04.11.2014 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

47<br />

naona. Lakini nyinyi wenyewe mfikirie, siku moja itafika, wewe mama wewe baba, watoto wako watakuuliza swali,<br />

tulitengeneza tukatoa maoni yetu, kwa nini nchi yetu imetupitishia kwa ule moto tu, na zile shida zilikuwa hapo mbeleni. Hiyo<br />

nimewatuma, mjaribu muone vile mambo yanayotolewa, ni ya kutawala nchi hii yetu bila ubaguzi na bila chochote cha<br />

mapendeleo. Basi wacha niende kwa mambo yangu.<br />

Jambo la kwanza ni mambo ya shida ya kuajiriwa kazi, ama lack <strong>of</strong> employment. Na ningesema kwa kifupi hivi, niseme kwa<br />

kifupi badala ya tafsiri, itakuwa muda mrefu. (Speaks in Kikuyu),……………. Ukabila na undugu, na nyinyi ndio mko katika<br />

pale top. Wale watoto wa masikini hawapati kazi, si ni kweli? Wale watoto wa matajiri wanachukuliwa mbele, hata kama<br />

hawajahitimu mtihani sawa, sawa, anaendesha hiyo <strong>of</strong>isi kubwa, kwa sababu baba yake ama mama yake ana uwezo. Ama<br />

ndugu zake ama dada zake wana uwezo. Tunaomba sasa kwa Katiba mpya, muone kwamba hiyo imeondolewa, kusiwe na<br />

ubaguzi kwa mtu yeyote, kazi ziajiriwe watu kulingana na vile wamepita. Wale hawajapita sawasawa watafutiwe mambo<br />

mengine na serikali. Iwekwe katika Katiba.<br />

Shida ya wale ambao wamesoma na wameacha masomo,- yaani school leavers.- Mapendekezo yangu ni hivi: wawe registered<br />

na serikali, kama tu wangekuwa wameandikwa, kutoka standard seven ama eight, form four na university. Na wapewe kazi,<br />

ama training kulingana na vile wamepita. Wale wamepita vizuri hata kama ni mtoto wa masikini, ama kama ni mtu kiwete,<br />

apewe ile <strong>of</strong>isi inalingana na yeye. Hiyo ndiyo maombi yangu. Yule anayebaki, kuna kazi ya polisi, kazi ya askari, kazi ya<br />

labour, apatiwe huko, na uwe ni mzigo wa serikali maanake tumesema tumeomba masomo ya bure, kwa nini tupoteze wale<br />

watoto wengine? Na zaidi wale wa masikini? Tunajua kweli, tukiulizwa maswali mengi, watoto wa masikini ni werevu, na<br />

wengine wana akili sana na wanatupiliwa mbali, kwa sababu hawajulikani popote, tunaomba hiyo.<br />

Wakiwa wanachukuliwa kwa register, tuondoe mzigo kutoka kwa wazazi wa watoto. Wakiwa wamemaliza masomo, ni wa<br />

serikali. Mnaelewa vile ninasema? Huu mzigo wa mzazi mwingine ambaye hana elimu, asije akashughulike, nilitaka kumuuliza<br />

nani; – M.P. wetu ni nani nishikilie atanisaidia ama ni ndugu yangu, - awe ni mtoto wa serikali. Apatiwe kazi kulingana na vile<br />

alivyo. Kazi ni nyingi ya kupatia. Na asipotosheka kwenda university aende training, na asipotosheka training, aende kwa kazi<br />

nyingine yeyote ambayo haihitaji watu wa masomo. Lakini kwa wakati huu tunajua, kuna ubaguzi.<br />

Sitaendelea kujifafanua sana. Wacha nimalize hapo.<br />

Mambo ingine, nimesema awe mzigo wa serikali. Ningependa muandike, mmeandika?<br />

Interjection – laughter from the crowd.<br />

Jambo lingine langu ni hili, nimezipeleka haraka sana. Ni mambo ya electon: Imezungumzwa sana. Ili tumalize mambo haya ya<br />

wizi wa kura, Ningewaomba nyinyi Commissioners,- mimi huona ya kwamba, kutoka,- from now onwards, kwa ile election<br />

inakuja karibu, tunafanya polling station hapa kama Njabini kwa hii <strong>of</strong>isi. Zihesabiwe hapo, na agent wa yule mtu wa parliament,

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!