constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet constitution of kenya review commission (ckrc ... - ConstitutionNet
108Translator: this is an agricultural country.Johnstone Wabwire: mala ne sikhaya nono Serikali khubela mbo seli nende chi-powers chingali khuyeta balimi ta,Translator: Because the government does not support the farmers,Johnstone Wabwire: khunyola mbo mavuno kaba matiti, kaba asi,Translator: We see the harvest is less.Johnstone Wabwire: Nono khwenya bapungusie egarama ye bulimi,Translator: They should reduce expenses in farming,Johnstone Wabwire: mala omulimi na nyolile mavuno keweTranslator: so that the when the farmer gets his harvest,Johnstone Wabwire: kalayeta khurusia enjala musibala.Translator: it will reduce hunger.Johnstone Wabwire: kali kario.Com. Lethome: Thank you. Haya mtu wa mwisho kabisa.Charles Masika Musungu: Naitwa Charles Masika Musungu, na hapa Nzoia niko kikazi, na nyumbani ni Mihanga, mahalipanaitwa Matiku, Busia District. Nina mambo matatu. Mimi mwenyewe sijaelimika, lakini nitaongea mambo matatu.Kitu cha kwanza, mwenzangu ameguzia na ilikuwa ndani ya roho yangu. Kwa sababu nilikuwa hapa, nikawa namba thirtythree. Sisi wengine kama wazazi, hatujiwwezi. Lakini unakuta ile bursary inakuja, itaenda kwa Assistant chief, tajiri mwenyeyuko na wengine, na wengine- walimu- zinaenda huko. Lakini utakuta shuleni masikini kweli wa mwisho watoto wakonyumbani.Com. Lethome: Unapendekeza nini?
109Charles: Napendekeza hapo nikisema, Serikali ikitoa sheria ifuatilie sheria, Kwa sababu Serikali inasema lakini haifuati. Hiyondio shida inayoumiza maskini. Kitu cha pili, utawala. Maskini asiposoma, atatawaliwa miaka yote; kama vile wanihubiria katikaBibilia, Waisraeli wakati walikuwa katika Misri, na Yosufu vile alikufa, wakaanza kusema ya kwamba, Waisraeli, wakiwawanataka kuzaa, watoe watu wa kuenda kuwazalisha, na waue watoto wanaume ili “wasije tena wakatutawala”. Hiyoinamaanisha ya kwamba, uchumi usipofikia maskini, inaoneka maskini natawaliwa na ana watoto, na ataishi na ujinga milele.Com. Lethome: Sasa unataka tufanyeje ndio maskini waache kutawaliwa?Charles: Nataka, Serikali ikitoa bursary, au ikitoa maendeleo fulani, iangalie masikini naye abarikiwe. Ya tatu, namalizianimekuwakwa radio mara kwa mara, maoni ya usiku, maoni… lakini wakati watu wanatoa ma-point za manufaa, unakuta mtumwenye anaandika haandiki hizo point. Anaziwacha. Hiyo ndio shida inayoendelea katika Kenya. Kwa sababu, mtu unawezakuongea point, na kweli hiyo point ukiangalia ni point, unakuta mtu kwa radio anasema hapana hiyo imekwisha, time imekwisha,wacha tu hivyo---Com. Lethome: Sasa unapendekeza nini?Charles: Naona hapo, sasa inaonekana kwamba Serikali kutuletea kutaka maoni, inaonekana kwamba wenyewe wameamuakitambo, na yale wanataka kwa raia, haina maana- wanataka kuwapumbaza.Com. Lethome: Hebu wacha nikuambie kitu kimoja. Hapa uko uhuru kusema kile unachotaka. Don’t beat about the bush.Come straight to the point. Unataka kusema nini? Usiogope chochote. Elewa sheria imesema, mwananchi wa Kenya ana uhurukusema kile anachotaka. Ukitaka kuchambua Rais, chambua. Ukitaka kuchambua Commission, chambua, Kwa hivyo, don’tbeat about the bush. Come straight to the point.Charles: Vile nazungumza, unashika vizuri. Nimesema ya kwamba nimekuwa katika radio, maoni ikiendelea, mtu aki-shootpoint unakuta mtu mwenye anammoja anasema kwamba “saa imekwisha, saa imekwisha” haandiki hiyo. Sasa hiyonapendekeza ya kwamba, inaonekana ya kwamba, muna sheria yenu, lakini kutafuta kwa raia, hamuna haja kuandika ma-pointhizo.Com. Lethome: unajua hujapendekeza sasa. Unataka nini? Wenya shi?Charles: Nataka Serikali iweke mkazo. Mtu akitoa neno, lifuatiliwe na lichunguzwe. Ni hayo tu.Com. Lethome: Sasa ndio imeingia kabisa. Orio musakhulu. Nafikiri sasa kwa hayo maoni moto moto kabisa, tumefikiamwisho wa kikao chetu kwa siku ya leo na watu wa Nzoia tunawashukuru sana. Tumepata maoni ambayo tangu tuje hapa
- Page 58 and 59: 58Because when you go to hospitals,
- Page 60 and 61: 60and it them who will come out wit
- Page 62 and 63: 62mtu kutoa hata file hapo alete ha
- Page 64 and 65: 64yuko? Yuko pale? Alagalo Okinyi?
- Page 66 and 67: 66Okiding’: Yangu ndio hiyo tu.Co
- Page 68 and 69: 68to give your view. Musakhulu utak
- Page 70 and 71: 70Com. Lethome: Stanely Natembea? H
- Page 72 and 73: 72mukhachibonakho?Translator: Teach
- Page 74 and 75: 74Translator: Circumcision.Cllr. Pe
- Page 76 and 77: 76Cllr. Peter Mwanja: Efwe bandu ba
- Page 78 and 79: 78kuna junction mahali wanaenda wan
- Page 80 and 81: 80itself instead of taking the fund
- Page 82 and 83: 82Com. Bishop Njoroge: Pendekezo la
- Page 84 and 85: 84Com. Lethome: Sasa unapendekeza i
- Page 86 and 87: 86Com. Lethome: Mzee akipiga mama a
- Page 88 and 89: 88wakubwa, wanaendelea kutuelimisha
- Page 90 and 91: 90Wakoli: Wekhale mungo ne masalao.
- Page 92 and 93: 92Com. Lethome: Bado hujamaliza. Un
- Page 94 and 95: 94Com. Bishop Njoroge: Thank you ve
- Page 96 and 97: 96established for the less fortunat
- Page 98 and 99: 98Ann Adhiambo: Yaani, anakunywa ha
- Page 100 and 101: 100Kenya, yeye hajui Mkikuyu, hajui
- Page 102 and 103: 102Johnstone Wabwire: Epoint yange
- Page 104 and 105: 104Translator: It is hardly directe
- Page 106 and 107: 106Translator: Then you will just g
- Page 110 and 111: 110Bungoma hatujasikia tena. Haya m
109Charles: Napendekeza hapo nikisema, Serikali ikitoa sheria ifuatilie sheria, Kwa sababu Serikali inasema lakini haifuati. Hiyondio shida inayoumiza maskini. Kitu cha pili, utawala. Maskini asiposoma, atatawaliwa miaka yote; kama vile wanihubiria katikaBibilia, Waisraeli wakati walikuwa katika Misri, na Yosufu vile alikufa, wakaanza kusema ya kwamba, Waisraeli, wakiwawanataka kuzaa, watoe watu wa kuenda kuwazalisha, na waue watoto wanaume ili “wasije tena wakatutawala”. Hiyoinamaanisha ya kwamba, uchumi usip<strong>of</strong>ikia maskini, inaoneka maskini natawaliwa na ana watoto, na ataishi na ujinga milele.Com. Lethome: Sasa unataka tufanyeje ndio maskini waache kutawaliwa?Charles: Nataka, Serikali ikitoa bursary, au ikitoa maendeleo fulani, iangalie masikini naye abarikiwe. Ya tatu, namalizianimekuwakwa radio mara kwa mara, maoni ya usiku, maoni… lakini wakati watu wanatoa ma-point za manufaa, unakuta mtumwenye anaandika haandiki hizo point. Anaziwacha. Hiyo ndio shida inayoendelea katika Kenya. Kwa sababu, mtu unawezakuongea point, na kweli hiyo point ukiangalia ni point, unakuta mtu kwa radio anasema hapana hiyo imekwisha, time imekwisha,wacha tu hivyo---Com. Lethome: Sasa unapendekeza nini?Charles: Naona hapo, sasa inaonekana kwamba Serikali kutuletea kutaka maoni, inaonekana kwamba wenyewe wameamuakitambo, na yale wanataka kwa raia, haina maana- wanataka kuwapumbaza.Com. Lethome: Hebu wacha nikuambie kitu kimoja. Hapa uko uhuru kusema kile unachotaka. Don’t beat about the bush.Come straight to the point. Unataka kusema nini? Usiogope chochote. Elewa sheria imesema, mwananchi wa Kenya ana uhurukusema kile anachotaka. Ukitaka kuchambua Rais, chambua. Ukitaka kuchambua Commission, chambua, Kwa hivyo, don’tbeat about the bush. Come straight to the point.Charles: Vile nazungumza, unashika vizuri. Nimesema ya kwamba nimekuwa katika radio, maoni ikiendelea, mtu aki-shootpoint unakuta mtu mwenye anammoja anasema kwamba “saa imekwisha, saa imekwisha” haandiki hiyo. Sasa hiyonapendekeza ya kwamba, inaonekana ya kwamba, muna sheria yenu, lakini kutafuta kwa raia, hamuna haja kuandika ma-pointhizo.Com. Lethome: unajua hujapendekeza sasa. Unataka nini? Wenya shi?Charles: Nataka Serikali iweke mkazo. Mtu akitoa neno, lifuatiliwe na lichunguzwe. Ni hayo tu.Com. Lethome: Sasa ndio imeingia kabisa. Orio musakhulu. Nafikiri sasa kwa hayo maoni moto moto kabisa, tumefikiamwisho wa kikao chetu kwa siku ya leo na watu wa Nzoia tunawashukuru sana. Tumepata maoni ambayo tangu tuje hapa