30.08.2015 Views

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Check Against Delivery<br />

kuanzisha utaratibu wa kubadilishana taarifa zinazohusu mizigo kwa njia za kielektroniki kabla<br />

mizigo haijafika kwenye Vituo v<strong>ya</strong> Forodha. Vilevile, Kamati za Pamoja (Joint Border Post<br />

Committees) zimeundwa kwenye Vituo v<strong>ya</strong> Mipakani v<strong>ya</strong> Tunduma, Kabanga, Mutukula, Holili,<br />

Sirari na Namanga. Kupitia Kamati hizo wadau wote wanaoshughulika na utoaji huduma<br />

mipakani hufan<strong>ya</strong> kazi kwa pamoja.<br />

31. Mheshimiwa Spika, Serikali imekamilisha Mkakati na Mpango Kazi wa Utekelezaji wa<br />

Sera <strong>ya</strong> Ubia baina <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Umma na Sekta Binafsi (PPP). Vilevile, Mwongozo wa Utendaji<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> kutekeleza Sera, Sheria na Kanuni za Ubia baina <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Umma na Sekta<br />

Binafsi umekamilika. Aidha, Serikali imefan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> Sera zinazohusu Uwekezaji kwa<br />

kutumia Mfumo wa Tathmini unaotumiwa na Shirika la Kimataifa la Ushirikiano wa Kiuchumi na<br />

Maendeleo (OECD). Taarifa <strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> Sera hizo itachangia katika kufan<strong>ya</strong> mapitio <strong>ya</strong> Sera<br />

<strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Uwekezaji <strong>ya</strong> mwaka 1996 pamoja na Sheria <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwaka 1997. Nazihimiza<br />

Wizara na Taasisi za Serikali kuongeza juhudi katika kuainisha miradi inayokidhi vigezo v<strong>ya</strong><br />

kutekelezwa kwa utaratibu wa PPP ili Nchi iweze kunufaika na fursa zinazotokana na utaratibu<br />

huo.<br />

32. Mheshimiwa Spika, Serikali imeendelea kuratibu majadiliano baina <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Umma<br />

na Sekta Binafsi ili kuibua fursa zilizopo na kupata ufu<strong>mb</strong>uzi wa changamoto za kisera, kisheria<br />

na kitaasisi zinazokwamisha biashara na uwekezaji. Kutokana na umuhimu wa majadiliano<br />

hayo, Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa “Majadiliano <strong>ya</strong> Ushirikiano kwa<br />

Manufaa <strong>ya</strong> Wote wa mwaka 2013” (Global 2013 Smart Partnership Dialogue) utakaofanyika<br />

mwezi Julai 2013, Jijini Dar es Salaam. Maandalizi <strong>ya</strong> Mkutano huo <strong>ya</strong>naendelea a<strong>mb</strong>apo<br />

Mkutano maalum kwa Wakuu wa Mikoa, Wila<strong>ya</strong> na Makatibu Tawala wa Mikoa ulifanyika mjini<br />

Dodoma mwezi Nove<strong>mb</strong>a 2012. Katika Mkutano huo, washiriki walipata uelewa wa pamoja wa<br />

dhana <strong>ya</strong> majadiliano <strong>ya</strong> ushirikiano kwa manufaa <strong>ya</strong> wote <strong>ya</strong>takayowasaidia kusimamia<br />

majadiliano katika maeneo <strong>ya</strong>o.<br />

33. Mheshimwa Spika, Serikali imetoa mwongozo kwa Mabaraza <strong>ya</strong> Biashara <strong>ya</strong> Mikoa na<br />

Wila<strong>ya</strong> kuendesha majadiliano katika maeneo <strong>ya</strong>o ili matokeo <strong>ya</strong> majadiliano hayo <strong>ya</strong>tumike<br />

kikamilifu wakati wa majadiliano <strong>ya</strong> Kimataifa mwezi Julai 2013. Uzoefu wa Nchi a<strong>mb</strong>azo<br />

zimeandaa majadiliano kama hayo umeonesha kwa<strong>mb</strong>a kuna manufaa makubwa <strong>ya</strong>kiwemo<br />

kubaini wagunduzi na wabunifu, kuibua fursa mp<strong>ya</strong> za teknolojia na uwekezaji na pia kupata<br />

uzoefu wa Mataifa mengine katika masuala <strong>mb</strong>ali<strong>mb</strong>ali. Natoa wito kwa Mabaraza <strong>ya</strong> Biashara<br />

<strong>ya</strong> Mikoa na Wila<strong>ya</strong> kuendesha majadiliano katika maeneo <strong>ya</strong>o na kujiandaa kikamilifu kushiriki<br />

katika Mkutano huo.<br />

34. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Januari 2012 hadi Dese<strong>mb</strong>a 2012, Kituo cha<br />

Uwekezaji Tanzania kilisajili Miradi 869 yenye thamani inayokadiriwa kufikia Shilingi Bilioni<br />

30,866. Kati <strong>ya</strong> miradi hiyo, Miradi 469 sawa na Asilimia 54 ni miradi <strong>ya</strong> wawekezaji wa ndani,<br />

Miradi 195 sawa na Asilimia 22 ni <strong>ya</strong> ubia kati <strong>ya</strong> wawekezaji wa ndani na Nje na Miradi 205,<br />

sawa na Asilimia 24 ni <strong>ya</strong> wawekezaji kutoka Nje. Usajili wa miradi hiyo umeongeza ajira Nchini<br />

a<strong>mb</strong>apo zaidi <strong>ya</strong> Watanzania 174,412 walipata ajira kwenye miradi hiyo. Tathmini <strong>ya</strong> thamani <strong>ya</strong><br />

uwekezaji kisekta inaonesha kwa<strong>mb</strong>a katika mwaka 2012 miradi <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Kilimo inaongoza<br />

ikiwa imechangia Shilingi Bilioni 14,226 ikifuatiwa na Sekta <strong>ya</strong> Uzalishaji Viwandani iliyochangia<br />

Shilingi Bilioni 4,672. Sekta hizo zinafuatiwa na Sekta <strong>ya</strong> Mawasiliano iliyochangia Shilingi<br />

Bilioni 4,663 na Sekta <strong>ya</strong> Nishati iliyochangia Shilingi Bilioni 2,110. Pamoja na mafanikio hayo,<br />

bado kuna changamoto kubwa <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi kama Timu moja katika kuvutia wawekezaji. Ili<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!