04.11.2014 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

49<br />

Interjection.<br />

Com. Wanjiku: tafadhali jaribu umalize.<br />

Paul Kamau: Okay, ni kumaliza sasa. Mambo ya masomo, - mnaona vile tunasema experts,- tunasikia kuna pr<strong>of</strong>essors,<br />

Doctors, lakini wakijaribu kufanya kitu, kugundua kitu kwa ule iujuzi wanao, hawapatiwi support na serikali. Tungeomba<br />

serikali iwape support, - Tukisikia mtu ni pr<strong>of</strong>essor,- tunataka kusikia ni pr<strong>of</strong>fesor kama yule ‘Marsey Furgerson,’ amegundua<br />

kitu. Ndio tunataka kusikia kuko watu namna hiyo. Sio kusema kwamba ni pr<strong>of</strong>essor na kesho yake tunamkuta anafanya kazi<br />

ya <strong>of</strong>isi. Sasa masomo yake inakuwa bure. Anapelekwa ng’ambo anarudi hapa, apatiwe nafasi agundue bunduki,- weapons, -<br />

nilikuwa nimesema weapons, - mambo kama ya dawa.<br />

Na ningependa tu kusikia, for example, Doctor Obel, - nimeandika hapa nitapeana kule, -wakati alisema amegundua dawa ya<br />

AIDS, - wengi tulishangaa kusikia amegundua dawa, na ni mtu amesoma sana, - ati mpaka mzungu ndio anaweza kupatiwa<br />

dawa yake. Kama ingepigwa marufuku, tungefanya aende, tungefanya (inaudible) serikali? Enda utibu wale kwa hospitali,<br />

wasipopona tutasema hujui kazi. Zikiwaponya, basi apewe madaraka aendelee. Kwa hivyo tunataka masomo yatiliwe maanani,<br />

mtu kama huyo afanye discovery.<br />

Kama wale wazungu walikuja hapa wakasema Thompson Falls, - ali-discover nini na ni mtu alikuja huku akapata mvua<br />

inanyesha kila wakati? Nina sema hivi kwa sababu mnajua kile kitu mimi ninasema, wacha nifupishe.<br />

Jambo la mwisho na ndio nitamaliza, ni freedom <strong>of</strong> expression. Hii tumeharibu kabisa nchi zetu za Africa. Nikizungumza juu ya<br />

M.P. juu ya mkubwa wetu serikalini, juu ya – kama ni inspector wa polisi, kama ni juu ya P.C. kama amefanya vibaya, na<br />

ninathibitisha kwamba amefanya hivyo, inachukuliwa tu kama mtu ambaye hana wakumsaidia, anapelekwa katika cell, na hata<br />

naweza kufungwa, nipigwe, na niwe tortured bila mtu wa kunisaidia. Tunataka mambo kama hayo, bila akishika yeyote,<br />

athibitishe vile alikuwa akisema. Na hiyo inahitaji zaidi. Nikisema juu ya mtu fulani amefanya hivi na hivi, nithibitishe. Ikiwa ni<br />

kweli, niitwe nithibitishe, kwani una… - why are you punishing me? – Okay, nimemaliza hiyo.<br />

Mambo ya ukulima, mnaona wengi wanatoka kwa ukulima. – Ninamaliza sasa madam nikubalie hiyo. – Mambo ya ukulima<br />

imeharibika hapa. Kwa sababu, mkifanya kazi ya ukulima, hakuna usaidizi. Nina panda mboga, hakuna market, nakamua ng’<br />

ombe, hakuna mahali ya kupeleka maziwa. Tuangaliwe sana, kazi tunay<strong>of</strong>anya kama wakulima iwe ni ya muhimu. Hata nchi<br />

zingine ambazo zimeendelea nyingi, unaona wakulima wanatiliwa maanani sana. Kama wanaproduce, wanachoka wana…(not<br />

clear) na wanaproduce mambo mengi. Na mtaona watoto wetu,- tukifanya hivyo, watoto wetu watapenda kulima, wale hawana<br />

kazi ya kuenda mbali. Watoto wetu watapenda kukaa nyumbani. Lakini sasa mnasema ukulima ni wa nini? Mboga yote nikitoa,<br />

ingine inaharibika, maziwa nikikamua, hakuna soko. Mtuangalie mambo ya masoko, na mambo ya inputs mkubali.<br />

Na point yangu ile nimecomplain ni, ati mpaka fertilizer itoke ng’ambo. Na mimi nilienda kwa secondary school mahali moja,

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!