36t<strong>of</strong>auti baina ya hiyo na kumchagua au unasemaje?Haggai Liboi: Ikiwa ni kupendekeza kwake, iko sawa tu.Com. Bishop Njoroge: John Kamau Macharia?John Kamau: Kwa majina mimi naitwa John Kamau Macharia na mimi pendekezo langu ni kuhusu biashara. Hapa, naonatunaumia zaidi kama wafanyi biashara kwa sababu license ambayo tumewekewa na County Council- na bahati mbayaCouncillor ametoroka ndio nilitaka niongee akiwa karibu ili aende na hilo pendekezo. Tunaumia kwa njia hii; serikaliilituondolea license ikawa kidogo kama shilling mia tatu, mia moja hivi. Nafikiri wafanyi biashara wenzangu wanajua hivyo. NaCounty Council inatu-charge license yao shilling elfu tatu. Kwa hivyo maduka mingi, mahoteli, ma-butchery hapa Western,nafikiri yamefungwa. Inakaa kama nyumba za watu kulala kwa sababu, ukifungua upatikane na hawa watu wa county councilwanatembea na polisi, wanakuuliza wapi license ya county council- huna, hapo unashtakiwa na unapewa bond. Kwendakortini, hakimu naye amepata kukunyanyasa kabisa. Wewe ni kaidi, unakataa kulipa county council bond yao na sasaunapigwa fine ya juu. Kufika pale, unarudi nyumbani kuuza kuku wako, pengine na mbuzi ndio utolewe pale.Sasa, nyumba nyingi saa hii hata vile muko hapa Commissioners, ningeuliza kama mnamaliza muende kama maji ya mto(inaudible), ukiteremka hivyo mpaka Matisi iko stima. Nyumba zinaanguka, hakuna watu wanafanya biashara kwa sababuukifungua na huna hiyo pesa elfu, unashikwa. Ndio unaona uchumi wa hapa huwezi kuendelea. Hivyo tunanyanyaswa nacounty council kwa sababu wanavuna mahali hawajapanda. Hatupati huduma yoyote, hawaleti tractor ya kurokota takataka,hakuna mtu wa kufagia na wanatuwekea kodi ya juu. Mimi ningeuliza, wafanyi biashara wenzangu, kama inawezekana nacounty council inataka kutucharge license yao, tunakaa nao pamoja, tunajadiliana. Kwa sababu hapa ni reserve na kule townkama wewe Commissioner umetoka Nairobi utalala pengine Tourist, utakula, utakunywa, utawacha pesa pale. Lakini hapahuwezi lala. Unaona unaweza lala wapi? Labda Nzoia Guest. Sasa, hakuna mtu ambaye atatoka reserve anakuja kwa hoteliyangu aseme “mimi nataka kipande ya kuku na ugali”. Hiyo ni gharama maana anatoka nyumbani lakini wewe itakulazimuutakula. Hata maji ndio maana unaona saa hii umeweka hapa maji safi. Huwezi kubali haya tunakunywa ya Nzoia River kwasababu unaogopa typhoid. Si ni sawa? Kwa hivyo, tungeomba County Council kabla ya kutuamulia license ni kiasi ganitutalipa, tuwe tumekubaliana na wao, tunakaa kama wafanyi biashara, tuone area tunaweza charge kitu gani ili kuokoa wafanyibiashara.Com. Bishop Njoroge: Tumepata point hiyo, kwenda kwa nyingine.John Kamau: Sasa kwa lingine, kuna shida moja mimi naona ambayo tunahangaika na imeongewa sana, kuhusu pombe;chang’aa na busaa. Hii pombe ilikuwa tangu zamani; hata babu yangu nilikuta kama anakunywa na haikuwa inadhuru mtu.Kama busaa ni mbaya, wacha tutoe chang’aa na madawa ya kulevya mengine- hata brewery ifungwe na watu waende
37nyumbani kwa sababu hiyo ni kileo. Hatuwezi kuwa na ujanja ati pombe fulani ni nzuri, pombe fulani ni mbaya. Inapatiapolice- hata assistant Chief ako hapa- askari wake sasa wakienda msako, si ndio yule. Kama wanaenda msako wakushike nachang’aa, uhakikishe utakuwa na shilling elfu tatu kusudi, Bukusu wanakataa kwenda kortini. Afadhali hata akuachie bibiatororoke badala ya kwenda kortini. Kwa hivyo, watu wa hapa wanaumia ya kutosha. Police wamepata nafasi kwa sababuati hii pombe imekuwa si halali --kila jioni, kila asubuhi, unaona wawili wawili wamama wanahangaishwa.Com. Bishop Njoroge: Hiyo ungependekeza kwamba busaa ifanywe kuwa halali?John Kamau: Iwe huru kama Uganda. Hata chang’aa inapikwa kwa soko.Com. Bishop Njoroge: Haya, kwenda kwa nyingine.John Kamau: Sasa ya mwisho, tungependelea au ningependa katika wale wazee ambao wanawakilisha kule kijijini, Wakasapia wapewe elimu. Kwa sababu, kuna wengine wanapewa hicho cheo lakini hawawezi kutekeleza. Anatumia kwa kupendeleana ule upendeleo wakati mwingine unaweza kufunga yeye kwa sababu anafanya uamuzi ule usio wa haki. Kwa hivyo tuwe nawatu wa aina hiyo na kama uamuzi unaamuliwa, ningeomba Assistant Chief awe karibu hapo wakati kesi yeyote inaamuliwakwa area yake. Isiamuliwe na mimi kama Mukasa ninakaa kiti na niamue kufinya yule ambaye hana nguvu. Tena ile pesainadaiwa wakati unafanyiwa kesi yako, mimi ningesema iondolowe isikuweko. Kwa sababu kama wewe utato mia mbili namwingine atoe mia nne ndiye atakuwa mshindi kwa hayo maneno. Yangu ni hayo.Com. Bishop Njoroge: Thank you very much Bwana Macharia. Peter Masinde na afuatwe na Procus Muhande. PeterMasinde yuko?Peter Masinde: Ninawasalimu kwa jina la Yesu, mimi ni mmoja wa wahubiri na nimekuja hapa siku ya leo. Kwa majina niRev. Peter Masinde na natoka hapa Njoya, Kanduyi area. Ninawashauri viongozi wetu au watawala wetu, nikiwa ndani yaviongozi wote wa makanisa, wa dini t<strong>of</strong>auti t<strong>of</strong>auti. Tunalaumiana sisi bure katika nchi yetu ya Kenya tukiwacha kumtegemeaMungu. Hapa sisi sote tumekaa hivi naona hakuna asiye Mkristo.Com. Lethome: Mimi ni Muislamu.Peter Masinde: Ndio, wewe ni Muislamu, wewe ni mtu wa Mungu, wewe ni muamini wa Mungu. Kwa hivyo ninaonaMungu ametupa sisi mawaidha mazuri sana Ki Koran na Biblia na tunaona serikali yetu zaidi ni serikali ambayo inapokeamaombi sana kutoa kwa watu wa kanisa au watu wa dini.Com. Bishop Njoroge: Mzee, tunataka utuambie mapendekezo ni nini. Usituambie yale maneno tunayoyajua.
- Page 1 and 2: CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMIS
- Page 5 and 6: 5undisputed fact that a country who
- Page 7 and 8: 7considering how to save our land.i
- Page 9 and 10: 9Alex Kadoyo: Thank you Mr. Chairma
- Page 11: 11universities to be graded accordi
- Page 14: 14not right. Thank you.Com. Bishop
- Page 17 and 18: 17Com. Lethome: Thank you very much
- Page 19 and 20: 19nne. Kwa hivyo lazima tuwe na hes
- Page 22: 22circumscision. Environment and na
- Page 26 and 27: 26Jambo lingine kuhusu tena ardhi t
- Page 28 and 29: 28Com. Bishop Njoroge: I am just gi
- Page 30 and 31: 30Sylvester Nakitari: Busaa should
- Page 32 and 33: 32Com. Lethome: Finally, finalize n
- Page 34 and 35: 34Two, Bwana Commissioner---Interje
- Page 38 and 39: 38Peter Masinde: Kitu cha kwanza, a
- Page 40 and 41: 40Interjection. Com. Bishop Njoroge
- Page 42 and 43: 42kutegemea chama chochote cha kisi
- Page 44 and 45: 44Translator: And he kills the othe
- Page 46 and 47: 46Kiberenge: Nekhumanya khurio, khu
- Page 48 and 49: 48Douglas Masinde: I will start wit
- Page 50 and 51: 50number of people who head those i
- Page 52 and 53: 52Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 54 and 55: 54Sylvester: I mean, the government
- Page 56 and 57: 56Com. Bishop Njoroge: Tupatie poin
- Page 58 and 59: 58Because when you go to hospitals,
- Page 60 and 61: 60and it them who will come out wit
- Page 62 and 63: 62mtu kutoa hata file hapo alete ha
- Page 64 and 65: 64yuko? Yuko pale? Alagalo Okinyi?
- Page 66 and 67: 66Okiding’: Yangu ndio hiyo tu.Co
- Page 68 and 69: 68to give your view. Musakhulu utak
- Page 70 and 71: 70Com. Lethome: Stanely Natembea? H
- Page 72 and 73: 72mukhachibonakho?Translator: Teach
- Page 74 and 75: 74Translator: Circumcision.Cllr. Pe
- Page 76 and 77: 76Cllr. Peter Mwanja: Efwe bandu ba
- Page 78 and 79: 78kuna junction mahali wanaenda wan
- Page 80 and 81: 80itself instead of taking the fund
- Page 82 and 83: 82Com. Bishop Njoroge: Pendekezo la
- Page 84 and 85: 84Com. Lethome: Sasa unapendekeza i
- Page 86 and 87:
86Com. Lethome: Mzee akipiga mama a
- Page 88 and 89:
88wakubwa, wanaendelea kutuelimisha
- Page 90 and 91:
90Wakoli: Wekhale mungo ne masalao.
- Page 92 and 93:
92Com. Lethome: Bado hujamaliza. Un
- Page 94 and 95:
94Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 96 and 97:
96established for the less fortunat
- Page 98 and 99:
98Ann Adhiambo: Yaani, anakunywa ha
- Page 100 and 101:
100Kenya, yeye hajui Mkikuyu, hajui
- Page 102 and 103:
102Johnstone Wabwire: Epoint yange
- Page 104 and 105:
104Translator: It is hardly directe
- Page 106 and 107:
106Translator: Then you will just g
- Page 108 and 109:
108Translator: this is an agricultu
- Page 110 and 111:
110Bungoma hatujasikia tena. Haya m