13.07.2015 Views

constituency public hearings, mandera east ... - ConstitutionNet

constituency public hearings, mandera east ... - ConstitutionNet

constituency public hearings, mandera east ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

28hivyo. Kama kuna kweli uhuru, tungependa tuwe compensated, ili mali yetu ama wale watu wamepoteza maisha yao.Abdi Rahaman: Emergence kale oo Kenya ey nalaqawin yan anaga qabna North Eastern.Translator: pia kuna emmergency, law nyingine, ambayo sisi watu wa sehemu hii tuko nayo kuliko Wakenya wengine wakodown.Abdi Rahaman: Emergensiga xata ithanka wath kaseysin, xata askarta marki Garia lakeno darka xata walagabathali waxaladixi darki shuftatha ath kulaini lexethen qata shuftathana wa anaga.Translator: Hakika labda mmeona, mavazi ya police, ama askari wa mkoa huu, ni tofauti kuliko huko, kwa sababu askariwakitolewa huko down Kenya wanaingia mkoa wa kasikazini mashariki, wanapatiwa jungle uniform, yaani nguo dalili yakuonyesha kwamba, ni watu ambao wanaeda kuangamisha wananchi.Abdi Rahaman: Waxan rawa aniga primary ila university ey ilmaxa kagaran dhowlada xathey tena taxay iney bilashnoguaqristan ila jamacath ey kataganj.Translator: Anapendekeza pia, watoto wa shule kuanzia darasa la kwanza, mpaka university wapate masomo ya bure.Abdi Rahaman: Kibandaxan ninkastawo wuiskaqata waxan rabna dhowlada iney passport nogubathasho oo anaga rer Kenyanaluguaqonsatho.Translator: Anasema kawaida, mtu akiwa ni mwanakenya, anachukua kitambulisho, lakini hasa, kile kitu ambacho inamuwekawasiwasi kuliko hata kujisughulisha na mambo ya kitambulisho, angependa apatiwe passport, kwa sababu passport ndio gumukuliko kitambulisho.Abdi Rahaman: Kibandaxa ninkasta wuwata lacag ba lagugosani lallush yalabixini walaiska gosana.Translator: Kitambulisho ni rahisi, mtu labda analipa pesa ama ana njia za kuipata lakini passport ndiyo imekua ngumu kabisa.Abdi Rahaman: Waxan rawa Administarationka nimanka ladaxo oo PC iyo DC iyo Chiefafka kuli iney thorasha watha galanwana niman ey dhowlad sodigatey meshas oo wa ilin.Translator: Anasema, upande wa utawala, administration, hasa kuanzia mtu wa wilaya, chief, DOs, waadikwe, ama waingiekwa upande wa uchaguzi, sio kuandikwa. Kwa sababu hawa ndio kichini kabisa, ndio wanatumiwa kwa kuzuia haki zawananchi, road blocksAbdi Rahaman: Dinnta islamka waxan karawa Khadiga ninki kotka jogo in uxatho nin dinta kaley iyo tan bo kasayo inuaxatho ninka mahkamatha jogo.Translator: anasema kuhakikisha upande wa Waislam, angependa mtu anaelewa both ways, Kenyan law na pia mambo ya

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!