30.08.2015 Views

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Check Against Delivery<br />

Uanzishaji wa Maeneo Map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Utawala<br />

101. Mheshimiwa Spika, Serikali imekamilisha taratibu za kuanzisha Halmashauri Mp<strong>ya</strong> 31 ili<br />

kusogeza huduma karibu na Wananchi. Halmashauri hizo ni Jiji la Arusha, Manispaa <strong>ya</strong> Ilemela,<br />

Manispaa <strong>ya</strong> Lindi na Halmashauri za Miji <strong>ya</strong> Kahama, Masasi, Maka<strong>mb</strong>ako, Geita na Bariadi.<br />

Vilevile, imeanzisha Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kala<strong>mb</strong>o, Busega, Nsi<strong>mb</strong>o, Bu<strong>mb</strong>uli, Mlele,<br />

Ushetu, Msalala, Mo<strong>mb</strong>a, Mbogwe, Kyerwa, Busokelo na Buhigwe. Halmashauri nyingine<br />

zilizoanzishwa ni N<strong>ya</strong>ngh’wale, Wanging’o<strong>mb</strong>e, Che<strong>mb</strong>a, Mkalama, Gairo, N<strong>ya</strong>sa, Kakonko,<br />

Itilima, Uvinza, Ikungi na Kaliua. Serikali itaendelea kuzipatia Halmashauri mp<strong>ya</strong> vitendea kazi,<br />

Watumishi pamoja na kujenga miundo<strong>mb</strong>inu muhimu hatua kwa hatua.<br />

MASUALA MTAMBUKA<br />

Vita Dhidi <strong>ya</strong> Rushwa<br />

102. Mheshimiwa Spika, Serikali imeendelea kuchukua hatua <strong>mb</strong>ali<strong>mb</strong>ali katika kukabiliana<br />

na tatizo la rushwa kwa kuelimisha Umma kuhusu athari za Rushwa, kuziba mian<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> rushwa<br />

na kuwasihi Wananchi kujiepusha na vitendo v<strong>ya</strong> rushwa. Aidha, Vyo<strong>mb</strong>o v<strong>ya</strong> Dola<br />

vimechunguza tuhuma za makosa <strong>ya</strong> Rushwa na kuwafikisha watuhumiwa <strong>mb</strong>ele <strong>ya</strong> Vyo<strong>mb</strong>o<br />

v<strong>ya</strong> Kisheria. Hadi kufikia Dese<strong>mb</strong>a 2012, tuhuma 2,911 zilichunguzwa a<strong>mb</strong>apo uchunguzi wa<br />

tuhuma 390 umekamilika na Kesi 121 zimefunguliwa Mahakamani. Katika mwaka 2013/2014,<br />

TAKUKURU itaendelea na uchunguzi wa tuhuma zilizopo na mp<strong>ya</strong> zitakazojitokeza, kuendesha<br />

Kesi nyingine zilizopo Mahakamani na zitakazoendelea kufunguliwa kutokana na kukamilika<br />

kwa chunguzi <strong>mb</strong>ali<strong>mb</strong>ali. Serikali pia itaendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu athari za<br />

rushwa.<br />

Maafa<br />

103. Mheshimiwa Spika, changamoto kubwa iliyoiku<strong>mb</strong>a Nchi yetu kwa mwaka 2012/2013<br />

ni ukame uliosababisha upungufu mkubwa wa Chakula katika baadhi <strong>ya</strong> maeneo Nchini.<br />

Kutokana na hali hiyo, Serikali ilifan<strong>ya</strong>Tathmini za kina za Hali <strong>ya</strong> Chakula na Lishe Nchini na<br />

kubaini kwa<strong>mb</strong>a Watu 1,615,440 katika Halmashauri 47 Nchini wanahitaji msaada wa chakula.<br />

Katika kukabiliana na hali hiyo, kuanzia mwezi Julai 2012 hadi Machi 2013, Serikali imetoa Tani<br />

69,452 za chakula cha msaada chenye thamani <strong>ya</strong> Shilingi Bilioni 26.39 kwa walengwa katika<br />

maeneo yenye upungufu. Serikali pia imetoa Shilingi Bilioni 4.6 kwa ajili <strong>ya</strong> usafirishaji wa<br />

chakula hicho.<br />

104. Mheshimiwa Spika, katika kurejesha hali <strong>ya</strong> kawaida kwa waathirika wa Mabomu eneo<br />

la Gongola<strong>mb</strong>oto, Serikali imekamilisha ujenzi wa Nyu<strong>mb</strong>a 36 eneo la Msongola Wila<strong>ya</strong>ni Ilala<br />

na Nyu<strong>mb</strong>a moja eneo la Mbweni Wila<strong>ya</strong>ni Kinondoni. Zoezi hilo kwa ujumla limegharimu<br />

kiasi cha Shilingi Bilioni 1.75. Nyu<strong>mb</strong>a hizo a<strong>mb</strong>azo zimewekewa huduma za msingi za maji na<br />

umeme zilikabidhiwa kwa walengwa na Mheshimiwa Dkt. Jaka<strong>ya</strong> Mrisho Kikwete, Rais wa<br />

Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa Tanzania, tarehe 11 Dese<strong>mb</strong>a 2012.<br />

105. Mheshimiwa Spika, itaku<strong>mb</strong>ukwa kwa<strong>mb</strong>a mafuriko <strong>ya</strong>liyotokea Dar es Salaam mwezi<br />

Dese<strong>mb</strong>a 2011 <strong>ya</strong>lisababisha Ka<strong>ya</strong> 1,007 za waathirika waliokuwa wanaishi katika maeneo<br />

hatarishi zaidi kuhamishiwa katika eneo la Mabwepande Wila<strong>ya</strong>ni Kinondoni. Serikali kwa<br />

kushirikiana na wadau imeendelea kuwapatia huduma <strong>mb</strong>ali<strong>mb</strong>ali za kijamii na kuwajengea<br />

miundo<strong>mb</strong>inu muhimu ikiwemo barabara, maji, umeme, shule, zahanati na Kituo cha Polisi.<br />

Aidha, hivi karibuni Serikali imetoa Mifuko 100 <strong>ya</strong> Saruji kwa kila Ka<strong>ya</strong> ili kuziwezesha kujenga<br />

nyu<strong>mb</strong>a bora na za kudumu. Napenda kutoa wito kwa Wananchi a<strong>mb</strong>ao bado wanaishi<br />

mabondeni kuhama ili kuepuka athari zinazoweza kuwapata. Aidha, Mamlaka za Serikali za<br />

24

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!