verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
34<br />
tunaona kweli mengine siyo ya dini, bali ni walaghai wavumi. Kwa hivyo, katika Katiba mpya, ule uhuru wa kuabudu uweko<br />
lakini uchunguzwe kama kweli ile ni dini nzuri, - hapo patakuwa na shida kwa sababu dini ni mambo ya kiroho, na unaweza<br />
kuamini utakavyo.- Lakini ule uhuru usitumiwe vibaya, kwa sababu eti ya jina la dini. Sitataja makundi hayo, kwa sababu<br />
mnayafahamu nyinyi. Kwa hivyo, serikali iangalie dini zinazo kuja ni namna gani.<br />
Jambo lingine ambalo ni muhimu kuandikwa katika Katiba mpya, nikuhusu hawa watu wanaoitwa ‘Provincial administration’.<br />
Mimi ninaunga mkono wale watu wanaosema, tuwachague sisi wenyewe. Kwa sababu ikiwa ni Rais anayewachagua watu<br />
hawa, ikiwa Rais atapewa uhuru wa kuwachagua watu hawa, wao watawajibika kwake na wala sio kwa raia. Ukimfanyia mtu<br />
kitu kizuri, atakulipa kwa uzuri na wala sio kwa ubaya. Kwa hivyo watu wanao chaguliwa na Rais, hawawatumikii wananchi,<br />
bali wanamtumikia yule mtu ambaye aliwachagua. Kwa mfano, tume ya uchaguzi. Wale ma Commissioner wanaohudumu katika<br />
hii tume ya uchaguzi,- kwasababu wameteuliwa na Rais, - watapeleka mambo yake vile anavyotaka kwa sababu<br />
wanamwogopa Rais. Kwa hivyo tunataka bunge irudishiwe mamlaka yake. Kwa sababu hapo zamani, kwenye Katiba ya<br />
zamani, bunge ndilo lenye uwezo wa kuwachagua watu hawa. Na ikiwa bunge litarudishiwa hayo mamlaka, basi hao ma<br />
Commissioners hawatukuwa na uoga wa kufanya kazi katika njia huru. Lakini katika hali ya sasa, wale ma Commissioners<br />
wanafanya kazi kulingana na vile Rais anavyotaka. Kwa sababu amewachagua yeye anaweza kuwafuta kazi jioni au kesho au<br />
kesho kutwa. Ukifanya kazi kwa uoga, hutawatumikia wananchi, lakini utamtumikia yule mtu aliyekuajiri. Na kwa sababu mengi<br />
niliyotaka kusema yamesemwa, sitarudia. Bye-bye.<br />
Com. Wanjiku: Jina lako?<br />
Kambo: Mimi naitwa Kambo Henry.<br />
Com. Wanjiku: Ahsante sana bwana Kambo, lakini I want to make one clarification, the Commissioners are not elected by the<br />
president, they are elected by the parliament, so don’t make assumptions. The president is the ceremonial role.<br />
Kambo: I’m talking about the electoral Commission.<br />
Com. Wanjiku: The electoral Commission, they are. Okay, maybe one more clarificaton, on the issue <strong>of</strong> the current<br />
constitution. Sorry. Nderaria ohoro wa kwandika Katriba njeru bio ona akekoro ndoye uria Katiba iyo anr ugete.<br />
Maoni maria maraheyaono rio tariyu oria andu marauga uhoro wa borithi, kana uhoro wa president, kana huru wa<br />
administration maundu macio mothi ne magucoka matransulatwo into Constitution proposals kuogua kwiciria and<br />
matigi kuria ati uria muriga nda’uga uguo tondu na andu are magite uguo, nengi ni getha matigeceriye ne mathaa<br />
turate akore we nduthomete Constitution nduramenya uria uraga. Maundu maria andu marauga oria and marinda<br />
gwatho maundu macio mothii there are part <strong>of</strong> the revesion <strong>of</strong> the Constitution kuoguo and matiagerero ni gutigra<br />
ona hanini. I agree ati munda akithoma iyo. Andu ni magerero nikwiguo maganere maheyano maundu maria mothe