verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
23<br />
Haya, ile jambo lingine nilikuwa nataka kuzungumzia ni free education, Masomo tupate bure na serikali. Na ile ingine, jambo<br />
ambalo ni muhimu naona hapa, ni secondary education or higher education. Kuna unrest nyingi katika shule za sekondari. Kwa<br />
hivyo ningeonelea kuwe na koti ya wanafunzi wale ambao wanatenda makosa katika shule. Na wasifanyiwe expulsion yaani<br />
kuambiwa waende nyumbani lakini wapelekwe katika jela hizo.<br />
Na katika uombaji, or freedom <strong>of</strong> worship, serikali lazima iangalie ili sects kama devil worshipping isionekane katika Kenya.<br />
Haya na freedom <strong>of</strong> expression, na new land allocation. Yaani, shamba zilipeanwa hapa 1963, na hazijapeanwa zingine. Kwa<br />
hivyo, maoni yangu ni, kuwe kukipeanwa shamba baada ya kizazi, 30 years <strong>of</strong> age.<br />
Haya ahsante sana.<br />
Speaker: Wale ambao wamekuja hapa kutoa maoni, mpatie yule afisa wa Commission hapo a-record maanake tukimaliza<br />
lazima tuchukue hiyo karatasi twende tukaisome. Hata kama huna memorandum, ukimaliza jiandikishe tu kwamba<br />
umezungumza na umesikizwa. Na sasa ningependa kumkaribisha Mheshimiwa Bwana Mwangi Waithaka, tutakupatia muda tu<br />
wa kuwasalimia wananchi, halafu tutakupatia muda baadaye –kwa sasa unaweza kuwasalamia wananchi tu-, halafu tuendelee.<br />
Mwangi Waithaka: Hamjambo?<br />
(Hatujambo)!<br />
Speaker: Haya sasa tutamwita Joseph Njogu Ngure. Joseph Njogu Ngure, please welcome…Eee? Jina niko nalo hapa ni<br />
Joseph Njogu Ngure, ni wewe? Umesema wewe ni Ngure? Haya endelea.<br />
Joseph Njogu Ngure: (Speaks in Kikuyu)<br />
Translation: When I think about the people <strong>of</strong> Kinangop, I see that they have various problems. One <strong>of</strong> the things I would like<br />
the constitution to address is, that the young people should not be treated or be equal with the adults. As our country is, a<br />
person should be treated the way she or he is. Point number one:<br />
• Policeman should be given a salary that is sufficient for his work. He should not be the person who is to rob a person on<br />
the way.<br />
♦ The second issue that is important is, that a farmer should not be asked, ‘where are you going’, any time.<br />
♦ Third, I will speak this on my own behalf; this is how I feel. If a policeman can cause an obstruction or can stop us to<br />
know the way so that you don’t go to work tomorrow- the country is large- there should not be a person who is<br />
beyond 28 years old and is dependant on the parents. If there is land, and that land is idle, being inhabited by wild