constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
66Okiding’: Yangu ndio hiyo tu.Com. Lethome: Asante. Nyinyi ndio mume-interupt, pengine alikuwa na nyingine mumefanya amesahau. David Baile?Karibu. Na Jafred Malumasi yuko? Utafuata huyu.David Baile: Kwa majina naitwa David Baile. Mimi naona serikali yetu hii, inataka kujifanyia. Ingekuwa vizuri sisi wenyewetuchague yule mtu tunataka si ati President atuchagulie mtu wa kupiga kura. La pili, ni upande wa mashamba. Serikaliimenyanyasa wenye wananunua mashamba- wanafanyia biashara. Ukinunua kwa pesa, wakiona ingine ati ni nyingi anachukuwahizo anatupa wewe nje. Na serikali itaandikisha shamba yako hiyo. Hiyo sheria kama hiyo hatutaki.Upande wa 8-4-4: zamani tulikuwa na class eight na tulikuwa tunalipa fees. Leo wanapandisha pesa hizi kwa sababu ya 8-4-4hiyo ilikuwa zamani lakini siku hizi, wamerudisha tu lakini ilikuweko kitambo. Sasa tunataka afadhali tuwe kama zamani; watuwalipe fees kama zamani kuliko kunyanyaswa. Upande wa matibabu: wanaleta madawa kutoka ng’ambo ya kutibu hapa nawanaweka kwa office ya President. President huyo ni daktari au yeye ndio analinda nchi yetu? Sasa hatutaki- madawa kamainakuja waweke kwa ministry for health wapatiane hayo madawa kwa mahospitali. Upande wa wafanyikazi: kwamapendekezo yangu nataka yule mtu amefika miaka hamsini, aachie hapo kuliko kuenda mpaka hamsini na tano na akiendanyumbani atakuwa amekwisha nguvu ya kufanya kazi kwa shamba. Zamani niliona serikali yetu ilikuwa na kitu kama yaincrement. Union inapigania wafanyikazi, inawapatia percentage fulani, halafu baadaye serikali nayo inawaongeza percentagefulani. Wakati huu vile Nyayo aliingia hakufanya kitu chochote cha percentage kwa watu wa industries.Com. Lethome: Sasa unapendekeza nini?Davil Baile: Hayo maneno ikose kuweko.Com. Lethome: Maneno gani ikose kuweko?David Baile: Yaani, kama kuna kupandisha percentages fulani, pia ipandishwe kwa watu wa industries kama watu wa SugarIndustries. Yangu ni machache na ni hayo tu.Com. Lethome: Haya asante sana “Omusakhulu”. Jafrey Malumasi, atafuatwa na Councillor Mwanja. Councillor yuko?Councillor utafuata.Jafrey Malumasi: Asante sana. Mimi naitwa jafrey Malumasi nafanya kazi hapa Nzoia kama Research Assistant.• Katika hali ya introduction ya hiyo Katiba yetu, should stress on patriotism, unity of nation by thought, tracing our roots
67as a nation and taking our, port of togetherness in restoration of broken structures.• Education of our people and the youth; we need to see the importance of taking new pathways, change in educationand learning school syllabus to broaden children’s mind in issue perception and by giving all-round knowledge byinvolving spiritual, mental and cultural values. Hiyo imekwisha.• Number four, Constitution amendment: Parliamentary increase from three vote to three quarter vote. Only coveringpolitical party operations as to numbers and mergers.• Citizenship: foreign husband to a Kenyan woman or a foreign wife to a Kenyan man, becomes a citizen if marriageprocedures say dowry paying or customary procedures are undertaken. A child born to a Kenyan and a foreignorshould become a Kenyan citizen. A citizen should have own entitlement and responsibilities as his abilities uphold him.A child born of one Kenyan parent should have through his own abilities, all entitlement and responsibilities.• Girls can inherit mothers’ or father’s estate and subject to customary laws. A child citizenship should have limitedentitlement under responsibities particularly in job applications decisions in public sector. If his profession is fruitful, hemay enter into private practice. Or on occasions, be employed in public services when- through his extensiveexperience in acquired profession, his will be required.• Dual citizenship be allowed.• Kenyans can have either national IDs or passports.• Political parties: as at now, there should not be a fixed number of parties until Kenyans learn and mature on thissubject. There should be no government funding of political parties except during general elections when Presidentialcampaign are government funded including provision of security.• Let us continue having a President, a system of electing a Prime Minister through Parliament by a majority party requirevery high level of maturity and responsibility and suitable in countries with little peace. We do not need this in Kenya.• Systems of government and national unity; Prime Minister can be provided for in Constitution, but be termed asoptional. Can be used by the Head of State to reconcile or harmonize the nation.• Majimbo system is necessary for equal distribution of national resources and protect interests of marginalizedcommunities.• Parliament: Parliamentary Committes to check track records and characters of personalities proposed by the Presidentfor top national posts. Public service Commissioner and Judicical Service---Interjection. Com Lethome: Mzee hebu ngoja kidogo. Musakhulu, tulia utakuja kuzungumza. You will come immediately
- Page 17 and 18: 17Com. Lethome: Thank you very much
- Page 19 and 20: 19nne. Kwa hivyo lazima tuwe na hes
- Page 22: 22circumscision. Environment and na
- Page 26 and 27: 26Jambo lingine kuhusu tena ardhi t
- Page 28 and 29: 28Com. Bishop Njoroge: I am just gi
- Page 30 and 31: 30Sylvester Nakitari: Busaa should
- Page 32 and 33: 32Com. Lethome: Finally, finalize n
- Page 34 and 35: 34Two, Bwana Commissioner---Interje
- Page 36 and 37: 36tofauti baina ya hiyo na kumchagu
- Page 38 and 39: 38Peter Masinde: Kitu cha kwanza, a
- Page 40 and 41: 40Interjection. Com. Bishop Njoroge
- Page 42 and 43: 42kutegemea chama chochote cha kisi
- Page 44 and 45: 44Translator: And he kills the othe
- Page 46 and 47: 46Kiberenge: Nekhumanya khurio, khu
- Page 48 and 49: 48Douglas Masinde: I will start wit
- Page 50 and 51: 50number of people who head those i
- Page 52 and 53: 52Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 54 and 55: 54Sylvester: I mean, the government
- Page 56 and 57: 56Com. Bishop Njoroge: Tupatie poin
- Page 58 and 59: 58Because when you go to hospitals,
- Page 60 and 61: 60and it them who will come out wit
- Page 62 and 63: 62mtu kutoa hata file hapo alete ha
- Page 64 and 65: 64yuko? Yuko pale? Alagalo Okinyi?
- Page 68 and 69: 68to give your view. Musakhulu utak
- Page 70 and 71: 70Com. Lethome: Stanely Natembea? H
- Page 72 and 73: 72mukhachibonakho?Translator: Teach
- Page 74 and 75: 74Translator: Circumcision.Cllr. Pe
- Page 76 and 77: 76Cllr. Peter Mwanja: Efwe bandu ba
- Page 78 and 79: 78kuna junction mahali wanaenda wan
- Page 80 and 81: 80itself instead of taking the fund
- Page 82 and 83: 82Com. Bishop Njoroge: Pendekezo la
- Page 84 and 85: 84Com. Lethome: Sasa unapendekeza i
- Page 86 and 87: 86Com. Lethome: Mzee akipiga mama a
- Page 88 and 89: 88wakubwa, wanaendelea kutuelimisha
- Page 90 and 91: 90Wakoli: Wekhale mungo ne masalao.
- Page 92 and 93: 92Com. Lethome: Bado hujamaliza. Un
- Page 94 and 95: 94Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 96 and 97: 96established for the less fortunat
- Page 98 and 99: 98Ann Adhiambo: Yaani, anakunywa ha
- Page 100 and 101: 100Kenya, yeye hajui Mkikuyu, hajui
- Page 102 and 103: 102Johnstone Wabwire: Epoint yange
- Page 104 and 105: 104Translator: It is hardly directe
- Page 106 and 107: 106Translator: Then you will just g
- Page 108 and 109: 108Translator: this is an agricultu
- Page 110 and 111: 110Bungoma hatujasikia tena. Haya m
66Okiding’: Yangu ndio hiyo tu.Com. Lethome: Asante. Nyinyi ndio mume-interupt, pengine alikuwa na nyingine mumefanya amesahau. David Baile?Karibu. Na Jafred Malumasi yuko? Utafuata huyu.David Baile: Kwa majina naitwa David Baile. Mimi naona serikali yetu hii, inataka kujifanyia. Ingekuwa vizuri sisi wenyewetuchague yule mtu tunataka si ati President atuchagulie mtu wa kupiga kura. La pili, ni upande wa mashamba. Serikaliimenyanyasa wenye wananunua mashamba- wanafanyia biashara. Ukinunua kwa pesa, wakiona ingine ati ni nyingi anachukuwahizo anatupa wewe nje. Na serikali itaandikisha shamba yako hiyo. Hiyo sheria kama hiyo hatutaki.Upande wa 8-4-4: zamani tulikuwa na class eight na tulikuwa tunalipa fees. Leo wanapandisha pesa hizi kwa sababu ya 8-4-4hiyo ilikuwa zamani lakini siku hizi, wamerudisha tu lakini ilikuweko kitambo. Sasa tunataka afadhali tuwe kama zamani; watuwalipe fees kama zamani kuliko kunyanyaswa. Upande wa matibabu: wanaleta madawa kutoka ng’ambo ya kutibu hapa nawanaweka kwa <strong>of</strong>fice ya President. President huyo ni daktari au yeye ndio analinda nchi yetu? Sasa hatutaki- madawa kamainakuja waweke kwa ministry for health wapatiane hayo madawa kwa mahospitali. Upande wa wafanyikazi: kwamapendekezo yangu nataka yule mtu amefika miaka hamsini, aachie hapo kuliko kuenda mpaka hamsini na tano na akiendanyumbani atakuwa amekwisha nguvu ya kufanya kazi kwa shamba. Zamani niliona serikali yetu ilikuwa na kitu kama yaincrement. Union inapigania wafanyikazi, inawapatia percentage fulani, halafu baadaye serikali nayo inawaongeza percentagefulani. Wakati huu vile Nyayo aliingia hakufanya kitu chochote cha percentage kwa watu wa industries.Com. Lethome: Sasa unapendekeza nini?Davil Baile: Hayo maneno ikose kuweko.Com. Lethome: Maneno gani ikose kuweko?David Baile: Yaani, kama kuna kupandisha percentages fulani, pia ipandishwe kwa watu wa industries kama watu wa SugarIndustries. Yangu ni machache na ni hayo tu.Com. Lethome: Haya asante sana “Omusakhulu”. Jafrey Malumasi, atafuatwa na Councillor Mwanja. Councillor yuko?Councillor utafuata.Jafrey Malumasi: Asante sana. Mimi naitwa jafrey Malumasi nafanya kazi hapa Nzoia kama Research Assistant.• Katika hali ya introduction ya hiyo Katiba yetu, should stress on patriotism, unity <strong>of</strong> nation by thought, tracing our roots