04.11.2014 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

48<br />

watu wa council, waweke sahihi na mwenye kura awe karibu, na isiwe movement ya kutoka hapa, sababu hapo ndio kura<br />

zinaibiwa. Zinatolewa hapa ati zipelekwe kwa D.O. akiwa Engineer. Hapa njiani ndio zinapitishwa kando na kando. I’m talking<br />

in general, without pointing anybody. Hiyo mambo isimamishwe twende mbele, hatutarudi nyuma tena. Kwa hivyo tangu vile<br />

ilifanyika, tunajua ilifanyika na mambo mengi ni mabaya sana.<br />

Wakati wa kura, kusiwe na mapendeleo ya watu, eti ni watu wa chama fulani. Chama,- vyama vyote viwe vinaheshimiwa kwa<br />

sababu vinawakilisha wananchi, si ni kweli? Kulingana na maoni yetu kama vile tulivyo hapa. Basi hiyo nimemaliza.<br />

Ile nyingine ni habari ya ma chief. Nimezungumza lakini nitataja kwasababu nilikuwa nimeandika. Pendekezo langu ni ndogo tu.<br />

Ma chief kama vile wenzangu wamesema, na assistants,- kama D.O. na D.C. hiyo iende kama vile mnaona nyinyi mmesoma<br />

sana. Mambo ya chief na assistant chief, iwe ni ya elected, - to be elected – Wachaguliwe na watu ambao wanawaongoza, si ni<br />

kweli? Ili watu wataheshimiana na maendeleo itakuweko. Lakini ukiandika chief, -atoke mbali na unamlete hapa, hajui area hii<br />

na environment ya hapa, ana madharau kwa sababu anajua ‘nikiharibu nitapewa transfer nitaenda.’ Hakuna jinsi tutaendelea na<br />

maendeleo. Na ndio mnaona maendeleo mengi katika sub-locations, - katika locations imekosa. Tunataka yule atachaguliwa, ni<br />

mtu ana anapendekezwa. – Kama sisi tunachagua M.P. sababu tunamjua. Asipoleta maendeleo tutamuondoa. Chief asip<strong>of</strong>anya<br />

kazi yake vizuri, au hata assistant chief tutamuondoa. Tuajiri mwingine. Basi, hiyo nimemaliza. Nilisema sitaenda kwa details.<br />

Mambo mengine ni hii ya civic cases, imetajwa sana. Na ningeomba hii Commission inasema na nyinyi watoto wenu wana –<br />

wanafanywa nini? Wana… Kiswahili karibu kunishinda,- wana… Okay, Watoto wenu na wasichana wenu na wale wazee<br />

ambao wanaelimu, kuna mabo mengine ningeomba, mambo kama mtu anashikwa pale, baiskeli pengine haina taa, -ndio nasema<br />

ni mambo ya civic cases-, na anashikwa na ni mtu wa local hapa; na ngependa, -hata polisi wako hapa-, washugulikie hayo<br />

maneno. Hata mtu wa polisi ako hapa,- hata kama hajawekwa kwa hii, atusaidie,- hapa kwanza ndio tunataka namna hiyo.<br />

Mtu, ni taa ya baisikeli tu ndiyo imekosa, ama ya motokaa imezimika; badala ya kuchukua mtu na ni local man, umpeleke polisi<br />

kumfungia, - ama vile watu wametaja mambo mengine kati ya polisi na wao njiani, - na hawa wote ni askari wako hapa, -<br />

tusaidieni please. Ni watu wetu wanateseka.<br />

Basi, badala ya kufunga huyo mtu kwa cell, na ameshikwa na askari – hata labda ni mtu wanamjua,- Akubali. He should write<br />

what we call ‘ Pitch Duty.’ Akubali kwamba amefanya makosa ile kwa taa, lakini sio ati aende akashitakiwe. Hapana.<br />

Apelekwe kotini na apewe bond aende kotini. Basi, mambo yaishe badala ya kulalisha yeye kwa cell pale bure. Lakini<br />

criminalcases, hiyo tumekubali. Kwa sababu mtu anaweza kufanya mambo mengine mabaya. Si ni kweli? Huyo awekwe ndani.<br />

Nafikiria wale ambao wako hapa watasaidia kutengeneza hii sheria.<br />

Mambo mengine ni, - hii imesemwa na mwenzangu mmoja, lakini nitaitaja kwa njia nyingine. Ni mambo ya kufanya masomo<br />

yawe muhimu katika nchi za Afrika.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!