12.07.2015 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

23Com. Lethome: Mheshimiwa sorry I know we are short <strong>of</strong> time but you know there are some interesting things that allKenyans would like to know. Nitauliza kwa Kiswahili. Hii issue, ya President kuingia katika uchaguzi, akiwa ni President, sijuiuna maoni gani kuhusu hiyo. Aingie akiwa President ama aache kiti chake wakati bunge inavunjwa, au awache kiti chake aingieakiwa raia. Sijui unasema ni nini hapo?Honorable Matu Wamae: Ile tumesema kwa hii memorandum ni hii. Ikiwa bunge linavunjwa, hata uongozi wa Rais vilevileunakwisha. Lakini lazima aendelee kwa siku tisaini. Kuwe Rais wakati ambao uchaguzi unafanywa. Na serikali lazima iwepo.Hauwezi kuwa na wakati ambao serikali haitakuwako. Na mawaziri lazima wawekwe. Na tumesema hata wajumbe waendeleempaka wale wengine watakapochaguliwa. Lakini wawe tu ni kusimamia, hakuna kugeuza kitu yeyote. Hakuna kuweka watuwapya katika kazi. Ni kusimamia tu ili uchaguzi ufanywe ikiwa iko serikali.Com. Bishop Njoroge: Ningetaka pia kujua. Rais akichaguliwa ungetaka awe sworn in kwa muda fulani. Ni muda gani?Honorable Matu Wamae: Tungependa, mara moja wakati wa uchaguzi, wakati electoral commission inaposemaamechaguliwa. As soon as possible, a judge should have the power to swear him in immediately. There should be no waiting.Because the more we wait the more problems, we get.Com. Bishop Njoroge: Thank you very much Mheshimiwa. So we will take your memorandum and we appreciate. Now letme have Mary Wanja. Ningetaka kusema, ikiwa umepeana memorandum yako, uniambie, ili tuweze kupatia wengine nafasi yakuzungumza. Nikikuita na uwe umeshapeana memorandum, uniambie umepeana memorandum. Tafadhali. Nikikuita. “Ndagwitana ni uui niunengeranite Memorandum unjire niwanengerana ki?” Memorandum. Wanja?Mary Wanja: Thank you Chairman <strong>of</strong> the Commission, I am Mary Wanja. I am also a committee member for theConstituency hii, committee ya Mathira. I am just going to present not my own personal view but I am doing so for a group thatI am a chairlady <strong>of</strong> i.e Mathira Disabled Persons Welfare Association.The interests <strong>of</strong> the people with disabilities can fully be taken care <strong>of</strong> if the Constitution can enlighten the government to considerthe disabled and to provide for their needs as they do for the needs <strong>of</strong> pensioners who can no longer work. The governmentshould make sure that there is an <strong>of</strong>fice in every Constituency as it does with the education, the agriculture and the livestocke.t.c. So that people with disabilities can table their needs there. The Kenya National Funds for the disabled should also have an<strong>of</strong>fice in every division so that the funds can be shared equally.The new Constitution should recommend that all buildings in our country be built to be accessible to all people with disabilities.This should be made compulsory in places like Schools, Churches, Hotels, Universities, Hospitals, Recreational places andBanking institutions. All <strong>public</strong> vehicles should be made to provide for special spaces in their vehicles for people with disabilities.All political parties in our country should retain three seats for nomination <strong>of</strong> members with disabilities who would represent the

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!