constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
60and it them who will come out with the Constitution. Once they agree, the Attorney General will just be given the document asa formality to take it to Parliament- no discussions, and now the new Constitution will be in effect. So, you cannot send me totell the President to publicize the report because, the Act demands that you people will be able to make this Constitution.Okay?Sylvester Onyaga: I would like the new Constitution to allow the creation -------(inaudible)Com. Bishop Njoroge: Okay, thank you very much. Nilitaka mjue hivyo msione kama ile kazi mnafanya ni kazi ya bure.Sawa sawa? Hii Constitution itakuja na ni nyinyi mnatengeneza ili baadaye, tukiwa na watawala ambao wangependa kuichezea,mtakuwa na uchungu wa kuilinda. Sawa sawa? Sawa. Haya tupate Benson Nasongo? Afuatwe na Pius Wekesa. Wekesayuko wapi? Pius hayuko?Benson Nasongo: Mimi nina yafuatayo ya kupendekeza. Kwa majina ninaitwa Benson Nasongo. Ministerial appointments;mimi ningependekeza ya kwamba Mawaziri wasichaguliwa na Rais---Com. Bishop Njoroge: Wachaguliwe na nani?Benson Nasongo: Kuwe na Commission kama Public Service Commission kwa sababu previously, tumekuwa na mtu kwamfano ana elimu ya kijeshi halafu anakuwa Minister wa education. State function: kazi ya Rais ihusike na nchi. Tusiwe na Raisambaye akitembea kwa nchi akifungua vitu kama maonyesho ya ukulima, cattledips na vingine- That is a waste of public funds.Hiyo aachie watu kama Mawaziri na Assistant wake. Title deeds: in Kenya currently, the process of acquiring a title deed isso tedious. My recommendation is that something like a title deed should be given free of charge. Those concerned (inaudible)to particular persons who bought a piece of land. Land ownership: mimi ninge-recommend mtu mwenye ana shamba zaidi, awena 500 acres. Currently we have got so many landless Kenyans. Ukienda mahali kama Kibera, Korogocho, there are so manypeople who are landless and we have people owning thousands and thousands of acres in this coutry.I recommend that in the new Constitution, the President should not represent a Constituency. Somebody aspiring to be aPresident should just aspire to lead the country not be elected MP. Harambee: I recommend it to be abolished, initially it wasof good use but currently, I feel it is being misused. There are people who have suggested in various Commissions’ sittings thatthose aspiring for Presidency should be degree holders but, I feel, he should be a clean person. Leadership is not a level ofeducation one has to take----Interjection. Com. Bishop Njoroge: So what do you propose?Benson Nasongo: I propose that form four level of education should just be enough because leadership is an inborn talent.
61Tribalism: a lot has been said about discouraging tribalism and my suggestion is that in the new Constitution- I feel that tribalnames, names that can identify you with a particular tribe should be banned.Com. Bishop Njoroge: Next pointBenson Nasongo: Dissemination of information: somebody has said previously that so many Kenyans rely on radios and inKenya, illiteracy level has risen. I suggest that in every constituency something like public library should be built where,government publications and even newspapers should be kept so that those people intending to get information should go freelyand read. That is all, thank you.Com. Bishop Njoroge: Thank you very much for those very good points. Come and register. Job Khaemba? PatrickTangali? Nicholas Lukuntha? Uko tayari? Utamfuata.Patrick Tangali: Yes; Bwana Chairman nimeshukuru kuchukua nafasi hii nina maneno machache kidogo. Mimi kwa majinanaitwa Patrick Wakwabubi Tangali. Mimi napendekeza namna hivi; kwa upande wa wafanyikazi, ningependa wafanyikazi waunion, hao pia wawe wanapata pension kwa sababu mfanyikazi wa serikali akipewa kitu kidogo anamaliza within one week, naanabaki maskini. Afadhali aendelee kama anakula kitu kidogo kidogo ili asukumu maisha yake, asonge kidogo. Pili,wafanyikazi pia, watu wenye wamebarikiwa wamepata kazi, serikali ichunguze ione ya kwamba afadhali watengeneze mshaharawa wafanyikazi. To solve employment problems for employment kwa wale wachanga, wapunguze miaka ya retire. Badala ya55 iwe 50 halafu wapewe mshahara mkubwa. Akitoka huko atakuwa amepata pesa na hata akianza kazi ya biashara atapataako na nguvu.Halafu tukienda kwa election, nimeona corruption inaingia sana kwa upande wa kubeba beba masanduku kutoka hapa nawanapeleka huko. Hiyo kubeba beba na kupeleka huko na huko ndio wanaingisha ndani magendo. Afadhali kuwe na tightsecurity halafu wahesabu hapo hapo kama agents wanahakikisha wanaona ni ukweli. Nafikiria hizo ndizo points nilikuwa nazolakini kwa mtu mwenye hafanyi kazi sisi tuwe kama serikali ya South Africa. Wazee wenye wako na miaka fulani wawewanapata kitu kutoka kwa serikali kwa sababu umaskini ndio unaua watu zaidi. Sasa akipata kitu cha kununua chai kidogokidogo, atasukuma maisha yake, asonge kidogo.Com. Bishop Njoroge: Sawa, sawa. Hayo ni maoni mazuri. Nicholas? Njoo hapa ujiandikishe. Nicholas Lukutha? EvansKarani yuko?Nicholas Lukutha: Asante sana Mr. Chairman, mimi ningependekeza – jina langu ni Nicholas Lukutha. Mimi nina mawili aumatatu. Kitu cha kwanza ningependekeza upande wa kupata title deed. Mtu kama ananunua shamba au plot, inaletacorruption. Wakati huu tungependekeza hiyo process ifanywe mapema, mtu akilipa pesa na process iwe imeisha. Wakati huu,
- Page 9 and 10: 9Alex Kadoyo: Thank you Mr. Chairma
- Page 11: 11universities to be graded accordi
- Page 14: 14not right. Thank you.Com. Bishop
- Page 17 and 18: 17Com. Lethome: Thank you very much
- Page 19 and 20: 19nne. Kwa hivyo lazima tuwe na hes
- Page 22: 22circumscision. Environment and na
- Page 26 and 27: 26Jambo lingine kuhusu tena ardhi t
- Page 28 and 29: 28Com. Bishop Njoroge: I am just gi
- Page 30 and 31: 30Sylvester Nakitari: Busaa should
- Page 32 and 33: 32Com. Lethome: Finally, finalize n
- Page 34 and 35: 34Two, Bwana Commissioner---Interje
- Page 36 and 37: 36tofauti baina ya hiyo na kumchagu
- Page 38 and 39: 38Peter Masinde: Kitu cha kwanza, a
- Page 40 and 41: 40Interjection. Com. Bishop Njoroge
- Page 42 and 43: 42kutegemea chama chochote cha kisi
- Page 44 and 45: 44Translator: And he kills the othe
- Page 46 and 47: 46Kiberenge: Nekhumanya khurio, khu
- Page 48 and 49: 48Douglas Masinde: I will start wit
- Page 50 and 51: 50number of people who head those i
- Page 52 and 53: 52Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 54 and 55: 54Sylvester: I mean, the government
- Page 56 and 57: 56Com. Bishop Njoroge: Tupatie poin
- Page 58 and 59: 58Because when you go to hospitals,
- Page 62 and 63: 62mtu kutoa hata file hapo alete ha
- Page 64 and 65: 64yuko? Yuko pale? Alagalo Okinyi?
- Page 66 and 67: 66Okiding’: Yangu ndio hiyo tu.Co
- Page 68 and 69: 68to give your view. Musakhulu utak
- Page 70 and 71: 70Com. Lethome: Stanely Natembea? H
- Page 72 and 73: 72mukhachibonakho?Translator: Teach
- Page 74 and 75: 74Translator: Circumcision.Cllr. Pe
- Page 76 and 77: 76Cllr. Peter Mwanja: Efwe bandu ba
- Page 78 and 79: 78kuna junction mahali wanaenda wan
- Page 80 and 81: 80itself instead of taking the fund
- Page 82 and 83: 82Com. Bishop Njoroge: Pendekezo la
- Page 84 and 85: 84Com. Lethome: Sasa unapendekeza i
- Page 86 and 87: 86Com. Lethome: Mzee akipiga mama a
- Page 88 and 89: 88wakubwa, wanaendelea kutuelimisha
- Page 90 and 91: 90Wakoli: Wekhale mungo ne masalao.
- Page 92 and 93: 92Com. Lethome: Bado hujamaliza. Un
- Page 94 and 95: 94Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 96 and 97: 96established for the less fortunat
- Page 98 and 99: 98Ann Adhiambo: Yaani, anakunywa ha
- Page 100 and 101: 100Kenya, yeye hajui Mkikuyu, hajui
- Page 102 and 103: 102Johnstone Wabwire: Epoint yange
- Page 104 and 105: 104Translator: It is hardly directe
- Page 106 and 107: 106Translator: Then you will just g
- Page 108 and 109: 108Translator: this is an agricultu
61Tribalism: a lot has been said about discouraging tribalism and my suggestion is that in the new Constitution- I feel that tribalnames, names that can identify you with a particular tribe should be banned.Com. Bishop Njoroge: Next pointBenson Nasongo: Dissemination <strong>of</strong> information: somebody has said previously that so many Kenyans rely on radios and inKenya, illiteracy level has risen. I suggest that in every constituency something like public library should be built where,government publications and even newspapers should be kept so that those people intending to get information should go freelyand read. That is all, thank you.Com. Bishop Njoroge: Thank you very much for those very good points. Come and register. Job Khaemba? PatrickTangali? Nicholas Lukuntha? Uko tayari? Utamfuata.Patrick Tangali: Yes; Bwana Chairman nimeshukuru kuchukua nafasi hii nina maneno machache kidogo. Mimi kwa majinanaitwa Patrick Wakwabubi Tangali. Mimi napendekeza namna hivi; kwa upande wa wafanyikazi, ningependa wafanyikazi waunion, hao pia wawe wanapata pension kwa sababu mfanyikazi wa serikali akipewa kitu kidogo anamaliza within one week, naanabaki maskini. Afadhali aendelee kama anakula kitu kidogo kidogo ili asukumu maisha yake, asonge kidogo. Pili,wafanyikazi pia, watu wenye wamebarikiwa wamepata kazi, serikali ichunguze ione ya kwamba afadhali watengeneze mshaharawa wafanyikazi. To solve employment problems for employment kwa wale wachanga, wapunguze miaka ya retire. Badala ya55 iwe 50 halafu wapewe mshahara mkubwa. Akitoka huko atakuwa amepata pesa na hata akianza kazi ya biashara atapataako na nguvu.Halafu tukienda kwa election, nimeona corruption inaingia sana kwa upande wa kubeba beba masanduku kutoka hapa nawanapeleka huko. Hiyo kubeba beba na kupeleka huko na huko ndio wanaingisha ndani magendo. Afadhali kuwe na tightsecurity halafu wahesabu hapo hapo kama agents wanahakikisha wanaona ni ukweli. Nafikiria hizo ndizo points nilikuwa nazolakini kwa mtu mwenye hafanyi kazi sisi tuwe kama serikali ya South Africa. Wazee wenye wako na miaka fulani wawewanapata kitu kutoka kwa serikali kwa sababu umaskini ndio unaua watu zaidi. Sasa akipata kitu cha kununua chai kidogokidogo, atasukuma maisha yake, asonge kidogo.Com. Bishop Njoroge: Sawa, sawa. Hayo ni maoni mazuri. Nicholas? Njoo hapa ujiandikishe. Nicholas Lukutha? EvansKarani yuko?Nicholas Lukutha: Asante sana Mr. Chairman, mimi ningependekeza – jina langu ni Nicholas Lukutha. Mimi nina mawili aumatatu. Kitu cha kwanza ningependekeza upande wa kupata title deed. Mtu kama ananunua shamba au plot, inaletacorruption. Wakati huu tungependekeza hiyo process ifanywe mapema, mtu akilipa pesa na process iwe imeisha. Wakati huu,