30Abdi Rahaman: Waxa kale on rawa ninki Councillor lothoranayo in standi 8 iyo kakorey uaxatho.Translator: Wakati wa kufanya uchaguzi wa madiwani, angependa mtu yule ana masomo kuanzia darasa la nane mpaka form4.Abdi Rahaman: MP waxan karawa in uaxatho form 4 iyo waxi kakoreyo.Translator: Kufika kwa wanabunge pia, iwe kutoka form 4 mpaka juu.Abdi Rahaman: dhowlada mehsey guryaxa kadisatey, meshey jithathka kasameysatey wa mel ber dhad leyaxay ama guri eyxog kuqathatey iney dhowlada ey lacg soceliso yan rawa.Translator: Anasema kuna ardhi zingine ni ya wananchi, Serikali inachukua kwa nguvu, inatumika kwa barabara, amainatumika kwa office, ama inatumika kwa njia zingine. Hizo pia ni maombi yake kwamba, wale wenye hiyo ardhi, wawecompensated. Warudishiwe mali kama plot imechukuliwa.Abdi Rahaman: Waxa dhowlada kaqothsana Garis ila meshan inta udaxey anaga jit maqabno, gawaritha xata shan biloth lixbiloth bey jitka kujiran waxan kaqothsaneyna jitka xata uithinka naftina yanilithithey waxa thiyaratha nilisosiyey wa sas.Translator: Kama kweli Serikali ni yetu ama ni yangu, nione kwamba, hii barabara kutoka emkoi, katika kaskazini masharikiyote vile iko mbaya, angependa irekebishwe. Hata vile mlipewa helicopter, ni kwa vile ma-commissioners wasione barabaravile iko ndio mlipewa helicopter.Abdi Rahaman: Xata inta kabathan mawashegikari dhowlada ya naqaqawani askarta yaqawa bananka xathan ubaxno.Translator: Anasema kama angetaja zaidi, labda pale mlango ni atashikwa, kwa hivyo hangependa kuguza hiyo.Comm Lenaola: Wacha niwaeleze kitu, si kusema hivi asubuhi nafikiri, hakuna mtu atakushika hapa kwa maoniutakayoyasema.Translator: Qof racyigi ath shegtey kuqawano maalaxa.Hii kazi ambayo Serikali yenyewe ilikubali kwamba kila Mkenya azungumze, aseme anayapenda bila kusubuliwa na mtuyeyote.Translator: Dhowlada ya fasaxthey ini ninkasta oo rer kenya eh in u waxuqawo shegto.Ukitaka kusema leo kwamba chief achaguliwe na wananchi, sema hivyo,Translator: Xathath rabtith chiefka ini lathorto sheg.ukitaka President akuje hapa achaguliwe na wananchi, sema hivyo,Translator: Xata xathath rabtith mathax weynaxa in u xalka imatho oo lathorto sheg.ukitaka mjube kama baada ya miaka miwili unataka kumwita nyubani, sema hivo.Translator: Xathi ninki MP ushaqathisa kaosbixiwayo oo rabtith ini lasoceliyo sheg.
31Usiwe na wasiwasi wowote,Translator: Shaki xaqawin.kama baada ya kutoa maoni hapa OCPD, ama OCS, ama chief, ama sub-chief, akuulize kwa nini umesema yale umeyasema.Pigia huyu mzee report,Translator: Xath markath xalkan kabaxthi qof dhowlada kamit u wax ithindoxo ninkas yath ushegeisa.na tume itachukua hatua mara moja.Translator: Commission ka ya thilaba bey kaqathayan.Kwa hivyo msiwe na wasiwasi.Translator: Marka xor batixin waxath rabtin shegta.Tumeelewana? Haya, ok bwana Abdi Rahaman. Kuna swali.Com. Baraza: Umeguzia mambo ya mashamba, land, umesema ya kwamba, irudishwe kwa mikono ya wananchi. Ungetakairudishwe kwa mwananchi individual au community au ishikiliwe na nani?Translator: Wexey daxthey xaga beraxa iyi dulka yatha daxthey maqof shaqsi axan ya lodiba madhad weynaxa oadn yathrabta ini lodibo yan rabta ini ldibo.Abdi Rahaman: Waxan rabna otheyal oo thuqey eh ini lodibo.Translator: Anasema labda hiyo labda itapeanwa kwa mikono ya wazee ambayo ni wanakamati.Noises, no introductionAbdula Washi: The first point is free education in schools. Point No. 2 is free medical services, No. 3 is provision of modernmedical facilities in hospitals. No. 3 is security, No. 4 is livestock Social Welfare System, Citizenship, unemployment,empowerment of the________ (inaudible).I ask for free eduation because of the prolonged drought, that has taken the province for long. We feel livestock areas don’thave markets, that’s why we feel that there should be free eduation. Equally, due to prolonged drought, or famine, the diseasesare prevalent in the area. So it will be expected to meet those expenditures or those bills.Our hospitals have poor medical facilities, and also we require trained medical personnel.Security has been a major obstacle to development in our province, this province borders Somalia and Ethiopia, which both donot have a proper Government that takes care of security. As tax payers we are entitled to security all the time. The securitypersonnel in our area themselves join in butchering, harassing and robbing of our belongings. Our children, women andlivestock regularly fall in the hands of these bandits. That’s why we need that security.Also I propose that policemen carry identification badge. Rustiling of Livestock will only come to an end if locals are armed.Arming a number in each location, with automatic guns can solve the problem. It will be upon the elders and the leaders toidentify those with good conduct. The paying of these men who are armed should be the responsibility of the Government ofKenya.
- Page 2: 2CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMI
- Page 5: 5CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS,MANDE
- Page 8 and 9: 8nafasi Mr. Tero Maalim Thamo ambay
- Page 10 and 11: 10Ali Robo: Baxal lairaxtho iririn
- Page 12 and 13: 12Galoi Nuruo: Xathey sikasta taxay
- Page 14 and 15: 14Galoi Nuruo:Garisa inta xaga kaji
- Page 16 and 17: 16Translator: I wanted to ask you w
- Page 18 and 19: 18Sheik Tawane: Bilcanta dibkoi oga
- Page 20 and 21: 20We want the 25% rule of President
- Page 22 and 23: 22who are educated, and even poor s
- Page 24 and 25: 24killed a lot; extra judicial, a l
- Page 26 and 27: 26And then the question of power, w
- Page 28 and 29: 28hivyo. Kama kuna kweli uhuru, tun
- Page 32 and 33: 32Special welfare system, like othe
- Page 34 and 35: 34Translator: Kupata hiyo benefit y
- Page 36 and 37: 36On foreign policies: if our forei
- Page 38 and 39: 38tumewahi kusikia tukitembea kuchu
- Page 40 and 41: 40card.Muslima Sheikh: Waxa dacthey
- Page 42 and 43: 42Translator: She says we women hav
- Page 44 and 45: 44My second point is partcipatory g
- Page 46 and 47: 46Type…….Hassan Bilo: Waxan she
- Page 48 and 49: 48somebody gets an injury and the s
- Page 50 and 51: 50cow 15,000 and chicken 10,000.Fre
- Page 52 and 53: 52pastoral groups.I’m also reques
- Page 54 and 55: 54members of the Public Service Com
- Page 56 and 57: 56Mohamed Abdinoor: Kuwan qawil ba
- Page 58 and 59: 58Mohamed Abdinoor: Anaga dhad axan
- Page 60 and 61: 60Ya pili, ningetaka wazee wa peace
- Page 62 and 63: 62Mohamed Ibraham Omar: Masaai, Kis
- Page 64 and 65: 64ten years and above, and have bee
- Page 66 and 67: 66I would have wished to say someth
- Page 68 and 69: 68Kenya eh.Translator: The indepede
- Page 70 and 71: 70Abda Adawe Hassan: Ini kor naloso
- Page 72 and 73: 72Abda Adawe Hassan: Ingriska iyo x
- Page 74 and 75: 74Translator: The Government says t
- Page 76 and 77: 76Ahmed Ali Hassan: Xathii u mit wa
- Page 78 and 79: 78Translator: As parents, we will t
- Page 80 and 81:
80torture you are undergoing, you h
- Page 82 and 83:
82political parties.I support the e
- Page 84 and 85:
84should be replaced by coming up w
- Page 86 and 87:
86Translator: If you say your probl
- Page 88 and 89:
88Translator: The graves of my gran
- Page 90 and 91:
90reserve, so that water is given t
- Page 92 and 93:
92Translator: we do not see the fru
- Page 94 and 95:
94Sugal Abdow: Waxa qalbigeiga kene
- Page 96 and 97:
96We also want natural resources to
- Page 98 and 99:
98Yusuf Hassan Mohammed: Waxan dhon
- Page 100 and 101:
100Constitution, so that at least,
- Page 102 and 103:
102Noor Ahmed: Barabarixi gawaritha
- Page 104 and 105:
104Noor Ahmed: Wexey ithinka thlana
- Page 106 and 107:
106Noor Ahmed: Xiligan wixi kathamb
- Page 108 and 109:
108very much.Hassan M. Ahmed: I req
- Page 110 and 111:
110land, not to be managed on their
- Page 112 and 113:
112Nyingine, ni mambo ya civil serv