1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)
1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)
1 hotuba ya waziri mkuu, mheshimiwa mizengo peter pinda (mb)
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Check Against Delivery<br />
mazao <strong>ya</strong>ke sokoni na kuongeza bei <strong>ya</strong> mazao hayo. Chini <strong>ya</strong> Programu <strong>ya</strong> Miundo<strong>mb</strong>inu <strong>ya</strong><br />
Masoko, Uongezaji Thamani na Huduma za Kifedha Vijijini, Serikali, imekamilisha usanifu na<br />
kutangaza zabuni za ujenzi wa barabara zenye jumla <strong>ya</strong> Kilometa 210.8 katika Halmashauri<br />
za Mbulu, Njo<strong>mb</strong>e, Iringa Vijijini, Kahama, Lushoto, Rufiji, Songea Vijijini na Singida Vijijini.<br />
Aidha, zabuni kwa ajili <strong>ya</strong> ujenzi wa maghala mawili katika Halmashauri za Wila<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Iringa<br />
Vijijini na Njo<strong>mb</strong>e zimetangazwa na taratibu za ujenzi wa ghala katika Halmashauri <strong>ya</strong> Mbulu<br />
zinakamilishwa. Katika mwaka 2013/2014, Serikali itaendelea na ujenzi wa barabara na<br />
miundo<strong>mb</strong>inu mingine <strong>ya</strong> masoko Tanzania Bara na Zanzibar.<br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Mifugo<br />
49. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/2013 Serikali imeanza kutekeleza Programu <strong>ya</strong><br />
Miaka Mitano <strong>ya</strong> Kuendeleza Sekta <strong>ya</strong> Mifugo (2011/2012 – 2015/2016). Programu hiyo<br />
inalenga kuwa na Sekta <strong>ya</strong> Mifugo <strong>ya</strong> kisasa itakayoongeza ukuaji wa Sekta kutoka Asilimia 2.3<br />
hadi 4.5 kwa mwaka ifikapo mwaka 2016. Ili kufikia malengo hayo, Serikali pamoja na ma<strong>mb</strong>o<br />
mengine, imezielekeza Halmashauri zote Nchini kufan<strong>ya</strong> tathmini <strong>ya</strong> uwezo wa ardhi katika<br />
maeneo <strong>ya</strong>o ili kufuga kulingana na uwezo wa eneo lililopo.<br />
50. Mheshimiwa Spika, Serikali pia imeboresha huduma za uhamilishaji pamoja na kutoa<br />
Ruzuku <strong>ya</strong> Dawa za Kuogesha Mifugo Lita 92,323 zenye thamani <strong>ya</strong> Shilingi Bilioni 1.5 a<strong>mb</strong>azo<br />
zimesa<strong>mb</strong>azwa katika Mikoa yote <strong>ya</strong> Tanzania Bara. Hatua hiyo imekwenda sa<strong>mb</strong>a<strong>mb</strong>a na<br />
kujenga Majosho Map<strong>ya</strong> 14 na kukarabati Majosho 20 katika Mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Iringa,<br />
Kagera, Lindi, Mara, Mbe<strong>ya</strong>, Mwanza, Katavi, Rukwa, Ruvuma, Simiyu, Singida, Geita na<br />
Tanga. Vilevile, Serikali imetoa mafunzo <strong>ya</strong> unenepeshaji mifugo kwa Wafugaji wanaozunguka<br />
Ranchi za Taifa. Pia, Miradi 13 <strong>ya</strong> unenepeshaji mifugo imeibuliwa kupitia Mipango <strong>ya</strong><br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Kilimo <strong>ya</strong> Wila<strong>ya</strong> katika Mikoa <strong>ya</strong> Arusha, Dodoma, Man<strong>ya</strong>ra, Mwanza,<br />
Shin<strong>ya</strong>nga na Singida. Hatua hiyo imeongeza idadi <strong>ya</strong> Ng’o<strong>mb</strong>e walionenepeshwa kutoka<br />
132,246 mwaka 2011 hadi Ng’o<strong>mb</strong>e 150,000 mwaka 2012. Aidha, Vijiji 781 v<strong>ya</strong> Halmashauri za<br />
Wila<strong>ya</strong> 80 katika Mikoa <strong>ya</strong> Iringa, Mbe<strong>ya</strong>, Morogoro, Pwani, Katavi, Rukwa, Ruvuma na Singida<br />
vimepimwa ili kuepusha migogoro <strong>ya</strong> mara kwa mara kati <strong>ya</strong> wafugaji na watumiaji wengine wa<br />
ardhi.<br />
51. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2013/2014, Serikali itaendelea kutekeleza Programu<br />
<strong>ya</strong> Kuendeleza Sekta <strong>ya</strong> Mifugo ili itoe mchango mkubwa zaidi katika uchumi. Aidha,<br />
itakamilisha ujenzi wa Mfumo wa Uta<strong>mb</strong>uzi na Ufuatiliaji Mifugo a<strong>mb</strong>ao unatarajiwa kuanza kazi<br />
mwezi Agosti 2013. Vilevile, itaimarisha uhamilishaji Nchini kwa kuzalisha Dozi za <strong>mb</strong>egu bora<br />
za uhamilishaji.<br />
Maendeleo <strong>ya</strong> Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi<br />
52. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2012/2013, Serikali imeanza kupitia Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong><br />
Uvuvi <strong>ya</strong> mwaka 1997 na kuandaa Mkakati wa utekelezaji. Lengo ni kuihuisha Sera hiyo ili<br />
iendane na mabadiliko <strong>ya</strong> Kiuchumi na Kijamii <strong>ya</strong>liyojitokeza pamoja na kuzingatia maendeleo<br />
<strong>ya</strong> Sa<strong>ya</strong>nsi na Teknolojia katika Sekta <strong>ya</strong> Uvuvi. Katika mwaka 2013/2014, Serikali itakamilisha<br />
kupitia Sera <strong>ya</strong> Taifa <strong>ya</strong> Uvuvi <strong>ya</strong> mwaka 1997 na kuendelea kuimarisha usimamizi wa rasilimali<br />
za uvuvi. Aidha, Vikundi v<strong>ya</strong> Ulinzi Shirikishi v<strong>ya</strong> Kudhibiti Uvuvi Haramu na Vituo v<strong>ya</strong> Doria<br />
vitaimarishwa. Serikali pia itaendelea kusimamia shughuli za ukuzaji wa viu<strong>mb</strong>e kwenye maji<br />
ikiwa ni pamoja na kuanzisha vituo vip<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong> kuzalisha vifaranga v<strong>ya</strong> samaki.<br />
Ufugaji Nyuki<br />
53. Mheshimiwa Spika, Uzalishaji wa Asali na Nta kwa miaka <strong>ya</strong> hivi karibuni unatupa moyo<br />
kwa<strong>mb</strong>a, Ufugaji wa Nyuki unaweza kuwa ni shughuli <strong>ya</strong> kiuchumi inayoweza kuwaongezea<br />
12