12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

39urudi kesho. Kesho hiyo ikifika, wanakuambia mpaka tarehe kumi na tisa mwezi ujao. Uende mpaka umalize miaka miwili nampaka pesa inaisha na hawajui wewe unatoka wapi. Hiyo mimi nasema ni afadhali serikali ya Kenya irekebishe hiyo sheria iwemzuri.Number tatu, nitaongea kama Mzee John Macharia ya kwamba, wamama wafanyibiashara- ninaona watu wa County Councilwanakuja leo wanaambia mama “mimi natoka Webuye”. Anamptia pesa. Kesho yake utaona mwingine amesimama hapa ati“mimi natoka Bungoma”. Sasa mimi ninaomba ya kwamba ikiwa inawezekenana mtengeneze sheria nzuri. Mseme siku fulani,tunakuja kuchukua pesa. Mama huyo akitoa pesa, anajua tu mpaka tarehe fulani tena watakuja. Sina maneno mengine, Munguawabariki.Com. Lethome: Ngoja mzee Khisa, kuna kitu kimoja nataka kukuuliza. Kwa mfano, tunajua mambo ya Wa<strong>kenya</strong> (inaudible)Wabunge. Si ndio? Je, ungependa kuwe na wawaakilishi wa watu walemavu Bunge ambao wanatetea mambo yao au unaonaMbunge wako anatosha tu kukutetea.Immanuel Khisa: Tunataka tuwe na mtu wa kutetea walemavu.Com. Lethome: Na yeye awe ni mlemavu pia ama?Immanuel Khisa: Awe mlemavu ndio awatetee vizuri.Com. Bishop Njoroge: Hebu nikuulize, tunajua walemavu wana shida nyingi. Habari ya masomo ya watoto wao, ungelihitajiyawe bure ili waweze kusoma pia?Immanuel Khisa: Ningependa serikali ya Kenya tena, isaidie watoto wa walemavu wasome bure.Com. Bishop Njoroge: Asante sana. Tupate Samson Adera. Samson Adera?Antony Adera: I want to honour the presence <strong>of</strong> all those who are here more so in this important occasion, I am having mypersonal views which I would like to air out ---Com. Lethome: Your names?Antony Adera: I’m Antony Adera, I am having some views I would like to air, more so for our representatives <strong>of</strong> the peoplewho are here to take high note <strong>of</strong> them. I am having two or three points here. I want to talk about corruption and this one, Iwant you to take high note <strong>of</strong> it more so, when we are talking about it---

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!