constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
96established for the less fortunate and bright children from poor faminilies. Now, it happens to be for the well to do families inour midst. The bursary was meant for students from poor families so as to pursue their education especially in secondaryschools. But right now, the bursary funds are for pupils from the politically connected families and no wonder most of them arepupils of men and women sitting in the Board of Governors. My proposal is that, this bursary fund should be placed under anindependent department in the Ministry of education or Social services so as to cater for education of pupils from poor familiesor those of HIV/Aids parents, so that they can get education as the others.Secondly is about traditional liquor: kama kuna maswali mtaniuliza baadaye. As well as we can appreciate the banning oftraditional liquor by the government, I do feel that the banning was orchestrated by the colonial governors who felt that theirsecurity would be at risk if the black Kenyans were left free to brew their beer. This law is not African- oriented and I can sayby example; our neighbouring country like Uganda and Tanzania, they have practiced it and it has proved more successful. I dofeel that, the government should uplift that law so as the menace of police officers who are empowered to arrest and prosecutethose found in the offence should stop that corruption of soliciting money from the culprit. That will also help the government tofight this cause of corruption. My proposal is that, the government should legalize traditional liquor this being busaa, mnazi andchang’aa so as to easy congestion in our prison. I say and I mean, this should not be legalized freely but there must be a law togovern this business and set the time limit for those who want to consume, it may be from 2.00 pm to midnight so thatemployees cannot be affected.Sasa, wazee mtusaidie tafadhali kwa sababu, kuna wazazi wetu ambao wamefiwa na baba zetu- yaani wajane. Hawana namnayeyote na kama hawezi kuuza hii chang’aa especially wakati huu kuna ugonjwa wa ukimwi, hakuna haja mama mzee wa miakaarobaini au hamsini, apewe shilingi hamsini kwa ajili ya ugonjwa wa ukimwi ati anaenda kujisaidia. Kama hii pombe kweli,mtuwachie na muunde mtusaidie. Hatuchagui watu kwenda kukaa huku juu kufunga tai lakini tunawachagua watusaidie. Hiipombe iwekwe, vile vile Uganda na Tanzania. Kwa kusema ukweli, hata Uganda huwezi kupata mlevi- mtu mwenye ameendaUganda na Tanzania, kweli kuna mlevi unaweza kutana naye njiani? Kwa vile hatuna freedom ya kutosha, mtu ananunua chang’aa ishirini “anapiga touch” ili police asimpate na police akimpata, anataka pesa kutoka kwake na tena anamwaachilia. Sasakama police kama anaweza kupata pesa kutoka kwa yule mtu, mpeane percentage fulani na pombe iwepo.Kitu cha pili, kuna hivi vitu vya freedom from hunger walk. Hata subchief yuko hapa, tunapewa forms za kujisaidia wale watuhawajiwezi upande wa chakula na unapata, hata huyo Mukasa ndiye anapata mahindi mingi kuliko yule mtu mwenye alitakikanaapate hayo mahindi. Sasa hapo pia mtusaidie. Na mimi vile ninaongea hivi; hata mimi ninaye mtoto na nilipata nje ya ndoa naninataka nijisaidie na ninataka niepuke na maneno ya ukimwi haya- ambapo sina kazi lakini nimesoma. Kwa hivyo ninawezasema niuze chang’aa ili nipate mapato yangu na mtoto wangu pia, lakini Police wamekuwa wagumu. Nikishikwa wanachukuapesa kwangu. Sasa kuchukua pesa na kupeana percentage fulani, nilipe gani mzuri? Tunataka mtusaidie, kama pombe iwepo,iwepo na kama haiwezi kuwepo na hata police asipate hongo kutoka kwangu. Ni hayo tu.
97Com. Lethome: Hebu ngoja kidogo. Unajua mwaka uliopita sijui kama ulisoma kwenye vyombo vya habari. Kuna watuwalikufa, wengine wakapoteza macho mpaka leo hii ni vipofu na watu wengi wamepoteza maisha kwa sababu ya hii pombeharamu. Hata busaa imeumiza watu wengine- lakini una uhuru wa kutoa maoni yako. Sasa how do you take care of that now?Ann Adhiambo: Mimi najua vizuri sana. Hata wakati huu, Nzoia kuna pombe inaitwa miti ni dawa na ninajua hiyo pombe,hakuna tofauti ya miti ni dawa na busaa. Kwa sababu hii pombe inatengenezwa na mwanadamu vile hata busaa inatengenezwana mwanadamu. Sasa kama kutakuwa na vitu kama hivyo na pombe iweko, bora isiwe kumi kumi ya kuumiza watu. Unajuakuna watu wanatafuta pesa na kuna watu wanataka pesa, kuna haki yao. Sasa hao wenye wali-introduce mambo ya kumi kumiya kuua watu- na hata sijawahi sikia hata mmoja alishikwa hata kama siko karibu na Nairobi, lakini siwezi kujua kama hawawatu walichukuliwa hatua. Sasa kama kutakuwa na vitu kama hivyo- pombe hiyo imekuwa tangu kitambo lakini sasa pombehata kupimwa, tunaweza kubali ipimwe bora iwe pombe nzuri na iwe na permit, watu wakunywe na wawe salama. Kuliko mtuapige chang’aa ya ishirini na aende afe. Mwenye amemuuzia anashtakiwa, na yeye amepoteza maisha yake.Kitu cha tatu ni kwamba, kama mtu amuuawa mahali fulani, tafadhali police itusaidie kuchukulia hawa watu hatua. Hakuna hajamtu ameuawa, familia yake inasikia uchungu na police wanakula hongo ya shilling elfu tano na mtu amepoteza maisha yake.Tusaidiane. Serikali ilikuja kulinda usalama wa watu wa Kenya na itusaidie. Mambo ya hongo tuache. Hata barabarani ajalinyingi zinatokana kwa mambo ya hongo. Mtu anapewa shilling ishirini na watu wanapoteza maisha ya watu ishirini. Hiyotafadhali pia mtusaidie. Lakini upande ya pombe nitarudia; kama hiyo pombe mtatuachilia huru na ipimwe pia wajue kama nipombe nzuri watu wanaweza kunywa au ni pombe inawezadhuru watu.Com. Bishop Njoroge: Hebu mama nikuulize swali?Ann Adhiambo: Niulize baba niko hapa kujibu maswali.Com. Bishop Njoroge: Hawa watu wanakunywa chang’aa ya ishirini na wanakufa, wanauwawa na nini?Ann Adhiambo: Anakunywa pombe akiwa na njaa- hajakula, lakini anaona afadhali akunywe chang’aa na hii chang’aa hanafreedom. Anakunywa haraka haraka ili police wasimpate. Na katika ile hali, anakunywa chang’aa, “anapiga touch” na anajuapolice anakuja---Intejection: Com. Lethome: Tumia language ambayo tunaweza kukuelewa.Ann Adhiambo: Language gani unataka nitumie?Com. Lethome: Unamaanisha nini ukisema “anapiga touch?”
- Page 46 and 47: 46Kiberenge: Nekhumanya khurio, khu
- Page 48 and 49: 48Douglas Masinde: I will start wit
- Page 50 and 51: 50number of people who head those i
- Page 52 and 53: 52Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 54 and 55: 54Sylvester: I mean, the government
- Page 56 and 57: 56Com. Bishop Njoroge: Tupatie poin
- Page 58 and 59: 58Because when you go to hospitals,
- Page 60 and 61: 60and it them who will come out wit
- Page 62 and 63: 62mtu kutoa hata file hapo alete ha
- Page 64 and 65: 64yuko? Yuko pale? Alagalo Okinyi?
- Page 66 and 67: 66Okiding’: Yangu ndio hiyo tu.Co
- Page 68 and 69: 68to give your view. Musakhulu utak
- Page 70 and 71: 70Com. Lethome: Stanely Natembea? H
- Page 72 and 73: 72mukhachibonakho?Translator: Teach
- Page 74 and 75: 74Translator: Circumcision.Cllr. Pe
- Page 76 and 77: 76Cllr. Peter Mwanja: Efwe bandu ba
- Page 78 and 79: 78kuna junction mahali wanaenda wan
- Page 80 and 81: 80itself instead of taking the fund
- Page 82 and 83: 82Com. Bishop Njoroge: Pendekezo la
- Page 84 and 85: 84Com. Lethome: Sasa unapendekeza i
- Page 86 and 87: 86Com. Lethome: Mzee akipiga mama a
- Page 88 and 89: 88wakubwa, wanaendelea kutuelimisha
- Page 90 and 91: 90Wakoli: Wekhale mungo ne masalao.
- Page 92 and 93: 92Com. Lethome: Bado hujamaliza. Un
- Page 94 and 95: 94Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 98 and 99: 98Ann Adhiambo: Yaani, anakunywa ha
- Page 100 and 101: 100Kenya, yeye hajui Mkikuyu, hajui
- Page 102 and 103: 102Johnstone Wabwire: Epoint yange
- Page 104 and 105: 104Translator: It is hardly directe
- Page 106 and 107: 106Translator: Then you will just g
- Page 108 and 109: 108Translator: this is an agricultu
- Page 110 and 111: 110Bungoma hatujasikia tena. Haya m
97Com. Lethome: Hebu ngoja kidogo. Unajua mwaka uliopita sijui kama ulisoma kwenye vyombo vya habari. Kuna watuwalikufa, wengine wakapoteza macho mpaka leo hii ni vip<strong>of</strong>u na watu wengi wamepoteza maisha kwa sababu ya hii pombeharamu. Hata busaa imeumiza watu wengine- lakini una uhuru wa kutoa maoni yako. Sasa how do you take care <strong>of</strong> that now?Ann Adhiambo: Mimi najua vizuri sana. Hata wakati huu, Nzoia kuna pombe inaitwa miti ni dawa na ninajua hiyo pombe,hakuna t<strong>of</strong>auti ya miti ni dawa na busaa. Kwa sababu hii pombe inatengenezwa na mwanadamu vile hata busaa inatengenezwana mwanadamu. Sasa kama kutakuwa na vitu kama hivyo na pombe iweko, bora isiwe kumi kumi ya kuumiza watu. Unajuakuna watu wanatafuta pesa na kuna watu wanataka pesa, kuna haki yao. Sasa hao wenye wali-introduce mambo ya kumi kumiya kuua watu- na hata sijawahi sikia hata mmoja alishikwa hata kama siko karibu na Nairobi, lakini siwezi kujua kama hawawatu walichukuliwa hatua. Sasa kama kutakuwa na vitu kama hivyo- pombe hiyo imekuwa tangu kitambo lakini sasa pombehata kupimwa, tunaweza kubali ipimwe bora iwe pombe nzuri na iwe na permit, watu wakunywe na wawe salama. Kuliko mtuapige chang’aa ya ishirini na aende afe. Mwenye amemuuzia anashtakiwa, na yeye amepoteza maisha yake.Kitu cha tatu ni kwamba, kama mtu amuuawa mahali fulani, tafadhali police itusaidie kuchukulia hawa watu hatua. Hakuna hajamtu ameuawa, familia yake inasikia uchungu na police wanakula hongo ya shilling elfu tano na mtu amepoteza maisha yake.Tusaidiane. Serikali ilikuja kulinda usalama wa watu wa Kenya na itusaidie. Mambo ya hongo tuache. Hata barabarani ajalinyingi zinatokana kwa mambo ya hongo. Mtu anapewa shilling ishirini na watu wanapoteza maisha ya watu ishirini. Hiyotafadhali pia mtusaidie. Lakini upande ya pombe nitarudia; kama hiyo pombe mtatuachilia huru na ipimwe pia wajue kama nipombe nzuri watu wanaweza kunywa au ni pombe inawezadhuru watu.Com. Bishop Njoroge: Hebu mama nikuulize swali?Ann Adhiambo: Niulize baba niko hapa kujibu maswali.Com. Bishop Njoroge: Hawa watu wanakunywa chang’aa ya ishirini na wanakufa, wanauwawa na nini?Ann Adhiambo: Anakunywa pombe akiwa na njaa- hajakula, lakini anaona afadhali akunywe chang’aa na hii chang’aa hanafreedom. Anakunywa haraka haraka ili police wasimpate. Na katika ile hali, anakunywa chang’aa, “anapiga touch” na anajuapolice anakuja---Intejection: Com. Lethome: Tumia language ambayo tunaweza kukuelewa.Ann Adhiambo: Language gani unataka nitumie?Com. Lethome: Unamaanisha nini ukisema “anapiga touch?”