verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
49<br />
Interjection.<br />
Com. Wanjiku: tafadhali jaribu umalize.<br />
Paul Kamau: Okay, ni kumaliza sasa. Mambo ya masomo, - mnaona vile tunasema experts,- tunasikia kuna pr<strong>of</strong>essors,<br />
Doctors, lakini wakijaribu kufanya kitu, kugundua kitu kwa ule iujuzi wanao, hawapatiwi support na serikali. Tungeomba<br />
serikali iwape support, - Tukisikia mtu ni pr<strong>of</strong>essor,- tunataka kusikia ni pr<strong>of</strong>fesor kama yule ‘Marsey Furgerson,’ amegundua<br />
kitu. Ndio tunataka kusikia kuko watu namna hiyo. Sio kusema kwamba ni pr<strong>of</strong>essor na kesho yake tunamkuta anafanya kazi<br />
ya <strong>of</strong>isi. Sasa masomo yake inakuwa bure. Anapelekwa ng’ambo anarudi hapa, apatiwe nafasi agundue bunduki,- weapons, -<br />
nilikuwa nimesema weapons, - mambo kama ya dawa.<br />
Na ningependa tu kusikia, for example, Doctor Obel, - nimeandika hapa nitapeana kule, -wakati alisema amegundua dawa ya<br />
AIDS, - wengi tulishangaa kusikia amegundua dawa, na ni mtu amesoma sana, - ati mpaka mzungu ndio anaweza kupatiwa<br />
dawa yake. Kama ingepigwa marufuku, tungefanya aende, tungefanya (inaudible) serikali? Enda utibu wale kwa hospitali,<br />
wasipopona tutasema hujui kazi. Zikiwaponya, basi apewe madaraka aendelee. Kwa hivyo tunataka masomo yatiliwe maanani,<br />
mtu kama huyo afanye discovery.<br />
Kama wale wazungu walikuja hapa wakasema Thompson Falls, - ali-discover nini na ni mtu alikuja huku akapata mvua<br />
inanyesha kila wakati? Nina sema hivi kwa sababu mnajua kile kitu mimi ninasema, wacha nifupishe.<br />
Jambo la mwisho na ndio nitamaliza, ni freedom <strong>of</strong> expression. Hii tumeharibu kabisa nchi zetu za Africa. Nikizungumza juu ya<br />
M.P. juu ya mkubwa wetu serikalini, juu ya – kama ni inspector wa polisi, kama ni juu ya P.C. kama amefanya vibaya, na<br />
ninathibitisha kwamba amefanya hivyo, inachukuliwa tu kama mtu ambaye hana wakumsaidia, anapelekwa katika cell, na hata<br />
naweza kufungwa, nipigwe, na niwe tortured bila mtu wa kunisaidia. Tunataka mambo kama hayo, bila akishika yeyote,<br />
athibitishe vile alikuwa akisema. Na hiyo inahitaji zaidi. Nikisema juu ya mtu fulani amefanya hivi na hivi, nithibitishe. Ikiwa ni<br />
kweli, niitwe nithibitishe, kwani una… - why are you punishing me? – Okay, nimemaliza hiyo.<br />
Mambo ya ukulima, mnaona wengi wanatoka kwa ukulima. – Ninamaliza sasa madam nikubalie hiyo. – Mambo ya ukulima<br />
imeharibika hapa. Kwa sababu, mkifanya kazi ya ukulima, hakuna usaidizi. Nina panda mboga, hakuna market, nakamua ng’<br />
ombe, hakuna mahali ya kupeleka maziwa. Tuangaliwe sana, kazi tunay<strong>of</strong>anya kama wakulima iwe ni ya muhimu. Hata nchi<br />
zingine ambazo zimeendelea nyingi, unaona wakulima wanatiliwa maanani sana. Kama wanaproduce, wanachoka wana…(not<br />
clear) na wanaproduce mambo mengi. Na mtaona watoto wetu,- tukifanya hivyo, watoto wetu watapenda kulima, wale hawana<br />
kazi ya kuenda mbali. Watoto wetu watapenda kukaa nyumbani. Lakini sasa mnasema ukulima ni wa nini? Mboga yote nikitoa,<br />
ingine inaharibika, maziwa nikikamua, hakuna soko. Mtuangalie mambo ya masoko, na mambo ya inputs mkubali.<br />
Na point yangu ile nimecomplain ni, ati mpaka fertilizer itoke ng’ambo. Na mimi nilienda kwa secondary school mahali moja,