verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

constitutionnet.org
from constitutionnet.org More from this publisher
12.07.2015 Views

62Com. Keriako Tobiko: Asante sana Mzee wangu. Makofi kwa mzee. Pastor J. Mureithi.Pastor J. Mureithi: Ndiyo. Kwa majina naitwa Joseph Ngunjiri Muriithi kutoka kanisa la kiAdventista katika eneo hili laMathira. Katibu wetu ataeleza zaidi mambo ambayo tumeidhinisha. Kitambo aingie nina haya ya kusema. Ili kumaliza nakuangamiza adui tatu za wanadamu ambao ni magonjwa, njaa na ujinga, napendekeza yafuatayo.Namba ya kwanza. Kila mwananchi wa Kenya apewe na ahakikishiwe huduma ya bure ya matibabu. Namba ya pili. Kilamawananchi wa Kenya apewe bure kipande cha ardhi kimoja, kiasi kama acre mbili ambacho hawezi kukiuzia mtu yeyote, ilaakishindwa anaweza rudishia serikali ikiwa hatakitumia, maana ni kaburi lake. Kila mtu binafsi katika Kenya awekewe kiwangocha ardhi na plot anazoweza kumiliki kama acre tatu na ploti tatu. Zaidi ya hayo, aweze kukomboa mwenyewe kwa muda fulaniili kuzuia uhaba na unyakuzi wa ardhi katika Kenya.Namba ya nne, utaratibu wa kuhifadhi misitu yetu, urudishwe kama awali ili kuzuia uhaba wa vyakula, mbao na miti, maji nahewa. Kingo zote za mito barabarani, na railways zipigwe marufuku kulimwa, hivyo kuzuia mmomonyoko na kuhifadhi hewanzuri na mazingira mazuri. Pia milimani iweze kuhifadhiwa.Sita: kila mwananchi wa Kenya apewe huduma ya bure ya elimu mpaka Chuo kikuu katika shahada ya kwanza - mradi tu anabidii ya kuendelea kusoma. Kuhusu usalama wa wananchi wa Kenya, napendekeza yafuatayo. Kila mwananchi wa Kenya,ahakikishiwe usalama wake wa kuishi, kumiliki ardhi, ploti, kufanya biashara au kazi katika eneo lo lote la Kenya bila kuingiliwaau kunyanyaswa kwa ajili ya rangi yake, kabila lake, ukoo wake au uumbile wake na kadhalika.Pili, Mtu yeyote akiuawa au kuchomewa nyumba, mali zake, au kuibiwa kwa sababu zilizotajwa hapo juu ya ukabila, rangi naukoo na kadhalika. Serikalil iweze kumlipa haraka iwezekanavyo kwa muda usiozidi miezi mitatu, na walinda usalama wa eneohilo wachukuliwe hatua kulingana na sheria.Tatu:Wahalifu wa kila mara, wanaofungwa na kufunguliwa zaidi ya mara tano waweze kuhamishwa na kufungwa maisha ilikulinda usalama wa wananchi.Namba nne. Vituo vya usalama viweze kuongezwa kila mahali. Kuhusu uhaba wa kazi na uajibikaji, napendekeza yafuatayo.Namba ya kwanza. Mishahara ya watumishi wote wa serikali iongezwa kiwango cha kuridhisha kulingana na grade zao. Nambaya pili, kila mtumishi wa Serikali aweze kustaafu afikapo umri wa miaka hamsini - ili kuwapa vijana waliomaliza masomo pianafasi ya kazi. Namba ya tatu. Kila mtumishi wa Serikali asiruhusiwe kuendesha biashara ingine akiwa kwenye utumishi. Kamavile madaktari wanaofungua clinic kando kando. Angojee.

63Com. Keriako Tobiko: Excuse me Pastor, I did not want to interrupt you but please you have a written memorandum, we willread through. There are so many people who want to speak. Can you just give me…..highlight the most important aspects.Pastor J. Mureithi: Okay. Kazi maalum kama vile mkuu wa sheria, judge mkuu na Rais wanaweza kustaafu wafikapo umriwa miaka sabini. Kuhusu ufisadi katika Kenya. Napendekeza kila kiongozi wa Serikali anayesimamia kikundi cha watu au idarafulani atangaze mali yake aingiapo kwenye utumishi na pia atakapostaafu kwenye utumishi.Pili: pia madiwani, wabunge na viongozi wa NGO watangaze mali zao ili kuhakikisha wananchi utumishi wa haki bila ufisadi.Tatu: kila kazi maalum kama vile Mkuu wa majeshi, Judge mkuu, Mkuu wa sheria, Commissioner wa polisi, Commissioner waardhi na makao, Commissioner wa uchaguzi na Commissioner wa katiba kama vile ilivyo, wawe wakichaguliwa na Bunge nakuajibika kwenye bunge ili wafanye kazi bila uoga na mapendeleo.Nne: kuwekwe kikosi maalum kilicho na uwezo wa kustaaki mtu yeyote, wakati wowote na mahali popote anapopatikana naufisadi. Tano:muda wa kukaa…..Com. Keriako Tobiko: Excuse me. I give you one minute to wind up please.Pastor J. Mureithi: Thank you. Kesi zote zisiweze kukaa zaidi ya mwaka mmoja bila kumalizika. Saba: Mtu yeyoteakipatikana akipewa hongo au toa kitu kidogo, anayetoa na anayepeana wachukuliwe hatua. Na kuhusu ajali barabarani, kunamapendekezo yafuatayo. Magari ya abiria ya umma ipunguzwe idadi ya kubeba ili kuwe na nafasi, hewa, ya kujikinga wakatiwa ajali. Madereva wa abiria ya uuma waweze kukaguliwa na waweze…….Com Keriako Tobiko: Pastor, pastor, your time is up. I am sorry. I cannot give you any other minute. Can we have KariukiMuiru?Kariuki Muiru: Thank you Commissioner. My name is Kariuki Muiru from Social Democratic Party. (SDP). Donor aid andgrants: All money lent to Kenya must be approved by Parliament. At the moment, 70% of GDP is composed of debts. Only30% to go before this country become bankrupt. Local borrowing by government of Kenya must have a ceiling. Preferably fivepercent of GDP.Devolution of power including fiscal, to Local Authorities. Of seventy per cent of taxes collected must be retained by LocalAuthorities and the budgets of the Local Authorities must be participatory. Rationalization on the size of government of Kenya:We only need about twelve Ministries. Ministerial departments also should be created and approved by Parliament. Controllerand Auditor General tenure should only be for a maximum of two five-year terms. Appointments must be through merit andvetted by Institute of Certified Public Accountants of Kenya, Public Service Commission and Parliament. The President must

63Com. Keriako Tobiko: Excuse me Pastor, I did not want to interrupt you but please you have a written memorandum, we willread through. There are so many people who want to speak. Can you just give me…..highlight the most important aspects.Pastor J. Mureithi: Okay. Kazi maalum kama vile mkuu wa sheria, judge mkuu na Rais wanaweza kustaafu wafikapo umriwa miaka sabini. Kuhusu ufisadi katika Kenya. Napendekeza kila kiongozi wa Serikali anayesimamia kikundi cha watu au idarafulani atangaze mali yake aingiapo kwenye utumishi na pia atakapostaafu kwenye utumishi.Pili: pia madiwani, wabunge na viongozi wa NGO watangaze mali zao ili kuhakikisha wananchi utumishi wa haki bila ufisadi.Tatu: kila kazi maalum kama vile Mkuu wa majeshi, Judge mkuu, Mkuu wa sheria, Commissioner wa polisi, Commissioner waardhi na makao, Commissioner wa uchaguzi na Commissioner wa katiba kama vile ilivyo, wawe wakichaguliwa na Bunge nakuajibika kwenye bunge ili wafanye kazi bila uoga na mapendeleo.Nne: kuwekwe kikosi maalum kilicho na uwezo wa kustaaki mtu yeyote, wakati wowote na mahali popote anapopatikana naufisadi. Tano:muda wa kukaa…..Com. Keriako Tobiko: Excuse me. I give you one minute to wind up please.Pastor J. Mureithi: Thank you. Kesi zote zisiweze kukaa zaidi ya mwaka mmoja bila kumalizika. Saba: Mtu yeyoteakipatikana akipewa hongo au toa kitu kidogo, anayetoa na anayepeana wachukuliwe hatua. Na kuhusu ajali barabarani, kunamapendekezo yafuatayo. Magari ya abiria ya umma ipunguzwe idadi ya kubeba ili kuwe na nafasi, hewa, ya kujikinga wakatiwa ajali. Madereva wa abiria ya uuma waweze kukaguliwa na waweze…….Com Keriako Tobiko: Pastor, pastor, your time is up. I am sorry. I cannot give you any other minute. Can we have KariukiMuiru?Kariuki Muiru: Thank you Commissioner. My name is Kariuki Muiru from Social Democratic Party. (SDP). Donor aid andgrants: All money lent to Kenya must be approved by Parliament. At the moment, 70% <strong>of</strong> GDP is composed <strong>of</strong> debts. Only30% to go before this country become bankrupt. Local borrowing by government <strong>of</strong> Kenya must have a ceiling. Preferably fivepercent <strong>of</strong> GDP.Devolution <strong>of</strong> power including fiscal, to Local Authorities. Of seventy per cent <strong>of</strong> taxes collected must be retained by LocalAuthorities and the budgets <strong>of</strong> the Local Authorities must be participatory. Rationalization on the size <strong>of</strong> government <strong>of</strong> Kenya:We only need about twelve Ministries. Ministerial departments also should be created and approved by Parliament. Controllerand Auditor General tenure should only be for a maximum <strong>of</strong> two five-year terms. Appointments must be through merit andvetted by Institute <strong>of</strong> Certified Public Accountants <strong>of</strong> Kenya, Public Service Commission and Parliament. The President must

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!