30.08.2015 Views

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Check Against Delivery<br />

66. Mheshimiwa Spika, Sekta ndogo <strong>ya</strong> Gesi Asilia inakua kwa kasi a<strong>mb</strong>apo hadi kufikia<br />

Januari 2013, kiasi cha futi za ujazo Trilioni 35 zimegundulika Nchini. Ili kusimamia rasilimali<br />

hiyo muhimu, Serikali imeandaa rasimu <strong>ya</strong> Sera <strong>ya</strong> Gesi Asilia na kupata maoni kutoka kwa<br />

wadau <strong>mb</strong>ali<strong>mb</strong>ali. Aidha, tarehe 8 Nove<strong>mb</strong>a 2012, Mheshimiwa Dkt. Jaka<strong>ya</strong> Mrisho Kikwete,<br />

Rais wa Jamhuri <strong>ya</strong> Muungano wa Tanzania alizindua mradi wa ujenzi wa miundo<strong>mb</strong>inu <strong>ya</strong><br />

Gesi Asilia kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam. Mradi huo utaongeza uzalishaji wa umeme na<br />

kupunguza gharama za umeme Nchini.<br />

67. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, Serikali itaendelea na ujenzi wa Mradi wa<br />

bo<strong>mb</strong>a la Gesi Asilia kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam na ujenzi wa Mita<strong>mb</strong>o <strong>ya</strong> kuzalisha<br />

umeme wa Kinyerezi (MW 200). Vilevile, itaanza kutekeleza Awamu <strong>ya</strong> Pili <strong>ya</strong> Mradi Kaba<strong>mb</strong>e<br />

wa Kusa<strong>mb</strong>aza Umeme Vijijini na kufikisha umeme wa gridi kwenye Makao Makuu <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong><br />

zisizokuwa na umeme.<br />

Teknolojia <strong>ya</strong> Habari na Mawasiliano<br />

68. Mheshimiwa Spika, Serikali inatekeleza Mradi wa ujenzi wa Mkongo wa Mawasiliano<br />

wa Taifa wenye Awamu Tano. Awamu <strong>ya</strong> Kwanza na <strong>ya</strong> Pili <strong>ya</strong> Ujenzi wa Mkongo huo wenye<br />

urefu wa Kilomita 7,560 imekamilika na kuunganisha Makao Makuu <strong>ya</strong> Mikoa 24 <strong>ya</strong><br />

Tanzania Bara. Kazi <strong>ya</strong> kuunganisha Kisiwa cha Unguja na Mkongo huo kupitia Dar es<br />

Salaam itakamilika mwaka 2013. Ta<strong>ya</strong>ri Makampuni <strong>ya</strong> Simu na Mawasiliano <strong>ya</strong> hapa Nchini<br />

<strong>ya</strong>meunganishwa kwenye Mkongo hatua a<strong>mb</strong>ayo imewezesha upatikanaji wa huduma bora za<br />

mawasiliano katika eneo kubwa zaidi na kwa gharama nafuu. Sa<strong>mb</strong>a<strong>mb</strong>a na hatua hiyo,<br />

Serikali imeanza ujenzi wa Mfumo wa Kuratibu Huduma za Mawasiliano Nchini (Traffic<br />

Monitoring System). Mfumo huo utasaidia kuhakikisha mapato <strong>ya</strong>nayotokana na huduma katika<br />

Sekta <strong>ya</strong> Mawasiliano <strong>ya</strong>najulikana ili Makampuni <strong>ya</strong> Mawasiliano Nchini <strong>ya</strong>lipe kodi stahiki kwa<br />

Serikali.<br />

69. Mheshimiwa Spika, Tanzania pamoja na Nchi zote Duniani kupitia Umoja wa<br />

Mawasiliano Duniani (ITU) zimekubaliana kusitisha matumizi <strong>ya</strong> teknolojia <strong>ya</strong> utangazaji kutoka<br />

Mfumo wa Analojia na kuanza Matumizi <strong>ya</strong> Teknolojia <strong>ya</strong> Dijitali ifikapo Juni 2015. Hapa Nchini,<br />

usitishaji wa matumizi <strong>ya</strong> mfumo wa mita<strong>mb</strong>o <strong>ya</strong> analojia umeanza kutekelezwa tarehe 31<br />

Dese<strong>mb</strong>a 2012 kwa awamu kwa kuanzia na Jiji la Dar es Salaam na kufuatiwa na Mikoa<br />

<strong>ya</strong> Dodoma, Tanga na Mwanza. Matangazo <strong>ya</strong> analojia <strong>ya</strong>taendelea kusitishwa katika Mikoa<br />

mingine Nchini kulingana na ratiba iliyowekwa. Nata<strong>mb</strong>ua kwa<strong>mb</strong>a kuna changamoto<br />

zilizojitokeza katika utekelezaji wa zoezi hilo la mabadiliko. Hata hivyo, mabadiliko hayo<br />

<strong>ya</strong>nalenga kuimarisha mawasiliano na kuiwezesha Nchi yetu kuendana na hali halisi <strong>ya</strong><br />

mabadiliko <strong>ya</strong> teknolojia Duniani. Katika mazingira <strong>ya</strong> sasa, sisi kama Taifa siyo vyema kubaki<br />

kama kisiwa wakati tumeunganishwa na mifumo <strong>ya</strong> teknolojia <strong>ya</strong> kidunia.<br />

Hivyo, ni busara tuendelee na mabadiliko hayo sasa kuliko kusubiri na hatimaye tukajikuta tuko<br />

nyuma na nje <strong>ya</strong> mstari. Natoa wito kwa Watanzania wote ku<strong>ya</strong>ona mabadiliko hayo kwa<br />

mtazamo chan<strong>ya</strong> na ku<strong>ya</strong>kubali kama hatua kubwa sana <strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong> teknolojia Nchini.<br />

Sa<strong>ya</strong>nsi na Teknolojia<br />

70. Mheshimiwa Spika, Serikali inafan<strong>ya</strong> jitihada kubwa za kuendeleza Sa<strong>ya</strong>nsi na<br />

Teknolojia kama njia <strong>ya</strong> kuongeza kasi <strong>ya</strong> ukuaji wa uchumi. Jitihada hizo ni pamoja na kutenga<br />

fedha za kutosha kila mwaka kwa ajili <strong>ya</strong> utafiti na maendeleo <strong>ya</strong> kisa<strong>ya</strong>nsi. Serikali pia,<br />

imekamilisha ujenzi wa Taasisi <strong>ya</strong> Sa<strong>ya</strong>nsi na Teknolojia <strong>ya</strong> Nelson Mandela iliyopo Mkoani<br />

Arusha a<strong>mb</strong>ayo ilizinduliwa rasmi tarehe 2 Nove<strong>mb</strong>a 2012. Kukamilika kwa ujenzi wa Taasisi<br />

16

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!