04.11.2014 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

65<br />

Kama anasaidiwa nanjia mzuri…<br />

(Com.Wanjiku interrupts): Dakika moja imeisha.<br />

George Kimani: Okay mawaziri wawe wakichaguliwa na wabunge. Na tena ningependa…- na kama ni P.S. awe<br />

akichaguliwa kulingana na masomo yake, na idara ile anasimamia Waziri na yeye awe akichaguliwa kulingana na kitu<br />

amesomea, na achaguliwe na bunge sio Rais.<br />

Haya, kutoka hapo, tena ningependa, - kama vile mnaona chokora wanajaa mitaani, - watengenezewe shule yao kama vile<br />

Wamumo, wasome, na wakitoka huko, wapewe vipande isiyolingana na zingine, iwekwe ka muhuri kidogo, ionekane ni mtu<br />

anafundishwa, na apewe kazi kulingana na masomo yake, kama vile ni course awe akijulikana mahali anafanyia.<br />

Kutoka hapo, ningependa wafanyi kazi wa serikali wawe wakilingana na mikoa. Kama ni askari wa D.C. wanaandikwa, wawe<br />

wakiandikwa kulingana na mikoa ya Kenya vile iko. Wawe wakilingana. Kama mikoa hii inatolewa watu kumi, na ingine watu<br />

kumi, ndio rasilimali ya Kenya iwe ikitumika kulingana na … nini…- Tena ningependa waziri… kila mkoa uwe na waziri hata<br />

ikiwa imechaguliwa na wabunge wa upinzani, iwe na waziri, tuone bendera kila mahali inatembea. Lakini sio kusema kwamba<br />

mawaziri ni wa upande mmoja,- kama ni wa Coast, ati ni wa Coast wote thelathini, na kama Nyandarua hakuna waziri, na sisi<br />

ni wananchi wa Kenya kama wengine. Na huyo waziri awe akichaguliwa na bunge sio na mtu mmoja tu.<br />

Upande wa uchaguzi tunasumbuka sana kwa sababu, tunasikia kuwa kura zinaibiwa. Tungependa sanduku ikuje kama<br />

inaonekana wazi ndani. Na tena watu wa kusimami hiyo masanduku, tungependa hiyo masanduku, - kama wakati wa uchaguzi<br />

zisimamiwe na wana jeshi, pamoja na askari, vile wao huwa. Lakini wawe wakichanganyishwa, kuwe na wanajeshi ndani na<br />

askari ndani, ndio ionekane kuwa inaangaliwa, haiwezi kuibiwa kwa maana kura huibwa.<br />

Com. Wanjiku: Umemaliza?<br />

George Kimani: Sijamaliza, bado kidogo.<br />

Tena, ningependa sana kuwe na…- kwa maana- ningependa wanawake wawe wakijitokeza kupigania viti, kama ni ya<br />

wabunge, ama ma councilors, wawe wakijitokeza kuwa mstari wa mbele kupigania kiti chochote kile anasikia anapenda. Kwa<br />

maana wanasoma kama wengine, - mnasikia mwanamke ako na degree, na sijaona mwanamke akisimama, kama area hii<br />

kuchaguliwa mbunge ama councilor na wanasoma kama wengine. Kitu kingine nataka kiangaliwe sana kama ni kwa bunge…<br />

(Interjecton)

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!