Final Sameer Annual Report 2010 - Sameer Africa Limited
Final Sameer Annual Report 2010 - Sameer Africa Limited Final Sameer Annual Report 2010 - Sameer Africa Limited
Ripoti ya wakurugenzi Wakurugenzi wana furaha ya kuwasilisha ripoti yao pamoja na taarifa za kifedha zilizokaguliwa za mwaka ulioishia tarehe 31 Desemba 2010, ambazo zinaarifu hali ya shughuli za Kundi na Kampuni. 1. SHUGHULI KUU ZA KAMPUNI Shughuli kuu za Kundi ni utengenezaji, uingizaji wa magurudumu kutoka nje na uuzaji na ukodishaji wa majengo katika eneo la Utengenezaji Bidhaa Nje. 2. MATOKEO Matokeo ya mwaka yanaonyeshwa ukurasa wa 18. 3. Gawio La Faida Faida ya jumla ya mwaka ya KShs 57,396,278 (2009 - KShs 158,005,291) imeongezwa kwenye mapato yaliobakishwa. Wakurugenzi hawapendekezi malipo ya gawio la faida (2009 - KShs senti 0.50 kwa kila hisa). 4. Wakurugenzi Wakurugenzi waliofanya kazi katika mwaka wameonyeshwa kwenye ukurasa wa 2. 5. WAHASIBU Wahasibu, KPMG Kenya, wameonyesha kuridhia kwao kuendelea kuwa wahasibu kuambatana na sehemu 159 (2) ya Sheria za Makampuni (kifungu 486). 6. Kukubaliwa kwa Taarifa za Kifedha Taarifa za kifedha zilikubaliwa katika mkutano wa wakurugenzi uliofanywa tarehe 22 Machi, 2011. Kwa Amri ya Halmashauri Issa Timamy Katibu wa Kampuni 22 Machi, 2011 X 10 SAMEER Annual Report 2010 2009 Summit 7.50-16 Yana Faida 195 R15
Board of Directors Seated from left: Mr. M. M. Karanja-Managing Director Eng. E. K. Mwongera-Chairman Mr. T. D. Owuor-Director Standing from left: Mr. I. A. Timamy-Director Mr. P. M. Gitonga-Director Mr. S. M. Githiga-Director Mr. A. H. Butt-Director SAMEER Annual Report 2010 11
- Page 3 and 4: Table of Contents Page Corporate In
- Page 5 and 6: Notice to the annual general meetin
- Page 7 and 8: Chairman’s Statement Following my
- Page 9 and 10: Managing Director’s Remarks 2010
- Page 11: Report of the Directors The directo
- Page 15 and 16: Corporate Governance The aggregate
- Page 17 and 18: Management Team Mr. M. M. Karanja M
- Page 19 and 20: Report of the independent auditors
- Page 21 and 22: Consolidated statement of financial
- Page 23 and 24: Company statement of changes in equ
- Page 25 and 26: Notes to the consolidated financial
- Page 27 and 28: Notes to the consolidated financial
- Page 29 and 30: Notes to the consolidated financial
- Page 31 and 32: Notes to the consolidated financial
- Page 33 and 34: Notes to the consolidated financial
- Page 35 and 36: Notes to the consolidated financial
- Page 37 and 38: Notes to the consolidated financial
- Page 39 and 40: Notes to the consolidated financial
- Page 41 and 42: Notes to the consolidated financial
- Page 43 and 44: Notes to the consolidated financial
- Page 45 and 46: Notes to the consolidated financial
- Page 47 and 48: Notes to the consolidated financial
- Page 49 and 50: Notes to the consolidated financial
Board of Directors<br />
Seated from left:<br />
Mr. M. M. Karanja-Managing Director<br />
Eng. E. K. Mwongera-Chairman<br />
Mr. T. D. Owuor-Director<br />
Standing from left:<br />
Mr. I. A. Timamy-Director<br />
Mr. P. M. Gitonga-Director<br />
Mr. S. M. Githiga-Director<br />
Mr. A. H. Butt-Director<br />
SAMEER <strong>Annual</strong> <strong>Report</strong> <strong>2010</strong> 11