji wa<br />

taarifa za fedha. Miongozo mbalimbali inayokinzana<br />

imeonekana kutolewa kwa Halmashauri juu ya namna ya<br />

utayarishaji na utoaji wa taarifa za fedha kwa mwaka wa<br />

fedha 2007/08.<br />

Tofauti na Sheria ya Fedha ya Umma ya mwaka<br />

2001(iliyorekebishwa 2004), ambayo kimsingi inampa Mhasibu<br />

Mkuu wa Serikali mamlaka ya kusimamia na kuwa mkuu wa<br />

fedha na uhasibu katika Wizara, Idara na Wakala wa Serikali,<br />

Sheria ya fedha ya Mamlaka za Serikali za Mitaa Na 9 ya<br />

mwaka 1982 (iliyorekebishwa 2000) haiko wazi kuhusu ni nani<br />

atakaye kuwa na madaraka sawa na yale ya Mhasibu Mkuu wa<br />

Serikali kwa upande wa Serikali za Mitaa.<br />

Kutokana na sababu hiyo hapo juu, haishangazi kwamba<br />

kumekuwa na ugumu na ucheleweshwaji wa kuwa na mfumo<br />

wa kisheria unaoendana na wakati ikiwa ni pamoja na kuwa<br />

na miongozo inayofanana juu utoaji wa taarifa za fedha<br />

katika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Hali hii pia, inajieleza<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

232


yenyewe katika utoaji wa nyaraka zinazokinzana na zisizo<br />

sahihi juu ya namna ya ufungaji wa mahesabu ya Halmashauri<br />

kwa mwaka wa fedha 2007/2008. Naamini hali hii inatokea<br />

kutokana kutokuwepo kwa mamlaka ambayo ingekuwa na<br />

majukumu sawa kama yale ya Mhasibu Mkuu wa Serikali<br />

katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />

(iv) Fedha zinazopelekwa MSD<br />

Hili ni eneo jingine lenye udhaifu ambalo limeonekana wakati<br />

wa ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa. Imebainika kuwa<br />

fedha zitumwazo kwenda MSD kwa niaba ya Halmashauri toka<br />

wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa ajili ya ununuzi wa<br />

madawa na vifaa tiba mbalimbali hazitolewi hesabu ipasavyo<br />

katika vitabu vya fedha vya Mamlaka za Serikali za Mitaa.<br />

Fedha hizi ni mali ya Halmashauri na kwa minajili hiyo<br />

zingepaswa kuingizwa kwenye vitabu vya Halmashauri<br />

vinginevyo taarifa za fedha za Halmashauri zitakuwa si sahihi<br />

na za kupotosha.<br />

(v) Masuala ya Utawala bora katika Halmashauri.<br />

Hakuna shaka kwamba usimamizi thabiti wa fedha katika<br />

Halmashauri unaenda sambamba na mifumo imara iliyowekwa<br />

katika maeneo ya utawala bora. Ukaguzi wa mwaka huu<br />

umeshuhudia kuanzishwa kwa kamati za ukaguzi katika<br />

Halmashauri nyingi kama moja ya kigezo cha utawala bora<br />

katika Halmashauri. Hatua hii ni utekelezaji wa waraka wa<br />

TAMISEMI Na. CHA: 3/215/01 wa tarehe 27 Novemba,2007<br />

ambao unazitaka Halmashauri kuanzisha kamati za ukaguzi za<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa. Waraka huo unamtaka mkaguzi<br />

wa ndani wa Halmashauri awe ni mjumbe na katibu wa<br />

kamati za ukaguzi. Jambo hili limeonekana kutia dosari<br />

katika muundo wa kamati hizo kwa kumshirikisha Mkaguzi wa<br />

ndani kama mjumbe na katibu wa kamati. Muundo huo<br />

unaifanya kamati isiwe madhuti katika kutekeleza kazi zake<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

233


kwa ufanisi kutokana na mgongano wa kimaslahi anaokuwa<br />

nao Mkaguzi wa ndani. Muundo huu uko kinyume na mfumo<br />

ulio bora.<br />

Eneo jingine la Utawala bora katika Halmashauri ambalo<br />

linahitaji angalizo ni juu ya uimarishwaji wa vitengo vya<br />

ukaguzi wa ndani. Ukaguzi wa mwaka huu katika maeneo<br />

haya umebaini kuwepo kwa watumishi wachache katika<br />

kitengo cha ukaguzi wa ndani katika Halmashauri nyingi,<br />

kukosekana kwa uwezo wa kitaaluma, kukosekana kwa<br />

majibu ya hoja za wakaguzi wa ndani toka kwa menejimenti<br />

na kutokuwepo kwa miundombinu sawia ambayo imeonekana<br />

kuathiri utendaji wa vitengo hivi katika Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa. Udhibiti imara wa mfumo wa ndani hautaweza<br />

kufikiwa kama hakutakuwepo vitengo imara vya ukaguzi wa<br />

ndani ambavyo vitakuwa huru katika kufanya kazi zake.<br />

(vi)<br />

Matumizi ya mifumo ya kompyuta katika Mamlaka<br />

za Serikali za Mitaa<br />

Halmashauri nyingi zimeonekana kutumia mfumo funganifu wa<br />

usimamizi wa fedha (IFMS) kwa kutumia Programu aina ya<br />

EPICOR. Pia, imeweza kubainika kwamba mafunzo kwa<br />

watumishi hawa juu ya matumizi ya mfumo funganifu wa<br />

usimamizi wa fedha (IFMS) kwa kutumia Programu aina ya<br />

EPICOR yalifanywa miaka mingi iliyopita na watumishi wengi<br />

wameonekana kuhamishwa kutoka kituo kimoja cha kazi<br />

kwenda kingine.<br />

Ukaguzi pia ulibaini kuwa hakuna hata Halmashauri moja<br />

ambayo inatumia kwa kiwango cha juu mfumo funganifu wa<br />

usimamizi wa fedha (IFMS) kwa kutumia Programu aina ya<br />

EPICOR. Matumizi ya IFMS-EPICOR yamekuwa ya kiasi kidogo<br />

kushindwa hata kutengeneza taarifa za mwaka za hesabu toka<br />

kwenye mfumo huo wa kompyuta.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

234


Hivyo, majumuisho ya suala hili ni kwamba thamani ya fedha<br />

kwa ajili ya mfumo huu mkubwa wa matumizi ya kompyuta<br />

haijapatikana kutokana na kutumika kiasi au kutokutumika<br />

kabisa na Mamlaka za Serikali za Mitaa. Pengine yaweza ibua<br />

maswali juu ya kufaa kwa mfumo huu wa IFMS katika<br />

Halmashauri. Je, mfumo huu unakidhi matakwa ya<br />

Halmashauri? Je, Serikali yaweza kuja na mfumo mwingine<br />

ambao ni wa kufaa, wenye kueleweka na rahisi kutumika kwa<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa?.<br />

(vii) Makusanyo ya ndani yanayokusanywa na mawakala<br />

kwa niaba ya Halmashauri<br />

Ukaguzi wa mwaka huu umebainisha mapungufu kadhaa katika<br />

ukusanywaji wa mapato kupitia mawakala walioteuliwa na<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa. Eneo hili limetawaliwa zaidi na<br />

kuwanufaisha Mawakala wa ukusanyaji wa mapato kuliko<br />

Halmashauri zenyewe. Kwa mfano kutoa zabuni za ukusanyaji<br />

mapato bila kufanya uchambuzi yakinifu juu ya mapato halisi<br />

ya Halmashauri, Mawakala wa ukusanyaji mapato kutozingatia<br />

mikataba ya ukusanyaji wa mapato na kushindwa kwa<br />

Halmashauri husika kuwachukulia hatua za kisheria mawakala<br />

wanaoshindwa kuwasilisha makusanyo kutokana na<br />

makubaliano ya kwenye mikataba. Uwezo wa Halmashauri<br />

nyingi kugharamia shughuli zake kutokana na vyanzo vya<br />

mapato vya ndani uko mashakani kutokana na udhibiti hafifu<br />

wa usimamizi wa makusanyo.<br />

(viii) Usimamizi wa Miradi katika Halmashauri<br />

Ukaguzi wa hesabu wa mwaka 2007/2008 umeshuhudia kiasi<br />

kikubwa cha fedha kilichotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa<br />

miradi mbalimbali. Mambo makubwa yaliyojitokeza katika<br />

ukaguzi huu ni pamoja na miradi mingi kutokamilika kwa<br />

wakati uliopangwa, kazi kufanyika chini ya kiwango, usimamizi<br />

usioridhisha wa miradi na kiasi kikubwa cha fedha za miradi<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

235


kuonekana kutotumika kabisa. Kutokana na hali hii<br />

iliyojitokeza uwezo wa Halmashauri nyingi katika suala la<br />

usimamizi wa miradi linatia shaka hasa katika kufikia malengo<br />

waliyojiwekea likiwemo la kuwaletea maendeleo wananchi<br />

wake.<br />

(ix)<br />

Usimamizi wa manunuzi katika Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa<br />

Mwelekeo wa matumizi katika manunuzi ni kama asilimia<br />

sabini (70%) mpaka asilimia themanini (80%) ya matumizi<br />

yote. Hivyo kutokuzingatia sheria za manunuzi inamaanisha<br />

kwamba kunaweza kutokea hasara kubwa inayotokana na<br />

kutengeneza mikataba mibovu, utekelezaji mbovu wa<br />

mikataba, kutokuzingatia mpango wa manunuzi wa kazi za<br />

ujenzi na huduma bila kuzingatia taratibu za manunuzi ni<br />

mambo yaliyojitokeza katika taarifa za ukaguzi.<br />

9.2 Mapendekezo<br />

Kufuatia majumuisho yaliyoainishwa hapo juu yaliyotokana<br />

na ukaguzi wa mwaka huu, napenda kuchukua nafasi hii<br />

kutoa mapendekezo yafuatayo kwa ajili ya kuboresha<br />

usimamizi wa fedha katika Halmashauri.<br />

(i) Ukaguzi wa Mishahara<br />

Changamoto nyingi zimejitokeza katika matumizi mabaya<br />

ya fedha na rasilimali za umma kwa kulipa mishahara kwa<br />

wafanyakazi wasio watumishi wa umma (wafanyakazi<br />

hewa). Wadau wote katika ulipwaji wa mishahara wanalo<br />

jukumu la kuangalia kuwa kunakuwepo na udhibiti wa<br />

kutosha katika eneo la ulipwaji wa mishahara. Malipo ya<br />

mishahara yanapaswa kulipwa kwa wafanyakazi<br />

wanaostahili, kulingana na vyeo na ngazi za mishahara yao.<br />

Vile vile, mishahara ambayo haijalipwa kwa watumishi<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

236


kutokana na sababu moja ama nyingine inapaswa<br />

kurejeshwa Hazina mapema kupitia Makatibu Tawala wa<br />

Mikoa kama inavyoelekezwa kwenye waraka uliotolewa na<br />

Hazina. Mwisho kunatakiwa kuwepo kwa ushirikiano na<br />

jitihada za pamoja za kikutendaji kati ya Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa, TAMISEMI, Ofisi ya Rais Menejimenti na<br />

Utumishi wa Umma na Wizara ya Fedha na Uchumi katika<br />

kuhuisha kumbukumbu za mishahara ya watumishi wa<br />

umma.<br />

(ii) Uzingatiaji wa Mfumo wa utayarishaji wa taarifa za<br />

fedha.<br />

Kwa miaka mingi nimekuwa nikizungumzia juu ya ulazima<br />

wa kufuata kifungu 40(2) cha Sheria ya Fedha ya<br />

Halmshauri Na. 9 ya mwaka 1982(iliyorekebishwa 2000)<br />

katika utayarishaji wa taarifa za fedha unaolingana kwa<br />

Halmashauri zote Nchini. Lakini mpaka sasa matakwa ya<br />

Sheria hii hayajazingatiwa wala kutekelezwa. Hata hivyo,<br />

mfumo wa utayarishaji wa taarifa za fedha kwa kufuata<br />

miongozo kama ilivyo katika: Muongozo wa uaandaaji<br />

hesabu za serikali za mitaa (LAAM) na Memoranda ya fedha<br />

za serikali za mitaa (LAFM) zimepitwa na wakati kufuatia<br />

Tanzania kuamua kufuata viwango vya kimataifa vya<br />

utengenezaji wa hesabu kama vile “IFRS” na “IPSAS”. Zaidi<br />

ya hayo, TAMISEMI wanatakiwa kuwa waangalifu wanapotoa<br />

nyaraka na miongozo mbalimbali inayohusu taaluma ya<br />

uhasibu katika masuala ya kiutendaji kwa Halmashauri ili<br />

kuepuka mkanganyiko.<br />

(iii) Majukumu ya Mhasibu Mkuu katika Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa<br />

Tanzania imekuwa ikipitia na inaendelea kupitia mabadiliko<br />

mbalimbali, mengi yao yakilenga upelekaji wa madaraka<br />

ngazi za chini kupitia utaratibu wa “D by D”. Hii inahusisha<br />

kuzipa Halmashauri madaraka ya menejimenti ya fedha kwa<br />

kuanzisha mfumo uliowazi wa utoaji wa ruzuku ya matumizi<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

237


ya kawaida na ya maendeleo kutoka serikali kuu kwenda<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa. Kutokana na mabadiliko<br />

haya, ninaishauri mamlaka husika umuhimu wa kuwepo kwa<br />

Ofisi ya Mhasibu Mkuu ambaye atakuwa anashughulikia<br />

Halmashauri. Njia nyingine ni kufanyia marekebisho Sheria<br />

Na 6 ya 2001(iliyorekebishwa 2004) ya Fedha za Umma<br />

kifungu Na. 7 ili kumpa Mhasibu Mkuu wa serikali wa sasa<br />

mamlaka ya kusimamia fedha za Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa.<br />

(iv) Utoaji Hesabu wa fedha zinazopelekwa MSD kwa<br />

niaba ya Halmashauri<br />

Katika ukaguzi nilioufanya niliweza kubaini kutokuwepo<br />

kwa utoaji hesabu uliosahihi kuhusiana na fedha<br />

zinazotumwa na wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwenda<br />

MSD kwa ajili ya matumizi ya kununulia madawa na vifaa<br />

tiba kwa niaba ya Halmashauri. Kwa mara nyingine tena<br />

napenda kupendekeza kuwa fedha hizi zinapaswa kuingizwa<br />

katika vitabu vya Halmashauri na kuonyeshwa kama mapato<br />

na matumizi kufuatana na kutumwa kwa fedha na kuchukua<br />

madawa na vifaa tiba. Kiasi cha fedha ambacho kinabakia<br />

MSD mwisho wa mwaka wa fedha na kiasi cha madawa<br />

ambayo yatakuwa hayajatumika vinapaswa kuonyeshwa<br />

katika taarifa za fedha za Halmashauri. Halmashauri<br />

zinapaswa kuhesabu madawa yaliyobaki kila mwisho wa<br />

mwaka kiutaalamu na kuweka kumbukumbu zinazohusu<br />

uhesabuji wa madawa hayo. Uhesabuji wa madawa na mali<br />

nyingine ghalani ni vizuri ukamhusisha Mkaguzi toka Ofisi<br />

ya Taifa ya Ukaguzi. Endapo itatokea Halmashauri<br />

imetumia kiasi kikubwa cha madawa zaidi ya fedha<br />

ilizopelekewa tofauti hiyo inapaswa pia kuonyeshwa kama<br />

deni katika taarifa za fedha za Halmashauri mwishoni mwa<br />

mwaka.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

238


(v)<br />

Muundo wa kamati za ukaguzi katika Mamlaka za<br />

Serikali za Mitaa<br />

Naunga mkono kwa dhati kwa jitihada zilizofikiwa na<br />

TAMISEMI kwa kuanzisha kamati za ukaguzi katika<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa. Hata hivyo, muundo wa sasa<br />

wa kamati hizo unaonekana kuwa na kasoro ambayo<br />

unazifanya zisiweze kufanya kazi zake kwa ufanisi.<br />

Napendekeza kwamba muundo huu unapaswa kubadilishwa.<br />

Mkuu wa kitengo cha Ukaguzi wa ndani hapaswi kuendelea<br />

si tu kuwa mjumbe wa kamati bali pia katibu wa kamati<br />

hiyo kama ilivyo kwa sasa, lakini anaweza kualikwa<br />

kuhudhuria vikao vya kamati kama mwalikwa. Zaidi ya<br />

hayo, napendekeza kwamba kama hali inaruhusu basi<br />

mwanasheria wa Halmashauri anaweza kuteuliwa kuwa<br />

Katibu wa Kamati.<br />

(v) Bakaa ya Fedha za Maendeleo zinazobakia mwisho<br />

wa mwaka bila kutumika<br />

Kwa muda mrefu sasa ukaguzi umeshuhudia kiasi kikubwa<br />

cha fedha za maendeleo ambazo hubakia katika Mamlaka<br />

za Serikali za Mitaa mwisho wa mwaka bila kutumika. Pia<br />

fedha hizo kutoonekana kuwepo katika bajeti kwa mwaka<br />

unaofuatia. Hii inapoteza maana ya utayarishwaji na<br />

uidhinishwaji wa bajeti za Halmashauri. Ninapendekeza<br />

kuwepo na utaratibu wa kuzibajeti upya fedha zote ambazo<br />

hazikutumika ili kuleta maana halisi ya bajeti.<br />

(vii)<br />

Uimarishwaji wa Ukaguzi wa ndani katika Mamlaka<br />

ya Serikali za Mitaa<br />

Mbali na kwamba Halmashauri zimefanikiwa kuweza<br />

kuanzisha vitengo vya ukaguzi wa ndani, changamoto<br />

kubwa iliyopo kwa sasa ni uwezo wa kiutendaji wa vitengo<br />

hivi juu ya kukagua umadhubuti wa mfumo wa ndani katika<br />

Halmashauri husika na kutoa mapendekezo juu ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

239


kuimarishwa kwa mfumo huo. Napendekeza kuimarishwa<br />

kwa vitengo vya ukaguzi wa ndani vya Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa hususan katika maeneo ya rasilimali watu, fedha<br />

na miundombinu.<br />

TAMISEMI kwa kushirikiana na Hazina wanashauriwa<br />

kuandaa mafunzo ya kina kwa wakaguzi wa ndani na<br />

kujipangia mkakati wa namna ya kufikia ubora wa juu wa<br />

kazi za ukaguzi wa ndani ili kuwezesha ripoti hizo kuwa za<br />

kuaminika.<br />

(viii)<br />

Matumizi ya mifumo ya kompyuta katika Mamlaka<br />

za Serikali za Mitaa<br />

Halmashauri nyingi zimekuwa zikidai kuwa zinatumia<br />

mfumo wa uhasibu wa Kompyuta programuya “IFMS-<br />

Epicor” katika kutengeneza na kuripoti taarifa zao za<br />

mahesabu. Ukaguzi ulibaini kuwa ingawa takwimu<br />

zinaonyesha idadi kubwa ya wafanyakazi wamepata<br />

mafunzo ya matumizi ya programu ya kompyuta “IFMS-<br />

Epicor” lakini utengenezwaji wa hesabu bado unafanyika<br />

kwa njia isiyo ya kompyuta. Ninashauri kwamba TAMISEMI<br />

ifanye upembuzi yakinifu ili kuweza kufahamu ni jinsi gani<br />

mfumo huu wa “IFMS-Epicor” unafaa kwa matumizi ya<br />

Halmashauri vinginevyo waangalie uwezekano wa kuwa na<br />

mfumo mwingine rahisi kwa ajili ya shughuli za<br />

Halmashauri.<br />

(ix) Kuimarishwa kwa ukusanywaji wa mapato<br />

yatokanayo na vyanzo vya ndani.<br />

Halmashauri nyingi zimebinafsisha ukusanyaji wa mapato<br />

yake ya ndani kwa kampuni binafsi za ukusanyaji kwa<br />

kuingia nayo mikataba. Ukaguzi umebaini kuwa mikataba<br />

mingi imeonekana kutoinufaisha Halmashauri husika na<br />

badala yake kuzinufaisha kampuni binafsi za ukusanyaji<br />

mapato. Mfano, moja ya mkataba ulikuwa na kipengele<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

240


kisemacho kuwa wakala wa ukusanyaji mapato atalipwa<br />

kamisheni ya ukusanyaji kiasi ambacho kitazidi makusanyo<br />

yaliyokubaliwa katika mkataba. Ukaguzi ulibaini katika<br />

Halmashauri moja ambapo mkandarasi aliweza kukusanya<br />

kiasi cha Sh.289,491,650 na akapeleka Halmashauri<br />

Sh.132,720,000 (sawa na asilimia 45.8) ya makusanyo yote<br />

na kubakiwa na Sh.156,771,650 (sawa na asilimia 54.2)<br />

kama kamisheni. Ninashauri Halmashauri kufanya<br />

uchambuzi yakinifu na wa kina juu ya vyanzo vya mapato<br />

kabla ya kutoa zabuni za ukusanyaji kwa kampuni binafsi.<br />

Na pia nashauri mikataba yote ipitiwe na wanasheria<br />

wenyeuwezo kabla ya kusainiwa na Mamlaka za Serikali za<br />

Mitaa.<br />

(x)<br />

Uimarishwaji wa usimamizi wa Miradi katika<br />

Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

Imebainika wakati wa ukaguzi kuwa miradi mingi ya<br />

Halmashauri inatekelezwa katika ngazi za chini za ki<br />

utawala yaani katika ngazi za Kata na Vijiji. Changamoto<br />

kubwa inayozikabili Halmashauri kwa sasa ni uwezo wa<br />

usimamizi wa kina katika utekelezaji wa miradi hii. Ukaguzi<br />

umebaini kuwa miradi mingi inayotekelezwa katika maeneo<br />

haya ipo chini ya viwango vilivyowekwa na Serikali.<br />

Nashauri kwamba, uongozi wa Halmashauri kote nchini<br />

uhakikishe kuwa thamani ya fedha inapatikana kutokana na<br />

miradi hii kwa kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa<br />

karibu.<br />

Zaidi ya hayo, Halmashauri zinapaswa kuanzisha timu zenye<br />

watu makini na wenye uwezo wa kusimamia na kuendesha<br />

miradi katika kila Halmashauri ambazo zitakuwa na wajibu<br />

wa kuandaa taarifa za utekelezaji angalau kila robo ya<br />

mwaka na kuziwasilisha kwa Baraza la madiwani kwa<br />

majadiliano na kutolewa kwa maamuzi.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

241


(xi)<br />

Viwango vinavyowiana vya gharama za Miradi<br />

Baadhi ya Wizara zimeweka viwango elekezi vya gharama<br />

kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambayo<br />

inapaswa kutekelezwa katika Halmashauri. Mfano ni<br />

viwango vilivyowekwa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya<br />

Shule za Msingi na Sekondari bila kutilia maanani mahali<br />

ambapo shule hizo zinajengwa. Swali la kujiuliza hapa ni<br />

kwamba Je gharama za kujenga darasa Makete ambapo<br />

mchanga na kokoto ni adimu kupatikana zinawezaje<br />

kulingana na gharama za ujenzi wa darasa la aina hiyo hiyo<br />

Morogoro ambako upatikanaji wa mchanga na kokoto ni<br />

rahisi? Au gharama za kujenga darasa Rombo ambako<br />

hakuna mchanga ukilinganisha na Mwanga ambako mchanga<br />

ni rahisi kupatikana?. Napenda kuzishauri Mamlaka husika<br />

kuangalia pia vigezo vya kijiografia na ugumu au urahisi wa<br />

upatikanaji wa vifaa vya ujenzi katika kutengeneza viwango<br />

elekezi.<br />

(xii)<br />

Usimamizi wa manunuzi katika Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa<br />

Kutokuzingatia sheria za manunuzi kunaweza kusababisha<br />

hasara kubwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Hivyo,<br />

ninapendekeza kwamba Mamlaka za Serikali za Mitaa<br />

zichukue hatua madhubuti dhidi ya watumishi ambao<br />

hawafuati wala kuzingatia taratibu za manunuzi ndani ya<br />

himaya zao ili kuhakikisha kwamba sheria hizo zinafuatwa<br />

na taratibu za manunuzi zinaimarishwa ndani ya Mamlaka<br />

za Serikali za Mitaa. Na zaidi hasa, mikataba ya manunuzi<br />

lazima izingatie kanuni Na. 121 ya kanuni za manunuzi za<br />

mwaka 2005.<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

242


VIAMBATISHO<br />

Kiambatisho 1<br />

Orodha ya mamlaka za serikali za mitaa na aina ya hati<br />

zilizotolewa kwa miaka miwili 2006/2007 na 2007/2008<br />

Na.<br />

Jina la Halmashauri<br />

Aina ya Hati<br />

1. Halmashauri ya<br />

Manispaa Arusha<br />

2. Halmashauri ya Wilaya<br />

Karatu<br />

3. Halmashauri ya Wilaya<br />

Monduli<br />

4. Halmashauri ya Wilaya<br />

Ngorongoro<br />

5 Halmashauri ya Wilaya<br />

Meru<br />

6 Halmashauri ya Wilaya<br />

Longido<br />

7 Halmashauri ya Wilaya<br />

Arusha<br />

8 Halmashauri ya Wilaya<br />

Bagamoyo<br />

2006/2007 2007/2008<br />

Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Haihusiki<br />

Haihusiki<br />

Haihusiki<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

9 Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Kibaha<br />

10. Halmashauri ya Mji Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Kibaha<br />

11 Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Kisarawe<br />

12. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Mafia<br />

13. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />

Mkuranga<br />

14. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Rufiji/Utete<br />

15. Halmashauri ya Jiji Dar Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

es Salaam<br />

16. Halmashauri ya Yenye shaka Yenye shaka<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

243


Manispaa Ilala<br />

17. Halmashauri ya<br />

Manispaa Kinondoni<br />

18. Halmashauri ya<br />

Manispaa Temeke<br />

19. Halmashauri ya Wilaya<br />

Bahi<br />

20. Halmashauri ya Wilaya<br />

Chamwino<br />

21. Halmashauri ya<br />

Manispaa Dodoma<br />

22. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kondoa<br />

23. Halmashauri ya Wilaya<br />

Urambo<br />

24. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kongwa<br />

25. Halmashauri ya Wilaya<br />

Mpwapwa<br />

26 Halmashauri ya Wilaya<br />

Iringa<br />

27. Halmashauri ya<br />

Manispaa Iringa<br />

28 Halmashauri ya Wilaya<br />

Ludewa<br />

29. Halmashauri ya Wilaya<br />

Makete<br />

30. Halmashauri ya Wilaya<br />

Mufindi<br />

31 Halmashauri ya Wilaya<br />

Njombe<br />

32 Halmashauri ya Mji<br />

Njombe<br />

33. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kilolo<br />

34 Halmashauri ya Wilaya<br />

Biharamulo<br />

35 Halmashauri ya Wilaya<br />

Bukoba<br />

36. Halmashauri ya<br />

Manispaa Bukoba<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Haihusiki<br />

Haihusiki<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Haihusiki<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

244


37. Halmashauri ya Wilaya<br />

Karagwe<br />

38.<br />

Halmashauri ya Wilaya<br />

Muleba<br />

39. Halmashauri ya Wilaya<br />

Ngara<br />

40. Halmashauri ya Wilaya<br />

Missenyi<br />

41. Halmashauri ya Wilaya<br />

Chato<br />

42. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kasulu<br />

43. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kibondo<br />

44. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kigoma<br />

45. Halmashauri ya<br />

Manispaa Kigoma/Ujiji<br />

46. Halmashauri ya Wilaya<br />

Hai<br />

47. Halmashauri ya Wilaya<br />

Moshi<br />

48. Halmashauri ya<br />

Manispaa Moshi<br />

49. Halmashauri ya Wilaya<br />

Siha<br />

50. Halmashauri ya Wilaya<br />

Mwanga<br />

51. Halmashauri ya Wilaya<br />

Rombo<br />

52. Halmashauri ya Wilaya<br />

Same<br />

53. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kilwa<br />

54. Halmashauri ya Wilaya<br />

Lindi<br />

55. Halmashauri ya Mji<br />

Lindi<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Haihusiki<br />

Haihusiki<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Haihusiki<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Isiyoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

245


56. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />

Liwale<br />

57. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />

Nachingwea<br />

58. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Ruangwa<br />

59. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />

Babati<br />

60. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Hanang’<br />

61. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Kiteto<br />

62. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Mbulu<br />

63. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />

Simanjiro<br />

64. Halmashauri ya Mji Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Babati<br />

65. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Musoma<br />

66. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Bunda<br />

67. Halmashauri ya<br />

Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Manispaa Musoma<br />

68. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Serengeti<br />

69. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Tarime<br />

70. Halmashauri ya Wilaya Haihusiki<br />

Inayoridhisha<br />

Rorya<br />

71. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />

Chunya<br />

72. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />

Ileje<br />

73. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

74. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />

Mbarali<br />

75. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />

Mbeya<br />

76. Halmashauri ya Jiji<br />

Mbeya<br />

Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

246


77. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Inayoridhisha<br />

Mbozi<br />

78. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Rungwe<br />

79 Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Kilombero<br />

80 Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Kilosa<br />

81. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Morogoro<br />

82. Halmashauri ya<br />

Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Manispaa Morogoro<br />

83. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Ulanga<br />

84. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Mvomero<br />

85. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Masasi<br />

86. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Mtwara<br />

87. Halmashauri ya<br />

Yenye shaka Yenye shaka<br />

Manispaa Mtwara<br />

88. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Newala<br />

89. Halmashauri ya Wilaya Yenye shaka Yenye shaka<br />

Tandahimba<br />

90. Halmashauri ya Wilaya Haihusiki<br />

Yenye shaka<br />

Nanyumbu<br />

91. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Geita<br />

92. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Kwimba<br />

93. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Magu<br />

94. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Misungwi<br />

95. Halmashauri ya Jiji Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Mwanza<br />

96. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Inayoridhisha<br />

Sengerema<br />

97. Halmashauri ya Wilaya Inayoridhisha Yenye shaka<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

247


Ukerewe<br />

98 Halmashauri ya Wilaya<br />

Mpanda<br />

99. Halmashauri ya Mji<br />

Mpanda<br />

100. Halmashauri ya Wilaya<br />

Nkasi<br />

101. Halmashauri ya Wilaya<br />

Sumbawanga<br />

102. Halmashauri ya<br />

Manispaa Sumbawanga<br />

103 Halmashauri ya Wilaya<br />

Mbinga<br />

104. Halmashauri ya<br />

Manispaa Songea<br />

105. Halmashauri ya Wilaya<br />

Songea<br />

106. Halmashauri ya Wilaya<br />

Tunduru<br />

107. Halmashauri ya Wilaya<br />

Namtumbo<br />

108. Halmashauri ya Wilaya<br />

Bariadi<br />

109. Halmashauri ya Wilaya<br />

Bukombe<br />

110. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kahama<br />

111 Halmashauri ya Wilaya<br />

Meatu<br />

112. Halmashauri ya Wilaya<br />

Shinyanga<br />

113. Halmashauri ya<br />

Manispaa Shinyanga<br />

114. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kishapu<br />

115. Halmashauri ya Wilaya<br />

Maswa<br />

116. Halmashauri ya Wilaya<br />

Iramba<br />

117. Halmashauri ya Wilaya<br />

Manyoni<br />

Inayoridhisha<br />

Haihusiki<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Isiyoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

248


118. Halmashauri ya Wilaya<br />

Singida<br />

119. Halmashauri ya<br />

Manispaa Singida<br />

120. Halmashauri ya Wilaya<br />

Handeni<br />

121. Halmashauri ya Wilaya<br />

Korogwe<br />

122. Halmashauri ya Mji<br />

Korogwe<br />

123. Halmashauri ya Wilaya<br />

Lushoto<br />

124. Halmashauri ya Wilaya<br />

Muheza<br />

125. Halmashauri ya Wilaya<br />

Pangani<br />

126. Halmashauri ya Jiji<br />

Tanga<br />

127. Halmashauri ya Wilaya<br />

Kilindi<br />

128. Halmashauri ya Wilaya<br />

Mkinga<br />

129. Halmashauri ya Wilaya<br />

Igunga<br />

130. Halmashauri ya Wilaya<br />

Nzega<br />

131. Halmashauri ya Wilaya<br />

Sikonge<br />

132. Halmashauri ya Wilaya<br />

Tabora<br />

133. Halmashauri ya<br />

Manispaa Tabora<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Haihusiki<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Yenye shaka<br />

Inayoridhisha<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

249


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

250


Kiambatisho 2<br />

Matokeo ya ukaguzi uliofanyika katika baadhi ya Halmashauri<br />

Na. Jina la Halmashauri Kukosekana<br />

kwa<br />

Miongozo<br />

ya mifumo<br />

ya<br />

kompyuta<br />

Mapungufu<br />

katika<br />

utumiaji<br />

wa<br />

Kompyuta<br />

Mazingira<br />

yasiyo<br />

salama kwa<br />

utumiaji<br />

wa<br />

kompyuta<br />

1. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Igunga √ √ √<br />

2. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Kilosa √ √ √<br />

3. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Lushoto √ √ √<br />

4. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Mbinga √ √ √<br />

5. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Namtumbo √ √ √<br />

6. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Songea √ √ √<br />

7. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Kigoma √ √<br />

8. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Babati √ √<br />

9. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Kiteto √ √<br />

10. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Mbulu √ √<br />

11. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Simanjiro √ √<br />

12. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Iramba √ √<br />

13. Halmashauri ya Manispaa<br />

ya Singida √ √<br />

14. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Manyoni √ √<br />

15. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Singida √ √<br />

16. Halmashauri ya wilaya ya √ √<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

251


Na. Jina la Halmashauri Kukosekana<br />

kwa<br />

Miongozo<br />

ya mifumo<br />

ya<br />

kompyuta<br />

Kilombero<br />

Mapungufu<br />

katika<br />

utumiaji<br />

wa<br />

Kompyuta<br />

Mazingira<br />

yasiyo<br />

salama kwa<br />

utumiaji<br />

wa<br />

kompyuta<br />

17. Halmashauri ya Manispaa<br />

ya Morogoro √ √<br />

18. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Mvomero √ √<br />

19. Halmashauri ya wilaya ya √ √<br />

20. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Ulanga √ √<br />

21. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Bukombe √ √<br />

22. Halmashauri ya Manispaa<br />

ya Temeke<br />

√<br />

23. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Misungwi √ √<br />

24. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Same √ √<br />

25. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Chamwino<br />

√<br />

26. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Iringa<br />

√<br />

27. Halmashauri ya Jiji ya<br />

Mwanza<br />

√<br />

28. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Mbarali<br />

√<br />

29. Halmashauri ya Manispaa<br />

ya Tabora √ √ √<br />

30. Halmashauri ya Manispaa<br />

ya Songea<br />

√<br />

31. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Magu √ √<br />

32. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Kwimba<br />

√<br />

33. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Moshi<br />

√<br />

34. Halmashauri ya Manispaa √ √<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

252


Na. Jina la Halmashauri Kukosekana<br />

kwa<br />

Miongozo<br />

ya mifumo<br />

ya<br />

kompyuta<br />

ya Kigoma ujiji<br />

35. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Mapungufu<br />

katika<br />

utumiaji<br />

wa<br />

Kompyuta<br />

Mazingira<br />

yasiyo<br />

salama kwa<br />

utumiaji<br />

wa<br />

kompyuta<br />

Kondoa<br />

√<br />

36. Halmashauri ya Manispaa<br />

ya Dodoma √ √<br />

37. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Bagamoyo<br />

√<br />

38. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Kibaha<br />

√<br />

39. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Mafia<br />

√<br />

40. Halmashauri ya Manispaa<br />

ya Kibaha<br />

√<br />

41. Halmashauri ya wilaya ya<br />

Bunda √ √<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

253


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

254


Mambo yasiyotekelezwa yanayohusu ukaguzi uliopita<br />

Sh.32,903,395,306<br />

Kiambatisho 3<br />

Na. Mkoa Halmashauri Kiasi 2007/08<br />

1. Dodoma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kongwa 6,813,262,872.00<br />

2. Dodoma<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Dodoma 2,748,605,834.00<br />

3. Dodoma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mpwapwa 2,463,561,332.00<br />

4. Mwanza<br />

Halmashauri ya Jiji la<br />

Mwanza 2,202,304,178.00<br />

5. Dar es salaam<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Ilala 1,519,090,189.00<br />

6. Mbeya<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mbarali 1,390,421,841.00<br />

7. Mwanza<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ukerewe 725,541,039.00<br />

8. Kigoma<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Kigoma Ujiji 706,037,617.00<br />

9. Morogoro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ulanga 633,764,471.00<br />

10. Mwanza<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Misungwi 553,962,964.00<br />

11. Rukwa<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

S’wanga 547,876,785.00<br />

12. Coast<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mkuranga 528,020,752.80<br />

13. Ruvuma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Namtumbo 483,132,590.00<br />

14. Lindi<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Liwale 471,500,294.00<br />

15 Rukwa<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Nkasi 456,422,046.00<br />

16. Rukwa<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

S’wanga 455,652,235.00<br />

17. Dodoma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Chamwino 453,006,078.00<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

255


18. Tabora<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Urambo 406,536,850.00<br />

19. Dar es salaam<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Kinondoni 394,069,016.00<br />

20. Shinyanga<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Shinyanga 393,786,673.27<br />

21. Tabora<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Igunga 336,651,330.00<br />

22. Ruvuma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Tunduru 325,158,761.00<br />

23. Morogoro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mvomero 293,819,308.00<br />

24. Kigoma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kibondo 286,828,432.00<br />

25. Morogoro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Morogoro 283,978,377.00<br />

26. Mtwara<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mtwara 264,193,749.00<br />

27. Mara<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Serengeti 248,006,389.00<br />

28. Manyara<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Simanjiro 243,830,007.00<br />

29. Lindi<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Nachingwea 242,413,000.00<br />

30. Shinyanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Bariadi 234,384,090.00<br />

31. Tanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Korogwe 226,148,241.00<br />

32. Kilimanjaro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Same 225,100,000.00<br />

33. Singida<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Singida 225,056,030.00<br />

34. Mtwara<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Masasi 209,371,600.11<br />

35. Kilimanjaro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mwanga 193,581,429.00<br />

36. Mtwara<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Tandahimba 192,468,378.00<br />

37 Dar es salaam<br />

Halmashauri ya Jiji la Dar<br />

es salaam 189,797,787.00<br />

38 Tanga Halmashauri ya Jiji la Tanga<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

256


39. Coast<br />

40. Mtwara<br />

41. Mwanza<br />

42. Lindi<br />

43. Ruvuma<br />

44. Tabora<br />

45. Iringa<br />

46. Lindi<br />

47. Shinyanga<br />

48. Coast<br />

49. Kagera<br />

50. Kilimanjaro<br />

51. Mara<br />

52. Iringa<br />

53. Kigoma<br />

54. Coast<br />

55. Rukwa<br />

56. Shinyanga<br />

57. Kagera<br />

58. Lindi<br />

180,000,000.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Rufiji 175,562,974.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Newala 156,899,419.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kwimba 155,859,093.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kilwa 140,925,605.34<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Songea 134,934,296.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Nzega 131,825,857.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Makete 129,571,198.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Lindi 126,447,680.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Meatu 122,496,538.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kibaha 108,872,688.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Karagwe 104,176,999.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Hai 103,600,000.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Musoma 102,547,558.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Iringa 97,092,289.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kasulu 86,430,194.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Bagamoyo 84,274,646.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mpanda 82,771,531.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Maswa 81,916,419.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Biharamulo 81,755,125.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mji wa Lindi 80,000,000.00<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

257


59. Tabora<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Sikonge 75,941,854.25<br />

60. Tanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Handeni 72,517,307.00<br />

61. Arusha<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Arusha 70,420,846.00<br />

62. Iringa<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Iringa 70,019,357.00<br />

63. Kagera<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Muleba 69,600,316.00<br />

64. Tabora<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Tabora 67,031,835.00<br />

65. Morogoro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kilombero 65,104,069.00<br />

66. Coast<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mafia 64,772,018.00<br />

67. Kilimanjaro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Moshi 62,893,203.00<br />

68. Kigoma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kigoma 59,464,182.00<br />

69. Shinyanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kishapu 54,541,686.00<br />

70. Tanga<br />

Halmashauri ya Mji wa<br />

Korogwe 51,454,299.00<br />

71. Ruvuma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Songea 50,359,883.00<br />

72. Kilimanjaro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Rombo 50,000,000.00<br />

73. Tanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kilindi 48,411,944.00<br />

74. Kagera<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Bukoba 46,936,579.00<br />

75. Morogoro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kilosa 46,125,855.00<br />

76. Mara<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Musoma 45,802,579.00<br />

77. Mara<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Bunda 43,983,476.00<br />

78. Iringa<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Njombe 43,099,948.00<br />

79. Tanga Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

258


80. Mwanza<br />

81. Mtwara<br />

82. Coast<br />

83. Mara<br />

Muheza 41,938,961.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Sengerema 40,081,700.00<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Mtwara 39,464,816.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kisarawe 36,770,662.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Tarime 35,898,400.00<br />

84. Mbeya Halmashauri ya Jiji la Mbeya 35,760,320.00<br />

85. Arusha<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Monduli 35,598,184.00<br />

86. Arusha<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Meru 35,000,000.00<br />

87. Singida<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Manyoni 31,423,978.00<br />

88. Shinyanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Bukombe 30,076,230.00<br />

89. Kilimanjaro<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Moshi 28,546,400.00<br />

90. Dodoma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kondoa 28,000,000.00<br />

91. Tanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Lushoto 26,552,932.00<br />

92. Ruvuma<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mbinga 26,541,886.00<br />

93. Coast Halmashauri ya Mji Kibaha 25,649,167.00<br />

94. Mbeya<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ileje 24,052,623.00<br />

95 Arusha<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ngorongoro 23,806,635.00<br />

96. Manyara<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Hanang 23,723,180.00<br />

97. Kagera<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Bukoba 23,544,500.00<br />

98. Lindi<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ruangwa 20,262,598.00<br />

99. Mwanza<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Magu 17,308,142.00<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

259


100. Iringa<br />

101. Morogoro<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mufindi 11,918,336.00<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Morogoro 9,840,931.00<br />

102. Manyara Halmashauri ya Mjiya Babati 9,187,020.00<br />

103. Tanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Pangani 8,900,030.00<br />

104. Mbeya<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mbeya 8,094,470.00<br />

105. Shinyanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kahama 7,502,000.00<br />

106. Arusha<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Karatu 6,595,750.00<br />

107. Iringa<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ludewa 6,534,780.00<br />

108. Tabora<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Tabora 5,265,000.00<br />

109. Dar es salaam<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Temeke 3,028,060.00<br />

110. Mbeya<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Rungwe 2,202,034.00<br />

111. Singida<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Singida 537,600.00<br />

112. Shinyanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Shinyanga 4,070.00<br />

Jumla 32,903,395,305.77<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

260


Kiambatisho 4<br />

Mambo yasiyotekelezwa katika taarifa za malinganisho ya benki<br />

Jina la<br />

Halmashauri<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Hanang<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Mbeya<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Mbarali<br />

Halmashauri<br />

ya Jiji la<br />

Mbeya<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Musoma<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya<br />

Mpwapwa<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Mtwara<br />

Mikindani<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Kwimba<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Magu<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Mpanda<br />

Halmashauri<br />

ya Mji<br />

Mpanda<br />

Maingizo<br />

katika<br />

daftari la<br />

fedha<br />

yasiyopelekwa<br />

Benki<br />

Sh.<br />

Hundi<br />

zisizowasilishwa<br />

Banki<br />

Fedha<br />

isiyofika<br />

Benki<br />

Malipo<br />

katika<br />

Banki<br />

yasiyo<br />

katika<br />

Daftari la<br />

Fedha<br />

Maingizo<br />

katika<br />

Banki<br />

yasiyo<br />

katika<br />

Daftari la<br />

fedha<br />

- 121,878,860 - - -<br />

- 3,322,256 - - -<br />

4,022,185 8,923,757 - - -<br />

16,537,582 2,339,244 - 522,500 -<br />

1,152,000 51,377,538 - 1,017,000 -<br />

960,150 1,580,820 - - -<br />

3,500,920 14,900,772 - 2,287,013 -<br />

7,413,860 357,017,750 - - -<br />

- 76,666,953 4,959,972 - -<br />

210,500 8,557,102 - - -<br />

- 220,660 - - -<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

261


Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Nkasi<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Newala<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Musoma<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Bunda<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya<br />

Serengeti<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Rorya<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Tarime<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Chunya<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Ileje<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Kyela<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Mbozi<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Rungwe<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Lindi<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Ruangwa<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Nachi-<br />

9,061,392 60,199,414 - - -<br />

134,000 3,513,906 - - -<br />

- 11,958,699 16,434,350 - -<br />

- 229,442,736 16,356,961 - -<br />

8,133,982 192,664,735 - 297,833,224 254,572,933<br />

750,461 311,765,278 - 50,896 52,345,557<br />

- 105,766,480 - - -<br />

7,943,227 23,534 - 724,156 -<br />

2,813,900 2,734,181 - - -<br />

76,838 7,289,983 - 4,778,000 4,322,600<br />

- 6,055,840 - - -<br />

5,240,000 34,574,484 - - -<br />

- 23,559,436 - - -<br />

1,299,307 11,744,847 - 1,440,732 -<br />

1,370,942 130,859,933 - - 15,700<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

262


ngwea<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- 150,000 - 970,000 -<br />

ya Liwale<br />

Halmashauri<br />

ya Mji ya 474,912 4,177,824 - 2,028,658 -<br />

Lindi<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya 3,524,677 49,914,078 - 11,125,887 175,276<br />

ya Kilwa<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- 202,579,827 6,103,612 59,470,470 2,937,269<br />

ya Kisarawe<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- - 11,913,693 - -<br />

ya Kibaha<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- 7,090,106 - - -<br />

ya Karatu<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- 8,586,679 - - -<br />

ya Arusha<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- 27,162,744 38,545,572 - -<br />

ya Arusha<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- 42,622,700 - - -<br />

ya Longido<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- 89,775,898 - - -<br />

ya Meru<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

2,456,495 - - -<br />

ya Monduli 91,188,065<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya ya<br />

- 10,646,250 - - -<br />

Chamwino<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya 12,080,854 1,338,731 - - -<br />

ya Kongwa<br />

Halmashauri<br />

ya Manispaa 4,090,000 - - - -<br />

ya Moshi<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Rombo<br />

32,242,861 12,083,429 - 535,176 2,057,085<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

263


Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- 19,256,311 - - -<br />

ya Hai<br />

Halmashauri<br />

ya Manispaa 13,331,000 52,719,144 - 11,504,955 -<br />

ya Songea<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

- 112,087,826 - 5,157,420 -<br />

ya Tunduru<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya 2,239,350 159,331,988 - - -<br />

ya Mwanga<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya 1,796,351 17,121,825 - - -<br />

ya Babati<br />

Halmashauri<br />

ya Mji ya<br />

- 24,795,174 - - -<br />

Babati<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya 74,113,808 - 4,547,580 - -<br />

ya Kilosa<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Mvomero - - 10,581,945 2,661,500 3,124,193<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Ulanga - - 2,374,729 - -<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Bariadi - 4,509,978 7,165,000 133,748,635 -<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Maswa - 44,519,680 28,360,101 - -<br />

Halmashauri<br />

ya Manispaa<br />

ya<br />

Shinyanga - 284,068,611 10,338,392 - -<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Kahama - 1,815,158 851,821 - -<br />

Halmashauri<br />

ya Wilaya<br />

ya Meatu - 8,656,000 10,166,074 - -<br />

Jumla 305,703,124 2,969,830,892 168,699,801 535,856,223 319,550,613<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

264


Kiambatisho 5<br />

Ukaguzi wa kushitukiza kwenye ofisi ya mtunza fedha<br />

Na.<br />

Halmashauri<br />

husika<br />

Halmashauri<br />

ambazo<br />

hazikufanya<br />

Uhakiki wa<br />

kushtukiza<br />

ambao<br />

haukufanywa<br />

na<br />

Menejimenti<br />

Kutokuwepo<br />

kwa kiwangu<br />

maalum cha<br />

juu cha<br />

kuhifadhi<br />

fedha kwenye<br />

ofisi za<br />

kutunzia<br />

fedha<br />

Kutothibitishwa<br />

kwa kiwango cha<br />

fedha kilichopo<br />

Banki<br />

1. Halmashauri ya<br />

Jiji la Mbeya<br />

√<br />

2. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Mbeya<br />

√<br />

3. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Mbarari<br />

√<br />

4. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Chunya<br />

√<br />

5. Halmashauri ya<br />

wilaya ya Kyela √ √<br />

6. Halmashauri ya<br />

wilaya ya Ileje<br />

√<br />

7. Halmashauri ya<br />

Mji Masasi<br />

√<br />

8. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Bukoba<br />

√<br />

9. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Misenyi<br />

√<br />

10. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Biharamulo<br />

√<br />

11. Halmashauri ya<br />

wilaya ya Chato √<br />

12. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

√<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

265


Karagwe<br />

13. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Muleba<br />

√<br />

14. Halmashauri ya<br />

wilaya ya Ngara √<br />

15. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Kigoma<br />

√<br />

16. Halmashauri ya<br />

Jiji la Dar es<br />

salaam √ √<br />

17. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Tabora<br />

√<br />

18. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Urambo<br />

√<br />

19. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Igunga<br />

√<br />

20. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Nzega √ √<br />

21. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Singida<br />

√<br />

22. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Iramba<br />

√<br />

23. Halmashauri ya<br />

wilaya ya<br />

Mbinga<br />

59,417,291.26<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

266


Kiambatisho 6<br />

Wadaiwa Wasiolipa<br />

Na.<br />

1.<br />

2.<br />

3.<br />

4.<br />

5.<br />

6.<br />

7.<br />

8.<br />

9.<br />

10.<br />

11.<br />

12.<br />

13.<br />

14.<br />

15.<br />

16.<br />

17.<br />

18.<br />

19.<br />

20.<br />

21.<br />

22.<br />

Jina la Halmashauri<br />

Kiasi<br />

Halmashauri ya Mji Lindi 401,000<br />

Halmashauri ya Mji Mpanda 628,841<br />

Halmashauri ya wilaya ya Rorya 2,130,000<br />

Halmashauri ya wilaya ya Bunda 2,139,000<br />

Halmashauri ya wilaya ya Tunduru 3,201,870<br />

Halmashauri ya wilaya ya Misenyi 3,373,030<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa 3,933,000<br />

Halmashauri ya wilaya ya Makete 4,512,100<br />

Halmashauri ya wilaya ya Moshi 5,184,004<br />

Halmashauri ya Mji Njombe 5,912,000<br />

Halmashauri ya wilaya ya Singida 6,036,000<br />

Halmashauri ya wilaya ya Manyoni 6,597,372<br />

Halmashauri ya wilaya ya Karatu 6,956,496<br />

Halmashauri ya wilaya ya Iramba 8,358,024<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kondoa 9,184,220<br />

Halmashauri ya wilaya ya Biharamulo 10,383,030<br />

Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga 11,396,232<br />

Halmashauri ya wilaya ya Handeni 12,265,500<br />

Halmashauri ya wilaya ya Songea 13,380,889<br />

Halmashauri ya wilaya ya Bukoba 13,807,410<br />

Halmashauri ya wilaya ya Ngara 13,890,000<br />

Halmashauri ya wilaya ya Geita 14,117,340<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

267


23.<br />

24.<br />

25.<br />

26.<br />

27.<br />

28.<br />

29.<br />

30.<br />

31.<br />

32.<br />

33.<br />

34.<br />

35.<br />

36.<br />

37.<br />

38.<br />

39.<br />

40.<br />

41.<br />

42.<br />

43.<br />

44.<br />

45.<br />

46.<br />

47.<br />

48.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Muleba 14,398,600<br />

Halmashauri ya wilaya ya Pangani 16,539,981<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Songea 17,577,931<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mkinga 18,017,284<br />

Halmashauri ya wilaya ya Musoma 18,037,674<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kilolo 18,592,833<br />

Halmashauri ya wilaya ya Ileje 19,575,615<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kwimba 19,855,702<br />

Halmashauri ya wilaya ya Sengerema 22,182,377<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kibaha 22,464,704<br />

Halmashauri ya wilaya ya Nzega 23,489,320<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kilombero 24,358,217<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe 24,826,919<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro 24,836,512<br />

Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu 25,106,850<br />

Halmashauri ya wilaya ya Monduli 25,168,875<br />

Halmashauri ya Mji Babati 27,227,360<br />

Halmashauri ya wilaya ya Hai 27,867,677<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kilindi 28,905,156<br />

Halmashauri ya wilaya ya Bukombe 28,988,000<br />

Halmashauri ya wilaya ya Sikonge 36,131,095<br />

Halmashauri ya wilaya ya Tarime 36,364,500<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mbarali 39,380,330<br />

Halmashauri ya wilaya ya Meatu 41,650,039<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 42,530,000<br />

Halmashauri ya wilaya ya Serengeti 42,847,922<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

268


49.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Meru 42,938,293<br />

50.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Karagwe 43,908,635<br />

51.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo 43,964,182<br />

52.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mafia 43,964,182<br />

53.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Tabora 44,681,000<br />

54.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Ulanga 45,510,187<br />

55. Halmashauri ya Mji Mtwara 46,202,382<br />

56.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba 47,663,655<br />

57.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Iringa 49,637,200<br />

58.<br />

Halmashauri ya Mji Singida 52,546,351<br />

59.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mbeya 53,095,606<br />

60.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Lushoto 56,549,956<br />

61.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Morogoro 57,814,837<br />

62.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo 58,306,792<br />

63.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kilosa 58,654,530<br />

64.<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma 60,677,132<br />

65.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Igunga 63,412,014<br />

66.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kiteto 63,585,382<br />

67.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Tabora 63,648,676<br />

68.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea 63,651,983<br />

69.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kahama 64,733,890<br />

70.<br />

Halmashauri ya Mji Kigoma/Ujiji 66,588,086<br />

71.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mufindi 69,594,728<br />

72.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Lindi 70,232,222<br />

73.<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Temeke 71,339,502<br />

74.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kongwa 71,763,069<br />

75.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Babati 72,259,571<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

269


76.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Urambo 73,754,351<br />

77.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mbulu 74,538,435<br />

78.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Liwale 80,029,524<br />

79.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Maswa 81,145,710<br />

80.<br />

Halmashauri ya Mji Kibaha 82,065,750<br />

81.<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Musoma 88,287,434<br />

82.<br />

Halmashauri ya Mji Korogwe 94,257,356<br />

83.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mbozi 101,349,068<br />

84.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe 107,524,548<br />

85.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Hanang 110,160,608<br />

86.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mbinga 116,422,880<br />

87.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Newala 126,682,894<br />

88.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Iringa 129,311,232<br />

89.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kishapu 130,338,840<br />

90.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mtwara 130,735,992<br />

91.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kasulu 131,092,225<br />

92.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro 131,136,185<br />

93. Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Kinondoni 133,171,692<br />

94.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Magu 134,968,961<br />

95.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Muheza 170,445,604<br />

96.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kigoma 192,100,702<br />

97.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kibondo 196,102,076<br />

98.<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Mbeya 209,049,786<br />

99.<br />

Halmashauri ya Jiji laMwanza 220,045,160<br />

100.<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Arusha 224,576,250<br />

101.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Masasi 231,500,675<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

270


102.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Kilwa 261,422,820<br />

103.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga 268,238,859<br />

104.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Mvomero 306,366,476<br />

105.<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala 315,593,573<br />

106.<br />

Halmashauri ya jiji laTanga 339,603,835<br />

107. Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Shinyanga 470,224,770<br />

108.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Bariadi 685,554,031<br />

109.<br />

Halmashauri ya wilaya ya<br />

Sumbawanga 14,436,541<br />

110.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Chamwino 26, 149,849<br />

111.<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Sumbawanga 26,744,624<br />

112.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Bukoba 34, 920,810<br />

113.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Nkasi 45,317,369<br />

114.<br />

Halmashauri ya wilaya ya Rungwe 49,810,080<br />

Jumla 8,675,739,790<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

271


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

272


Wadai ambao hawajalipwa<br />

Kiambatisho 7<br />

Na. Jina la Halmashauri inayodaiwa Kiasi Sh.<br />

1. Halmashauri ya Mji Lindi 5,149,344<br />

2. Halmashauri ya Mji Mpanda 224,483,296<br />

3. Halmashauri ya wilaya ya Tunduru 25,168,875<br />

4. Halmashauri ya wilaya ya Makete 324,512,966<br />

5. Halmashauri ya wilaya ya Moshi 72,690,721<br />

6. Halmashauri ya wilaya ya Manyoni 399,556,584<br />

7. Halmashauri ya wilaya ya Kondoa 1,725,708,997<br />

8. Halmashauri ya wilaya ya Biharamulo 94,000,000<br />

9. Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga 1,180,007,203<br />

10. Halmashauri ya wilaya ya Handeni 573,828,765<br />

11. Halmashauri ya wilaya ya Songea 167,997,026<br />

12. Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba MC 575,439,166<br />

13. Halmashauri ya wilaya ya Ngara 269,667,395<br />

14. Halmashauri ya wilaya ya Geita 117,694,489<br />

15. Halmashauri ya wilaya ya Muleba 162,086,202<br />

16. Halmashauri ya wilaya ya Pangani 224,529,797<br />

17. Halmashauri ya wilaya ya Songea 42,435,158<br />

18. Halmashauri ya wilaya ya Mkinga 21,697,347<br />

19. Halmashauri ya wilaya ya Musoma 59,256,406<br />

20. Halmashauri ya wilaya ya Kilolo 158,682,187<br />

21. Halmashauri ya wilaya ya Ileje 18,493,860<br />

22. Halmashauri ya wilaya ya Kwimba 183,123,115<br />

23. Halmashauri ya wilaya ya Sengerema 3,511,100<br />

24. Halmashauri ya wilaya ya Kibaha 15,348,891<br />

25. Halmashauri ya wilaya ya Nzega 4,187,000<br />

26. Halmashauri ya wilaya ya Kilombero 26,043,300<br />

27. Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe 43,908,635<br />

28. Halmashauri ya wilaya ya Monduli 307,774,388<br />

29. Halmashauri ya Mji Babati 164,304,435<br />

30. Halmashauri ya wilaya ya Hai 124,642,102<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

273


31. Halmashauri ya wilaya ya Kilindi 417,516,976<br />

32. Halmashauri ya wilaya ya Sikonge 69,182,746<br />

33. Halmashauri ya wilaya ya Tarime 91,822,222<br />

34. Halmashauri ya wilaya ya Mbarali 111,852,197<br />

35. Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 97,133,691<br />

36. Halmashauri ya wilaya ya Meru 444,232,891<br />

37. Halmashauri ya wilaya ya Karagwe 141,059,154<br />

38. Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo 38,824,625<br />

39. Halmashauri ya wilaya ya Mafia 37, 586,714<br />

40. Halmashauri ya Manispaa ya Tabora 183,191,503<br />

41. Halmashauri ya Mji Mtwara 15,399,824<br />

42. Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba 95,331,216<br />

43. Halmashauri ya wilaya ya Iringa 254,499,274<br />

44. Halmashauri ya Mji Singida 9,897,887<br />

45. Halmashauri ya wilaya ya Mbeya 28,980,386<br />

46. Halmashauri ya wilaya ya Lushoto 104,538,783<br />

47. Halmashauri ya wilaya ya Morogoro 20,124,554<br />

48. Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo 14,493,592<br />

49. Halmashauri ya wilaya ya Kilosa 27,533,540<br />

50. Halmashauri ya wilaya ya Igunga 99,462,229<br />

51. Halmashauri ya wilaya ya Kiteto 135,185,032<br />

52. Halmashauri ya wilaya ya Nachingwea 10,327,690<br />

53. Halmashauri ya Mji Kigoma/Ujiji 41,400,747<br />

54. Halmashauri ya wilaya ya Mufindi 14,550,944<br />

55. Halmashauri ya wilaya ya Lindi 104,498,556<br />

56. Halmashauri ya Manispaa ya Temeke 16,910,013<br />

57. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa 238,625,361<br />

58. Halmashauri ya wilaya ya Babati 118,329,479<br />

59. Halmashauri ya wilaya ya Urambo 135,088,122<br />

60. Halmashauri ya wilaya ya Mbulu 129,015,734<br />

62. Halmashauri ya wilaya ya Liwale 81,037,254<br />

63. Halmashauri ya wilaya ya Maswa 42,259,872<br />

64. Halmashauri ya Mji Kibaha 88,052,449<br />

65. Halmashauri ya Manispaa ya Musoma 36,707,196<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

274


66. Halmashauri ya Mji Korogwe 11,626,700<br />

67. Halmashauri ya wilaya ya Mbozi 303,941,460<br />

68. Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe 81,237,386<br />

69. Halmashauri ya wilaya ya Hanang 7,384,360<br />

70. Halmashauri ya wilaya ya Mbinga 33,483,465<br />

71. Halmashauri ya wilaya ya Newala 683,500<br />

72. Halmashauri ya wilaya ya Iringa 74,976,222<br />

73. Halmashauri ya wilaya ya Kishapu 157,300,828<br />

74. Halmashauri ya wilaya ya Kasulu 471,720,013<br />

75. Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro 185,203,179<br />

76. Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni 505,237,564<br />

77. Halmashauri ya wilaya ya Kigoma 3,160,000<br />

78. Halmashauri ya wilaya ya Arusha 92,900,403<br />

79. Halmashauri ya wilaya ya Masasi 92,616,655<br />

80. Halmashauri ya wilaya ya Kilwa 21,613,998<br />

81. Halmashauri ya wilaya ya Mvomero 30,957,410<br />

82. Halmashauri ya Manispaa ya Ilala 27,043,725<br />

83. Halmashauri ya Mji Tanga 46,024,311<br />

84. Halmashauri ya Manispaab ya Shinyanga 62,350,654<br />

85. Halmashauri ya wilaya ya Bariadi 107,985,514<br />

86. Halmashauri ya wilaya ya Sumbawanga 36,248,874<br />

87. Halmashauri ya wilaya ya Chamwino 33,657,190<br />

88. Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga 182,465,686<br />

89. Halmashauri ya wilaya ya Nkasi 202,531,517<br />

90. Halmashauri ya wilaya ya Rungwe 165,186,742<br />

91. Halmashauri ya wilaya ya Arumeru 429,354,026<br />

92. Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro 20,215,114<br />

93. Halmashauri ya wilaya ya Rufiji 417,804,128<br />

94. Halmashauri ya Manispaa ya Dar 112,625,119<br />

95. Halmashauri ya wilaya ya Bahi 187,160,296<br />

96. Halmashauri ya wilaya ya Mwanga 45,711,844<br />

97. Halmashauri ya wilaya ya Siha 228,815,892<br />

98. Halmashauri ya wilaya ya Rombo 107,433,846<br />

99. Halmashauri ya wilaya ya Same 60,689,068<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

275


100. Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa 69,887,386<br />

101. Halmashauri ya wilaya ya Kyela 189,441,994<br />

102. Halmashauri ya wilaya ya Mpanda 115,053,026<br />

Jumla 15,610,406,163<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

276


Masurufu yasiyorejeshwa 2007/2008<br />

Kiambatisho 8<br />

Na. Jina la Halmashauri Kiasi<br />

Kinachodaiwa<br />

(Sh.)<br />

1. Halmashauri ya Wilaya ya Moshi 3,200,000<br />

2. Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 17,359,350<br />

3. Halmashauri ya Manispaa ya Arusha 22,421,490<br />

4. Halmashauri ya Wilaya ya Babati 34,595,420<br />

5. Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 12,778,700<br />

6. Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo 8,020,000<br />

7. Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 8,374,000<br />

8. Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba 1,120,000<br />

9. Halmashauri ya Wilaya ya Magu 13,048,340<br />

10. Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 17,359,350<br />

11. Halmashauri ya Wilaya ya Musoma 18,037,674<br />

12. Halmashauri ya Wilaya ya Bahi 12,264,163<br />

13. Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa 4,407,000<br />

14. Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe 5,696,045<br />

15. Halmashauri ya Wilaya ya Tarime 17,108,433<br />

16. Halmashauri ya Wilaya ya Rorya 5,921,000<br />

17. Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu 12,778,700<br />

Jumla 214,489,665<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

277


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

278


Kiambatisho 9<br />

Vitabu vya Stakabadhi Vilivyokosekana<br />

Na. Jina la Halmashauri Idadi ya vitabu vya<br />

stakabadhi<br />

vilivyokosekana<br />

1. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

24<br />

Monduli<br />

2. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

31<br />

Kasulu<br />

3. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

4<br />

Mbulu<br />

4. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

6<br />

Longido<br />

5. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

3<br />

Babati<br />

6. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

145<br />

Lushoto<br />

7. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

25<br />

Mwanga<br />

8. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

1<br />

Mvomero<br />

9. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

5<br />

Morogoro<br />

10. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

120<br />

Chamwino<br />

11. Halmashauri ya Jiji la<br />

2<br />

Mwanza<br />

12. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

3<br />

Masasi<br />

13. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

4<br />

Njombe<br />

14. Halmashauri ya Mji Njombe 7<br />

15. Halmashauri ya Wilaya ya 36<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

279


Iringa<br />

16. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

1<br />

Kiteto<br />

17. Halmashauri ya Mji Masasi 5<br />

18. Halmashauri ya Mji Kibaha 35<br />

19. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

28<br />

Kibaha<br />

20. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

3<br />

Kilwa<br />

21. Halmashauri ya Mji Korogwe 3<br />

22. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

21<br />

Ludewa<br />

23. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

11<br />

Kondoa<br />

24. Halmashauri ya Manispaa ya<br />

43<br />

Songea<br />

25. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

20<br />

Shinyanga<br />

26. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

13<br />

Songea<br />

27. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

7<br />

Mbinga<br />

28. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

25<br />

Ileje<br />

29. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

8<br />

Rungwe<br />

30. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

3<br />

Sengerema<br />

31. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

22<br />

Kwimba<br />

32. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

5<br />

Magu<br />

33. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ukerewe<br />

40<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

280


34. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

22<br />

Kwimba<br />

35. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

6<br />

Urambo<br />

36. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

4<br />

Mtwara<br />

37. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

3<br />

Nachingwea<br />

38. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

3<br />

Newala<br />

39. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

15<br />

Kigoma<br />

40. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

26<br />

Igunga<br />

41. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

22<br />

Chato<br />

42. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

50<br />

Mkuranga<br />

Jumla 860<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

281


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

282


Kiambatisho 10<br />

Maduhuli yasiyowasilishwa toka kwa Mawakala wa ukusanyaji<br />

mapato Sh.421,213,641<br />

Na Jina La Halmashauri Kiasi(Sh.)<br />

1. Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 22,084,000<br />

2. Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba 7,385,000<br />

3. Halmashauri ya Manispaa ya<br />

27,500,000<br />

Kinondoni<br />

4. Halmashauri ya Manispaa ya<br />

70,589,000<br />

Dodoma<br />

5. Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga 51,123,512<br />

6. Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 9,492,000<br />

6. Halmashauri ya Manispaa ya Ilala 81,720,000<br />

6. Halmashauri ya Manispaa ya<br />

11,220,000<br />

Musoma<br />

8. Halmashauri ya Wilaya ya Rorya 4,469,900<br />

9. Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 30,731,112<br />

11. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

4,018,000<br />

Sengerema<br />

12. Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe 1,126,000<br />

13. Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa 5,979,000<br />

14. Halmashauri ya Manispaa ya<br />

70,589,000<br />

Dodoma<br />

15. Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa 367,750<br />

16. Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe 3,964,000<br />

18. Halmashauri ya Wilaya ya Urambo 3,665,000<br />

19. Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 397,450<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

283


20. Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge 833,000<br />

21. Halmashauri ya Manispaa ya<br />

3,329,917<br />

Shinyanga<br />

22. Halmashauri ya Wilaya ya Kahama 10,630,000<br />

Jumla 421,213,641<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

284


Kiambatisho 11<br />

Malipo yenye nyaraka pungufu Sh. 3,590,228,595<br />

Jina la Halmashauri<br />

Kiasi<br />

(Sh)<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Arusha<br />

98,327,353<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Arusha 29,983,211<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Hai 128,852,888<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Meru 24,111,594<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda 37,582,380<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

3,264,220<br />

Musoma<br />

Halmashauri ya Jiji la Mwanza 41,168,900<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha 55,743,051<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mafia 7,156,452<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 209,035,119<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Same 5,755,100<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Rombo 2,500,000<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 3,174,600<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo 8,753,834<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma 29,700,000<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Igunga 13,891,964<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

285


Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Kigoma Ujiji 159,523,792<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 24,545,270<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Nachingwea 10,291,963<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru 66,278,999<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Longido 11,925,650<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 20,441,300<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Monduli 25,072,559<br />

Halmashauri ya Mji Korogwe 18,211,000<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mvomero<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kilombero<br />

145,592,000<br />

65,695,878<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga 3,464,000<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Lindi 1,900.000<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Pangani 65,501,552<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi 50,511,200<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya 15,570,500<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe 840,000<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kyela 55,098,016<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Mtwara Mikindani<br />

86,233,8730<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi 31,903,853<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara 24,069,682<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

286


Halmashauri ya Wilaya ya Newala 19,368,847<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa 42,380,106<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali 605,000<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Musoma 37,277,241.56<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Serengeti<br />

30,490,804<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Rorya 23,132,125<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo 24,366,525<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ruangwa<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Biharamulo<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Karagwe<br />

229,490,107<br />

15,195,067<br />

5,920,042<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Ngara 4,587,439<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Chato 26,545,270<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba 23,806,200<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Shinyanga<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Shinyanga<br />

30,080,360<br />

11,691,961<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kahama 12,632,050<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi 4,529,160<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu 12,632,050<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Meatu 102,245,949<br />

Halmashauri ya Manispaa ya 54,493,091<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

287


Tabora<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Tarime 150,356,420<br />

Halmashauri ya Jiji la Mwanza 41,168,900<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga 171,615,118<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Namtumbo<br />

26,345,842<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 5,878,066<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru 66,278,999<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda 3,187,000<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Songea<br />

8,601,250<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Songea 9,295,491<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 5,878,060<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi 2,456,000<br />

Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa 28,644,945<br />

Halmashauri ya Manispaa ya Moshi 3,174,600<br />

Jumla 3,590,228,595<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

288


Kiambatisho 12<br />

Malipo yasiyo na hati za malipo<br />

Na Jina la Halmashauri Kiasi (Sh)<br />

1. Halmashauri ya mji Kibaha<br />

9,371,583<br />

2. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Rufiji 4,271,979<br />

3. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mafia 3,167,699<br />

4. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

4,489,041<br />

Kibaha<br />

5. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

5,452,000<br />

Ruangwa<br />

6. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Nachingwea 10,291,963<br />

7. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Liwale 20,191,052<br />

8. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kilwa 33,534,055<br />

9. Halmashauri ya Jiji la Mbeya 47,516,500<br />

10. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mbeya 3,069,390<br />

11. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Rungwe 4,923,942<br />

12. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kyela 24,656,496<br />

13. Halmashauri ya Wilaya ya Ileje 54,338,939<br />

14. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Rorya 23,132,125<br />

15. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Meru 8,437,371<br />

16. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

289


Monduli 17,223,452<br />

17. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Ngorongoro 9,190,000<br />

18. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Karatu 9,903,858<br />

19. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Longido 17,490,000<br />

20. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Arusha 1,160,000<br />

21. Halmashauri ya Wilaya na Mji<br />

Masasi 26,514,600<br />

22. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Makete 145,070,985<br />

23. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Chamwino 65,006,033<br />

24. Halmashauri ya Wilaya na Mji<br />

Kondoa 1,040,000<br />

25. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mwanga 342,943,545<br />

26. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

10,694,516<br />

Chato<br />

27. Halmashauri ya Manispaa<br />

Kigoma Ujiji 52,269,889<br />

28. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Songea 32,509,983<br />

29. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Songea 1,407,483<br />

30. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Namtumbo 6,345,000<br />

31. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Nzega 3,687,000<br />

32. Halmashauri ya Wilaya ya Magu 48,324,464<br />

33. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kwimba 3,798,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

290


34. Halmashauri ya Jiji la Mwanza 41,168,900<br />

35. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Misungwi 23,028,306<br />

36. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Korogwe 3,100,000<br />

37. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Lushoto 83,811,074<br />

38. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

52,719,312<br />

Kilindi<br />

39. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kiteto 34,509,560<br />

40. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Hanang 2,071,000<br />

41. Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Bariadi 17,223,452<br />

42.<br />

Halmashauri ya Manispaa ya<br />

Singida 24,467,413<br />

43.<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Kilosa 18,674,770<br />

44.<br />

Halmashauri ya Wilaya ya<br />

Mvomero 18,049,000<br />

Jumla 1,370,245,729<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

291


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

292


Fedha za maendeleo ambazo hazikutumika<br />

Kiambatisho 13<br />

Na.<br />

Jina la<br />

Halmashauri<br />

1. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Ileje<br />

2. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Rungwe<br />

3. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mbozi<br />

4. Halmashauri ya<br />

Jiji la Mbeya<br />

5. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Musoma<br />

6. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kasulu<br />

7. Halmashauri ya<br />

Manispaa<br />

Kigoma Ujiji<br />

8. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Hai<br />

9. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Rombo<br />

10. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Moshi<br />

11. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Moshi<br />

12. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tunduru<br />

13. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Hanang<br />

Kiasi<br />

kilichotengwa<br />

(Sh.)<br />

Kiasi<br />

kilichotumika<br />

(Sh)<br />

Kiasi<br />

ambacho<br />

hakikutumika<br />

(Sh.)<br />

Asili<br />

mia<br />

ya<br />

fed<br />

ha<br />

zisi<br />

zot<br />

umi<br />

ka<br />

983,774,558 852,153,492 131,621,067 13<br />

153,043,252 149,588,452 3,454,800 2<br />

1,283,477,134 1,159,262,973 124,214,161 10<br />

2,208,557,000 1,622,462,000 586,095,000 27<br />

2,492,561,631 1,418,762,218 1,073,799,413 43<br />

2,695,098,269 1,665,140,468 1,029,957,801 38<br />

2,286,882,332 1,081,622,428 1,555,031,970 59<br />

1,609,103,828 1,456,318,828 152,785,001 9<br />

1,489,788,203 553,894,525 935,893,678 63<br />

1,700,013,459 985, 209,412 714,804,047 42<br />

1,487,337,309 1,304,689,266 503,971,579 28<br />

621,760,760 460,800,915 160,959,845 26<br />

2,003,958,878 1,744,224,555 259,734,323 13<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

293


14. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Simanjiro<br />

15. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Singida<br />

16. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilombero<br />

17. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Morogoro<br />

18. Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Shinyanga<br />

19. Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Arusha<br />

20. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Masasi<br />

21. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Newala<br />

22. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mtwara<br />

23. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tandahimba<br />

24. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Bahi<br />

25. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpwapwa<br />

26. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Dodoma<br />

27. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kondoa<br />

28. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Iringa<br />

29. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ludewa<br />

1,876,573,285 742,325,265 1,134,248,020 60<br />

1,445,557,448 1, 228,963,878 216, 593,569 15<br />

2,526,127,917 1,826,290,350 699,837,567 28<br />

1,078,651,922 453,954,092 624,697,830 58<br />

1,248,332,895 1,087,566,598 160,766,297 13<br />

3,790,544,200 3,560,304,458 230,239,742 6<br />

852,352,590 535,214,590 317,138,000 37<br />

1,618,841,070 889,983,951 728,857,119 45<br />

535,552,078 390,881,016 144,671,062 27<br />

1,073,851,006 612,761,469 461,089,537 43<br />

3,310,117,858 706,900,600 2,603,217,257 79<br />

1,232,733,659 839,718,833 393,014,825 32<br />

3,142,592,853 1,845,625,889 1,296,966,707 41<br />

2,428,599,766 1,237,208,233 1,191,391,533 49<br />

4,733,121,635 2,416,437,251 2,316,684,384 49<br />

1,967,263,776 1,202,175,349 765,088,427 39<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

294


30. Halmashauri ya<br />

Mji Njombe<br />

31. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kwimba<br />

32. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ukerewe<br />

33. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sengerema<br />

34. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tabora<br />

35. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Urambo<br />

36. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpanda<br />

37. Halmashauri ya<br />

Mji ya Mpanda<br />

38. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Nkasi<br />

39. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sumbawanga<br />

40. Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Sumbawanga<br />

41. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Handeni<br />

42. Halmashauri ya<br />

Mji Tanga<br />

43. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mkinga<br />

44. Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Muheza<br />

45. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kongwa<br />

46. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

1,008,186,543 765,863,902 242,322,641 24<br />

3,637,776,730 1,957,328,311 1,680,448,420 46<br />

2,212,150,457 1,026,642,549 1,185,507,908 54<br />

3,018,565,315 2,857,096,301 1,250,503,528 44<br />

3,198,019,918 2,282,353,753 915,666,165 27<br />

3,461,941,543 1,699,447,345 1,762,494,198 51<br />

6,590,704,021 5,320,691,801 1,663,316,278 25<br />

1,667,727,515 587,772,720 1,079,954,795 64<br />

544,010,578 473,296,324 70,714,254 13<br />

1,974,004,302 1,238,717,422 735,286,881 37<br />

1,429,103,478 1,140,427,635 891,355,086 43<br />

1,194,343,740 1,000,733,228 193,610,512 16<br />

3,866,878,795 1,480,644,544 2,386,234,251 62<br />

2,398,991,784 553, 227,762 1,845,764,022 77<br />

2,679,176,446 1,829,322,489 849,853,956 32<br />

3,378,427,628 2,610,909,449 767,520,179 23<br />

1,953,559,742 1,414,346,801 539,212,942 28<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

295


Tarime<br />

47. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kisarawe<br />

48. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilindi<br />

49. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Biharamulo<br />

50. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Muleba<br />

51. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bukombe<br />

52. Halmashauri ya<br />

Mji Babati<br />

53. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Shinyanga<br />

54. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Karatu<br />

55. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Longido<br />

56. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Monduli<br />

57. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ngorongoro<br />

58. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Nanyumbu<br />

59. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Karagwe<br />

60. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Nachingwea<br />

61. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ulanga<br />

1,767,952,939 1,279,865,587 488,087,352 28<br />

3,414,369,203 2, 449,007,906 965,361,297 28<br />

2,662,755,072 2,138,333,077 524,421,995 24<br />

3,671,935,846 2,858,281,196 786, 654,651 27<br />

4,373,790,899 3,727,685,155 646,105,744 15<br />

1,584,412,333 1,208,759,634 375,652,699 24<br />

1,879,375,057 1,624,360,210 255,014,847 14<br />

2,350,033,342 1,664,875,256 685,158,086 29<br />

740,576,415 138,691,792 601,884,623 81<br />

1,969,231,358 1,425,831,275 543,400,083 28<br />

2,858,234,300 1,594,698,227 1,263,536,073 44<br />

573,958,505 394,846,874 179,111,631 31<br />

2,517,967,948 2,006,250,862 511,717,086 20<br />

1,195,665,193 1,194,328,508 1,336,685 0.1<br />

4,926,005,825 2,260,865,541 2,665,140,284 54<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

296


62. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mvomero<br />

63. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Nzega<br />

64. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tabora<br />

65. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sikonge<br />

66. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Korogwe<br />

67. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Iramba<br />

68. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Manyoni<br />

69. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Singida<br />

70. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bariadi<br />

71. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kahama<br />

72. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kishapu<br />

73. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Maswa<br />

74. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Meatu<br />

75. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Songea<br />

76. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Songea<br />

77. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Namtumbo<br />

3,265,775,981 1,956,154,386 1,309,621,595 67<br />

2,664,942,240 1,361,136,019 1,303,806,222 49<br />

1,424,541,603 1,141,860,467 563,824,337 39<br />

1,666,777,672 1,363,041,561 373,359,136 22<br />

1, 532,782,030 1, 337,876,335 194, 905,695 13<br />

2,665,680,031 1,892,692,802 772,987,229 29<br />

2,777,528,390 675,732,131 2,101,796,258 75<br />

2,231,583,247 1,877,328,785 354,254,463 16<br />

7,259,533,627 3,444,751,188 3,814,782,439 53<br />

3,912,849,534 2,692,090,014 1,220,759,520 31<br />

3,068,095,477 2,836,143,921 231,951,556 8<br />

2,893,396,752 2,147,313,897 746,082,856 24<br />

3,111,544,791 1,631,445,485 1,480,099,305 48<br />

1,266,746,660 711,193,086 556,405,574 44<br />

2,751,484,791 1,416,121,413 1,335,363,377 37<br />

2,010,721,323 1,514,630,964 496,090,360 22<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

297


78. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbinga<br />

79. Halmashauri ya<br />

Jiji la Mwanza<br />

80. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Misungwi<br />

81. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Geita<br />

82. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilosa<br />

83. Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Morogoro<br />

84. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kyela<br />

85. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Chunya<br />

86. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Serengeti<br />

87. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Bunda<br />

88. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Musoma<br />

89. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Rorya<br />

90. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bagamoyo<br />

91. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Rufiji<br />

92. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kibaha<br />

93. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Babati<br />

94. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kiteto<br />

95. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mbulu<br />

96. Halmashauri ya<br />

Mji Lindi<br />

5,630,022,216 3,045,725,792 2,584,296,424 46<br />

6,413,220,026 1,376,826,412 5,036,393,614 78<br />

3,172,811,762 900,706,819 2,272,104,943 24<br />

5,395,243,094 4,198,201,094 1,197,042,000 22<br />

1,255,648,491 1,052,720,726 202,927,765 16<br />

2,112,326,809 1,229,322,036 883,004,772 42<br />

1,060,770,513 911,529,689 149,240,824 14<br />

3,512,638,714 2,563,335,266 949,303,448 27<br />

4,047,902,739 2,423,816,085 1,624,086,654 40<br />

2,801,431,309 1,982,465,974 818,965,334 29<br />

1,428,339,302 1,169,259,580 259,079,722 18<br />

1,190,252,973. 770,304,582 419,948,391 35<br />

43<br />

5,060,245,612 3,257,129,484 1,803,116,128 36<br />

2,903,302,620 2,308,296,340 829,299,292 36<br />

1,869,129,977 894,600,024 974,529,953 52<br />

1,315,152,068 1,117,303,907 1,117,303,907 21<br />

2,039,945,144 1,612,916,304 427,028,840 31<br />

2, 412,723,146 1,933,826,069 478,897,077 20<br />

841,928,177 604,807,241 237,120,937 28<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

298


97. Halmashauri ya 885,929,819 387,800,354 498,129,465 56<br />

Wilaya ya Same<br />

98. Halmashauri ya 1,990,283,879 1,320,096,120 604,449,342 30<br />

Wilaya ya<br />

Kigoma<br />

99. Halmashauri ya 4,990,669,266 2,734,244,803 2,256,424,463 45<br />

Wilaya ya<br />

Kibondo<br />

100. Halmashauri ya 1,615,785,457 841,782,019 774,003,438 48<br />

Wilaya ya<br />

Misenyi<br />

101. Halmashauri ya 1,273,751,269 1,104,717,362 169,033,908 13<br />

Manispaa ya<br />

Bukoba<br />

102. Halmashauri ya 2,267,904,695 1,969,261,853 298,642,842 13<br />

Wilaya ya Chato<br />

103. Halmashauri ya 3,547,469,293 3,083,971,068 463,498,224 13<br />

Wilaya ya<br />

Njombe<br />

104. Halmashauri ya 4,851,768,929 3,098,274,990 1,753,493,939 36<br />

Wilaya ya<br />

Mufindi<br />

105. Halmashauri ya 8,438,713,765 6,296,587,797 2,142,125 25<br />

Manispaa ya<br />

Ilala<br />

,968<br />

106. Halmashauri ya 6,057,163,346 4,150,035,883 1,907,127,463 31<br />

Manispaa ya<br />

Temeke<br />

107. Halmashauri ya 2,811,369,201 2,207,795,840 599,705,381 21<br />

Wilaya ya Meru<br />

108. Halmashauri ya 123,755,439 49,869,419 73,886,020 60<br />

Wilaya ya<br />

Arusha<br />

109. Halmashauri ya 680,134,345 631,094,770 49,039,575 7<br />

Wilaya ya Mafia<br />

110. Halmashauri ya<br />

381,035 257,210 123,825 32<br />

Wilaya ya Mbeya<br />

111. Halmashauri ya 1,415,032,690 881,433,748 533,598,942 37<br />

Wilaya ya<br />

Kibaha<br />

Jumla 270,547,629,434 171,791,488,611 99,114,082,540<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

299


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

300


Kiambatisho 14<br />

Mishahara isiyolipwa ambayo haijarejeshwa Hazina<br />

Sh.881,966,748<br />

Na<br />

Halmashauri<br />

Mishahara<br />

isiyolipwa<br />

Watumishi aidha<br />

waliostaafu,walioa<br />

chakazi au<br />

kufukuzwa ambao<br />

bado majinayao<br />

hayajaondelewa<br />

kenye orodha ya<br />

malipo yapo<br />

Makato ya<br />

kisheria<br />

ambayo<br />

hayapelekwa<br />

kwa<br />

mashirika<br />

husika<br />

Malipo ya<br />

mishahara<br />

ambayo<br />

yanakosa<br />

vielelezo<br />

vya<br />

mchanganuo<br />

wa<br />

walipwaji<br />

kutoka<br />

kenye<br />

compiuta<br />

1.<br />

2.<br />

3.<br />

4.<br />

5.<br />

6.<br />

Halmasha<br />

uri ya Mji<br />

Kibaha 1,310,599<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mkuranga 36,883,937<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kisarawe 616,039<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kibaha 24,274,223<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ruangwa 6,590,765 3,015,760<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Nachingw<br />

ea 5,651,595<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

301


7.<br />

8.<br />

9.<br />

10.<br />

11.<br />

12.<br />

13.<br />

14.<br />

Halmasha<br />

uri ya Jiji<br />

la Mbeya 9,113,553<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbarari 4,595,112<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Rungwe 5,128,475<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kyela 1,117,782 7,826,658<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ileje 15,592,826<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

Musoma 5,957,241<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tarime 5,000,352<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa<br />

ya Arusha 15,695,085 10,661,374<br />

15.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Meru 12,131,209 7,875,630<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

302


16.<br />

17.<br />

18.<br />

19.<br />

20.<br />

21.<br />

22.<br />

23.<br />

24.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Karatu 19,223,098 6,056,891<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mtwara 12,097,894<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Masasi 7,408,441<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Newala 10,933,388<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa<br />

ya Iringa 23,985,688<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Iringa 7,466,885<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mufindi 3,177,373<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Njombe 36,615,505<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Makete 28,520,614<br />

25. Halmasha 20,150,541<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

303


uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ludewa<br />

26.<br />

27.<br />

28.<br />

29.<br />

30.<br />

31.<br />

32.<br />

33.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

Dodoma 22,684,123 5,622,596<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bahi 16,750,915 2,457,936<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kondoa 4,098,051 18,037,502<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpwapwa 2,179,320<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kongwa 46,059,807 1,640,539<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Moshi 10,137,111<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Hai 21,610,261<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mwanga 139,886,671<br />

34. Halmasha 3,462,175<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

304


uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bukoba<br />

35.<br />

36.<br />

37.<br />

38.<br />

39.<br />

40.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Misenyi 3,768,708<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Biharamul<br />

o 22,073,421<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Karagwe 10,844,637<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ngara 7,043,970<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa<br />

ya Kigoma<br />

Ujiji 12,638,728<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kasulu 10,816,336 1,312,197<br />

41.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kibondo 8,726,834<br />

42.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa<br />

ya Songea<br />

15,231,907<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

305


43.<br />

44.<br />

45.<br />

46.<br />

47.<br />

48.<br />

49.<br />

50.<br />

51.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Songea 21,000,723<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tunduru 16,329,171<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa<br />

ya Tabora 14,131,960<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Urambo 3,008,878<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Igunga 12,791,587<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Nzega 15,890,788<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

S’wanga 7,654,959<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Magu 40,242,696<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kwimba 3,979,099<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

306


52.<br />

53.<br />

54.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Misungwi 33,739,445<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Geita 2,889,052<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sengerem<br />

a 17,505,254<br />

55.<br />

56.<br />

57.<br />

58.<br />

59.<br />

60.<br />

Halmasha<br />

uri ya Jiji<br />

la Tanga 39,190,909<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mkinga 1,242,661<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Lushoto 9,444,798<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Handeni 22,847,740<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

Temeke 17,520,194 5,224,290<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa 49,710,048<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

307


ya Ilala<br />

61.<br />

62.<br />

63.<br />

64.<br />

65.<br />

66.<br />

67.<br />

68.<br />

69.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kiteto 11,932,530<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Hanang 24,690,200<br />

Halmasha<br />

uri ya Mji<br />

Babati 4,902,796<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Shinyanga 1,093,828<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kahama 34,012,020<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Meatu 2,934,899<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Iramba 1,839,661<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

Morogoro 2,295,060<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilosa 13,096,434<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

308


70.<br />

71.<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Ulanga 31,686,716<br />

Halmasha<br />

uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mvomero 9,283,798<br />

Jumla 881,966,748 178,066,130 13,950,925 139,886,671<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

309


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

310


Kiambatisho 15<br />

Halmashauri zenye matumizi ziada<br />

1.<br />

2.<br />

3.<br />

4.<br />

5.<br />

6.<br />

7.<br />

8.<br />

9.<br />

10.<br />

11.<br />

12.<br />

13.<br />

14.<br />

15.<br />

16.<br />

17.<br />

18.<br />

19.<br />

Jina la<br />

Jumla ya mapato Jumla ya<br />

Ziada (Sh.)<br />

Halmashauri<br />

(Sh.)<br />

Matumizi (Sh.)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Babati 3,830,231,205 8,409,075,599 (4,578,844,394)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Chunya 7,534,647,492 8,089,627,771 (554,980,279)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Hai 12,098,616,526 12,159,320,542 (60,704,016)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Ileje 4,887,172,803 4,924,467,573 (37,294,770)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Iramba 11,585,071,712 11,896,986,217 (311,914,505)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kahama 12,857,829,603 15,223,263,427 (2,365,433,824)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilindi 3,920,507,191 3,945,460,867 (24,953,676)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

9,160,258,548 9,500,886,848 (340,628,300)<br />

Kilombero<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kisarawe 5,434,607,167 6,214,030,274 (779,423,107)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kishapu 5,278,948,882 5,380,187,570 (101,238,688)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Korogwe 2,176,209,944 8,881,438,011 (6,705,228,067)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mafia 4,308,722,829 4,386,954,865 (78,232,036)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Makete 4,771,909,635 4,894,072,274 (122,162,639)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Manyoni 6,028,513,315 6,643,128,122 (614,614,807)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mbozi 18,540,992,088 18,992,710,874 (451,718,786)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Meatu 7,074,491,676 7,138,110,471 (63,618,795)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Monduli 6,043,899,619 6,231,915,835 (188,016,216)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mufindi 13,202,835,411 13,228,537,435 (25,702,024)<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Muleba 12,426,143,140 12,466,114,780 (39,971,640)<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

311


20.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Musoma 4,187,727,128 5,555,049,627 (1,367,322,498)<br />

21. Jiji la Mwanza 15,895,983,168 20,836,067,909 (4,940,084,741)<br />

22.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

5,739,376,273 6,784,355,261 (1,044,978,988)<br />

Namtumbo<br />

23.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

4,317,248,683 4,458,613,253 (141,364,570)<br />

Ngorongoro<br />

24.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Njombe 12,058,296,985 13,037,126,470 (978,829,485)<br />

25.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Rombo 11,654,523,101 11,729,874,336 (75,351,235)<br />

26.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Rungwe 11,665,412,324 12,411,491,814 (746,079,490)<br />

27.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Singida 11,239,204,271 11,873,705,220 (634,500,949)<br />

28.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Singida 5,070,528,928 5,266,690,444 (196,161,516)<br />

Jumla 232,989,909,648 260,559,263,688 (27,569,354,041)<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

312


KIAMBATANISHO 16<br />

Halmashauri zenye matumizi pungufu<br />

Jumla ya Pungufu (Sh.)<br />

Jina la<br />

Halmashauri<br />

Jumla ya<br />

mapato (Sh.)<br />

Matumizi (Sh.)<br />

1. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Arusha 8,578,632,564 8,073,424,417 505,208,147<br />

2.<br />

Manispaa ya<br />

Arusha 13,339,568,140 11,894,609,905 1,444,958,235<br />

3.<br />

Halmashauri ya<br />

Mji Babati 3,830,231,205 2,680,704,454 1,149,526,751<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

12,649,568,652 12,138,288,978 511,279,674<br />

4. Bagamoyo<br />

5. Halmashauri ya<br />

wilaya Bahi 5,232,941,939 2,327,626,396 2,905,315,543<br />

6.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Bariadi 15,262,600,615 12,957,788,190 2,304,812,425<br />

7. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

11,554,004,829 11,327,208,540 226,796,289<br />

Biharamulo<br />

8.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya 10,840,698,068 10,612,669,836 228,028,232<br />

9. Manispaa ya<br />

Bukoba 4,906,247,756 4,263,996,485 642,251,271<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

7,452,486,342 7,204,234,027 248,252,315<br />

10. Bukombe<br />

11. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Bunda 11,446,079,555 10,008,765,591 1,437,313,964<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

4,542,913,061 2,525,604,767 2,017,308,294<br />

12. Chamwino<br />

13. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Chato 3,189,069,160 3,024,959,334 164,109,826<br />

Jiji la Dar es<br />

salaam 5,007,943,710 4,544,693,964 463,249,746<br />

14.<br />

15. Manispaa ya<br />

Dodoma 11,253,535,361 10,560,210,542 693,324,819<br />

16.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Geita 15,454,509,930 14,720,210,000 734,299,930<br />

17. Halmashauri ya<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

313


Wilaya ya<br />

6,394,436,335 6,241,907,916 152,528,419<br />

Hanang<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

9,832,846,343 8,856,804,593 976,041,750<br />

18. Handeni<br />

19. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Igunga 8,475,309,082 7,931,560,853 543,748,229<br />

20.<br />

Manispaa ya<br />

Ilala 32,939,930,003 29,567,275,948 3,372,654,055<br />

21. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Iramba 11,585,071,712 11,896,986,217 (311,914,505)<br />

22.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Iringa 14,882,801,175 13,706,510,383 1,176,290,792<br />

23. Manispaa ya<br />

Iringa 5,771,167,547 5,603,841,484 167,326,063<br />

24.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Karatu 6,594,879,102 6,532,543,371 62,335,731<br />

25. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya 18,093,154,811 16,993,338,366 1,099,816,445<br />

26.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kibaha 5,157,240,870 3,371,785,099 1,785,455,771<br />

27. Halmashauri ya<br />

mji Kibaha 5,192,003,945 4,913,228,704 278,775,241<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

11,068,878,850 9,991,294,493 1,077,584,357<br />

28. Kibondo<br />

29. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

9,952,143,838 8,747,734,405 1,204,409,433<br />

Kigoma<br />

Manispaa ya<br />

Kigoma Ujiji 7,364,006,227 5,963,447,711 1,400,558,516<br />

30.<br />

31. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilolo 8,995,273,875 7,158,804,004 1,836,469,871<br />

32.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilosa 14,365,018,681 13,904,979,748 460,038,933<br />

33. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilwa 10,300,570,579 9,383,527,618 917,042,961<br />

34.<br />

Manispaa ya<br />

Kinondoni 39,197,015,201 37,795,540,215 1,401,474,986<br />

35. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kiteto 7,234,308,371 6,892,387,107 341,921,264<br />

36.<br />

Halmashauri ya<br />

wilaya na<br />

mamlaka Kondoa<br />

14,199,758,031 13,775,529,183 424,228,848<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

314


37. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kongwa<br />

9,943,469,561 9,312,348,949 631,120,612<br />

Halmashauri ya<br />

Mji Korogwe 2,176,209,944 1,909,281,895 266,928,049<br />

38.<br />

39. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kwimba<br />

6,837,150,035 6,397,793,366 439,356,669<br />

40.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kyela 8,746,899,391 8,328,614,250 418,285,141<br />

41. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Lindi 7,342,553,783 6,492,028,667 850,525,116<br />

42.<br />

Halmashauri ya<br />

Mji Lindi 3,067,958,230 2,322,985,957 744,972,273<br />

43. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Liwale 5,795,875,376 4,791,770,611 1,004,104,765<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

1,145,763,345 963,576,204 182,187,141<br />

44. Longido<br />

45. L Halmashauri ya<br />

Wilaya ya udewa 8,155,174,409 7,695,275,141 459,899,268<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

15,429,219,504 14,083,179,940 1,346,039,564<br />

46. Lushoto<br />

47. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Magu 14,096,376,992 13,373,931,048 722,445,944<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya & na 13,540,095,627 11,581,597,495 1,958,498,132<br />

48. Mamlaka Masasi<br />

49. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Maswa 8,323,554,081 8,001,753,702 321,800,379<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

50. Mbarari<br />

51. Jiji la Mbeya<br />

13,282,053,126 12,805,299,127 476,753,999<br />

11,820,020,333 10,901,533,081 918,487,252<br />

52.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mbeya 10,050,087,620 10,015,939,454 34,148,166<br />

53. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mbinga 17,388,354,426 17,286,440,016 101,914,410<br />

54.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mbulu 9,364,490,118 8,059,627,812 1,304,862,306<br />

55. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Meru 13,995,532,099 13,605,026,439 390,505,660<br />

56.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya 3,604,584,188 2,735,714,263 868,869,926<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

315


Misenyi<br />

57. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Misungwi<br />

9,359,959,957 7,937,970,066 1,421,989,891<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Mkinga 2,010,613,650 1,831,364,180 179,249,470<br />

58.<br />

59. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mkuranga<br />

8,690,380,904 7,956,008,807 734,372,097<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

8,863,693,521 8,061,844,065 801,849,456<br />

60. Morogoro<br />

61. Manispaa ya<br />

Morogoro 9,793,365,044 9,220,949,373 572,415,671<br />

62.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Moshi 17,601,153,212 16,570,282,335 1,030,870,877<br />

63. Manispaa ya<br />

Moshi 7,745,462,580 7,123,509,957 621,952,624<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

14,332,072,864 13,593,692,746 738,380,118<br />

64. Mpanda<br />

65. Halmashauri ya<br />

Mji Mpanda 3,440,245,333 2,365,043,276 1,075,202,057<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpwapwa<br />

66.<br />

67. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mtwara<br />

9,528,908,027 8,328,313,113 1,200,594,914<br />

7,205,449,894 6,569,309,343 636,140,551<br />

Manispaa ya<br />

Mtwara 3,965,146,132 3,271,731,018 693,415,114<br />

68.<br />

69. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Muheza<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Musoma<br />

70.<br />

71. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mvomero<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mwanga<br />

72.<br />

73. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Nachingwea<br />

8,240,981,063 7,263,357,827 977,623,236<br />

12,161,498,498 10,745,806,207 1,415,692,290<br />

9,044,295,405 8,850,852,942 193,442,463<br />

13,915,791,590 13,812,185,340 103,606,250<br />

8,748,913,122 8,435,447,906 313,465,216<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

316


Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

3,090,936,751 2,558,779,405 532,157,346<br />

74. Nanyumbu<br />

75. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

8,156,287,470 7,763,360,382 392,927,088<br />

Newala<br />

76.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Ngara 9,448,584,285 9,059,539,662 389,044,623<br />

77. Njombe TC<br />

3,475,804,882 2,176,123,179 1,299,681,703<br />

78.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Nkasi 7,268,913,291 6,630,575,897 638,337,394<br />

79. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Nzega 10,436,076,104 9,799,370,609 636,705,495<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

4,058,618,810 3,464,548,515 594,070,295<br />

80. Pangani<br />

81. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Rorya 3,820,300,059 3,523,316,506 296,983,553<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

11,524,139,591 10,029,156,964 1,494,982,626<br />

82. Ruangwa<br />

83. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Rufiji 9,956,013,670 8,883,904,060 1,072,109,610<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

11,096,992,248 10,078,350,979 1,018,641,269<br />

84. S’wanga<br />

85. Manispaa ya<br />

S’wanga 8,486,904,118 7,503,604,785 983,299,333<br />

86.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Same 9,786,917,315 9,746,486,510 40,430,805<br />

87. Halmashauri ya<br />

Wilay Sengerema 14,992,019,890 14,368,438,857 623,581,033<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

5,367,553,054 5,155,563,124 211,989,930<br />

88. Serengeti<br />

89. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

7,369,427,557 5,978,479,767 1,390,947,790<br />

Shinyanga<br />

90.<br />

Manispaa ya<br />

Shinyanga 4,604,418,522 4,573,718,845 30,699,677<br />

91. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Siha 2,228,714,703 1,237,718,866 990,995,838<br />

92.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Sikonge<br />

5,371,723,710 5,305,926,634 65,797,077<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

317


93. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

5,649,652,470 5,464,583,743 185,068,727<br />

Simanjiro<br />

94.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Songea 9,787,185,517 8,314,309,320 1,472,876,197<br />

95. Manispaa ya<br />

Songea 5,689,302,243 5,332,779,372 356,522,871<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Tabora 7,032,909,478 6,829,887,682 203,021,796<br />

96. /Uyui<br />

97. Manispaa ya<br />

Tabora 6,896,146,404 6,602,244,393 293,902,011<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

8,154,810,964 7,410,839,856 743,971,108<br />

98. Tandahimba<br />

99. Jiji la Tanga<br />

11,250,001,185 9,423,296,316 1,826,704,869<br />

100.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Tarime 11,501,751,608 11,138,158,669 363,592,939<br />

101. Manispa<br />

Temeke 26,545,738,890 24,246,549,654 2,299,189,236<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

13,603,234,061 13,039,938,620 563,295,441<br />

102. Tunduru<br />

103. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

8,439,058,611 7,568,605,869 870,452,742<br />

Ukerewe<br />

104.<br />

Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Ulanga 5,303,383,852 4,689,334,632 614,049,220<br />

105. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

10,309,248,881 8,953,163,717 1,356,085,164<br />

Urambo<br />

Jumla 1,014,488,715,963 929,417,430,857 85,071,285,107<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

318


Kiambatisho 17<br />

Utunzaji wa nyaraka za Mikataba na Miradi ya maendeleo<br />

usioridhisha Sh.2,684,574,948<br />

Na. Halmashauri Upungufu katika utunzaji wa<br />

nyaraka za mikataba, miradi ya<br />

Kiasi (Sh.)<br />

1. Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Arusha<br />

maendeleo na Rasilimali<br />

Uwekezaji wa hisa Kwenye<br />

makampuni yafuatayo Bodi<br />

yaukobeshaji ya Halmashauri<br />

,Kampuni ya Nyama ya Arusha na<br />

Banki ya wananchi ya Arusha<br />

386,535,200<br />

2. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Iringa<br />

3. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilolo<br />

4. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Makete<br />

5. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpwapwa<br />

6. Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kondoa<br />

7 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Newala<br />

8 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kasulu<br />

9 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Kigoma Ujiji<br />

10 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tunduru<br />

Uwekezaji Kwenye makampuni<br />

yafuatayo Bodi ya ukopeshaji ya<br />

Halmashauri,CRDB Ltd, TBL(T) Ltd,<br />

NICO (T) na Umoja Fund<br />

Hisa za Halmashauri kweny (UTT)<br />

Unit Trust of Tanzania<br />

Ujenzi wa wodi ya watoto na mahali pa<br />

wazazi kusubiria katika wilayani Makete.<br />

Ulipaji wa wa mabadiliko ya nyongeza<br />

ya bei katika mkataba yasiyoithinishwa<br />

Wazabuni ambao hawakujumuishwa<br />

kwenye vitabu vya mwaka vya<br />

halmashauri kama wadai wa<br />

Halmashauri ya Kondoa<br />

Uwekezaji wa hisa na mitaji kwenye<br />

Bodi ya Mikopo ya<br />

Halmashauri,kukosekana kwa hati za<br />

kumiliki Hisa,Kazi zilizocheleweshwa<br />

bila tozo ya ucheleweshaji<br />

matumizi yanayohusu fedha za<br />

maendeleo katika shule za msingi<br />

mapungufu katika kuonyesha na<br />

kuandaa mchanganua wa matumizi ya<br />

fedha za maendeleo kwenys shule za<br />

msingi na fedha za misaada.<br />

Usambazaji wa vyakula kwa<br />

watumishi wa hospitali bila kuwepo<br />

na mkataba<br />

209,967,627<br />

12 ,417,327<br />

107,226,670<br />

45,608,046<br />

269,667,395<br />

18,058,800<br />

15,801,129<br />

144,700,710<br />

140,129,300<br />

25,231,900<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

319


11 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Urambo<br />

12 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tabora<br />

13 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Hanang<br />

14 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilwa<br />

15 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilwa<br />

16 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tarime<br />

17 Halmashauri ya<br />

Jiji la Mbeya<br />

18 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Bahi<br />

19 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Simanjiro<br />

20 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Simanjiro<br />

21 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bukombe<br />

22 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Shinyanga<br />

23 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mkuranga<br />

24 Halmashauri ya<br />

yaJiji la DSM<br />

Uwekezaji wa hisa ambao<br />

haukuambatana na mikataba au<br />

hati za hisa<br />

Uwekezaji uliofanyika bila ya kuwepo<br />

na hati ya kinga, mkataba na pia kuto<br />

kuingizwa kwenye daftari.<br />

Kukosekana kwa mkataba na cheti<br />

cha udhibiticho wa kumaliza kazi toka<br />

kwa mhandisi<br />

Mikataba iliyolipwa bila yakuwa na<br />

makubaliano<br />

Fedha zilizotumika kwenye kazi<br />

nyingine<br />

Mapungufu kwenye kumbukumbu za<br />

mikataba na miradi<br />

18,418,100<br />

24,380,800<br />

29,743,000<br />

31,200,000<br />

60,000,000<br />

37,800,000<br />

Kadi za umiliki,vitabu vya kutolea 35,725,583<br />

vifaa na hisa zinazokosa hati za<br />

numiliki<br />

- manunuzi yaliyofanyika kwa<br />

31,525,598<br />

wazabuni ambao<br />

hawakuidhinishwa na mabadiliko<br />

31,038,360<br />

ya bei kwenye mikataba<br />

yosiyoidhinishwa<br />

Ujenzi wa hosteli wenye mashaka 28, 071,300<br />

Ujenzi wa hosteli wenye shaka 28, 071,300<br />

Malipo yaliyofanyika mara mbili kwa<br />

mkandarasi<br />

matengenezo ya magari bila ya<br />

kupitia TEMESA<br />

Kazi zinazoendelea bila ya kuwa na<br />

miongozo inayoonyesha aina ya<br />

mradi, kazi zilizofanyika na kazi<br />

ambazo hazijafanyika.<br />

Manunuzi yaliyofanywa bila ya<br />

kuitisha wazabuni, manunuzi<br />

yaliyozidi kiwango kilichowekwa,<br />

manunuzi yaliyofanyika bila kupitia<br />

bodi ya manunuzi<br />

5,054,000<br />

19,141,500<br />

102,324,659<br />

27,979,900<br />

30,119,330<br />

9,008,000<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

320


25 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Biharamulo<br />

26 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bukoba<br />

27 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Ngara<br />

28 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Mwanga<br />

29 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Rombo<br />

30 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Siha<br />

31 Halmashauri ya<br />

Mji Njombe<br />

32 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Kongwa<br />

33 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Kilosa<br />

Kukosekana kwa mikataba 8,669,362<br />

Manunuzi yaliyofanyika bila ya<br />

kutangaza na kuitisha tenda<br />

Kukosekana kwa kumbukumbu za<br />

mikataba<br />

Fidia kutoka kwa wakandarasi<br />

isiyokusanywa<br />

Ununuzi wa vifaa vya hospitali nje ya<br />

Bohari ya madawa MSD<br />

7,136,526<br />

62,971,520<br />

1,212,489<br />

34,614,796<br />

Kazi za mikataba zinazoendelea 65,838,000<br />

Ujenzi wa nyumba za serikali kwa<br />

18,000,000<br />

kutumia matope kinyume na<br />

vegezo vilivyopo<br />

Kuchelewa kumaliza mradi 48,481,200<br />

Mapungufu katika utunzaji wa<br />

nyaraka za manunuzi na taarifa<br />

mapungufu ya utunzaji wa nyaraka za<br />

manunuzi na taarifa zake<br />

307,825,471<br />

34 Halmashauri ya<br />

Manispaa ya<br />

Shinyanga<br />

35 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya Moshi<br />

36 Halmashauri ya<br />

Wilaya ya<br />

Tarime<br />

Mapungufu katika utekelezaji wa<br />

shughuli za mradi wa “Windmill<br />

system” na huduma za maji katika<br />

kijiji cha Mwamashele<br />

Uhamishaji wa fedha za ununuzi wa<br />

gari toka mfuko mkuu kwenda mfuko<br />

mwa amana bila kuwepo kwa sababu<br />

maalum<br />

mapungufu katika utunzaji wa<br />

mikataba na nyaraka za miradi<br />

26,222,650<br />

85,000,000<br />

37,800,000<br />

Jumla 2,684,574,948<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

321


Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

322


Kiambatisho 18<br />

Mapungufu yaliyoonekana wakati wa ukaguzi wa mradi wa<br />

Mfuko wa pamoja wa afya (Basket Fund)<br />

Halmasha<br />

uri<br />

Manunuziyaliyofanyika bila ya<br />

kuingizwa vitabuni au kuletwa<br />

baadhi au kutokuletwa kabisa.<br />

Malipo yaliyofanyika yakiwa<br />

na nyaraka pungufu kama vile<br />

malipo<br />

yasiyoidhinishwa,malipo<br />

yenyeshaka au malipo ambayo<br />

hayakukaguliwa kwasababu ya<br />

kukosa nyaraka<br />

Malipo yaliyofanywa bila<br />

kuitisha zabuni,bila kibali cha<br />

PMU,bila kidondoa,bila<br />

kupitisha na tenda Bodi<br />

Masurufu yasiyorejeshwa<br />

Fedha ambazohazikutumika<br />

licha yakutolewa<br />

Asilimia %<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kiteto<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Babati<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbulu<br />

- - 19,656,500 2,056,750 36,355,135 15%<br />

- 27,996,209 10,242,500 - 89,787,629 28%<br />

- 4,709,719 8,153,568 1,660,500 98,166,770 26%<br />

Halmashauri<br />

ya Jiji<br />

la Tanga<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Muheza<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Korogwe<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Lushoto<br />

9,973,725 - - - 230,949,243 13%<br />

22,045,075 - - - -<br />

11,142,000 - - - 120,749,538 41%<br />

- 23,575,000 - - -<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

323


Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Handeni<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilindi<br />

23,577,900 - 24,515,000 35,835,900 -<br />

17,311,500 - - - 104,595,200 50%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Moshi<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Moshi<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Same<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Hai<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Siha<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mwanga<br />

- 12,537,560 - - 25,313,630 16%<br />

3,397,500 - - - 349,999,307 2%<br />

5,833,200 - - - 58,320,072 20%<br />

- 4,416,000 - 7,825,688 -<br />

- 2,000,000 1,310,000. - 34,451,542 13%<br />

19,190,386 7,924,000. - - 25,175,864 15%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Meru<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Monduli<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Ngorongoro<br />

- 37,619,423 4,857,900 - 10,227,704 3%<br />

- 3,100,000 - 2,509,850 6,913,874 3%<br />

- 15,186,880 - - -<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

324


Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Karatu<br />

- - - - 12,457,257 5%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Arusha<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Simanjiro<br />

7,437,426 114,494,996 12,147,500 34,055,350 -<br />

- - - - 142,795,175 55%<br />

Katibu<br />

tawala wa<br />

Jiji la<br />

Mwanza<br />

(RAS)<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Magu<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Geita<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Sengerema<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Ukerewe<br />

85,875,900 60,387,283 - - -<br />

- 8,453,000 - - -<br />

- 32,310,600 - - -<br />

- - - - 129,985,195 17%<br />

- 2,030,000 - - -<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Bukoba<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Misenyi<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Chato<br />

- - 2,574,000 1,771,000 17,888,150 19%<br />

- - - - 47,310,405 23%<br />

- 20,645,200 - - 66,987,725 22%<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

325


Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Karagwe<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Muleba<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Ngara<br />

- - 59,579,000 3,359,000 75,395,368 13%<br />

- - 48,178,617 16,413,535 15,252,262 3%<br />

- - 17,082,160 - -<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

Shinyanga<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Shinyanga<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Bariadi<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Bukombe<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Maswa<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Meatu<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kishapu<br />

- - - - 37,210,082 2%<br />

- - - - 167,240,387 36%<br />

- 7,850,400 18,628,000 - 771,838,109 63%<br />

- - - - 85,815,988 16%<br />

- - - - 167,180,304 58%<br />

- - 25,658,114 - 96,191,950 23%<br />

- 64,147,952 28,140,065 - -<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Musoma<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Rorya<br />

- 9,550,000 9,033,000 - 104,269,767 35%<br />

- 8,516,500 14,035,000 - 85,222,985 22%<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

326


Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Tarime<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Serengeti<br />

23,161,800 - 76,833,750 - 109,524,202 30%<br />

- - - - 92,175,890 27%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Temeke<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Ilala<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

Kinondoni<br />

- 6,205,500 45,556,600 - 511,701,581 51%<br />

60,552,500 163,986,776 105,169,930 - 122,436,857 17%<br />

- - - - -<br />

24,476,100 69,909,904 15,375,900. 1,802,000 365,718,979 28%<br />

Halmashauri<br />

ya Mji<br />

Kibaha<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Bagamoyo<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Rufiji<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kisarawe<br />

- - - - 1,141,625 1%<br />

- - - - 290,305,083 14%<br />

- 40,559,010 - 2,624,000 -<br />

- 22,876,003 - 1,856,140 -<br />

Katibu<br />

Tawala<br />

Lindi (RAS )<br />

Halmashauri<br />

ya Mji<br />

ya Lindi<br />

- 10,295,000 - - 17,994,000. 46%<br />

- - - 28,276,172 40%<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

327


Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Lindi<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Ruangwa<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Nachingwea<br />

- 9,181,850 - 47,041,612 45,074,160 12%<br />

- 3,776,400 - 6,198,650 80,188,450 45%<br />

- - - 5,804,470 49,461,382 21%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Liwale<br />

- - 4,000,000 - -<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mtwara<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Masasi<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Nanyumbu<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Newala<br />

- 5,771,000 - - -<br />

- - 24,481,600 - -<br />

- 9,108,000 30,122,500 - -<br />

- 20,066,808 - - -<br />

Halmashauri<br />

ya jiji<br />

la Mbeya<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbeya<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbarari<br />

- 111,284,900 - - -<br />

- - - - 112,023,276 32%<br />

- 10,709,400 17,757,200. - 89,731,534 23%<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

328


Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Rungwe<br />

2,926,000 104,045,443 - - -<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mbozi<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Chunya<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kyela<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Ileje<br />

- 71,426,350 25,680,120 - 226,951,561 17%<br />

1,456,500 28,553,240 - - 16,543,909 5%<br />

- - - - 20,028,293 16%<br />

- 7,794,090 - - 26,081,181 14%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Songea<br />

7,262,500 - - -<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Songea<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Tunduru<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Namtumbo<br />

- 1,897,000 - - 149,866,307 13%<br />

- 69,744,912 - - 171,899,142 12%<br />

- 33,014,287 - - 100,431,284 33%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Iringa<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Iringa<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mufindi<br />

6,448,330 23,286,775 - - 44,172,805 6%<br />

- - - - -<br />

- - - - 78,883,604 19%<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

329


Halmashauri<br />

ya Mji<br />

Njombe<br />

1,084,300 - 34,000,000 - 12,049,345 13%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Makete<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Ludewa<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilolo<br />

- - - - 74,539,571.00 43%<br />

- - 16,083,710 - 76,367,068.00 37%<br />

- - 25,120,000 - 32,790,448 16%<br />

- - - - -<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

S’wanga<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

S’wanga<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpanda<br />

Halmashauri<br />

ya Mji<br />

Mpanda<br />

3,940,220 9,994,000 - 1,895,000 70,463,796 40%<br />

- 18,040,800 - 3,065,000 253,554,134 48%<br />

45,617,300 15,755,536 - - -<br />

- 586,935 - - 15,697,848 26%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Nkasi<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

Dodoma<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Chamwino<br />

- 5,796,000 - 1,374,000 226,653,024 0.5%<br />

- - - - -<br />

- 8,419,681 - - 25,679,447 7%<br />

- - - 8,064,000 87,632,666 22%<br />

Halmasha- - 3,010,000 52,026,735 47,577,046 34,086,646 13%<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

330


uri ya<br />

Wilaya ya<br />

Bahi<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kondoa<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mpwapwa<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kongwa<br />

- - 23,460,000 3,174,000 207,503,628 30%<br />

30,834,100 - - - 129,514,632 27%<br />

97,733,600 - - - 64,154,527 17%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Ujiji<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kasulu<br />

28,151,500 - 21,999,418 18,988,600 109,539,722 54%<br />

- 8,707,000 277,112,238 111,098,520 8,910,000 1%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Singida<br />

- - - - 42,862,204 6%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Singida<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Manyoni<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Iramba<br />

- 162,997,180 - - 9,132,975 2%<br />

- 13,435,314. - - 14,914,225 4%<br />

- - - - 60,650,231.00 9%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya Tabora<br />

- 13,280,000 - - 23,961,786 9%<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

331


Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Tabora<br />

/Uyui<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Igunga<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Nzega<br />

- 62,477,400 - 15,040,000 -<br />

3,535,380 38,035,000 - - 124,881,740 30%<br />

- 47,008,288 61,515,600 - 166,769,125 31%<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Manispaa<br />

ya<br />

Morogoro<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Morogoro<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilosa<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Ulanga<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Kilombero<br />

Halmashauri<br />

ya<br />

Wilaya ya<br />

Mvomero<br />

Halmashauri<br />

133<br />

5,381,500 2,605,400 - - -<br />

26,062,628 10,653,000 - - -<br />

14,814,689 92,683,600 - - 9,808,878 40%<br />

- - - - 45,345,033 27%<br />

2,550,000 - 1,995,000 1,830,000 72,901,850 16%<br />

4,230,000 8,446,500 - 3,059,000 -<br />

354,770,127 1,038,854,589 1,162,081,225 385,979,612 7,965,022,443<br />

Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali<br />

Ripoti kuhusu ukaguzi wa taarifa<br />

za fedha za Mamlaka za Serikali<br />

za Mitaa 2007/08<br />

332

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!