verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
74 unaona kama barabara za feeder roads zinapitia kwa mashamba, chakula chetu kinaoza. Kwa sababu – huwezi kuuliza – kwa sababu unaambiwa hicho chakula chote kinaenda kwa central government. Na ndiposa tunasema, lazima tuwe na Katiba mpya itupatie uwezo from the, - ile serikali kuu mpaka serikali ya local government. Ndio nasema local government iwe na nguvu zaidi. Ahsante. Com. Wanjiku: Ahsante. (Speaks in Kikuyu) but Geofrey insists on talking. Geofrey: Tunakimaliza tunasema…(Speaks in Kikuyu) tulikuwa tumeweka main point on provincial administration, hiyo ikwishe, na badala yake tuwe na counties. Iwe kwa ile (inaudible) area, iwe na an elected person kama ni (inaudible). Kwa hivyo, katika hiyo county, mambo yote ya local governments, - hili jina la local government – ile mambo ya government iwe kwa hiyo county. Kama ni ile mambo ya chief, kuwe na mtu wa kusimamia mambo ya chief. Mtu atoke kwa party ile profession anajua irudi kwa county. Halafu ile tender yote tumepata kwa dairy bonds hapa, 30% iende kwa central government. (Interjection) Com. Wanjiku: That is now; -that was the second point that you finished. And that was on provincial administration, thank you very much nikushiria confusion nithiria kwe adu marauga mate memorandum nti muthenya nikyo niranekiwo na akworo niakwenda (inaudible) Nikweda kumushokiria gatho tudu ni twatida (inaudible). Com. Wanjiku continues in Kikuyu…They are being taken very seriously and you can be assured…(Speaks in kikuyu) … part of the report. And you can be able to check the… later on …(speaks in kikuyu). District co-ordinater: Thank you very much Commissioner. Ugwo ti muthenya wa mwisho mudu akweda niakuadika ni niakwadeka na tukuthie na bere kukinya kuria mudu ahota kuadika. Karamu keha. Na reu tudu (inaudible) muno hee reke dikare na bere we munene. Thank you very much Commissioners. Reverend: Mwathani tukushokiria gatho niudu wa kushokia maoro maitu nikuitikia na kushukiria tudu wa kuturathima niwega kuturathima ni wega kuturathima riu twarekie na madu maria motho, turakushokeria gatho ni thayo thini yake uturathime na una igita ria ni getha thini wa yesu kristo nitwaoya. Amen Com. Wambua: Thank you mno…(Speaks in Kikuyu).
75 Meeting ended at 5.30 p.m. &&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&.
- Page 23 and 24: 23 Haya, ile jambo lingine nilikuwa
- Page 25 and 26: 25 Com. Wambua: Okay, twendelee sas
- Page 27 and 28: 27 Administration: ………… (Co
- Page 29 and 30: 29 come up with conclusive ideas. F
- Page 31 and 32: 31 Com. Wanjiku: Thank you very muc
- Page 33 and 34: 33 chake. Nafikiria nitafikia hapo,
- Page 35 and 36: 35 maruna matari miga noria magerer
- Page 37 and 38: 37 Then we come to Judiciary: ♦ J
- Page 39 and 40: 39 kulingana na vile tunataka,- zet
- Page 41 and 42: 41 David Macharia: I think what the
- Page 43 and 44: 43 there-Thomano Kiaire, Martha Nya
- Page 45 and 46: 45 Interjection from Com. Wanjiku:
- Page 47 and 48: 47 naona. Lakini nyinyi wenyewe mfi
- Page 49 and 50: 49 Interjection. Com. Wanjiku: tafa
- Page 51 and 52: 51 walichaguliwa ma- D.O na ma-Chie
- Page 53 and 54: 53 But they were not, - it was not
- Page 55 and 56: 55 credible, people with good integ
- Page 57 and 58: 57 Corruption nio niyagerero kunino
- Page 59 and 60: 59 Kwa kuhesabu, (inaudible) hapa n
- Page 61 and 62: 61 Chairman to be elected by the ma
- Page 63 and 64: 63 Another speaker: (repitation. It
- Page 65 and 66: 65 Kama anasaidiwa nanjia mzuri…
- Page 67 and 68: 67 wanalingana na serikali. Sio ati
- Page 69 and 70: 69 Councilor: Karibu sana… karibu
- Page 71 and 72: 71 be disciplined because of bad be
- Page 73: 73 Ya mwisho, mimi ningeuliza barab
75<br />
Meeting ended at 5.30 p.m.<br />
&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&.