verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
69<br />
Councilor: Karibu sana… karibu sana… I’ll be very free madam. Lakini mimi sitaki ati kusema ati wanasiasa ni wabaya.<br />
Why? You should realize that if it were not for the politicians, you would not have been what you are, madam Commissioner.<br />
Kwa hivyo, sitaki kuwadharau sana, iko, - inastahili kuwe na mipaka ambako wanasiasa hawapiti. Kama jambo la elimu, ni<br />
jambo delicate sana. Wanasiasa wanastahili kuwachaliwa alitekeleze.<br />
Jambo la tano, there is this… ‘Poverty eradication.’ Madam Commissioner, poverty cannot be eradicated, lakini kuna njia<br />
tunaweza pitia na tuwe kama tumemaliza poverty. Nilikuwa nasema hivi madam Commissioner, kama education, tukienda enzi<br />
za mbele, (speaks in Kikuyu)… from standard one up to form four, compulsory.<br />
(Clapping).<br />
Councilor: Liko jambo lingine, imekuwa jambo la aibu sana kuona ati mtu hawezi kusoma kwa sababu ya umasikini. Sasa siku<br />
hizi, watu ambao hawajui kusoma au hawataki kusoma, wanaletwa tu kusoma ikiwa baba yake ni tajiri. Lakini iko mwingine, -<br />
juzi nilishangaa sana kuona mama analia ati mtoto wake ameshinda, amepata kuenda (inaudible). Tungefanya harambee nyingi<br />
sana na hiyo siku ambayo unaona pale, juu ya hilo. Hapo nimetoka. Hospitali…<br />
(Interjection)<br />
Com. Wanjiku: What is your recommendation?<br />
Councilor: Mimi nasema vile nimesema, iwe free upto form four. Jambo lingine, la mwisho, ni hali ya mahospitali. Hospitali,<br />
inaonekana watu watakufa, - wale ambao wanakufa kwa hospitali ni wale ambao hawana pesa. Hiyo iwe free kama ule wakati<br />
wa Kenyatta.<br />
Na jela, hata wakati unaenda huko kwa jela, unaona mtu anfungwa kwa sababu ya kukosa fine ya shilingi elfu mbili, anafungwa<br />
kwa sababu ya umasikini, hiyo iangaliwe sana.<br />
Nikimalizia kabisa, there is (inaudible)… ni horia reke umuthe turie tudu ni (inaudible) there is nothing wrong reke<br />
twarie tuu (inaudible). Watu ni lazima watakuwa wakikutana, na hiyo huwezi kuzuia. Kuwe na dawa, serikali ichukuwe<br />
company. Thank you. Na labda kwa hayo machache, (inaudible), madam Commissioner, I beg you. Thank you.<br />
(Clapping).<br />
Com. Wanjiku: No, don’t beg. Thank you very much I don’t want to have (inaudible) I am sure (kikuyu inaudible)<br />
Thuku: Thank you very much. Ni wega mno Commissioners, makwa ni manini muno ndiwe kana nirakiugika kuria