04.11.2014 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

40<br />

iondolewe. Badala ya hiyo dairy bond, iwe inasimamiwa na mkulima na ndiye anachaguliwa.<br />

Agricultural In-puts: hiyo – fertilizer na kila kitu kinahusikana na mkulima- hiyo iondolewe ile kodi inaitwa custom duty. Hiyo<br />

iondolewe kabisa.<br />

Kutoka hapo, kama vile tulivyosema, sisi Ndorobo – tafadhali, tusiharakishwe tena, kuamishwa kuamishwa. Kwa hayo<br />

machache, naachia hapo, lakini mjue, tunaungana na watu wa Ngairethie mgare, hapa Njabini na Kaambaa tukawa kitu kimoja<br />

ili tusiwe tunafukuzwa kama swara.<br />

Ahsante sana.<br />

Com. Wanjiku: Ahsante sana Mr. Muchugi. (Then she asks a question in Kikuyu). –He answers in Kikuyu.-<br />

Com. Wanjiku: It’s a group memorandum? (He answers-yes). Swali lingine moja, hii mambo ya dini, umesema kusiwe na<br />

freedom <strong>of</strong> worship ya waislamu au?<br />

Mr. Muchugi: No, nasema, tunajua kuna freedom ya waislamu, kuna freedom ya wakristo, sasa kuna kuja zingine katikati,<br />

zinaandikishwa nyingi nyingi, vitu vingi, hiyo tunataka kuwe na Commission inachunguza hii dini ni ya aina gani? Inaomba vile<br />

Mungu anaombwa, au ni kama ile iko ng’ambo ya wataliban na Osama, namna hiyo? Kwa hivyo tunaona vile inaanza<br />

kuingiaingia.<br />

Com. Wanjiku: Okay, ahsante sana. George Ng’ang’a, and then Ngugi J. K. Hawako? We go to Joseph Kariuki… Samwel<br />

Kinyanjui…Karanja Wainaina…then Mary Wanjiku… Mary Wanjiku…Niuroka?<br />

Mary: (Speaks in Kikuyu).<br />

Com. Wanjiku: Ni thank you muno. Now we have David Macharia.<br />

David Macharia: (He speaks in Kikuyu). I will speak in English, I had earlier spoken in Kikuyu, so that we get proper<br />

communication with my elders here, for the (inaudible) review.<br />

Com. Wambua: (Asks a question, but not so clear). This proposal to – which has been (inaudible) are qualified in that field, If<br />

they are elected and they don’t have people qualified in that, what happens? So are you suggesting that the Ministers or those<br />

who head the ministries should not be appointed from the elected members <strong>of</strong> parliament? Because we can’t predict those who<br />

are going to be elected. They could be from one field; maybe most <strong>of</strong> them would be farmers or maybe they would be anything.<br />

So what happens in that situation?

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!