verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

constitutionnet.org
from constitutionnet.org More from this publisher
12.07.2015 Views

114John Maina Mugongo: Asante Mwenyekiti wa Constitution Commission. Kwa majina mimi naitwa John Maina Mugongokutoka hapa Karatina. Mimi nataka kuongea juu ya jeshi yetu ya Kenya. Tuko na huzuni sana katika nchi yetu ya Kenya. Jeshiyetu imetumiwa vibaya sana. Kwa maana jeshi yetu inatolewa hapa inapelekwa nchi ingine kupigania haki za wengine.Com. Keriako Tobiko: Kwa hivyo tufanye namna gani?John Maina Mugongo: Tunataka jeshi letu litumike hapa kwetu Kenya. Pointi ya pili. Tunataka Rais wetu wa Kenya wajamhuri letu la Kenya anyimwe nguvu ya kuandika mtu yeyote ama kuchagua kiongozi wowote. Tatu. Tunataka hospitali zetusiziwe za malipo. Pointi ya nne tunataka shule zetu zote kutoka shule za msingi hadi University ziwe hazina malipo.Pointi ya tano nataka kuongea juu ya kilimo chetu. Kilimo chetu iwe hatutawaliwi na mtu yeyote katika mazao na shamba zetu.Com. Keriako Tobiko: Umemaliza.John Maina Mugongo: Hapana.Com. Keriako Tobiko: La mwisho.John Maina Mugongo: La mwisho. Naongea juu ya marriage. Yaani watu kuoana vile wanaoana katika sheria za kuoana.Com. Keriako Tobiko: Unataka aje?John Maina Mugongo: Mimi nataka zirekebishwe hivi. Kukiwezekana. Mtu akiwa amemuoa mkewe na kwa muda usiomrefu sana ama kwa muda ule watakuwa wamekaa, wamekosana,watoto wale watakuwa nao wakiwa wataachana, wawewakigawanywa mara mbili. Kukiwa hivi. Hata kukiwa hivi, baba asinyimwe nafasi ya kukaa na watoto wake hata wakiwa umriwa chini ya miaka kumi na nane.Com. Keriako Tobiko: Asante sana. Mzee wetu. Nakupatia dakika mbili tu. Kwa hivyo chagua zile pointi ambazo ni muhimuna ambazo hazijagusiwa na mtu mwingine.Daniel Ngatia: Asante sana bwana Commissioner. Thank you akina Commissioners. Mimi yangu ni machache sana yalenitasema. Naitwa Daniel Ngatia kutoka Ngandu sublocation. Na proposals zangu ni hizi. Serikali yetu ya Kenya inatakiwa iwe:Number one: Inatakiwa Democratic Government, Multi-party Government na coalition Government. Hiyo pointi iandikwenamna hiyo. Ya pili. Tunataka tuwe na President na Prime Minister. Kutoka hapo nitakuja pande ile tunaita ‘Administration’.

115Hiyo iwe abolished. Na Sub-chief naye atachaguliwa na watu - na akichaguliwa ataitwa ‘Village elder’. Na hiyo haijasemwahapa. Sasa ingine nitasema ni ya elections. Tunatakiwa kuwe siku moja ya President na siku ya pili MP. Na ya tatu Councilor.Namba ingine nitasema MP na Councilor ‘aki-defect’ kutoka kwa chama chake arudi tena achaguliwe tena. Kwa sababu hapotunaona kumeingia ukora.Com. Keriako Tobiko: La mwisho.Daniel Mwangi: La mwisho. Ni chama cha wafanyi kazi wa serikali kirudishwe. Kile kilikuwa abolished au kile kilikuwa Ithink scrapped by the state. Thank you very much.Com. Keriako Tobiko: Thank you. Mama ulikuwa unataka kuongea.Mary Wandia Kabiru: Ngwaria na Gikuyu ndagika imwe. Ni Mary Wandia Kabiru. Nii ngwaria uhoro wa ta muchiari uiguitethina muno niundu wa ciana kuuma college either cia Universities kana cia Primary Teachers Colleges cia thirikari cikaga wirana makerwo mecaririe.Translator: Mimi naongea kama mzazi kuhusu watoto ambao wamemaliza Universities na wanaomaliza shule za waalimuambao hawafanyi kazi ingawa wamehitimu kazi hiyo.Mary Wandia Kabiru: Na cukuru nikurendwo arutani, no ciana icio ina hinya muingi muno wa kuruta wira. No matingionawira. Kwoguo thirikari njeru iciirie muno kwandika andu acio ethi tondu mena hinya muingi wa gutungatira bururi uyu.Translator: Katika Katiba mutengeneze kwamba kuwe na kama monthly rationing ati mtu akienda training course for aprofession, aweze kupata kazi baadaye.Mary Wandia Kabiru: Uria ungi wa keri ni uhoro wa aria makoretwo nao matungatiire bururi nio retired officers. Acio naotondu makoretwo matungatiire bururi kuuma riria mari ethi. Marikia kuretire nimatiganagirio makaga ona mishara yao ni mininimuno. Kwoguo ingiuria thirikari irore andu acio ati mundu a retire anina miaka itano akongererwa kamushara karia aheagwo.Translator: Retirees should be looked after. They get pension money. Their retirement benefits should be reviewed startingfrom five years.Mary Wandia Kabiru: Na kiria mekurihwo makarihwo na riu tondu maheagwo ta mweri milongo iri ni ta andu makuire.Translator: Their benefits are greatly delayed. They get their benefits around the twentieth of the next month.

114John Maina Mugongo: Asante Mwenyekiti wa Constitution Commission. Kwa majina mimi naitwa John Maina Mugongokutoka hapa Karatina. Mimi nataka kuongea juu ya jeshi yetu ya Kenya. Tuko na huzuni sana katika nchi yetu ya Kenya. Jeshiyetu imetumiwa vibaya sana. Kwa maana jeshi yetu inatolewa hapa inapelekwa nchi ingine kupigania haki za wengine.Com. Keriako Tobiko: Kwa hivyo tufanye namna gani?John Maina Mugongo: Tunataka jeshi letu litumike hapa kwetu Kenya. Pointi ya pili. Tunataka Rais wetu wa Kenya wajamhuri letu la Kenya anyimwe nguvu ya kuandika mtu yeyote ama kuchagua kiongozi wowote. Tatu. Tunataka hospitali zetusiziwe za malipo. Pointi ya nne tunataka shule zetu zote kutoka shule za msingi hadi University ziwe hazina malipo.Pointi ya tano nataka kuongea juu ya kilimo chetu. Kilimo chetu iwe hatutawaliwi na mtu yeyote katika mazao na shamba zetu.Com. Keriako Tobiko: Umemaliza.John Maina Mugongo: Hapana.Com. Keriako Tobiko: La mwisho.John Maina Mugongo: La mwisho. Naongea juu ya marriage. Yaani watu kuoana vile wanaoana katika sheria za kuoana.Com. Keriako Tobiko: Unataka aje?John Maina Mugongo: Mimi nataka zirekebishwe hivi. Kukiwezekana. Mtu akiwa amemuoa mkewe na kwa muda usiomrefu sana ama kwa muda ule watakuwa wamekaa, wamekosana,watoto wale watakuwa nao wakiwa wataachana, wawewakigawanywa mara mbili. Kukiwa hivi. Hata kukiwa hivi, baba asinyimwe nafasi ya kukaa na watoto wake hata wakiwa umriwa chini ya miaka kumi na nane.Com. Keriako Tobiko: Asante sana. Mzee wetu. Nakupatia dakika mbili tu. Kwa hivyo chagua zile pointi ambazo ni muhimuna ambazo hazijagusiwa na mtu mwingine.Daniel Ngatia: Asante sana bwana Commissioner. Thank you akina Commissioners. Mimi yangu ni machache sana yalenitasema. Naitwa Daniel Ngatia kutoka Ngandu sublocation. Na proposals zangu ni hizi. Serikali yetu ya Kenya inatakiwa iwe:Number one: Inatakiwa Democratic Government, Multi-party Government na coalition Government. Hiyo pointi iandikwenamna hiyo. Ya pili. Tunataka tuwe na President na Prime Minister. Kutoka hapo nitakuja pande ile tunaita ‘Administration’.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!