uamuzi wa spika kuhusu: tuhuma kwamba baadhi ya wabunge na ...
uamuzi wa spika kuhusu: tuhuma kwamba baadhi ya wabunge na ... uamuzi wa spika kuhusu: tuhuma kwamba baadhi ya wabunge na ...
jambo linalopaswa kupewa umuhimu wa kwanza, Uamuzi wa Spika ni kwamba, natoa onyo kali kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Bw. Eliakim C. Maswi, na kumtaka asirudie tena kosa hilo la kuzua tuhuma za uongo dhidi ya Bunge na Wabunge. (a) Wabunge Walioisemea Tuhuma Bungeni Kwakuwa, Wabunge waliolisema suala hili la rushwa Bungeni, walilisemea kwa nia njema ya kulikemea, na hawakumtaja Mbunge yeyote kuhusika nalo; na kwakuwa pamoja na nia hiyo njema Wabunge hao walilisemea suala hilo bila ya kufanya utafiti kupata ukweli wake, Uamuzi wa Spika ni kwamba, Wabunge hao nawapa onyo kali na 74
kuwataka wasirudie kosa hilo la kuzungumzia jambo Bungeni wasilokuwa na uhakika nalo. (c) Mhe. Tundu A. M. Lissu (MB.) Kwakuwa Mhe. Tundu A. M. Lissu (MB.) alikuwa na fursa ya kulisemea suala ya mgongano wa maslahi kwa Wabunge wahusika Bungeni, lakini aliamua kulisemea nje ya Bunge, kwa kutoa tuhuma dhidi ya Wabunge kuhusiana na suala hilo kwenye Vyombo vya habari, kwa kuwataja majina, kwa ushahidi wa ‘habari za kuambiwa’ (hear say), kinyume na masharti ya Kanuni ya 61(2) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la 2007; na kwakuwa kwa kufanya hivyo aliwadhalilisha na kuwafedhehesha Wabunge hao; Uamuzi wa Spika ni kwamba, nampa onyo kali Mhe. 75
- Page 23 and 24: Wabunge na Wajumbe wa Kamati ya Kud
- Page 25 and 26: lililowasilishwa au linalokusudiwa
- Page 27 and 28: offence under this section, shall b
- Page 29 and 30: SEHEMU YA PILI 5.0 Matokeo ya Uchun
- Page 31 and 32: 2,000,000/=) kwa kila Mjumbe, ili a
- Page 33 and 34: Maswi, rushwa ya Shilingi milioni h
- Page 35 and 36: (b) Kwamba, Katibu Mkuu wa Wizara y
- Page 37 and 38: • Kuhusu tuhuma hii, uchunguzi wa
- Page 39 and 40: la utekelezaji usioridhisha wa Mpan
- Page 41 and 42: lile la kuendeshea mitambo ya IPTL,
- Page 43 and 44: Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nisha
- Page 45 and 46: “… Kabla ya Hotuba ya Wizara ya
- Page 47 and 48: mpana ufanyike na kama yeyote ana u
- Page 49 and 50: kuna kampeni kubwa inafanywa ndani
- Page 51 and 52: (iii) Mhe. Alphaxard Kangi Lugola (
- Page 53 and 54: Mhe. Ally Keissy Mohamed (MB.) yali
- Page 55 and 56: mambo yote ambayo mtakuwa mnayasiki
- Page 57 and 58: kushinikiza kubadili bei ya matairi
- Page 59 and 60: (a) Kampuni iliyoingia Mkataba na T
- Page 61 and 62: Madini, Mhe. Prof. Sospeter M. Muho
- Page 63 and 64: Nishati na Madini kuwasilishwa Bung
- Page 65 and 66: SEHEMU YA TATU 6.0 MAELEKEZO YA SPI
- Page 67 and 68: kushughulikiwa na Bunge lenyewe, nd
- Page 69 and 70: 6.8 Waheshimiwa Wabunge, lazima nis
- Page 71 and 72: utekelezaji bora wa majukumu ya kik
- Page 73: UAMUZI WA SPIKA (a) Katibu Mkuu wa
- Page 77: kimaslahi katika utekelezaji wa maj
jambo li<strong>na</strong>lopas<strong>wa</strong> kupe<strong>wa</strong> umuhimu<br />
<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>nza, Uamuzi <strong>wa</strong> Spika ni<br />
k<strong>wa</strong>mba, <strong>na</strong>toa onyo kali k<strong>wa</strong> Katibu<br />
Mkuu <strong>wa</strong> Wizara <strong>ya</strong> Nishati <strong>na</strong> Madini,<br />
Bw. Eliakim C. Maswi, <strong>na</strong> kumtaka<br />
asirudie te<strong>na</strong> kosa hilo la kuzua<br />
<strong>tuhuma</strong> za uongo dhidi <strong>ya</strong> Bunge <strong>na</strong><br />
Wabunge.<br />
(a) Wabunge Walioisemea Tuhuma<br />
Bungeni<br />
K<strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong>, Wabunge <strong>wa</strong>liolisema<br />
suala hili la rush<strong>wa</strong> Bungeni,<br />
<strong>wa</strong>lilisemea k<strong>wa</strong> nia njema <strong>ya</strong><br />
kulikemea, <strong>na</strong> ha<strong>wa</strong>kumtaja Mbunge<br />
yeyote kuhusika <strong>na</strong>lo; <strong>na</strong> k<strong>wa</strong>ku<strong>wa</strong><br />
pamoja <strong>na</strong> nia hiyo njema Wabunge<br />
hao <strong>wa</strong>lilisemea suala hilo bila <strong>ya</strong><br />
kufan<strong>ya</strong> utafiti kupata ukweli <strong>wa</strong>ke,<br />
Uamuzi <strong>wa</strong> Spika ni k<strong>wa</strong>mba,<br />
Wabunge hao <strong>na</strong><strong>wa</strong>pa onyo kali <strong>na</strong><br />
74