8nafasi Mr. Tero Maalim Thamo ambaye pia ni chairman wa Mandera East <strong>constituency</strong> Constitution review committee.Tero Maalim: Asante sana mheshimiwa Shabani, kwa kunipatia hii fursa, wana-committee wangu: on my left ni councillorYusuf, followed by mzee Mahamood Ibrahim, and Mheshimiwa himself, is also a member of the committees and my name isDero Maalim, I’m the chairman of the Mandera East <strong>constituency</strong>. Thank you.Commissioner Lenaola: Ningependa sasa kuwajurisheni, taratibu ya kutoa maoni,Translator: Waxan rawa in an ithin shego nathamka ath maoniga olabexeysin.jambo la kwanza, nitawaita kupitia hii list ambayo nimepewa.Translator: Listigan xatha lasoqorey yan racii.Nikiita jina lako njoo hapa karibu na Regina,Translator: Magacatha xathan shego Regina agtetha imauw.ili tupate kuchukua sauti kutumia hicho chombo cha kunasa sauti.Translator: Sifa cothkatha mesha logaxelo.Utasema majina yako, na utatoa maoni kwa dakika kumi.Translator: Megactha bath shegi, xacyigathana towan thaqiqa yath kagabixin.Kama kuna swali kutoka kwa ma-commissioner, nitakuuliza maswali baada ya wewe kutoa maoni yako.Translator: Xathi Commishna yalka ey sual qawan markath damey kathib ban kuweythinena.Ukishamaliza kutoa maoni, utaenda pale kwa Absalam, utajiadikisha, kama umetoa maoni.Translator: Abdi Salam meshisa yath iskaqori in ath racyi bixisey.Jambo la tatu, uko na haki ya kutumia lugha yeyote, Kiingereza, Kiswahili, ama Kisomali.Translator: Mitha sathaxath xaq batyh ulethaxay in ath afkath rabtith ath kuxathashith. Afsomali, af Ingiris af kath rabthith.Kama uko na barua umeadika memorandum, utatumia dakika tano,Translator: Xathath racyi qoran ath wathatith shan thaqiqa ya lagusini ath racyiga labaxthith.kuangaza tu, kutoa zile point za maana kutoka ile barua yako. Na baada ya kutoa hio utakuja kupeana memorandum pia kwaAbu Salam na Amina.Translator: Xath dameysith racyigi Abdisalan yath waraqtha ukeni.Jambo lingine, ningependa heshima, kwa hii shughuli ya kutoa maoni.Translator: Mitha kaley heshmath yan karabna marki racyi labixinayo.Mtu akitoa maoni hapa na huyapedi, usimpigie makelele.Translator: Qof racyiga udibto waxba xakashagin.Ongoja mpaka wakati wako ukuje useme yako yale unapenda kusema.Translator: Meshan qofkasta racyi yulabaxa, marka sug ila waqtiga …..(inaudible).Na ukipenda maoni ya mtu, ningependa upige makofi baadaye, baada ya kumaliza,Translator: Marka qof xathu shego racyi ath kufarahthin marku xathlo kathib sacab utuma.
9kwa maana makofu katikati ya maneno, itaharibu ile recording katika kile chombo,Translator: Sacabka iyo qailatha wexey diwi thuwista.Mtu akiongea vizuri sana na unapenda maneno yake, pigia yeye makofi baada ya yeye kumaliza.Translator: Marka qofka markath usacabeyneysith marku bogo xathib usacabey.Basi nafikiri tumeelewana.Translator: Wan isfaxaney ban umaleyni.Kama kuna mtu ambaye hasikii na hajui kuzugumzaTranslator: Qof an xathlikarin.na atapata nafasi ya kuwa translated maneno yake.Translator: Translater ya loyela.Basi nafikiri tuko tayari kuanza, sawa sawa, Ningependa kumuita Ali Robo.Translator: Thiyar batixina umaleyna. So thiyar mataxthin.Ali Robo: Ani waxa laidaxa Ali Robo.Translator: He is called Ali RoboAli Robo: Waxan kaxathlaya.Translator: He wants to give his views on,Ali Robo: Wixi onakana dibkaina eh.Translator: Our problems, are,Ali Robo: Wax Kenya kaley ey qawin yan qabna.we have problems more than what Kenyans don’t have,Ali Robo: Dib an kenyatha kaley kajirin yan qabna.Translator: We have no problems on other KenyansAli Robo: Waxa dibkena eh.Translator: One of our problems isAli Robo: Okenyath kely ey gawin.Translator: Which other Kenyans don’t have,
- Page 2: 2CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMI
- Page 5: 5CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS,MANDE
- Page 10 and 11: 10Ali Robo: Baxal lairaxtho iririn
- Page 12 and 13: 12Galoi Nuruo: Xathey sikasta taxay
- Page 14 and 15: 14Galoi Nuruo:Garisa inta xaga kaji
- Page 16 and 17: 16Translator: I wanted to ask you w
- Page 18 and 19: 18Sheik Tawane: Bilcanta dibkoi oga
- Page 20 and 21: 20We want the 25% rule of President
- Page 22 and 23: 22who are educated, and even poor s
- Page 24 and 25: 24killed a lot; extra judicial, a l
- Page 26 and 27: 26And then the question of power, w
- Page 28 and 29: 28hivyo. Kama kuna kweli uhuru, tun
- Page 30 and 31: 30Abdi Rahaman: Waxa kale on rawa n
- Page 32 and 33: 32Special welfare system, like othe
- Page 34 and 35: 34Translator: Kupata hiyo benefit y
- Page 36 and 37: 36On foreign policies: if our forei
- Page 38 and 39: 38tumewahi kusikia tukitembea kuchu
- Page 40 and 41: 40card.Muslima Sheikh: Waxa dacthey
- Page 42 and 43: 42Translator: She says we women hav
- Page 44 and 45: 44My second point is partcipatory g
- Page 46 and 47: 46Type…….Hassan Bilo: Waxan she
- Page 48 and 49: 48somebody gets an injury and the s
- Page 50 and 51: 50cow 15,000 and chicken 10,000.Fre
- Page 52 and 53: 52pastoral groups.I’m also reques
- Page 54 and 55: 54members of the Public Service Com
- Page 56 and 57: 56Mohamed Abdinoor: Kuwan qawil ba
- Page 58 and 59:
58Mohamed Abdinoor: Anaga dhad axan
- Page 60 and 61:
60Ya pili, ningetaka wazee wa peace
- Page 62 and 63:
62Mohamed Ibraham Omar: Masaai, Kis
- Page 64 and 65:
64ten years and above, and have bee
- Page 66 and 67:
66I would have wished to say someth
- Page 68 and 69:
68Kenya eh.Translator: The indepede
- Page 70 and 71:
70Abda Adawe Hassan: Ini kor naloso
- Page 72 and 73:
72Abda Adawe Hassan: Ingriska iyo x
- Page 74 and 75:
74Translator: The Government says t
- Page 76 and 77:
76Ahmed Ali Hassan: Xathii u mit wa
- Page 78 and 79:
78Translator: As parents, we will t
- Page 80 and 81:
80torture you are undergoing, you h
- Page 82 and 83:
82political parties.I support the e
- Page 84 and 85:
84should be replaced by coming up w
- Page 86 and 87:
86Translator: If you say your probl
- Page 88 and 89:
88Translator: The graves of my gran
- Page 90 and 91:
90reserve, so that water is given t
- Page 92 and 93:
92Translator: we do not see the fru
- Page 94 and 95:
94Sugal Abdow: Waxa qalbigeiga kene
- Page 96 and 97:
96We also want natural resources to
- Page 98 and 99:
98Yusuf Hassan Mohammed: Waxan dhon
- Page 100 and 101:
100Constitution, so that at least,
- Page 102 and 103:
102Noor Ahmed: Barabarixi gawaritha
- Page 104 and 105:
104Noor Ahmed: Wexey ithinka thlana
- Page 106 and 107:
106Noor Ahmed: Xiligan wixi kathamb
- Page 108 and 109:
108very much.Hassan M. Ahmed: I req
- Page 110 and 111:
110land, not to be managed on their
- Page 112 and 113:
112Nyingine, ni mambo ya civil serv