42kutegemea chama chochote cha kisiasa. Jambo lingine ningeweza kuguzia hasa ni employement ambayo ni shida katika nchiyetu hii ya Kenya. Ninapendekeza ya kwamba, wale ambao wanasimamia parastatal bodies kama Kenya Breweries, kamaKenya Pipeline, hawa watu waitwe kwa interview watoe makaratasi yao ya elimu na kadhalika. Lakini isiwe mtindo mtummoja kuweza kumteua mtu fulani na anaenda kusimamia kazi muhimu kama hii. Na hali kadhalika, mtu kama PermanentSecretary kwa sababu anasimamia wizara mzima, aende kwa interview ili akaweze kuthibitisha ya kwamba anaiweza hiyo kazindipo akaweza kuchukuliwa. Na hali kadhalika PC, DC na DOs kama vile Assistant Chiefs na chiefs huwa wanafanyainterview.Na ningependekeza tena ya kwamba wale ambao wanaenda for recruitment kama Kenya police, kama Army, Administrationpolice na colleges zingine, majina yao yawe yanawekwa kwa noticeboard kwa kila division ili Wa<strong>kenya</strong> waweze kuelewa niakina nani na nani walienda katika pahali fulani. Hii itaweze kufanya watu wakaweze kutosheka ikiwa kuna kazi au hakuna kwasababu watu wengi wamekuwa wakilalamika ya kwamba watu wengine wanapata kazi na wengine hawapati. Majina kamahayo kwa divisional headquarters yataonyesha jina lake, wilaya anayotoka, division yake, sublocation na kijiji na hiyo kwahakika, itaweza kusaidia kama itawekwa kama sheria.Halafu kwa sababu ya shida ya kazi katika nchi hii yetu ya Kenya, napendekeza ya kwamba mtu mmoja awe na kazi moja.Tusiwe na mtu ameshikilia vyeo mbali mbali na huku kuna wale ambao wanatoka universities, wanatoka colleges na hawanakazi yoyote. Na hali kadhalika wale ambao wanastaafu, wasipewe kazi kwa maana wao waliweza nafasi wakafanya kazi zao,wakastaafu na itakuwa ni vibaya kwa mfano mtu alikuwa PS amestaafu sasa sijui yeye ni Chairman wa Kenya Pipeline nakadhalika. Mtu huyo aende nyumbani kabisa kwa sababu alipewa nafasi yake. Ningependekeza tena ya kwamba, mishaharaya wafanyi kazi wa sehemu mbali mbali, tuwe na permanent committee ambayo itakuwa inashughulikia mishahara kila sehemuna kila pahali. Hii itafanya kuwe na haja ya kuongeza mishahara bila mapendeleo yoyote, hali ambayo ni kinyume kabisa nawakati wa sasa ambapo kila mtu analia, kila kikundi cha watu kinalia “tuongozee” na migomo pia itapunguzwa kwa sababututakuwa tunategemea committee kama hiyo kutupatia nyongesa na nyongesa, ambayo haina upaguzi wowote. Kwa hayoningesema mbarikiwe sana.Com. Bishop Njoroge: Thank you very much Jafred, those are very interesting points. Can we have charles Masika? Canwe have Lukas Kiberenge? Na atafuatwa na Evans Okumu. Twaambie jina lako.Lukas Kiberenge: Ese seLucas Kiberenge.Translator: My names are Lukas Kiberenge.Lukas Kiberenge: Se ndaloma lubukusu.
43Translator: I will speak in KibukusuLukas Kiberenge: Ese, epoint yase ye ebweni,Traslator: My first pointLukas Kiberenge: Ese nja khukhuirana khwa mundu ne kerire okundi,Translator: I want to talk about murder.Kiberenge: Mundu na kerire ukundi we kholo yewe omwene, ekholo, ekholo ne kholo,Translator: If someone has killed his kin or his clansman,Kiberenge: Lubukusu lukhale,Translator: In KibukusuKiberenge: Barunganga chikhafu.Translator: we used to pay cows.Kiberenge: se barunganga chirubia ta.Translator: We never used to pay money.Kiberenge: Chikhafu chiene chino,barunganga kumi na mbili.Translator: The cows were twelve in number.Kiberenge: Ese okhali we kholo ta.Translator: If he is not a clan man,Kiberenge: Ne kerire okundi,
- Page 1 and 2: CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMIS
- Page 5 and 6: 5undisputed fact that a country who
- Page 7 and 8: 7considering how to save our land.i
- Page 9 and 10: 9Alex Kadoyo: Thank you Mr. Chairma
- Page 11: 11universities to be graded accordi
- Page 14: 14not right. Thank you.Com. Bishop
- Page 17 and 18: 17Com. Lethome: Thank you very much
- Page 19 and 20: 19nne. Kwa hivyo lazima tuwe na hes
- Page 22: 22circumscision. Environment and na
- Page 26 and 27: 26Jambo lingine kuhusu tena ardhi t
- Page 28 and 29: 28Com. Bishop Njoroge: I am just gi
- Page 30 and 31: 30Sylvester Nakitari: Busaa should
- Page 32 and 33: 32Com. Lethome: Finally, finalize n
- Page 34 and 35: 34Two, Bwana Commissioner---Interje
- Page 36 and 37: 36tofauti baina ya hiyo na kumchagu
- Page 38 and 39: 38Peter Masinde: Kitu cha kwanza, a
- Page 40 and 41: 40Interjection. Com. Bishop Njoroge
- Page 44 and 45: 44Translator: And he kills the othe
- Page 46 and 47: 46Kiberenge: Nekhumanya khurio, khu
- Page 48 and 49: 48Douglas Masinde: I will start wit
- Page 50 and 51: 50number of people who head those i
- Page 52 and 53: 52Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 54 and 55: 54Sylvester: I mean, the government
- Page 56 and 57: 56Com. Bishop Njoroge: Tupatie poin
- Page 58 and 59: 58Because when you go to hospitals,
- Page 60 and 61: 60and it them who will come out wit
- Page 62 and 63: 62mtu kutoa hata file hapo alete ha
- Page 64 and 65: 64yuko? Yuko pale? Alagalo Okinyi?
- Page 66 and 67: 66Okiding’: Yangu ndio hiyo tu.Co
- Page 68 and 69: 68to give your view. Musakhulu utak
- Page 70 and 71: 70Com. Lethome: Stanely Natembea? H
- Page 72 and 73: 72mukhachibonakho?Translator: Teach
- Page 74 and 75: 74Translator: Circumcision.Cllr. Pe
- Page 76 and 77: 76Cllr. Peter Mwanja: Efwe bandu ba
- Page 78 and 79: 78kuna junction mahali wanaenda wan
- Page 80 and 81: 80itself instead of taking the fund
- Page 82 and 83: 82Com. Bishop Njoroge: Pendekezo la
- Page 84 and 85: 84Com. Lethome: Sasa unapendekeza i
- Page 86 and 87: 86Com. Lethome: Mzee akipiga mama a
- Page 88 and 89: 88wakubwa, wanaendelea kutuelimisha
- Page 90 and 91: 90Wakoli: Wekhale mungo ne masalao.
- Page 92 and 93:
92Com. Lethome: Bado hujamaliza. Un
- Page 94 and 95:
94Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 96 and 97:
96established for the less fortunat
- Page 98 and 99:
98Ann Adhiambo: Yaani, anakunywa ha
- Page 100 and 101:
100Kenya, yeye hajui Mkikuyu, hajui
- Page 102 and 103:
102Johnstone Wabwire: Epoint yange
- Page 104 and 105:
104Translator: It is hardly directe
- Page 106 and 107:
106Translator: Then you will just g
- Page 108 and 109:
108Translator: this is an agricultu
- Page 110 and 111:
110Bungoma hatujasikia tena. Haya m