30.08.2015 Views

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Check Against Delivery<br />

<strong>mb</strong>ali<strong>mb</strong>ali za kiuchumi na kijamii. Rai <strong>ya</strong>ngu kwenu ni kuzitumia takwimu hizo<br />

kikamilifu katika kupanga mipango <strong>ya</strong> maendeleo kwa ajili <strong>ya</strong> watu wetu.<br />

b) Tumebakiza miaka takribani 12 kabla <strong>ya</strong> kufikia malengo <strong>ya</strong> Dira <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />

Maendeleo 2025, miaka miwili kufikia malengo <strong>ya</strong> Maendeleo <strong>ya</strong> Milenia na miaka<br />

miwili <strong>ya</strong> kukamilisha utekelezaji wa Mpango wa Kwanza wa Miaka Mitano. Mfumo<br />

mp<strong>ya</strong> ulioanzishwa na Serikali wa kufuatilia na kusimamia kikamilifu utekelezaji wa<br />

miradi <strong>ya</strong> kipau<strong>mb</strong>ele na kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> mara kwa mara <strong>ya</strong> kupima matokeo<br />

utasaidia kuharakisha kufikiwa kwa malengo hayo mapema. Serikali itahakikisha<br />

kwa<strong>mb</strong>a Mfumo huo unaimarisha uwajibikaji na kuleta matokeo makubwa na <strong>ya</strong><br />

haraka katika kipindi kifupi.<br />

c) Jitihada za Serikali <strong>ya</strong> Awamu <strong>ya</strong> Nne katika kuvutia uwekezaji katika kilimo<br />

hususan katika Ukanda wa Kilimo wa Kusini mwa Tanzania (SAGCOT) zimeleta<br />

mwamko na matumaini makubwa. Azma <strong>ya</strong> Serikali ni kuona kwa<strong>mb</strong>a Wawekezaji<br />

wakubwa wanashirikiana kwa karibu na wakulima wadogo ili waweze kuondoka<br />

kwenye kilimo cha kujikimu na kuingia katika kilimo cha kisasa chenye tija na cha<br />

kibiashara. Nawahakikishia Watanzania wote kwa<strong>mb</strong>a upatikanaji wa ardhi<br />

iliyopimwa kwa ajili <strong>ya</strong> Mkulima mdogo ndicho kipau<strong>mb</strong>ele cha Serikali.<br />

d) Mchakato wa kuandaa Katiba Mp<strong>ya</strong> umeingia katika hatua <strong>ya</strong> kuunda Mabaraza<br />

<strong>ya</strong> Katiba katika ngazi <strong>mb</strong>ali<strong>mb</strong>ali <strong>ya</strong>takayopitia Rasimu <strong>ya</strong> Katiba Mp<strong>ya</strong> na kutoa<br />

maoni. Tume baada <strong>ya</strong> kuzingatia maoni <strong>ya</strong> Mabaraza itaandaa Rasimu <strong>ya</strong> Katiba<br />

Mp<strong>ya</strong> itakayowasilishwa katika Bunge Maalum la Katiba. Natoa wito kwa wananchi<br />

watoe ushirikiano kwa Tume iweze kukamilisha zoezi hilo muhimu kwa ufanisi na<br />

kwa wakati.<br />

e) Amani iliyopo Nchini imetujengea heshima kubwa katika Bara la Afrika na Duniani<br />

kote. Sote tuna wajibu wa kuienzi na kuisimamia isitoweke. Serikali <strong>ya</strong> awamu <strong>ya</strong><br />

Nne itahakikisha kwa<strong>mb</strong>a Amani na umoja wa Kitaifa vinadumishwa ili<br />

kuwawezesha Wananchi kuendelea kufan<strong>ya</strong> shughuli zao za maendeleo bila hofu.<br />

Serikali haitavumilia kuona mtu au kikundi cha watu wenye dhamira <strong>mb</strong>a<strong>ya</strong><br />

wakivuruga Amani, Umoja na Mshikamano uliopo Nchini kwa kisingizio chochote.<br />

Sote tuna wajibu wa kuheshimu utawala wa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizopo.<br />

111. Mheshimiwa Spika, kabla <strong>ya</strong> kumaliza Hotuba <strong>ya</strong>ngu, nimwo<strong>mb</strong>e Mheshimiwa Hawa<br />

Abdulrahman Ghasia (Mb.), Waziri wa Nchi, Ofisi <strong>ya</strong> Waziri Mkuu - Tawala za Mikoa na Serikali<br />

za Mitaa atoe maelezo <strong>ya</strong> Mapitio <strong>ya</strong> Kazi zilizofanyika katika mwaka 2012/2013 na Mwelekeo<br />

wa Kazi za Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa mwaka 2013/2014.<br />

SHUKRANI<br />

112. Mheshimiwa Spika, nitumie fursa hii sasa kuwashukuru Ma<strong>waziri</strong> na Naibu Ma<strong>waziri</strong><br />

kwa ushirikiano walionipa katika kipindi hiki. Aidha, nawashukuru Watumishi wote wa Serikali na<br />

Taasisi zake chini <strong>ya</strong> Uongozi wa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi O<strong>mb</strong>eni Yohana Sefue kwa<br />

kusimamia Shughuli za Serikali vizuri. Nawashukuru Watanzania wote na Washirika wetu wa<br />

Maendeleo kwa michango <strong>ya</strong>o a<strong>mb</strong>ayo imewezesha Serikali kutoa huduma <strong>mb</strong>ali<strong>mb</strong>ali kwa<br />

Wananchi.<br />

26

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!