04.11.2014 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

23<br />

Haya, ile jambo lingine nilikuwa nataka kuzungumzia ni free education, Masomo tupate bure na serikali. Na ile ingine, jambo<br />

ambalo ni muhimu naona hapa, ni secondary education or higher education. Kuna unrest nyingi katika shule za sekondari. Kwa<br />

hivyo ningeonelea kuwe na koti ya wanafunzi wale ambao wanatenda makosa katika shule. Na wasifanyiwe expulsion yaani<br />

kuambiwa waende nyumbani lakini wapelekwe katika jela hizo.<br />

Na katika uombaji, or freedom <strong>of</strong> worship, serikali lazima iangalie ili sects kama devil worshipping isionekane katika Kenya.<br />

Haya na freedom <strong>of</strong> expression, na new land allocation. Yaani, shamba zilipeanwa hapa 1963, na hazijapeanwa zingine. Kwa<br />

hivyo, maoni yangu ni, kuwe kukipeanwa shamba baada ya kizazi, 30 years <strong>of</strong> age.<br />

Haya ahsante sana.<br />

Speaker: Wale ambao wamekuja hapa kutoa maoni, mpatie yule afisa wa Commission hapo a-record maanake tukimaliza<br />

lazima tuchukue hiyo karatasi twende tukaisome. Hata kama huna memorandum, ukimaliza jiandikishe tu kwamba<br />

umezungumza na umesikizwa. Na sasa ningependa kumkaribisha Mheshimiwa Bwana Mwangi Waithaka, tutakupatia muda tu<br />

wa kuwasalimia wananchi, halafu tutakupatia muda baadaye –kwa sasa unaweza kuwasalamia wananchi tu-, halafu tuendelee.<br />

Mwangi Waithaka: Hamjambo?<br />

(Hatujambo)!<br />

Speaker: Haya sasa tutamwita Joseph Njogu Ngure. Joseph Njogu Ngure, please welcome…Eee? Jina niko nalo hapa ni<br />

Joseph Njogu Ngure, ni wewe? Umesema wewe ni Ngure? Haya endelea.<br />

Joseph Njogu Ngure: (Speaks in Kikuyu)<br />

Translation: When I think about the people <strong>of</strong> Kinangop, I see that they have various problems. One <strong>of</strong> the things I would like<br />

the constitution to address is, that the young people should not be treated or be equal with the adults. As our country is, a<br />

person should be treated the way she or he is. Point number one:<br />

• Policeman should be given a salary that is sufficient for his work. He should not be the person who is to rob a person on<br />

the way.<br />

♦ The second issue that is important is, that a farmer should not be asked, ‘where are you going’, any time.<br />

♦ Third, I will speak this on my own behalf; this is how I feel. If a policeman can cause an obstruction or can stop us to<br />

know the way so that you don’t go to work tomorrow- the country is large- there should not be a person who is<br />

beyond 28 years old and is dependant on the parents. If there is land, and that land is idle, being inhabited by wild

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!