04.11.2014 Views

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

verbatim report of constituency public hearings ... - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

22<br />

threats. Yaani, vile maisha yanakuwa kule katika gereza, inatakiwa ibadilishwe, kwa sababu watu ambao walitunga sheria za<br />

gereza au prisons, hawakuwa na utu. Unaona watu wakishikwa na kuwekwa gereza, ni kama kumuua polepole. Kwa sababu<br />

maisha ya kule gerezani ni poor kabisa. Yaani kuna magonjwa ile contagious kama ile Kikuyu tunaita ‘muhale’, ama mengine<br />

na Aids ama Ukimwi. Mambo haya yote lazima yarekebishwe.<br />

Ingine ni, prisoners should enjoy TV services and Radio services, ili wawe informed na vile kunaendelea nje. Good sleeping<br />

facilities, noting that even an innocent man can be jailed. Na ile ingine nataka kuzungumzia ni, personal confession should be<br />

regarded and scanned by law pr<strong>of</strong>essionals for consideration. Hii nataka kumaanisha kwamba, mtu anaweza kufungwa jela,<br />

halafu kufike mahali aseme sasa atafanya yaani (speaks in kikuyu), aseme atakiri. Mtu kama huyo akionekana wale<br />

pr<strong>of</strong>essionals wa law wamusikilize, waangalie mambo yake na wamfanyie kesi vile anaweza kuwachiliwa.<br />

Haya, upande mwingine ni upande wa biashara. Law governing businesses should be viewed as follows: Noting Kenya is a<br />

poor and growing country, everyone must be allowed to have easy access to businesses without much restriction, because he is<br />

pr<strong>of</strong>iting the country. Thus, simple small-scale businesses must not be charged e.g. a roadside seller, hawkers, or may be a<br />

simple charcoal dealer, who is trying to earn his daily bread, and many others <strong>of</strong> the sort.<br />

Businesses should not be highly taxed to attract many in the field. Anyone should be allowed to use his useful knowledge to<br />

build the nation. For example, we have traditional doctors, and if proved fit by the ministry <strong>of</strong> health, they should be given a go<br />

ahead without much restriction. Traditional blacksmith industries should be encouraged to create job opportunities.<br />

Ile jambo lingine ambalo ningetaka kuzungumzia ni, mambo ya kigeni ambayo tumewekelea maanani sana na tunasahau na yetu.<br />

Na hapo nita-ellaborate nikisoma. We buy drinks such as whiskies, vodkas, from outside which have the same value with our<br />

local brews, and we deny our local brewers rights to produce their brews while it has the same value. Yaani hii ni kumaanisha<br />

ya kwamba, vinywaji kama whiskies, vodka, ziko class moja na chang’aa na mambo mengine ambayo yanatuharibu hapa.<br />

Yaani na vinywaji vingine ambavyo vinatengenezewa katika Kenya. Sasa tuna-promote wale watu wa nchi zingine, badala ya<br />

ku-promote watu wa hapa kwetu. Sasa yetu tunaiita yaani kinywaji cha kienyeji. Yaani vile ningetaka ifanywe ni hivi: wale watu<br />

tungewafunza good hygienic methods <strong>of</strong> brewing their drinks. Yaani tuwaonyeshe vile wangefanya hiyo pombe yao iwe ni mzuri<br />

na inatengenezwa kiafya. Kwa hivyo, hapo lazima constitution ijue mambo ya importing such brews and promote the local ones.<br />

By out-lawing these drinks, the government kills job opportunities and even it leads to jailing <strong>of</strong> important breadwinners <strong>of</strong> the<br />

families. And it also leads to loosing money to foreign investors. Also it is a brain washing and denying the locals their rights.<br />

Instead these brewers should be shown high hygienic methods and the toxic state <strong>of</strong> their brews.<br />

Interjection.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!