verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
107Com. Keriako Tobiko: Kama vipi?Ngatia Gichaga: Kama Karindundu, Kathati, Kiamwangi, Kiarithaini, Kiamariga, Mathaithi na hata ni vingi kwa sababuzinajaa katika……ni mingi sana.Com. Keriako Tobiko: Sawa sawa. Wafanye namna gani?Ngatia Gichaga: Serikali iwafikirie na kuwapatia makao. Na hayo makao yawe imekaguliwa. Yaonekane kweli inawezakuwasaidia kwa chakula na matumizi mengine.Jambo la pili. Kuna shida sana kwa sababu hakuna <strong>of</strong>isi ambayo mtu wa kawaida anaweza kupeleka malalamiko yake. Kwamfano, anaweza kukosewa na <strong>of</strong>isa wa polisi. Na akipeleka malalamiko yake, anapeleka tu kwa polisi ambayo haichukuliikama yana maana. Kwa hivyo serikali ikiweka <strong>of</strong>isi ya malalamiko ya Raia, mtu ukiwa amepeleka malalamishi yake kwa polisina ikose kuchukuliwa vizuri, anapeleka kwa <strong>of</strong>isi hiyo.Com. Keriako Tobiko: Sawa sawa.Ngatia Gichaga: Ya tatu. Kuna mashirika ya serikali kama reli. Reli ilipata hasara kwa sababu hii kazi ya uchukuzi ilipewawatu binafsi. Na hii reli ndio …….Com. Keriako Tobiko: Tuifanye namna gani Mzee wangu?Ngatia Gichaga: Hii malicense iwaache kupewa watu wengi sana kujitajirisha. Irudishwe kwa reli.Com. Keriako Tobiko: La mwisho.Ngatia Gichaga: La mwisho, ni kila mtu, pale ako na mali yake, hata ikiwa ni wapi, katika Kenya mzima. Iajiriwe na ilindwena serikali.Com. Keriako Tobiko: Asante Mzee wangu. George Muthiga.George Muthiga: Well am very fast. I have only about five points. The first one is double standard to the application <strong>of</strong> thelaw and the Constitution. All Senior Politicians and President inclusive should be answerable for any breach <strong>of</strong> Constitutionallaw in general which they have sworn to protect and uphold. There are no two separate laws for the members, activist,